Kisu ni kifaa
bapa kirefu kinacho tumika kukatia, ambacho aghalabu hutengenezwa kwa chuma, na
kina makali upande mmoja. Lakini vilevile kisu kinaweza kukufanya wewe ufanye
maovu makubwa sana duniani, tena maovu
yenye laana mbaya sana ,.Hapa Kijana Nelson alijikuta kwenye mhatatizo makubwa
sana na miangaiko mikubwa ya dunia sababu ya KISU! Yaani Nelson alikuwa anatokea kwenye familia ya tabu sana
kule kijijini kwao. Na kwao Nelson walizaliwa mapacha yeye na mwenzake aitwae
steven. Hhata hivyo Nelson na mwenzake Steven, walikuwa wanampenda sana mama
yao mzazi! maana ndiye alie kuwa tegemezi lao. kwa sababu baba yao mzazi alifariki
wakiwa wadogo sana hivyo walimtegemea mama yao kwa kila kitu, kuliko mtu yoyote
yule.
Nelson anasema,
"sitasahau, kule kijijini kwetu walikuwa hawapendi wachawi, na ikitokea ukajulikana kwamba wewe
ni mchawi yaani unapigwa na wanakijiji mpaka wana kuua, Sasa Siku moja saa tisa
usiku kule kijijini, kuna bundi alikuwa juu ya nyumba ya mwenyekiti wa kijiji
kisha akaanza kupiga kelele kwa mda mrefu sana! Na mara nyingi waliamini kwamba bundi ni mchawi au ndege
anae tumwa na wachawi kwenda kuua! Mwenyekiti alivyo sikia bundi analia kwa mda
mrefu, akatoka nje pole pole ili amuue yule bundi! Kweli alichukua fimbo nzuri
na ndefu kisha akampiga nayo yule bundi! Bundi na mwenyewe alivyo pigwa akaanza
kukimbia! mwenyekiti pia akaendelea kumkimbiza ili amuue, ila yule bundi ,
alikimbia kwa uchovu sana maana tayari alikuwa amepigwa fimbo.
Alafu siku hiyo
pia mama yangu mzazi alikuwa hajalala kabisa, bali alikuwa analia sana siku
hiyo maana alikuwa amemkumbuka sana marehemu mume wake ,! Kwa sababu baba
kipindi ajafa, ndiye aliekuwa tegemezi lake sana. Na mwenyekiti nae hakuchoka
kumfukuza yule bundi, sasa na kibaya
zaidi yule bundi alikuwa anakimbia kuja nyumbani kwetu na yule bundi alipo fika
mlangoni kwetu tu akapotea ghafla. Mwenyekiti
akashagaa! Mama akatoka nje akasema, tatizo nini? mwenyekiti akasema
"kumbe na wewe mama ni mchawi eh? lazima na wewe ufe, naomba umlete bundi
aiwezekani apotelee hapa, ndipo akaanza kupiga mayowe ili mama auwawe! Mama
akasema , mimi sio mchawi. Mwenyekiti aliendelea kupiga kelele, akisema
"wanakijiji wenzangu , nimeshika mchawi njoo tumuue" mama alilia sana
pale nje akisema, "mimi sio mchawi unanionea mwenyekiti wangu usiwaite
wanakijiji nitakufa baba" Ila
hakusikilizwa kabisa ,! kipindi icho mimi na pacha mwenzangu tukiwa tumelala
hatusikii chochote kile, maana ilikuwa ni usiku sana. Kumbe Watu wame jaa pale
nyumbani wakitaka kumuua mama! wakauliza swali "mwenyekiti unauwakika
kwamba huyu mama ni mchawi? Maana tumeishi nae miaka mingi sana ujue, na
hatujawai kumuona kama anajiusisha na mambo ya kishirikina hata kidogo"
mwenyekiti akawambia kuhusu bundi alivyo potelea pale mlangoni ghafla! Watu
wote wakaamini kuwa mama yetu ni mchawi! Dah hawakuwa na huruma kabisa hata
kidogo ,, ndipo wakaanza kumpiga mama pale nje tena kipigo kibaya sana cha
kusikitisha moyo ,. Mimi nilishtuka usingizini nikashangaa kukuta watu wengi
nje ya nyumba kibaya zaidi walikuwa wanampiga mama yetu mzazi ila Wanakijiji
wakatukamhata mimi na pacha wangu kisha wakaturudisha ndani na kutufingia kwa
nje ili tusione kinacho endelea.
Mama alipigwa
sana ,, alipigwa sehemu za hhatari mpaka sehemu zake nyeti zakaanza kutokwa
damu na macho yake yalianza kutokwa damu sana vilevile masikioni mwake pia,
wanakijiji hawakulizika wakasema "hawa wachawi hawa, wanatutesa sana sisi,
wanatuulia watoto wetu, maarubino, wanasababishia mhatatizo mengi hapa
kijijini, hatupati mvua wala mavuno mazuri, tumuue afe kabisa huyu mama". Mama
alikuwa analia akisema "mnanionea , mimi sio mchawi mwenyekiti
ananisingizia mimi msiniue" mama aliongea vile huku damu zikimtoka
mdomoni! Tuliumia sana tulipo msikia mama mzazi akilia, akipigwa kama mwizi.
Nilijaribu kubomoa mlango nikamsaidie mama lakini sikuweza kabisa.
Sasa basi,
wanakijiji walivyo mpiga mama vibaya ndipo wakamvua nguo zake zote mpaka nguo
ya ndani , kila mtu akamtazama mama jinsi maumbile yake nyeti yalivyo
kuwa,kisha wakambeba mpaka pembezoni mwa mto mkubwa sana kule kijijini,
wakamfunga mama jiwe zito sana mgongoni kisha wakamzamisha mtoni. Mama mzazi
alizama, alikufa! Sisi tukiwa tumefungiwa ndani.
Baada ya mama
yetu mzazi kupoteza maisha! Mimi na pacha wangu hatukufunguliwa mlango kabisa,
kila mtu aliondoka na kutuacha tukiwa tumefungiwa ndani. Na kipindi tupo mule
ndani, Pacha mwenzangu akaongea kikabila kwamba "nyo idaun'gi yong"
akimaanisha kwamba akitoka nje lazima mwenyekiti hatamkoma kwanini ka sababisha
mama yetu afe! Hivyo basi Siku ya kwanza ikaisha bila mtu yoyote kutufungulia,
siku ya pili pia hakuna alie fungua mlango Dooh, njaa kari sana ikatupiga mule
ndani na hatukuwa na chakula chochote kile!
Ndipo tukaanza
kupiga kelele dirishani ili watu watuonee huruma tuweze kufunguliwa mlango
tutoke ndani. Ila hata wapita njia waliogopa kutufungilia wakisema kwamba
", msiende hapo kufungua, mama yao alikuwa mchawi mtalogwa bure, maana
mtoto wa nyoka ni nyoka tu" baada ya siku nne kupita tukiwa ndani bila
msaada wowote, tulisikia njaa sana maana tulikuwa hatuli, tulichafuka sana
maana tulikuwa hatuogi, chumba kilitoa harufu maana tulijisaidia humo humo
ndani kipindi tumebanwa! Ndipo nikamwambia pacha mwenzangu kwamba "steven
ndugu yangu, tukizubaa tutafia humu ndani, bora tutumie njia ya ziada
tutoke" Steven akajibu "sasa kaka tutatokaje ndani, tazama dilisha
lilivyo na nondo ngumu, cheki mlango tumefungiwa kwa nje tutatoka vipi
sasa" Nikamjibu kwamba "steven leta kisu nikuonyeshe" Ndipo Niliamua
kupanda mpaka juu ya paa, kisha nikachana bati
kwa kile kisu na tukawa tumetoka nje mimi pamoja na ndugu yangu.
Tulishangaa
kuona damu zimekauka pale nje za marehemu mama yetu. tuilia kama watoto wadogo
sana pale nje ila hatukuwa na msaada wowote ule. Tulienda mtoni walipo mtupa
mama labda tungephata mwili wake ili tumzike. lakini hatukuuona mwili kabisa,
Steven alipatwa
na uchungu sana akasema "lazima nilipize, lazima mwenyekiti na yeye pia
afe kama mama" Nilimzuia nikasema steven kumbuka tumebaki yatima hivyo
sitaki nikupoteze pia ndugu yangu tumuachie mungu maana mama yetu amesingiziwa
na ameuwawa bila makosa" Kumbe steven hakusikia ushauri, akamfhata
mwenyekiti na akamwambia "wewe babu umesababisha mama yetu afe, lazima na
wewe ufe" na hapo ndipo mdogo wangu alifanya kosa kubwa sana kuongea vile.
Pacha mwenzangu
alifanya kosa kubwa sana kumtishia amani yule mwenyekiti,alafu kipindi
anamtishia amani mwenyekiti, kwamba "kwanini umesababisha mama yetu afe
lazima na wewe ufe" kiukweli mwenyekiti alipatwa na mshituko mkubwa sana
aliogopa na alishtuka zaidi siku hiyo sababu mwenyekiti alikuwa na ugonjwa wa
presha pia, hivyo presha ya mwenyekiti
ilipanda sana! Na ilipo fika saa tisa na dakika 40 usiku alizidiwa zaidi,
kipindi wanhataka kumuwaisha mwenyekiti hospitali dooh alikufa palepale
nyumbani kwake ,.Watu aliumia sana, wakasema "hama kweli tumeamini ile
familia niya kichawi sana looh, yaani
mama yao alishikwa na bundi juzi tu hapa, sasa huyu mtoto wake anaitwa steven
amemtishia amani mwenyekiti kwamba hatakufa, na kweli amekufa leoleo, ila
lazima na yeye afe." Wanakijiji walikasilika sana kuona mwenyekiti wao
mpendwa amefariki, na wote waliamini kuwa amelogwa na familia yetu kumbe steven
hakumloga bali ni mshtuko ulisababisha. Mdogo wangu alipo sikia mwenyekiti
amekufa alikimbia bila hata kuniaga mimi,
sikujua steven ameenda wapi, nikawaza sana maana nilikuwa nimezoeana sana na
ndugu yangu, hivyo niliona dunia yote chungu kwangu.
Sitosahau hili, yaani
Nilisikitika sana, niliumia zaidi, na nililia kama mtoto mdogo pia, pale
Wanakijiji walipokuja nyumbani wakiwa wamebeba visu, mapanga na fimbo mida ya
usiku wakiwa wanataka kumuua steven. Lakini bahati nzuri siku hiyo steven
alikuwa ameisha toroka nilikuwa peke yangu pale nyumbani. Walipo kuja wakanikamata
mimi wakataka kunipiga, wakisema kwamba,"Steven yuko wapi, mtoto mchawi
alie shindikana hapa kijijini! Ametuulia kiongozi wetu, mzee wawatu" Nikasema
", mimi sijui steven alipo, hata mimi nilipo rudi nyumbani sikumkuta"
Nilipigwa kofi zito sikioni, nikapigwa teke chungu, kisha kaka mmoja akanidunga
na bisibisi begani kwangu, akasema "usipo twambia mchawi mwenzako alipo,
tutakuua wewe" Nilipiga mayowe nikisema sifahamu, sielewi, mimi nilimkataza
asiseme vile kwa mwenyekiti ila hakunisikia kabisa" nilishikwa kama mwizi,
nikafungiwa ndani kwetu, kisha wakachoma nyumba yetu moto kwa nje ili na mimi
niungulie humohumo ndani, nilianza kupiga kelele nikiomba msaada,
"uuuwiii, uuwiii nihurumie , sijamuua mimi nisaidie ndugu zangu napenda
kuishi pia" Nililia sana maana nilijua siku yangu ya kufa tayari imefika. Ila
cha kushangaza akuna hata mmoja alie pata moyo wa huruma kunitoa mule ndani,
maana walijua familia yetu ndiyo iliyo usika katika wauaji ya mwenyekiti, hivyo
hata huruma hawakua nayo kwetu. Bati la nyumba liliwaka moto sana, nyumba nzima
ikaanza kupata joto kali! Mimi nikiwa ndani, nilianza kutokwa jasho uku
nikianza kusikia joto kali sana linaanza kunichoma kwa mbali.Niliogopa nikaanza
kijimwagia maji yaliyo kuwemo kwenye ndoo ili nipunguze joto. Nyumba nzima
ikachemka joto, nikigusa ukuta naungua! Sakafu ikaanza kuchemka pia niliungua
miguu sana maana nilikuwa sijavaa hata viatu.
Ikanibidi
nipande juu ya meza. Ila pale kwenye meza kulikuwa na joto zito. Mwili wangu
ulianza kubadilika nikaanza kusikia maumivu makali. Kibaya zaidi moto ulizidi
kutanda nje ukiendelea kuingia ndani. Uvumilivu ulinishida sana maana sehemu
zangu nyeti zilipata maumivu mazito nisiyo weza hata kuyasema. Kilicho kuja
kunikosesha nguvu ni pale moshi ulipo jaa ndani, nikashindwa kupumua na
nikapoteza fahamu, Hata macho nikashindwa kufumbua kwa sababu ya joto kali
ndani. Wakati nimeanguka sina nguvu yoyote, nilisikia kwa mbali sauti kama ya
kishetani ikisema "mwanangu mwanangu, ni mimi marehemu mama yako,
nakuhurumia mwanangu, lakini hauto kufa nipo kukusaidia wewe, Maana haujafanya
kosa lolote wanakuonea hawa binadamu wasio kuwa na roho ya huruma"
Baada ya hapo,
nilishangaa sana mlango unabomolewa na kaka yake marehemu mama yangu! Kisha
akanitoa nikiwa hoi, akanipeleka hospitali ili nipate matibabu nisiweze kufa.
Niliongezewa maji na kushonwa vidonda, nilikaa hospitali mda mrefu sana na
matibabu yalikuwa ya gharama pia. Nilijiuliza maswali mengi sana kichwani
"hivi kwanini sauti ya mama ilinitokea, alafu mda huohuo, kaka yake mama
anakuja kunisaidia dooh sikuphata jibu kabisa"Na vidonda vyangu vilikuwa
vibichi mno yaani vilikuwa vinatoa maji maji tu yaani mpaka harufu. Daktari wa
ile hospital alimuita mjomba wangu na kumwambia kwamba, "Kijana wako amephata
nafuu! ingawa bado ana vidonda mwilini, lakini dawa tulizo mpa nina imani kuwa hatapona
vizuri na atendelea na shughuli zake zingine.Hivyo tunakuomba umchukue na
umpeleke nyumbani ili akapumzike" kwa upande wangu nilifurahi sana! maana
nilikuwa nimechoka ku dungwa sindano mwilini wangu kila siku. Tulipo fika
nyumbani kwa mjomba tulimkuta mke wake ambae nilikuwa namuita shangazi. Kibaya
zaidi tulipo fika tu mjomba wangu akawa amesafiri kwenda mkoani kufatilia
biashara zake, hivyo akawa ameniacha mimi pamoja na mke wake. Mimi ilionyesha
upendo sana kwa shangazi na mjomba wangu maana ndiyo wazazi niliyo kuwa
nimewabakiza na ndiyo nilio kuwa nawategemea, sababu pacha mwenzangu alitoroka,
mama na baba yangu wote walikuwa wameisha fariki, na kibaya zaidi nyumba yetu
ilikuwa imechomwa moto. Shangazi yangu alikuwa hana mtoto yoyote maana alikuwa
awezi kuzaa yaani hana uzazi! Hivyo walikuwa wanaishi wawili tu ndani.
Wakati nipo
sebreni nimekaa nasikia njaa, nilimuoa shangazi anapika chakula nilifurahi
maana nilijua nitakula na kushiba vizuri! Ila alipo maliza kuivisha,
nilisikitika sana maana alipakua chakula chote
kisha akala peke yake, Uvumilivu ulinishida nikaamua kuongea,
"shangazi yangu nina hisi njaa sana, naomba unipakulie chakula" Shangazi
akajibu kwa kunisonya "michuuu, mjinga nini wewe, yaani mume wangu
ametumia pesa nyingi sana kukutibu, pesa ambayo angeninunulia vyombo vya ndani
kaialibia kwako, alafu unakuja kwangu unhataka kupikiwa na upakuliwe kwani
umenioa, alafu unanikela unavyo ishi humu ndani unanibana kwanza" Nililia
kisha nikajibu, "shangazi yangu sio kwamba siwezi kupika, ninaweza
shangazi, lakini ninaumwa ebu nitazame nilivyo jaa vidonda sasa napikaje?"
Shangazi akasema
"mshenzi kweli, kawafufue wazazi wako waje wakupikie mimi sijawai kuzaa
wala uchungu wa kuzaa siujui, na hapa utatoka tu, yaani unanikela na hiyo
midonda yako, ebu angalia unavyo nichafulia vitambaa vyangu kwenye kochi, na
leo usiku utalala chini maana vidonda vyako hivyo utanichafulia mashuka na damu
damu" Nililia sana siku hiyo, nililia zaidi kisha nikasema, "shangazi
nisamee kama nina kuhudhi kukaa kwako, ila nisaidie, maana sina sehemu yoyote
ya kuishi, wazazi wangu wote wameisha tangulia mbele za haki! Na kaka yangu pia
ameisha kimbia! Nyumba yetu imechomwa moto na wanakijiji hivyo nyie ndiyo
wazazi wangu." Shangazi alipatwa na huruma kidogo kwa yale maneno mazito
niliyo mwambia ndipo akaniambia, "ebu fungua kabati jikoni uchukue mkate
ule" Nilitembea kwa shida, maana hata miguu yangu chini ilikuwa na vidonda
ila nilijikaza kidogo kidogo tu, kabla sijafika kwenye kabati niliangua chini,
lakini shangazi hakuwa na huruma hhata kidogo ya kuninyanyua, nilikuwa naumia
sana nikitembea ndipo nikaamua kutambaa kama mtoto mdogo, ili niupunguze
uchungu, mungu saidia! nikafika kwenye kabati, sasa wakati nimenyanyua mkono
wangu juu ili nichukue mkate nile nikawa nimejitonesha kidonda cha kwapani
maana kilikiwa kimeanza kukauka sasa nilivyo nyanyua mkono nilikuwa kama
nakichana kidonda! nyama zikaachana, Wee! nilisikia maumivu sana ndipo
nikaachia sahani ya mkate, Sahani ilianguka chini na kupasuka hapohapo maana
ilikuwa ya udongo.
Shangazi akasema
"mpuuuuzi kweli wewe, yaani unanipasulia vyombo. Sijui mume wangu kaleta
lidude gani ili" Nilkasema "shangazi nisamee nilijitonesha kidonda
ndo maana nimepasua" shangazi akafhata fimbo nje."Sikuamini macho
yangu, shangazi alinichapa mwili mzima! Akisema "na utarudi kwenu, yaani
mimi unaharibu vyomba vyangu, kanunue sahani yangu mjinga wewe, na mkate wangu
sikupi leo" shangazi alinichapa sana na
nisinge weza hata kukimbia maana vidonda vyangu vya mguuni vilikuwa
vinaniuma sana ,. Nilikuwa navuja damu tu maana alinitonesha mwili mzima hivyo
vidonda vikawa vibichi upya, alafu ubaya wa shangazi alikuwa akikasilika
ananichapa mwili mzima hata kichwani. Nilishinda njaa bila kula, huku nikisikia
maumivu makali. Mjomba wangu alikuwa hayupo na alihisi nina ishi vizuri na mke
wake. Kipindi shangazi ananifyonza ovyo ovyo, akiniangalia kwa jicho baya
sikuwa na jinsi, maana nilikuwa na washwa sana mwilini, sababu ile fimbo yake
ilikuwa na miba miba hivyo ilinichoma sana ile miba kwenye vidonda. Wakati nipo
nalia njaa. Shangazi pia akaenda jikoni, sasa wakati anapanga vyombo vyake
akapasua sahani yake pia kama mimi, Shangazi alipo pasua sahani yake inayo
fanana na yangu niliyo pasua, aliona haibu sana, akasema "wewe Nelson
unanitia mawazo sana mpaka napasua vyombo vyangu mwenyewe, sasa kwa mwendo huu
si tuta maliza vyombo vyote, yaani we humu kwangu lazima utatoka tu" nilishangaa
tukio kama lile kisha nikajiuliza moyoni, kwamba "yaani mimi nilipo pasua
sahani amesema ninunue sahani yake, mungu saidia na yeye kapasua sahani kama
hii hii tena leo leo basi na yeye akanunue" niliendelea kuishi kwa
tabu na shangazi yangu, lakini sikuwa na
jinsi nilivumilia sana mpaka nikapona na nikawa safi, nikaphata nguvu kama
zamani.
Siku moja usiku,
kipindi tumeenda kulala, mimi nilibanwa na haja ndogo.Hivyo nikaamka polepole
kwenda chooni ili niweze kukojoa.Sasa kipindi nafungua mlango nilishangaa sana
kusikia maneno ya ajabu mno shangazi akiya ongea katika simu, kwamba.
"Hallow
baby, nisamee mpenzi wangu, najua sahivi tunashindwa kukutana kufanya mapenzi,
maana huyu Nelson anaweza kunisema kwa mme wangu na kumbuka mme wangu anawivu
sana hivyo kama akigundua anaweza kutudhuru"
Baada ya mda
mchache shangazi akajibu ile simu kwamba "sawa mpenzi nishauri tunamtoaje
hapa huyu kijana ili tiendelee kujivinjari na mapenzi yetu maana mme wangu
ameisha safiri kikazi uje nipate raha" yule hawara yake mama akampa mbinu
nzuri ya kufanya ili mimi nifukuzwe pale nyumbani, kusudi wao waendelee kuzini!
mjomba akisafiri kikazi. Na mara nyingi shangazi alikuwa hapendi nikae kwake
maana alihisi nambana starehe zake za ngono. Nilisikitika sana tena zaidi ya
sana maana shangazi yangu na hawara yale walikaa chini na kuandika barua eti
kwamba mimi namtaka shangazi yangu kimapenzi, maana barua ilikuwa inasema hivi.
"Shangazi, ni mimi Nelson, nhatambua fika kuwa wewe ni mke wa mjomba,
lakini shangazi nisamee kama nitakuwa nimekukwaza, shangazi yangu naomba
tufanye mapenzi, maana tunakaa humu ndani wawili tu, na mjomba awezi kujua,
Alafu ulikikubali nitakupa penzi tamu
sana kuzidi mjomba maana tayari mjomba ameisha zeeka naamini hakupi ladha nzuri
za mapenzi, utaburudika shangazi" Mama na hawara yake waliandika hiyo
barua kisha wakaitunza ili mjomba akija aisome kisha ajue ni mimi ili nifukuzwe.
Shangazi
aliichukua ile barua na kui hifadhi sehemu salama ili mjomba akija ampe aisome,
ili kusudi apatwe na hasila na mimi nifukuzwe pale nyumbani kama mwizi.
Sasa siku moja
saa 11 jioni shangazi alinifhata na kusema "mjomba wako anarudi leo, na
leo leo ndiyo itakuwa mara yako ya mwisho kukaa kwangu, kama ni chakula kula
cha kutosha ushibe kabisaaa maana leo ulali nyumbani kwangu na nimekuchoka sana
wewe unanibana sana, yaani sifurahii maisha tangu nikujue" Shangazi
aliongea vile kuwa nitafukuzwa kwa kujiamini maana alijua ile barua mme wake
akiisoma atoweza kunisamee, hata paniki na kunifukuza nyumbani mda huohuo. Nikamwambia
shangazi kwamba, "Shangazi tafadhari naomba nisamee, najua wewe ndiye mama
mwenye nyumba, unaweza fanya lolote mimi nitoke hapa, Mimi nikifukuzwa hapa
nita ishi kwa tabu sana, naomba nisamee shangazi, maana kama kazi zako zote
nafanya nguo zako zote nakufuria hata nguo zako za ndani pia ukinipa nakufulia,
kila kazi hata kukupikia, sasa nifanye nini ili uone thamani yangu"
Shangazi hakuwa
na huruma kabisa, akasema, "usinililie bhana, we mwanaume kama shoga vile,
tangu lini mwanaume analia ovyo" Baada ya mda kidogo mjomba akawa
amewasili kutoka kazini akiwa amechoka sana "kabla hata hajaingia bafuni
kuoga mke wake akaanza kulia kama mtoto, Mjomba akauliza, ", mke wangu
mbona unalia, au ndiyo kuni missi" Shangazi akajibu uku akiwa analia
"hapana mme wangu ni mtoto wako ananifanyia mambo ya ajabu sana, yaani
ananitongoza akisema nimpe penzi, eti namtamanisha sana tunapo kuwa wawili mimi
na yeye" Mjomba jasho likamjaa, alimiminika jasho sana mjomba wangu ,,
akaniuliza "Nelson mwanangu ujue nakutegemea sana, na vilevile nakuamini
mnoo, hivi leo hii unhataka kula mama yako, yaani wewe shangazi yako humu
heshimu doooh, pepo gani hiii" Kipindi nipo nalia nhataka kuongea ili
nijitetee maana sikuamini yale maneno shangazi aliyo yhatamka nilihisi kama ni
ndoto ama muvii. Shangazi palepale akasema "mme wangu ngoja nikuletee
ujumbe mfupi aliyo niandikia" Alipo ufhata akampa mme wake ujumbe kisha mjomba akausoma. Mjomba akasema,
"mwanangu unanivua nguo, ukisema, mimi simlizishi mke wangu? Toka kwangu
ibilisi mkubwa wewe”
mjomba wangu
alipo nifukuza kwake, nilisikitika sana, nalianza kulia, nikaomba msamaa kwamba
"mjomba wangu, mimi sijamtongoza mke wako, shangazi ananisingizia tu"
Mjomba akajibu "yaani ni bora ungemtongoza ningekuelewa, kuliko kunitukana
kwamba mimi simlizishi shangazi yako, mtoto wangu umenivua nguo kabisa, ondoka
sikutaki hapa nyumbani, kama wewe ni msaidizi wa wake za watu kajaribu nyumba
zingine sio kwangu" Nikajibu kwamba
"mjomba mimi siwezi kusema hivyo nasingiziwa tu, kumbuka umenisaidia sana
mpaka nimepona, sasa mjomba hivi ujasili wa kumtongoza shangazi yangu nimeutoa
wapi ,, siwezi fanya hivi, huu ni ujanja ujanja tu nafanyiwa na shangazi”
shangazi alipo muona mjomba kama anhataka
kunisamee, akaanza kulia kama mtoto huku akisema, "mme wangu tena huyu
mtoto kuna siku alinifhata usiku chumbani akisema, shangazi mjomba yupo mbali
sana naomba nilale na wewe tupeane jot, mimi nilikuwa mpole sikusema ili
nisiwagombanishe nyie ndugu ila kwa sasa tabia zake zimenishinda kabisa , mi
sitaki bhana aondoke tu" Mjomba akasema "hivi wewe mwanangu yaani
msaada wote ninao kupa unhataka kulala na mke wangu, kumbuka mimi mke wangu namuamini na amelelewa
katika malezi bora, awezi kukubali kutoka nje ya ndoa, na mke wangu sio muongo
awezi kukusingizia kabisa nimeishi nae kwenye ndoa ni miaka saba sahivi,
sijaona tatizo lake, inakuwaje wewe ulete mhatatizo kwenye familia yangu" Nilisema,
"mjomba hapana shangazi hanipendi, anaona nambana kukaa hapa maana
anashindwa kufanya maovu yake akiwa free" Mjomba alinipiga kofi shavuni
kisha akasema, "kwangu utaondoka tu, na utatoka kama ulivyo kuja, na
usisahau ulikuja bila kitu hivyo hata nguo nilizo kununulia utaziacha"
Nilifukuzwa
nyumbani nikiwa sina pesa yoyote mfukoni! Nilifukuzwa kama mwizi pale nyumbani,
nilikaa nje ya nyumba pale nawaza nitaenda kula wapi au kulala wapi, nilikaa
pale nje ya nyumba nikizani labda naweza kusameewa, mjomba alipo toka ndani na
kunikuta pale, akasema, " hivi hutaki kuondoka, bora uondoke ukhatafute
maisha yako, maana tayari umenihudhi, nimeisha kuogopa maana unaweza kumbaka
mke wangu wewe" Sikuwa na namna yoyote ya kufanya,ndipo nikaamua kumuacha
mjomba na mke wake tu.
Niliondoka kwa
mjomba wangu nikiwa na mawazo sana, nilifika sehemu moja hivi kulikuwa na
kivuli nika kaa chini, kisha nikajifikilia kwamba "nimetoka kwa mjomba
wangu na sifa mbaya sana, alafu kibaya zaidi kosa lenyewe sijafanya mimi, na
kinacho niuma ni kwamba mjomba ana amini fika kwamba kweli nilimtongoza mke
wake, je jifanye nini ili mjomba a amini kuwa mimi sijafanya hiyo dhambi"Niliwaza
kwamba, nirudi kwa mjomba wangu niombe msamaa nikiwa nalia! labda anaweza
kunisamehe, nikaona ilo wazo bado dogo.
Nikawaza tena
kwamba, "au nirudi kwa mjomba nikubali tu kuwa nimefanya kosa kweli alafu
niombe adhabu nifanye"niliwaza sana sikuphata jibu, maana niliogopa kwamba,
kama kweli sikufanya kosa alafu nimesingiziwa na kufukuzwa, je nikirudi mara ya
pili si nitauliwa kabisa" Ilifika hatua nikaphata njaa sana, na kibaya
sasa sikuwa hata na shillingi mfukoni. Nilikaa chini nikawaza sana nifanye nini ili nipate kuweka kitu chochote
mdomoni.Ndipo nikaphata wazo la kwenda kwa rafiki wakaribu sana na mjomba wake,
Mr Zephania huenda angenisaidia, nilipo fika kwa Zephania, nilikalibishwa
ndani!
Zephania akaniuliza
maswali, "Nelson naona leo umeamua kuja kwangu bila hata taarifa? Na mbona
unapiga miayo hivyo haujala?" Nilijitahid kujikaza nikashindwa, ndipo
chozi likaaanza kunitoka. Zephania akauliza "kwanini unalia hivi, wewe
kijana mkubwa?" Mke wa zephania akasema "mme wangu ukiona mwanaume
analia hivyo, ujue kuna jambo zito sana ambalo lime msibu, ebu muulize vizuri
mtoto" Zephania akasema tena "Nelson tatizo nini, nyamaza basi ili
nijue jinsi ya kukusaidia" Nilijitahid kuongea lakini sauti ilikhataa
kutoka nikashindwa kuongea maana
nilibanwa na uchungu moyoni na simanzi kubwa sana, nikaendelea kulia.
Mke wa zephania
akaniletea maji ya kunywa. Nilipo maliza kunywa maji, ndipo nikasema ukweli kwa
zephania, Nikamwambia hivi. "Mjomba amenifukuza kwake" Zephania na
mkewe waka kaa kimya kidogo, Kisha zephania akaguna "mhhh" Zephania
akasema, "mjomba wako alivyo mtu mpole, msikivu, akufukuze wewe mtoto wa
marehemu dada yake, basi utakuwa umemfanyia kitu kibaya sana nyumbani" Niliamua
kumwambia ukweli Zephania, maana ndiye nilie muamini kuwa anaweza kunitetea kwa
mjomba ili nirudi kwake.
Nikasema"mjomba
wangu amenifukuza kwake, amesema nisikanyage tena nyumbani, na mjomba anasema eti
kwamba mimi nimemtumia mke wake barua ya kwamba, namtaka mkewe kimapenzi na
kwenye ujumbe wa barua nimemtukana mjomba wangu kuwa hana nguvu za kiume za
kutosha"
Nini? Akauliza
zephania.
Nikajibu
"ndiyo hivyo tu nilivyo kwambia"
Zephania
akauliza "hivi kweli unaweza kuphata ujasili wa kufanya hivyo?"
nikasema "hapana siwezi hata kuthubutu kufanya huo ujinga, ila ni shangazi
tu hanipendi, na hanitaki mimi pale nyumbani, najitahidi sana kufanya kazi zake
zote, namfulia, nadeki, napika mimi, vyombo naosha kila kazi nafanya mimi
lakini hanipendi. Mke wa zephania
akasema kwamba, "mme wangu mimi ni mwanamke naelewa tabia zetu, huyu
kijana hana kosa lolote, shangazi yake hatakuwa hapendi kukaa na ndugu wa mme
wake, hivyo nenda kajalibu kumuombea msamaa, na akimkhataa basi mrudishe Nelson
tutakaa nae sisi, hatatusaidia kazi za hapa nyumbani"
Nikasema
"hapana mimi naogopa kurudi nyumbani, maana mjomba anaweza hata kuni ua
labda niandike barua ya kuomba msamaa anipelekee" Zephania akasema,
"wazo zuri sana, ebu andika" Niliandika barua nikajielezea vizuri
maisha niliyo ishi na shangazi, mpaka anafika hatua ya kufukuzwa. Zephania
akachukua ile barua na kwenda nayo nyumbani ili aniombee msamaa kwa mjomba. Kipindi
Zephania anaingia ndania kabla hata ajakaa. Mjomba akasema, "rafiki yangu
hivi nilikwambia yaliyo nikuta hapa nyumbani, dooh yaani uwezi amini, yule
mtoto wa marehemu dada yangu si alimtongosha shangazi yake aisee tena kwa
ushenzi akanitukana hata mimi eti simlizishi mke wangu wa ndoa" Zephania
akamuuliza, una uwakika? Mke wa mjomba akadakia "nikweli shemeji, yule
mtoto mtundu sana alinitaka kimapenzi" Hata barua ninayo ngoja nilete! Alipo
leta barua yake, zephania akaisoma, dooh alisikitika kwa ule ujumbe. Zephania
alipo pewa barua yangu ya kumtongoza shangazi, akafananisha mwandiko na ile
barua niliyo andika mbele ya macho yake ya kuomba msamaa. Zephania alishangaa
kuona miandiko ni tofauti akasema "shemeji humpendi Nelson, na hii barua
sio yeye ameandika" Zephania aliendelea kumwambia shangazi kwamba,
"hii tabia
yako ni mbaya shemeji, yaani kumbe wewe hupendi kukaa na ndugu wa mumeo sio? Na
ni bora sasa useme ukweli kuwa humpendi mtu, kuliko kutunga uongo ili mwenzako
aonekane mbaya na afukuzwe kama mnyama" Hicho kitu kilimkwaza sana
Zephania, hakukaa kimya, akaamua kumwambia na mjomba wangu kwamba,
"Rafiki
yangu tumeishi wote miaka mingi, ila sikujua kama una maamuzi ya kitoto yaani
wewe unamsikiliza sana mke wako, yaani hata vitu vya uongo wewe una amini tu,
sasa mtoto wa dada yako unamfukuza hivyo kumbe sio mkosaji, umefanya kosa kubwa
sana rafiki yangu, najua kuwa unampenda mke wako lakini asikupelekeshe kiasi
hicho mpaka ndugu zako unawaona wabaya , uo ni ujinga"
Mjomba wangu
alishangaa sana, akasema "Zephania rafiki yangu mimi haya mambo naona kama
siyaelewi kabisa, hivi Zephania unajua nime ishi na mke wangu miaka mingi sana
kwenye ndoa, na ajawai kunidanganya hata siku moja, na kizuri zaidi mke wangu
amelelewa katika malezi bora hivyo hana ujinga wowote ule, sasa nisimuamini
vipi" Rafiki, huyo Nelson mimi simtaki kwangu kaishi nae wewe matusi aliyo
nitukana yananitosha, na wewe kama unhataka mke wako atongozwe kaishi na huyo
mtoto utaniambia tu"
Zephania
akasema, "hivi wewe rafiki yangu unaongea mambo gani hayo ya ajabu
sana, mtazame mke wako yaani nafsi yake
inamsuta, alafu wewe unajifanya kumtetea, tazama hapa hii miandiko haifanani
kabisa na wala haiendani hata kidogo, huyu mtoto mnamsingizia, na kama msipo
mrudisha nyumbani hapa napeleka hii kesi kituo cha polisi waisimamie wao, maana
huu ni unyanyasaji, yule ni mtoto wenu na ni mwema inabidi mu mtunze sio
kumnyanyasa, na mimi hizi barua mbili ndizo zitakuwa ushahidi wangu
mahakamani" Kipindi shangazi ameinama chini anaogopa kesi isifike polisi,
Mjomba akashangaa kuona mke wake kama ameishiwa nguvu yaani amenywea mnoo. Mjomba
akamuuliza swali kwamba "mke wangu hivi ni kweli umemsingizia mtoto wangu
ili nimfukuze hapa nyumbani" Shangazi akajibu akilia "nisamee mme
wangu, ni shetani tu kanipitia sita rudia kosa mme wangu, na ni kweli Nelson
hajaandika hiyo barua, nisamee"
Mjomba akasema
"nini"
Zephania
akadakia "unaona" Palepale mjomba akazimia
Mjomba alipo
zimia Zephania aliogopa, maana mjomba kipindi anaanguka alianguka kichwa
kikagonga vibaya pale chini mpaka damu zikaanza kumtoka, ndipo zephania
akampigia simu mke wake, ili mimi na mkewe twende kwa mjomba wangu kumsaidia.
Tulipo fika tukamtoa nje ili apunge upepo, na sisi pia tuliendelea kumpepea ili
apate fahamu haraka lakini tuliogopa maana damu ziliendelea kumtoka. Zephania
akasema "itabidi tumpeleke hospitali, maana hizi damu sio za kawaida kwa
jinsi zinavyo mtoka" Kipindi wanambeba mjomba ili wampeleke hospital, pale
pale akaphata fahamu! Shangazi akaanza kulia akisema, "mme wangu sitarudia
nisamee, ni ujinga tu na uchoyo umenifanya nifanye vile, lakini hamna jingine
mme wangu" Mjomba akajibu, "mke wangu kwenye ile barua ni bora
ungesema maneno yote lakini lile neno la kwamba sikulizishi, linauma sana
aisee, unaonyesha wazi kwamba, mimi sikulizishi, na sio hivyo tu labda ni kweli
una wanaume wako wanao kupa furaha zaidi yangu, maana wewe ni mtu mzima iweje
ufikilie vitu kama hivyo, labda unafanya kweli" Shangazi akasema "mme
wangu nakupenda sana siwezi kusaliti ndoa" Mjomba akajibu, "sasa
kwanini unamsingizia mtoto wa dada yangu kuwa anakutaka kimapenzi, yaani mpaka
namfukuza kama mwizi," mjomba aliongea maneno yale huku machozi yakiwa
yanamtoka. Zephania na mke wake walimshangaa sana shangazi wakamuona ni mtu wa
ajabu sana. Shangazi akasema, "zephania shemeji yangu, naomba uniombee
msamaa kwa mme wangu, kama alimfukuza Nelson anaweza kunifukuza hata mimi"
Zephania akajibu " shemeji usijali nitaongea nae lakini punguza roho
mbaya, roho ya kishetani hiyo kabisa sio nzuri", Zephania akasema "rafiki
yangu msamee tu mke wako, naamini kwa ili lililo mkuta leo awezi kurudia tena
ujinga" Mjomba kwa hasila akamkaba zephania! kisha akamwambia, "hivi
unazani mimi ni mjinga sindio, hivi hata kama ni wewe kwa barua hii na tabia
hii unaweza kumsamee mke wako ki rahisi" Mke wa zephania akasema
"shemeji muachie mume wangu usimkabe" Mjomba alipo muachia zephania,
akamwambia mke wake kwamba "kosa ulilo fanya mimi siwezi kukusamee kilaisi
tu, chukua nguo zako nenda kwa wazazi wako nakuja uko"
Shangazi hakua
na njisi, alifungasha nguo zake na akaenda kwa wazazi wake kukaa huko mpaka
siku mjomba hatakayo enda kuzungumza na wazazi wake. Mjomba alipo nitazama mimi
alilia sana ,, akanikumbatia kisha akasema, "nisamee mwanangu, najua
nimefanya kosa kubwa sana kukufukuza kwangu, kumbe umesingiziwa na mke wangu,
mimi sikujua nisamee ," Tulisameana wote, ndipo zephania na mkewe wakarudi
nyumbani kwao. Mjomba alipatwa na wasiwasi labda anaweza kuangaika kipindi mke
wake hayupo, lakini alishangaa sana! Maana nilikuwa naamka mapema nafanya kazi
zote za ndani, namfulia nguo zake zote, nyumba inakuwa safi mda wote, kisha
namuandalia chai asubui, anakunywa na kwenda kwenye shughuri zake.
Siku moja mjomba
akasema, "mwanangu hivi unajua tangu mke wangu aondoke, mimi naishi kwa
raha zaidi, yaani kumbe nilikuwa nateseka bila kujua, maana kazi zote unafanya yaani nakupenda sana
kijana wangu sijui kwanini nilitaka kukufukuza" Mimi nikasema asante
mjomba wangu. Mjomba akasema "mimi sioni kama kuna umuhimu wa kumfhata mke
wangu, maana sahivi naona tunaishi vizuri tu bora akae kwao tu" Nikamwambia
mjomba, msamee shangazi maana hata yeye ni binadamu lazima akosee, Mjomba
akajibu "hatakutesa huyu" Kumbe shangazi alivyo kuwa kwao, ni kama
alikuwa amepewa uhuru wa kufanya ngono kwa furaha zaidi na yule hawara yake, na
kibaya zaidi shanganzi alipo fika kwao hakusema kama amefukuzwa! Alisema kwamba
ameenda kuwasalimia wazazi wake.
Sasa siku moja
jumapili shangazi aliaga kwamba anaenda kanisani kusali, kumbe alikuwa anaenda
kuonana na hawara yake ili waende GUEST kufurahia maisha yao. Ila kuna baadhi ya wanakijiji walimuona
shangazi akitoka kufanya mambo machafu kwenye nyumba za wageni! Wakaenda kwa
wazazi wa shangazi, kumwambia kuwa, "jirani, mtoto wenu yule, si ameisha
olewa, sasa mbona tabia anazo fanya sio nzuri kabisaa, yaani anatembea na
vijana wahuni wakati ni mke wa mtu aisee" Mama yake shangazi hakuamini
alikhataa akasema, "mwanangu yupo kanisani anasali acheni
kumsingizia" Shangazi alipo rudi nyumbani akamkuta mama yake amenuna sana.
Na siku hiyo hiyo ndiyo mjomba aliamua kwenda kwa wazazi wa mke wake kumshitaki
makosa yake yote aliyo mfanyia nyumbani.
Sasa kipindi
mjomba amefika kwao mke wake, alikaribishwa ndani, wazazi wa shangazi
walifurahi sana kumuona mjomba pale walijisikia vizuri sana! Mama mkewe wa
mjomba, akaenda kumuita shangazi ali aje amuone mme wake sebreni, Shangazi
alitetemeka mno kwa aibu, maana alidanganya kwao kuwa ame ruhusiwa na mme wake
kuja kusalimia wazazi na hakusema ukweli kama waligombana kule nyumbani. kipindi
mjomba anaendelea kusalimiana na wazazi wa shangazi, baba mkwe wa mjomba
akasema, "kijana wangu wewe ni mtu mzuri sana, maana una mruhusu mke wako
aje kututembelea wazazi wake, na unampa mda mwingi, mpaka hata sisi wazazi tuna
furahi, wanaume wengine wakisha hoa bhana, ndiyo basi tena, kumuona binti yako
inakuwa kwa tabu sana, na kama akija anakaa siku moja au mbili kisha
anaondoka" Mjomba akashituka kidogo kisha akauliza "nini" Baba
mkwe akashangaa ule mshituko akauliza nini, nini? Mbona sielewi mwanangu. Mjomba
akasimama, wazazi wote wa shangazi wakaa kimya, shangazi pembeni alikuwa analia
akimu konyeza mjomba asimuumbue makosa yake kwao. Baba mkwe akauliza,
"binti yangu mbona sielewi, yaani wewe unalia, wakati nilizani umefurahi
kumuona mmeo" Mama mkwe akadakia ", kuna nini au kuna mtu amefariki
mnaogopa kutwambia" mjomba alimzalau sana mke wake akamwambia kwa sauti
kubwa tu "yaani mke wangu nime kuruhusu uje nyumbani uwambie wazazi wako
makosa uliyo fanya ili wakulekebishe kusudi usirudie makosa, kumbe ndiyo bado
unawadanganya eti kwamba nimekuruhusu
uje kusalimia tu, kweli hapa sina mke nimepotea njia, hivi mbona hukua hivi
umejifunzia wapi tabia hizi?" Baba mkwe akasema "kwani binti yetu
alifanya kosa? Maana sisi amesema umemruhusu aje kutusalimia, na baada ya mda
utakuja kumfhata" Mjomba akasema "mngemlea vizuri mtoto wenu asinge
weza kukaa chini na kutunga barua ya kutongozwa, alafu ana msingizia mtoto wa
dada yangu kuwa ndiye anamtaka kimapenzi" Wazazi waliona aibu, binti yao
ana wa aibisha, mama mkwe akakumbuka kuwa kuna watu walikuja kumshtaki mtoto
wao kuwa anaingia nyumba za wageni na wahuni. Hivyo akaamini kuwa kweli binti
yake ni mkosaji.Wazazi walimuombea binti yao msamaa, hivyo mjomba akarudi
nyumbani na mke wake, tukaanza maisha upya.
Mimi, mjomba
wangu pamoja na shangazi, tuliishi maisha mazuri ya kupendana na ya
kuheshiamiana sana, nilifurahi sana kuona shangazi akicheka pamoja na mimi
hivyo nikawa na furaha pia. Ila cha kushangaza siku moja saa sita mchana mjomba
akiwa hayupo, na mimi nikiwa chumbani kwangu. Mama Anna rafiki mkubwa sana wa shangazi alikuja
nyumbani.Mimi nilikuwa nimepumzika ila nilisikia kicheko sebreni, yaani yule mama alicheka kwa nguvu akimwambia
shangazi kwamba "hahahaha pole sana shoga yangu kwa yaliyo kukuta bibie,
maana nasikia mmeo alikufukuza ukarudi kwenu" Shangazi akamjibu "dah
asante rafiki, yaani nilifukuzwa kabisa kidogo tu nipoteze ndoa yangu" Mama
Anna akajibu "dah niliyasikia mwenzio kwamba ulikamatwa na barua
shoga"
Shangazi akasema
"ndiyo yule hawara yangu si alinishauri nifanye vile, yaani niliumbuka
sana ," Mama anna akasema "ehh kwahiyo unhataka kusema m'meisha
achana na yule hawara yako, maana mimi hawara yangu bado ninaye,na huu mwaka wa
tano! lakini mme wangu hajajua, na unamfahamu mme wangu alivyo mjanja" Shangazi
akajibu "hapana hawara yangu sijamuacha, lakini naogopa kuonana nae, uwa
nasubilia mme wangu akiondoka kwenda kazini ndiyo nampigia simu ili nimsalimie
tu" Mama Anna akamjibu "dooh pole shosti lakini usiwe mjinga pangilia
mda wako wa kuonana nae, bila mtu yoyote kujua, maisha mafupi sahivi huyo mzee
wako sizani kama anakufikisha popote kwenye yale mambo yetu
bibie"Nilimsikia shangazi akicheka kisha akajibu, "Mama Anna sio
kwamba sipendi lakini, yule kijana ninae ishi nae hapa, mtoto wa marehemu wifi
yangu, ni m'beya sana, anaweza kunisema kwa mme wangu, na sasa hivi nikifanya
kosa, nadhani ndoa yangu itakuwa
imevunjika" Mama Anna akamwambia shangazi kwamba "sogea ni kwambie
kitu"
Ndipo mama Anna
akamwambia hicho kitu sikioni, mimi bahati mbaya sikumsikia kabisa, Kumbe
alimwambia kwamba, kuna dawa akiniwekea mimi kwenye chakula nikila tu hicho
chakula, sitaweza kuongea wala kusikia kwa mda wa mwaka mzima. Shangazi alivyo
ambiwa kile kitu moyo wake ulikhataa akasema hawezi kunifanyia vile. Lakini mama
Anna akamwambia "usiwe mjinga wewe hiyo sio sumu unamfanya aache umbea tu.
Ndipo shangazi yangu akakubali ushauri wa mama anna.
Mama anna alimpa
shangazi ile dawa, ili shangazi aniwekee iyo dawa kwenye chakula nikila tu,
nisiweze kuongea wala kusikia chochote kwa mda wa mwaka mzima, Sitasahau ,, siku moja nimeamka asubui, nikaenda kwenye
chumba cha shangazi kumuomba nguo zake zote ili nimfulie nilipo fika nikagonga
mlango wake, akafungua. Akaniuliza kwa uoga "mwanangu kwema"
nikamjibi "salama shaganzi yangu, nimekuja kukuuliza kama unanguo chafu
nikakufulie" Akajibu "asante sana mwanangu nguo chafu ninazo, ngoja
nikutolee ili ufue" Shangazi alitoa nguo zote chafu siku hiyo, nikaziweka
kwenye beseni kisha nikaenda nje kuzifua. Sasa kabla ya kufua, nilikuwa na
tabia ya kukagua mifuko ya nguo, ili kama kuna hela au hata nyembe au sindano
niweze kuzitoa ili zisinichome au hela zisilowane.Sasa wakati nakagua mifuko ya
nguo za shangazi, nikakuta ile dawa ya kunitegea mimi ili nisiongee wala
kusikia kwa mda wa mwaka mzima, kwenye gauni lake alilo kuwa analipenda sana,
Na ile dawa ilikuwa imefungwa kwenye mfuko mdogo mweusi, Nilishtuka kuitazama
lakini nikafungua hivyo hivyo tu, nilikuta dawa ya unga yenye langi nyeusi.
Moyo wangu
ukasita nikajiuliza swali, "mhh inakuwaje shangazi anatembea na dawa kama
hizi" Nikamfhata chumbani kwake na
kumwambia kwamba, "shangazi nimekuta hii dawa kwenye nguo
zako" shangazi alishtuka sana kisha akasema " ohh asante kwa
kuniletea, hii ni dawa yangu ya chunusi,na ni ya miti shamba naipenda
sana" Yaani kumbe nilifanya kosa kubwa sana kumpelekea ile dawa, maana
nilikuwa kama najiua mwenyewe. Ndipo shangazi akaitengeneza ile dawa kama
alivyo elekezwa, sasa kipindi tuna kula chakula cha usiku mimi, mjomba pamoja
na yeye, Shangazi alikuwa ameisha niwekea dawa kwenye chakula changu, Nilikula
chakula bila wasiwasi nikijua kipo salama, kumbe nilikuwa naangamia.
Sasa kipindi
naendelea kula kumbe dawa inaendelea kufanya kazi mwilini, baada ya mda kidogo
mjomba akasema "Nelson mwanangu kesho jiandae kuna kazi nimekutafutia
twende ukaanze kujifunza" Ila mjomba akaona kimya simjibu, akarudia
kuongea tena, akaona kimya.Akazani kwamba nafanya makusudi, Kumbe mimi dawa
imeisha ni haribu sisikii chochote. Mjomba akasema, unakibuli sikuizi ehh?
Mjomba wangu
alihisi kwamba nina kiburi, eti kwamba nafanya makusudi kuto kumjibu maswali
yake, kumbe mimi nilikuwa sisikii chochote, Ndipo mjomba akamuuliza mke wake,"vipi
tena huyu mtoto yaani tuna mdekeza sana mpaka ameanza kutu dharau kiasi hichi, yaani
ananikalia hata mimi kimya namna hii" Shangazi akamjibu "mme wangu
bora wewe, mimi nikimtuma hhataki, nikimwambia afue nguo hhataki, kupika siku
hizi hhataki, na mimi naogopa kukwambia maana utanifukuza kwako, utasema
sipendi ndugu zako mme wangu, ila nashukuru mungu unajionea mwenyewe dharau
zake ni bora umtafutie sehemu nyingine akae, mimi nibaki peke yangu tu maana
sioni faida yake" Shangazi aliongea vile maana alitamani sana kubaki
nyumbani mwenyewe, ili hawara yake awe anaingia kwa ulaisi mule ndani kipindi
mjomba hayupo. Mjomba hakuamini kama kweli simjibu maana alishangaaa kwanini
nisiongee.Ndipo mjomba akavua mkanda wake wa ngozi kisha akaanza kunichapa bila
huruma, akisema, "yaani unakuwa mjinga hivi, mpaka unakhataa kunijibu mimi
mjomba wako, ngoja nikutandike niku nyooshe tabia yako. "Mjomba alinipiga
sana lakini alishangaa! akasema " mke wangu mbona mtoto namchapa, analia
lakini sauti haimtoki, alafu cha kushangaza machozi yanamtoka sana lakini hatoi sauti, labda anaumwa"
Shangazi akasema
"wewe mme wangu Nelson humjui, akiwa na hasila anakaa kimya kama bubu "Mjomba
akajibu "lakini kweli hichi ni kiburi, maana tangu tunazaliwa kwetu hakuna
mtu yoyote mwenye ugonjwa wa kutokusikia na kukaa kimya hivi naionea kwa
huyu" Mimi kila nilipo jaribu kuongea nilihisi mdomo wangu ni mzito sana,
na nilihisi kama napasuka mdomo pale nitakapo jilazimisha kutoa sauti na niliphata
maumivu nisiyo weza hata kuya elezea ,. Ilipo fika asubui mjomba akawa ameacha
elfu 50 kisha akasema "mke wangu mpeleke huyo mtoto hospitari, maana
amechemka mwili wake sana, labda anaumwa kweli"
Shangazi akajibu
"sawa mme wangu" Ndipo mjomba akaenda kazini. Baada ya mda mchache
mama Anna akawa amekuja nyumbani, akamwambia shangazi, "nilikwambia shosti
hile dawa kiboko, ebu muone Nelson wako alivyo kuwa kama zezeta, Ebu Shoga
mpigie hawara yako simu , aje haraka ili mfanye raha zenu tena mbele ya huyu
mpuuzi wako Nelson, Mama Anna alipo mwambia shangazi kwamba amuite hawara yake
wafanye mapenzi mbele ya macho yangu, shangazi akaogopa akasema,"shosti
naona aibu kufanya ilo tendo mbele ya mtoto". Mama Anna akamjibu
"weeh acha ushamba bwana, unaogopa nini, kwani Nelson ni mtoto, ebu jaribu
kumvulia nguo uone shughuli yake, tena nipe simu yako nimpige hawara yako aje
kama wewe unaogopa"
Kweli mama Anna
akampigia simu yule hawara kisha akamwambia "shemu njoo kwa mpenzi wako,
tupo wenyewe, bwege yake (mume wake) ameisha enda kazini" Baada ya mda
mchache, hawara yake shangazi akawa amefika, Nilisikitika sana pale shangazi
alipo mkumbatia na kuanza kumlegezea macho yule kijana, huku akisema
"niliku miss sana mpenzi wangu" mda huo mama Anna akiwa ana cheka kwa
furaha teletele. Hawara yake shangazi aliogopa sana, kisha akasema, "bebi
hivi humu ogopi Nelson, si hatatusema kwa mme wako au sahivi ameisha acha
umbeya" Shangazi akajibu "hapana baby, yaani hapo alipo asikii wala
aongei! kwahiyo kuwa huru hawezi sema chochote" Ndipo shangazi na yule hawara
yake wakaanza kuonganisha midomo yao huku wakipapasana mili yao! mbele ya macho
yangu, dah sema kweli niliumia sana
mpaka machozi yakani toka. Mama Anna akasema "unalia nini m'beya wewe na
mwaka huu utakoma".
Sasa Kipindi
shangazi na yule mwanaume wake wame angushana kwenye sofa, mimi nilishikwa na
aibu, nikhataka kutoka nje, dooh nilishangaa kuona mama Anna ananivuta mkono
wangu, akafunga mlango akisema, "Nelson tafadhali usiondoke, maana
wameisha nitia hamu na mimi naomba tulifanye tendo pia, wewe sio mtoto Nelson,
tufanye kidogo" Maneno ya mama Anna nilikuwa siya sikii lakini jinsi
alivyo kuwa ananipapasa mikono huku akilembua macho yake, nikajua anhataka
kunibaka, Nilitikisa kichwa nikimaanisha
sitaki kufanya lile tendo, ila alianza kujishusha akionyesha ni jinsi
gani yupo tayari tuvuane nguo za ndani, niliogopa mno nikahisi labda ana maradhi
na anhataka kunipatia na mimi, Nilivyo angalia kwenye sofa nikashangaa kuona
shangazi yangu , amejisahau kama mimi ni mtoto wake, maana alikuwa tayari
ameisha achia maziwa yake wazi wazi. Huku na mama anna akiitaji pia. Shangazi
alipo jisahau na kuanza kuachia maziwa yake wazi wazi, kiukweli ilinisikitisha
sana mpaka nilitamani kutoka nje, lakini ubaya ni kwamba Mama Anna tayari
alikuwa ameisha funga mlango kwa funguo, na kibaya zaidi akaweka funguo kwenye
sidiria yake, hivyo nikaogopa kumshika maziwa yake ili nitoe funguo nikimbie.
Kipindi shangazi
anaendelea kufanya ile dhambi ya kuzini, mimi ikanibidi nifumbe macho maana
niliona aibu kabisa. Nilishukuru mungu maana baada ya dakika kadhaa, yule hawara
aliona anacho fanya mbele yangu sio kizuri, ndipo akamnyanyua shangazi na
kumpeleka chumbani kwa mjomba wangu. Nilijiuliza maswali mengi kichwani kwamba,
"hivi huyu shangazi hata kama anachepuka, ndiyo afanyie upumbavu wake
kwenye chumba cha mme wake" sikuphata jibu. Sasa kipindi nimebaki sebreni
mimi pamoja na mama Anna, nikashangaa kuona bado anhataka mimi na yeye tukutane
kimwili, niliogopa nikamwambia kwa ishara kwamba "Mama anna mimi nina umwa
sina nguvu za kufanya hivyo vitu" lakini alikuwa haelewi ninacho mwambia,
ndipo nikamshikisha mkono wake shingoni mwangu, ili asikie nilivyo chemka joto
mwilini, na ilikuwa ni sababu ya zile dawa zao walizo nitegea nisiongee wala
kusikia. Mama anna alikuwa sio muelewa kabisa, na kilicho kuwa kina muharibu
zaidi yule mama ni pombe alizo kuwa anatumia, Nilishangaa kuona ana nilizamisha
kufanya nae, Mama Anna akani sukuma kwenye sofa kisha akanipandia juu yangu, na
wakati huo mimi sina hamu wala siitaji kufanya ule ujinga, aka anza kushika
sehemu zangu nyeti akihisi hatanisisimua lakini Mungu alinilinda, sikukubali hata
kidogo, akaanza kusema hatanipa pesa nikubali kufanya nae! lakini nikakhataa
huku niki hitaji atoke juu yangu, ila mama wawatu akan'gan'gania hhataki
kutoka.Sasa kipindi yule mama anhataka kunivua shati langu ili nibaki kifua
wazi, mara ghafla geti kubwa la nje lika gongwa, dooh kumbe ni mjomba alikuwa
amefika, ndipo mama Anna akaniachia kwa uoga, na mda huo mke wa mjomba na yule hawara
yake wapo chumbani kwa mjomba wanazini
bila kujua kama mjomba amefika.Ndipo mama anna akanipa ufunguo nikamfungulie
mjomba, yeye akakimbia chumbani kumwambia shangazi avae nguo haraka ili yule hawara
asije kukutwa ugoni. Kipindi mama anna amekimbia chumbani kuwazuia shangazi na hawara
yake wasiendelee kufanya lile tendo, na mimi pia nilikuwa nawai kwenda
kumfungulia mjomba wangu mlango ili aweze kuingia ndani, Mama Anna akamuita na
kumwambia shangazi kwamba,
"shosti,
shosti (rafiki) tafadhali acheni msiendelee kufanya, mme wako amekuja tokeni
chumbani haraka, maana huyo hawara wako leo hata fumwa ugoni" Lakini cha
kushangaza mama anna hakujibiwa! maana shangazi na hawara yake walikuwa
wamenogewa sana chumbani, kwa burudani walizo kuwa wana peana. Mda huo mimi
nimeisha mfumgulia mjomba mlango, na alikuwa ana karibia kuingia ndani, bila
kujua kama mke wake ameingiza mwanaume mwingine chumbani, tena kibaya zaidi
kwenye kitanda chake, wakitumia mashuka yaleyale anayo tumia mjomba! Mama anna
alivyo chungulia dirishani akaona mjomba anakaribia kufika sebreni! dooh aliogopa sana, ndipo akaanza
kugonga mlango kwa nguvu sana ili amnusuru rafiki yake, kusudi mme wake
asigundue kama mke wake ni msaliti. Shangazi na mpenzi wake walishituka baada
ya kusikia mlango unagongwa, ndipo wakaamka haraka haraka, kisha waka vaa nguo
haraka, maana mlango ulikuwa unagongwa sana! hivyo wakahisi kuna kitu cha hhatari
kwa nje. Sasa kipindi mjomba anafungua mlango wa kuingia sebreni, na ndicho
kipindi shangazi na hawara yake walikuwa wameisha vaa na kutoka haraka
chumbani, na kusimama sebreni ili mjomba asigundue.Mjomba alipo ingia sebreni
akashangaa kumuona yule mwanaume, aka wasalimia wote ndani, kisha akamwambia
mke wake kwamba "mke wangu naona leo tumephata wageni, lakini huyu wa
kiume simjui" Shangazi akajibu kwa uoga na uchovu "mme wangu huyu
kaka ni tumbo moja na mama anna" Mjomba akasema, " mke wangu mbona
unaonekana umechoka sana, ebu tazama nywere zako zimevurugika sana, na umetokwa jasho sana, wewe na huyu kaka yake
mama anna, mlikuwa mnafanya kazi gani?" Shangazi akasema "hapana mme
wangu leo kuna joto sana" Mjomba akasema "mbona awa wengine wapo sawa
iweje wewe na huyu kijana ndiyo mnaonekana kuchoka kiasi hicho" Mjomba
akamuuliza hawara yake shangazi, "kaka mbona hujafunga zipu yako"
Kumbe alivyo vaa nguo haraka alisahau zipu, Mjomba akamwambia mke wake kwamba "mke
wangu njoo chumbani tuongee kidogo"
Mjomba alipo
muingiza chumbani mke wake akamuuliza kwamba, "mke wangu tafadhali, naomba
unieleze ukweli, huyo kijana umemtoa wapi?" Shangazi akajibu "Mme
wangu huyo kaka, ni ndugu yake mama Anna, alafu ni mshataharabu sana huyo kaka,
usimuhisi vibaya mme wangu". Mjomba moyo wake ulikhataa kabisa kukubaliana
na mke wake, na aliongea maneno hayo huku akiwa haja tazama kitandani kulivyo
vurugika ovyo. Dooh! Alivyo tazama kitanda akakuta kimevurugika mashuka yako
ovyo ovyo!
Akamuuliza mke
wake kwamba "mke wangu inakuwaje leo mashuka yako ovyo hivyo, wakati kila
siku nikija hapa mda wowote ule, nakuta umetandika kitanda vizuri na mashuka
yamekunjwa vizuri. Au leo umelala sana, ila huwezi kulala mpaka sahivi maana
nimekukuta na wageni mme simama sebreni". Mjomba alikasilika kisha akasema
"basi sawa, kama kutandika kitanda hutaki, ngoja nitandike mwenyewe, maana
sipendi uchafu humu ndani"Wakati mjomba anhatandika kitanda, bahati mbaya
mkono wake wa kulia, ukagusa maji maji ya sehemu nyeti za yule hawara yake
mama, maana zilidondoka kwenye mashuka wakati wanazini. Mjomba alishituka sana
alipo shika uchafu wa hawara yake shangazi, akamuuliza mke wake kwamba
"hizi nini kitandani kwangu, mke wangu" Shangazi alikuwa amegundua
kuwa ni uchafu wa hawara yake, akakaa kimya
kwanza ili kusikilizia, Mjomba akasema "ina maana unaniletea
wanaume chumbani kwangu sio?" Shangazi alivyo mjanja, akapiga chafya
hapohapo, kisha akasema "hapana mme wangu najihisi kama nina mafua, ndiyo
maana napiga chafya sana, sasa kipindi nimelala nazani mafua yali dondoka
kwenye mashuka sababu ya chafya" Mjomba akashusha pumzi yake chini, maana
alikuwa ameisha kasilika sana. Baada ya hapo shangazi akatoa mashuka haraka,
kisha akhatandika kitanda chake vizuri kwa mashuka masafi. Mama anna pamoja na hawara
yake shangazi yangu, waliondoka bila mjomba kujua mchezo wao mchafu walio
ufanya. Sasa kipindi mama Anna anafika kwake akashangaa kukuta mme wake analia
kama mtoto. Akamuuliza "baba Anna tatizo nini mbona unalia? au
tumefiwa" Baba Anna akamjibu kwa uchungu sana, "mke wangu nime
kukosea nini mimi, kwanini umeleta virusi vya ukimwi ndani, mke wangu sisi niwa
athirika sasa hivi!" Mama Anna akasema, "Nini?" Mama Anna
alisikitika sana maana alikuwa anaogopa sana ukimwi, aliinama chini uku machozi
yakiwa yana mtoka ,. Baba Anna akasema "mke wangu tangia nimeku oa sijawai
kutoka nje ya ndoa, na kabla ya ndoa tulipa virusi tuka kuta wote tupo sawa, na
kama unavyo juwa mimi na kuwa bize sana na kazi siku chungi kila mda, ukimwi
umeutoa wapi?" Mama Anna akasema "mme wangu mimi sijui, hata mimi
nashangaa maana sijawai kutoka nje ya ndoa" Baba Anna akajibu "hapana
siwezi kukuelewa na siwezi kukubali kuishi kwa matumaini, ebu nieleze mwanaume
gani ulie tembea nae, hata kipindi mwanangu Anna ana karibia kuzaliwa tulipima
wote virusi, tulikuwa sawa, umeutoa wapi ukimwi mke wangu, naomba unieleze
ukweli ili nikusamee, maana nimepima hospitali kama tatu na zote nimepewa
majibu yale yale kuwa nime athirika!"
Baba Anna
aliendelea kumwambia mke wake "usipo nieleza ukweli, kachukue kila kilicho
chako utoke kwangu"
Mama anna,"usifike
uko mme wangu, nikirudi kwetu baba yangu ni mkali sana ana weza kuniua"
Baba anna,"haya
sawa nieleze ukweli"
Ndipo mama Anna
akaamua kusema ukweli ili anusuru ndoa yake,
Akamwambia kuwa
"mme wangu naomba unisamee ni kweli shetani alinipitia, nikatoka nje ya
ndoa"
Baba anna,"eti
nini, kwanini sasa?"
Mama Anna,"mme
wangu sio mimi ila ni huyo kijana alikuwa ana nitongoza kila mda, akinijaza
uongo uongo mpaka nikashawishika"
Baba Anna,"sio
wewe ni nani?"
Mama anna
akajibu kuwa "nilijikuta nafanya hivyo sababu, mda mwingine nilipo itaji
faraja ya ndoa, wewe ulikuwa umechoka sababu ya kuwa bize na kazi, hivyo
nikajikuta naingia majaribuni"Baba Anna alishika kichwa chake jasho
likamtoka, akalia kama mtoto, Kisha akamuuliza mke wake "huyo mwanaume ni
wawapi?"Mama Anna akajibu kwa uoga sana "ni yule mpangaji wetu, yule
dereva wa magari" Baba anna akasema "mke wangu umaraya ume uanza lini
,, yaani unatembea na vijana wadogo namna hii"
Mama anna
akapiga magoti akisema "sitarudia mme wangu" Baba anna akasema
"mjinga nini, sasa hata usipo rudia ndiyo ukimwi utapona,Ndipo baba Anna
akatoka nje ya nyumba akiwa na hasira,akamuacha mkewe akiwa analia. Na mama
anna akapiga simu kwa shangazi ili amuelezee,Mama alipo mpigia shangazi simu
akamwambia, "shosti yangu nimekutwa na mhatatizo nyumbani kwangu, sijui
nifanyeje"
Shangazi
akamjibu "mhatatizo gani shoga yangu" Ndipo mama Anna akamuelezea
jinsi alivyo ambiwa na mmewe. Dooh shangazi yangu alishtuka pia, kisha akamwambia,
"shosti kesho njoo nyumbani, nazani mme wangu hatakuwa kazini ili twende
hosptali, na mimi nikapime pia maana nimeisha ogopa pia" Mama Anna
akamjibu "sawa nakuja twende wote na mimi nikapime pia niakikishe labda
sina" Kweli walitumia pesa ambayo mjomba alimuachia shangazi ili mimi
nipimwe maana nilikuwa sisiki wala kuongea, sasa wao wakatumia hiyo hela kwenda
kupima ukimwi. Walivyo pima, bahati mbaya Mama Anna alikuwa ame athirika kweli,
lakini shangazi yangu alikuwa salama. Mama anna alisikitika sana akampigia hawara
yake simu hapo hapo akamuomba waachane. Mama Anna akasema "shosti naumia
sana roho maana mtoto wangu bado ni mdogo, na sisi wazazi wake ni waathirika!
je tutamlea mtoto kweli , mpaka akue na amalize masomo yake, au sisi ni watu
wafu tutakufa mda wowote tu" Shangazi alimtia moyo rafiki yake ili
asifikilie sana. Mama Anna akasema "yule kijana Nelson ana nyota nzuri
sana ,, kumbe na yeye angekubali kufanya mapenzi na mimi angephata maambukizi
pia"Walivyo ondoka kutoka hospitali, mama anna alipo rudi kwake akakuta
mme wake amemtolea mabegi yake yote nje akamwambia "naomba utoke kwangu,
sikutaki mwanamke kahaba wewe, ondoka na usirudi hapa" Mama anna aliona
dunia yote chungu kwake, akampigia shangazi simu ili amsaidie ila shangazi
akasema "mme wangu hata nigombeza sana hivyo tafuta sehemu nyingine
shosti" Alipo enda kwa hawara yake alie muambukiza virusi vya ukimwi,
akakuta amejichoma kisu shingoni, eti kwasababu baba anna alimtishia kumuua. mama
anna alitamani kurudi kwao lakini aliogopa
maana wazazi wake walikuwa wakali sana, Ndipo akampigia simu hawara yake
shangazi, alipo pokea simu akamwambia hivi "Shemeji naomba nije kwako
nikae japo week moja maana mme wangu ameuza nyumba alafu amekimbia na
mtoto"Ndipo yule hawara yake shangazi akamkalibisha kwa roho moja akijua
kuwa shemeji yake amepatwa kweli na mhatatizo. Mama anna alipo fika kwa hawara
yake shangazi yangu, aliingiza mizigo yake ndani na kukaa kwenye kiti, Hawara
yake shangazi akamuuliza "shemeji unajua bado sijaamini kwamba mme wako
ameuza nyumba na kukimbia bila kukuaga, tena kibaya zaidi amekimbia na mtoto
wako."Mama anna akamjibu "nikweli shemu ameuza nyumba na kunitelekeza
yaani sina mbele wala nyumba, na nimemuomba msaada mpenzi wako amekhataa
anasema mme wake hatamgombeza, kwahiyo naomba usimwambie kama umeni hifadhi
hapa kwako, hii iwe siri yangu mimi na wewe" Hawara yake mama alishangaa
sana ila hakuwa na jinsi ikabidi avumilie tu. Kumbe mama Anna shida yake kubwa
alitaka kufanya mapenzi na hawara yake shangazi, ili na shangazi aweze kuphata
maambukizi ya virusi vya ukimwi, maana aliumia kuona yeye amephata virusi alafu
shangazi hana, sasa akaona njia bora ya kumpatia mwezake ukimwi ni kufanya mapenzi na hawara
yake, kisha hawara akienda kwa shangazi
wakifanya mapenzi na shangazi, apate ukimwi pia. "Kweli marafiki wengine
ni sumu" Sasa ilipo fika usiku kipindi mama anna yupo mule ndani kwa hawara
yake shangazi, Mama anna aliandaliwa maji ya kuogoa, akaoga na kuwa tayari kwa
ajili ya kulala, mama anna alipo lala kitandani, Hawara yake shangazi akalala
kwenye kiti chake, maana alikuwa na chumba kimoja tu yule kaka.
Mama anna
akamwambia "shemeji , mbona unalala mbali, njoo tulale wote kitandani,
hakuna kitakacho haribika" Shemeji, "hapana usijali wewe lala
kitandani mimi hapa pananitosha tu" Mama anna alivyo ona vile akaamka
kutoka kitandani kisha akhatandika kitenge chake na kulala chini akijifanya na
yeye amezila kitanda, shemeji yake akamuonea huruma akasema, "basi njoo
tulale wote kitandani" Kipindi wamelala mama anna akaanza kumuangalia sana
shemeji yake ili amuingize majaribuni ,, na shemeji roho yake ilikuwa ina msuta
sana maana alihisi labda shangazi amemtuma rafiki yake aangalie msimamo wake
kwake. Mama anna alivyo ona shem wake amekausha kitandani, akamka na kusema
"shemeji zima taa maana nhataka kuvua nguo zote kuna joto" Shemu
akasema "hapana shemu usivue nguo nakuomba jikaze hivyo hivyo shemu" Ila
mama anna alivua nguo zote , kisha akaweka paja lake juu ya mwili wa shemeji yake.
Hawara yake shangazi alivyo wekewa paja juu ya
mwili wake, hisia zilimpanda sana hivyo akaanza kukhataa kishingo upande,
"sitaki nhataka",maana lile paja la shemeji yake lilikuwa limemvutia
sana kaka wawatu ,. Mama anna akasema "naitaji kuphata furaha anayo iphata
rafiki yangu, maana hatuwezi kulala wote alafu nikaichezea bahati, wakati
rafiki yangu kila siku anakusifia kwamba unaweza sana hichi kitu hivyo naomba
unionjeshe pia usiku wa leo" Mama anna alikuwa na roho ya kutu ,, alifanya
vile makusudi ili asife mwenyewe na lile gonjwa Kaka wawatu alivyo sifiwa,
akajikuta anaanza kusema "shemeji nimekubali kufanya ila mwenzako asijue maana
nimetoka nae mbali mimi"
Mama anna
akasema "hapana bebi wangu, hawezi kujua chochote na hawezi kujua kama
nipo hapa, ukiwa nae mpe raha za kutosha afurahi kweli kweli na mimi pia unipe
kiasi changu, wewe bado kijana bebi damu yako changa" Shemeji akamwambia
mama anna kwamba,"ngoja nichukue kinga kwenye droo yangu tufanye
basi" mama anna akaguna kwa hasila, "etii nini, Kwahiyo uniamini sio
unazani mimi ni mwasilika ama?" Shemeji akasema "haya basi nisamee
shemu" Kweli mama anna alipanda juu ya mwili wa shemeji yake, kisha
wakagusanisha vinywa vyao na kuanza kupapasana sehemu husika za mili yao, nguo
zilitupwa pembeni kisha wakaianza shughuri ki sawa sawa! Dah siku hiyo hiyo hawara
yake mama akawa amephata maambukizi ya virusi vya ukimwi pia.Walipo maliza
mambo yao, Mama anna akamwambia shemeji yake kwamba "Bebi asante sana,
umenifurahisha sana kwa ushirikiano wako, maana nimejisikia mulemule, na sijui
kwanini sikuwai mapema"
Shemeji
akasema,"sema kweli hata mimi nimefurahi sana maana unaweza sana kumzidi hata
rafiki yao, yaani yule analala kama mti, hawezi kabisa sababu haonyeshi
ushirikiano, lakini wewe shughuri yako sio ya kitoto upo vizuri shemu" Mama
anna akacheka kisha akamwambia "mfundishe mwenzio, lakini kuwa makini mume
wake akijua umeisha" Siku moja jioni nilihisi naumwa sana kichwa, hivyo nikaenda kumuomba shangazi elfu
moja tu ya dawa, dooh akaninyima, na kusema kwamba "sina hela mimi"
Kipindi natoka nje nafika mlangoni tu akapokea simu ya hawara yake akiombwa
elfu 60, shangazi akamwambia nakutumia mpenzi wangu.
Hali yangu ya
kutokusikia wala kuongea nilikuwa tayari nimeisha izoea, lakini nilikuwa bado
nina uwezo wa kuhisi mtu anacho kiongea na kukisema sanasana ninapo mtazama akiwa anaongea, hivyo kitendo
cha shangazi kumtumia hawara yake elfu 60 na kuninyima mimi elfumoja ya kununua
dawa, kili niumiza sana roho, lakini sikuwa na jinsi hivyo nikaamua kujikaza
hivyo hivyo tu. Kumbe zile pesa ambazo shangazi alikuwa anatuma ndizo hizo hizo
ambazo zilikuwa zinatumika kumpendezesha mama Anna. Siku moja hawara yake
shangazi alimpigia Shangazi akasema, "bebi mbona siku hizi unanipa pesa
kidogo ,, wakati mme wako anakuachia pesa za kutosha za matumizi, nipe pesa pia
mpenzi wangu ili nipendeze nivutie ili hata nikioneka mtaani niwe
mtanashati". kumbe hayo maneno alikuwa anaambiwa na mama anna ili
waendelee kumlia shangazi pesa zake. Shangazi akamjibu hawara yake wamba
"mpenzi wangu , sio kwamba nakubania hela ila sahivi mme wangu anaacha
pesa kidogo ndani, nashindwa nifanye vipi ili nikupe hela za kutosha, na ndiyo
maana namshindisha njaa huyu mtoto wa marehemu wifi yangu ili pesa nikupe
wewe" Yule hawara akamwambia shangazi kwamba aibe pesa ya mume wake kisha
wanisingizie kwamba mimi ndiyo nimeiba hiyo pesa. Kweli walichukua ufunguo wa
chumba cha mjomba, kisha wakaenda kuuchongesha zikawa funguo mbili, sasa
ufunguo mmoja wakauweka chini ya mto wangu ninao lalia, kisha shangazi akabaki
na funguo moja tu. Kweli , kutokana na shangazi kumpenda sana hawara yake,
akachukua laki tatu za mme wake chumbani kisha akampatia hawara ili akanunue
nguo na kwa ajili ya starehe zake zingine. Mjomba alipo rudi akakuta pesa zake
hamna akauliza "nani amechukua pesa
zangu ndani".
Shangazi akasema
hajachukua pesa, wakaja wote chumbani kwangu kuniuliza kama nimechukua, nika khataa
kabisa kuwa sijaona hizo hela, mjomba akasema "Mke wangu sio mwizi na
hajawai kuchukua pesa bila kuniambia, Sasa pesa zimeenda wapi" Ndipo
mjomba akamwambia shangazi ebu mkague Nelson labda ameificha, Dooh shangazi
akaenda kwenye ule mto kisha akatoa ufunguo aliyo iweka, kisha. Akamwambia mme
wake kwamba "mbona huu funguo kama wa chumba chetu, au amechongesha funguo
bandia ili awe anatuibia hela zetu" Mjomba alipo onyeshwa ufunguo na
shangazi kwamba mimi nime uchongesha huo ufunguo ili niwe naiba pesa zao
alikasilika sana ,. Akasema "mtoto wangu yaani ndiyo umefikia hatua hii ya
ujambazi, yaani unatengeneza ufunguo ili uniibie, kumbe ndiyo maana nakutafutia
kazi hutaki, unajifanya eti unaumwa usikii wala kuongea! kumbe nia yako ni wizi
sio uniibie tu, haya sawa umeniibia pesa za ofisini unhataka nifukuzwe kazi,
utakula nini ndani, utavaa vipi, nakuuliza wewe jambazi sugu nijibu?" Yale
maneno ya mjomba sikuyaelewa vizuri
maana aliongea sana na mimi kwa ugonjwa wangu wa kutokusikia, sikuweza
kumuelewa, maana mimi nilikuwa naelewa kwa kumtazama mtu anavyo ongea kwa
utaratibu, kisha namjibu kwa ishara Mjomba akasema "nakuuliza unakaa kimya
sio, unajifanya kiziwi eti bubu kumbe jambazi ulie shindikana" Shangazi
akacheka nakusema kwamba, "mme wangu huyu hatatufilisi kabisa, na hatatuibia
hata vitu vya ndani, na siku izi vyombo vyangu vinapotea sana! kumbe tunaishi
na mwizi ndani, na hata kuwa anaiba kisha anauza vitu, bora aondoke asituletee balaa ndani" Mjomba
akasema "Nelson, tunaongea wewe unakaa kimya sio, kwanza hatuamini kama kweli husikii maana
tumeisha kujua ujanja wako hapa ndani, sasa leo utaongea tu, mke wangu niletee
fimbo nzuri hapo nje" Shangazi alikimbia kufhata fimbo kwa furaha
akitamani nipigwe kama punda, kibaya zaidi akaleta mwiko wa kusongea ugali ili
nipigwe nao.
Mjomba kwa
hasila ya kuibiwa akanipiga na ule mwiko mgongoni! Nilishikwa na hasila maana
shangazi alikuwa na furaha nilijilazimisha kuongea, sauti ikagoma kutoka,
nikajilazimisha zaidi damu zikaanza kunitoka machoni, niliendelea kulazimisha
zaidi kumjibu, damu zikanitoka masikioni pia, nilizidiwa nguvu nikachemka mwili
mzima, kipindi hicho mjomba na shangazi wameshikwa na butwaa, ndipo kwa hasila
nikachukua mwiko nikaun'ghata kwa hasila
mpaka nikapoteza jino langu la mbele. Kutokana na kusingiziwa hasila hazikuisha
maana nilishindwa kujitetea ndipo nikaanza kujigonga kichwa changu ukutani ili
nife niachane na mateso ya dunia, mjomba akaanza kusema "mwanangu
usijigonge hivyo utakufa" Baada ya kujigonga sana kichwa nikaanguka chini
na kuzilai hapo hapo. Wakazani nimekufa! Nilipo zimia, shangazi alifurahi
akajua tayari nimefariki,mjomba akasema ", mtoto wa dada angu
amekufa" Alianza kulia maana alikuwa ananitegemea sana mimi, sababu
hakubahatika kuwa na mtoto ,, Mjomba akasema, "mimi nahisi tumemuonea
hajaiba yeye hela, maana asingeweza kujidunda kichwa chake vile, angalia
ametoka hadi jino lake, na itakuwa kweli hawezi kuongea hivyo ameshindwa
kujitetea kutokana na hasila za kupigwa bila kosa zimemfanya ajidunde, tumpeleke
hospital labda mwanangu hajafa"Shangazi akajibu "mme wangu huyu
kijana ameisha jiua tayari, tukimpeleka hospital tutakuwa tuna poteza pesa bure
ni bora uwapigie ndugu na jamaa simu ili waje kwa ajili ya mazishi. Mjomba
alikuwa tayari ameisha changanyikiwa akasema "sawa mke wangu"Ndipo
akampigia simu zephania ili aje kumsaidia swala zima la mazishi, Zephania alipo
fika akauliza tatizo lilitokea, mjomba akamjibu kuwa wamenikuta na ufunguo
bandia wa chumba chao na nimeiba hela, hivyo walipo nipiga na mwiko
nikajidundisha kichwa ukutani na kujitoa jino.
Zephania akasema
"rafiki yangu we ni mpuuzi sana, kiukweli hauna akili, kwani huyu mtoto
chumba chake uwa anakifunga?" Mjomba akasema hapana kinakaa wazi mda wote.
Zephania akamwambia "sasa kama chumba kinakaa wazi kwani mtu hawezi kuiba
hela na kumtegea huyu kijana ufunguo ili kesi imuangukie yeye, alafu rafiki
yangu huyu ni mtoto wa dada yako lakini humjali kabisa miezi mingi imepita
kijana haongei wala kusikia nyie mnampiga na kumnyanyasa ndani, kwanini humpige
wakati unajua ni bubu kwa sasa hivi na awezi kujitetea"
Mjomba aliogopa
akasema nisamee rafiki yangu ni hasila tu ,. Shangazi akasema "hivi wewe
shemu unaposema kuwa anaweza kutegewa ufunguo bandia, kwahiyo unamaanisha mimi
ndiyo nimefanya hivyo sio, kwahiyo mimi ni jambazi siku hizi, yaani nilete
ujambazi mpaka kwenye pesa za mme wangu" Zephania hakumjibu chochote
akainama pale chini nilipo dondoka akanishika mkono wangu na kushika kifua
changu akasikia mapiga ya moyo bado yanagonga akasema "kweli hii familia
niya kipuuzi aki ya mungu. yaani mnamuita Nelson marehemu wakati hajafa
amezimia tu, hivi mnaakili nyie" Mjomba na shangazi wakashikwa na butwaa,
ndipo wakanipeleka hospitali.Nilifikishwa hospitali nikiwa hoi, niliingizwa
chumba cha matibabu, huku mjomba wangu pamoja na zephania wakiwa nje wana
subilia kuona kama naweza kuphata nafuu. Baada ya mda daktari akatoka chumba
nilicho kuwemo, na kwenda ofisini kwake, kisha akawaita zephania pamoja na
mjomba ili waingie ofisini waweze kuongea. Daktari akasema, "ndugu zangu
hali ya mgonjwa ni mbaya sana ,, hivi nani amembonda kichwa chake vile?"
Mjomba akajibu
"huyo mtoto ni wa dada yangu mimi, sasa jana nimeibiwa pesa ndani kwangu
na nilipo enda kumkagua yeye nikakuta ana ufunguo wa bandia chumbani kwake hivyo
nikamchapa na mwiko! ndipo akaanza kujigonga ukutani kwa nguvu sana sababu ya
hasila" Daktari akamjibu kuwa "huyu kijana tumempima vizuri kabisa,
na tumekuta ana sumu kali mno kichwani mwake, na ile sumu imeua sehemu za kumfanya mtu kuongea
na kusikia, sasa kibaya zaidi sumu imetapakaa kichwani mwake, na amefanya vibaya kubonda kichwa chake kwa
nguvu maana tayari sumu imemzunguka hivyo damu zinaweza kurudi kwenye ubongo.
Sasa sisi hapa niseme ukweli hatutaweza kumtibu na ili apone itabidi apelekwe
INDIA ili akapate matibabu mazuri, na mkichelewa ndani ya siku tano huyo kijana
wenu Nelson hatafariki na mtampoteza kijana bado mdogo sana" Mjomba
alitetemeka mwili mzima akauliza "daktari gharama yake ni kama
shingapi?" Daktari alimjibu,"nendeni mkaandae millioni 11, kisha
mtakuja niwaandike barua ya uamisho ili kijana akatibiwe mapema kabla ya siku
tano, maana damu yake inapanda kidogo kidogo kwenye ubongo, na damu ikigusa
kwenye ubongo Nelson anakufa."Mjomba pamoja na zephania hawakuwa na hiyo
pesa ,, walijitahidi kukopa kwa marafiki lakini hawakufanikisha, zephania akaphata
wazo la kwenda kuomba msaada kupitia Radio na TV lakini waliphata millioni tatu
tu, hivyo isingeweza kusaidia kabisa.
Siku ya kwanza
ikaisha, nikawa nimebakiza siku nne ili nife, siku ya pili ikawa imeisha bila
mafanikio yoyote ya kwenda India, hivyo nikabakiza siku tatu nipoteze maisha,
siku ya tatu ilipo isha nikawa nimebaki na siku mbili tu za kuishi duniani,
siku ya nne ilipo isha ndipo nikajua lazima nife, hivyo shangazi akaanza
kupigia watu simu kuwa, "kesho Nelson anakufa njooni kwangu" Shangazi
alipigia watu wengi simu na kweli walijazana pale nyumbani, kwamba mimi
nitakufa kesho, na ile pesa millioni tatu waliyo kusanya kupitia radio na tv
zilitumika kwa ajili ya chakula na maji kwenye huo msiba wangu.Ilipo fika usiku
wa mwisho kwangu ambao mimi nilitakiwa kufa, nilianza kusikia maumivu makali
katika mwili niliumia sana, nilijigalagaza kwa uchungu ,, nikaanguka kutoka
kitandani mpaka chini, kichwa changu kilikuwa kinagonga sana zaidi ya kawaida,
ndipo mapovu yakaanza kunitoka mdomoni pia, hakuna Nesi wala Daktari alie
nisikia maana wote walikuwa wamepitiwa na usingizi, nilitamani kupiga kelele
ili nipewe japo maji ya kunywa kwa mara ya mwisho ila sauti ilikuwa haitoki,
miguu yangu ilianza kuwa migumu ikakaza pamoja na mikono, kisha jicho likawa
kubwa nikakodoa sana macho, kipindi naanza kujisikia kama nakufa humo chumbani,
mzimu wa marehemu mama yangu ukanitokea hapo hapo, ukaniambia "mwanangu,
mwanangu haufi, hata mungu hajapenda ufe, dawa yako hii hapa tafuna mwanangu
utapona"
Mzimu wa mama
ulinipatia mhatawi ya mpaipai! kwamba nikitafuna tawi napona vizuri kabisa.
Sasa tatizo mikono yangu na miguu ilikuwa imekaza sana siwezi kuikunja wala
kuikunjua, ndipo mzimu wa marehemu mama yangu "ukhatafuna yale mhatawi na
kunilisha mimi kama njiwa ananvyo lisha kinda lake! Yale majani yalikuwa
machungu sana na yalipo ingia mwilini nilijihisi nimephata nguvu sana na
nimekuwa na afya nzuri sana huwezi amini, yaani nilijihisi mpya katika mwili
wangu, baada ya mzimu wa mama kuona nimeamka na kusimama ukapotea hapo hapo. Lakini
tatizo la kusikia na kuongea nikawa bado sijapona.
Nilirudi
kitandani kulala kipindi watu wa mochwali wamekuja kuuchukua mwili wangu
wakakuta nacheka tu. Ndipo nikaamua kurudi nyumbani peke yangu.Nilishangaa sana
kukuta watu wanalia, mjomba analia sana, watu wanakula wali na maji eti kwamba
mimi nimefariki, dahh kweli duniani kuna watu wanafurahia pale unapo patwa na mhatatizo.Nilipo
fika vizuri nyumbani, watu wote wakakimbia, wakiniogopa eti kwamba mimi
nilikufa hivyo nimefufuka tena. Shangazi aliumia kuniona sijafa, akasema toka
kwangu we mzimu umefhata nini hapa, mjomba akasema mtoto hajafa bado usimfukuze
mke wangu, Shangazi aliumia sana kuona sijafa, ndipo kwa aibu akawapigia watu
alio waita waje kwenye msiba, akiwambia kwamba, ", naombeni mnisamee,
tuliambiwa na daktari kuwa lazima afe ndio maana nikawaita mapema msibani,
tunashangaa amepona tena" Mjomba akampigia zephania ili aje kuniona kuwa
mimi sijafa, zephania hakuamini hata kidogo, ndipo akamtaarifu mkewe ili waje
kunitazama kama kweli sijafa, kipindi zephania na mke wake wapo njiani wanakuja
kwetu ili waniangalie, bahati mbaya wakaphata ajali mbaya sana njiani! maana
gari lao liligongwa na gari kubwa, hivyo yeye pamoja na mke wake wakafariki
hapo hapo. sasa msiba baada ya kuwa wangu ukawa wa zephania na mkewe.
Mjomba alipo
pigiwa simu kuwa rafiki yake amefariki hakuamini kabisa, ndipo akajiandaa
haraka haraka kwenda kwa zephania hivyo akaniacha mimi na mke wake pale nyumbani.Shangazi
alijisikia vizuri sana baada ya kusikia zephania amefariki, maana alikuwa
anamchukia sana zephania eti anambana mambo yake sana.Hivyo shangazi hakutaka hata
kwenda kwenye msiba. Alivyo muona mme wake ameenda kwenye msiba ndipo akampigia
hawara yake simu na kumwambia kwamba "bebi wangu nimekumiss sana mimi, leo
nipo mwenyewe mpenzi njoo tuwe pamoja" Yule hawara akamwambia Mama anna,
"rafiki yako ameniita kwake vipi niende" mama anna alitamani sana
shangazi yangu apate virusi vya ukimwi pia, hivyo akamuruhusu hawara aje
nyumbani. Hawara yake shangazi alipo fika sebreni nikashangaa kuona shangazi
ananiambia nitoke nje nioshe sahani zote ambazo watu walilia wali msibani, sasa
kipindi nipo naosha vyombo kumbe shangazi amevua nguo zake zote anafanya
mapenzi sebreni. kipindi naendelea kuosha vyomba mama ake mzazi shangazi
alikuwa amekuja nyumbani, hivyo alipo fika akaenda moja moja mpaka sebreni.Mama
wawatu alishangaa sana kumfumania binti yake anafanya mapenzi na yule kijana ,
akasema, "Haaa! mwanangu yaani nimekufhata ili twende kwa mchungaji JOSHUA
ili akuombee upate mimba japo mtoto mmoja, kumbe wewe unalala na hawa vijana
wahuni wa mtaani, mbona unanivua nguo binti yangu, kumbe ndiyo maana hupati hata
ujauzito kumbe una laana hivi, yaani tena kwa zalau unafanya huu uchafu kwenye
nyumba ya mme wako hivi una akili kweli?" Mama yake shangazi alimshangaa
mtoto wake akaendelea kusema "mwanangu yaani kwa hichi kitendo nilicho
kiona, nakuonea hadi aibu sijui shetani gani kakukuta" Shangazi aliinama
chini kwa aibu isiyo pimika akasema "nisamee mama yangu sitarudia",
mama yake akasema, "kumbe kila siku unatupigia simu kwamba huyu Nelson ni
mbaya, we muongo, huyu kijana hana kosa lolote, kama kweli una heshima uwezi
kumpa vyombo vingi vile aoshe mwenyewe alafu wewe unafanyia upuuzi wako hapa
sebreni, huna hata aibu bora ungeenda hata bafuni ujifiche asijue, yaani
mwanangu ilo pepo baya nakwambia, nikimwambia baba yako,au nikimwambia mme wako
utasema nini, juzi juzi tu umetoka nyumbani amekusamee ugomvi kumbe ni kweli
unamfanyia hivi mbona huu ni zaidi ya uchawi, mi mwenyewe tangia baba yako
amenioa sijawai kufanya hichi kitu"
Shangazi akasema
"mama mimi sipendi kufanya hivi ila kwenye ndoa kuna mhatatizo mengi
mama" Mama yake akamuuliza "mhatatizo yapi sasa" Shangazi
akajibu "mimi kwa mme wangu siliziki kabisa tukicheza mechi, ndiyo maana
nashawishika kufanya hivi mama yangu." Mama yake shangazi akamwambia hawara
yake shangazi kuwa "we kijana ebu vaa nguo, zako" yule kaka akavaa
ila akasahau kufunga zipu. Nama akamuuliza, "kijana kwanini unaniharibia
mtoto wangu lakini" Hawara akasema "nisamee mama sijafanya makusudi
tumepitiwa tu" Yule mama alianza kulia kama mtoto akasema mwanangu
umeonyesha picha mbaya sana siwezi kuamini bado, yaani we mtoto wangu ni maraya
sana" Shangazi akasema "mama usilie sirudii aki ya mungu", Yule
mama akakasilika sana akasema "yaani nyie hata kinga hamtumii sijui
mnajiamini vipi, hivi yule mme wako akiphata maradhi utafaidi nini sasa mwanangu,
yaani yeye anakuheshimu anhatafuta pesa ila wewe unafanya mambo haya."
Dooh sasa
Kipindi wapo sebreni wakiwa katika majonzi mjomba akawa amewasili kutoka
msibani, alipo fika akashangaa kumuona mama mkwe wake akamuuliza, "mama
naona umekuja bila taarifa tatizo nini" Mama ake shangazi akaanza
kulia, mjomba akauliza, "kuna nini
tena", shangazi akasema "mme wangu mama anaumwa kichwa sana"
Ndipo mjomba akamuuliza ma mkwe wake kwamba "mama ni kweli unaumwa kichwa"
Yule mama akasema "ndiyo mwanangu naumwa"
Mama yake
shangazi aliona aibu sana kusema fumanizi alilo mfuma binti yake, maana alijua
mkwe wake hataumia sana na anaweza kumtimua binti yake hivyo akasema anaumwa
ili mjomba asigundue kinacho endelea. Sasa kibaya zaidi kwa jinsi yule kijana
alivyo fanya mapenzi na shangazi, bahati mbaya shangazi yangu pia akaphata
maambukizi ya virusi vya ukimwi ,, bila mjomba kugundua kama mke wake kaisha
athirika tayari. Mjomba alipatwa na wasiwasi akasema "mama ni kweli
unaumwa kichwa mbona siamini, na hivi kwanini kila nikija nikamkuta huyo kijana
hapa lazima nikute hampo sawa, nakuta mna mawazo hamjakaa kwenye viti tatizo
nini" Yule hawara akasema "hapana shemeji, nilikuwa nimemletea
taarifa mke wako kuwa mama Anna anaumwa"
Mjomba
akamuuliza "kwahiyo kama unaleta taarifa ndiyo usifunge zipu" Yule hawara
akashtuka alipo gundua hajafunga zipu ndipo akafunga hapo hapo.Mjomba
akamwambia "kwanzia leo nakuomba usikanyage kwangu nikikukuta utaniona
mbaya" Mama yake shangazi aliomba aondoke maana hakuwa na hamu tena na
binti yake, Na yule mama alikuwa na ugonjwa wa mshtuko, hivyo alikuwa hapendi
kuona mhatatizo kama yale. Mimi nilipo maliza kuosha vyomba vyote nikaenda moja
kwa moja mpaka kwenye msiba wa zephania, dah niliumia sana kumtazama zephania
kwenye jeneza maana nyuso zao na mke wake zilikuwa hazitambuliki kabisa sababu
ya ile ajali ya gari. Shangazi alikhataa kuja kwenye msiba eti anajifanya
analia kwamba mama yake mzazi anaumwa, hivyo mjomba akasema, "pumzika mke
wangu ukiphata nafuu njoo tuwazike, maana wale walikuwa watu wetu wa karibu
sana" Hawara yake shangazi aliondoka kwa uoga sana ,. Kipindi mama yake
shangazi amefika nyumbani kwake, wakati amekaa chini anhataka kumuelezea mme
wake yaliyo mkuta kwa binti yake, mapigo ya moyo ya mama yake shangazi,
yakaanza kwenda kasi na hakuweza kuongea chochote zaidi ya kusema, "binti
yangu umeniua "baba yake shangazi yaani "babu" akamuuliza,
"mke wangu tatizo nini"Kumbe yule bibi alikuwaameumia sana kile
kitendo cha mwanae na kilimfanya mpaka yeye kuphata mshtuko mkubwa sana
mwilini.Huwezi amini Mama yake shangazi alifariki usiku huo huo kwa
mshtuko , huku akisema "binti yangu
umeniua”. Baada ya mama yake shangazi kufariki, mda huohuo baba yake shangazi
akapiga simu kwa mjomba akamwambia kwamba, "mke wangu amefariki ghafla,
baada ya kutoka kwenu, yaani alipo fika kakaa kidogo tu akafa, huku akisema
binti yake ndiyo amemuua m'memfanya nini mke wangu?" Mjomba akashangaa
sana akasema "binti yake hajamfanya kitu chochote mama mkwe, maana
nilimkuta mama mkwe analia sana sebreni na nilipo muuliza akasema anaumwa
kichwa tu, sasa sielewi kama alisema ukweli au alinidanganya tu" Ikabidi
mjomba aache msiba wa rafiki yake zephania, akajiandaa na mke wake ili waende
kwenye msiba wa mama mkwe wake" walipo fika kwa baba mkwe, wakati
wanaingia ndani baba yake shangazi alikasilika sana kumuona binti yake kasema
"sitaki kukuona kwangu ondoka kwangu, yaani wewe umemfanya mama yako kitu
kibaya mpaka amekufa amekutaja kuwa wewe ndiye umemuua. naomba toka kwangu na
usirudi tena hapa, kakae na mme wako huko" Shangazi aliona aibu sana ,
maana hakuna hata mmoja alie kuwa anamtetea, na kibaya zaidi aliandaa msiba wa
wangu kumbe alikuwa anamuandalia mama yake afe, Dooh kweli usimuombee kwenzako
mabaya. Maana shangazi alitamani mimi nife ila
sikufa! na kibaya zaidi shangazi akampoteza mama yake mzazi. Mjomba
wangu alikonda sana , maana aliandamwa na mhatatizo mengi, na aliumia sana
kuona rafiki yake zephania amefariki pamoja na mke wake. Sasa huku upande
mwingine kwa Baba Anna alishindwa kuvumilia kukaa peke yake, maana Anna alikuwa
mtoto wa kike hivyo alishindwa kumlea peke yake, ndipo baba Anna akaanza
kumtafuta mke wake ili arudi nyumbani waishi hivyo hivyo. Kweli baada ya mama
Anna kuitwa alirudi kwa mme wake na wakaanza maisha mapya. Hawara yake mama
aliumia sana kuona mama anna ameondoka kwasababu alikuwa anampenda na amemzoea.
Ila mama Anna akamuahidi kuwa hatarudi tena. Sasa kutokana na mhatatizo yaliyo
kuwa yamemkuta mjomba wangu, ya mimi kuumwa, ile misiba miwili, wa zephania
pamoja na wa mama mkwe wake, hivyo mjomba wangu akawa hajauzulia kazini kwao
kwa mda mrefu sana, na kibaya zaidi mjomba akawa hajarudisha ile laki tatu
iliyo ibiwa ndani, Dooh ndipo mjomba akawa amefukuzwa kazi ofisini! Shangazi aliona
dunia chungu ,! Baada ya mjomba kufukuzwa kazi maisha yalianza kuwa magumu
kwenye familia, maana pesa zilikhata kabisa. Shangazi akaanza kulala milalamika
kila mda, maana tulianza kula mlo mmoja tu jioni, shangazi akasema, "mme
wangu mimi haya maisha siyawezi sijazoea kushinda njaa, yaani tunakula mara
moja kwa siku, maisha gani haya" Mjomba akamjibu, "mke wangu katika
ndoa kuna shida na raha, kama jana tuliphata, leo tunaweza kukosa, sasa wewe
ukishindwa kuvumilia unakuwa unaonyesha picha mbaya, sasa mimi pesa nitoe wapi
wakati umeona mwenyewe barua ya offisini kwamba sina kazi tena yaani wameisha
nitimua" Shangazi alilalamika sana maana aliona mme wake anakaa ndani mda
mwingi anashindwa kufanya uchafu wake, na anakosa pia pesa na kumuhonga hawara
yake. Mjomba aliendelea kumwambia mke wake kwamba "wewe kuwa mvumilivu mke
wangu kuna kazi ya kujenga naitafuta nikifanikisha nitaenda kuchakalika na
tutaphata pesa pesa ya kula, kama unavyo jua mimi sijasoma na ile kazi nili
bahatika kuiphata tu, hivyo sina vyeti siwezi kuphata kazi za ofisini
tena". Shangazi akasema "jitahidi upate kazi maana mimi siwezi haya
maisha ya kushinda njaa kila siku bora nirudi nyumbani kwetu kuna vyakula vya
kumwaga tu"
Mjomba
alikasilika , akampiga kofi mke wake paahhh!! Dah lile kofi lilikuwa zito , mpaka
mwenyewe niliona aibu ikanibidi niangalie chini, mjomba akasema,"yaani
hapa sijaphata mke hii balaa, mimi nilizani utakuwa karibu yangu kunipa moyo na
kunisii kuphata nguvu kumbe wewe mpuuzi kiasi hichi" Shangazi akasema
"mme wangu tangia unioe hujawai kunipiga hivi, kwanini unanionea, au umephata
maraya wako nje unao wapenda, hivi mimi napungukiwa nini mpaka unipige hivyo
ehh, nakuuliza?" Mjomba akasema, "tangia nikuoe sijawai kukupiga kwa
sababu nakupenda, lakini umeanza kunidhalau sahivi, huwezi kuongea maneno ya
kijinga hivyo" Nilipo ona wanapigana nikashikwa na aibu ndipo nikaamua
kutoka nje ili nisiendelee kumtazama shangazi akipigwa, maana nilikuwa
namuogopa shangazi kwamba, mjomba akiondoka tu na mimi naanza kupigwa pia. Kwa
hasira shangazi akachukua mizigo yake akhataka kwenda kwao. Mjomba alimuacha
tu, shangazi alipo fika kwao baba yake alimfukuza akasema "toka hapa
umeniulia mke wangu”
Baba yake shangazi aliumia sana kumuona shangazi amerudi kwake
akaendelea kusema kwamba " kila nitakapo kuona utakuwa unanikumbisha msiba
wa marehemu mama yako, hivyo sipendi hata kukutazama, yaani ni bora hata
nisinge sikia maneno ya mama ako, kwa kinywa chake alisema, umemuua wewe!
nakuomba ondoka kwangu, tokaaa na hata nikifa usinizike, na ukija tena
nakufungulia kesi ya mauaji" Shangazi akasema, "baba, mme wangu
ananitesa sana, hata chakula hanipi! nisamee baba sina sehemu nyingine ya
kukimbilia zaidi ya hapa nyumbani, nionee huruma baba" Baba ake shangazi
alikhataa khata khata kumkalibisha mtoto wake ndani, na akasema asirudi pale
kwake tena.
Kibaya zaidi
hali ya uchumi ya shangazi ilikuwa ngumu sana, hivyo hakuwa na nauri ya kurudi
nyumbani, ndipo akaamua kumpigia simu hawara yake ili amtumie nauri aweze
kwenda kukaa kwa hawara yake, lakini bahati mbaya hawara yake alikuwa mbali na
simu hivyo shangazi alipiga simu sana ila simu haikupokelewa kabisa siku hiyo.
Ilipo fika usiku kipindi bado yupo
mtaani na mizigo yake, shangazi aliogopa kwamba anaweza kubakwa, hivyo akajishusha
na kumuomba kijana mmoja mtaani, akamwambia kwamba, "kaka mimi ni yatima
sina baba wala mama, alafu sina sehemu ya kulala wala kuhifadhi hii mizigo
yangu naomba unisadie kaka yangu" Yule kaka alikubali kumu hifadhi ndipo
akampeleka kwake ili aweze kupumzika siku hiyo. Sasa ilipo fika usiku sana
shangazi akiwa kwenye chumba cha yule kaka, kaka wawatu uvumilivu ulimshinda
hivyo akaitaji kufanya mapenzi na shangazi, shangazi alikhataa akasema
"mimi ni yatima nisadie kaka usinibake," Yule kaka akasema "sio
kwamba nakubaka maana nikilazimisha sitafurahia tendo, nipe japo mara moja tu
mimi siku sumbui tena na mimi ni mwanaume nilie kamilika siwezi kuvumilia
kulala na wewe mpaka asubui, siwezi kuphata usingizi kabisa" Alianza kulia
maana alikuwa hajampenda yule kaka, hakuwa na jinsi akaamua kuvua tu na kufanya
lile tendo, dah kumbe kaka wawatu alilazimisha kufanya na muathirika tendo
hivyo na yeye pia akawa ameuphata, maana aliamishia nguvu zake zote kwenye
tendo. Ilipo fika saa tisa za usiku yule kaka akaamka kimya kimya akaiba mizigo
yote ya shangazi na akamfungia humo humo ndani shangazi kwa kufuri. Shangazi
alipo amka asubui, alishangaa kukuta yule kijana hayumo ndani, alipo tazama
mizigo yake akakuta hamna, dooh alitetemeka kwanza kisha akaenda kufungua
mlango akakutaa mlango umefungiwa kwa nje na kufuri, shangazi alianza kulia
mule ndani,
dada mmoja
jirani akaenda kuuliza, "kunanini mbona vilio ," Shangazi akasema
"nimeibiwa vitu vyangu vyote, na nimefungiwa kwa nje, nifungulieni" Ndipo
yule dada akaita fundi aje kubomoa kufuri kusudi shangazi aweze kutoka na
kuondoka mule ndani.Shangazi alipo toka mule ndani akasema nitamphata wapi huyo
kaka wa hichi chumba, maana ameiba vitu vyangu, yule dada akamjibu,
"shosti hata usijisumbue hauwezi kumphata, huyo kijana kila siku anaiba, na
kila siku mapolice wanakuja hapa kumtafuta, na hawampati, kwahiyo ni bora to
uondoke, maana anaweza hata kukudhuru" shangazi akamwambia yule dada
kwamba, "dada mimi sina hata nauri naomba unisadie 5000 tu niende
kwangu" Yule dada akampatia shilling 2500 tu maana ndiyo aliyo kuwa nayo. Lakini
kibaya zaidi nauli ilikuwa ni 5000, hivyo shangazi akaamua kwenda hivyo hivyo,
wakati konda anakusanya nauli, ilipo fika zamu ya shangazi, ndipo shangazi
akaomba kwamba, "konda nisamee mimi nina nauli nusu" Yule konda
akamwambia kwa sauti ndogo kwamba "mimi nakusaidia lakini tukifika mwisho
wa safari ningeomba twende wote kwangu"
Shangazi
akakubali, ila konda hakumuamini akamwambia nipe simu yako nishike ili niwe na
uwakika kuwa tutaenda kwangu, shangazi akampa bila wasiwasi maana alijua
akibisha anaweza kushushwa katikati ya safari.Walipo fika mwisho wa safari
ilikuwa ni jioni pia hivyo dereva akaenda kupaki gari kabisa, sasa shangazi
alikuwa yupo na yule konda ili waende nyumbani kwa konda. Shangazi alipo kuwa
anaenda na konda, akakumbuka alivyo fanywa usiku na yule kijana, ndipo akaogopa
na akaanza kupiga kelele kwamba, "mwizi ,, mwiziiiii amenibia simu"
yule konda akasema, , situme kubaliana, watu walivyo sikia shangazi anapiga
kelele kuwa mwizi wakaja na kuanza kumpiga yule konda, kaka alijaribu
kijielezea hawakumuelewa, wengine walimpiga na mawe usoni mpaka meno kutoka,
wengine walimchoma na fimbo machoni, yaani yule kaka alifariki kifo kibaya sana
,, Baada ya mauaji ya yule konda, mapolisi walikuja na kuchukua mwili wake
kisha wakaenda nao, ndipo shangazi akaenda sehemu alipo kuwa akikaa hawara
yake, hawara yake alipo muona shangazi akashtuka! Akamuuliza, "mpenzi
wangu mbona umekuja bila taarifa" shangazi akamjibu, "nilikupigia
simu sana hukupokea, mpaka ikazima ndiyo maana unaona nimefika bila
taarifa" hawara yake akamuuliza, "vipi sasa naona leo umekuja bila
wasiwasi mme wako je umemuaga vipi maana mjanja sana yule bwana" shangazi
kwa furaha akajibu "nimeachana nae yule bwege, nimekuja tukae pamoja
tuendelee na mapenzi yetu kwa uhuru zaidi" yule hawara akabadilika sura
akawa kama amenuna, shangazi akamuuliza "mbona kama huja furahia mimi
kuwepo hapa kwako leo, tatizo nini mme wangu?" Hawara akamwambia
"hapana sija nuna ila najiuliza maswali mengi sana na sina jibu, hivi
unapo kuja kukaa hapa unahisi tutakula nini wakati wewe ndiye unae nipa pesa za
mme wako sasa umeachana nae tutakula nini hapa na vipi kuhusu nguo zako mbona
huna?"
Shangazi akasema
"bebi nguo nimeibiwa na wezi pale kwenye kituo cha boda boda hivyo sina
nguo yoyote ile, na mme wangu hana hela sahivi maana amefukuzwa kazi" Yule
hawara aliona maisha yake yhatakuwa magumu sana maana shangazi alikuwa anampa
pesa mara nyingi. Shangazi alikuwa anavaa nguo za hawara yake maana hakuwa na
pesa ya kuanza kununua nguo mpya. Mjomba aliendelea kuwa na maisha magumu na
tulilizika kwa kidogo tulicho kiphata. Baada ya week moja, mjomba akapigiwa simu kwamba marehemu zephania
alikufa na madeni ya watu hivyo nyumba aliyo iacha ikistaili kuuzwa ili watu
walipwe pesa zao, na kibaya zaidi kwenye ile nyumba mama yake mzazi zephania
ndiyo alikuwa anaishi, hivyo mjomba akaambiwa akae na yule mama yake zephania
amtunze maana mjomba ndie alie kuwa rafiki wa zephania sana. Dooh mjomba
aliwaza sana kabla ya kukubali, akajiuliza "sasa hapa nyumbani tunakula mara
moja tu kwa siku, huyu bibi si tutamtesa bure, maana mke wangu kaniacha sababu
ya pesa, sasa nikikaa na bibi sindio naongeza mzigo ndani ya familia
yangu" mjomba alikhataa lakini aliwaza, "huyu bibi nikimkhataa hataenda
wapi ,,maana marehemu zephania alisha niambia jinsi ambavyo ndugu zake
hawampendi mama yake. Mjomba aliamua kukubali kukaa na mama yake zephania,
tuliishi vizuri sana, maana yule bibi alikuwa mvumilivu , yaani kama kipo
tunatumia na kama hamna anavumilia pia, hivyo maisha yakaenda, lakini mama yake
zephania akamuuliza mjomba, "tangia nije hapa sijawai kumuona yule mke
wako, yuko wapi?" Mjomba alimwambia kuwa, "mke wangu alisema haya
maisha ni magumu sana hivyo yeye hawezi kuishi ndipo akachukua mizigo yake na kuondoka"
bibi akamwambia "usijali mwanangu maisha yhatamshinda tu ipo siku hatarudi."
Siku moja tupo sebreni mimi, mjomba pamoja na bibi, mjomba akapigiwa simu kuwa
anhatakiwa kurudi ofisini kwake, eti amesamehewa na ofisi imefatilia ikajua
kweli mhatatizo ya kifamilia na misiba ndiyo ilimfanya awe mzembe kazini,
mjomba hakuamini kama kweli kaitwa alijiandaa hapohapo na kwenda ofisini,
akakuta kweli amerudishwa kazini na aendelee na kazi. Dooh bibi alimwambia
"mungu hataendelea kukusaidia na ipo siku mke wako hatakuja kukupigia
magoti."
mjomba wangu
alifanya kazi kwa bidii sana, ndipo siku moja alikuja nyumbani kwa furaha sana
akasema "ehh mungu wangu tangia nimekubali kukaa na mama zephania, maisha
yangu yanaenda vizuri sana, leo nimeongezwa cheo ofisini na mshahala wangu
umeongezeka pia mungu yu mwema "
Baada ya mjomba
kuphata kazi na kuongezewa mshahara, akaamua kununua gari aina ya
"Brevis". Kumbe upande wa shangazi na hawara yake yake maisha
yalikuwa magumu sana, maana ilikuwa inapita hata siku awaja weka kitu chochote
mdomoni, hawara yake shangazi akaanza kuchoka kukaa na shangazi ndani, ila
akawa anashindwa kumfukuza ,. Siku moja mama Anna akiwa katika pitapita zake
akawa ame muona mjomba anaendesha gari lake zuri jipya kabisa, umbea ukamjaa,
hapo hapo akatoa simu yake kisha akampigia shangazi akasema, "halo shosti
za siku nyingi, maana tangu hatujaonana ni mda mrefu sana, naona umeanza
kunenepa sahivi"
Shangazi
akamuuliza "kwanini" Mama Anna akasema "kwanini, kwani ujui
mumeo mambo yake mazuri sahivi amenunua gari, anatembea akiwa amekaa tu
hongereni shosti"
Shangazi
hakuamini kabisa, maana alikuwa anajua mme wake ni , wa kutupwa kabisa, maana
alisikia tetesi kuwa mumewe ana beba zege na kufanya vibarua vidogo vidogo vya
kumpatia pesa ya kula. Sasa shangazi alipo sikia mume wake ana maisha mazuri,
akamwambia hawara yake kama alivyo ambiwa na mama Anna, dooh hawara akasema,
bebi tafadhali huu ndiyo mda wa kuanza kuphata hela, rudi kwa mme wako ili
upate pesa", shangazi akasema, "kurudi sio shida, ninacho ogopa mimi
je, hatakubali kunisamee, maana nilitoka kwake mwenyewe bila kufukuzwa kisa tu
hakuwa na hela je nikienda leo hatanisamee kweli yule mwanaume", hawara
yale akasema "haaa wee nini, mbona unaniangusha kwani wewe mtoto, we nenda
pale anza kulia, mlembulie macho kidogo muombe msamaa, hata magoti chini piga, hata
kusamee, wewe kuwa kama wanawake wenzako wanavyo lia uongo uongo hatakusamee".
Dah kweli shangazi alirudi nyumbani akatukuta wote mimi, mjomba pamoja na bibi,
shangazi alianza kulia anaomba msamaa ,.mjomba akamwambia, "kama unhataka
nikusamee, niambie kwanini uliondoka kwangu na kwanini umeamua kurudi
kwangu?"Shangazi akasema "nisamee mme wangu ni tamaa za dunia tu,
sina sababu nyingine mme wangu", mjomba akwambia "bado hujanijibu
swali langu, na usipo nijibu nakuomba utoke kwangu" Shangazi akaanza
kujin'ghata ng'hata pale kisha akasema, "kweli mme wangu niliondoka kwako
sababu uliishiwa pesa" Bibi akasema "ehhh kwanini sasa?, bibi alipo
muuliza shangazi hakujibu, maana kwanza alishangaa iweje mama yake zephania
akae pale nyumbani, shangazi hakupenda, maana shangazi alikuwa hapendi kukaa na
watu. Mjomba akamuuliza shangazi kwamba, "sasa kama uliondoka sababu
nimeishiwa pesa, nimefukuzwa kazini, na hauli milo yote, basi wewe ni mnafiki
hauna mapenzi ya kweli, kwenu hukufundwa, sasa mimi kuishi na wewe siwezi maana
nimekuvumilia mengi sana, umesababisha kidogo ni muue mtoto wa dada yangu,
umesababisha wazazi wako wanahisi tumeshirikiana kumuua mama yako mzazi,
nimeisha kukamhata na barua za ajabu ajabu, hivyo nakuogopa bora urudi kwa baba
yako mzazi ndiyo mnawezana" shangazi alitoa machozi sana huku akiwa
anampapasa mme wake mikononi akisema, "mme wangu nisamee, tumetoka mbali
sana sisi, leo nimefanya kosa, nihurumie, akilizi zilikuwa zimelala ndiyo maana
nilifanya makosa kama yale nisamee nakuomba", mjomba alianza kupatwa na
huruma akasema, "vipi baba yako hajambo" shangazi akasema, "baba
alikhataa kukaa na mimi kabisa, alinifukuza kama mbwa akisema mimi ndiye
nimemuua mama kwahiyo sina kimbilio lolote zaidi kuishi na wewe"
Mjomba
akamuuliza "kwahiyo ulikuwa unaishi wapi kipindi chote hicho"
shangazi akasema nilikuwa nakaa kwa mama Anna. Mjomba akasema, "we
mwanamke una roho mbaya sana, nashindwa hata kukusamee, maana ulinikimbia
kabisa ,, wakati siku ya ndoa ulisema tutaishi kwenye shida na raha, kwanini
unamkosea mungu wako lakini, mbona wazazi wako ni watu wazuri kwanini wewe
unakuwa hivyo, sasa ngoja nikwambie, tangia umeendoka humu ndani wizi
sijasikia, ugomvi sijasikia lakini wewe ukirudi tu lawama
zitaanza"Shangazi akasema, hapana mme wangu nakupa ahadi kwamba tutaishi
kwa amani na furaha". Tulimuonea huruma sana shangazi maana alikuja amevaa
nguo alizo ondokea alafu zilikuwa zimepaukaaa! Na zilikuwa na viraka kila kona,
" mjomba akamuuliza tena "nguo zako ziko wapi maana ulibeba mabegi
yako yote". shangazi akajibu "niliibiwa nguo zote na wezi, sina nguo
yoyote zaidi ya izi nilizo vaa, zikichafuka nafua kisha navaa kanga, zikikauka
nazivaa hivyo hivyo, hata nguo za ndani pia zimechanika zote", Dahh mjomba
akamuuliza Bibi kwamba, "mama tumsamee au tumuache" Bibi akaguna
kisha akasema "yaani sisi wanawake tuna mhatatizo, iweje umkimbie mume
wako kisa ameishiwa pesa, alafu umesikia ameongezwa cheo na amephata mshahara,
ndiyo unajirudi unalia", shangazi akasema, "mama niombee msamaa
nampenda mme wangu, nilichaganyikiwa tu maana mama yangu alifariki" bibi
akamjibu "mbona mimi mwanangu alifariki tena pamoja na mkwe wangu, lakini
sijachanganyikiwa acha upumbavu we mwanamke, ukiolewa tulia sio unakaa
kisichana wakati we ni mama tayari,
umeolewa, kaa chini tulia na mumeo na muombeni mungu ili awapatie mtoto sio
kuruka ruka tu kama kuku"
Mjomba akaanza
kulia, kisha akasema "toka kwangu we mjinga sana sikutaki tena wacha nikae
bila mke". Bibi akasema, "hapana mwanangu usiwe hivyo, punguza hasila
najua ni vigumu kumsamee, lakini sisi wanawake tunajifunza kutokana na makosa,
msamee mke wako naamini hawezi kurudia ujinga wake, mtapendana na mtaishi
vizuri kama zamani", mjomba alikuwa ana muheshimu sana mama zephania,
hivyo akaamua kumsamee mke wake bila kinyongo. Shangazi hakuamini kabisaaa!
Alimkumbatia mume wake kwa furaha, kisha akamkumbatia bibi pia, na
akanikumbatia na mimi pia. Lakini tatizo kubwa lilikuwa ni kwamba shangazi
alikuwa ana virusi vya ukimwi hivyo ange muambukiza mjomba, na sisi wote
tulikuwa hatujui afya yake maana, "huwezi kumpima mtu kwa kumtazama" Ndipo
bibi akasema, "najua mmesamehana,
nimefurahi pia lakini dunia ya sasa imejawa na magonjwa mengi, hivyo mkapime afya zenu kwanza, ndipo muanze
kuweka ukaribu wenu wa ndoa" Shangazi alivyo sikia vile, moyo wake
ulimsuta, maana alijua yeye tayari kaisha chepuka, lakini alijiamini kuwa hana
ukimwi sababu alikuwa bado hajapima na hata alipo pima na Mama Anna alijikuta
ni mzima, hivyo shangazi alijiamini kweli kweli. Mjomba akasema "sawa,
lazima tutapima, maana kweli sijui atokapo kama ni salama".
Sasa Siku moja
usiku tukiwa tumelala, shangazi alibanwa na haja ndogo, hivyo akaamka kwenda
kujisaidia, yaani wakati yupo chooni mjomba akashangaa kusikia mke wake analia,
"kumbe yule kijana alie fanya nae mapenzi usiku na akamuibia shangazi,
alikuwa ame muambukiza kisonono pia, maana
alikuwa ana washwa sana sehemu zake nyeti na kutoa uchafu wa njano
njano, Mjomba alipo sikia mke wake analia kwa maumivu makari akamuuliza,
"mke wangu mbona unalia kuna nini chooni" shangazi akasema ukweli
kuwa ana maumivu makari sana sehemu zake nyeti.
mjomba hakuhisi
kitu chochote, ila ilipo fika asubui akamuachia mke wake laki mbili ili aende
hospitali kwa ajili ya matibabu na kupima pia, shangazi alienda kupima ndipo
daktari akampa majibu kuwa ana kisonono! Shangazi akashangaa kisha akamuuliza,
"kisonono kipi tena, mbona mimi sijawai kuugua magonjwa ya zinaa hata siku
moja" daktari akasema "inawezekana ulitembea na mtu mwenye ili
gonjwa, hivyo yale maji maji yake yalipo kuingia na wewe ukaugua, ila shukuru
mungu sana ume uwai ugonjwa! maana ungechelewa ungephata madhala makubwa zaidi
katika mwili wako, na dalili za huu ugonjwa sio izo tu ulizo ziona kwako, bali
kuna kuphata maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa, homa, Kutokwa uchafu
ukeni wenye rangi ya njano au kijani, Kuvimba eneo la uke, Kutokwa damu
katikati ya siku za mwezi, Kutokwa damu baada ya kufanya tendo la ndoa,
Kutapika, maumivu ya tumbo na maumivu ya nyonga, Maumivu wakati wa haja ndogo
na kuphata haja ndogo mara nyingi, Kutoa uchafu kwa nyuma, kuwashwa, maumivu au
kutoa damu wakati wa haja kubwa, Kukauka koo, kuwashwa, kumeza kwa shida au
uvimbe kooni, Maumivu kwenye macho, kutopenda mwanga mkali, kutoa uchafu kwenye
macho unaofanana na usaha na vile vile Kuvimba na joto kwenye maungio ya
mifupa. Daktari aliendelea kusema kwamba, "dawa zake zipo wewe nenda pale
(reception) mapokezi, kalipe pesa kisha waonyeshe hii karhatasi whatakupa dawa
na uzitumie ipasavyo utapona.
Shangazi alipo
toka hospital akampigia simu hawara yake kisha akamwambia, "bebi kama
ulikuwa unajua una kisonono kwanini uniambukize na mimi mpaka nateseka kiasi
hichi" hawara yake akamwambia, "mimi mwenyewe nateseka sana sahivi
maana ulipo toka kwa mme wako ukaishi na mimi hapa ndiyo nimeuphata huo
ugonjwa" shangazi akagundua kuwa alipo lazimishwa kufanya tendo na yule
mwizi ndipo alipo phata ugonjwa pia, shangazi akamjibu hawara yake kwamba
"mimi tayari nimepewa dawa, hivyo nakutumia na wewe hela ukapewe dawa
kusudi tupone wote tusije kuambukizana tena". Ndipo hawara yake akawa
amepona pia.
Tuliendelea
kuishi kwa amani pale nyumbani bila shangazi kuonyesha mhatatizo yoyote kama ya
zamani hivyo hata mimi nikafurahi nikahisi mambo sio mabaya tena, kumbe
shangazi , alikuwa anajifanya tu na alikuwa ana mawazo yake mabaya sana
kichwani, kilicho kuwa kina msababisha afanye ujinga na upumbavu ni yule hawara
yake alie mpenda sana kuliko hata mume wake. Siku moja hawara akampigia
shangazi simu, akimuomba shangazi amsaidie laki moja tu, sasa shangazi hakuwa
nayo, hivyo shangazi akamfhata mme wake na
kumwambia kwamba "mme wangu sema kweli tunaishi vizuri humu ndani,
lakini naumia sana kuona Nelson asikii wala aongei, naomba uniachie pesa kidogo
leo ili nimpeleke hospital kubwa ile ya kule juu mwembeni, akaangaliwe tatizo
lake vizuri labda hataphata nafuu aweze kuongea", mjomba alifurahi sana
kusikia mke wake akiongea maneno mazuri kama yake, akasema, "hama kweli
mke wangu umekuwa mke mzuri sana sahivi, nakupenda sana mke wangu, chukua hii
laki moja na elfu sitini, umepeleke akapime, kisha ujiandae week ijayo tukapime
afya zetu pia ili tuwe na ukaribu wa ndoa", shangazi akamjibu, "sawa
mme wangu kazi njema nakupenda" Baada ya mjomba kuondoka, shangazi
akampigia simu hawara yake kisha akamwambia, "huyu mjinga tayari amenipa
pesa nakutumia sahivi bebi wangu, lakini usi ihonge kwa wasichana wengine hela
yangu, nikijua tutagombana," hawara yake alifurahi sana kupewa ile pesa
akajibu "bebi mi siwezi kuhonga pesa yako nakupenda wewe tu" Mjomba
alipo toka kazini kitu cha kwanza aliuliza, "vipi Nelson umempeleka
hospital," shangazi akajibu ndiyo mme wangu, "wamempima ila hawajafanikiwa
kuphata ugonjwa, na wametumia vipimo vya bei sana mpaka pesa imetuishia"
mjomba alisikitika sana akasema, "sijui anaumwa nini mtoto wangu , ila
nguvu za mungu hatapona tu". Baada ya mwezi mmoja shangazi alikuwa ameisha
kuwa mchangamfu wa pesa za mme wake, maana mme wake alikuwa kaisha muamini na
ana muonyesha kila siri zake, ndipo shangazi akaanza roho mbaya kwangu mimi
pamoja na bibi. Siku moja akiwa anaongea na hawara yake bibi alimsikia shangazi
akisema, "yaani bebi nhatamani uje tufurahie raha zetu kama zamani, lakini
huyu bibi hapa ndiyo anatubana sijui nimkomesheje" Kipindi bibi akiwa bado
anamsikiliza shangazi, aliendelea kumwambia hawara yake kwamba, "bebi
wangu, mimi sijui kwanini nakupenda hivi, najaribu kujizuia lakini nashindwa
kuphata jibu, umenifanya nichizi juu yako, maana masaa yote nakuwaza wewe tu, hata
ninapo kuwa kitandani na mme wangu nakuwaza wewe tu mpenzi". Hawara yake
akamjibu "naamini kuwa unanipenda maana pesa za mme wako unanipatia, kama
ungekuwa hunipendi basi usingenipa pesa yoyote ile" Shangazi akamuuliza,
"sasa huyu bibi tunamtoaje humu ndani mi simpendi kabisa yaani nikimuona
nahisi kama nimekanyaga kinyesi," Hawara akasema, "tutafute kisa
kizuri" Shangazi akamuuliza, "kisa gani sasa tutumie ili
aondoke" Yule hawara akasema, "unajua mme wako sahivi anakuamini sana
hivyo kila utakacho mwambia lazima aamini tu, sasa leo jioni akija mwambie
kuwa, ulimkuta Nelson na bibi wanafanya ngono" Shangazi alifurahi.
Bibi alipo sikia
iyo njama akanifhata nje kisha akanielekeza
kwa mikono kwamba "kuna kitu nimekisikia mjukuu wangu, leo saa nne
usiku njoo tuongee nikwambie maana sahivi shangazi yako hatatusikia"Kumbe
bibi alitaka kunijurisha kuhusu hiyo njama ya shangazi na hawara yake walivyo
panga ili yeye afukuzwe pale". Mjomba alipo toka kazini shangazi
akampokea, kisha ilipo fika saa tatu na nusu usiku wakiwa chumbani shangazi
akwambia "mme wangu, hivi unajua huyu bibi anhatabia mbaya sana" Mjomba
akamuuliza, "tabia gani tena wakatu bibi yuko vizuri tu" Shangazi
akasema wee usimtazame kwa sura huwezi amini nimemkuta Nelson pamoja na huyo
bibi wanafanya mapenzi kwenye stoo ya mkaa kule nyuma, yaani bibi kavua nguo
kabisa kisha khatandika kile kitenge chini anafurahi tu" Mjomba akasema
"weeh yule mtu mzima awezi kufanya hayo mambo" Shangazi akasema
"mi mwenyewe sikuamini, na walipo gundua nimewaona, yaani kaomba msamaa
sana, nisimseme kwako, yaani amekuwa mpole kafanya kazi zote leo, sasa wakati
wanaongea kwenye mida kama ya saa nne hivi, kumbe mjomba alikuwa amesahau simu
yake sebreni, wakati anaifhata na mimi ndiyo nilikuwa naingia chumbani kwa bibi
maana aliniita tuongee kuhusu shangazi alivyo panga ili bibi afukuzwe, mjomba alipo niona naingia chumbani kwa bibi
usiku ule, ndipo akaamini maneno ya mke wake ,, Mjomba alipo niona naingia
kwenye chumba cha bibi usiku ule yeye alirudi nyuma, ili mimi nisigundue kama
amenioa, akamfhata mke wake akasema, "mke wangu hivi unajua nilikuwa
siamini kama hawa watu ni wapenzi, yaani huwezi amini nimemuona Nelson anaingia
chumbani kwa bibi yake usiku huu", Shangazi akasema, "ehee unaona hee
nilikwambia, kumbe wameanza zamani hii tabia sisi hatujui tu, hivi kweli mama
zephania ana akili kweli, yaani anambaka Nelson kijana mdogo hivyo, kama
anawashwa si hatafute mzee mwenzake" Mjomba akasema, "ebu twende
tusikilize kama kweli wanafanya ilo tendo"
Shangazi
akasema, "hamna aja ya kusikiliza waache wameisha pendana mi sina mda wa
kuwafatilia, tayari nimeisha kwambia na wewe umejionea" Mjomba akasema
"sasa sijui nifanye nini mimi , yaani haya ni maajabu, huyu mama zephania
namuheshimu sana yaani naona aibu hata kumwambia hichi kitu, nitaanza vipi sasa
," Shangazi akasema "mfukuze huyo bibi, anatia mikosi nyumba yetu mme
wangu" "Dooh maisha haya, Yaani shangazi alisahau kama bibi ndiye
alie muombea msamaa, leo hii anhatamani bibi afukuzwe ili yeye afanye ngono na hawara
yake kwa uhuru. "Ilipo fika asubui mjomba akumsalimia bibi kabisa akaenda
kazini, maana alikuwa ajaamini ujinga alio ambiwa kabisa, Bibi alishangaa kuona
mjomba ajaenda kumsalimia asubui hivyo akamuuliza shangazi kwamba, "mme
wako hajaenda kazini leo au maana hatujaonana, nimezoea kila siku ananisalimia
asubui kabla ya kwenda kazini," Shangazi akamjibu,"weh! kaa mbali na mme wangu, tumeisha kuogopa wewe
mama, baki na Nelson wako niachie mme wangu, maana na yeye ukimchukua nitalala
nanani sasa, baki na Nelson wako," bibi akamwambia kwamba
"sijakuelewa unamaanisha nini"
Shangazi
akasema, "ehh na mwaka huu utaelewa tu, lazima kwangu utoke, sina mama
mimi alisha kufa, hata baba sina maana alisha nifukuza, kwahiyo kukaa na mama
wawatu siwezi, nimeisha kuchoka we mama, kila saa unakaa na mme wangu unaomba
hela za matumizi yako unanitia hasila, kwani huna ndugu zako"Bibi alianza
kulia akasema, "mwanangu ndugu zangu walinikhataa, naomba nisaidie
nisitoke hapa, maana nyie ndiyo tegemezi nililo bakiza" shangazi akasema
"hapa utatoka tu unanibana sana we mama, yaani nakosa raha" Mjomba alikosa raha
alipo jua kuwa mimi na bibi yangu tunafanya mapenzi, alimzalau sana bibi,
akaniona na mimi sina akili kabisa, wafanyakazi wenzake walimuona hana raha
ofisini wakamuuliza, "boss, mbona leo huna raha tatizo nini" Mjomba akawaeleza kuhusu
mimi na bibi, wale wafanyakazi wakasema "mfukuze huyo bibi, hana akili
kabisa anaweka laana katika nyumba, kwanza sio mama yako mzazi ndiyo maana
anafanya hivyo, mtoe hapo hatajua mwenyewe pa kwenda, na huyo sijui Nelson,
muonye asirudie hicho kitendo maana akizoea anaweza kulala hata na shangazi
yake wakati wewe ukiwa hapa kazini" Mjomba akajibu, "sawa ngoja tu
nimfukuze huyo bibi, hata hivyo msaada nilio mpa unamtosha sana"
Mjomba alipo
rudi nyumbani akakuta bibi yupo sebreni analia, mimi nipo nawaza tu, mjomba
akamuuliza bibi, "mama kwanini unalia umekuwaje" bibi akamjibu
"kwa sasa naona sina jipya tena kwako, mke wako ameisha kudanganya mengi
kuhusu mimi, kumbe huo wote ni uongo mtupu, tuliishi wote vizuri kipindi cha
nyuma bila ugomvi, lakini mkeo amekuja hata sasa hivi hunijulii hali
asubui"Mjomba moyo wake ulimuuma kusikia hayo maneno ila hakujibu
chochote, akaenda chumbani kumuona mke wake, akamuuliza, "mke wangu mbona
siku hizi mapenzi ya wewe na hawa wengine yameisha kabisa tatizo nini" mke
wake akasema mimi siongei na wazazi wasio na akili maana hawawezi kunishauri
lolote, sasa mama anatembea na Nelson, anakazi gani zaidi ya kutupa sisi laana
kwenye nyumba we mme wangu punguza huruma kamfukuze huyo mama" Mjomba
"akasema sawa mke wangu ngoja nikamwambia ajiandae nimpe nauli na hela
kidogo ya kutumia aondoke"
Pale pale
shangazi akafurahi kusikia bibi anafukuzwa akaruka na kumkumbatia mjomba kisha
akasema, mme wangu familia yetu inabidi iwe ya baraka sio upumbavu wa huyo mama
mwishowe tuta laaniwa na sisi akiendelea kukaa hapa. Mjomba akatoka chumbani
kisha akaenda mpaka sebreni ili akamfukuze yule bibi andoke , mjomba alipo fika
sebreni akamwambia bibi kwamba, "mama tumeishi wote kwa mda mrefu hapa
nyumbani na tulipendana sana, lakini mama yangu kwa tabia ambayo umeianzisha
yako wewe na Nelson sijaipenda bora uondoke kwangu tu" Bibi akapiga magoti
akasema, "nisamee baba yangu, nakutegemea sana baba"
Bibi aliumia
sana , alipo ambiwa aondoke, mimi nilikuwa pembeni nikitazama, machozi
yalinitoka pia maana nilikuwa nampenda sana bibi na mara nyingi nilikuwa
nikikaa nae nafarijika sana. Ila bibi aliwaza sana akitoka pale hataenda wapi,
ndipo akamshika mjomba mikono akisema, "baba nisaidie mama yako, tayari
mtoto wangu zephania ambae ni rafiki yako ameisha kufa, nitatunzwa na nani kwa
umri huu, nitaishi wapi na nyumba yetu imeisha chukuliwa," bibi akamshika
mikono mjomba ili amuhurumie, mjomba akakaa kimya, shangazi alipo toka chumbani
doh! akakuta bibi amemshika mikono mjomba akilia ili asemehewe, shangazi alimfhata
bibi kisha akamsukuma pembeni nakusema kwamba,"we usinitafute, yaani nakuomba
usinitafute maneno kabisa, kwanini unampapasa mme wangu, inamaana unamtaka sio,
niachie mme wangu nampenda, mshikeshike Nelson mlie zoea kufanya ngono, mkome
mme wangu" mjomba akamwambia, "kwanini una msukuma mama hivyo, hata
kama amekosa, ndiyo umsukume kiasi hicho". Shangazi akasema kwamba,
"ehh nini, yaani kumbe unafurahi unavyo papaswa sio, na wewe unhataka
kutembea nae au?" bibi akasema, , mimi ni mama na nimezeeka, siwezi
kufanya hii dhambi mnanionea mimi mnanisingizia" bibi aliongea yale maneno
huku akiwa analia, mimi nilishindwa kuvumilia kumuona bibi amesukumwa chini
kama mwizi, ikanibidi nilie tu, maana nilitamani hata kum'meza shangazi. Mjomba
alimuonea sana huruma bibi na yeye pia akaanza kulia tu ndani, sasa mimi,
mjomba na bibi, tukawa wote tunalia, lakini shangazi anacheka huku akitusonya,
mjomba akasema, "mama yangu itabidi tu uondoke maana kila mtu amenishauri
hivyo, isitoshe huyu mtoto ni mdogo unapo fanya nae mapenzi unamuharibu mapema,
wewe tayari ni mzee, unhatakiwa kumshauri yeye asifanye mambo ya ajabu"
shangazi akasema, "ndiyo mme wangu hapo upo sawa kabisa, atoke, aende
kuaribu familia zingine sio hapa."
Bibi hakuwa na
jinsi , alimka pale chini akajifunga kanga yake, akaenda ndani kwake kisha
akafungasha mizigo yake yote na akaileta pale sebreni,
Mjomba akasema
"mama chukua hii laki tatu utafanya nauli na matumizi madogo madogo
tu," Bibi akajibu "asante mwanangu, msaada ulio nipa unatosha, pesa
yako baki nayo tu, acha niondoke" alishangaa
sana kuona bibi amezira zile pesa alizo mpatia, shangazi akasema "hivi mme
wangu kwanini una haribu pesa hivyo, yaani unhataka kumpa laki tatu, mpe elfu
thelathini tu aondoke inamtosha" bibi hakuitaji chochote akabeba mabegi
yake mawili, kisha akafungua mlango na kuondoka. Mjomba aliishiwa nguvu kabisa
ila akajikaza, mimi nilishikwa na huruma sana, hivyo nikafungua mlango kwa
hasira, kisha nikamfhata bibi tuondoke wote, maana nilijua nikibaki na shangazi
nitateseka zaidi na zaidi. Shangazi akasema, "unaona sasa yaani mtoto wetu
ameisha haribika na yeye, tazama anamfhata uyo bibi wakati ni mzee, ameisha
mzoesha ngono, mtoto naye amempenda, yaani huyu mama ametuharibia mtoto kabisa
kabisa"
Mjomba akasema
"we Nelson rudi hapa" lakini mimi nilikuwa simsikii, dah mjomba
alichoka ,, maana alibaki na mke wake yaani wawili tu ndani. Mjomba alijaribu
kula chakula kika mshida, akajaribu kulala usingizi hakuphata kabisa. Mimi na
bibi tuliondoka bila kujua wapi tunaelekea maana hatukuwa na pesa yoyote
mfukoni, njaa ilitupiga sana tukiwa njiani, tulichoka sana, ikafika hatua
tukaamua kuacha mizigo njiani na kutembea hivyo hivyo maana ilikuwa mizito
sana. Kipindi tupo njiani mvua ikaanza kunyesha sana, hivyo bibi akaanza
kusikia baridi na alitetemeka sana ,, kwa sababu ya uzee, ikanibidi mimi nirudi
mpaka tulipo tupa ila mizigo, ili nifungue begi japo nitoe masweta na mashuka
ya kujifunika popote pale tutakapo lala. Kumbe mjomba pia usingizi alikosa
kabisa, mke wake alijaribu kumpapasa sana na kumpa maneno mhatamu isiturudishe
pale nyumbani kusudi abaki mwenyewe kwenye nyumba yake.Mjomba alianza kulia
akisema, "sijui hawa watu wapo katika usalama gani usiku huu ," Shangazi
akasema "waache waondoke mme wangu wamependana, unajua nivigumu kuvunja
uhusiano wa watu wanao pendana kutoka moyoni, au unhataka waendelee kufanya
ngono nyumbani kwangu, mimi sitaki hiyo tabia ndani kwangu kweli
nakwambia" Mjomba akaamua kulala, wakati amelala mjomba aliota kama sauti
ya Zephania inamuijia ndotoni ikisema "rafiki yangu nilikuzuia kuwa na
maamuzi ya haraka, mke wako alimsingizia sana Nelson mambo mengi ya uongo,
usimuamini mke wako ni muongo, ana roho mbaya" Kipindi mjomba anaendelea
kuota mwili wake ulikuwa unatoka sana jasho mpaka mashuka yaka lowana. Palepale
akashituka ghafla kisha akakaa kitandani, shangazi akamuuliza, "mme wangu
tatizo nini, mbona jasho hivi, ni ndoto gani hizo zinakushtua namna hii",
mjomba akasema, "hapana siwezi kumuacha Nelson na mama wapotee hivi hivi
nitachekwa mimi" shangazi akasema, "hapo tu ndiyo unapo nikera, usiku
wote huu, saa tisa ndiyo unawakumbuka, ebu lala mme wangu fikiria mambo ya
ofisi sio hao" mjomba akasema, "kipindi umeniacha mwenyewe, nilikaa
kwa furaha sana na Nelson pamoja na mama, sasa wameondoka nimebaki na wewe, ila
hata usingizi sipati wala chakula hakipiti, niache niwafate nitawhatafuta
popote walipo", shangazi akanuna mpaka sura ikajikunja. Mjomba aliamka
kisha akatoka nje akawasha gari ili aje kututafuta popote tulipo.Mvua ilikuwa
kubwa sana siku hiyo na kulikuwa na baridi kari pia, hivyo bibi alikuwa amenyeshewa
sana mvua mpaka akaanguka chini na kuishiwa nguvu kabisa, wakati narudi
kumfunika mashuka nikakuta amezidiwa awezi hata kuongea maana alikuwa amezeeka
mama wawatu hata nguvu hana kabisa, nikamkuta chini ya mti kisha nikamvalisha
nguo mbichi na kumfunika shuka lililo lowa maana mvua ilikuwa imeninyeshea sana
mpaka nilipo kuwa nikipumua hewa natoa moshi mdomoni mwangu" Sasa wakati
mjomba anatutafuta, alitukosa ,, hivyo akhataka kurudi nyumbani ila moyo wake
ulikuwa unamwambia asikate tamaa atutafute mpaka atupate. Bibi alizidiwa kabisa
nikaamua kumbeba ili asife maana alikuwa analia na kutetemeka zaidi yangu na
akawa wa baridi mno, njaa ilikuwa imetupiga na tulitembea mwendo mrefu usiku
ule. Hali ya bibi iliendelea kuwa mbaya sana ule usiku, alitetemeka sana mpaka
akaanza kufumbua macho yake kwa nguvu sana, doh nikaogopa, bibi alianza kun'ghata
meno yake kwa nguvu sana huku akilia kwa nguvu kama mtoto , na mvua nayo hai
ishi inaendelea tu kunyesha. Nilishangaa kuona bibi ananivuta shingo kwanguvu,
akajikaza sana kwangu ili apate nafuu maana alikuwa anaangaika sana, lakini
mvua nayo ilinyesha tukiwa chini ya mti wa mpera.Wakati huo mjomba nayeye
anatutafuta kwa hali na uvumbi, huku
shangazi anampigia hawara yake simu wanacheka kwa sana tu. 53 Wakati mjomba anaendelea kututafuta,
mimi na bibi tulikuwa tunaangaika sana, mpaka nikhatamani kumbeba bibi mgongoni
ili turudi kwa mjomba maana nilihisi tunateseka sana pale. Sasa kipindi nimekaa
kwa mbali nikaona gari limewaka taa, nikafurahi nikiwaza kwamba wakifika karibu
yetu whatasimamisha gari na kutusaidia ili tusinyeshewe na mvua zaidi ili na
bibi aweze kupona, maana ile mvua ilinyesha sana siku iyo, bila hata kupungua.
Sasa kipindi
gari inakuja nikashangaa kuona tena gari limesimama. Mhh nikajiuliza, "ilo
gari limesimama pale usiku wote huu", ila nikajipa moyo kwamba litafika
tu, kipindi hicho hali ya bibi ni mbaya sana nashindwa hata kuielezea, dooh
kumbe lile gari lililo simama lilikuwa la mjomba na alikuwa ametekwa na
majambazi wanhataka kumnyan'ganya na kumpora kila kitu alicho kuwa nacho,
mjomba alivyo tekwa alitoka nje ya gari hakujua kama ni majambazi yeye alitaka
kuwauliza wale watu kama wameniona mimi na bibi tunapita pale njiani ili
atuchukue turudi nyumbani. Walimkamhata Mjomba wangu, wakamvua nguo zake zote,
kisha waka mfunga na kamba miguuni pamoja na mikononi na wakaanza kumpiga ,,
mpaka damu zikaanza kumtoka, lakini cha kushanganza kule nyumbani shangazi
hakujua kinacho endelea, maana alikuwa amephata uhuru wa kuongea na yule hawara
yake ampendae kwa dhati, mjomba kipindi anapigwa alilia sana japo wasamalia
wema waje kumsaidia, ila kulikuwa na mvua sana siku hiyo hivyo hata sauti yake
ilikuwa haisikiki, wale majambazi lengo lao walitaka kuakikisha mjomba anakhata
roho yaani anakufa kabisa ili waibe gari bila ushahidi wowote ule waondoke.
Mimi na bibi
tulisubiri sana lile gari lakini halikuja maana mda huo mjomba alikuwa anapigwa
mno, Bibi alianza kama kuishiwa nguvu zaidi maana hata mdomo hakuweza kuachama
tena, nikaona nikimchelewesha hatanifia mikononi, hivyo nikaamua kumbeba
mgongoni ili nimpeleke mpaka kwenye ule mwanga wa gari, bila kujua kuwa nafhata
majambazi ili watuue vizuri familia nzima. Niliangaika sana kumbeba bibi
mgongoni maana, mimi mwenyewe nilikuwa nimechoka sana, maana ile mvua ilifanya viungo vyangu vya mwili kuwa
vinyonge sana, vilevile bibi pia alikuwa awezi kusimama pia, ila nikajikaza na
mpaka nikambeba mgongoni, Nilifanikiwa kumbeba bibi mgongoni kwa shida sana,
ila nikajikaza kisha nikatembea kwa mwendo wa taratibu ili niwafikie wenye lile
gari tuweze kusaidiwa, kumbe mda huo mjomba nae, alikuwa anapigwa sana, mpaka
akazidiwa na kuanguka chini maana walimpiga sana kwenye magoti na mipini ya majembe, nilimuomba sana mungu
niweze kuwafikia wale watu sababu bibi alikuwa mzito sana mgongoni na ile taa
ya gari nilikuwa naionea kwa mbaliii!, hivyo nikaona kama si ifikii, lakini
nilipiga moyo konde nikajikaza ilimladi tu niwafikie wale watu kwenye gari.
Mjomba alipigwa
sana, mpaka akasema, ", nisameeni, naitaji bado kuishi, chukueni gari
mniache huru," Kumbe wale watu shida yao walitaka kuondoa uhai wa mjomba
kabisa, hivyo mmoja akachomoa bisibisi na kumchoma mjomba tumboni, hivyo mjomba
wangu alizidiwa kabisa na kulala chini kama mtu mfu, kipindi wale watu wanasema,
"mkagueni kama amekufa kweli au bado" mimi nae nilikuwa nawakaribia
karibu hivyo nilikuwa na furahi kwamba wanaweza kunusuru uhai wa bibi yangu
usiku ule, mjomba alipo kaguliwa kama amekufa wakasema, "bado hajafa huyu,
anaweza kutusumbua badae, bora tumuue tu", jamaa mmoja akachukua panga
lenye makali sana ili amkate mjomba shingo, maana walishangaa kuona kipigo
chote kile lakini mtu hafi, hivyo wakaona kumchinja ndiyo suruhisho, mjomba
alikuwa hawezi kujisaidia mwenyewe, maana walikuwa wamemfunga kamba na
wamemkaza sana.
Na mimi mda huo,
napambana niweze kuwafikia karibu.Sema kweli, nili wakaribia, lakini nilikua
sioni kama kuna mtu anapigwa, kwasababu ilikuwa ni usiku na mjomba alikuwa
anapigiwa pembeni ya gari, hivyo zile taa zilikuwa azimliki lile tukio. Wakati
nimekaribia kufika kwenye gari, na bibi akiwa mgongoni, nilikanyaga sehemu
mbaya ,, kulikiwa na utelezi mkali sana, kutokana na ile mvua, nili angukia mgongo huku bibi akiwa mgongoni,
hivyo nikambonda kichwa vibaya pale chini, kumbe kulikuwa na jiwe, hivyo bibi
wawatu akawa amegonga kichwa chake kwenye jiwe vibaya sana, mpaka akapasuka
kidonda kikubwa, sasa wakati namnyayua kumbe bibi alikuwa amefariki tayari ,,
doohh nililia sana, nililia mno. Wale majambazi walipo niona nalia, wakahisi wamejulikana,
hivyo wakakimbia wote!.
Kipindi
nimegundua kwamba bibi ameisha kufa, nikashangaa tena kuona watu nilio kuwa
nawategemea wanakimbia, dooh niliumia zaidi kwa sababu niliwaza kwamba wale
watu wangenipa msaada mda ule. Ndipo nikaamua kumpeleka bibi mpaka pale kwenye
mwanga ili nitoke pale kwenye utelezi. Bibi alikuwa amekufa vibaya sana, maana
alikuwa ameachama mdomo wake wazi, nilipo fika kwenye gari, wakati naangalia
chini pale pembeni nikashangaa kumuona mjomba amefungwa kwamba na anatoka sana
damu, nikajiuliza maswali sana, "mbona ili gari kama la kwetu na imekuwaje
mpaka mjomba awe vile, ndipo nikagundua kuwa alipigwa sana na wale
watu."Nilimuweka bibi pembeni na kumfungua mjomba zile kamba, nilipo
jaribu kumsimamisha mjomba nikashangaa kuona anaanguka chini kama mti, maana
alikuwa amepigwa sana kwenye magoti hivyo asinge weza kusimama kabisa. Nilimchukua
bibi kisha nikamuingiza kwenye gari, na mjomba vilevile. Sasa nikashindwa jinsi
ya kuwasha lile gari na kuliondoa maana nilikuwa sijui kuendesha gari, ndipo
nikaamua kufunga milango na madirisha, kisha tukalala humo humo, ingawa
nilikuwa namuogopa bibi kwasababu alikuwa ni marehemu tayari. Kibaya zaidi wale
majambazi walikuwa hawajaenda mbali walijificha sehemu wananiangalia tu, mmoja
wao akawambia, " wahuni ehh twendeni tena tuchukue gari, unaona kuna mtoto
humo twende tuwamalize wote", mmoja wao akakhataa akasema, "hapana
tusiende uwezi jua labda wametuona hivyo wametuwekea mitego ya kutukamhata".
Sasa kipindi naangalia angalia mule ndani, nikaona simu ya mjomba, ndipo nikhatafuta
namba ya shangazi ili nimpigie aje kutusaidia, nilipo piga simu alipokea ila
tukawa hatuelewani kabisa maana shangazi alikuwa anaongea, lakini nilikuwa
nashindwa kumsikia na kuongea pia hivyo yeye akashidwa kabisa kuelewa inakuwaje
mme wake anapiga simu alafu aongei. Niliamua kulala mule mule mpaka asubui,
ndipo tukaphata msaada wa kupelekwa hospital. Shangazi alipo pewa taarifa kuwa
bibi amefariki ilikuwa na furaha kubwa sana kwake, na alipo ambiwa mme wako
anaumwa sana na anhatakiwa kutibiwa miguu na kufanyiwa oparesheni maana
alichomwa na bisibisi tumboni shangazi akaona huo ndo uhuru wa kuonana na hawara
yake kwa raha zaidi,
Kipindi tupo hospitali, mjomba aliteseka sana,
maana damu zilikuwa zinamtoka nyingi sana pale kwenye kidonda alipo chomwa
bisibisi, alishindwa kabisa kukohoa maana kila alipo kohoa tu, damu zilikuwa
zinamtoka nyingi kwenye kile kidonda, mjomba wangu aliangaika sana hata wakati
wa kujisaidia, maana miguu yake ilipigwa sana, hivyo asinge weza kuchuchumaa
wala kusimama kwa ajili ya kujisaidia. Mjomba aliwambia manesi, huku akiwa
analia kwa sauti kwamba, " naombeni msimzike bibi bila mimi kuwepo,
naitaji kumuomba msamaa kabla mwili wake haujaingia kabulini." Shangazi alikuwa
hajaja bado hospitali maana alimuita hawara yake akimwambia kwamba, "bebi,
mungu katusikia kilio chetu, yaani huwezi amini kile ki mama kimeisha kufa,
sasa hivi tutakuwa huru bebi, tuta furahi zaidi"
Hawara yake
akamwambia, "dooh , amekufa?" Shangazi akasema, "ndiyo bebi,
hatunae tena, kwahiyo usiwe muoga nikikuita we njoo na uwe huru ufurahie
maisha"Hawara yake shangazi akamuuliza, "mume wako je yuko
wapi?", shangazi akacheka,"Hahahaah""Unacheka nini?"
Akauliza hawara. Shangazi akajibu, "bebi mme wangu anaumwa sana, yupo
hospitali nikiphata mda nitaenda kumuangalia, yaani sasa hivi tupo huru sana, nhatamani
na yeye afe ili tuzimiliki hizi mali zote mimi na wewe, maana wewe ndiyo
mwanaume ninae kupenda, sababu unajua kunipa kile ninacho kipenda pia" Sasa
kipindi hawara yake shangazi yupo nyumbani wanakula raha, akapigiwa simu na
nesi, akaambiwa, "hallo we ndiye mke wa huyu kaka hapa, mbona humjali mme
wako lakini, tangia asubui yupo hapa, hajala, hajaoga, yaani umetuachia kijana
hapa amuangalie wakati ni bubu na ni kiziwi tutamuagiza vipi sisi na anaonyesha
mifuko yake iko tupu hana hata shilingi mia, ebu njoo umuuguze mme wako"
Shangazi
akauliza, ", dada sikia kidogo, hapo nje si kuna vibanda vya chips,
kwanini usimtume huyo kijana achukue haraka mwanaume wangu ale" nesi
alichukia lile jibu, akakhata simu, hivyo mimi na mjomba tukashinda njaa mda
mwingi. Mjomba akasema, "kweli mke mwema anatoka kwa mungu, yaani mke
wangu hajafika kuniona mimi" Sasa kipindi shangazi anafanya mapenzi na hawara
yake, kumbe mda huo huo baba yake shangazi alikuwa anakuja nyumbani maana
alisikia mjomba anaumwa,
Shangazi
alijiamini sana pale nyumbani, maana aliona bibi hayupo na mimi sipo wala
mjomba pia hayupo, hivyo akawa huru sana pale sebreni kufanya lile tendo na
yule hawara yake. Sasa kumbe hajui kama baba yake mzazi anakuja kumuangalia
mjomba maana alisikia kuwa mjomba amepigwa vibaya sana na majambazi usiku. Sasa
kipindi shangazi yupo katika hari ya raha, kajisahau kabisa, yaani katupa miguu
yote kule na kuitanua wazi wazi, huku hawara take akiwa anashughulika ipasavyo,
dooh baba yake mzazi, aliingia sebreni kama alivyo zoea kuingia kipindi cha
nyuma, huwezi amini alimfumania uchi wa
mnyama shangazi, yaani kama mama yake alivyo mfumania hapo awali. Baba alipo
muona palepale akanyanyua mikono yake yote miwili na kujifunika macho yake
asione uchi wa mwanae, maana hakutegemea kumuona na mwanaume mwingine kama
yule, tena kibaya zaidi anafanya vile ndani ya nyumba ya mme wake, shangazi
alikuwa bado hajamuona baba yake kabisa, maana alikuwa anacheza mechi akiwa
amefunga macho yake, huku akitoa sauti nzuri za mahaba kwa furaha, sasa alie
muona baba wa kwanza alikuwa ni hawara yake shangazi, palepale akaishiwa ngumvu
kabisaaa! Kisha akachukua kitambaa cha sofa ili ajifiche uchi wake, maana nguo
walikuwa wamezirusha karibia na marangoni alipo simama baba yake shangazi, sasa
kipindi shangazi anainuka akishangaa kwanini hawara amemuachia njiani, shangazi
alishangaa sana kumuona baba yake mzazi, alie mzaa yupo mlangoni. Dooh Shangazi
aliinaama chini akisema, "nisamee baba yangu, ni shetani tu sirudii"
baba kasema nimefumba macho vaa nguo we mtoto" shangazi akakimbia uchi
mpaka chumbani huku makalio yake yako waziwazi, akavaa nguo haraka kisha
akarudi akiwa ameinama chini anaona aibu tupu. Baba akamuuliza, "mme wako
ninae mtambua yuko wapi?", shangazi akasema "nisamee baba" Baba
yake akasema, "binti yangu, sahivi wewe ni mtu mzima, na nina amini
unaelewa maswali, ukiulizwa, mme wako yuko wapi? Shangazi akasema, huku akiwa
anatetemeka na ameweka macho ya huruma, "mme wangu anaumwa, anaendelea
vizuri tu, ila yupo hospitali" Baba alilia ,, akasema, "mwanangu
tabia yako hii uliyo ifanya nazani ndiyo ilimuua mama yako, mimi naondoka
lakini wewe mtoto utateseka sana, utajuta". Kipindi baba yake shangazi
anageuka kuondoka akamwambia shangazi tena kwamba, "nilikuwa nimekuja
kuwasamee niwaache huru kwenye ndoa yenu, ila kwa ukahaba huu siwezi kukusamee
na kwangu usije kabisa, sijakuzaa mimi wewe mtoto" Baba akarudi kwake
akiwa na majonzi sana, aliona haibu kabisa akakaa kimya bila kumwambia mtu.
Shangazi na hawara
yake wakabaki ndani wakiwa na aibu sana kwenye nyuso zao, hakuna wa kumuangalia
mwenzake, shangazi akamkumbatia hawara yake kisha akamwambia, "usijali
bebi, baba mwenyewe alisha nifukuza kwake kwanza, nashangaa amefhata nini hapa,
wewe sahivi ndiyo mme wangu, ndiyo baba angu, maana mama yangu alikufumania
hapa, na leo tena baba amekufumania hapa, wewe unajulikana sana kwetu kuliko
mwanaume yoyote yule, nakupenda sana bebi wangu" Shangazi alishituka
akasema "dooh nimesahau kabisa kupika chakula cha mme wangu, wewe nenda,
ngoja niandae chakula nimpelekee hospitali tutawasiliana" Shangazi alipo
leta chakula akakuta mjomba ameisha pewa chakula na mgonjwa mwenzake alie kuwa
amekaa nae chumba kimoja. Mjomba akamuuliza akiwa analia kwamba, "mke
wangu sasa hivi ndiyo unakuja, hivi unanipenda kweli au unanidanganya tu" Shangazi
alianza kulia chozi la kinafiki akisema kwamba. "mme wangu nimeamka asubui
mwili wote unaumwa, nilipo anza kupika nikadondoka mule jikoni, sasa hivi ndiyo
nimephata nafuu, nikapika haraka na kuleta hichi chakula" Yule mgonjwa
pembeni akasema, ", sahivi magonjwa yamekuwa mengi sana, pole dada"
shangazi akasema "asante" kwa unyonge, mjomba akaamini kabisa kisha
akamsamee mke wake. Baada siku chake mjomba akaachiwa kutoka hospitali, ndipo
tukaanza mipango ya mazishi ya yule bibi, tulishagaa sana maaana ndugu zake
yule bibi walinunua maji mengi sana ya ghalama, wakanunua vyakula vya kila aina
kwenye msiba, watu walikula na kunywa mpaka wakaacha, sasa mjomba akajiuliza
"hivi hawa ndugu, hizi hela wanazo nunulia vitu vya msiba, kwanini wasinge
jichanga na kumsaidia bibi kipindi zephania amekufa" hakuphata jibu ila
akaishia kusema kwamba kweli sisi binadamu tunaroho za ajabu sana.
Baada ya msiba
kuisha mjomba alipona vizuri, ndipo tukaanza maisha mapya kabisa mimi mjomba
pamoja na shangazi yangu. Mjomba alibahatika sana, maana kipindi chote hicho
hakuwai kufanya tendo la ndoa na mke wake, kwasababu ya mhatatizo yaliyo mkuta,
vile vile aliitaji kupima kwanza ukimwi ndiyo awe huru kabisa na mke wake. Siku
moja nimeamka tumbo linaniuma sana, nikamwambia mjomba kwa ishara ili nipelekwe
hospitali, sasa mjomba yeye alikuwa tayari ameisha anza kazi, hivyo akampa mke
wake hela ili yeye anipeleke nikapime afya, mjomba alipo ondoka shangazi
alinisonya kisha akaongea mambo ya ajabu kweli, "yaani nimekubakiza wewe,
lazima utatoka tu humu ndani, mnamumalizia mme wangu pesa kwani yeye ndiyo
amewazaa " uwezi amini, shangazi alijiandaa kisha akatoka na kuniacha mimi
nikiwa naumwa tumbo najigalagaza chini, yeye akaenda kutengeneza nywere zake,
akaja amevaa wigi jipya kichwani.
Mjomba alipo
toka kazini akakuta mimi nimeisha ingia chumbani, maana nilikuwa sitaki hata
kumuona shangazi, mjomba akamwambia mke wake, "naona leo umependeza sana
mke wangu, vipi Nelson anaendeleaje", shangazi akasema, "amepewa
dawa, sasa hivi anaendelea vizuri sana" Kulipo kucha asubui, niliona
nafanya ujinga sana kumdekeza shangazi yangu, maana namfichia siri zake
kunusuru ndoa yake, lakini hata kunisaidia nipone hhataki, hivyo nikawaza
kwamba, lazima nimwambie mjomba kuwa shangazi analeta mwanaume wake ndani,
wakati akiwa kazini. Nilifikilia sana nitamuelezeaje mjomba mpaka aelewe kuwa
mke wake anafanya hicho kitu, maana nilikuwa siwezi kuongea kabisa, ndipo wazo
likaniijia kwamba, niandike barua kisha nimpatie ili yeye afatilie mwenyewe
kama kweli mke wake anachepuka kwenye ndoa. Nilichukua kalamu na karhatasi
kisha nikaandika kwamba. "Mjomba wangu najua kwamba siwezi kuongea wala
kusikia, lakini kuna jambo humu ndani nimeshindwa kuvumilia kukaa nalo moyoni,
maana shangazi kila siku za jumhatano, anamleta mwanaume mwingine na wanafanya
mapenzi ndani ya chumba chako, hivyo naomba jumhatano umuage mke wako kwamba
unaenda kazini lakini ujifiche uvunguni mwa kitanda bila yeye kufahamu,
ukifanya hivyo utajionea mwenyewe jinsi shangazi yangu alivyo na tabia mbaya,
nisamee mjomba wangu, maana sikukwambia mapema".
Nilipo andika
hii barua, nikaitunza vizuri, kisha nikampatia mjomba asubui Mjomba alipo soma ile
barua aliumia sana ,, ila alijikaza tu, ilipo fika jumhatano mjomba akawa
amesahau kabisa, kama anhatakiwa kufanya nilivyo mwambia, na kweli siku hiyo hhawara
yake shangaza alikuja na wakafanya kama kawaida yao. Ikanibidi niandike tena
kumkumbusha, maana alikuwa bize sana na kazi, dooh alipo kumbuka akashangaa
sana kwanini alisahau. Ndipo akajipanga kwa ajili ya kuangalia kama ninacho
mwambia ni kweli. Jumhatano ilipo fika, kama kawaida yake alioga asubui,
akamuaga mke wake kwamba, "naenda kazini, lakini gari bovu leo nitapanda
pikipiki," shangazi akamkumbatia mme wake, ili kumuaga aende kazini, sasa
wakati shangazi anaenda bafuni kuoga kumbe mjomba alikuja kujificha chumbani
kwangu, ndipo akarudi chumbani kwa kunyhata! kisha akaingia uvunguni polepole.
Shangazi alijiandaa vizuri akhatandika kitanda bila kujua kama kuna mtu chini
yake, hazikupita hata dakika 15, mjomba akiwa chini ya uvungu, shangazi akapiga
simu kwa hhawara yake akimwambia aje haraka nyumbani mme wake hayupo, mjomba
hakuamini akahisi labda ni ndoto, akhataka kutoka ampige mke wake, ila
akajikaza ili amuone huyo mwanaume wake, doh uvunguni kulimchosha lakini
alijikaza sana. Kweli hhawara yake shangazi alikuja, mjomba akamsikia kabisa
jinsi wanavyo peana mabusu chumbani kwake, akajikaza kisabuni pia. Sasa wakati
wapo ndani shangazi akasema, "nimekuamdalia maembe mazuri mme wangu, ngoja
nikuletee", alipo yaleta hhawara yake akasema "mhh , bebi, tutayakhataje
maembe, kalete KISU mpenzi", huku mjomba anawasikia tu.
Kipindi wanakula
maembe, shangazi akamsukuma hawara yake kitandani, wakavua nguo na kuacha
maembe pembeni, kisha wakaanza michezo yao ya ajabu. Mjomba hakuamini jinsi
kitanda kilivyo kuwa kinalia akiwa chini, ndipo akaamka na jaziba, akasema
"mke wangu hichi nini" dooh shangazi akashtuka mpaka akazimia pale
pale, ndipo mjomba akaanza kupigana na hhawara, mjomba alimdondosha chini yule
hhawara kisha akamniga kwa nguvu mno, kumbe yule hawara alikuwa na nguvu,
akamsukuma mjomba pembeni, kisha akachukua kile #kisu walicho kuwa wanalia
maembe, akamchoma mjomba shingoni, alafu akakichomoa na kumchoma tena kifuani
upande wa moyoni, mjomba hakukawia alifariki hapohapo. Kipindi mjomba anafariki, mimi
nilikuwa chumbani sijui kinacho endelea kabisa, ila nilisikia vishindo kama
watu wana angushana ndani na kupigana. Baada ya dakika kama sita, hhawara yake
shangazi alikuja chumbani kwangu kisha akanifungia kwa ndani na akabana komeo
mlangoni ili nisitoke kutazama kinacho endelea, sasa wakati anarudi chumbani
akakuta shangazi kaphata fahamu na akiwa bado uchi analia akisema kwamba,
"bebi kwanini umemuua mme wangu sasa, siunge muacha, hivi huu mwili wake
tunaupeleka wapi sasa", hhawara yake akamwambia, "bebi huyu mtu
sikutaka kumuua kabisa, ila ningezubaa angetuua yeye, maana alianzisha ugomvi
mwenyewe, lakini usijali maana Nelson nimemfungia ndani, hajagundua chochote,
hivyo tuchukue mwili wake tukautupe kwenye lile shimo la kule mwembeni,
tukimtupa humo usiku hakuna hatakae tambua hata mmoja kisha tutakaa kimya
kabisa". Shangazi alianza kulia maana mjomba alifariki akiwa ametoa ulimi
nje, huku damu zime sambaa chumba kizima, mimi niliendelea kukaa chumbani huku
nikiwa na wasiwasi kwamba mjomba anaweza kuwa amepigwa sana, maana jinsi hhawara
yake shangazi alivyo funga ule mlango aliniogopesha kabisa ,, nilikaa mule
chumbani mpaka usiku njaa ikiwa imenipiga sana, maana nilishinda bila kula,
ndipo hhawara yake shangazi akachukua mwili wa mjomba na kuufunika na mashuka,
akauweka kwenye mfuko mweusi mkubwa wakishirikiana na shangazi, kisha wakaita
bajaji usiku usiku, wakauweka ule mwili ndipo wakaenda kuutupa kwenye shimo
kubwa sana lilio kuwa linatumika kutupa uchafu wote wa pale mtaani kwetu.
Kipindi wanarudi ndipo wakaamua kunifungulia mlango, dooh nilishtuka kuona damu
zimetapakaa ovyo mule ndani, sasa wakati shangazi anarudi nje kumlipa mwenye
bajaji nikaingia chumbani kwake haraka haraka, sikuamini kuona zile damu za
mjomba zilivyo tapakaa mule ndani, doooh nilipo angalia pembeni nikakuta kile
kisu walicho mchomea mjomba maana kilikuwa kina damu ndipo nikakichukua na
kwenda kukificha chumbani kwangu, shangazi alipo rudi ndani akaanza kufanya
usafi ndani ili zile damu ziishe, nilishindwa nitamuuliza vipi kuhusu mjomba
maana hata kuongea nilikuwa siwezi, siku ya kwanza ikaisha bila kumuona mjomba,
siku ziliendelea kuisha mpaka wiki ikakhata bila kumuona mjomba, siku moja tupo
sebreni wafanyakazi wake mjomba wakaja kumuulizia mjomba pale nyumbani,
maana walishangaa kumuona mjomba
hajaenda kazini mda wote huo, wakamuuliza shangazi kwamba, "shemeji, mme
wako yuko wapi maana wiki imeisha sasa bila kumuona kazini, na kazi haziendi
kabisa, kibaya zaidi hajatoa taarifa yoyote kama haji" shangazi akasema,
"mme wangu aliniaga kwamba m'memsafirisha kikazi kwamba anaenda singida na
hatakaa huko mwezi mzima, sasa nashangaa kuona mna muulizia tena, kwani
mmejisahau kama m'memtuma kikazi?" Wale wafanyakazi wenzake mjomba
wakasema, "mme wako kakudanganya sisi hatuja mtuma popote kikazi na ofisi
imetupa hii barua ya kumuachisha kazi hivyo akirudi mfikishie ujumbe wake"
shangazi alianza kulia, maana ukweli alikuwa nao moyoni kwamba mme wake
amefariki, ila wale wafanyakazi wenzake mjomba wakampa moyo kwamba
"usijali shemeji mme wako hatakuja tu, usiwe na wasiwasi labda kweli
ameenda kufungua miladi yake uko maana yule jamaa ni mfanya biashara
sana". Mimi nilikuwa nhatazama tu pale huku nikiwaza nitaishi vipi na
shangazi kwasababu shangazi yangu alikuwa hanipendi kabisa mimi na alikuwa
akiniona mda mwingine alikuwa akitema mate chini akijisikia kinyaa, Siku moja
nimelala usiku, nilianza kusikia upepo mkali sana unavuma, dah nilishtuka
nikaamua kuamka na kukaa kitandani, lakini akili ilikuwa inanituma kwamba
nichukue kile kisu nikiangalie tu, dah nilipo kishika kisu mikono ilianza
kutetemeka sana kama vile napigwa shoti ya umeme, mara ghafla mzimu wa mjomba
ukanitokeza ukutani! ukinielekeza kwa ishara na kwa hisia kwamba,
"mwanangu nimeuawa, nimekufa mwanangu, shangazi yako kaniua, jitahidi
utoke hapa whatakuua pia, shangazi yako ni mtu mbaya sana nimeamini mwanangu
niliyo kuwa nikiambiwa na zephania" mjomba aliendelea kusema kwamba,
"naomba icho kisu leo leo saa tisa, kachimbe shimo mbele ya nyumba yangu
kisha kifukie bila mtu yoyote kukuona" dooh niliogopa sana, nikaamka kisha
nikaenda kulala sebreni maana niliogopa kabisa kulala mule ndani, ilipo fika
saa tisa mjomba akanitokezea tena akasema mwanangu, "kafanye nilivyo
kwambia chukua kile kisu ukakichimbie mbele ya hii nyumba maana shangazi yako
amelala, sitaki akuone" niliamka polepole kisha nikachimba shimo kiasi,
nikakifunikia kile kisu" kisha nikarudi chumbani kulala. Hazikupita hata
dakika 10 shangazi akaanza kupiga kelele akisema, "nisameee nisameeeee mme
wangu sikufanya makusudi mme wangu" nikatoka kwenda kumuangalia kwake
nijue nini kinacho msumbua, dooh kumbe mzimu wa mjomba ulikuwa unamtesa mule
ndani, kibaya zaidi, mzimu ulimuijia umeshika kisu kama unhataka kumchoma
shangazi. Mzimu ulikuwa unamuuliza, "kwanini mmeniua nimewakosea
nini" shangazi akaamua kutoka chumbani akakimbia kuja ninapo lala mimi ili
tuteseke wote, alipo kuja kwangu mzimu akapotea. Dooh sasa shangazi akaanza
kuwa na mimi karibu ili asiwe anateseka chumbani kwake, hivyo kile chumba chake
akakiacha vilevile akawa analala na mimi usiku. Siku moja asubui wakati
shangazi anapanga chumba chake vizuri akashika shati la marehemu mjomba wangu,
ile barua ikawa imedondoka chini, nilio iandika nikimwambia mjomba jinsi ya
kumfumania shangazi na hhawara yake, doooh shangazi alinuna sana akanifhata na
kusema, kumbe wewe ndiyo chanzo cha kifo cha mme wangu, bila wewe asinge kufa
sasa utakoma kukaa humu ndani, mimi sikumuelewa ila niliogopa sana maana
aliongea kwa hasila sana. Shangazi aliumia sana, alipo gundua kuwa mimi ndiye
nilie sababisha mjomba agundue michezo yake michafu. Lakini alishindwa hatanifukuza
vipi kwake kwasababu bila mimi yeye asingeweza kulala ndani kwake, kwasababu
mzimu wa mjomba ulikuwa unamtesa sana usiku. Siku moja usiku mida ya saa tisa,
mzimu ulimtokea hhawara yake shangazi ukiwa umeshikilia kisu kama unhataka
mchoma shingoni, ukamwambia, “kwanini umeniua bila kosa, kwanini umetembea na
mke wangu, naomba unitoe shimoni haraka njoo unitoea, nimechoka kutupiwa uchafu
kila siku njoo unitoeeeeeeeeeeeeeeeeee!” dooh hhawara yake shangazi aliogopa
sana ,, maana alikuwa hakuwai kukutana na mizimu tangu azaliwe. Zile kelele za
mzimu wa mjomba na kwa uoga wa kuchomwa kisu, hhawara yake shangazi aliamua
kukimbia kutoka chumbani akiwa amevaa nguo ya ndani tu. Alipo fika nyumbani
akakuta shangazi yupo ndani nayeye anaogopa hata kutoka nje usiku, hivyo hhawara
yake shangazi akagonga mlango sana ili afunguliwe mlango aingine ndani, maana
kipindi anakimbia mzimu nao ulikuwa unamfhata nyuma.
Hawara yake
shangazi alipo ona afunguliwi mlango, akaamua kuruka fensi na kuingia ndani,
alipo enda kwenye dirisha la shangazi kumwambia afungue mlango, akakuta
shangazi hayupo, hhawara yake shangazi akaamua kuja dirishani kwangu ili mimi
nikamfungulie, alipo chungulia dirishani akakuta nimelala na shangazi chumba
kimoja. Hhawara yake shangazi aliumia sana kutuona tumelala wote, maana alijua
kuwa mimi natembea na shangazi yangu. Alipiga kelele tukamfungulia mlango, sasa
wakati ameingia ndani, akashangaa kuona mzimu umeacha kumsumbua. Maana mzimu wa
mjomba haukutaka kunisumbua mimi kabisa. Sasa wakati hhawara yake shangazi
amekaa ndani, akaanza kumgombea shangazi kwamba, “kwanini unafanya mapenzi na
huyu mtoto, kumbe nikiwa sipo unafanya huu upuuzi na mtoto wako sio, hivi
unapepo gani we mwanamke kwani sikutoshi?”, shangazi akasema, “hapana mme
wangu, sio kwamba nafanya nae mapenzi, ila chumbani kwangu hapa laliki kabisa,
mzimu wa mme wangu unaniijia na kisu kama unhataka kuniua, na unanipigia kelele
sana, mpaka nakosa usingizi”, hhawara yake shangazi akaamini maana alijifikilia
uko kote amefukuzwa, lakini alipo ingia chumbani kwangu, mzimu ukatulia. Shangazi
na hhawara yake waliteseka sana mpaka wakaiona nyumba yao chungu mno, mda
mwingine walala nyumba za wageni kufurahisha nafsi zao, maana mule ndani
wasingeweza kabisa. Hhawara yake shangazi akaamua kumshauri shangazi kwamba
waende kwa mganga wa kienyeji, ili awasaidie dawa kusudi mzimu uache kabisa
kuwasumbua.Walipo fika kwa mganga, walikaribishwa vizuri, kabla hata hawajasema
shida yao, mganga akawambia, “najua shida yenu, na shida yenu ni nzito sana,
maana mme muua yule bwana bila kosa hatawatesa sana na mta ishi maisha ya tabu
mno, maana hizo adhabu manazo ziphata bado kabisa zingine zinakuja” Shangazi
aliogopa , akasema, “tusaidie dokta tunateseka sana” Mganga akasema, “hii kazi
ni ngumu sana maana, kile kisu mlicho muulia mlisahau kabisa kukificha na hatujui
kiko wapi, maana ndicho mzimu unatumia kuwatesa nyie” Mganga akasema, “chukua
hii dawa kisha kaifukie mbele ya nyumba yako, ili kuuzuia mzimu usiweze kuja,
na ukija tu, utaona hiyo nyumba kama bahari” Kweli shangazi na mjomba walifanya
hivyo, maana niliwaona usiku wanavyo chimba pale nyumbani na kuzindika zile
kinga.
Walifanikisha
mipango yao maana mzimu ulipokuja haukufanikisha kabisa kuingia ndani. Shangazi
na hhawara yake walianza kucheka kwa furaha wakifurahia kwamba wame mkomoa
mjomba. Siku moja mida ya usiku sana, niliota kama mjomba amenitokezea akisema
kwamba, “mwanangu nimezuiwa na mizindiko humu ndani, naomba ukachimbue vitu
walivyo vifukia, uvichome moto, na ujitahidi shangazi yako asikuone”, nilifanya
kama nilivyo ambiwa ndotoni na mjomba maana niliamka polepole bila mtu yoyote
kugundua kisha nikaenda kufukua zile dawa, maana niliwaona wanavyo zifukia
kisha nikazileta mpaka jikoni na kuzichoma kabisa. Shangazi na hhawara yake
walianza kuteseka upya, ikabidi warudi kwa mganga kumuelezea kuwa mzimu bado
unawatesa. Mganga akawambia kwamba, “nileteeni shati lake lolote lile alilo
kuwa anapenda kulivaa,” kweli shangazi pamoja na hawara yake walifanya kama
walivyo ambiwa.
Mganga alipo
letewa lile shati, Akaliwekea dawa katikati kisha akaaifunga ile dawa kwenye
shati na kulikaza kwa nguvu ili mjomba asiweze kuingia ndani tena.Kweli mzimu
wa mjomba uliangaika sana kuingia, maana walikaa wiki nzima wanafurahi sana,
mjomba alinifhata ndotoni tena akasema, “mwanangu nimefungiwa tena kuingia
nyumbani kwangu, naomba uanze kufuga njiwa hapa nyumbani ndiyo nitaweza kuja
kwa urahisi”.Kweli nilifanya kama nilivyo ambiwa na mjomba maana nili nunua
njiwa whatano, nakuanza kuwafuga, shangazi alifurahi nilipo waleta wale njiwa
,maana kumbe na yeye alikuwa anapenda kuwaona njiwa wakirukaruka pale nyumbani,
kumbe hakujua kuwa wale njiwa whata mualibia dawa zake.Usiku ulipo fika mzimu
uliingia ndani kwa shangazi, ukaanza kulia na kusema kwamba, “ mke wangu huwezi
kunizuia mimi kuja hapa, lakini kama kweli unhataka nisije tena hapa naomba
unitoe mule shimoni na unizike kaburini’Shangazi na hhawara yake hawakuwa na
jinsi, wakaamua kwenda kwenye lile shimo mida ya usiku, ili waweze kumtoa
mjomba mule ndani bila mtu yoyote kugundua.Walipo fika karibia na shimoni,
walishindwa kuvumilia ile harufu , maana mwili wa mjomba ulikuwa unanuka sana!
Walipo rudi nyumbani wakakuta mi nimelala sina shida yoyote siwazi wala
siangaiki, walinionea wivu sana ila hawakuwa na jinsi. Hhawara yake shangazi
aliogopa kurudi kwake akawa anakaa pale pale nyumbani.Baada ya miezi mi nne,
kipindi na mimi naanza kuponapona maana nilikuwa nakaribia kumaliza mwaka ili
niweze kusikia na kuongea upya.Shangazi na hhawara yake walianza kukonda sana ,,
maana walikuwa wameathirika hivyo kutokana na mawazo ya kusumbuliwa wakaanza
kupungua mili, sasa yule hhawara yake shangazi vidonda vilianza kumtoka na
vilikuwa vinachelewa kupona, na vikipona vikikauka vinaacha makovu mwilini,
shangazi alianza kupungua uso sana, anakuwa mwembamba mpaka watu wengine
wakasema anamuawaza sana mme wake kumbe sio hivyo bali ilikuwa ni ukimwi
ukichanganya na usumbufu wa ule mzimu, kibaya Zaidi akiba ya pesa waliyo kuwa
nayo ilianza kuisha na hatukua tunakula vizuri. Hhawara yake shangazi alipo ona
mizimu inamtesa sana na anaumwa, akaamua kwenda hospitali kupima ili ajue nini
kina msumbua, alipo fika alipwa kila kitu ugonjwa haukuonekana, hivyo daktari
akamuomba amruhusu kumpima virusi vya ukimwi. Mjomba aliogopa kupima, lakini
hakuwa na jinsi akaamua kupima tu maana ugonjwa ulikuwa hauonekani, baada ya
kupima daktari alimuita na kumwambia kwamba, “kijana tumepima afya yako na
tumegundua kuwa umeathirika na virusi vya ukimwi, hivyo punguza mawazo na ule
vizuri ila usisahau kufanya mazoezi ili upate afya njema Zaidi” hhawara yake
shangazi, alishituka hapo hapo na akapoteza fahamu kisha akaanguka chini kwenye
ofisi ya daktari”
Baada ya hhawara
yake shangazi kuzimia mule ndani, daktali aliamua kumpatia huduma ya kwanza,
sasa alipo phata nafuu akaja mpaka nyumbani akiwa na jaziba sana akimlaumu shangazi
kwamba, "hivi kama ulikuwa unajua una maambuki ya virusi vya ukimwi,
kwanini hukuniambia mapema" shangazi akashangaa sana kisha akamuuliza,
"kivipi?" Yule hhawara akaanza kulia akisema kwamba, "haya
magonjwa tunayo ugua kila siku, vidonda, na kukohoa mara kwa mara, kumbe sisi
ni waathirika wa ukimwi", shangazi mwili wake ulianza kutoka jasho maana
alikuwa muoga sana wa hilo gonjwa, akasema, "ehh mungu wangu tutaishije
sasa ,, na hali ya maisha imekuwa ngumu namna hii," hhawara yake
akamwambia hivi, "wewe ndiyo umeleta huu ugonjwa, mimi nilikuwa salama
kabisa" shangazi akasema, "mimi sina uhakika maana, nakumbuka
nilienda kupima nikiwa na mama Anna, mimi nilitoka salama, ila mama Anna aliphata
maambukizi mpaka mume wake akamfukuza na kumwambia aondoke, ila baada ya mda
alimsamee na kumrudisha nyumbani ili wamlee Anna"
Palepale hhawara
yake shangazi akagundua wapi alipo uzolea ugonjwa. Kutokana na maisha kuwa
magumu na pesa kuisha ndani kabisa, hhawara yake shangazi akamwambia kwamba,
" mke wangu sasa sisi ni waathirika na hatuna mda mrefu hapa duniani, ni
bora tuuze hii nyumba na hilo gari, tutumie tu pesa" shangazi akakhataa akasema, "we hivi
tukiuza nyumba na u, huu tutaishi wapi tena", hhawara yake akamwambia,
tukisha phata hela tutaishi pale kwangu maana kodi ninayo lipa ni ndogo, ni
bora tule vizuri tuwe na afya njema maana sasa hivi tumeisha kabisa"
shangazi hakuwa na jinsi akaamua kukubali wauze ile nyumba ili wapate pesa kwa
ajili ya matumizi mengine ya maisha.
Baada ya miezi
kadhaa, Siku moja sasa, walikuja wageni pale nyumbani wanao hitaji kununua hiyo
nyumba pamoja na gari, kipindi shangazi na hhawara wanhataka kuuza nyumba,
wakashangaa kusikia nasema, "shangazi msiuze nyumba ya mjomba" doh
walishikwa na butwaa kwanza, maana walikuwa na mda mrefu sana bila kusikia
sauti yangu hivyo iliwashangaza, wale wanunuzi walipo waona wananishangaa
ikabidi waulize, ",, vipi tena mbona mnashangaa hivyo kuna nini kipya
hapo, au nyumba haiuzwi" Shangazi akasema hapana tunauza tu
Walinishangaa
wote nilipo toa sauti yangu na kuongea tena, shangazi aliendelea kushangaa jinsi ninavyo kuwa
naendelea vizuri huku wao wanakonda tu na kuumwa kila siku. Ndipo shangazi
akaamua kunijibu kwamba, “tusiuze nyumba kwa nini” nikamwambia, “sasa mkiuza
nyumba tutakaa wapi tena?”, yule hhawara akajibu kwamba, “sasa hivi hali ya
maisha imekuwa ngumu sana, na tunaangaika mno, siku zingine hatuli tunashinda
na kulala njaa humu ndani, sasa ni bora tuuze hizi mali ili tuishi maisha
mazuri, maana tutakaa kule kwangu kule kodi sio kubwa sana”, sikuwajibu
chochote maana sikupenda kabisa kuona ile nyumba inauzwa, niliwaacha sebreni
nikaingia chumbani kwangu. Kweli wale wanunuzi wa nyumba, walinunua lile gari
na nyumba kisha wakatupa siku mbili za kukaa pale nyumbani ili tujiandae
kuondoka na kwenda kukaa sehemu nyingine.
Shangazi na hhawara
yake walipewa million 60 tu, kwa ajili ya zile mali walizo uza, hivyo
walifurahi sana maana walihisi kuwa wamefika. Walipanga jinsi ya kuzitumia mali
zao bila mimi kuniusisha hata kidogo, hivyo nisinge weza kuphata hata shilling
mia moja kwe ile hela, kumbe wale watu walio uziwa vile vitu walikuwa ni mhatapeli
kumbe wakapanga mikakati ya kutuma majambazi ili waje kutuvamia pale nyumbani. Sasa
kipindi wote tupo sebreni mida ya tatu usiku, tulishangaa kuona majambazi
wanaingia ndani wakiitaji kupewa ile millioni sitini ambayo shangazi na hhawara
yake walipewa. Hhawara yake shangazi akawadanganya kwamba, “, ndugu zangu, pesa
zipo benki hatuna pesa yoyote hapa,” jambazi mmoja alimpiga hhawara yake
shangazi teke, akamwambia, “usijaribu kuongea chochote hapa, na kama unhataka
kufa tuletee ubishi” Shangazi akasema,”mme wangu tuwapatie pesa tu wanaweza
kutuua hawa ,” jambazi mmoja akasema, “hoo kumbe pesa zipo ndani, tunaitaji
pesa zote hapa,” hhawara yake shangazi akawa mbishi, haitaji kabisa pesa
ichukuliwe, ndipo kwa hasila wale majambazi wakaanza kumpiga sana na kuna jamaa
mmoja alimpiga sana hhawara yake shangazi mpaka akaishiwa nguvu kabisa, mimi
hawakutaka kunigusa maana walijua sijui pesa iko wapi kabisa. Shangazi na hhawara
yake walipo ona wanaendelea kuumia, hawakuwa na jinsi ikabidi walete ile pesa
kama ilivyo, ndipo wale majambazi wakawaacha pale, wakiwa na maumivu sana,
kumbe hao majambazi ndiyo hao hao walio mpiga marehemu mjomba wangu kipindi
anatutafuta mimi na bibi kipindi cha nyuma.
Hali iliendelea
kuwa mbaya sana pale nyumba na tulikuwa tumebakiza siku moja tuondoke, shangazi
akaanza kusema, “siwezi kukubali nyumba yangu ibebwe, siondoki hapa”, hhawara
yake akamwambia, “mke wangu hatuna chetu hapa itatubidi tuondoke tu maana hata
hati miliki ya nyumba tumeisha wakabidhi, hatuna jinsi itabidi tujiandae
kuondoka hapa”, nikawambia kwamba, “ niliwambia msiuze nyumba, ona sasa
tutaishi wapi tena, au ndiyo tutaanza kutengana mmoja mmoja”.
Kweli wale watu
walio nunua nyumba walipo kuja, hawakutaka maelezo ila walicho hitaji ni sisi
tuondoke na kuwaachia mali yao.
Shangazi alianza
kulia akiitaji kusameewa, lakini hawakumuelewa, ila msaada walio taka kumpa
shangazi ni kuwa mfanyakazi wa ndani ili awe anawapikia na kuwafuria nguo zao,
shangazi akaona ni aibu, ndipo tukaenda wote kukaa kwenye chumba alicho panga hhawara
yake shangazi, maisha ya pale yalikuwa magumu zaidi, maana kila siku mwenye
nyumba alikuwa anagomba akiitaji kodi yake na sisi pesa hatukuwa nayo kabisa.
Shangazi
alichoka kabisa na maisha, ndipo akaamua kumtafuta mama Anna ili aweze
kumsaidia , akamwambia kwamba, “mama Anna shosti yangu, naomba msaada wako
maana sahivi nina hari ngumu ya kimaisha, mme wangu katoroka na kaniachia
majukumu yote, huwezi amini hapa nilipo sina hhata mia, nisaidie besti”, mama
Anna akasema, “besti mimi nilipo fukuzwa na mme wangu, nilikuomba unisaidie
ukakhataa,sasa kumbe kweli malipo ni hapa hapa duniani, leo na mimi nakukhataa, alafu usimsingizie
mme wako kuwa ametoroka huo ni uongo, taarifa zimeisha zagaa mme wako amekufa,
na umeshirikiana na hhawara yako kumuua, hakuna asie jua hizi taarifa, na
mmesadikika kuwa mmemtupa kwenye lile shimo kubwaaaaaa, kule mwembeni na ndiyo
maana kuna harufu sana pale.”
Shangazi aliziba
uso wake maana hakuamini kama siri yake ingejulikana, kisha akasema, “shosti
yangu sahivi nina mawazo sana, sina hela ya kula naomba msaada wako”, mama anna
akasema kamuombe hhawara yako pesa na mwaka huu mtakonda muishe maana tayari
mna virusi vya ukimwi,mda wowote mnaondoka duniani, bora yangu mimi nakula
vizuri na ninatumia dozi yangu ipasavyo”.
Shangazi aliona
kama anaendelea kuumia, maana siri zake kubwa zinajulikana ,ndipo kutokana na
mawazo mengi mno kichwani mwake akaamua kujiusisha na maswala ya ulevi,
tulijaribu sana kumzuia ili aachane na maswala ya pombe lakini hakutuelewa
kabisa,
Sasa huku
nyumbani , huyu hhawara yake shangazi alishikwa na mararia, ilimtesa sana pale
nyumbani na kibaya zaidi alikuwa anakhataa kula chakula, tulipo ona anazidiwa
ikabidi tumpeleke hospital, ila hatukuphata huduma maana wali hitaji pesa
hospitalini na sisi hatukuwa na kitu chochote, wakati tumelala usiku hhawara
yake shangazi akaanza kuongea maneno ya kuhuzunisha sana kwamba, “nisamee Nelson
nilikufanyia makosa sana, tulikutesa sana Nelson, Nelson niombee msamaa kwa
mjomba wako, niombee msamaa kwa bibi,maana bila sisi wasinge fariki, nilimuua
mjomba wako kwa mkono wangu mwenyewe, nafsi yangu inanisuta kila mda”
nikamuliza swali kwanini ulimuua mjomba wangu lakini, alifanya kosa gani ,, “hhawara
yake shangazi kipindi anaachama mdomo wake kunijibu alizidiwa zaidi akanishika
kwa nguvu mikono kisha akafariki hapo hapo”
Shangazi yangu
aliiona dunia yote chungu, alitamani kujiua nikamshikilia na kumpa moyo,
akasema “tutaishi wapi ,, tamaa zimeniponza leo nimewapoteza wote, mme wangu
angekuwepo nisinge teseka hivi, tusinge
lala njaa hivi, ehhh mme wangu nisamee, nisamee Nelson nilikufanya usisikie
wala kuongea kwa sababu ya tama, nimeathirika , na magonjwa sababu ya tamaa,
nimemuua mama yangu sababu ya ujinga wangu , nitaenda wapi mimi ,”
Shangazi
aliongea maneno hayo na siri zake zote kwa sababu alikuwa amelewa,maana alizani
pombe ndizo zinaweza kumpunguzia mawazo yake kumbe zina muhaibisha, ilifika
mpaka asubui tukiwa tumelala na mwili wa marehemu, maana hakuna hata mpangaji mmoja alie kuja
kutuona, maana hhawara yake shangazi alkuwa na tabia mbaya , yaani yeye
hatembelei wagonjwa, haendi kwenye misiba, na hakuwa na ukaribu wowote na watu
wenye mhatatizo, hivyo alipokuwa anaumwa hakuna hata mmoja alie kuja kumjulia hali, na hakuna hata mmoja alie kuja
kwenye msiba wake, dooh niliphata kazi kubwa maana hata msaada wa kuchimba
kaburi hatukua nao,ikanibidi niende kuomba msaada polisi ili wanisaidie lile
swala la kuzika, kweli nilisaidiwa mpaka akawa amezikwa makabulini, ila
nilishangaa maana hakuna hata mtu mmoja alie kuja zaidi yangu na shangazi, na
mimi ndugu zake nilikuwa siwafahamu hivyo nikaamua kuomba misaada ya serikari.
Shangazi
aliendelea kunywa sana pombe,na alikuwa akifika kwenye vibanda vya pombe,
wanaume wawatu wana mnunulia pombe kisha wanatembea nae kimwil,i mpaka akazoea
maana hakuwa na jinsi, sababu hakuwa na pesa ya kulipia pombe zake.
Siku moja
shangazi alilewa sana usiku, sasa wakati anatembea kurudi nyumbani , akawa
ameanguka vibaya sana chini na akapiga kichwa chake kwenye jiwe kama bibi
alivyo farik,i na yeye akafa hivyo hivyo yaani mda huohuo, nilipo letewa
taarifa kuwa shangazi yako amekufa
doooooh, nilichoka sana akili.
Baada ya
kugundua, shangazi amefariki, sema kweli nilichoka akili mno, maana sikuwa hata
na shilingi mia ndani, ikanibidi kwanza nikae bila kufatilia mwili wake ulipo,
maana sikuwa hata na hamu, ila kipindi nipo ndani nimejificha, nikashangaa
kuona vijana wa ule mtaa wetu wameleta mwili wa marehemu shangazi yangu, eti nikao
nao ndani nitazika siku nikijisikia, nilianza kulia nikasema, ", naogopa
kulala na marehemu, alafu nimechoka kufiwa, naombeni msaada wenu ndugu zangu,
nisaidieni mimi siwezi kuzika mwenyewe", jibu walilo nipa lilikuwa baya
sana kwamba, "kaka sikiliza ingekuwa amekufa mtu mwingine huu mtaa wetu,
tunge saidiana kuzika, lakini huyu mama, hatujawai kumuona kwenye msiba wowote
ule zaidi ya kukutana kwenye sherehe na sehemu mbalimbali, hivyo na yeye kafa
hatuwezi kuonyesha ushirikiano wowote ule ajizike mwenyewe", dooh
nilimuangalia marehemu shangazi yangu, nikakumbuka mabaya yote aliyo nifanyia,
ndipo nikapanga kukimbia na kutoroka ule mtaa usiku, ili nisiendelee kuangaika
na msiba wake, maana sikuwa hata na senti ndani na sikuwa na msaada wowote ule,
kweli ilipo fika usiku nikaandaa vitu vyangu ili nitoloke ili niamie sehemu
nyingine kabisa na niachane na mambo ya kuzika mimi, maana niliwaza kwamba,
"ndugu na jamaa wakisikia harufu ya mwili wa shangazi whatamzika tu bila
kupenda". Nilichukua mashuka ya hhawara yake shangazi aliyo yaacha,
nikaufunika ule mwili wa marehemu shangazi, huku machozi yakiwa yananitoka
kabla sijatoroka, nikasema,
"shangazi yangu naomba unisamee kama nitakuwa nimekuudhi, juzi tu nimetoka
kumzika yule bwana yako, kwa mateso na shida, leo tena wewe umekufa ,, mimi
nakuzikaje na sina hata shillingi mfukoni, jamii yote imewakhataa kwamba,
mlikuwa ni watu wa kujitenga, hivyo sina msaada kabisa, sina jinsi itabidi
niondoke tu, kama wakikuonea huruma basi whatakuzika tu wananchi wa hapa,"
sasa wakati naondoka, simu ya shangazi ikaita, nilipo pokea, alie piga akakhata,
ndipo nikaphata wazo kwamba nimpigie baba yake mzazi shangazi, labda angeweza
kuja kusaidia katika mazishi ya mwanae, nilipo piga simu, akapokea mtu
mwingine, nikamsalimia kisha nikamuuliza, "hallow, nilikuwa namuitaji baba
yake na mke wa mjomba, maana shangazi amefariki hapa na nipo mwenyewe hakuna
mtu yoyote wa kunisaidia", yule jamaa akasema, "dahhh kijana kwani
huna taarifa huyu mzee alisha fariki mda mrefu sana kwa presha, yaani mpaka
tuna msahau sahivi, na hii simu yake naitumia mimi maana alifariki mikononi
mwangu, sasa watu wakipiga nawapa taarifa kuhusu kifo chake", sikuwa na
jinsi nikakhata simu, kisha nikalala ndani, nikaacha kutoroka, asubui ilipo
fika ikanibidi niende mpaka kwa mama Anna ili nimuelezee wenda angenisaidia,
ila nilipo mwambia akasema kwamba, "we Nelson punguza huruma, huyo
mwanamke alimuua mjomba wako na akamtupa lile shomo kubwaaaaaa, la kule
mwembeni, hivyo na yeye ungemtupa humo humo ili hata mzimu wa marehemu mjomba
wako upumzike kwa amani" yale mawazo niliyaona mabaya, ikanibidi niende
kwa mwenyekiti kumuelezea hari iliyo nikuta, ili aweze kunisaidia, maana
nilikuwa naogopa sana kulala na mtu alie kufa ndani,niliumia zaidi maana,
nilikuta mwenyekiti anaumwa sana, hivyo asinge weza kunisaidia kabisa, dooh
nilihisi dunia yote chungu, maana hata chumba nilikuwa nimeanza kukiogopa, na
polisi niliogopa kwenda maana nilihisi whatanihisi mimi muuaji, kila siku
naomba misaada ya kuzikiwa ndugu zangu, Siku ya pili iliisha bila mafanikio
yoyote yale, kibaya zaidi mwenye nyumba alikuwa ananigombeza kila siku, akisema
"hivi nyie watu mmeniona mimi kama msaada wenu ehhh, kodi ya nyumba
hamlipi na mnakaa na mizimu ndani, ebu toa huo mwili ukauzike, unatia mikosi na
laana ndani ya nyumba yangu, leo usipo toa mzigo wako nakufuza nao maana hakuna
hatakae kubalu kupanga hicho chumba, wakijua kuna mtu amefua humo", dooh
nilijaribu kuomba vijana wa pale mtaani japo wanisaidie sikufanikisha, ila kuna
jamaa mmoja akasema, "kaka mimi kwa upande wangu nakuonea huruma sana
ndugu yangu, lakini nikionekana nakusaidia tu, nita laumiwa sana na wananchi
wenzangu, maana hao watu walikuwa na majivuno sana kipindi wana pesa, na
hawakujiusisha kabisa na wenzao kipindi wana mhatatizo, hivyo jitahidi tu kaka
ukaombe nafasi pale makaburini umzike, maana hawa watu wa kijijini kwetu roho
zao kama za kutu wakiwa na hasila na wakiamua kitu uwa hawarudi nyuma na
kusamee". Nilitoka pale nikiwa na hasila sana kisha nikarudi ili nibebe
vitu vyangu nitoroke, wakati nafika tu nikamkuta mwenye nyumba mlangoni na
vijana wawili, akasema, "kijana nimekuvumilia sana na huyo mtu wako humo
ndani, sasa utambeba kichwani uondoke nae, na utatoka hapa kwangu, yaani
nakuomba usirudi tena, hata nguo zako usichukue nitauza kila kitu humo ndani
nirudishe pesa yangu ya kodi, maana naona nawadekeza bure nyie watu",
huwezi amini wale vijana waliubeba ule mwili wa marehemu kisha wakanitwisha
kichwani eti niupeleke mwenyewe makaburini kisha niuzike, dahh sikuwa na jinsi
ikanibidi nifanye vile, nilipo fika pale makaburini nikaomba jembe kwa majirani
wa pale, kweli walinisaidia, kisha nikaanza kuchimba kaburi kwenyewe ili
nimzike shangazi, wale watu wa makaburini walinionyesha sehemu ya kuchimba na
wakaniomba pesa ila nililia mpaka wakanionea huruma wakasema, "sawa chimba
tu kijana" nilichimba mpaka mikono yote ikauma na nikiangalia shimo
haliishi tu, doooh nilichoka mikono nikaamua kumfukia shangazi hivyo hivyo
kabuli likiwa fupi. Kumbe mvua ilivyo nyesha, ilifukua ule mwili wake tena,
ikabidi watu wa maeneo yale wachimbe zaidi, mimi nilirudi pale kwa baba mwenye nyumba, ili
nimuombe msaada wakukaa japo siku moja ila alikhataa khatakhata, sikuwa na
jinsi ndipo nikaamua kuwa nalala tu pale nje ya eneo lake, kisha asubui nakusanya
mchanga unao letwa na mvua, alafu namuuzia yeye mwenyewe anajengea, maana
alikuwa fundi, baada ya miezi sita nikiwa napambana nikafikisha elfu 30
mfukoni, nilifurahi maana nilikuwa naiona nyingi sana, dah lakini isinge tosha
mimi kuphata chumba na kuanza maisha yangu, ndipo siku moja nikaphata wazo
kwamba niende kwa mama anna ili anisaidie niweze kukaa kwake kwa mda, nilipo
fika pale nilicho kiona ilikuwa ni maajabu sana , wa mungu, maana nilikuta,
yeye na mme wake wamezidiwa kabisa wanaumwa sana, maana ukimwi ulikuwa umewhatafuna
sana mwilini, yaani hawhatamaniki kabisaaa, nilipo fika nikakuta Anna analia
akisema "mama nina njaa, naomba chakula" mama anna alikuwa amekonda
mno aliishiwa nguvu , hata kupika hakuweza, hivyo Anna alikuwa analia tu bila
msaada wowote, na ukimuangalia baba anna nae mwili umeisha kabisa, "mimi
niliwaomba kwamba, ", naombeni mnisaide nikae hapa kwenu, maana sina
sehemu ya kuishi, baada ya mda nitaondoka," baba anna akasema "kijana
yangu nhatamani sana ukae hapa kwangu, lakini nadaiwa sana pesa za watu na
wamesema wanakuja kuchukua hii nyumba, mke wangu ameleta ugonjwa ndani,
unatuteketeza vibaya sana, nina mtoto wangu mmoja hataangaika sana, maana ndugu
zangu wana roho mbaya whatanitesea mtoto, naomba umchukue huyu mtoto ukaishi
nae popote utakapo kwenda, akikua mwambie maneno niliyo kwambia," doooh
nilitamani kumkhataa Anna maana maisha yalikuwa magumu sana upande wangu, ila
sikuwa na jinsi ikabidi nimchukue kisha nikatoka pale haraka haraka maana
sikutaka na wao wanifie mikononi mwangu, mama Anna na mme wake hawakukaa siku
nyingi nikaphata taarifa kuwa wamefariki dunia pia, sasa mimi huku sikuwa na
sehemu kabisa ya kukaa bali niliangaika na yule mtoto , maana nilijitahidi
kufanya kazi kusudi anna aweze kuweka chochote mdomoni. Sasa wale watu walio
kuwa wamenunua ile nyumba ya mjomba, walikuwa wanateseka sana mule ndani, maana
shangazi yangu waganga walimpa uchawi
mwingi, hivyo ile nyumba ikawa na mizindiko mingi sana, hata kisu kilicho
muulia mjomba nilikifukia pale, hivyo hakuna mtu yoyote alie weza kukaa hapo,
maana wale walio nunua nyumba walifiwa na watoto wao, walipo uza ile nyumba kwa
walio amia wakafiwa pia, hivyo ile nyumba ikabaki bila mtu yoyote ndani, siku
moja nilikuwa nafanya kazi ule mtaa hivyo nikasema "ngoja niende humo
ndani nikaombe maji ya kunywa maana nilikuwa nimepakumbuka nyumbani",
alafu nilikuwa na kiu sana, ila nilishangaa mno, kwasababu sikukuta mtu
ndani,maana niligonga sana mlango hakuna
alie fungua, ndipo nikaamua kuingia ndani kuangalia kuna nini, dah sikukuta mtu
hata mmoja kila mtu ameogopa nyumba, kwamba niya kishetani.
Doohh mimi
sikuchelewa maana nilikuwa nimeisha pazoea pale nyumbani ndipo nikakimbia
haraka haraka kumfhata Anna ili tuishi pale, maana nilikuwa nimechoka sana
kulala nje na kwenye vibanda, anna alifurahi sana tulipo kuwa pale hivyo na
mimi nikaanza kupambana sana kutafuta hela ili tuweze kula na kusukuma siku
mbele, siku moja usiku nimelala nikaanza kusikia upepo yaani kama vile
mashetani yanakuja kutu ua, dooh niliogopa sana lakini nikapiga magoti kumuomba
mungu anisaidie nisife, mara ghafla nikasikia Anna analia chumbani kwake yaani
kama vile anakabwa koo, nikajua tayari hapa tumeisha, kipindi sasa natetemeka
naogopa hata kumfhata anna chumbani kwake, mzimu wa marehemu mjomba wangu
ukanitokea na kusema kwamba, "ninakulinda sana mwanangu hakuna wa kukutesa
hii nyumba ni yetu na hakuna hatake weza kuishi hapa bila wewe kukaa hapa"
pale pale nikasikia anna ameacha kupiga kelele, watu walikuwa wananishangaa
sana mimi kukaa pale, maana ile nyumba ilikuwa inaogopwa mno na ilitelekezwa
kwa mda mrefu hivyo watu walijua lazima na sisi tutakufa tu. Maisha yaliendelea
vizuri maana nilikuwa najiusisha na mambo ya ujenzi ili tuweze kuishi vizuri na
anna, siku moja nikaphata wazo la kumuanzisha anna shule ya msingi, maana Anna
alikuwa mpole na muelewa sana hivyo nikakapenda sana kale katoto, sasa wakati
naenda shule kuangalia nafasi ili Anna aanza shule, kumbe anna alikuwa
anachezea kibiriti chumbani, anawasha moto anazima, akiwasha njiti anaweka
mdomoni anazima, sasa wakati anafanya vile, kile kiberiti kikadondoka kwenye
nguo kavu, moto ukaanza kutanda ndani anna akiwemo humo humo, huwezi amini
nyumba iliteketea, Anna alizidiwa na moshi , alipiga kelele mno, ila watu
hawakuja kusaidia maana waliogopa ile nyumba kuwa ni ya kichawi, kila kitu
kikaugungua mpaka nyumba ikabomoka anna akafia humo humo ndani ,,
Maisha yangu yalikuwa magumu sana, ikafika hatua
nikaona bora na mimi nife tu, maana sikuona tena thamani ya kuishi duniani,
ndipo nikaphata wazo la kwenda duka la madawa ili ni nunue sumu nife, maana
nilifikilia maisha yale ya kulala nje nikaona sio kabisa.
Nilipo fika
dukani, nikamkuta bibi flani hivi anauza dawa nikamwambia, “bibi samahani
naomba unisaide dawa ya kujiua maana sioni faida yangu kabisa hapa
duniani”,yule bibi akasema, “ebu kaa kwenye hicho kiti kwanza tuongee”.
Nikakaa, kipindi namsubilia aanze kuongea akasema, “kijana yangu, kwanini unhataka
kuondoa maisha yako wakati wewe bado mdogo hivyo, usione kama wewe unamatitizo
ukazani ni wewe tu, kila mtu duniani lazima apitie mhatatizo, na usione watu
wamenyamaza barabarani wanacheka tu, wanamatizo yao mengi na wamekubaliana
nayo, nakuomba kijana yangu ukitoka hapa, kaa chini tafuta maisha, usijifikie
kujiua ni dhambi sana hata kwa mwenyezi Mungu, na ukipambana utasahau mhatatizo
yako yote, itakuwa sio mhatatizo tena,bali zitakuwa story una simulia watu
yaliyo kukuta kipindi cha nyuma, usinione hapa bibi yako, mimi nilifiwa na
watoto wangu wote pamoja na mme wangu kwa siku moja, nilihisi dunia yote chungu
ila sahivi nimezoea na maisha yanaenda”
Yale maneno ya
yule bibi yalinipa faraja sana, nikaona hakuna haja ya kufanya dhambi niliyo
taka kuifanya.
Lakini
nilipambana sana kutafuta maisha, ila sikufanikiwa kabisa, maana nilianza kazi ya
ulinzi kwa mama mmoja hivi, lakini alikuwa na roho mbaya sana hata zaidi ya
shangazi na nilikaa nae miaka saba namfanyia kazi, ila mateso yake yalinichosha
sana.
Siku moja
nilikaa nikawaza na kujishauri mwenyewe nikaphata wazo kuwa nitoke ile sehemu
nisafiri kabisa kwenda jijini Dar es salaam kutafuta maisha, lakini nilikuwa
naumiza sana kichwa, je nikienda dar nitaishi wapi, wakati sina ndugu wala
rafiki yoyote wa kunikaribisha.
Ndipo nikhatafuta
nauli ili niondoke pale, wakati nhataka kuondoka nilipo muaga bosi wangu
aliumia sana, akaanza kusema, “usiondoke Nelson nitakuongezea mshahara, baki
kwangu maana vijana wengine ni wezi nikiwaleta hapa whataniibia sana vitu
vyangu, mimi nimekuzoea wewe naomba usiondoke”.
Nilifikilia sana
je nibaki, lakini akili yangu ilikhataa kabisa kubaki pale, ndipo nikaamua
kwenda kituo cha mabasi ya kwenda dar, es salaam.
Wakati nipo
safarini, nilikuwa nimekaa na baba mmoja hivi tajiri sana, maana kila basi
lilipo kuwa lina simama yeye anatoa waleti yake imejaa kweli pesa ananunua
vyakula na kunigawia mimi pia, nilimuelezea mhatatizo yangu kuwa naenda sehemu
nisiyo ifahamu na sina ndugu yoyote kule ila yeye alikuwa analala sana kwenye
basi anisikilizi kabisa ninacho mueleza.
Safari ya dar es
salaam ilikuwa ndefu sana, na ilikuwa inachosha mno, maana nilishangaa basi
linaondoka tu hata atufiki.
Hivyo tulikuwa
tunalala na kuamka bado basi lipo njiani. Kipindi basi lipo katika mwendo mkali
sana, dereva bahati mbaya nayeye kumbe alikuwa amechoka mno, hivyo ile stelingi
yake ya gari ikaama, ndipo basi ikaacha njia, alipo shituka akawa amechelewa
tayari, hivyo basi likaanza kwenda mlimani, lina angusha miti, watu walilia ,,
tulijibonda sana ndani ya basi, kumbe dereva
na yeye ali ruka na kutoka nje, sasa basi lilipo fika juu kabisa ya
mlima, likagonga mti mkubwa kisha likasimama,
kipindi limesimama, tukatulia wote, kumbe tulikuwa juu ya mlima, hivyo
lile basi likaanza kurudi nyuma likibinuka, dooh, “sitaisahau ile safari ,”,
basi lilirudi kwa kubinuka mpaka chini kule tulipo toka, damu zilijaa mule
ndani, watu tulikuwa tunagongana, baba mmoja alikuwa na familia yake yote mule,
walifariki na hakuna alie pona zaidi yangu mimi na dereva alie ruka, lakini
niliumia sana mwili, nilijaa na vidonda karibia mwili mzima, ndipo magari ya
hospital yakawa yamefika pale, na mimi nikajikuta nimefikishwa hospitali bila
kujua.
Baada ya
matibabu nikaendelea na safari ya kwenda Dar es saalam, sasa wakati nafika
ubungo kwa mara ya kwanza, sikujua kabisa niende wapi, maana sikuwa na ndugu
wala rafiki ninae mjua, ila wakati nipo barabarani niakona bango kwenye nguzo
limeandikwa, “kuna nyumba zinajengwa hivyo kama wewe ni fundi au kama unahitaji
kuwa kibarua piga namba 0769510060”, sikuchelewa nikapiga simu hapo hapo, maana
ile simu ya marehemu shangazi yangu nilikuwa nayo mimi.
Nilipo fika
kazini, watu wa dar es salaam walinishingaa sana jinsi ninavyo piga kazi
kuwashinda hata wao, na nikaomba niwe nalala pale pale kwenye nyumba ili niwe
mlinzi, kwa sababu nilifurahi maana nilikuwa nalipwa vizuri kila baada ya kazi.
Baada ya miezi
sita, nikapanga chumba, na nikabadirisha kazi, kisha nikaanza kuuza, “housing
za simu”.
Siku moja nipo
barabarani nikakuta na dada mmoja hivi anaitwa vaileth, huyu dada alikuwa anhatafuta
“housing ya simu” maana kava ya simu yake ilikuwa imechakaa, alinisimamisha na
kusema kwamba, “samahani kaka naweza kuphata kava ya hii simu yangu?”
nikamwambia, “simu gani” akanionyesha simu, ila kwa bahati nzuri au mbaya
nilikuwa sina hiyo kava ila nikamwambia kwamba, “dada nisamee tafadhali
nimeishiwa hizo kava lakini, kesho au leo jioni, nikifhata mzigo naweza
kukuletea, labda uniachie namba yako ya simu, mimi nikiliphata nitakupigia tuonane
ili ulifate”
Tulibadilishana
namba kisha nikaondoka, kweli niliphata kava ya simu yake lakini siku hiyo
nilikuwa najisikia vibaya sana, hivyo nikampigia simu na kumwambia kwamba,
“besti kava nimeliphata lakini leo najiskia kuumwa hivyo siwezi kufanya kazi
kabisa labda kesho nitakutafuta ili nikuletee”
Vaileth akasema
“hapana kaka, nimelitafuta ilo kava kwa mda mrefu sana naomba unielekeze ulipo
ili nilifate hapo hapo nyumbani kwako”
Niliogopa
kumruhusu aje maana nilikuwa nakaa sehemu mbaya sana, na ndani kwangu nilikuwa
sina vitu kabisa hivyo nikaogopa aibu. Nilishangaa kuona ananilazimisha apajue,
hivyo sikuwa na jinsi nikamuelekeza, hazikupita hata dakika 30 vaileth akawa
amefika ndani kwangu.
Nilimuonyesha
kava akasema, “heeeeee , asante kaka umejuaje kuwa napenda hii langi ya njano ,”
Nikamwambia,
“mimi ni mzoefu wa kazi yangu hivyo nikimuangalia tu mtu najua anapenda nini”
alinilipa pesa yangu kisha akasema nikiphata shida nitakupigia, mimi nikacheka kisha
nikamuuliza, “hivi dada mpaka upate shida ndiyo unipigie hauwezi kupiga tu
tukaongea na kushauriana maisha”, alicheka pia kisha akasema, naona umejitahidi
sana ndani kwako pazuri, “mhhhhh” nikaguna,
akauliza mbona unaguna sasa, nikasema, “lazima nigune maana unanisanifu,
hivi unapo sema humu ndani pazuri, kuna nini kizuri”, alinijibu na kusema
kwamba, “kutokana na kazi yako unayo ifanya, sikutegemea kama umejipanga hivi,
inaonyesha una akili kubwa sana ya maisha”, nilimwambia kwamba, “nimepitia mambo
mengi sana magumu, hivyo lazima
nipambane nifike mahara pazuri”
Niliendelea
kuwasiliana na vaileth, na alikuwa akiniambia mambo yake mengi sana, na mda
mwingine alikuwa anakuja kwangu tunakaa na kuongea kwa mda mrefu sana, siku
zingine alikuwa ananunua vitu vya ndani analeta kama mashuka, mito, vyombo vya
kupikia, mpaka nikajikuta naingia katika mahusiano ya kimapenzi na vaileth.
Tulipendana
sana, mpaka tukawekeana ahadi ya kuoana, yeye alikuwa anaishi kwao, Ila wazazi
wake walikuwa hawaitaji mtoto wao kujiususha na maswala ya mapenzi kabisaaa.
Siku moja
naongea nae kwenye simu usiku, nikasikia mama yake anaingia chumbani na
kumwambia, “hivi kumbe siku izi unachelewa kuja nyumbani kumbe umeanza tabia za
wanaume, sasa hii simu naichukua na sikupi tena, na humu ndani utakuwa hutoki
kabisa”
Yale maneno ya
mama yake vaileth yaliniumiza sana maana nilikuwa nimeisha mzoea tayari yule
dada, baada ya miezi kadhaa kuisha nikiwa sijaonana wala kuwasiliana na
vaileth, kodi ya nyumba ikawa imeisha, na mama mwenye ile nyumba alikuwa
anategemea sana kodi maana alikuwa hana mme wala kazi yoyote, dooh nilishangaa
kuona ananigongea mlango, mwenye nyumba na akasema, “kijana yangu kesho andaa
pesa yangu, ukitoka kazini nakuja kuifhata,”
Dooh hali yangu
ilikuwa ngumu sana mwezi huo, hivyo nilivyo rudi kutoka kazini yule mama akaja
tena mlangoni akasema, “Nelson rafiki yangu nimefhata pesa, sasa hivi nina hari
mbaya,” ikabidi nimkaribishe ndani ili nimuelezee jinsi hari yangu pia ilivyo
ngumu.
Sikuamini
kusikia maneno ya ajabu aliyo sema, maana alisema kwamba, “kama upo tayari
nilale leo chumbani kwako, nitakusogezea mwezi mzima, maana kama unavyo jua
sina mme ila hata mimi napenda kufanya ilo tendo, niruhusu tulale wote hapa,
unijari na mimi nikujali tusaidiane maisha”, nilikhataaa kabisa nikagoma lakini
alinisukuma kitandani nakupanda juu ya mwili wangu huku akinishikashika sehemu
nyeti kunipa hamu akisema, “nisaidie Nelson tufanye mara moja tu”
Kipindi yupo juu
ya mwili wangu, kumbe vaileth alikuwa amephata nafasi ya kwenda kwenye harusi
ya dada yake hivyo akatoroka na kuja kwangu ili anielezee kuwa ana mimba yangu,
alipo fika akasukuma mlango na kumkuta mama mwenye nyumba yupo juu yangu
ananipapasa, huku mimi nipo chini palepale kitandani.
Baada ya mpenzi
wangu vaileth, kunikuta na mama mwenye nyumba ndani tena ubaya zaidi pale
kitandani, alianza kulia ,, dooh, aliumia sana kisha akisema kwamba, "Nelson
kumbe we ni maraya, kumbe wewe ni muongo Nelson, yaani mimi naphata mhatatizo
mengi nyumbani kwa ajili yako, kumbe hunipendi unanidanganya, sasa kama hii
ndiyo tabia yako, hata hii mimba yako natoa". Dooh nilishangaa
nikamuuliza, "vaileth una mimba?" Palepale yule mama mwenye nyumba
akasonya na kutoka nje kwa hasila. "Vaileth akaishiwa nguvu kabisa,
akaanza kulia tena" nikamshika mkono ili nimuelezee kitu kilicho sababisha
atukute katika hali ile, ila alisema, "usinishike, yaani nakuomba tena
unikome na usinizoee, hivi unajua nimetoroka ndugu zangu kwenye harusi kwa
ajili yako, kumbe hizi ndiyo tabia zako za kutembea na hawa watu wazima zaidi
yako, sasa naondoka na hapa sirudi tena, na usije kunitafuta katika maisha yako
yote". Kipindi vaileth anageuka kuondoka, nikamshika nguo yake kisha
nikapiga magoti chini na kumwambia kwamba, "nisamehe mpenzi wangu, najua
nimefanya kosa, lakini hili kosa ni shetani tu, nhawara sijapanga kufanya hivi
ni shida tu za dunia zinapelekea kufanya haya yote mpenzi wangu, naomba tukae
tupange kuhusu hiyo mimba ", vaileth alinisukuma kisha akaondoka kwa
hasila na chuki kubwa sana kwangu, Alipo ondoka nikajaribu kumfhata ila
alikimbia akionyesha wazi kuwa aniamini tena kama mwanzo, sasa wakati narudi
chumbani kwangu, nikiwa kitandani nalia nikimuwaza Vaileth, akarudi tena yule
mama, akasema, "Nelson, najua nimekuudhi lakini tatizo limeisha tokea
tayari, we muache aondoke tu, mimi nipo kwa ajili yako," nikamwambia,
"ondoka ndani kwangu, yaani sitaki kukuona hata kidogo", yule mama
alinuna akasema, "yaani hujanilipa kodi yangu, alafu unanifukuza kwangu,
kumbe wewe jeuri ehh, sasa naomba kesho uondoke" dooh nilifikilia sana
nikiondoka pale naenda wapi tena, sikuwa na jibu kabisa, ikanibidi nikubaliane
tu na shida zangu niwe mpole, nikasema, "nisamehe ni hasila tu lakini leo
siwezi kufanya unavyo taka wewe",
huwezi amini, yule mama alikuwa king'an'ganizi sana, akaanza tena
kunishikashika mwili wangu, akakaa tena kitandani kwangu, kisha akavua nguo
zake zote na akalala juu yangu, akiitaji na mimi pia nibaki uchi tufanye tendo,
sikuwa nampenda kabisa yule mama, na nilikuwa nachukia kumuona anavyo fanya
vile vitu ila sababu ya u, wangu alinithawara sana nyumbani kwake, sasa kipindi
yule mama ananilizimisha nivue nguo ili nifanye nae lile tendo, kiukweli
nilikuwa nakhataa, lakini sikutaka ajue kama nakhataa, kwasababu nilikuwa
namwambia kijanja kwamba, "subili kwanza, mbona bado mapema ,, yaani leo
tu tumejuana na leo hii hii unhataka tufanye" yule mama alikuwa mjanja
kweli, hakuniachia bali alianza kusema, "Nelson una macho mazuri ,,
nakupenda sana, yaani unanivutia mnoo", kumbe Vaileth kipindi anakimbia
kuondoka, alifika sehemu akasimama kisha akajifikilia jinsi alivyo na ujauzito
wangu, akaona ni bora tu arudi nyumbani kwangu, ili anisamehe na hayo mhatatizo
yaishe, na wakati huo mama mwenye nyumba amevua nguo zake kazidondosha chini
hapo anhataka tufanye alafu kibaya zaidi mlango upo wazi! Kipindi sasa yule
mama anajichekesha, huku na mimi pia nacheka kinafiki ilimladi tu nimdanganye
danganye asifanye mapenzi na mimi, vaileth alikuja tena ili anisamehe akakuta
tena yule mama yupo juu ya mwili wangu na amevua kabisa mavazi yake yote, dooh
alichoka, akasema, "Nelson ulaaniwe we kaka, unanifanya nini hichi Nelson,
yaani nimekuja kukusamehe, kumbe hujakoma tu na tabia yako, wee mama kwanini
unanikosea hivi", yule mama akasema, "looh toka tu nje umekuwa
kin'gan'ganizi sana we dada" mimi nikasema, "hapana usimwambie hivyo
mpenzi wangu nampenda" vaileth akasema wehh nikome, unampenda nani,
nakuuliza unampenda nani, yaani kujipendekeza kote huku kumbe wewe ni mjinga
hivi, hivi kwa fumanizi hili unaweza kujitetea nini?" nilishindwa
nijitetee vipi kabisa, niliona aibu sana, Vaileth alinuna, ndipo yule mama
akasimama kwa zalau na akavaa nguo zake, vaileth akasema, "sasa hii minba
yako naipeleka wapi, nilihisi nimephata
mwanaume bora kumbe una roho mbaya hivi, najuta hata kukufahamu we mkaka"
yule mama akasema, "mimba itoe kama utaki kuzaa" dooh vaileth
alikasilika kusikia yule mama anaongea vile, alimsuka chini na kuanza kumpiga,
yule mama akamsukuma na mguu vaileth, ndipo vaileth akaangukia kwenye vyombo,
kumbe kulikuwa na kisu kwenye vyombo, ndipo bahati mbaya kikamchoma mgongoni
mpenzi wangu hakukaa hata dakika nyingi , alifariki palepale.
Sasa, kwa mara
ya kwanza sikuamini kama amekufa maana kisu kilimchoma mgongoni kwa nyuma,
hivyo sikukiona kisu mwanzoni, ila nikashangaa kuona damu zinamtoka mdomono na
puani pia, sasa wakati namgeuza kumuangalia nikashangaa kukuta kisu kimemchoma
mgongoni mwake, dooh nilihisi kuchanganyikiwa kabisa, sauti ilikhata mwili wote
ulijaa jasho mikono ilikuwa inanitetemeka tu, nakajiuliza, "dooh mtoto
wawatu amefia ndani kwangu, nitasema nini mimi, zaidi ya kwenda kuozea
jela" yule mama mwenye nyumba aliogopa pia, akasema, "nisamee Nelson
sikutaka iwe hivi", nilishikwa na hasila yaani nilimpiga kofi yule mama
kisha nikamwambia, "haya yote umesababisha wewe kwa sababu ya tamaa zako
za mapenzi, ona sasa umemu ua binti wawatu, alafu kibaya zaidi amekufa na mtoto
wangu akiwa tumboni, umephata faida gani sasa" yule mama akasema, "Nelson
tatizo limeisha tutokea tutafute njia zingine za kutoa huu mwili hapa, maana
tukigundulika tu na serikari, tumeisha". Kumbe kule kwenye harusi, ilikuwa
imemalizika na wanaitaji kuondoka kwenda nyumbani, sasa walishangaa kuona
hawamuoni vaileth wakati walikuwa nae kwenye harusi, alitafutwa sana, hawakumphata,
na walishindwa kumtafuta kwenye simu maana, mama yake alimnyan'ganya simu
kipindi cha nyuma, dah walipatwa na wasiwasi sana, binti yao yuko wapi, mpaka
ile furaha ya harusi ikawa imepotea. Huku nyumbani kwangu, tumechanganyikiwa
tunashindwa tutautoaje ule mwili mule ndani ili tusijulikane, dah "unajua
nilihisi kama ni ndoto" maana vaileth alikuwa anaujauzito wangu na anakufa
nikiwa na mtazama, ikanibidi nikae tu chini nilie kwanza, yule mama akasema,
"Nelson acha kulia, tuangalie jinsi ya kumtoa hapa huyu dada usiku huu
huu, maana tutaphata mhatatizo makubwa sana" dah yule mama aliendelea
kusema "sasa mimi nina mifuko mikubwa mule ndani, ngoja tumfunike kwanza
na mashuka kisha tumuweke kwenye mfuko alafu mwili wake tuka utupe pale
barabarani" nililia nikasema, "we mama acha roho mbaya kwanini
tumtupe sasa" akasema, "sahivi ni saa nane usiku, hamna watu wengi
tufanye haraka haraka, tukizubaa tutagundulika Nelson, kaa ukijua hii sio kesi
ndogo ni kosa kubwa sana katika maisha".
Dah sikuwa na
jinsi ikabidi nikubaliane na mawazo yake, tulimbeba vaileth usiku huohuo, kisha
tukauweka mwili wake karibia na barabara, sasa wakati tunarudi ikabidi nimshike
vaileth kwa mara ya mwisho ili anisamee kabisa mimi maana sikutaka iwe hivyo
ilivyo tokea. Wazazi wa vaileth waliangaika sana kumtafuta binti yao, ila
asubui ilipo fika walishangaa kuletewa maiti kuwa binti yao ameuliwa na watu
kwa kisu. Dooh walilia sana wazazi wake na ndugu zake pia. Lakini baba yake
alisema, "alie muua binti yangu, hatajuta maisha yake yote" kipindi
tupo msibani, nilikuwa nalia sana, maana nafsi yangu ilikuwa inanisuta sana,
watu wakasema, "kaka mbona unalia sana, kama vile huyo dada kakuuma
mno", nikawambia, "hapana alikuwa mteja wangu mzuri, nilikuwa nimemzoea
sana ndiyo maana naumia tu". Sasa baada ya msiba kuisha, kumbe baba yake
vaileth alikuwa ameumia sana kumpoteza mtoto wake, ndipo baba yake vaileth
akaenda kwa mganga wa kienyeji ili ampe adhabu na amuumbue alie muulia mtoto,
mganga alimwambia, "mimi niletee mifuko walio mfunikia marehemu",
kweli aliepekewa, kisha mganga akasema nhataka kumfanya alie muua huyu binti
awe kichaa maisha yake yote, sitosahau huo mwaka, , siku moja tupo pale
nyumbani, alianza kwanza yule mama mwenye nyumba kucheka cheka ovyo kila mda,
baada ya wiki akachizi kabisa na akaanza kuvua nguo ovyo akisema kila mda,
"nimeua, nimeua" baada ya wiki mbili na mimi pia nikaanza kusikia
vitu vingi vinagongana kichwani mwangu, kisha naona kama mtu anhataka kuniua,
ndipo watu wakashangaa kuniona naanza kukimbiakimbia mwenyewe, wakasema, "Nelson
vipi leo, mbona anakimbia kama kichaa tena kama vile anakimbizwa" yaani
hazikupita hata siku mbili, nikatoka pale nilipo kuwa nimepanga, nikaacha kila
kitu changu, nikaamia sehemu nyingine, kisha nikaanza kuokota takhataka ovyo,
na mimi pia nikawa kichaa kama yule mama mwenye nyumba
Maisha yangu
kipindi nipo kichaa, nilikuwa siyakumbuki kabisaaa, ila nilisimuliwa tu,
kwamba, siku moja nilikuwa sokoni, sehemu wanapo uzia chakula, nilifika kisha nikavua
nguo zangu zote na kuinama watu wakiwa wananitazama, sasa jamii ya pale
ilinichoka kabisa kwa zile tabia zangu za kubaki uchi kila siku huku watoto
wakinitazama, mda mwingine mabinti wakinitazama nikiwa uchi pia, ndipo wakaamua
kuniamsha mji na kunipeleka sehemu nyingine, kumbe mimi nilikuwa nhatabia za
ajabu kabisa, maana kila nilipo kuwa nikijisaidia, kile kinyesi nilikuwa
nakishika na kukipakaza chini ili watu wakasilike tu. Sasa kumbe yule mama
mwenye nyumba ambae alikuwa kichaa, yeye pia aliteseka zaidi ,, maana alikuwa
anaishi kwenye jalala chafu sana kule
alipo kuwepo, na aliendelea kusema neno lake kuwa "nimeua"
sehemu yoyote aliyo kuwepo. Baba vaileth alifatwa na ndugu wa mama mwenyr
nyumba, ili atupe msaada tupone ukichaa lakini yule baba alikhataa kabisa kisha
akasema, "waache waishi hivyo hivyo maana waliona kumu ua binti yangu ni
sahihi", siku moja usiku kipindi yule mama mwenye nyumba yupo jalalani
amelala, walikuja vijana wa nne walevi tu hawajitambui kabisa akili, walimshika
kwa nguvu mama mwenye nyumba, wakamziba mdomo na kumvua nguo zake zote, mmoja
wa wale vijana akambaka yule mama akiwa na uchizi wake ule ule bila uoga
kabisa. Sasa walivyo maliza ujinga wao, baada ya miezi kadhaa kumbe yule mama
chizi alikuwa amephata mimba ya yule alie mbaka, dooh hii ilikuwa ina shangaza
sana watu, maana walijiuliza sana kwamba, "inakuwaje huyu kichaa apate
mimba, hivi wanaume hawaoni kuwa huyu ni kichaa mpaka wamfanyie unyama ,"
kweli yule mama aliendelea kuteseka na ujauzito wake, na alikuwa hapati matunzo
mazuri kabisa, maana alikuwa anakula zile takhataka zake za jalalani, huku
mtoto akiwa tumboni, wapita njia walikuwa wanamuonea sana huruma maana alikuwa
anatumbo kubwa lakini anatembeatembea sana, mda mwingine anakimbia tu mwenyewe
akisema "nakufaa" alafu baada ya dakika chache anacheka, dooh baada
ya miezi tisa akiwa bado na ujauzito wake, ilikuwa usiku sana mvua inanyesha
kwa nguvu mno, yaani kila mtu kalala sana, huku uchungu wa kijifungua ulimshika
yule mama, alianza kulia sana damu zilipo mtoka sehemu zake nyeti, akiitaji mtu
amsaidie, alijikaza na kusukuma katoto lakini ilikuwa ngumu, na wakati huo mvua
inamnyeshea pale nje, mama wawatu hana kanga, hana hata kitu chochote cha
kumbebea mtu au kutandika chini ili ajifungue, alipo ona anaangaika, akaamua
kujikaza na kusukuma mtoto kwa nguvu sana, dooh wakati anafanya vile, mungu
alisaidia akajifungua salama lakini yeye akawa amepoteza maisha yake ,, katoto
kalitoka ka kike kakaanza kulia, sasa kutokana na ile mvua usiku, kale katoto
kalizidiwa kakafariki pia, kesho yake asubui watu kipindi wanapita maeneo yale,
wakamkuta yule mama kichaa amefariki pale jalalani, na walivyo angalia pembeni
wakakuta alijifungua katoto pia kamefariki. Ilikuwa ni huzuni sana, yaani
taarifa zilifika mpaka kwenye vyombo vya habari, habari zilipelekwa zikaenea
sana mpaka magazetini.
Baada ya mama
mwenye nyumba kufariki, nilibaki mwenyewe nikiwa na uchizi wangu ule ule,
lakini mimi nilikuwa na uhafadhari kidogo wa kujielewa, maana Vaileth sikumuua
mimi. Hivyo nilikuwa sijitambui kiakili lakini nilikuwa najua kuomba chakula
kwa watu, mda mwingine naenda sehemu yoyote kisha naanza kufanya kazi kwanzia
asubui hadi jioni mpaka kazi inavutia, ndipo wale watu wa pale wakiona kazi yao
imependeza, wananipa chakula kisha mimi kwa upande wangu nafurahi sana.
Kutokana na uchapakazi wangu, kuna mama mmoja alitokea kunipenda sana, na
alitamani sana nipone ukichaa ili aniajili niwe namsaidia kazi zake za pale
kwake kwa sababu yeye mda mwingi alipenda kwenda kanisani kushinda uko maana
alikuwa mcha mungu sana. Siku moja aliniita, sasa mimi nilikuwa na mtindo wa
kukhataa watu nisio wajua, ila kama mtu alisha wai kunipa chakula akiniita tu
naenda, huyu mama alisema, "Nelson mwanangu njoo", mimi nilikuwa
sijitambui kiakili ila nikaitika "abeee nakuja" akaniambia,
"mwanangu kijana wa Mungu, mtu akikuita, usiseme abee, maana abee ni ya
wanawake, wewe sema naamu, ndiyo yenu
wanaume" mimi sikujibu nikacheka tu, akauliza tena, "Nelson, hivi
kwanini umekuwa kichaa mwanangu" nilipo sikia vile dooh, nilikimbia
niliogopa ilo swali maana nilihisi
kichwa kina gongwa na nyundo, yaani pah pah! Tena kwa nguvu sio kidogo, yule
mama alishangaa mno na hakuelewa kwanini nimekimbia nikilia kwa sauti vile kama
mtoto. Kumbe yule mama bado shida yake ilikuwa haijaisha alitamani sana
kunisaidia na kuakikisha kuwa mimi Nelson napona na ninarudi katika hali yangu
ya kawaida, ndipo yule mama akaenda kwa mama yake kijijini, maana yule mama
yake alikuwa ni mzee sana na alibarikiwa na mungu, maana madawa yote ya miti shamba
na kila dawa za mimea alizijua sana yule bibi, sasa yule mama alipo fika
akamuuliza mama ake anae jua madawa kwamba, "mama kule mjini nimephata
kijana mchapakazi sana, lakini nikichaa nhatamani sana apone ukichaa wake, ili
nikae nae anisaidie kazi zangu za pale nyumbani" mama yake akamwambia,
"dawa zipo za miti shamba za kumpa na kumfanya apone, lakini cha msingi
tunahitaji kujua nini chanzo cha kumfanya yeye awe chizi" yule mama
akamwambia kwamba, "mama, yule Nelson nimeisha muita akaja vizuri tu, lakini
nilipo mdokezea kuhusu kwanini amekuwa kichaa alikimbia sana tena akilia hadi
nikapatwa na huruma", mama yake alicheka sana, hahahaha! hahahaha!
hahahaha! Kisha akasema, "mwanangu hakuna chizi hatakae weza kusema
kwanini alikuwa chizi kiulahisi tu, kuna mbinu za kitaalamu zinazo
tumika", yule mama akauliza, "mama mbinu zipi hizo" ndipo yule
bibi akamwambia, "leo ukifika muite kisha kaa nae chini au hata ndani,
alafu chukua kiwembe cha gillete uanze kumkhata kucha zake za miguuni ukianzia
kidole kidogo kwenda kikubwa, hapo ukimuuliza jambo lolote hatasema tu,"
kweli yule mama alipo rudi kutoka kijijini kwao, aliniita, "Nelson
njoo" nikaitika tena "abee" akasema "hivi wewe uelewi tu,
sinilikuzuia usiitike hivyo" kuna mtu alikuwa anapita maeneo yale akasema
"dada hapo ni kama unampigia mbuzi gitaa ili acheze, huyo ni chizi"
yule mama akamwambia "hata wewe unaweza kuwa chizi" ndipo yule mama
alinikalisha chini kisha akasema, "Nelson kucha zako ndefu sana, alafu
chafu, naomba usogeze mguu nikukate" nikasema, "sawa dada"
wakati ananikhata nilikuwa nasikia raha sana kwenye nafsi yangu, nilijihisi
kufurahia mno akilini mwangu, kisha akaniuliza, "Nelson kwanini umekuwa
kichaa" nilimjibu kwa raha teletele kuwa, " mama, mimi nilikuwa na
mchumba anaitwa vaileth, tulipendana sana, lakini mimi nilikuwa na kipato
kidogo cha pesa hivyo mama mwenye nyumba akanitaka mimi kimapenzi, ili
nisimlipe kodi ya nyumba maana nilikuwa sina hela hivyo nisinge mpa penzi, basi
angenitimua kwake, sasa kipindi yule mama mwenye nyumba ananilazimisha mimi
kufanya nae ngono ili afurahi, ndipo mpenzi vaileth akatufumania tumelala
kitandani mama mwenye nyumba akiwa juu ya mwili wangu, sasa yule mama mwenye
nyumba wakati anapigana na vaileth, ndipo akamsukuma vaileth kwenye vyomba
kumbe nyuma kulikuwa na kisu kikamchoma vaileth vibaya ndipo dada wawatu
alifariki! Ikabidi tumtoe na kumpeleka barabarani, baada ya hapo tuka logwa
wote na ndiyo maana mimi ni chizi" dooh wakati namsimulia yule mama kumbe
yeye alikuwa analia, akajisahau kidogo akanikhata kwenye kidole na wembe,
nilipo ona damu yangu dooh nilikimbia kutoka kwake bila hata kugeuka nyuma.
Kumbe yule mama
alirudi kwa mama yake kijijini ili amuelezee maneno niliyo mwambia, alipo
mwambia mama yake, akamjibu kwamba, "huyu kijana haja ua kabisaa, ameonewa
tu bure, na dawa yake sio kubwa ni moja tu, anhatakiwa kupiga magoti chini
kisha mzee yoyote wa kiume amshike kichwani, na huyo mzee hhatakiwi kujua au
kuambiwa kwamba amshike kichwani bari itokee bahati nzuri au mbaya Nelson apige
magoti chini kisha mzee mwenye m'vi amshike kichwani, hatapona hapo hapo na
hatorogwa milele " dooh yule mama akaona ilo zoezi ni gumu maana
"kama ingekuwa tunamwambia mzee amshike isinge kuwa ngumu, sasa mpaka
itokee bahati nzuri au mbaya dooh" akamwambia mama yake, kwani hamna dawa
nyingine mama?, "mama yake akasema, "huyo kijana amerogwa na waganga
wa kienyeji, na mimi huo uchawi sina, nina uwezo wa ki Mungu tu wa kugundua
dawa, sasa fanya kama nilivyo kwambia utafanikisha tu mwanangu" dah yule
mama alikaa akafikilia, akasali na kufunga kama siku tatu bila kula, ili mungu
ampe akili ya kunisaidia mimi ili tufanye kama alivyo ambiwa, ila hakuphata
jibu kabisaaa, sasa siku moja yule mama aliniita ili anipe hela ya kununua
chakula, sasa wakati nakimbia kumfhata maana nilikuwa nampenda sana ,, wakati
nakhata kona, nimkaribie yule mama! Niligongana na babu mmoja uso kwa uso, sema kweli niliumia ila yeye
aliumia zaidi maana nilimgonga mimi, sasa kutokana na zile huruma na uoga wa
ukichaa ikanibidi nipige magoti na kumuomba msamaa anisamee, nilisema,
"nisamee baba yangu, nisamee naomba nisamee nimefanya kosa, ilikuwa bahati
mbaya" yule babu akasema "nimekusamee", "ila mimi
sikumuelewa nikaendelea kulia nikisema nisamee babu nisamee usini laani"
yule babu akasema haya nakushika mpaka kichwa chako kukuonyesha kwamba
nimekusamee kwa roho moja mwanangu, "sasa yule babu, alipo chukua mikono
yake na kuiweka juu ya kichwa changu, huku mimi nikiwa nalia nimepiga magoti,
yule mama akakumbuka mama yake alivyo mwambia kwamba mpaka nipige magoti alafu
nishikwe na mzee kichwani mwenye m'vi, bila kuambiwa nitapona, huwezi kuamini
baada ya kushikwa na yule mzee akaondoka akaniacha pale nimepiga magoti tu,
baada ya dakika tatu, nilijishangaa sana kwanini nanuka, kwanini nimevaa nguo
chafu kwanini nimechafuka? Yule mama akasema, "ehhh mungu wangu, Nelson
umepona twende kwangu tuongee Nelson, maana hata mimi nimeangaika sana
kukufanya upone ili usiendelee kuwa kichaa,nimefunga siku tatu kwa ajili yako
mwanangu.
Nilipo pona ule ugonjwa wa kuwa kichaa,
kiukweli ilikuwa ni furaha kubwa kwangu pamoja na yule mama, sasa yule mama
alipo sema niende nae kwake niliamua kukubali, ila niliondoka nikiwa na aibu
sana, maana watu wengi walikuwa wananitazama wakiniongea kwamba, "huyu
mama kweli dini imemshika, yaani anamsaidia sana huyo chizi hela anampa chakula
anampa dahh!" Yale maneno yaliniuma sana, mpaka nikhatamani kuwambia
kwamba, ", mimi sio kichaa tena, nimepona". Sasa wakati tunaenda kwa
yule mama, bahati nzuri au mbaya tukamkuta mme wake akiwa ana msubilia mke
wake, kipindi tunafungua geti, alishangaa sana kuona mke wake anaingia na mimi
nyumbani kwake, akasema, "mke wangu, tabia gani hizi tena umeleta nyumbani
kwangu wewe, yaani unaleta vichaa kwangu, hivi hujui huyo kijana ni muuaji na
ndiyo maana ni chizi?" Yule mama akanitetea na kusema kwamba, "hapana
mme wangu usiseme hivyo, huyu kijana sio chizi kabisaa, amepona na hajawai kuua
maana amenisimulia tatizo lake hata mama kule kijijini kani hakikishia",
mme wake akasema "sasa ume mleta hapa wa nini ili afanye nini labda"
yule mama akamwambia, "baba Neema sikiliza mme wangu, kama unavyo jua humu
ndani hatuna msaidizi wa kazi, na mara nyingine nakuwa bize nachoka sana pia,
hivyo huyu kijana ni mchapakazi mno, nimemleta ili atusaidie kazi hapa nyumbani
maana ugumu wa maisha anaujua hawezi kuchezea kazi kabisa" baba Neema
alichukia mno akaongea kwa hasila sana kwamba "simtaki huyo chizi nyumbani
kwangu, huyo ni nikichaa na ni muuaji, na kama kazi kwanini usitafute mtoto wa
kike aje kusaidia hapa, au unampenda huyo chizi, maana siwezi jua" yule
mama neema alibaki na msimamo wake, akasema, "mme wangu, usimtukane hivyo
huyu kaka, maana hata yeye hakupenda kuwa hivyo unavyo sema wewe ila ni maisha
tu utokea," baba Neema akasema hivi, "sasa naona unhataka kuni
haribia siku, chagua moja, aondoke huyo chizi, au nikutolee mizigo yako yote
nje muondoke wote", nilipiga magoti chini kisha nikasema, "baba yangu
naomba nihurumie, ili nifanye kazi za hapa sina sehemu yoyote ya kuishi,
naombeni msaada wenu tafadhali, mama niombee nafasi kwa baba, nisaidie ,",
mama neema akasema, "mme wangu, tumsaidie kijana, hivi kama angekuwa
chizi, angeweza kuomba kazi vizuri hivi, huwezi jua labda mungu katuijia kwa
staili hii, ili kuangalia imani zetu, tumsaidie tu, maana msaada huu ni zaidi hata
ya kutoa sadaka kanisani" yule baba alikuwa na hasila sijui za wapi ,,
aliingia ndani akatoa mizigo ya mke wake kisha akasema, "naona siku hizi
heshima huna kabisaaaaa, sasa kwanza nimekuchoka na wewe, toka nje na huyo mme
wako kichaa mkaoane vizuri mnapo phataka, ila umaraya wenu amuwezi kuufanyia
ndani kwangu nikiwa kazini" dooh niliamua kusema, "baba, mimi naondoka, msamee mama abaki"
akasema, "mpuuzi mkubwa sana wewe unanijibu nyumbani kwangu, unajua
nimejenga hii nyumba kwa shingapi?, siwezi kuishi na chizi kama wewe, ondoka
kwangu ondokaaaaaa, mpuuzi mkubwa wewe, tena mkiendelea kuniwekea hewa chafu
hapa, nitawaua mimi" mama neema akasema, "mme wangu, hivi hayo
maamuzi yako ya kunifukuzafukuza hujayaacha tu," yule baba akasema,
"ohhh kumbe umezoea ehh, ninavyo kutimua na kukufhata umejua na leo hivyo
hivyo, sasa sasahivi sikufati ng'ooo na utajua huko huko na chizi
wako," nilimsogelea ili nimwambie
amsamee mkewe, dooh sitasahau maana alinipiga teke kifuani nikaanguka chini
kama gogo, ndipo akasema kwamba, "mjinga nini yaani unanuka shombo hivyo
alafu unani sogelea sasa ngoja nifate kisu niwaonyeshe" mama neema akasema
"tuondoke, huyu ni mjinga hatatuchoma kweli".
Tulitoka nje ya
geti hatujui wapi pa kwenda kabisa, nikamuomba mama neema msamaa maana mimi
ndiye nilikuwa chanzo cha yeye kufukuzwa na mme wake, nikamwambia, "mama
naomba unisamee najua nimekukosea sana, maana mme wako sizani kama
angekukasilikia bila mimi, naomba msamaa wako mama" alisema, "Nelson
mwanangu we usijali, huyu mme wangu uwa ana maamuzi ya haraka, kila ninapo
fanya jambo hata dogo ananifukuza alafu akikaa wiki moja ananitafuta
mwenyewe" sasa itatubidi tupande daladala twende Nadungeti, maana hapo
ndipo mtoto wangu ameolewa na wale sizani kama whatakukhataa maana mme wake ni
tajili sana ana pesa sana, alafu uyo uyo mwanaume yaani mkwe wangu ndiye bosi
wake mme wangu, hivyo twende tukamuombe, ili tukae kwake maana mimi siwezi
kukuacha wewe uendelee kuangaika mtaani, wakati sisi tunakula mpaka tuna mwaga
vyakula, ila Nelson, ninacho kuomba utunze heshima yako, uwe mchapakazi, usije
kuni aibisha kabisaaa" nilimpa ahadi ya kutekeleza maneno aliyo niambia,
kisha tukaondoka mpaka kwa mwanae neema alipo holewa, tulipo fika, ile nyumba
ilikuwa kubwa sana, maana tulifunguliwa geti la kwanza, tukatembea tena, tukafunguliaa
geti la pili, tukatembea tena dooh, ndipo tukafunguliwa geti la tatu na kuingia
pale ndani, sasa wakati bado hatujaenda sebreni, Neema alikuja kwa furaha sana
kisha akamkumbatia mama yake, sasa mimi nilikuwa mchafu sana, na bado nilikuwa
sijabadilisha nguo zangu nilizo kuwa navaa kipindi bado nipo kichaa, Neema
akasema, "mama huyu kijana mbona mchafu mno umemleta kufanya nini hapa
kwangu" mama neema akasema, "huyu ni rafiki yangu, nimeenda nae
nyumbani baba yako amenitukana sana na amenifukuza akasema niondoke nae turudi
tulipo toka, sasa sisi tumekuja hapa mtusaidieni ," Neema akasema,
"mama yangu wewe hauna shida unaweza kubaki, lakini huyu kaka hatuwezi
kukaa nae hapa mi naomba aondoke tu, na mimi naona baba yupo sahihi awezi kukaa
na kijana kama huyu, ebu angalia vidole vyake vya mguuni vilivyo pasuka pasuka,
tazama hizi nguo zinanuka, alafu mama hizi huruma zingine sio kabisa"
ndipo mimi mwenyewe nikasema, "dada, nisaidie ,, mimi naweza kufagia, kufua, kudeki, hata
kupika pia najua nitafanya kazi vizuri sana tena bureee" yule Neema
akasema "nini, yaani wewe unipikie mimi, unhataka niarishe au unhataka
niumwe tumbo, hivi hujioni ulivyo mchafu hivyo ebu toka hapa," ndipo
akaita mlinzi ili aje kunifukuza, sasa kipindi mme wake yupo ndani akashangaa
kuona wageni hawaingii ndani mda wote huo, na alikuwa amepewa taarifa na mlinzi
kuwa kuna mgeni anakuja, sasa wakati nimegeuka nyuma nafukuzwa na mlinzi, huku
mama neema analia, sababu hana jinsi tena ya kunisaidia, nikasikia sauti ya mme
wake neema ikisema, "askari usimfukuze mtu hivyo mkaribishe ndani
tumsikilize" mke wake akasema, "hapana baby aondoke" kipindi
nageuka nyuma kumuangalia mme wake Neema, sikuamini macho yangu kumbe mme wake
neema alikuwa ni yule pacha wangu Steven tulie zaliwa tumbo moja ila yeye
alitoroka kipindi mwenyekiti amefariki, nikasema, "steven ndugu yangu ni
wewe", akasema, "ni mimi kaka Nelson" mke wake akasema,
"bebi, unamjua huyu" mme wake akasema, "mke wangu kila siku
nakwambia mimi nina pacha wangu kijijini, ambae nilikimbia kuja mjini
nikamuacha yeye anateseka sana kule ndiyo huyu" mke wake alishikwa na aibu
sana, mama neema akasema, "ehhh mungu nikupe nini, Neema mwanangu unaona
sasa ulikuwa unamfukuza shemeji yako kwamba ni mchafu, angalia sasa kumbe
unafukuza ndugu ,, usiwe na roho mbaya kama ya baba yako mwanangu" yule
dada akasahau kama mimi ni mchafu akanikumbatia hivyo hivyo na kunikaribisha
ndani, tulipo ingia ndani, nikamsimulia pacha wangu mhatatizo yote yaliyo
nikuta kipindi cha nyuma, dooh alisikitika sana , na akasema "ndugu yangu
sahau shida zote za nyuma, kwa sasa utaishi maisha mazuri kama yangu, ila
nisamee sana maana nilitoroka na ningebaki huko nazani ninge uliwa na wale
watu". Nikamwambia, "nitasahau yote, lakini sitasahau KISU kilivyo
nisababishia mhatatizo mengi hapa duniani, kilitumika kuua mjomba wangu
kipenzi, kilimuua mpenzi wangu wa dhati vaileth mpaka nikarogwa nikawa chizi,
kisu, kisu nakiogopa" mjomba akasema, "jitahidi kusahau ndugu yangu,
maana hata mimi hapa tumboni nina alama kubwa sana, sababu nilivamiwa na
majambazi wanhataka pesa, nilivyo goma kutoa pesa walinichoma tumboni na kisu, yaani
kidogo nife, hivyo kisu nakiogopa pia" mke wake pacha wangu aliniomba
msamaa akiwa amepiga magoti, ili alete heshima ya ushemeji, ni mimi sikusita
nilimsamee pia, Baada ya miezi kadhaa nilipendeza sana, nilikuwa kijana mwenye
mvuto, pacha wangu alikuwa na ofisi nyingi, ndipo akasema hataniachia moja niwe
bosi wa hiyo ofisi, sasa kipindi anaenda kunitambulisha mimi kama bosi wa ile
kampuni, kumbe baba eema alikuwepo pale
na alikuwa ameajiliwa na ndugu yangu, hivyo mimi nilikuwa naenda kuwa bosi wake
na wakati alinifukuza kwake kama mbwa, nilikabidhiwa ofisi nikaphata pesa
nyingi sana, yule baba Neema alinifhata mwenyewe na kuniomba msamaa, sikuwa na
jinsi nilimsamee tu, maana sikuwa na roho mbaya ya kutu, ndipo akarudiana na
mama neema mke wake. Kiukweli nilimpenda sana mama Neema na nilimpa zawadi
nyingi na kumtunza sana, maana alikuwa mkombozi mkubwa wa maisha yangu, baada
miaka mitano nikafungua kituo cha watoto yatima na kuwatunza buree kabisa, na
mpaka sasa hivi nina mke na watoto wa
nne, ila pacha wangu hakubahatika kuwa na watoto kabisa, kama marehemu mjomba
wangu.
HUU NDIYO MWISHO
Post a Comment