SEHEMU YA KWANZA
Mapenzi ni hali ya kupenda na kuvutiwa sana, inayo jengeka
baina ya mtu mzima mmoja pamoja na mwingine. Lakini vilevile hayahaya mapenzi
yanaweza kukufanya ukonde, ufe, uumie, udhalilike, na ujione hufai kabisa
katika hii dunia, sababu ya msongo wa mawazo, haswa pale yule umpendae kwa
dhati, akibadilika na kukusaliti wakati bado moyo wako unampenda sana.
Sitasahau kabisa, maana nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumatano mida ya saa 11
jioni, nilikuwa natoka kazini naelekea nyumbani kupumzika, sasa wakati naendesha
gari, mala ghafla nikasikia kama kuna mabadiliko ya sauti ya gari langu, ndipo
nikaamua kusimamisha ili niangalie tatizo ni nini, nilifungua mlango wa gari
nakuanza kuchungulia kwenye uvungu wa gari, kumbe kulikuwa na njiti imenasa
kwenye chuma flani hivi ndani ya gari, hivyo ikapelekea gari kubadilisha mlio
wake sahihi. Wakati nafungua mlango wa gari ili niendelee na safari, nikasikia
naitwa na sauti ya kike, "kaka, kaka, kaka tafadhali subili" mimi
nilikuwa sina majivuno kabisaaa, na nilikuwa namsikiliza kila mtu na nilikuwa
nacheka na kila mtu pia" yule dada alipo fika karibu yangu, akaanza kulia,
"mhhhh! Mhhh!" Nikamuuliza, "we dada mbona sikuelewi, yani
umeniita mwenyewe, nimekusubili, alafu unalia, sasa mimi nakuelewa vipi hapo?"
ndipo yule dada akaniambia, "kaka yangu, naomba msaada wako, tangu jana
sijaweka chochote tumboni, wazazi wangu wanashida sana kijijini, naomba msaada
wako ata wa kazi tu yoyote ili nipate msaada kutoka kwako kaka, mungu
atakubariki tu", yale maneno ya yule dada yalinipa huruma kubwa sana
moyoni mwangu, mpaka nikawa mpoleeee, ndipo nikamuuliza, "dada lakini
mbona we mchafu hivyo, angalia nywere zako, nguo hufui, yani hujijali, hivi
huoni kama itakuwa ngumu sana kwako kufanya kazi kwa mtu yoyote ukiwa mchafu
hivyo?" Yule dada alijibu akisema kuwa eti, yale ni maisha tu hana pesa ya
sabuni ila akipata hawezi kuwa mchafu vile atapendeza sana. Kutokana na maneno
yake yule dada, ikabidi tu nimchukue ili nije nae kwangu kusudi awe mfanyakazi
wangu wa ndani, ili niwe naweza kupikiwa, kufuliwa na shughuri zingine za pale
nyumbani. Tulipo fika kwangu alishangaa sana kupaona maana nilikuwa na nyumba
nzuri na kubwa sana, sasa alipo kaa sebreni nikamuuliza dada hivi unaitwa nani,
akasema "mimi naitwa Elivia, na wewe je" nilimjibu kwamba, "mimi naitwa Yenda" nilimuonyesha mazingira ya
pale kwangu, nikamuonyesha na chumba chake cha kulala, Elivia hakuamini kabisa
kama ameipata hiyo nafasi ndipo akaanza kulia akisema, "kaka Yenda mungu akubariki
kaka, mungu akubariki umenisaidia kutoka kwenye njaa na dhiki, asante kaka
yenda" nilimwambia usijali ila cha msingi uwe na heshima upende kazi yako
ndipo tutaishi vizuri na kwa mda mrefu sana. Yule dada alikuwa mchapakazi sana
masikini, na alikuwa anapika chakula kitamu mno, hivyo nikaacha kula hotelini
nikawa nakula nyumbani kwangu, alijitahidi sana kufanya kazi mtoto wawatu, nguo
zangu anafua mda muafaka, mpaka nikaamua kuwa nampa pesa anaenda na yeye
kufanya manunuzi yake labda ya nguo mpya au kutumia wazazi wake kijijini. Siku
moja nilirudi nyumbani usiku nikiwa na njaa sana, Elivia aliamka na kunipakulia
chakula kisha akasema, "kaka yenda mbona leo umechelewa kurudi"
nilimjibu kuwa " nikazi nyingi ofisini zilinibana" akasema "hii
nyumba ni kubwa sana kaka, usiku naogopa kukaa mwenyewe" wakati ananipangia
chakula, maana nilimuamsha kutoka usingizini hivyo alikuja amevaa kanga moja
tu, sasa kipindi anapakua, bahati mbaya kanga ikajinasa kwenye meza, sasa
wakati akaenda kwa mbele ile kanga ikadondoka, nikiwa na mtazama kwa macho
yangu, Elivia aliona aibu akainama haraka haraka kisha akajifunika tena, mimi
mda huo nimeshikwa na butwaa maana umbo lake lilikuwa zuri sana yule dada, Elivia akasema "kaka yenda naomba
unisamee, najua nimekukosea nidhamu nguo kuanguka alafu nimebaki na nguo ya
ndani tu, lakini nakuhaidi hichi kitu hakito weza kujirudia tena." Wakati
anaongea hayo maneno mimi mawazo yangu yalikuwa mbali sana, maana nilijikuta
nimempenda ghafla huyo mfanyakazi wangu wa ndani, akasema, "mbona hunijibu
boss, umekasilika, nisamee basi"
nilimuangalia Elivia kwa jicho la mahaba, akaniangalia pia kwa jicho
zuri la mvuto tukiwa wawili humo ndani, nikataka kumkumbatia na kumsogeza
karibu yangu ila nafsi ikakataa kabisa ndipo nikaamua kujikaza, kisha
nikamwambia, "usijali nimekusamee maana hujafanya makusudi kudondosha
nguo, lakini jitahidi kuvaa nguo ndefu unapo kuwa sebreni, kama wageni wangu
wangekuwepo ungeniaibisha sana leo". Kesho yake wakati nipo kazini, akili
yangu haikukaa sawa kabisa, maana nilikuwa namfikilia sana Elivia sababu
mapishi yake niliyapenda sana, uchapakazi wake wote niliupenda na alikuwa
mchangamfu sana, umbo lake ndiyo dahh, hivyo nikapata wazo la kumwambia tu awe
mpenzi wangu ila badae awe mchumba kusudi baada ya mda nimuoe tujenge familia
yetu, lakini nilikuwa nawaza tena kwamba, huyu dada nimekutana nae barabarani
tu, yahani sijui kabisa historia yake ya maisha, sasa hii inaweza kuni kosti
badae mimi. Kipindi nipo najifikilia alikuja Tajwid mfanyakazi mwenzangu pale
ofisini akasema, " dooh kaka, we nomaa, yahani wewe sio mtu wa mchezo
mchezo" nikamuuliza, "kwanini kaka" huku nikiwa natabasamu tu,
alinijibu kwamba, "kaka juzi nilienda pale kwako nikakuta haupo bhana,
lakini baada ya mda akaja mke wako, dah umepata mke aisee, anaongea kwa upole,
anajua kukaribisha, alafu alinikaribisha chakula aisee anajua kupika weee sio
mchezo, kaka yenda muangalie alivyo na shape nzuri ya kuvutia pamoja na urembo
alio barikiwa, kaka hongera sana bhana umebahatisha sana" nilicheka sana,
Tajwid akauliza kaka "mbona unanicheka, au nadanganya labda ni ndoto tu
nimeona jini", nikasema "hahaha hapanaa bhanaa yule ni msaidizi wa
kazi zangu za ndani, sio mke wangu" dooh! Akashangaa sana Tajwid,
nikamuuliza, "vipi mbona unashangaa kaka" akasema yule dada alivyo
mrembo vile awe mfanyakazi tu wa ndani, hapana siwezi kuamini" nilimwambia
"amini hivyo", dahh baada ya tajiwid kuondoka nilikaa chini tena
nikashika kichwa changu nikafikiliaaaa, nikaona ni bora tu nimu oe huyo dada
maana kila mtu anamsifia, sasa ni bora ni muelezee ukweli tu awe mke wa nyumba
yangu.
Nilipo fika nyumbani, nikashikwa tena na uoga nafsi inakataa
kabisa nisi mtongoze, sasa wakati ananipakulia chakula nikachukua kijiko
nikapakua wali kidogo kisha nikamwambia, "Elivia njoo nikulishe kidogo tu
" akasema, "mhhh, unilishe kwani mi mtoto kaka" dooh nikaishiwa
nguvu maana nilitaka kuanza kidogo kidogo ili nimteke akili yake, alivyo ona
nimenuna yeye aliondoka akiwa amenuna, mpaka nikaona aibu sana, sasa wakati
nipo chumbani kwangu nimelala mida kama ya saa tisa usiku huo, niliota nipo na
Elivia kitandani, tukicheza mechi, kumbe ilikuwa ni ndoto tu, na kibaya zaidi
asubui nilijikuta nimejifunga goli mwenyewe. Kesho yake ikanibidi nijipange
kabisa ili nimuelezee ukweli kwa sababu
nilikuwa naona kama siku zinaenda alafu simwambia jinsi navyo muitaji
awe mke wa ndoa, nakumbuka ilikuwa ni usiku wa saa saba, nakafungua mlango
wangu polepole, ili nimfate mpaka kwake, ila sikutaka asikie kusudi nilale
palepale kitandani kwake akishtuka tu ananikuta nipo nae, nilienda kwa kunyata,
nikanya, nikanya polepole, nilipo fika nikachungulia kwenye mlango maana kwenye
kitasa kulikuwa na kitobo kinaonyesha ndani vizuri, sikuamini macho yangu kwa
nilicho kiona, kumbe Elivia alikuwa hapendi kulala na nguo na alikuwa hazimi
taa, hivyo sehemu zake nyeti za mwili zilikuwa wazi kabisa, sasa wakati
namtazama uvumilivu ulinishida hivyo nikafungua mlango wake polepole ili
asisikie, yeye alikuwa uchi na mimi mda huo naingia kwa kunyata chumbani kwake,
nilipo ingia ndani huku yeye akiwa ameitanua miguu yake yaani kaitupa kule amejiachia
kweli kweli, dah akili zangu za kichawi zikahama kabisaa, nikaanza kutumia
akili zingine kufikilia, yeye alikuwa amelala akiwa mtupu kabisa, hivyo na mimi
nikapata wazo kwamba nivue nguo zangu zote nibaki mtupu kama yeye,
"nikihisi labda atanionea huruma anipe" ndipo nikaanza kuvua nguo
zangu zote, wakati nimevua kila kitu sasa nataka kulala, nikamuona Elivia anajigeuza upande wa pili,
dooh niliogopa nikashtuka mno, kisha nikakimbia kulala chumbani kwangu.
Sasa wakati nipo chumbani, huku mwili wangu umechemka sana
natamani kucheza mechi usiku huo, nikashindwa kupata msaada, ndipo nikaingia
bafuni kisha nikapaka sabuni mkononi na kuanza kijifurahisha mwenyewe. Sasa
kwakuwa yule binti wangu wa kazi alikuwa analala akiwa katika hali ya utupu,
hivyo basi, alipo amka asubuhi akakuta nguo zangu zipo pale karibia na kitanda
chake, maana mimi nilipo vua wakati nakimbia niliziacha mulemule chumbani
kwake, sasa Eliva alipo ziona zile nguo akajiuliza maswali kwamba, "hivi
kaka yenda, alinibaka jana usiku au maana nguo zake zimefata nini hapa, na kama
amezileta nimfulie inamaana hajagonga hodi na amenichungulia jinsi nilivyo
jamani, na hajawai kunipa nguo zake za ndani nifue, inakuwaje ameleta leo"
Elivia alianza kuukagua mwili wake, kama labda nilimfanya kitu kibaya bila yeye
kupenda lakini hakuona chochote,
alinifata akiwa analia akasema, "kaka Yenda umenifanya nini jana
usiku" nikasema kwa uoga sana "ehh nini kwani" akasema,
"hizi nguo za nani?" Nikasema, "haaa!! Nimeamka nikajikuta sina
nguo mwilini, wakati nililala na hizo hizo nguo, nashangaa kuona unazo wewe,
umenivuaje Elivia" Elivia akasema, "kaka Yenda ata mimi nashangaa
sijui kuna wachawi humu ndani?" Nikimwambia basi tu kama kuna lolote baya
tutajua tu, "wakati nimekaa kwenye kiti nilisema kwamba moyoni, "kwa
jinsi huyu dada alivyo dah, lazima nimpate tu, na awe mwanamke wangu wa maisha,
nimempenda sana, na nitampa moyo wangu wote".....usikose sehemu ya pili.
#2 mtunzi DAKTARI WA HADITHI TANZANIA, FRANK DAVID. NAPATIKANA KWA 0769510060.
SEHEMU YA
PILI.
Niliumiza sana kichwa, ni jinsi gani au njia hipi niitumie
ili kumfanya Elivia awe mke wa maisha yangu, Siku moja nimekaa sebreni wazo
likaniijia kuwa, nimuite ili nimuelezee ili ajue kwmba nampenda na nina hitaji
awe mke wangu wa maisha, nikamuita, "Elivia" akaitika,
"abee" alipo fika nikamwambia, "kaa chini kidogo tuongee"
kweli alikuwa na heshima sana aliketi na kuanza kunisikiliza, "sasa
nikapata wazo kichwani kwamba nikimwambia, nakupenda na ninaitaji kukuoa uwe
mke wangu, ila nikaogopa kumwambia kwa sababu, nili hisi ata hisi kuwa, natumia
u bosi wangu kumtongoza yeye, Elivia akasema, "kaka yenda, mbona umeniita,
lakini nashangaa uongei chochote, umekaa tu unajifikilia" nilishtuka
kidogo kwa sababu mawazo yangu yalikuwa yameama pale kabisa, nikamwambia,
"samahani Elivia, nilikuwa naitaji juisi ya baridi, naomba uniletee kama
hipo" akasema, "sawa kaka naleta". Ilipo fika usiku, Tajwid
akanipigia simu akisema kwamba, "kaka Yenda, kuna jambo naomba unisaide,
nilikuwa naomba namba za simu za huyo binti wako wa kazi," nikamuuliza,
"namba za nini?" Akasema, "kaka mimi huyo binti nimemuelewa sana
na nipo tayari kabisa kumuoa, wala sina nia ya kumchezea, kama unavyo jua tuna
heshimiana sana hivyo siwezi kumualibia maisha huyo binti", nikamwambia,
hapana kaka siwezi kukupa namba yake, huyu dada ana mpenzi wake" akasema,
"dah sawa kama ndiyo hivyo". Duhh, Niliogopa kusikia maneno yale
maana nilihisi Tajwid anaweza kuniwai na kumchukua Elivia kabla yangu. Baada ya
masaa kwenda nikiwa najifikilia tu kichwani, "hivi ni mwambie au nisi
mwambie". Nikasema potelea mbali wacha nimwambie, "akikataa sawa,
akikubali sawa" nikaamka mda wa saa nane usiku, kisha nikaenda mpaka mlangoni
mwa Elivia ili nimuelezee hisia zangu, nilipo fika mlangoni nika kaa sana pale
mlangoni najifikilia tu, je nigonge mlango au niache" wakati nimekaa pale,
kumbe Elivia alikuwa na kiu cha maji hivyo akafungua mlango ili akanywe maji
sebreni, sasa akawa amenikuta pale mlangoni kwake, nimekaa nawaza tu, alipo
fungua nikashtuka haraka nakuanza kukimbia kwenda chumbani kwangu, akaniita,
"kaka yenda njoo, mbona unakimbia hivyo, tatizo nini?, na usiku wote huu
bado hujalala umekaa mlangoni kwangu tu mbona sikuelewi kaka yangu." Dah
nilishikwa na aibu sana, nikasema, "hapana Elivia, yahani kuna mdudu
nimemuona chumbani kwangu, nimeogopa
kabisa kulala huko, ndiyo maana naitaji tulale wote usiku wa leo maana nimeogopa
kabisa kulala peke yangu" Elivia akasema, "khaa yani kaka yangu
mkubwa hivyo unaogopa wadudu wadogo tu" nikamwambia, "unajua tangia
nikiwa mdogo, naogopa sana wadudu yani nikiwaona siwezi kabisa kulala naomba tu
tulale wote Elivia, nisaidie kwakeli" Elivia alikubali nilale nae chumba
kimoja usiku ule, sasa wakati tupo kitandani yeye alikuwa amevaa nguo siku hiyo
na mimi pia nilikuwa nimevaa, baada ya masaa mawili, nikaanza kujifikilia,
"sijui nimshike ata kidogo" maana yeye alikuwa amesinzia hana habari
kabisa, nikaamua kumshika kidogo
kifuani, kumbe yeye pia alikuwa akilala anajiachia sana, hivyo katika kujigeuza
kwake, akawa ameniwekea mguu wake juu yangu, dahh nilihisi labda anani hitaji
pia, kumbe yeye ni usingizi tu, duhh sikulala kabisa siku hiyo, nikajisogeza
karibu yake kabisa, ili na yeye aelewe lengo langu kwake, lakini yeye alilala
fofofo, ilipo fika mida ya saa kumi bila kufanikiwa mtihani wangu ikanibidi
niamke kisha niende kulala chumbani kwangu, kulipo kucha vizuri, kweli nilikuwa
namuonea aibu sana maana nilihisi labda vile vitu nilivyo kuwa nikivifanya
usiku uwenda alikuwa anavisikia ila kajikausha tu, ila nilishangaa yeye yupo
sawa tu na ananisalimia kama kawaida,
nilijiandaa nikaenda kazini, sasa kumbe siku hiyo mama yangu mzazi
alikuja nyumbani kwangu, alipo mkuta, Elivia akahisi ni mke wangu, eti
nimemleta kwangu bila kwenda kumtambulisha, lakini Elivia alijitambulisha
vizuri, mpaka mama akamuelewa, sasa kipindi mama yangu na yule Elivia
wameshinda pale nyumbani, mama alimpenda sana Elivia, mpaka akatamani nimuoe
awe mke wangu, sasa nilipo kutoka kazini, mama aliniita pembeni akaniambia,
"mwanangu huyu binti anaonekana ana tabia nzuri sana na ni mrembo pia, sio
mvivu kabisaaaa kama inawezekana ningependa awe mkwe wangu umuoe huyuhuyu,
usiende kuangaika na wadada wengine".
Dahhh nilishangaa sana kusikia mama anaongea maneno yale,
nikajiuliza sana kichwani, "hivi kwanini kila mtu anamsifia Elivia, labda
huyu binti ata kuwa mke bora wa maisha yangu" nikamjibu mama kwamba,
"sawa mama yangu kama na wewe umempenda huyu binti basi sina jinsi tena,
itabidi niongee nae akikubali basi, atakuwa wangu wa maisha" mama alikuwa
akai sana kwangu, kesho yake aliondoka
akarudi kwake, baada ya wiki moja, nikasema mwenyewe kwamba, "hivi
namuogopea nini huyu dada kwani yeye ana nini, sasa mimi leo namuita, kisha
namueleza, kama akikubali nakuwa nae, na akikataa nitamuomba sana msamaa ili
asitengeneze chuki na mimi", ndipo nikampigia simu mda kama wa saa tano
usiku. Alipo pokea simu nikawambia, "Elivia, naomba uje chumbani kwangu,
kuna jambo nataka kukueleza," Elivia hakusita akaja chumbani,
"nikamwambia ebu kaa hapa kitandani, akakaa lakini alikaa kwa wasiwasi
sana, nikamwambia, "hapana usigope Elivia, maana nataka kukwambia jambo
zuri tu, kama utakubali sawa na ukikataa sawa pia" Elivia alikuwa muoga
kidogo akainama chini na kuficha uso wake, nilimshika mikono nikasema
"hapana Elivia usishike uso hivyo, akaniangalia kidogo alafu akafumba
macho, dah nikashindwa sasa nifanyaje, na mda huo imefika saa saba tukiwa wote
chumbani kwangu, nikamuita jina, "Elivia" akasema "bee" kwa
uoga nikamuuliza, "mbona kama unaogopa lakini" wakati huo yeye akiwa
bado amefumba macho yake akasema, "hapana siogopi" nikajaribu kama
kumlaza kwenye kitanda ili nione msimamo wake kama anataka au hataki, wakati na
msukuma kidogokidogo kitandani na yeye pia alilala, sikuchelewa pia palepale
nikambusu na kumwambia kwamba "nakupenda, Elivia naomba uwe mke wa ndoto
zangu" akasema, "haaa, mi sitaki kaka, naogopa" nikamuuliza
"unaogopa nini" akasema, kipindi umenikuta barabarani na kunileta hapa,
ni kwamba nilimfumania mme wangu na rafiki yangu kipenzi, nilipo wauliza
kwanini wanafanya vile, mme wangu alinipiga na kunikana kabisa na akasema
nitoke kwake, hivyo siamini tena wanaume, na siwezi kuwa na mwanaume yoyote
yule katika maisha yangu naomba unisamee kaka yenda kama nimekuudhi" dahh
nilichoka, ila nikambembeleza sana, akasema, "sawa nipe mda nijifikilie
kwanza, maana siwezi kuwa na maamuzi ya haraka haraka" sikuwa na jinsi
nikamuacha na yeye pia ajifikilie anavyo weza, siku tatu ziliisha bila kunipa
jibu, wiki ikakata aniambii tu chochote, ikabidi nimuite tena, alipo kuja
chumbani kwangu, nikamuuliza, " Elivia mbona jibu langu hunipi,"
akasema, " Yenda upo tayari kunioa kabisa" nikamjibu "ndiyo nipo
tayari, na ndiyo maana unaona naangaika sana uwe mke wangu" Elivia
akasema, "sawa nimekubali, lakini naomba uwe na msimamo na mimi,maana nimechoka kuumizwa na mapenzi" nilimpa
ahadi za kumpenda daima na tangia hapo, mapenzi yakaanza kunoga sana.
Mimi sikutaka kuchelewa maana tayari nilikuwa nimeisha
mpenda sana Elivia, ikanibidi niende nae mpaka kwetu kumtambulisha, wazazi
wangu walimpokea kwa furaha sana, ndipo nikamwambia itabidi twende na kwa
wazazi wako pia, ili wanijue,
nilishangaa sana kusikia Elivia anasema, "hapana bebi, kwetu bado atuwezi
kwenda sahivi, lakini tutaenda tu" niliendelea kumsisitizia ili niende nae
kwao lakini alikataa kabisa, akisema, "husiwe na haraka mme wangu tutaenda
tu" siku moja usiku nilikasilika sana nikamwambia, "elivia unajua
sikuelewi kabisa, hivi unavyo kataa tusiende kwenu unamaanisha nini, sasa kesho
lazima twende kwenu niwaone wazazi wako" kweli asubui ilipo fika
tukajiandaa na kwenda mpaka kwao na Elivia, dahh ama kweli niliwaonea huruma
sana wazazi wake, maana walikuwa wanaishi kwenye nyumba iliyo haribika haribika
na ilikuwa mbaya sana, ata mazingira yalikuwa sio mazuri kabisa, nikamuuliza
Elivia, "hivi ulikiwa unaogopa kunileta kwenu kwasababu pako hivi
ama" akasema "hapana mme wangu sio hivyo nisamee tu".
Tulikaribishwa ndani na wazazi wa elivia, ndugu zake Elivia walimshangaa sana
mwenzao kumuona amependeza vile, wakaanza kushika nywere zake na nguo aliyo vaa
wakitamani avue kisha awapatie. Sasa baada ya kusalimia wazazi wa elivia, baba
yake Elivia akasema, "mwanangu karibu sana nyumbani maana ni mda mrefu
hujaja kabisa hapa, alafu naona umetuletea mgeni, je huyu mgeni ni nani"
Elivia akasema, baba huyu ndiye mme wangu nimemleta hapa ili mumjue" baba
ake alisimama kwa hasila akasema, "Elivia mwanangu umalaya umeuanza lini
tena, wewe si umeisha olewa na mahari tumepewa, sasa huyu wa nini tena"
elivia alipiga magoti akiwa analia akasema, "baba mme wangu nilimfumania
na rafiki yangu ndani, nilipo muuliza kwanini anafanya vile akanipiga na
kunifukuza, nikaokotwa na huyu kaka, na ndiye alie nisaidia mpaka leo tumependana
hivi" baba yake Elivia akasema,,,, (usikose sehemu ya tatu.) Mtunzi ni mr
FRANK DAVID daktari wa hadithi_Tz whtsapp 0769510060
SEHEMU
YA TATU
_MTUNZI NI DAKTARI WA HADITHI/FRANK DAVID. WHTSAPP
0769510060.
Baba Elivia akasema kwamba, "binti yangu elivia, kama
kweli mme wako alikutesa na kukusaliti hivyo, basi sawa sina kipingamizi maana
tayari m'meisha pendana, mimi nawatakia maisha mema kwende mahusiano
yenu". Nilifurahi pale wazazi wake Elivia walipo nikubalia kuwa na binti
yao, hivyo nikajihisi nipo huru kabisa, ndipo tuka hamua kupima virusi vya
ukimwi mimi na mwenzagu Elivia ili kujua kama wote tupi salama, kweli
tulijikuta wote tupo salama kabisaa, Sasa siku ya kwanza kushiriki na Elivia
kimapenzi sikuamini nilicho kiona, maana Elivia alikuwa na tatizo la
kujikojolea, yahani mkojo kama mkojo nakwabia na alijikojolea sana kila tulipo
kuwa tunafanya lile tendo, hivyo ile
harufu ya mkojo ikawa inabaki chumbani na mkojo unajaa kitandani mpaka
nashindwa kulala kabisa chumbani kwangu, nikamuuliza, "Elivia mke wangu,
hivi kwanini unajisaidia haja ndogo tukiwa tunafanya tendo?" Aliinama
chini kwa aibu, nikamwambia "usijali mke wangu, we niambie tu"
akasema, "nisamee Yenda mme wangu, maana huu ugonjwa unaninyima raha
kabisa, nakuwa sina amani katika mahusiano yangu, na hii ni sababu moja wapo
iliyo fanya mme wangu anichoke na kuchepuka, tena kibaya zaidi akamchukua
rafiki yangu ili afurahie tendo vizuri, maana aliona kama ni mateso
nampatia", dah yale maneno yaliniuma sana nikamwambia, "mke wangu
kwanini hukuniambia mapema, ili nikipeleke hospitali labda ungepona mapema,
ukawa sawa na ukaendelea vizuri tu", Elivia alilia akisema , "sijui
huu ugonjwa niliutoa wapi mimi, maana unaninyima furaha" niliamua
kumpeleka mke wangu hospitali ili atibiwe, kiukweli nilitumia gharama yingi
sana kumtibu lakini alichelewa sana kupona, ndipo tukamua kutumia miti shamba
ili tuangalie kama angekuwa sawa, Mungu saidia Elivia alipo tumia zile dawa
akawa safi kabisa na akapona lile tatizo, sasa kumbe elivia huu ugonjwa ulikuwa
unamfanya anakosa raha na anakuwa na mawazo mda mwingi sasa alipo pona akawa ni
mtu mwenye furaha, alibadilika sana akawa mrembo zaidi na mwenye kujiamini, mke
wangu alivutia wengi walio mdharau na akawa mwenye uhuru kama wanawake wenzake,
nilikuwa na muamini sana mke wangu, hivyo sikuwa na wasiwasi kabisa na yeye na
wala sikufikilia ata kidogo kama angefanya tabia za ajabu nyumbani kwangu. Siku
moja nimetoka kazini nikiwa nimeshikilia zawadi mkononi mwangu kwa ajili ya mke
wangu ila nilishangaa sana nilipo fika sebreni, maana nilimkuta Elivia analia,
nikamuuliza, "mke wangu kipenzi, chaguo zuri la moyo wangu, kwanini unalia?"
Aliniangalia kwa majonzi sana maana uso wake ulijaa machozi, akiwa amejaa na
mafua sana puani mwake, akasema, "mme wangu nimepigiwa simu nyumbani kuwa
baba anaumwa sana, anakaribia kufa hivyo nimekosa raha kabisa moyoni" dooh
nikamwambia kwa kumalipia kwa hasira sana siku hiyo, " hivi una akili
kweli, yani baba anaumwa alafu unashindwa kunipigia simu tumpeleke hospitali
mapema, unakaa unalia tu akifa je, emu twende tumpeleke mzee hospitali"
tulipo fika kwao nikamchukua baba yake na kumpeleka hosiptali nzuri ya gharama
ili atibiwe vizuri, aliangaika sana yule mzee ila baada ya miezi miwili alipona
na akawa vizuri tu, yahani bila mimi baba yake angefariki maana nilitumia
gharama nyingi kumtibu, nilikaa na kujifikilia nikaona baba mkwe na mama mkwe
wangu wanakaa sehemu mbaya sana, hivyo nikapata wazo la kuwajengea nyumba nzuri
ili wakae kwa furaha, kweli aikupita ata mwaka nyumba yao nikawa nimeikamilisha
ikawa vizuri kabisaa wakaamia na kuishi pale. Elivia alifurahi sana kuona
wazazi wake wanakaa sehemu nzuri, na Elivia alipendwa sana kwao kwasababu
alionekana ndiye mtu alie badilisha maisha ya wazazi wake. Maisha yalikuwa
mazuri sana kwenye mahusiano yetu maana tulipendana mnoo, Mungu alitusaidia mke
wangu akawa amepata ujauzito, sasa niliona kama akikaa peke yake pale ndani
itakuwa ni tatizo hivyo nikamletea binti wa kazi ili amsaidie kazi za pale
nyumbani.
Nilikuwa sipendi kumbana sana mke wangu, kwa sababu nilikuwa
namu amini sana, na nilikuwa namsikiliza kwa kila jambo, sio mimi tu bali ata
wazazi wangu walimpenda sana Elivia, maana kila nilipo ongea nao walikuwa
wanamsifia sana na kunishukuru mimi kuchagua mke bora, sasa ujauzito wa mke
wangu ulipo fikisha miezi saba, sema kweli ulikuwa unamtesa sana, hivyo akawa
anaenda hospitalini mara kwa mara kuangalia afya inaendelea vipi mwilini, siku
moja mke wangu akiwa amepata nafuu alikutana na Mr Paul, kumbe huyo jamaa ndiye
alie kuwa amemuoa Elivia kipindi cha nyuma kisha akamsaliti na kumfukuza. Mr
paul ndiye alie kuwa wa kwanza kumuona Elivia, sasa alipo muona Elivia kwa
mbali akamfata na kumshika Elivia mkono, Elivia akageuka kumuona anae mshika
akashangaa kumuona Paul mme wake wa mwanzo ndiye anamshika, doooh alishtuka
akasema "niache", paul akasema, "nikuache kwanini, wakati
umependeza hivyo, nywere nzuri, rangi yako nzuri, ngozi yako nyororo sana
sahivi, umekuwa mrembo sana mke wangu" elivia akasema, "nani mke
wako" paul akasema "najua labda nilikosea mwanzo, lakini katika
mahusiano kugombana kupo, na ata mwenyezi mungu mwenyewe ana twambia kwamba
tumeane na tusahau, hivyo na mimi atakama nilikosa ila nipo chini ya miguu yako
nisamee mke wangu" Elivia akasema, "toka hapa mwanaume usie na haya,
unalala na rafiki yangu na kuni dharirisha mimi, ebu toka sitaki
kukumbuka", paul akasema "ni vishawishi tu vya dunia, mimi sahivi
siwezi kurudia najuta kabisa kufanya vile, nisamee sana, alafu kumbe
nilikufukuza una ujauzito wangu maana naona tumbo limekuwa kabisa rudi tumlee
mtoto" Elivia akasema, "nyooo, eti ujauzito wako, ujauzito gani
unakaa mwaka mmoja na nusu, wewe uliniona sifai, sasa mwenzako ana gharamia na
ana jali ndiyo maana na mimi nimeamua kumzalia" mr Paul alimtamani sana
mke wangu maana yeye alikuwa hamjali wala ampendi kabisa hivyo Elivia akawa
hovyo hovyo ndiyo maana alionekana mchafu, lakini nilipo kaa nae mimi
nikamtunza vizuri kweli akaiva na akapendeza mtoto wawatu, sasa paul akaanza
kulia mbele ya Elivia akasema, "mke wangu kumbuka mapenzi niliyo kuwa
nakupatia kweli leo hii unaniacha, kwani umesahau tulilala njaa wote, umesahau
nilivyo angaika na wewe, au umesahau ulivyo sema nakupa mapenzi motomoto na
hauwezi kuniacha ata siku moja, mke wangu we mwenyewe ulisema kwamba, ata
tukigombana ila penzi lako huwezi kusita kunipa, kumbe zile zilikuwa ahadi za
uongo dah" Elivia alianza kushikwa na huruma moyoni mwake akasema,
"paul mme wangu nakupenda ndiyo, lakini naogopa kumsaliti mme wangu Yenda,
maana nina unauzito wake tayari" paul akasema, "hapana bebi sijasema
umuache uyo mwanaume ki ghafla hivyo, wewe anza kutunza hela kwanza, jitahidi
mali zake uzisimamie wewe maana nahisi pesa anayo, alafu baada ya mda tukimbie
na tuondoke tuanze maisha yetu mapya" mke wangu aliogopa akasema
"hapana paul, nakupenda lakini hizo dhambi sitoweza, maana mme wangu
ameniambia baada ya miezi mi nne tunafunga ndoa" paul akasema "naomba
namba zako za simu Elivia mke wangu" kweli Elivia akafanya kosa akampa
namba, Paul akasema "unataka kufunga ndoa na huyo Yenda wako, wakati
tayari mimi na wewe tumeisha funga ndoa, hapana siwezi kukubali, maana mimi na
wewe tulisha funga ndoa tayari sasa mimi usipo kubali maneno yangu ninayo
kwambia, nitakuja kanisani siku yako ya harusi yenu na nitaweka kipingamizi
kuwa wewe tayari ni mke wa mtu na tumeisha funga ndoa tayari, hivyo hiyo harusi
yenu ni batiri na aina baraka kwa mungu" elivia aliogopa akasema
"paul usifanye hivyo" paul akasema, "kama hutaki nifanye hivyo,
itabidi utupende wote" Elivia akasema, "sawa paul ngoja
nijifikilie," paul akamwambia, "usijifikilie sana, anza kuchukua pesa
mapema" dahaaa mke wangu akamuuliza, "sasa hizo pesa mi nitazificha
wapi paul naogopa nitashikwa nazo" paul akamwambia "hizo pesa utakuwa
unanipatia mimi natunza, kisha baada ya mda ukisha jifungua unamuachia Yenda
mtoto wake, kisha sisi tunaondoka zetu, maana pesa itakuwepo." USIKOSE
SEHEMU YA NNE
SEHEMU
YA NNE.
MTUNZI, DAKTARI WA HADITHI tz. FRANK DAVID. WHTSAPP 0769510060.
Mr paul alimdanganya sana mke wangu, mpaka kweli mke wangu
akajikuta anakubaliana na mawazo ya mme wake wa mwanzoni mr paul. Siku moja
usiku saa tisa na nusu, simu ya mke wangu iliita, nilishtuka nikajiuliza
mwenyewe akilini, "hee jamani, mke wangu anapigiwa simu mda huu, nani tena
huyo, au kuna tatizo lolote kwao" nilijifikilia hivyo nikiwa kitandani,
lakini nilijifanya kama sijasikia simu, ili nisikilize mke wangu atakacho ongea
mda huo, sasa kabla Elivia hajapokea simu aliniangalia kama nimelala au
namsikia anacho taka kuongea, ila mimi nilikuwa nimejifanya kama nimelala
sisikii chochote kabisa, Elivia alikuwa mjanja akaamka kitandani polepole kisha
akafungua mlango akatoka na kuanza kuongea na ile simu, sasa mimi nilimka
polepole nikanyata ili nikamsikilize anacho ongea, kumbe alie kuwa amepiga simu
ni yule paul anaitaji kusikia tu sauti ya Elivia afurahi, mimi sikuweza
kugundua siku hiyo mke wangu anaongea nini, ila alipo rudi kitandani akashangaa
kunikuta mimi nimekaa kitandani wakati yeye aliniacha nimelala, nikamuuliza,
"mke wangu hizi tabia za kuongea na simu umejificha umezianza lini na
ulikuwa unaongea nanani" Elivia akasema, "nisamee mme wangu",
nikamwambia, hapana bado ujanijibu swali langu kabisaaa, sasa unapo sema
nikusamee wakati sijajua maongezi yako yanahusu nini, nitakuwa nakusamee nini
sasa" Elivia alinidanganya kwamba, "mme wangu ni huyu mama Gift
jirani yetu, kila siku ananisumbua eti anataka nimkopeshe laki tano ila mimi
sina hiyo hela sasa kila mda ananipigia pigia simu tu mpaka naona aibu
usijue." nilimwambia "usijali mke wangu, hao ni majirani hivyo
inabidi tusaidiane, kesho nitakuachia hiyo pesa ili umkopeshe na akikurudishia
hiyo hela, utatumia kwa matumizi yako mwenyewe" mke wangu alifurahi sana,
kweli kesho yake asubui nilimpatia hiyo pesa, ila mke wangu alivyo na akili
mbovu, akampigia mr Paul, kisha akamwambia, "bebi tayari nimeisha anza
kupata pesa, nakutumia laki tano leo lakini uitunze vizuri" mr paul
akamwambia, "kazi nzuri sana mke wangu, jitahid sana kutafuta zaidi na
zaidi hii bado ndogo, ili tukifikisha kiwango kizuri cha pesa tuondoke maana
nimemisi sana penzi lako", mke wangu akamjibu kwamba, "sawa usijali
mme wangu, napambana sana huku" sasa mimi nilipo rudi kutoka kazini,
nikamuuliza mke wangu kwamba, "Elivia vipi yule mama Gift ulimpatia ule mzigo nilio
kuachia" mke wangu akanidanganya kwamba, "ndiyo mme wangu nimemsaidia
amefurahi sana na amesema atatulipa mda sio mrefu" nilijiandaa nikalala
maana nilikuwa nimechoka sana na miangaiko ya kazini, sasa ilipo fika mida ya saa tisa usiku, nilisikia simu inaita tena
ya mke wangu, nikajifanya kama siisikii nikajikausha kweli kweli, alafu
nikajiuliza, "hivi hizi simu za usiku za nini wakati mke wangu ana mimba
na tumbo kubwa sana hivyo," sasa mke wangu alikuwa mjanja akakata simu
siku hiyo alafu akaizima, nikamuliza, "mke wangu kwanini umekata simu, na
mbona umezima kabisa, unamatatizo gani hayo kipenzi changu" mke wangu
akasema, "mama yangu amenunua simu leo, sasa baba yupo anamfundisha jinsi
ya kutuma meseji na kupiga, nashangaa
wananitumia meseji mimi na kunipigiapigia mimi mpaka nimechoka, yani toka jioni
wanafanya hivyo" nikamjibu kwa kucheka, "hahahah usijali mke wangu,
mama nae ni mgumu wa kuelewa ehh? Yani toka jioni wanamfundisha tu"
tulilala na wala sikuwa na wasiwasi kabisa siku hiyo, maana nilikuwa na mpenda
sana mke wangu. Sasa yule Mr Paul akaona, Elivia anakuwa mzembe wa kuniibia pesa
za kutosha, hivyo akampigia elivia simu na kumwambia kwamba, "bebi nataka
tutumie mchezo mzuri wa kumfanya mme wako atoe pesa zingine zaidi" mke
wangu akamuliza, "njia zipi, maana ata mimi nashindwa kabisa kumuingia ili
anipe pesa nyingi kwa wakati mmoja," mr paul akasema, "kuna dada hapa
kama mama mama tu, nimeongea nae, aje hapo kwenu mme wako akiwepo, aanze
kukutakana akisema kwamba alikopesha pesa zamani ukakimbia bila kumlipa, najua
mme wako akisikia hivyo atakuonea huruma sababu ya huo ujauzito wako hivyo
atampa hiyo millioni mbili dada atakuja tumlipe laki mbili yake aondoke, ila
wewe ukubali kweli alikukopesha zamani". Kweli hazikupita ata siku mbili,
maana siku moja wikendi nimekaa na mme wangu yenda kwenye ubaraza, alikuja mama
mmoja muongeaji sana akaanza kusema kwamba, "wewe Elivia mjinga sana wewe,
ulikopa milioni mbili zangu ukajificha huku sio, kumbe nilifanya kosa
kukusaidia wewe na mme wako paul sio, sasa umeolewa huku tena unajifanya
umenisahau sio" mke wangu alianza kulia akisema "najisikia tumbo
linauma mme wangu," dah nilimuonea sana huruma mke wangu, nikasema, "we mama acha kuongea hivyo
atakama ulimsaidia, ndiyo umtukane hivyo, hivi huoni hari yake ya ujauzito,
kwanini usimuombe polepole" yule mama akasema, "kakimbia na hela
yangu mda mrefu huyo" nikamuuliza mke wangu, "Elivia ni kweli
unadaiwa" akanijibu "ndiyo mme wangu, alinikopesha zamani sana maana
tuliishiwa kila kitu ndani, hivyo nikakopa ili nifanye biashara ila mme wangu
alikuwa anaiba hela aka ua mtaji, nikashindwa kulipa hadi leo" mke wangu
alikuwa ananidanganya ili nitoe pesa waweze kufurahi na paul wake, kweli
niliingia ndani nikachukua millioni 2 kisha nikampa yule mama na kumwambia
"nenda ila ukirudi hapa, uje na heshima" yule mama akamfata paul,
ndipo paul alimlipa laki mbili zake kisha paul akatunza pesa iliyo baki kwa
ajili ya mipango yake na Elivia ili wakimbie, mimi nibaki peke yake na mtoto.
Maisha yaliendelea hivyo hivyo pale nyumbani bila mimi kujua kama mke wangu
anamalengo mabaya kabisa na mimi, sasa siku moja nipo kazini, mr paul akampigia
mke wangu simu akimdanganya kuwa anaumwa ili mke wangu aende kwake afanye nae
mapenzi, kweli mke wangu alipo ambiwa na paul kuwa anaumwa, hakuwa na jinsi
akaamua kwenda kumjulia hali ili kujua anaendeleaje ki afya, Elivia alipo fika,
paul akamwambia, "bebi mi siumwi, ila nilitaka uje ili tongelee njia moja
nzuri sana ya kumfanya mme wako akupe pesa nyingi sana kwa wepesi" mke
wangu akamuuliza, "njia gani hiyo paul" ndipo paul akamwambia,
"kuna mganga mmoja hivi wa kienyeji, yule akikupa dawa inaitwa SHUNTAMA
ukimuwekea mme wako basi atafanya chochote utakacho mwambia na atakuwa kama
taira kwako" mke wangu akasema, "sawa hamna shida lakini isimu ue
kaka wawatu maana alinisaidia sana" paul akamjibu kuwa, "Shuntama sio
sumu" sasa kipindi mke wangu anataka kuondoka, paul akamshika mkono na
kumvuta karibu yake, akaweka macho ya tabasamu lenye hisia ili kumteka akili
Elivia mke wangu, kweli dahh, walionganisha vinywa vyao na kupapasana pale
ndani, mpaka paul hisia za kucheza mechi zikawa zimemuijia, akamwambia Elivia,
"bebi naomba tucheze mechi, maana najihisi nipo vibaya sana naomba msaada
wako bebi"
,elivia alikataa
akasema, "paul siwezi kufanya hivyo, ebu angalia hii mimba ilivyo kubwa
hivi, alafu sio mimba yako nitakuruhusu vipi ucheze mechi, hivi uoni namuaribu
mtoto umo tumboni" paul alikuwa mbishi sana alimbembeleza kwa ujanja
ujanja wake akimpapasa ili kumuweka sawa, akajaribu kutoa machozi akionyesha
kweli anaitaji mechi, iliniuma sana hii nilipo ijua kuwa mke wangu alivua na kukubali
kufanya ule mchezo huku akiwa na ujauzito wa mwanangu, paul alionyesha ufundi
mkali sana kwenye hiyo mechi, mpaka Elivia akasema, "dah paul nimekaa na
wewe masaa machace tu lakini nimefurahia sana mechi, lakini yule mme wangu
nalala nae usiku mzima kabisa, nashinda nae, lakini hawezi mechi kabisaaa. paul
akamwambia, "nitaendelea kukufurahisha zaidi", Sasa walipo maliza ujinga wao, Elivia alipo
rudi nyumbani na hapo ndipo dharau zilipo anza ndani za kila aina, kila siku
ananifanyia mimi. USIKOSE SEHEMU YA TANO. Mtunzi FRANK DAVID. WHTSAPP.
0769510060
SEHEMU
YA TANO,
MTUNZI FRANK DAVID,
DAKTARI WA HADITHI TZ..
Mke wangu alipo onja penzi la paul, hapo ndipo akaanza
dharau ndani, maana aliona utofauti mkubwa kati yangu na paul, sasa siku moja
tukiwa ndani, nikamuita mke wangu kwamba, "elivia" hakuitika akabaki
kimya, nikamuuliza, "mke wangu mbona nakuita unakaa kimya" hakujibu
chochote akatoka nje kwenda kutema mate, maana ujauzito wake ulikuwa unamfanya
ateme mate kila mda, alipo rudi ndani akalala kitandani na kujifunika shuka
kabisa, dooh nikashangaa, hichi nini tena, ikabidi nimuulize, "mke wangu
tatizo nini? mbona naona kama umekasilika, umenuna hutaki ata kunijibu chochote
mme wako" akasema, "yani Yenda mimi unanifanya kama mfanyakazi wako
wa ndani kabisaa" duuh nikamuuliza kwamba, "unamanisha nini"
akasema "namanisha nini ehh, kama ujui acha" dooh sikuelewa kabisa
anacho taka ninini siku hiyo, "nikamwambia, "mbona umeanza matatizo
wakati hatuja timiza ata miaka miwili kwenye upendo wetu, kumbuka bado
hatujafunga ndoa mke wangu na umeisha anza hizi tabia sikuelewi" dahh
alinijibu vibaya eti, "utaelewa tu" yale majibu yalinichukiza ikabidi
na mimi nijifunike shuka tu nilale. asubui mke wangu alikuwa amezoea
kunivalisha na kunichagulia nguo za kuvaa, lakini aliacha kabisa, hivyo
nilikuwa na vaa navyo weza mwenyewe kisha nambusu shavu ndipo naenda kazini,
yani alikuwa ananuna nilipo kuwa na mbusu mpaka mwenyewe nikawa najishtukia, sasa
kutokana na mapenzi ya mke wangu kupungua, nilikuwa nakosa raha kwakweli, maana
ata pale kazini nilikuwa "nashika tama" mda wote, wafanyakazi
wenzangu wakaniuliza, "vipi Yenda nakuona unakosa raha sana siku izi
wakati wewe ni mchangamfu sana MAN YENDA THE BOSS" niliamua kuwambia
ukweli kuwa, "dah jamani shemeji yenu ananitesa sana akili siku izi,
namuuliza maswali hajibu na akijibu, ujue amenijibu ovyo ovyo, yahani ananijibu
vibaya sana, mpaka nakosa raha kabisa, na kumuacha siwezi maana nimemtoa mbali sana
mke wangu" wale wafanyakazi wenzangu wakaniambia, "kaka Yenda usijali, hizo ni changamoto za familia,
alafu kingine mke wako ni mjamzito, hivyo lazima afanye hivyo, tena wewe
shukuru mungu wengine wanakuwa wakorofi zaidi ata ya Elivia wako" maneno
yale yalinipa nguvu sana, hivyo nikajua zile dharau ni za mke wangu ni sababu
ya mimba, kumbe la asha! sio hivyo bali ni sababu ya Mr paul kijana mbaya sana
katika maisha yangu. Siku hiyo nikawai kutoka kazini jioni nikapitia sokoni
kisha nikanunua zawadi kama za elfu hamsini kwa ajili ya mke wangu nyumbani,
nilipo fika nikamuita, "Elivia" ila mke wangu hakuitika kabisa,
ikabidi nimwambie, "bebi nimekuletea zawadi mpenzi wangu," nilishangaa zaidi maana aliamka na kwenda
chumbani, dah mpaka yule mfanyakazi akatikisa kichwa ishara ya kunionea huruma,
nikamuuliza yule binti wa kazi za ndani kwamba, "hivi nikiwa sipo mnaongea
kweli humu ndani, maana sahivi ata kurudi nyumbani naona shida, yahani natamani
kulala hukohuko kazini," yule binti akasema, "ukiwa haupo tunacheka
na kufurahi sana ila ukija tu, anabadilika hivyo, nikamfata huko huko chumbani mke wangu,
nikamuuliza maswali nikiwa nimepiga magoti, "mke wangu najua katika maisha
kuna kukosea, najua labda nimekuudhi sehemu flani, naomba uniambie mke wangu
nipo chini ya miguu yako, sijawai ata kumpigia mama yangu mzazi magoti chini,
lakini leo hii nakupigia wewe kunusuru mapenzi yetu, ebu niambie nimekuudhi
nini mama" mke wangu alichukia, akanuna yani mpaka jasho likamtoka,
nikaamua kutoa reso yangu ili nimfute lile jasho, dahh alichukia akasema,
"niache usinifute uko, yani mimi unaniona kama mfanyakazi wako wa
ndani," nikamuuliza "kwanini" akasema, "pesa zako
unajiwekea mwenyewe kwenye akaunti, mimi hujanifungulia akaunt sina pesa yoyote
kabisa, alafu unajifanya unapiga magoti eti unanipenda, kupenda gani uko"
dahh nikasema, "mke wangu lakini akaunt zote mbili za nini, mimi na wewe ni mwili mmoja
hivyo akaunt yangu ni sawa na yako tu, tamaa zingine za nini sasa" dahh Elivia alinuna sana siku hiyo akasema
"yahani wewe mwanaume hunipendi" akaanza kulia. Sasa kumbe mke wangu
mpango wake mzima ni kwamba mimi niweke pesa zangu kwake kisha wao waweze
kutoroka na paul wake waniache mimi masikini wa kutupwa. Kesho yake nilipo enda
kazini mke wangu akazichukua zile zawadi nilizo zileta, mpaka yule binti wa
kazi akamcheka, akamwambia, "dada jana si ulizikataa hizo zawadi
lakini" elivia akajifikilia kwamba, "mme wangu yenda ananipenda sana,
sijui kwanini namfanyia hivi, lakini utamu wa penzi ninalo lipata kwa Paul
siupati kwa yenda ndiyo maana nakosa msimamo wa mapenzi kabisa dahh sijui
nifanye nini" baada ya wiki kupita paul akampigia simu mke wangu
akamwambia, "bebi ule mchongo wetu wa kwenda kwa mganga ili tuchukue
SHUNTAMA, umekaribia hivyo kesho jipange twende tuchukue hiyo dawa, yani
ukimuwekea kidogo tu kwenye maji ya kuoga, wakati anajimwagia yale maji kwanzia
kichwani, ile dawa itakuwa inafanya kazi sana na atajikuta anakupenda na
kukukabidhi mali zake zote, na hapo ndipo tutakapo mfirisi huyo kaka, kisha
tuondoke zetu tukafurahie hii dunia."
sasa kwakua mke wangu alikuwa ameisha mpenda sana paul, hivyo akawa
mdhaifu sana kwake, maana kila upuuzi paul atakao mwambia ilikuwa ni lazima
aufanye. Kweli walienda kwa huyo mganga wa kienyeji ili wapewe dawa waje
kuniwekea mimi, walipo fika kwa mganga, ndipo yule mganga akamwambia elivia kwamba, "mme wako ana
nyota kari na analindwa sana mizimu yao, hivyo ukikosea tu masharti utaharibu
kila kitu" Eliva akasema kwamba "siwezi kukosea mganga" mganga
akawambia, "nakupa hii dawa ya shuntama, nidawa iliyo changanywa na nyongo
ya kuku, ngozi ya chura alie sagwa kwa mawe, damu ya kinyonga, pamoja kinyesi
cha mtoto mchanga, hivyo hii dawa utamuwekea kwenye ndoo yake ya kuogoea akioga
tu tayari mmefanikiwa, yahani huyo mwanaume atakusikiliza kwa chochote
usemacho, lakini nakuomba sana hayo maji yasiwe ya moto yahani yasichemshwe
kabisaa, maana yakiwa ya moto, mme wako atapata ugonjwa usio tibika hapa
duniani popote pale."
Mke wangu akasema, "siwezi kuchemsha maji mganga yule
anapenda sana kuoga maji ya baridi" kweli siku hiyo nilipo rudi nyumbani
nikashangaa kuona mke wangu ananichangamkia sana, akanikumbatia na kunibusu
mpaka nikashangaa aisee, akasema, "nakupenda sana Yenda wangu, nisamee kwa
matatizo madogo yaliyo jitokeza hapo hawali nisamee nakuomba, lakini ningeomba
ukaoge kwanza, maji nimeisha kuandalia bafuni kwenye ndoo ukimaliza kuoga tu
urudi sebreni tule chakula bebi wangi" nilifurahi sana kusikia maneno kama
yale kutoka kwa mtu nimpendae, hivyo nikakimbia haraka bafuni kuoga ili nije
sebreni nile pamoja na mke wangu, sasa kipindi nipo chumbani, mke wangu akatoka
nje kumpigia simu paul kuwa, "paul mme wangu, huyu mpuuzi ameenda kuyaoga
yale maji, na tayari nimeisha changanyamo ile Shuntama,". Sasa wakati mke
wangu anafanya yale mazumgumzo siku hiyo kulikuwa kuna baridi sana hivyo
nisinge weza kabisa kuoga maji ya baridi, ndipo nikamuita yule msaidizi wangu
wa kazi ili aniletee maji ya moto haraka ili nichanganye kwenye yale ya baridi
nioge ili nije kula na mke wangu kama alivyo sema, alileta maji ya moto
nikayapokea mlangoni kisha nikaenda kuyachanganya bafuni, sasa wakati mke wangu
anamalizia kuongea na simu, mimi kipindi hicho nipo bize naoga yale maji yaliyo
tegwa dawa ya shuntama, nakumbe mganga alisema, maji hayatakiwi kuchemshwa
yanapaswa kuwa ya baridi tu, dooh. Sasa mke wangu pamoja na yule binti wakazi
wakiwa wananisubilia ili nije tule, walishangaa kuona sitoki bafuni, mke wangu
akauliza, "mhh huyu mwanaume mbona haji" yule binti akasema ata mimi
nashangaa, maana aliniita nimpelekee maji ya moto ili achanganye kwenye maji
uliyo muwekea ya kuoga maana kasema kuna baridi ila nashangaa hatoki kabisa
kuoga, hamalizi", Elivia akasema "haaaa we mpuuuzi sana, kwanini
umempa maji ya moto sasa" kumbe alikumbuka lile sharti la kuwa
"nikioga maji ya moto nitaugua ugonjwa usio tibika hapa duniani"
ndipo mke wangu akaja haraka haraka mpaka chumbani, wakati anaingia ndani
akasikia kelele ya kuku anawika, kisha akasikia kelele za vyura, dah mke wangu
akaziba masikio maana alihisi ni vitu vya hajabu, ndipo mke wangu akaamua kuja
bafuni ili anione nilivyo kuwa, mungu wanguu alinikuta nipo chini, damu
zinanitoka sana kwenye kucha za mwishoni za miguu na mikononi, alafu nimebadila
mwili mzima maana nilipatwa na ugonjwa wa ngozi yani rangi ilikuwa kama ya
chura, ngozi ikawa mbaya sana masikini,
nilikuwa sitamaniki kabisa maana ngozi yote inafanana kama ngozi ya
chura, yahani mabaka mabaka yamenijaa, mke wangu aliogopa akamuita binti wa
kazi aje kumsaidia, kale ka binti kalivyo niona kakasema, "mfunike kwanza
nguo maana sehemu zake nyeti zipo wazi" dah mimi nilikuwa sina hamu
kabisa, nawashwa mwili mzima ajikuna
mpama nashindwa kusimama ngozi inawasha sana yahani sina nguvu ata kidogo,
ndipo nikapelekwa hospitali, lakini daktari alisema "huu ugonjwa hauwezi
kupata dawa, ata ishi hivi hivi siku zote, labda tutampa dawa za kupunguza
maumivu" kweli dahh dawa hazikupatikana ata kidogo, kutokana ngozi yangu
kuwa mbaya na kuwashwa kila mda, ndipo nikaamua kuacha kazi maana ule ugonjwa
ulikosesha amani na uhuru katika maisha yangu, wazazi wangu walishindwa kabisa
kujua nini kilicho nipata, mke wangu alikuwa anajifanya kama anaumia lakini
kwenye nafsi ilikuwa ni furaha kubwa sana kwake, lakini watu walikuwa wanakuja
kunitazama nilivyo haribika ngozi, kusema ukweli walilia kwa huruma, ikafika
hatua ata watoto wadogo wakaanza kunikimbia eti kuwa mimi nawaogopesha, dahhh
maisha yalikuwa magumu sana upande wangu mpaka dunia nikaiona chungu kabisa.
Siku moja mke wangu akaenda kwa paul, sasa kipindi yupo huko paul akamwambia,
"tumia hii nafasi, maana mme wako ni mgonjwa sana, miliki hizo mali
tumuache hapo mwenyewe bhana sisi tuondoke" mke wangu akasema,
"hapana paul subiri kwanza apate nafuu alafu tujue tunaondokaje maana
jamii itanishangaa sana nikimkimbia sahivi, alafu yule kaka amenisadia mambo
mengi sana, nilikuwa najikojolea akanitibu, amejenga nyumba kwetu, aliniokota
kipindi umenifukuza, ata kama sijampenda kutoka moyoni, lakini ningeomba twende
kwa mganga alie tupa zile dawa, ili tumlipe hela tumwambie tumekosea masharti
tuchukue dawa ya kumtibu mme wangu Yenda arudishe ngozi yake, " kweli mke
wangu pamoja na paul wakarudi kwa mganga ili awape dawa ya kunitibu mimi nipate
ngozi yangu isiyo na mabaka mabaya mfano wa chura, ila walipo fika kwa mganga
wakakuta watu wengi sana pale, paul akauliza, "ndugu zangu kunanini hapa
mbona watu wengi" wakamjibu kuwa, "jana usiku kuna radi imepiga
maeneo ya hapa, radi kari sana, sasa tunashangaa kwamba hii radi imemuua huyu
mganga wa hapa tu wengine wote hawajafa " mke wangu akasema, "ohhhh
mganga amekufa, sasa mme wangu ataponaje masikini", dah ikabidi warudi
nyumbani. USIKOSE SEHEMU YA 6. MTUNZI FRANK DAVID, NIITE DAKTARI WA HADITHI tz.
NAPATIKANA WHTSAPP 0769510060.
SEHEMU YA 6. MTUNZI
FRANK DAVID| DAKTARI WA HADITHItz. Whtsapp
0769510060.
Mke wangu alipo
gundua mganga amefariki akajua moja kwa moja mimi siwezi kupona, alipatwa na
huzuni sana siku hiyo, akashindwa kukaa nalo moyoni ndipo akasema, "paul
naumia sana kumfanyia Yenda ili jambo, nafsi yangu inanisuta kwakeli, yahani
naumia sana, maana huyu kaka amenisaidia sana, na sio mimi tu bali ata wazazi
wangu amewafanya wawe katika mazingira bora, sasa sahivi anaumwa, usiku halali
huyo mwanaume, anajikuna tu mwili wake mpaka mda mwingine, anajichubua ngozi
anatoka damu kabisa," paul akamwambia Eliva kwamba, "mke wangu,
lakini wewe ndiyo umefanya kosa, mganga alisema kabisa, usichanganye maji ya
moto kabisa, sasa wewe umefanya uzembe, sisi tulitaka shuntama itusaidie ili
akupende sana wewe, awe zezeta kwako, yahani kila unacho taka anakupa bila
wasiwasi, sasa wewe umefanya ndivyo sivyo, hatuna jinsi, itabidi tukubaliane na
matatizo" Paul alienda kwake, Elivia akarudi nyumbani, dahh alinikuta nipo
sebreni nimevaa nguo ya ndani tu kuficha sehemu zangu nyeti, ili nijikune
vizuri maana nisinge weza kuvaa nguo mwilini maana ningewashwa zaidi na zaidi,
Elivia alishangaa kuniona mgongoni maana nilikuwa na mabaka ya ajabu ajabu
mpaka mda mwingine yanatia ata kinyaa unaweza ata usile chakula, nilinunua
mafuta ya kila aina ili nirudishe tu ngozi yangu ya zamani lakini wapi,
walitushauri wakina dada kwamba, "jamani tumieni mafuta ya nivea, ata pata
nafuu yale mafuta ni mazuri" tukatumia lakini wapi, dooh siku moja baba
yake na Elivia alikuja nyumbani na rafiki yake, siku hiyo ilikuwa ni furaha
kubwa kwangu, maana yule rafiki yake baba mkwe wangu alinielekeza dawa nzuri ya
kujipaka, kweli nilitumia hiyo dawa na ilinisaidia maana sikuwashwa tena tangu
siku hiyo, lakini ngozi haikupona nikabaki vilevile, nilianza kuchangamka na
kupata nguvu ingawa nilikuwa naona aibu sana kuonana na watu sababu nilikuwa na
sura mbaya sana, hivyo sikuweza kuangalia na mtu uso kwa uso ata siku moja,
nilikuwa nainama chini kila nilipo kuwa naitaji kuongea na mtu. Mke wangu
alikuwa anaogopa kulala na mimi akihisi labda tukikutana kimwili naweza
kumuambukiza huo ugonjwa na yeye akawa mbaya kama mimi, hivyo ata furaha ya
mahusiano sikuipata kabisa. Wazazi wangu na ndugu pia, walisikitika sana
kuniona vile, mama yangu kipenzi alikuwa ananipenda sana hivyo alikuwa hana
raha kabisa kuniona vile, ilifika hatua alikonda sana sababu ya mawazo maana
ata chakula alikuwa hali kabisa sababu yangu. Kipindi hicho mimba ya mke wangu
ni kubwa sana yahani anakaribia kujifungua kabisa, mimi sikumchoka mke wangu na
wala siku muhisi chochote kibaya mke wangu, ingawa watu walikuwa wanaongea yao
kwamba, "mke wake anataka kumu ua ili amiliki mali zake" lakini mimi
siku amini hayo maneno kabisa na sikutaka mtu amseme vibaya mke wangu, sasa
mimi kwa akili yangu nilizani labda wafanyakazi wenzangu wanataka kunifanyia
ubaya ili wao wachukue cheo changu ofisini, sikuwaza kabisaa kama mke wangu
anaweza kunifanyia unyama namna ile. Wazazi wa Elivia walikuwa ni wazee sana,
sasa kutokana na uzee wao walikuwa wana ugua mara kwa mara, siku moja mama yake
Elivia aliugua mno, sasa ikabidi mimi nimpeleke hospitali ili atibiwe na apone,
haya yote niliyafanya ili mke wangu aone kuwa mimi napenda pia familia yake na
siku upande mmoja wa kwetu tu. Nilijitahidi sana kumsaidia mama mkwe wangu
apone lakini mungu alimpenda zaidi, maana mara ya mwisho kipindi mama mkwe
anakata roho nilikuwepo, na aliacha ameniambia kwamba, "mwanangu nashukuru
sana kwa msaada wako kwetu, umetusaidia sana sisi, ila nakuomba kitu kimoja
mwanangu, huo ugonjwa wa ngozi ulio upata, hakuna yoyote wa kukuponesha zaidi
ya mwenyezi mungu, nakuomba mwanangu anza kwenda kumuomba mungu, muombe sana
mungu ili akusaidie wewe uweze kupona, fata viongozi wa dini watakuombea na
kama hayo ni mapepo yataisha tu, hakuna kishindikanacho kwa mwenyezi
mungu" yule mama baada ya kuongea vile alifariki hapo hapo, dooh nililia
sana, maana yule mama alikuwa mtani wangu sana na tulipendana sana" sasa
kipindi tupo kwenye msiba, mke wangu na yeye akajifungua mtoto mrembo sana wa
kike, hivyo ilikuwa ni furaha ya kupata mtoto vilevile huzuni ya kufiwa na mkwe
wangu. Baada ya mwezi mmoja mimi nilikuwa nawaza sana yale maneno ya marehemu
aliyo niambia, ya kumrudia mungu ili niweze kupona ugonjwa wangu wa ngozi,
kweli sikuwa na jinsi nikaamua kufanya hivyo, kuna pasta mmoja niliongea nae na
ndiye alie niombea mpaka nikapona ule ugonjwa na nikarudi kuwa sawa kama
nilivyo kuwa zamani, mke wangu alishangaa, ndugu na jamaa walishangaa sana,
mimi pia nilifurahi mno kisha nikaanza kupambana ili mtoto wangu apate malezi
bora. USIKOSE SEHEMU YA 7.
SEHEMU YA
SABA
MTUNZI FRANK DAVID, WHTSAPP 0769510060.
Baada ya kupona ule ugonjwa nilimuamini sana mungu, ndugu
zangu na watu wengine walifurai sana kusikia nimepona maana hawakuamini kabisa
kama ningekuwa sawa. Lakini nilikuwa nakosa raha sana maana mke wangu Elivia
alikuwa hapendi kabisa kwenda kanisani
yahani nilipo kuwa nikimgusia maswala ya mungu yalikuwa hayamuiingii
kabisa akilini, siku moja nili mbembeleza sana akamuone baba mchungaji alie
niombea mpaka nikapona. Sasa wakati yupo ofisini kwa baba mchungaji mimi
sikuwepo mule ofisini, kumbe baba mchungaji alimwambia kabisa mke wangu kuwa,
“wewe ndiye ulie msababisha mme wako apate yale matatizo ila usirudie maana
mwenyezi mungu hapendi kabisa tabia za kishirikina kama hizo” mke wangu
hakuamini kabisa kama ange gundurika alitetemeka akasema, “mchungaji kwani mme
wangu amejua kuwa ni mimi” baba mchungaji akamwambia, “mme wako anakupenda sana
na ana kuthamini zaidi ya wewe unavyo fikiria hivyo tunge mwambia kuwa ni wewe
umefanya vile, tungeiweka ndoa yenu matatani ndiyo maana tukakaa kimya tu, yeye
hajui kabisa kama ni wewe umefanya vile, sasa unacho takiwa kufanya ni kutubu
dhambi zako kwa mungu ili usamehewe na uache kabisa tabia za kishirikina” mke wangu alikubali na
akatubu kabisa dhambi zake ili aache mambo aliyo shawishiwa kuyafanya.
Mungu alisaidia kabisa, tukaendelea kukalea kachanga ketu,
baada ya miaka kama miwili, Mr paul alivyo ona mke wangu ameisha kakuza katoto
akatamani kutembea tena na mke wangu, alimuita kwake akimdanganya kwamba,
“elivia naomba uje leo kwangu, ata mimi nataka unipeleke kanisani ili nikatubu
dhambi zangu maana tulimkosea sana mungu kabisa,” mke wangu aliona ni jambo
jema hivyo hakuwa na wasiwasi kabisa akajiandaa na kumfata paul nyumbani kwake
ili waambatane wote kwenda kanisani, sasa alipo fika kwa paul, akamkuta paul
amelala kitandani, akijifanya kama anaumwa, mke wangu akamuuliza “paul mbona
umelala hivyo, twende kanisani sasa ujue nimechelewa kwa ajili yako” paul
akasema, “elivia mke wangu najisikia vibaya sana yani tangu jana mgongo wangu
ulikuwa unaniwasha sana, alafu najihisi kama kuna vipele mgongoni nilikuwa
naomba unikune ili nipate unafuu” mke wangu akamwambia “acha masihara paul,
nimekufata twende kusali sasa nashangaa tena unaleta habari hizo, habari za
kuanza kukunana humu ndani” paul akasema, “ kumbe hunipendi kabisaaa, yahani
mimi nakueleza jambo la msingi unachukulia utani, basi kama hutaki we nenda
niache niangaike”, mke wangu akamwambia”
haya sawa geuka sasa nikukune unawashwa wapi” paul akamuonyesha sehemu anayo
washwa kumbe ni uongo tu, sasa kwakuwa paul alikuwa amejilaza kitandani akiwa
amelala kifudifudi ikabidi mke wangu aweke mkoba pembeni ili alale juu ya paul,
kusudi amkune kwa wepesi zaidi, kipindi anamkuna, paul akamwambia, “mke wangu
sema kweli nimeamini moyo wangu unakupenda sana, yani ulipo panda juu yangu
kunikuna najihisi raha sana, endelea kunikuna bebi, mke wangu alihisi kama
anamsaidia kumbe zilikuwa ni mbinu za paul ili afanye mapenzi na mke wangu.
Kipindi mke wangu
anaendelea kumsaidia paul, mara ghafla paul akageuka na kumlaza mke wangu
kitandani kisha akapanda juu yake na kumwambia, “mke wangu, nakupenda sana
nimekumiss pia ningeomba penzi lako siku ya leo ebu tazama sindano yangu ilivyo
simama na hakuna mtu yoyote wa kuitibu zaidi yako wewe, nisaidie bebi” mke
wangu alichukia sana kusikia upuuzi ule akasema, “ paul ebu toka juu yangu, utanikera nakwambia, hivi wewe
uoni nina mtoto mdogo, au unataka katoto kangu ka dhohofike sio, alafu unajua
mungu hapendi kuzini, maana mimi sasa hivi ni mama nilie okoka,” kipindi mke
wangu anaongea maneno yale ya kishujaa na ndiyo kipindi hicho hicho, paul
alikuwa alikuwa anazishika zile sehemu dhaifu za mke wangu maana alikuwa
ameisha mzoea sana eliva, sasa wakati elivia analia akisema, tusifanye mwanangu
bado mdogo, sijui tusifanye mimi nimeokoka, kumbe alikuwa tayari ameisha ingia
majaribuni akajikuta anasogeza mdomo wake kwenye mdomo wa paul, ndipo wakaanza
kubadilisha mate yao na wakazini hukohuko.
Mke wangu alipo maliza kufanya kile kitu aliumia sana,
akasema” ehhh mungu nisamee najua nimetenda dhambi,” paul akacheka kisha akasema
“haufanyi dhambi yoyote mke wangu ni
uoga wako tu, kumbuka mimi ndiye mme wako halali wa ndoa, sasa ukisema unatenda
dhambi unakuwa unakosea anae tenda dhambi ni mme wako Yenda ambae hamjafunga
ndoa bado” mke wangu akasema, “tungekuwa tumeisha funga tayari sema tatizo ni
SHUNTAMA zako zilimletea matatizo,” paul akasema, “siwezi kukubali mfunge ndoa
naitaji kuishi na wewe, jitahidi upate hizo mali za mme wako tuondoke ili
tukaanze maisha yetu mapya, au sikupi mahaba matamu zaidi ya huyo yenda?” mke
wangu akasema, “Mapenzi matamu unanipatia ndiyo, lakini paul kwanini
tusiendelee kufanya hivihivi kwa siri kwani kinacho haribika ni nini, kama pesa
nakupatia tazama unaishi sehemu nzuri na safi, vyombo vyote nakununulia,
unachumba chenye kila kitu tamaa zingine za nini mpenzi wangu, nakupenda ndiyo
lakini kumbuka tukitoroka nikamuacha mtoto wangu inaniuma sana maana nilimzaa
kwa uchungu” paul akamwambia, “ hapana elivia kama hutaki mimi ndoa yenu
haifungiki nitakuharibia kanisani na tutamtia yenda aibu sana mbele ya wazazi
wake na marafiki zake wote”
Dah mke wangu alikuwa na msongo wa mawazo sana, hakuwa na
jinsi akaamua tu kukubali wafanye huo mpango wao wa kunifilisi mimi kisha wao
wakimbie na pesa zangu, kweli ali ingia bafuni kwa paul akaoga, sababu baada ya
kucheza mechi alijihisi mchafu, kisha akaja nyumbani, alinikuta nipo na wazee
wa kanisa tunafanya maombi ,na yeye akajiunga akijifanya anaomba mpaka
analia,huku wakati huo mimi nafurahi sana nikisema mungu ni mwema amemfanya mke
wangu awe mpenda dini sana.
Baada ya kufanya maombi nikawambia wale wazee wa kanisa kuwa
baada ya miezi miwili nitafunga ndoa na mke wangu, hivyo wawe wanatangazie
kanisani ili watu wajue na wenye vipingamizi walete mapema kabla ya ndoa, mke
wangu alishtuka kusikia vile akasema, “mme wangu tungesubili kwanza mtoto wetu
akue maana bado mapema” nikamwambia “hapana mke wangu ili jambo jema sana la
kufunga ndoa hamna haja ya kusubilia mtoto akuwe, tufunge ndoa mapema mungu
abariki familia yetu”
Mke wangu alivyo kumbuka kuwa paul ata haribu ndoa yake kwa
kuweka kipingamizi chake kuwa yeye Alisha wai kumuoa mapema, ndipo mke
wangu akaona ni bora afanye mpango
mapema wa kuchukua pesa zangu ili wakimbie na kuniacha peke yangu naangaika.
Sasa nakumbuka ilikuwa ni jumatatu nilipo muita mke wangu na
kumwambia kwamba, “mke wangu kama unavyo jua kuwa niliacha kazi yangu sababu ya
yale magonjwa ya ajabu yaliyo nikuta, hivyo nataka kwenda benki nichukue pesa
zangu zote ili nije tukae chini tubuni biashara kubwa kisha tuanze
kujishughulisha” mke wangu alifurahi sana kusikia mawazo kama yale ya pesa
akajua hapo lazima ataniibia pesa nyingi kwa wepesi zaidi.
Sasa nilipo fata ile pesa benki, Tsh million mia nne,
nikamjulisha mke wangu kuwa tayari mzigo nimeisha ufata benki hupo chumbani mke
wangu akauliza, “uko wapi sahivi” nikamjibu nipo kanisani naomba maombi mke wangu,” mke wangu akasema sawa
“nakusubili mme wangu,” Elivia mda huo alikuwa yupo sehemu za starehe na paul
wanakula raha za maisha, kumbe alitoka pale haraka haraka akaja nyumbani
akakuta pesa zote zipo kitandani million mia nne pesa za kitanzania, doooh
tamaa ilimshika akampigia simu paul, kisha akamwambia kuwa kuna million mia nne
ndani aje getini azichukue haraka kisha waanze mipango ya kutoroka na kuniacha
mimi na umasikini wangu, kweli paul aliwai kama mashine akaja na akapewa lile
begi lenye pesa zangu, mke wangu akarudi ndani akamwambia binti wa kazi aondoke
arudi kwao, haraka. Binti wa kazi alilia kama mtoto ili asifukuzwe kazi, ila
elivia alimfukuza masikini, Yule binti hakuwa na jinsi akamkabidhi mke wangu
mtoto kisha akabeba mizigo yake, ndipo mke wangu akamlipa mshahara wake mtoto
wawatu akarudi kwao,
Nilipo rudi kutoka kazini, nikamkuta mke wangu analia,
doooooh. Nikamuliza, “ mke wangu unalia nini mbona huna raha” akasema “mme wangu
nilikuwa nipo bafuni naoga Yule binti wetu wa kazi akaingia chumbani, akachukua
lile begi la pesa kisha akamuacha mtoto analia sebreni alafu yeye akatoroka
sijui kakimbilia wapi na ndiyo maana nalia”
sikuchukua ata dakika tano, nilipoteza fahamu na kuanguka chini hapo
hapo.
USIKOSE SEHEMU YA NANE
SEHEMU YA 8.
MTUNZI FRANK DAVID/DAKTARI WA HADITHItz. Whtsapp 0769510060.
Mke wangu alishangaa jinsi nilivyo anguka chini kama mti
nakuanza kutoka damu kichwani, mwanzoni alihisi nimefariki, maana aliona
nimekaa kimya mda mrefu bila kuamka, ndipo akavua kitenge chake na kuanza
kunipepea upepo, huku akinipaka maji ya baridi ili nipate fahamu. Nilipo amka
nilikuwa naongea ongea tu mwenyewe kama
chizi kwamba, "mke wangu pesa ziko wapi, nitaishi vipi mimi bila pesa,
nitaficha wapi umasikini wangu na nimeisha zoea pesa mimi" mke wangu
akasema, "mme wangu, hatuna jinsi tena, itabidi tumuachie mungu ndiyo
anajua na kila kitu ni mipango ya mungu" dahhhh! Nilimkaba mke wangu
shingoni kisha nikamdondosha chini, nikamniga sana shingo, maana nilihisi kama
akili zangu zime hama, mke wangu aliumia maana nilikuwa sijamuachia, alianza
kutoka mapuvu mdomoni, nikasema, "mpuuzi mkubwa sana wewe, yani milioni
mia nne unasema muachie mungu ndiyo anajua" kipindi mke wangu anakaribia
kufa maana nilimkaba vibaya sana masikini, palepale mtoto akaanza kulia,
ikabidi nimuachilie mama yake kwanza, mke wangu aliishiwa nguvu kabisa
akashindwa ata kunyanyua mikono yake, maana nilikuwa nimemkaba sana kidogo ata
afe, sasa wakati nimekaa nawaza nafanya vipi, simu ya mke wangu ikaita, kumbe
alikuwa amepiga paul, nilipokea mimi kisha nikasema, "hallow" paul
alipo sikia sauti ya kiume, akasema" samahani jamani nimekosea
namba", nikamwambia "hujakosea namba maana namba yako ime seviwa kuwa
wewe ni paul, sasa sema shida yako", dahh paul alikata simu hapo hapo. Mke
wangu alipo pata nguvu akaamka akasema, "we mwanaume mbaya sana, yani
unataka kuniua kisa pesa alizo ziiba mfanyakazi kumbe unipendi mimi naondoka
kwetu" nikamwambia mke wangu tafadhali najua nimekosea lakini we mwenyewe
nazani umeona tatizo lililo tokea pesa zote zimechukuliwa hatuna ata mia ndani,
hivi wewe unachukulia kawaida ili swala, hivi hujui tumeisha kuwa masikini wa
kutupwa, pesa hamna kazi sina tutaishi vipi sasa, mtoto wetu bado mdogo sana,
anaitaji maziwa, nguo, kutibiwa sasa hivi vyote atavipata vipi mtoto, kama
hakuna pesa, na ndoa yetu pia tutafunga vipi kama hakuna pesa, hivi hii aibu
naificha vipi mimi" baada ya kuongea vile nilianza kulia kwa sauti sana
kama mtoto mdogo jamani, mke wangu alikuwa ananitazama tu ninavyo lia lakini
hakuwa na huruma ata kidogo na wakati pesa alikuwa anajua zilipo. Nilitoka
ndani ili niende kumtafuta yule binti wakazi popote alipo niweze kumkamata,
wakati nipo njiani namtafuta nikakuta watu wengi tu wapo kwenye njia panda
wamemzingira mfanyakazi wangu wa ndani maana alikuwa amegongwa na pikipiki
vibaya sana kichwani hivyo ikimpelekea mpaka yule binti kufariki. Nilishindwa
kumchukua yule binti kwa sababu niliona naenda kuongeza matatizo kwenye
familia, sababu sikuwa ata na pesa ya kusimamia mazishi. Siku ziliendelea
kwenda mbele tukiwa hatuna pesa kabisa ndani, majirani zetu walikuwa hawajui
kabisa kama tunashida maana walikuwa wametuzoea kuwa sisi ni watu wenye pesa.
Siku moja usiku tulilala njaa, maana sikuwa na pesa kabisa, mke wangu na yeye
pia akalala njaa hivyo hivyo, sasa maziwa ya mtoto yakawa yameisha kabisa, na
pesa ya kununua sikuwa nayo, mke wangu alivyo mjinga na yeye akakaa hivyo hivyo
anamuona mtoto wangu analia njaa badala ya kutoa pesa kidogo kwenye ile million
mia nne anunue maziwa akakaa kimya, maana alijua akitoa pesa tu nitagundua kuwa
yete ndiyo ameiba zipe pesa, dahh ilibidi nimwambie mke wangu kwamba,
"bebi mi nazani ile laki tano niliyo kupa ukamkopesha yule jirani sasa leo
uende akupe ata nusu ili mtoto asiangaike na sisi pia tuweze kula, maana tunapo
elekea tutaanza kuomba msaada kwa wazazi alafu nitaaibika sana, maana wanajua
mimi nina hela, sasa nikiomba elfu kumi watanishangaa mno" mke wangu
akasema ile pesa alisha nipa, na nili itumia kama ulivyo niambia kwamba
niitumie kwenye matumizi yangu" dooh nilichoka kabisaaa ikabidi nikae, tulipiga
sana miayo ya njaa, kumbe paul yupo anakula chips mayai, anakunywa bia na
vinywaji vya bei sana zile pesa zangu masikini, mke wangu alikuwa ni mjinga
sana jamani maana mwenzake paul anakula maisha yeye analala njaq pamoja na
mtoto wake na mimi pia. Nakumbuka kipindi tukiwa na shida ya pesa, baba yake
Elivia aliugua sana, sasa kwakuwa nilikuwa nimewazoesha kuwatibu mimi, hivyo
akawa amekuja nyumbani kwangu ili mimi nimpeleke hospital, sasa kibaya zaidi
sikuwa na pesa hivyo sikuwa na jinsi ikabidi nimwambie mzee augulie palepale
nyumbani, baba mkwe wangu aliugulia ndani mpaka anafariki bila matibabu yoyote,
huku mke wangu akiwa anamtazama tu baba yake anakufa, wakati anapesa nyingi
sana, kaniibia akashindwa kumtibu ata baba yake mzazi, maana alikuwa anaogopa kumsaidia baba yake kisa anajua
akitoa pesa mimi nitagundua kuwa yeye ndiye alie iba, mazishi ya baba mkwe
wangu yalifanyika na tukamzika vibaya vibaya maana hatukua na pesa kabisa,
mpaka watu walio kuwa wananijua walishangaa sana wakasema, "dahh huu msiba
mbona wa kimasikini hivi, yani mzee anazikwa kama vile hana ndugu, wakati huyu
Yenda anapesa nyingi sana, dahh maisha haya" walisema hivyo maana walihisi
nina pesa kumbe mimi najijua mwenyewe. Mke wangu aliumia sana baba yake alivyo
fariki, na alijifanya hana pesa, mpaka baba yake akafa sababu baba alikosa
huduma za kiafya, kumbe paul yeye hawazi kabisa anaendelea kuota shavu na
anakula starehe za kila aina, mke wangu alikuwa mjanja sana kwenye hela
aliniaga kuwa anaenda kutafuta kazi kumbe anaenda kwao, alipo fika kwao
akaingia kwenye chumba cha baba yake, akatafuta hati ya ile nyumba niliyo
mjengea baba ake kisha akaiuza kwa pesa ndogo sana alafu zile pesa za nyumba
akampa paul ili aunganishe na zile millioni 400 kusudi wakitoroka wasiweze
kuteseka ata kidogo. Sasa alipo rudi nikamwambia, mke wangu kwamba
"kwakuwa ile nyumba ya baba yako nilijenga mimi, naomba tui uze maana
wazazi wote hawapo kisha izo pesa za nyumba ndiyo tufanye mtaji ili tuanze
kupata pesa upya maana hapa hamna namna nyingine" nikashanga sana kusikia mke wangu anasema
kwamba, "hapana bebi usiuze maana mzimu utatutesa wa baba, sababu ile
nyumba baba alimpa urithi ndugu yetu mwingine na kesho wanaweza kuamia"
kumbe mke wangu alikuwa anasema vile kwa sababu alikuwa ameiuza nyumba tayari.
Dah sikuwa na jinsi ikabidi nikubali matokeo, kumbe paul
kwakuwa alikuwa na pesa zangu nyingi hivyo akapanga wazo la kununua gari. Mke
wangu siku moja akaniambia, "mme wangu haya maisha yameisha anza
kunichosa" nikamuuliza "kwanini?" Akasema "tunateseka sana
hatuli vizuri, nguo hatubadilishi tumekaa tu kama wanyama humu ndani, katoto
kangu kamekaa kama kamebemendwa, nimechokaaa" nikamwambia kwamba,
"mke wangu kama unavyo jua sahivi sina kazi, na marafiki zangu wote sahivi
wamenikopesha hela zao nimeshindwa kuwalipa kwa sababu sina pesa, wewe vumilia
tu mke wangu" Elivia akasema, "Yenda mimi naanza kuchoka
kabisaaa" nikamwambia, "usisahau ulipo toka Elivia, nilikuokota
balabalani ukiwa mchafu sana, umepauka kweli kweli, nikakuleta hapa ukapendezaa,
sasa sahivi unajifanya shida uzijui, nakuwa sikuelewi, maana mimi nilikupenda
kwa sababu ya heshima na upole wako, kumbe nilikosea njia sio. kuwa mvumilivu
na mungu atatusaidia Elivia" mke wangu akachachamaa kweli kweli, akasema,
"Yenda vitu vilivyo pita sitaki kuvisikia hapa, ebu angalia mtoto anaumwa
dawa hatumpi, mtoto hali akashiba pesa hutoi, hivi unataka nikajiuze nilete
pesa ndani" nikasema "dooh sawa mke wangu ngoja nitafute pesa"
kabla sijatoka nje nikapigiwa simu na mama yangu mzazi akasema "mwanangu
huku nyumbani tumeishiwa pesa kabisa, tunaomba ututumie pesa ya matumizi,"
dooh nilichoka sana mpaka nikapata kiu cha maji, nikamwambia mke wangu,
"bebi naomba uniletee maji ya kunywa" mke wangu akasema "bebi
maji yameisha yote ndani, nasubilia unipe hela nikanunue yale maji ya
kunywa" na wakati hup mfukoni sina ata pesa, ikabidi niuze gari langu
ndipo akalinunua mr Paul kipindi hicho mimi bado ata sijamjua, hivyo ile pesa
yangu iliyo iba mke wangu akampatia, paul alichukua milioni 25 nikamuuzia lile
gari langu. Dah nilipo uza gari nikapata nafuu kidogo, sikukaa ata siku nyingi
mke wangu akaanza kupendeza mtoto akaanza kupendeza pia, maana nilikuwa
nawapenda sana mke na mtoto wangu. Ile pesa yote nikaamua kufungua duka zuri tu
lenye vitu vya matumizi ya nyumbani, kama sabuni, ndoo za mafuta na vingine
vingi tu, sasa nilipo fungua lile duka pesa yote nilikuwa nimewekeza humo, mke
wangu akanishauri tuuze nyumba alafu tupange ili duka lijae zaidi tutengeneze
hela ya kutosha alafu tujenge nyumba nzuri mpya badae. sikumpinga mke wangu,
maana niliona ni wazo zuri kabisaa,
nikauza nyumba yangu kisha zile pesa zote nikaziweka dukani, mpaka duka
langu likajaa na kupendeza zaidi, heshima yangu ikarudi kama ya zamani, Sasa
siku moja usiku nikiwa nakaribia kufunga duka, walikuja majambazi pale na gari
lao kubwa tu, mimi nilihisi kuwa wanataka kununua vitu kumbe nia yao wanipole
kila kitu dukani watoeke navyo, aliingia kaka dukani akasema, "habari
mangi, hivi hizo freestyle box zima shingapi" nikamjibu kwa usitaharabu sana
kuwa ni elfu 23000, akasema ebu tuone wakati namtolea aone nikageuka nyuma,
kipindi namuangalia sasa nimpe box, akatoa bastora kisha akasema toa pesa zako
zote, dooh nilikuwa naogopa kufa nikazitoa zote, kisha akawambia vijana washuke
kwenye gari wasombe mizigo yote dukani waweke kwenye gari, mimi nilikuwa
nimetekwa hakuna raia alie jua kuwa ni majambazi walihisi kuwa ni wateja tu wa
usiku wamenunua vitu, dooh vitu vyote vilisombwa duka likabaki wazi na pesa
zikabebwa kisha wakanifunga mikono na miguu alafu wakanijaza mifuko mdomoni ili
jisiongee wala kupiga kelele, kisha wao wakaondoka, dooh kuna mteja wangu
aliingia ili anunue vocha akanikuta nimefungwa mikono na miguu kisha mdomo
wangu umejaa mifuko tu, alitoa na kunifungia dahhh hakuamini nilivyo msimulia
jinsi wale majambazi walivyo niteka, nikaamua tu kuacha duka wazi kisha
nikaenda nyumbani kumwambia mke wangu matatizo yaliyo nikuta,
nilipo mwambia Mke wangu, alichukia sana akasema, "weh
hivi hizo mali zako niza kishirikina kwamba zinapotea umeshindwa kufata mashariti
au, sasa mbona zinaondoka kama vile upepo, kumbuka hii nyumba tumepanga na
kesho inabidi tulipe kodi alafu unasema kwamba umeibiwa kila kitu dukani
sikuelewi, sikuelewi kabisaa yahani." Dah sikuwa na jinsi sasa, ndipo
nikaanza kuchoka na maisha mwili ukafubaa sana yahani naona aibu sana kuonekana
mtaani, mke wangu pia akaanza kunichoka ndugu zangu wakaanza kusema huyu ndugu
yetu hatupendi kabisa, anatunyima pesa wakati sisi ni ndugu zake. Nilihisi
maisha machungu sana kwangu ndipo nikaanza kazi ya kuosha magari, siku moja
wakati naosha magari nikaosha lile gari langu nililo liuza na nilie kuwa
namuoshea alikuwa ni paul alie iba pesa zangu na yule mke wangu. Dah
"kweli haya maisha hayaeleweki kabisaa" sasa siku moja nimerudi
nyumbani nikiwa nimechoka sana, nikamkuta bana mwenye nyumba anatufukuza kwake, kwamba tuondoke kwake eti mke wangu
anagombana sana na wapangaji wengine, nikajaribu kumuomba msamaa ili angalau
atupe mwezi mmoja, mwenye nyumba akasema, "nyie hamfai kuishi na watu,
yani kodi hamlipi nawatunza tu, alafu bado mnagombana na wapangaji wangu
tokenii" ndipo mtoto wetu alianza kulia pale dahh, ndipo mwenye nyumba akapata huruma maana alikuwa anapenda
sana watoto, ila akasema tuishi kwa ustaharabu, Sasa kumbe paul siku moja
akamwambia Elivia kwamba, "bebi wakati sasa umefika wa kuondoka na
kumuacha huyo yenda mme wako, itabidi hii wiki tuondoke maana pesa tayari
inatosha, alafu huyo mtoto wako muachie mme wako sisi tuondoke zetu" mke
wangu akasema "sawa paul ngoja nijiandae maana haya maisha yameisha
nishinda, liwalo na liwe" kipindi hicho mimi nipo napambana sana kutafuta
japo elfu moja ili mke wangu na mtoto wangu wapate kula, na wala nilikuwa sijui
kama mke wangu anampango wa kutoroka na kuniachia mtoto mdogo ndani. USIKOSE
SEHEMU YA TISA. Mtunzi ni FRANK DAVID/ DAKTARI WA HADITHItz. Whtsapp
0769510060
SEHEMU YA 9.
MTUNZI FRANK DAVID, DAKTARI WA HADITHI_tz. Whtsapp
0769510060.
Kweli bhana, siku moja mke wangu alijiandaa ili atoroke na paul wake,
ili waende wanapo jua wao, na Elivia alikuwa mjanja sana maana alijiandaa siku
ambayo alijua mi nipo bize mtaani nikitafuta pesa, kweli aliandaa nguo zake
kwenye begi kisha akaoga, sasa wakati anatoka nje, mtoto akaanza kulia, dahh
mke wangu huruma ikamshika masikini, maana katoto ketu kalikuwa kadogo bado,
alitamani kubaki lakini upendo wake mwingi wa moyoni ulikuwa kwa paul, ndipo
mke wangu akachukua karatasi na karamu kisha akaandika ujumbe ili mimi nikija
niukute, ujumbe ulikuwa unasema kwamba, "Yenda mme wangu, najua
tulipendana sana kipindi chote hicho, mpaka nikakuamini na nikaamua kukuzalia
mtoto, ila maisha yamenishinda nimeamua kuondoka na kukuachia mtoto wako,
sehemu ninayo kwenda siijui, lakini nakutakia maisha mema na yenye mafanikio"
mke wangu alipo maliza kuandika ile barua, akaikunja na kumlaza mtoto
kitandani, kisha akaweka ile barua juu ya tumbo la mtoto ili nikifika niipate
kwa urahisi, mke wangu alipo maliza akafunga mlango na kufuri kisha akaenda kwa
paul na wakasafiri sehemu ambayo nilikuwa siifahamu. Mtoto alibaki mule ndani
akiwa ajala kitu chochote tangu asubui, alilia sana mtoto wangu mule ndani,
mpaka majirani wakatamani kubomoa mlango ili wampe mtoto chakula, sasa mimi
nilipo rudi kutoka kazini, nikakuta watu wengi karibia na mlango wangu
wananisema vibaya sana kwamba, "hii familia ya kipuuzi mno, yani wanatoka
wote na kumuacha mtoto mdogo ndani akiwa na njaa na analia sana hivi dahh"
nikawauliza, "jamani mbona mmenuna alafu wote mpo mlangoni mwangu",
wakasema, "Yenda wewe na mke wako mmefanya kosa sana, yani tangia asubui
mmefunga mlango mtoto akiwemo ndani, mtoto ajala chakula analia tu, hivi
mnataka afe?" Nikasema, "niniiiii" kwani mke wangu yuko wapi,
wakajibu "mke wako tangu asubui hayupo wewe pia hukuwepo ila mtoto
mmemfungia ndani" dooh tulibomoa kufuri na kuingia ndani haraka, nikakuta
mtoto wangu amelia mpaka macho yakawa mekundu, amejikojolea na kusidia bila
kubadilishwa nguo, dahh nilitoa machozi sana, wakati naangalia kitandani ndipo
nikakuta ule ujumbe kuwa mke wangu ameondoka na kuniachia mtoto, na ameondoka
sehemu asiyo ijua, dooh nilihisi kuchanganyikiwa, majirani wakasema, "Man
Yenda tatizo nini"niliongea huku nalia kwamba, "ndugu zangu someni
hii barua", waliisoma barua ika waumiza sana mpaka wakanionea huruma, kila
mtu akaanza kusema yake, "huyu mwanamke ni chizi kweli, yani kamuacha
mtoto alie mzaa mwenyewe, si bora angetoroka na mtoto" wengine wakasema,
"dooh wanawake wengine ni mikosi kabisa, ukiwa nao mambo yako yote lazima
yakwame" dahh waliongea sana pale mambo mengi, ila mimi nilikuwa nimehisi
kuchanganyikiwa tu maana kila siku matatizo kwangu yanazidi, mara ghafla mtoto
akaanza tena kulia, ndipo nikachukua maziwa yake ya kopo kisha nikachanganya na
maji ya baridi nikihisi ni sahihi kumbe sio, yahani mpaka maji yachemshwe na ya
pozwe kidogo ndiyo mtoto anywe, sasa nilivyo mnywesha mtoto maziwa ya baridiii
alikuwa anakataa huku akiendelea kulia masikini mpaka nikahisi chumba chote
kichungu, maana nampa maziwa hataki alafu analia tu, dahh nilipo ona mtoto
analia na mimi nikaanza kulia ndani yahani tukaanza kulia wote, dada mmoja hivi
msitaharabu kweli akaja na kusema kwamba, Yenda leta mtoto nikusaidie
kumbembeleza, kweli yule dada alimbeba na kumtengenezea maziwa mtoto akanywa na akaacha kulia, akamuogesha kila kitu na mimi
pia nikajifunza jinsi ya kulea mtoto kipindi hicho, sasa nikaanza kuangaika
ikifika asubuhi maana nilishindwa kwenda kazini kutafuta pesa, maana sikuwa na
mtu wa kumuachia mtoto, ikafika kipindi nikaanza kwenda na mtoto kazini, nikifika
namtandikia chini kisha mimi naanza kuosha magari ya watu mda ukifika nampa
maziwa, mpaka mtoto akazoea, sasa
kutokana na kuangaika kote kule ikabidi nimchukue mtoto ili nimpeleke kwa bibi
yake amtunze maana hali ilikuwa ngumu
upande wangu, kweli mama yangu alimkubali mtoto na akakubali kumtunza maana
niliamua kuwa mkweli na kumuelezea maisha yangu na matatizo yaliyo nikuta, ila
mama alicho niambia ile millioni mia nne na wale majambazi walio nivamia dukani
yote hiyo ni mipango ya mke wangu, na kwakuwa ameisha pata pesa basi ametoroka
na kukuacha wewe kwenye shida, nikamuuliza mama, "sasa kama elivia ana
pesa kwanini amemuacha mtoto wake", mama akasema, sisi wanawake
tunarubuniwa sana, mi nazani amepata kijana wamependana sasa huyo kijana labda
kamzuia asiende na mtoto" dahh niliumia sana nikasema, "yani msaada
wangu wote kwa Elivia leo hii anaiba mali zangu zote duuh"
Siku moja nikiwa katika miangaiko yangu nikakutana na jamaa
mmoja anaitwa Juma, huyu Juma alikuwa mmoja wawatu nilio kuwa nafanya nao kazi
ofisini kipindi cha nyuma, akasema, "kaka hapa nilipo natokea Mtwara,
huwezi kuamini nimemkuta mke wako huko na bwana mmoja hivi anapesa sana, na
huyo bwana ana gari linafanana sana na lile gari lako, alafu huyo bwana amekuwa
maarufu sana huko sababu anapesa sana huko Mtwara, anaitwa bwana paul,"
dooh sikuamini kabisa nikasema, "we juma unasema kweli au unanitania"
akasema ndiyo, yani wewe kama unamjua paul basi huyo ndiyo anajivinjari na mke
wako uko Mtwara" nikafikilia sana "paul ni nani, paul ni nani, paul
ninaniiiiii" dahhh nilifikiria sana mpaka kichwa kikauma, ndipo
nikakumbuka siku nilipo ibiwa pesa na kumpiga mke wangu, simu iliita ya mke
wangu jina limeandikwa paul, kisha huyo paul alipo sikia sauti yangu akakata
simu, na nikakumbuka pia alie nunua gari langu kwenye mkataba jina liliandikwa
paul, alafu juma anamtaja kuwa paul ndiyo anakula maisha na mke wangu na ana
gari kama langu, doooh moja kwa moja nikapata jibu kuwa mke wangu ndiye alie
fanya mpango wa pesa zangu kuibiwa na kufanya mpaka mimi nifirisike, nikasema,
"sikubali lazima niwafate mtwara, na lazima nilipize kisasi"
nilijiandaa kisha nikasafiri bila kumuaga mtu yoyote mpaka nikafika Mtwara,
sasa ubaya nilifika nikiwa sina ata pesa mfukoni, hivyo nikaanza kujiusisha na
maswala ya kuosha magari kwenye ofisi za watu, kisha nikipata pesa nakula na
kulipa nyumba za wageni nilipo kuwa nakaa, sasa jamani siku moja wakati naosha
magari, nikaona lile gari kama langu nililo muuzia paul linakuja, dooh
nikajificha chini ya gari ili nione kama mke wangu yupo mule ndani ya gari,
sasa gari lilipo fika paul akasimamisha, maana walikuwa wanataka kuacha gari
lioshwe alafu wao waende kula lanchi, sasa paul alivyo shuka, akaenda upande wa
pili kumfungulia Elivia huku mimi nipo chini ya gari nawa chungulia tu, paul
alipo mfungulia Elivia, wakati anambusu
sasa ili waende kula hotelini, nikatoka chini ya gari kisha nikasema kwa nguvu
nikiwa nalia, "Elivia mke wangu, kumbe upo huku, kwanini umetukimbia mimi
na mwanao, kwanini una roho mbaya sana wewe mwanamke"... USIKOSE SEHEMU YA
10.
SEHEMU
YA 10
MTUNZI FRANK DAVID, DAKTARI WA HADITHI_tz. WHATSAPP
0769510060.
Mke wangu alipo sikia sauti yangu nikimwambia vile kuhusi yeye
kutukimbia mimi na mtoto, aliishiwa nguvu kwakweli, akatamani kunifata, paul
akamvuta akasema "anaenda wapi sasa" Elivia akasema, "Yenda
mtoto wangu yuko wapi, na anaendeleaje" nikamwambia, mtoto yupo nyumbani
na anaishi maisha ya tabu sana, wewe upo huku mnakula maisha na paul, kwanini
ulinifirisi mke wangu, mmeniibia pesa zangu zote mkakimbilia huku mtwara
kwanini" paul akasema, "we elivia ebu ingia kwenye gari
tuondoke" elivia alikuwa mgumu sana ata kuingia kwenye gari maana
alinitazama nilivyo kuwa nikilia huku nimechafuka, nguo zimetoboka, wakati mimi
nilikuwa mtu mwenye pesa zangu kipindi cha nyuma na mimi ndiye nilie muokota na
kumsaidia yeye kwakweli ata yeye alijisikia vibaya sana, Elivia na paul
waliingia kwenye gari kisha wakaondoka, dooh niliishiwa pozi kabisaa mpaka
nikashidwa ata kuendelea kuosha lile gari, ikanibidi nirudi kule ninapo kaa,
ili nipumzishe kichwa changu mawazo, hivyo basi kutoka na kuacha kufanya kazi
siku hiyo nikawa sijaingiza pesa kabisa mfukoni, wakati nafikiria nifanye nini
ili nimrudishe mke wangu ili niishi nae tumlee pamoja mtoto, mama akanipigia
simu akasema kwamba mtoto anaumwa nitume pesa za hospital, dooh nilichoka
aisee, maana sikuwa na chochote mfukoni, ikabidi nirudi kazini tu, kweli
nilijitahidi nikapata elfu 30, nikatuma kwa mama kwa ajili ya matibabu ya
mtoto. Paul alipo fika kwake akaanza kumgombeza elivia akimwambia, "wewe
ni mjinga sana, yahani kumbe hunipendi, sasa kwanini ulikuwa unataka kumfata
Yenda, kumbe bado unampenda sio" elivia akamwambia, "hapana sio
kwamba nampenda lakini kumbuka nimezaa nae, mda mwingine nafsi inanisuta, alafu
hizi mali tunazo zitumia hapa zote tumemuibia yeye na ameisha tugundua, hivi
unaweza kuwa huru kiakili kweli, au na wewe hujifikilii" paul akasema
"dahh lakini kweli elivia lazima ituchanganye kidogo" sasa mimi huku
nilikuwa nawaza jinsi gani naweza kwenda mpaka kwa paul anapo ishi kusudi
nimchukue mke wangu na niwaombe pesa zangu Tsh millioni 400 niondoke kurudi
nyumbani. Sasa baada kama ya wiki moja
mbele, nilianza kuwatafuta nakuulizia sehemu anapo ishi huyo paul mpaka
nikapajua, nikaanza kupanga mikakati ya kutaka kwenda na kufanya vurugu pale
kwake mpaka waelewe. Nilipo fika getini kwao nikakuta mlinzi, nikamuomba,
"kaka habari za kazi, naomba niingie ndani nataka kuonana na paul maana
alisema nije kuna kazi anataka kunipa" yule mlinzi hakubisha akaniruhusu,
nilipo ingia tu paul na yeye pia akawa anatoka hivyo tukagongana uso kwa uso,
akasema, "we yenda kwa nini unafatilia maisha yangu, umefata nini nyumbani
kwangu" nikamwambia, "paul, nimemfata mke wangu pamoja na mali zangu
zote, hizi mali sio zako mmeniibia wewe na Elivia, nimefata haki zangu"
paul akasema, "mjinga sana wewe, mali zako zipi hapa, nasema ondoka hauna
chako hapa na ukiendelea kunifatilia nitaondoa maisha yako" baada ya
kuongea vile, paul akaanza kumtukana mlinzi, "kwanini unaingiza watu kama
hawa nyumbani kwangu, kazi imekushinda ama" mlinzi akasema "hapana
bosi, yeye alisema umemuita kuna kazi unataka kumpatia" paul akasema,
"huyu ni kibaka tu ni muongo sijamuita mimi hapa, ni mwizi mtoe haraka
sana" kweli bhana mlinzi alinisukuma nikatoka nje kama mwizi, na paul
akasema ukirudi hapa naku ua kwa mikono yangu miwili. Nilirudi sehemu nilipo
kuwa naishi, lakini ilipo fika mida ya saa tano usiku nilikosa usingizi kabisa
nikasema, "siwezi kuona watu wanafurahia maisha kwa pesa zangu na mke
wangu wakati mimi naangaika ni bora nife sababu ya penzi, yahani mpaka nimpate
mke wangu na mali zangu zote
zirudi", nili rudi mpaka kwa paul mida ya usiku nikaanza kuchungulia
nje ya fensi ili niruke na kuingia ndani niweze kufanya vurugu tena, sasa
wakati nipo kwa nje nikachungulia kwenye fenzi pale nikamuona mke wangu pamoja
na paul wake wanapeana busu na kufurahia maisha huku wakinywa "wine"!
dah moyo ulikuwa unaniuma nashindwa ata nifanye nini, sasa kipindi nipo
nachungulia nikaona paul ameingia ndani na kumuacha Elivia peke yake, dahh sasa
kwakuwa nilikuwa nampenda sana Elivia, nikaamua kuruka fensi na kuingia mule
ndani, ili niongee nae, sasa nilipo ingia nikanyata polepole mpaka sehemu alipo
kuwepo elivia nikamshika begani na kumwambia polepole kuwa, "nimekufata
wewe mke wangu bado nakupenda naomba amka tuondoke ukamuone ata mtoto wako
amekumisi mama yake" elivia akasema, "we yenda umeingiaje humu ndani,
mme wangu amefata simu yake atakukuta ondoka" nikamwambia nashindwa kuishi
bila wewe, bora aje aniue tu nife sababu ya upendo wako tu, maana nakosa furaha
ya maisha bora nife, alafu naumia sana maana mmeniibia pesa zangu nyingi sana
mimi nimebaki naangaika tu" wakati tunaongea vile akaja paul nakunikuta
nipo naongea na Elivia, dooh alikasilika sana akasema, "we mpuuzi kwanini
unaongea na mke wangu usiku huu tena kwangu bila ruhusa yangu" nikamjibu
nakusema kwamba, "huyu ni mke wangu amenizalia mtoto, umeniibia mke pamoja
na mali zangu" paul akasema "ondoka muache mke wangu nitaku ua"
nikamwambia, nipo tayari kufa sababu ya upendo nilio nao kwa Elivia, sasa kama
mali baki nazo ila namuomba mke wangu niondoke nae nampenda" dooh paul
alichukia akasema "nisubili nakuja" Kisha akaingia ndani, Elivia
akasema, "paul mme wangu ondoka, mungu akipenda nitakuja tu kumuona mtoto
wetu, kimbia huyu bwana anaweza kukumaliza kweli atakuja na bunduki" dooh
wakati nipo nasubilia aje aniue duhh alikuja na panga anataka kunikata,
nilikwepa kisha nikakimbia nikaruka fensi haraka sana, paul alichukia sana siku
hiyo, akamfata mlinzi getini kumuuliza kwanini kaniruhusu niingie ndani, akakuta mlinzi amelala, dahh alimpiga yule
mlinzi na kumuachisha kazi siku hiyo hiyo. Alimgombeza sana Elivia akimwambia,
"hivi we mwanamke kwanini unaongea na huyo bwana mnataka kunizunguka
sio" elivia akasema, "hapana paul, mi nimeshangaa amefika ghafla hapa
nikashindwa cha kufanya". sasa mimi siku hiyo sikupata usingizi kabisa
maana nilipo ongea na Elivia nilitamani sana arudi niendelee kuishi nae, siku moja
nikaenda mpaka kwa paul mchana, nikakuta hakuna mlinzi maana alikuwa tayari
amefukuzwa kazi, nilipo ingia ndani nikakuta paul hayupo ameenda kwenye kazi
zake, ila pale nyumbani alikuwepo Elivia tu, mimi niliingia mpaka ndani
sebreni, nikamkuta elivia amevaa kanga moja bila kitu chochote ndani akiwa
anaangalia Tv, alishtuka kuniona akasema, "yenda toka nje, paul, akikukuta atanipiga" nikasema
hapana usijali, kwani ameisha nikuta mala ngapi niko na wewe na hajakupiga" nikamwambia elivia kwamba,
"najua unampenda paul, lakini kumbuka ata mimi nakupenda wewe elivia, ebu
fikiria pesa zote mmeiba, sawa nimewaachia lakini moyo wangu upo kwako elivia
naomba ukajiandae tuondoke" elivia
akasema, "yenda, naumia sana kukuacha wewe na mwanangu kwa sababu moyo
wangu unajua thamani yenu, lakini huyu paul, ndiye alie kuwa mume wangu wa
mwanzo na ndiye nilikuwa nampenda sana, maana aliutoa usichana wangu na
ananichanganya sana akili kwa mapenzi yake, yahani najikuta nakosa msimamo wa
mapenzi mpaka najishangaa,, ata wewe nakupenda yenda lakini nashindwa kuweka
chaguo sahihi" nilimfata karibu Elivia nikiwa nambembeleza ili niondoke
nae, sasa wakati nimemshika mala ghafla hisia za mapenzi zikanishika nikajikuta
namsukumia kwenye kochi la paul nikiitaji kufanya lile tendo, nikampandia juu
kwa nguvu akiwa anaogopa na kukataa, sasa wakati amelala na yeye kwenye kochi
huku akinizuia nisifanye lile tendo, ghafla tu malango ukafunguliwa paul
akaingia na kutukuta tumelala kama tunafanya mapenzi,, duhhh alitoka nje na
kutufungia ndani, kisha akaja na vijana sita wameshiba kwelikweli, yahani
wananguvu sana, walinipiga sana, tena mbele ya elivia mpaka nikaishiwa nguvu
kabisaa. kipindi nimeanguka chini sina nguvu
wakanibeba na kunipeleka msituni kwenye vichaka huko mtwara, ambapo ata sipajui
wakanirusha kwenye shimo lefu sana katikati ule msitu, kisha wakasema, ngoja
ufe humo ndani sababu ya mapenzi. USIKOSE YA 11.
SEHEMU
11
MTUNZI, FRANK DAVID/ DAKTARI WA HADITHI_tz. Whtsapp
0769510060.
Kipindi wananirusha
shimoni nilianguka vibaya sana maana mkono uligonga jiwe mule shimoni hivyo
nikateguka mkono na nikapata maumivu makali sana kwenye mwili. Nilibaki
mwenyewe mule vichakani mpaka giza likaingia, sema kweli nilikuwa naogopa maana
nilikuwa nasikia sauti za wanyama, na ndege kama bundi zikilia, nikajua humu
shimoni lazima nife tu sina jinsi. Niliamua kulala mule shimoni mpaka asubui,
ila sema kweli niliamka na maumivu makari sana maana nilipigwa alafu nikarushwa
kwenye shimo hivyo mwili ulikuwa hoi, njaa ilianza kunishika sina sehemu yoyote
ya kula, alafu nikilitazama shimo ni refu sana alafu pana siwezi kupanda juu,
nilipiga magoti mule shimoni nikamuomba mungu anisaidie nisiweze kufa kwa
sababu ya mapenzi yangu ya dhati kwa mke wangu elivia, kipindi nimepiga magoti
nasari kumbe kulikuwa na siafu chini dahh hao siafu walini ng'ata sana siku
hiyo nikajaribu kukimbia ila wakazunguka shimo zima hivyo niling'atwa sana
mpaka mwili wangu wote ukawa unawashwa tu, nilikuwa siogi wala siri kwa raha
mpaka nikaanza kutoa harufu mbaya sana mwilini mwangu na nikapauka sana ngozi
sababu ya kukosa lishe, kilicho kuwa kinanisaidia ni kwamba juu kabisa ya lile
shimo kulikuwa na mtiwa mapera hivyo nilikuwa namuomba sana mungu alete ili mti
utingishike mapera ya dondoke chini nile nilale. Sasa kipindi mimi nipo nalia,
najiona kabisa kuwa nakaribia kufa kwa sababu ya elivia, kumbe mama yangu
nyumbani alikuwa anaumwa sana, na mama yangu alikuwa anaishi mwenyewe sababu
baba yangu alifariki zamani sana, hivyo mimi nilikuwa kama msaada wake mkubwa,
sasa kipindi anaumwa alijaribu kunipigia simu ili nitume pesa za dawa lakini
mimi nilikuwa nimetupwa shimoni masikini sipatikani, mama yangu mzazi alianza
kuni laani akisema, "yahani yenda nimekuzaa mimi nimekulea mimi alafu leo
hii mama yako nafia ndani umenizimia simu mtoto wangu yahani we mbaya
sana" hazikupita ata siku nyingi, masikini mama yangu aliteseka sana akiwa
na mtoto wangu, maana katoto kangu kalikuwa kamemzoea sana bibi yake kakizani
kuwa ni mama, sasa kutokana na ugonjwa na pesa ya chakula kukosekana mama yangu
alipoteza maisha kizembe sana masikini, sasa wakati mama yangu anafariki, mtoto
wangu alikuwa juu ya tumbo lake analia akiitaji bibi yake aamke ampe chakula,
kipindi hayo yote yanafanyika mimi nilikuwa chini ya shimo nalia tu sijui
kinacho endelea nyumbani. Kumbe mama yangu alifariki na majirani ndiyo walimtoa
mule ndani na ndugu wakafika maana walikuwa hawakai tena na mama sababu ya
maisha kuwa magumu, hivyo walivyo fika wakashughulikia swala zima la msiba. Sasa
mimi kipindi nipo shimoni nilishikwa na kiu sana jamani, hivyo nikashindwa
kabisa jinsi ya kufanya ili nipate maji ya kunywa, lakini hazikupita ata siku
mbili mvua zikaanza kunyesha sana maji yaka jaa pale chini na nikanywa hivyo
hivyo tu yakiwa machafu, maana mule shimoni palikuwa pachafu sababu panya
walikuwa wamo mule na wadudu wengi tu, mvua zilinyesha sana mpaka zikaanza
kunikera sasa maana maji yalikuwa yanajaa mpaka yanataka kunifunika na
kunizamisha chini, sasa kutokana na mvua kuwa kubwa sana hivyo manyasi na miti
ikaanza kuchanua, huwezi kuamini kuna manyasi yalikuwa yanaota kwa kudondokea
shimoni mpaka yakawa marefu kabisa mpaka chini, sasa mimi nilicho fanya
nikayakusanya yale manyasi kisha
nikayafanya kama kamba nikapanda nayo mpaka juu ya shimo maana yalikuwa yameota
juu ya shimo, mungu saidia hayakuachia maana yalikuwa mengi, nilipanda mpaka
juu ya shimo kabisaa nikatokamo shimoni. Dah nilivyo toka nikasema hapa
nikirudi kwa paul nitakufa ni bora tu niende sehemu nijifiche kwanza alafu badae
ndiyo nianze mapambano yangu ya kulipiza kisasi. Sasa kule nyumbani kumbe ndugu
zangu waliamua kukaa na mtoto wangu, ila walikuwa wanakapiga sana yahani
wanakatesa kila mda, mtoto akakaa bila amani kakawa kaoga alafu akajiamini
kabisa, maana kalihisi kametengwa sana, sasa siku moja Elivia akiwa amelala
alimuota mtoto wake usiku mala ghafla
tumbo lake la uzazi likaanza kumu uma,
paul akamuuliza "nini tatizo" elivia akasema, "nimemkumbuka
mtoto wangu sana mpaka najihisi mabadiliko ndani ya mwili wangu, natamani
kumfata tuishi nae hapa, maana yenda ameisha kufa, sababu mmeisha muua wewe na
marafiki zako, hivyo bora tufate mtoto tukae nae sisi hapa nyumbani" kweli
walipanga safari kisha wakaenda mpaka kwetu na walipo muomba mtoto ndugu zangu
hawakukataa kabisa maana walikuwa hawakapendi katoto kangu". Dooh sasa
mimi baada ya mda niliamua kurudi kwetu kwanza ili nimuone mama pamoja na mtoto
wangu, dooh nilipo fika nikashangaa kukuta mama yangu amefariki alafu mtoto
wangu amechukuliwa na paul wakizani kwamba mimi nimekufa hivyo wapo huru tu.
Dahhh niliamua kurudi mpaka mtwara kwa mr paul kusudi niweze
kumchukua mtoto wangu. Sasa nilipo fika kule nikaogopa kwenda mchana maana
nilijua paul akiniona tena nitatupwa mule shimoni kwa mala ya pili, ikabidi
niende usiku maana nilijua wanapenda sana kukaa ubarazani mida ya usiku, nilipo
fika nikachungulia kweli niliwaona wote, nikamuona mtoto wangu, elivia pamoja
na paul, wapo wanafurahia tu maisha. Paul akasema "ngoja nikazime friji
maana tangu jana imewaka tu na hamna vitu vya maana kwenye friji" wakati
ameingia ndani nikaruka fensi haraka haraka, kisha nikaenda mpaka kwa Elivia
akiwa na mtoto, elivia akakimbia ndani akisema, "paul mzimu wa marehemu
yenda umekuja" mimi nikamchukua mtoto wangu kisha nikarudi mpaka kwenye gesti
nilipo kuwa nimepanga. Dooh paul akaogopa akasema "yenda amefata nini tena
au wewe unamuwaza tu" elivia akamwambia "twende mlangoni umuone"
walipo kuja wakakuta mtoto hayupo tayari nimeisha ondoka nae. Dooh elivia
alilia sana akasema, mwanangu amebebwa na baba yake nitampata wapi tena mimi,
paul akamwambia "usijali elivia kama mtoto ni mzima tutampata tu"
Niliamua kuanza
kupambana na maisha yangu, nilipo pata pesa kidogo nikatafuta chumba kule mtwara nikapanga kisha nikaweka vitu
ndani alafu nikapata binti wa kazi ili amuangalie mtoto, niliona nisirudi
nyumbani tu maana kule mtwara nilikuwa sijulikani hivyo aibu ya kutafuta riziki
kwa njia yoyote ile sikuwa nayo kabisaa, siku moja paul akamuuliza mke kwamba,
"mke wangu tumekaa mda wote huo pamoja lakini haupati mimba, wakati na
mimi naitaji mtoto, maana kama pesa hipo mali zipo naitaji mtoto" elivia
akasema mi nahisi twende kupima hospital tujue tatizo nini maana ata mimi
najitahidi sana nipate ila sipati, kweli walipo fika hospitali ikaonekana kuwa
Eliva hana uwezo tena wa kushika ujauzito yani kizazi chake kimekwisha" na
hapo ndipo paul anatamani kuoa mwanamke mwingine ili amzalie mtoto na aachane
na huyo elivia, USIKOSE YA 12.
SEHEMU YA
12
Nakumbuka siku moja nikiwa balabalani, natembea huku
natamani sana kupata kazi nzuri niweze kuishi maisha mazuri kama ya zamani,
nikakutana na Elivia akiwa na mr paul wanatoka kununua nguo na vitu vingine vya
nyumbani, uzalendo ulinishida kabisaa nikaamua kuwafata, nikasema, “paul naomba
uniachie mke wangu bado nampenda, nakosa furaha kabisa ya maisha” paul akasema
“we yenda mjinga sana nilikutupa shimoni ila naona bado hujalizika yahani
ujakoma kabisa, sasa kama unauwezo mshike ata mkono huyu mwanamke nikuonyeshe”
kwa sababu na mimi sikutaka kuaibika mbele ya Elivia kweli nikamshika mkono,
elivia akasema, “khaa! Usinishike niache,” paul akasema nazani umesikia
mwanamke hakutaki, hivyo sitaki kukuona unaendelea kutusumbua ata kidogo, kaa
mbali na sisi” dooh elivia akasema, “kwanza naomba unipe mtoto wangu, yahani
mimi nazaa wewe unachukua tu bure, namtaka mwanangu” nikamwambia, “kwani huyo
mtoto baba yake nani, ni mimi au huyo paul” elivia akasema “ni wewe”
nikamwambia, “elivia sikia mke wangu, kama mtoto ni wetu basi njoo tumlee sisi
wawili, siwezi kuona mtoto wangu analelewa na mwanaume mwenzangu wakati mimi ni
mzima wa afya sijafa, na kama hutaki basi kaa na huyo paul wako akupe mimba
uzae mtoto mwingine mumlee” dahh elivia akakumbuka kuwa ameambiwa hana uwezo wa
kuzaa tena akaanza kulia, paul akasema hivi kwanini unamfanya mke wangu akose
raha, ebu ondoka nitakuitia mwizi nakwambia, niligoma kuondoka, Elivia akasema,
“yenda mimi siwezi kuishi na wewe maisha ya tabu nampenda mtoto wangu lakini
kama hutaki kunipa basi baki nae tu” nikamwambia “elivia tuondoke mke wangu
mtoto bado mdogo anaitaji malezi yako” ila Elivia alikataa kabisa, kumbe wakati
naongea vile na Elivia, Paul alichukia sana akawasha gari na kumpakia mke wake
kisha akanigonga na gari lake nikadondoka chini, kisha akaondoka, dahh nilidondoka
chini nikiwa na hari mbaya sana, maana lile gari liligonga miguu nikaumia sana,
dooh wakati nipo nalia sina msaada kuna gari moja likapita maeneo yale
likasimama mwanadada mmoja hivi anaitwa Prisca akashuka na kusema “we kaka
mbona umelala hapo chini tatizo nini” nikamwambia, “mr paul amenigonga na gari
lake kisha akakimbia dada yangu yani miguu yangu inauma sana nahisi kama
imevunjika,” yule dada alinibeba na kuniingiza kwenye gari kisha akanipeleka
mpaka hospital, wakati nipo natibiwa nikamwambia yule dada kuwa nina mtoto
wangu na binti wangu wa kazi hawana msaada wowote wa chakula Zaidi yangu
ningeomba ukawaangalie, yule dada alikuwa na roho nzuri sana, maana aliamua
kumfata mtoto wangu pamoja na yule binti wa kazi kisha akakaa nao yeye pale kwake.
Sasa wakati mimi naendelea kutibiwa yule Prisca aliendelea kunisimamia katika
swala zima la malipo na chakula pale hospitalini.
Mungu alisaidia sana nikapona mpaka daktari akaniruhusu
nitokea hospital niwe huru ila nieendelee kutumia dawa ili nipone vizuri Zaidi.
Sasa kipindi Prisca amenifata pale hospitali akasema, “yenda
mi naona bora tu ukakae pale kwangu maana naishi peke yangu alafu nyumba kubwa,
alafu pale ulipo panga wewe sio pazuri kabisa, alafu kitu kingine una mtoto
mdogo na mama yake amemkataa hivyo ni bora tuishi pamoja mpaka pale utakapo
pata pesa na kujenga nyumba yako nzuri sehemu nyingine”, dahh sikuamini yale
maneno nikakubali kabisa bila kipingamizi.
Sikuamini macho yangu nilipo fika kwa Prisca maana yule dada
alikuwa na nyumba nzuri magari matatu mazuri na alikuwa mfanya biashara mzuri
tu. Prisca Aliniambia “ehh sasa chagua utakaa hapa au utakaa kule ulipo panga”,
nikasema “mimi nitakaa hapa dada yangu, mungu akuzidishie sana maana nahisi hii
ni kama ndoto kukaa sehemu nzuri kama hii tena” akaniuliza” kwanini umesema
tena kwani ulisha wai kuwa nyumba nzuri kama hii” nikamwambia kweli kuwa,
“Prisca dada yangu mimi nilikuwa na nyumba nzuri sana gari zuri na pesa nyingi
tu, lakini huyo mke wangu alinifirisi na kumpatia utajiri wangu mr paul, kisha
akakimbia na kuniachia huyu mtoto hivyo tangu siku hiyo nikawa masikini wa
kutupwa” Prisca akasema” usijali kama kweli ulikuwa hivyo basi tutafanya
biashara, na ukiwa muaminifu utafanikiwa tena kama zamani”
Kweli baada ya mwezi mmoja tulianza kufanya kazi pamoja na
Prisca, biashara ziliendelea kupendeza, mpaka prisca akasema” wewe ni mwanaume
wa shoka, maana tangu nianze kufanya kazi na wewe mabadiriko mengi nayaona
kwenye biashara zangu.
Baada ya mwaka mzima kuisha Prisca akaamua kuninunulia
nyumba pamoja na gari moja kama zawadi ya kumfanyia biashara zake vizuri.
Maisha yangu yalipendeza sana nikabadilika na kupata muonekano mzuri wa
kuvutia, mwanangu akapendeza Zaidi pamoja na yule binti wangu wa kazi, siku
moja nimeamka usiku nikakuta binti wa kazi Analia, nilipo muuliza unalilia nini
akasema, “yenda mimi nashindwa kuvumilia kabisa tunakaa humu ndani lakini sema
kweli moyo wangu unakupenda naomba unioe” duhh nilimgombeza sana yule binti
nikamwambia, “yahani ukirudia kuniambia ujinga kama huo nakufukuza kwangu”
niliongea vile maana nilihisi na yeye ni kama elivia alie kuwa ananifanyia kazi
zangu za ndani nikamuoa alafu akanifanyia ubaya.
Sasa kumbe paul alikuwa anagombana kila siku na elivia maana
miaka ilikuwa inasonga tu hawapati mtoto, paul akasema, “nimekuchoka,
nimekuchoka, nimekuchokaaaa! Yahani mwanamke umekuwa kama sijui nini humu
ndani, mimi nataka mtoto na kama huwezi mi naenda kutafuta mke mwingine
anizalie mtoto.”
Elivia alianza kulia akisema, “paul kumbuka umesababisha
niibe pesa za mme wangu ili tuishi wote vizuri, sasa unapo sema unataka kuoa
mke mwingine sikuelewi kabisa, kwahiyo mimi niibe pesa alafu mwanamke mwingine
aje kuzitumia, mbona umenizalau wewe baba”
Paul akasema, “wewe mi sikuelewi unacho sema, kama
utaendelea kukaa bila kuzaa huu mwezi ukiisha namleta mwanamke humu ndani”
Elivia akasema, “bora ningebaki na mme wangu yenda kuliko
wewe usie juwa thamani ya mtu anae kupenda.”
Paul alichukia sana akasema, “mpuuzi nini yani unasema bora
yenda kwahiyo mimi ni bwege humu ndani” elivia alipigwa kofi zito sana. Elivia
akanza kulia akisema “haaaaaa! Yahani unanipiga hivi, mbona Yenda ajawai
kunipiga kofi namna hiyo, kwanini unanitesa we mwanaume”
Wakati wapo wanabishana pale mlango ukagongwa, “kho kho kho”
elivia akaenda kufungua, sasa alipo fungua mlango akakuta mdada mrembo sana
zaidi yake akiwa na tumbo kubwa yahani mjamzito, elivia akamwambia, “karibu
ndani dada” yule binti alipo ingia ndani paul akashtuka, elivia akauliza kuna
nini, yule dada akasema paul, nimefukuzwa nyumbani, baba amesema twende wote
akujue maana tangia umenipa ujauzito wako haujawai kabisa kuja nyumbani. Elivia
akasema “whaaaat yahani paul kumbe umeisha mpa mwanamke mwingine mimba, kwanini
umenifanyia hivi, nilikukosea nini”
Paul akasema, “elivia nisamee mimi nilishindwa kukwambia
mapema lakini ni kweli hiyo mimba yangu”
Yule dada mjamzito akasema, “elivia mke mwenzangu wala
usikasilike mimi ni mstaharabu sana tutaishi vizuri tu humu ndani wala hamna
shida kabisa”
Elivia alianza kulia akisema, “paul mme wangu, umeniharibia
maisha jamani” alisema maneno yale akiwa Analia kama katoto kadogo.
USIKOSE SEHEMU YA 13
SEHEMU
YA 13.
MTUNZI FRANK DAVID, DAKTARI WA HADITHI_tz. Whatsapp
0769510060.
Elivia alichukia sana kitendo cha paul kumpa mimba mwanamke
mwingine, aka kaa kama dakika mbili anawaza, yule dada mjamzito akasema,
"mke mwenzangu mbona unawaza, tatizo nini" Elivia akampiga kofi yule
dada masikini, paul akasema, "we, we, weweee, weweee, usirudie tena ata kidogo
kumpiga mke wangu" Elivia akasema, "paul chagua moja, niondoke mimi
au aondoke huyu dada" paul akasema, "mi nawapenda wote, kwahiyo wewe
utabaki na mwenzako atabaki pia" elivia akasema, "we mwanamke naomba
toka kwangu, toka kwanguuuu aki ya mumgu" paul akasema "hatoki mtu
hapa, kama unataka toka wewe" dahh elivia alichoka sana siku hiyo, ndipo
akachukua nguo zake kisha akabeba begi na kuondoka. Yule dada mjamzito akasema,
"usiondoke elivia we baki tu tutaishi vizuri ndani wala usiondoke"
elivia akamjibu, "mjinga nini baki mwenyewe" alafu akamwambia paul,
"asante kwa usaliti wako mungu akulipe mema" paul akasema "sawa
bhana kama umeamua kuondoka we nenda tu" elivia alijisahau akatoka ndani
bila ata shillingi mia masikini wa mungu, sasa wakati yupo mtaani mida ya
mchana alishikwa na njaa ya ajabu sana, na hakuwa ata na shilingi mfukoni,
ndipo akaenda kwenye mgahawa japo apewe ata ukoko ili apunguze njaa yake, alipo
fika akasema, "jamani mimi ni mke wa paul, nilikuwa na tatizo kidogo"
yule mama mwenye mgahawa akasema, "ohh yule paul tajiri ni mme wako"
Elivia akajibu "ndiyo", sasa mama mwenye mgahawa akasema, "e'hh
niambie sasa tatizo lako, maana nilihisi nyie matajiri amuwezi kuwa na matatizo
kama sisi wachumia juani" elivia akasema, "mama nilikuwa natoka
benki, ila bahati mbaya nimevamiwa hivyo sina ata hela ya kula, sasa naomba
unisaidie ata ukoko nile mama yangu" yule mama mwenye mgahawa akamuuliza,
"mhh ata nyie mnaomba ukoko" Elivia akasema, "jamani kwani sisi
sio watu" sasa elivia aliogopa kusema kuwa ameachana na paul maana alijua
ataambiwa alipe hivyo akajifanya ni mke wa paul ili wampe chakula kwa wepesi,
yule mama akamwambia, "sasa dada ukoko unao utaka upo, lakini mda mwingine
huo ukoko uwa tunauzia watu, wanalipa hela kisha wanakula, hivyo kama unataka
ukoko na umesema huna hela sahivi basi, nitakupa ukoko lakini ukimaliza kula
naomba unioshee hivyo vyombo vyote
vichafu, yahani hizo ndoo hayo masufuria, sahani kila kitu kin'gae, kwasababu
leo sina msaidizi wangu yupo nyumbani anaumwa" dahh elivia akasema,
"we mama vyombo vyote hivyo nioshe mwenyewe bora ubaki na ukoko wako
tu" elivia aliondoka akiwa na njaa sana maana alikuwa mvivu kufanya kazi
maana alikuwa amezoea maisha ya raha, na starehe sana. Ilipo fika usiku Elivia
hajaweka chochote mdomoni alizidiwa tumbo lilimuuma sana mpaka akaanguka chini,
maana alikuwa na vidonda vya tumbo, hivyo alikuwa amezoea kula na kunywa maziwa
kwahiyo ikawa ngumu kupata hizo lishe za maana alikuwa hana hela na ameisha
ondoka kwa mme wake. Sasa wakati anajigalagaza chini tumbo linamuuma mpaka
analia, kuna kijana alikuwa anapita maeneo yale, alipo muona Elivia analia
akamfata kisha akamuuliza, "dada mbona unalia tatizo nini", dahh
elivia alishindwa kudanganya akaamua kusema ukweli kuwa ana njaa alafu mme wake
amemfukuza na hana ata shilingi mia mfukoni, alafu kibaya zaidi ana vidonda vya
tumbo, yule kaka akasema "basi sawa, sahivi ni usiku, twende kwangu ukale
unywe na maziwa ili upumzike maana vibaka wanaweza kuja wakaiba hiyo simu yako
na wakabeba begi lako pia wakaondoka
nalo" sasa elivia alipo furahi kupata ule msaada akafurahi sana kwamba
angalau mungu amemsaidia amepata sehemu ya kujihifadhi, walipo fika kwa yule
kaka, kweli kijana alijitahidi akamnunulia elivia maziwa na dawa pamoja na
chakula pia, Elivia alipo maliza kula akaingia kitandani ili aweze kupumzika,
sasa baada ya dakika kama tatu elivia alishangaa kuona wanaingia vijana wengi
kama tisa mule ndani, kumbe lile lilikuwa gheto la wauni, yahani wale wanatafuta pesa mchana kisha wakipata hela
usiku wanakuja kupumzika mule gheto, na kama akiingia msichana basi wale vijana
wote tisa wanamtumia yule msichana kwa lazima kimapenzi. Dooh elivia alipo
waona akaogopa kwanza, kisha akaamka na kumuuliza yule kaka kwamba, "kwani
hichi chumba chako mnalala wangapi humu ndani, au hawa wengine wamekuja
kukusalimia tu" yule kaka akacheka, "haahahaha, dada kwanini umeuliza
hivyo, usiwaogope maana hawa wote tisa ni waume zako, na wapo kwa ajili yako
usiku wa leo, dada Elivia usiku huu wa leo watakupa furaha ambayo huku wai kuipata
katika maisha yako, yahani hawa wote watafanya mapenzi na wewe" elivia
alishtuka akasema "haaa, we kaka mi sitaki, kama ni hivyo bora
niondoke" kipindi anataka kutoka, jamaa mmoja akamshika shingo na kumtupa
kitandani kisha akasema, "hichi chumba ni kama sumaku, ukiingia humu ndani
unanasa na unakuwa mpole, lazima utupe
sisi wote penzi lako, sisi sio wezi hatuibi mali zako, ila kuwa mpole ili wote
tuburudike, hivyo andaa nyama sisi tule" dooh elivia akasema, "jamani
mimi ni mama nina mtoto nimezaa na Yenda, alafu mimi ni mke wa tajiri anaitwa
paul, msinibake nitawapa pesa" wakasema, "hatutaki pesa zako, na
ndiyo maana hatuja kunyan'ganya simu na begi lako tunacho taka toka kwako ni
kukuvua nguo ya ndani" Elivia alianza kupiga kelele alipigwa kofi moja
usoni, dahhh kweli aliumia maana alikaa kimyaaaaa! Wakamwambia,
"ukiendelea kutuletea nyodo nyodo, tuna kuua leoleo" walitoka vijana
nane nje akabaki mmoja kumshughurikia Elivia ipasavyo, alipo maliza akatoka nje
kisha akaingia mwingine, na kila anae ingia anacheza mechi mala mbili,
dahh walipo fika wa tano Elivia
alizidiwa nguvu masikini dada wawatu, akasema naomba tu mni ue maana maumivu
nayo yapata hapa ni bora nife tu, sasa kipindi ana lialia wale vijana wakaogopa
watu wanaweza kuja ikawa kesi, hivyo wakachukua nguo yake ya ndani kisha
wakamjaza mdomoni ili asitoe sauti nje, akaingia jamaa wa sita kumbaka, damu
zikaanza kumtoka elivia sehemu zake nyeti, wale wakaka walikuwa hawana huruma
kabisa, wakasema, "huyu amekula chakula, maziwa, na maji, alafu tumsamehe
hapana, tutakuwa hatujawatendea haki wasichana wengine tulio wafanya hivi,
kweli masikini walimzunguka wote tisa mpaka mtoto wawatu akapoteza fahamu,
kulipo kucha elivia alikuwa hawezi kutembea vizuri, maana kaka mmoja hivi
mkorofi sana badala ya kuchezq mpira sehemu husika yeye alimlawiti elivia, sasa Elivia alipo amka sehemu zake
nyeti zilikuwa zina muuma sana, ikabidi alale tu mulemule ndani, kweli wale
wavulana walimuogesha kisha wakampa chakula ila wakamwambia, dada kama utalala
hapa tena leo usiku dozi yetu ni ileile tutafanya tena kama tulivyo fanya usiku
wa jana, dahh elivia alivyo ambiwa vile akaona ni bora aende kwa paul mme wake
aishi nae hivyo hivyo ila maisha kama yale asinge yaweza kabisa.
Elivia alitoka mule ndani anachechemea, anaumia sana masikini
huku akiwa na begi lake, hana msaada kabisa na ndiyo maana alikuwa anarudi kwa
paul, kwasababu alifikilia ataenda wapi hakuwa na jinsi, sasa wakati yupo
njiani akiwa na maumivu, mda huo mimi nilikuwa kwenye gari langu nimevaa miwani
nimependeza sana yahani nimebadilika, nikamuona mtu kwa mbele anachechemea,
sikujua kama ni elivia maana sikuwaza kama angeweza kutembea kwa miguu, hivyo
nikatamani kusimamisha gari ili nimpe lifti huyo dada asiendelee kuangaika
kuchechemea, sasa elivia alipo ona gari limesimama akafurahi pia akijua amepata
msaada wa lifti, alipo kuja karibu yangu nikashusha dirisha la gari, elivia
alikuwa hajanitambua maana mimi nilikuwa nimevaa kofia na miwani ya bei, hivyo
kwa haraka asinge weza kunijua, maana kwanza hakutegemea kama ningekuwa na gari
zuri kama lile, sasa yeye nilipo mfungulia dirisha akaanza kusema,
"samahani kaka mi ni mke wa tajiri paul, nimepatwa na matatizo naomba
unipe lifti ya gari mpaka nyumbani" wakati anasema vile nikamuuliza
"hooo, kumbe wewe mke wa paul, Na vipi mme wako Yenda mlie mfirisi
mamilioni ya pesa," kisha nikavua miwani pamoja na kofia, elivia alipo
niona hakuamini akaanza tu kulia, nikawasha gari kisha nikaondoka zangu, dooh
elivia aliendelea kutembea kwa tabu mpaka akafika kwa mme wake, paul akamwambia,
nilijua utarudi tu hapa maana hauna sehemu yoyote ya kwenda, sasa ona umeenda
uko umepigwa sijui na nani miguu mpaka umechechemea masikini," elivia
aliona aibu kusema ukweli kuwa alibakwa maana alihisi paul atachukia na
kumfukuza pale kwake. Sasa maisha walio kuwa wanaishi ndani yalibadilika, hivyo
paul akagawa vyumba viwili chumba kimoja cha mke mkubwa alafu kingine cha mke
mdogo, hivyo paul leo analala na mke mkubwa alafu kesho pia analala na mke
mdogo, alafu kumbe Elivia alivyo kuwa amebakwa na wale vijana tisa masikini wa
mungu, akawa amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi. USIKOSE SEHEMU YA 14
mtunzi frank david whtsapp 0769510060.
SEHEMU YA 14.
MTUNZI FRANKDAVID;DAKTARI WA HADITHI_tz. Whtsapp
0769510060. Kipindi elivia ame athirika
alikuwa bado hajagundua kama ana ukimwi, sasa elivia alikuwa anaumia sana maana
mapenzi yote mule ndani yaliamia kwa mwanamke mwenye ujauzito yahani Farida,
sasa siku moja paul alilala chumba cha Elivia, kipindi wana cheza mechi
akagundua kuna mabadiliko ndani ya elivia, maana ukubwa wa goli uliongezeka
zaidi, maana alipo bakwa na wale vijana ni kama wali muharibia goli lake hivyo
paul kwa jinsi alivyo kuwa amelizoea goli akakuta ndivyo sivyo, yahani goli
limekuwa pana zaidi, mpaka kumfanya paul asifurahie mechi alipo taka kucheza na
elivia. Sasa alipo muuliza elivia kuwa "mke wangu mbona unamabadiliko sana
ndani yako na muonekano wa goli lako umebadilika kabisa sivyo ulivyo kuwa
zamani umekuwaje?" elivia akasema "huo utu uzima paul" hakutaka
kumwambia paul ukweli. Paul hakuwa na jinsi akakubali matokeo. Baada ya mda,
yule mke wa paul yahani farida akawa amejifungua katoto kazuri sana ka kiume,
alafu mungu saidia ukimwi ulikuwa hauja tapakaa mule ndani mpaka mtoto anazaliwa
salama. Sasa wakati amejifungua ndugu na jamaa walikuwa wanakuja kumuona farida
pamoja na mtoto kake, kisha wanatoa chochote walicho nacho kama hongera. Ila
elivia alijifungia ndani analia, hataki kabisa kumuona mtoto wa farida, elivia
akasema kwamba "yahani mimi nimekaa humu ndani siku zote hizo, sijawai
kutembelewa na wageni alafu leo huyu dada anatembelewa na wageni wote hao,
lazima nimkomeshe tu, hawezi kukaa kwenye mali zangu, iweje mimi niibe pesa za
baba mtoto wangu alafu yeye akae bure bure tu, dahh hizi zalau kweli kweli
nitamkomesha" ndipo Elivia akapata wazo la kufanya kila awezalo ili
akanyonge kale kachanga ka mke mwezie kipindi watu hawapo ndani, Sasa siku moja
elivia yupo barabarani na mimi siku hiyo nipo na gari langu pamoja na mtoto wangu
tunaelekea sokoni kununua vitu vya nyumbani, sasa mimi nilishangaa tena kumuona
ana tembea bila gari nikajiuliza, "hivi wamefirisika au" kumbe
masikini wa mungu upendo ulikuwa umepungua kwa elivia paul hampendi kama
zamani, nilimuonea huruma elivia, nikapata wazo la kumuonyesha mtoto wake
anavyo endelea kupendeza na kunawili, nilisimamisha gari kisha nikampigia honi,
ndipo akaja na kusema, "mme wangu vipi hari"nikamwambia nimekuita
umuone mtoto wako yupo kwa nyuma, fungua mlango umsalimie, Elivia alipo ingia
hakuamini kama mtoto wake ndiyo yule, mtoto amependeza, anavutia rangi nzurii,
elivia akaanza kulia, nikamuuliza "unalilia nini" akasema,
"yenda mme wangu bado nakupenda, naomba nije tuishi wote tumleee mtoto
wetu" dahh nilichukia nikatoka nje ya gari nikaenda kwenye mlango wa siti
za nyuma kisha nikafungua mlango na kumtoa nje elivia alafu nikawasha gari ili
nimgonge kama walivyo nifanyia kipindi kile, ila nikamuonea huruma, Elivia
akasema, "simama, simama" nilisimama nikamuuliza "nikusaidie
nini zaidi", mimi nilikuita umuone mtoto tu, ujue kuwa yupo, maana ulisha
nikana mbele ya paul kuwa uwezi kuishi na mimi mtu mwenye shida, alafu kwa
mlivyo na roho mbaya mkanigonga na gari miguuni, sasa leo unataka nini tena
toka ondoka," elivia akasema, akiwa analia "Yenda najua hunipendi, na
najua nilikufanyia mengi mabaya, lakini katika maisha yangu yote wewe ndiye
ulikuwa mwanaume wa pekee kwangu, lakini nimeichezea bahati, nakuonea wivu sana
yenda, maana sina tena kizazi, mtoto nilie nae ni huyo tu ulie ni zalisha, na
kibaya zaidi umenikataa hivyo mimi nitaishi maisha ya tabu sana yenda"
nilimwambia kwamba, "nyie watu wabaya sana maana mlinitupa shimoni mkajua
nimekufa, ila mungu amenilinda mpaka sasa nina maisha mazurin, na huyu mtoto
ulimkimbia ukamuacha na njaa wewe ukaja mtwara, je angekufa?, sio hivyo tu bali
ata mama yangu mzazi alikufa kwa sababu ya kukosa matibabu kipindi hicho
mmenitupa shimoni naangaika na wadudu, mbu na mvua alafu kipindi hicho nyie
mnakula pesa zangu tu, umenifirisi pesaaaa", nilipo ongea kuhusu
kufirisiwa nikaanza kulia ndipo nikapanda gari na kuondoka.
Sasa kipindi elivia yupo kwa paul wivu ulimshika sana hivyo
akaanza kupanga ile mikakati yake ya kumuua mtoto wa mke mwenzake, uwezi
kuamini aliingia chumba cha mke mwezake kipindi hayupo maana alikuwa ameenda
kununua pampers ya mtoto, Sasa Elivia alivyo kuwa na wivu, akaka nyanyua kale
kachanga kisha akakafunika mdomo alafu akakaniga shingoni kwa nguvu sana
masikini, yani mtoto sauti haikutoka ila miguu ndiyo ilikuwa inacheza cheza mpaka
kakafariki, kisha akakalaza polepole kitandani, akakafunika na shuka vizurii
ili mtu asijue na farida akija ajue kuwa mtoto amelala, baada ya kufanya vile
akatoka nje ya chumba, sasa wakati anatoka akakutana uso kwa uso na farida
pamoja na paul, wakamuuliza umefata nini chumba cha mke mwenzio kama sio uchawi
huo umekupeleka, elivia akaanza kuongea kwa uoga "ha!ha! ha! hapana paul
nilikuwa, nilikuwa" paul akasema "sema sasa ulikuwa unafanya
nini?" Farida tumbo likaanza kumuuma ghafla tu, akashtuka akasema
"mbona najihisi vibaya tumboni au amemfanya kitu kibaya mtoto wangu"
walipo enda kumuangalia mtoto wakakuta damu zina mtoka mdomoni, puani, pamoja
na masikioni, wakamuangalia vizuri mtoto kumbe ameisha fariki! Farida alianza
kulia akisema "mwanangu mimi mwanangu, nimekuzaa kwa uchungu mwanangu,
rudiiiii mtoto wangu usife" paul alisikitika sana maana alikuwa anampenda
sana yule mtoto na alikuwa anampenda farida mke wake, ndipo paul akasema
"elivia kwanini ume muua mwanangu" elivia akasema hapana sio mimi,
nilimbeba tu bahati mbaya akafa, paul akasema, "kwanini umeingia hicho
chumba cha mke mwenzio" elivia akasema,"nisamee paul mme wangu
sitarudia tena ni shetani tu" duuh
paul alienda kufata kisu amuue eliva, ndipo palepale elivia akawa mjanja
akakimbia haraka na kuondoka bila mabegi yake akasahau ata kutoka na hela wala
chochote akaingia mtaani tena kuangaika
Sasa kipindi paul
anarudi kumuua elivia akakuta kaisha kimbia, hawakua na jinsi wakaamua kumzika
yule mtoto, na wakaficha ile siri kuwa mke mkubwa ndiyo kaua, farida ali umia
sana, akasema sasa haya maziwa nitamnyonyesha nani mtoto wangu amekufa jamani,
ila paul akampa moyo mpaka akasahau, sasa kipindi elivia yupi mtaani alianza
kuwa kama chizi, siku zingine unamkuta yupo barabarani anafagia, siku zingine
anaosha vyombo vya mgahawani, sasa siku moja aliugua sana elivia kumbe vile
virusi vya ukimwi vilikuwa vimeanza kufanya kazi, hivyo akawa mnyonge sana
nguvu akawa hana, kazi hafanyi, akawa ali chakula na ni mwasilika masikini,
dooh yahani kuna siku alizidiwa sana elivia akalala barabarani kama chizi, watu
wanapita wanabaki tu kusema kwamba, "yahani mme wake yule huyo dada mr
paul ni mjinga sana, kaoa mke mwingine alafu kamtelekeza huyo ebu muone huyo
dada alivyo kuwa kama chizi" ila mungu saidia siku hiyo Prisca alie
nisaidia mimi, alikuwa anapita yale maeneo akamuona elivia, sasa alicho fanya
akamchukua elivia, akampeleka hospital mpaka akapona alafu akakaa nae, elivia
akaanza kupendeza ndipo akamleta kwangu siku moja akimuombea msaa ili nikae nae
ili tusaidiane kumlea mtoto
Prisca alivyo fika akasema, "yenda najua huyu mwanamke
alikufirisi pesa zako zote akakufanyia ubaya mwingi sana, lakini nimemleta hapa
naomba umsamee, mrudiane mumlee mtoto, maana kwa sehemu niliyo mkuta awezi
kurudia kosa" nikamwambia prisca kwamba, "najua ulinisaidia sana
prisca lakini huyu dada siwezi kumsamee kabisaa, maana alinitamukia kwa kinywa
chake kuwa mimi simpi penzi kama paul analo mpa, hivyo nikirudiana nae bado
atafata hilo penzi kwa paul" prisca akasema "elivia acha kulia
sasa" kisha akaniambia"kwa heshima yangu naomba msameane kisha
mumelee mtoto kwa pamoja" dahhh nilianza kulia ila sikuwa na jinsi
nikamkumbatia elivia na kumsamee ili awe mke wangu tena, prisca alifurahi sana
akasema najisikia raha sana mkiwa pamoja hivi, sasa nilishangaa sana ilipo fika
usiku nikiwa ndani na elivia eti alikuwa anataka tucheze mechi siku hiyo hiyo
ili aamini kama kweli nimemsamee, nilikataa na kumwambia kwanza asubili tupime
afya ndiyo mambo mengine yafate, siku hiyo sikupata usingizi kabisa maana
niliumia sana kumsamee na kukaa na elivia, na nilimsamee kwa heshima niliyo
kuwa nayo kwa prisca, kesho yake nikamwambia elivia twende hospitalini tukapime
afya zetu ili mambo mengine yaendelee akasema sawa ndipo tukapanda gari na
kwenda hospitalini.. USIKOSE SEHEMU YA 15
SEHEMU
YA 15.
MTUNZI FRANK DAVID. Daktari wa hadithi_Tz. Whtsapp
0769510060.
Tulipo fika hospitalini tukapima virusi vya ukimwi na
magonjwa mengine, sasa tukaambiwa tutoke nje ili tusubilie vipimo kwanza ndiyo
tupewe majibu yetu kisha tuondoke. Sasa nilikuwa nashangaa sana maana Elivia
alikuwa anatetemeka sana akiogopa majibu yake maana alikuwa hajiamini ata
kidogo, nikamuuliza, "Elivia kwanini unatetemeka hivyo, angalia jasho
linavyo kutoka hauna raha kabisa" akasema "hapana mme wangu nipo sawa
tu" mimi nikahisi labda anahisi baridi kumbe mtoto wawatu alikuwa anaogopa
majibu ya ukimwi, na kilicho kuwa kina muogopesha zaidi ni wale vijana tisa
walio mbaka kipindi cha nyuma, sasa wakati tumekaa pale tukisubilia majibu,
elivia akaanza kulia, "nikamuuliza, unalilia nini" akasema,
"yenda mme wangu, naumia sana kwa mambo mabaya ya kishetani niliyo
kufanyia, ingawa tuko pamoja sahivi lakini nafsi yangu bado inanisuta
kabisa" nikamwambia, "ni kweli we mwanamke mbaya sana, umenifanyia
mambo ya ajabu mno, na una bahati sana maana bila prisca nisinge kusamee
kabisa, yahani ningekufukuza kama mbwa, ila kwasababu mtu alie nisaidia mpaka
nikapata maisha mazuri ndiye alie kuleta, nikashindwa kukufanyia ubaya kwa
sababu namuheshimu sana yule dada katika maisha yangu, chochote asemacho lazima
nikifanye" Elivia akasema, "Yenda siwezi kurudia mme wangu, alafu
yule paul ni mtu mbaya sana, alinidanganya mambo mengi sana, maana alisema ata
tukifunga ndoa mimi na wewe yeye ata haribu ndoa yetu kwa vipingamizi maana
mkataba wa ndoa yangu mi na yeye anao kwa sababu kabla yako mimi nilifunga nae
ndoa tayari, hivyo nikakosa msimamo wa maisha, na ujinga ujinga tu watamaa za
ngono, lakini sahivi nakuahidi siwezi kurudia" kipindi tunaongea yale
maneno, tukaitwa kwa ajili ya kuchukua majibu ya afya zetu, daktari alisema
tumepima hapa ila tumekuta wote mna magonjwa, alafu sana sana wewe Yenda, maana
una malaria, taifodi pamoja na U.T.I hivyo utachukua dawa baada ya hapa, pesa
utaacha mapokezi, lakini pia tumempima mke wako Elivia tukakuta ana maambukizi
ya virusi vya ukimwi yahani ni mwathirika, dooooohh elivia alianguka chini
palepale, lakini hakupoteza fahamu, ndipo daktari akasema, sasa Yenda itabidi
uwe makini ili usipate maambukizi pia unaweza kutumia kinga, au mafuta ya
kulainishia njia au usifanye kabisa ili usiweze kupata maambukizi ya ukimwi
kutoka kwa mke wako, alafu we Elivia
unatakiwa kufanya mazoezi kwa sana, kula chakula chenye dayati, usiache kuwa
na furaha ili uweze kuishi maisha mengi zaidi duniani", Elivia alilia sana masikini, ndipo mimi
nikasema sawa dokta, nikamnyanyua elivia kisha nikampeleka mpaka kwenye gari,
alafu nikachukua dawa nilizo andikiwa na dokta, sasa wakati tupo njiani nilimgombeza
sana elivia, nikasema "wewe mwanamke mpuuzi mpuuzi mpuuuzi kabisaaa, kumbe
umepanga na paul uje uniangamize sio, sasa kwangu umegonga mwamba, kama ulihisi
utaniaribia maisha kama zamani sasa hivi umeshindwa mjinga sana wewe
mwanamke" elivia akasema, "yenda mme wangu, nilibakwa na watu kama
tisa nazani hapo ndipo nilipo upata huu ugonjwa nisamee yenda, naomba nikae
kwako baba angu niwe ata mfanya kazii wa ndani, sina sehemu yoyote ya kuishi,
maana ata nyumba uliyo wajengea wazazi wangu nili iuza kwa tamaa ya pesa
nihurumie maana maisha ya mtaani ni magumu sana mme wangu" nilimwambia
sawa, siwezi kukushusha kwenye gari hapa njiani, ngoja nikupe msaada, lakini
msaada wangu kwako ni mmoja tu, na msaada wenyewe ni kwamba nakupeleka mpaka
kwenye nyumba ya paul, uendelee kuishi nae muambukizane vizuri" maana
sahivi nimeisha ogopa ata kukushika sababu nahisi unaweza kuniambukiza na mimi
hivyo virusi" kweli nilimuendesha mpaka nyumbani kwa paul, nilipo mfikisha
nikasema, "hapa ndiyo kwako, sasa kule kwangu nisikuone tena, na hivi
vipimo vyako nampelekea prisca ili aone ujanja wako wa kuni angamiza
umeshindikana" dah nilimshusha elivia kwenye gari akawa ana n'gan'gania
hataki kutoka, ndipo nikamsukuma akaanguka chini analia tu, nikasema,
"wewe lia tu, kama mlinitupa shimoni, sioni ajabu kukutupa hapa nyumbani
kwako, alafu tena mwambie paul wako, na yeye mungu atamlipa hapahapa duniani
maana hizi pesa sio halali yake yeye ni haki yangu mimi, niliyo ifanyia kazi
kwa jasho langu" dahh niliondoka na kumuacha elivia pale getini kwa paul
akiwa analia, ndipo nikaenda mpaka kwa prisca kumwambia yaliyo nikuta, prisca
alinisifia sana akasema, "angekuwa kijana mwingine angefanya tendo haraka
bila kupima alafu na yeye anapata maambukizi, ila achana nae maana nahisi huyo
mwanamke ameumbwa kuwa mkosi kwako, sio mwanamke wa nyota yako, hivyo achana
nae". Kumbe elivia alivyo baki pale
nje, alikuwa anaogopa sana kuingia ndani maana alijua kuwa kwakuwa ali kaua
kale katoto kachanga hivyo paul akimuona ndani anaweza kumu ua na yeye"
ila wakati yupo pale nje akamuona farida yupo kwa ndani anaendelea kupendeza
tu, hasila zilimshika elivia, ndipo akasukuma geti maana lilikuwa wazi, alafu
akaingia ndani. Sasa alipo muona mke mdogo akamfata kisha akasema, "yahani
we malaya mkubwa sana ndiyo umesababisha napata hizi shida za dunia, naomba
utoke kwangu," yule farida kumbe alikuwa muongeaji pia, akasema kwa
uchungu sana, " elivia umemuua mtoto wangu kwa kumnyonga yahani hilo kila
mtu anajua, ila nimekusamee, ila naona umezidi sasa, kama ninge kuwa malaya mme
wako asinge nioa, wewe uwezi kuzaa ndiyo maana hakutaki, na akija akakukuta
hapa atakuua maana uli muulia mtoto wake" elivia akasema leo lazima
nikuonyeshe mafunzo ya kuchukua wame za watu, elivia alikuwa na nguvu,
alimsukuma farida kwa nguvu sana ukutani yule dada aligonga kichwa chake vibaya
mno, mpaka akapasuka kwenye uso, kipindi farida anajipanga na yeye kupigana
akamfata elivia, dooh elivia alikuwa mtata akamsukuma farida chini, na mda huo
huo paul alikuwa anawasili, na ndiye akawaachanisha ili wasiendelee kupigana,
farida alikuwa amejaa damu, paul akachukia kile kitendo akasema, "elivi
kwanini una mtoa damu mwenzako" elivia akasema, "nipo tayari kufa mda
wowote ule kwa sababu ya haya mapenzi ya dunia" paul akasema, "una
roho mbaya sana we elivia yani uogopi kumuumiza mwenzako unamtoa harama kiasi
hicho" elivia akasema, "hiyo tabia mbaya ulinifundisha wewe, mbona
hukuona ni vibaya kumuweke mwenzako Yenda Shuntama, ikamfana awe na ngozi kama ya chura"
Farida akasema, "mme wangu na wewe kumbe unaendaga kwa wachawi",
elivia akasema, "ndiyo ulikuwa ujui, upo tu unakula mali hujui ata
zimepatikana vipi" paul akasema, "elivia we ni mpuuzi mkubwa, pesa
zangu nimeziangaikia mwenyewe, wacha kumdanganya mke wangu kipenzi ondoka
muuaji mkubwa wewe, unaleta visingizio vya uongo uongo tu," elivia
akasema, "siondoki" USIKOSE YA
16.
SEHEMU
YA 16.
MTUNZI, FRANK DAVID, DAKTARI WA HADITHI_tz. whtsapp
0769510060.
Elivia alikataa kata kata kutoka kwa paul, paul akaanza
kumvuta akimsukuma ili atoke pale kwake, lakini elivia alionyesha na
kuhusimamia msimamo wake hakutoka akakataa kabisa, paul hakuwa na jinsi akaamua
tu kukubaliana na msimamo wa Elivia. Farida akaanza kulia akisema, "mme
wangu nilikuwa nakuamini sana, kumbe na wewe unaamini mambo ya
kishirikina" paul akasema, "hapana usilie mke wangu, huu ni uongo tu
mke wangu anauleta ili kutugombanisha, mimi namuamini sana mungu sijawai kwenda
au kujiusisha na mambo ya kishirikina, na wala sijawai kuiba cha mtu wala kula
cha mtu, hizi ni mali zangu pesa zangu mwenyewe, achana na elivia anataka
kutugombanisha" yale maneno yalimpa moyo farida mtoto wawatu akaamini
kabisaa" sasa kwakuwa elivia alijua ame athirika hivyo basi alitaka
kuwaambukiza na wenzake ili waugue pia ukimwi, maana paul pamoja na farida
walikuwa ni wazima bado. Kama unavyo jua mtu anapo kuwa ameoa wake wawili
lazima apangilie mda na siku za kulala na wake zake ili wote wasiwe na wivu na
ili wote wapate haki sawa, lakini Elivia alikuwa anasikitika sana kwasababu
paul alikuwa analala sana mke mwenzake yeye ametengwa tu anajisikilizia baridi,
na mda mwingine alikuwa anaamka kwenda kusikiliza mlangoni kwa farida kama paul
anacheza mechi, na kweli masikini kila alipo fanya uchunguzi alikuwa anakuta
wenzake wanacheza mechi tu, alafu yeye hana wa kucheza nae, uvumilivu
ukamshinda ikabidi amuite paul na kumwambia kwamba, "paul mbona
unampendelea mke mdogo tu mimi unanitenga hivi, kila siku unalala kwake mimi
khaa! hulali kwangu, nakuitaji pia mme wangu" elivia alitaka vile ili
ajitahidi kueneza ukimwi kwa farida, paul akamwambia, "wewe unajifanya
mbabe sana, sasa kula ubabe wako, sinili kufukuza ukakataa, sasa utaondoka
mwenyewe bila kufukuzwa" elivia machozi yakiwa yanamtoka akasema,
"paul mapenzi yako ndiyo yali nishawishi mimi kumkimbia mme wangu wa
ukweli yenda, sasa kwanini leo unanifanyia hivi mimi, kumbuka na mimi ni mke
nahitaji uwepo wako, naomba paul usinifanyie hivi" paul akasema, "yani siku hizi sina hisia
na wewe kabisaaa, yani sina ata kidogo, sijui kwanini, alafu kitu kingine wewe
hauna uwezo wa kushika mimba kwahiyo sioni faida kabisa na wewe, nimekuchokaa
elivia, kama unauwezo mtafute masikini mwenzako Yenda ndiye anae weza
kukuzalisha tu, naomba unipe nafasi ya kutafuta mtoto, mimi nakuonea wewe wivu
maana tayari wewe na mme wako yenda mna mtoto, hivyo na mimi nipe nafasi
nitafute" dah elivia alihisi
kuchizi kabisaa akasema kimoyomoyo, "kweli mimi ni mjinga, nimejiaribia
maisha mwenyewe jamani" paul akaondoka na kumuacha elivia anawaza tu.
Kweli elivia alichukia sana na akasahau kufata ushauri kabisa wa daktari, akawa
ni mtu wa kulia kila mda, anawaza sana, hali chakula vizuri, alafu ni
muathirika wa virusi vya ukimwi hivyo akaanza kupungua mpaka paul akaogopa,
akamuuliza "we mwanamke mbona unakonda hivyo tatizo nini huri chakula
au?" Elivia akasema, "mawazo tu, nakosa raha nilikuzoea sana mme
wangu na wewe ndiyo ulikuwa una ninenepesha sasa siku hizi sipati kabisa
virutubisho vyako lazima nipungue" paul akasema, "oky sawa, leo nakuja
kulala kwako, lakini ukiendelea kuleta dhalau nitakuwa siji kabisa, naomba uwe
mtulivu na mwenye heshima" Elivia alifurahi sana kusikia kuwa paul atalala
nae, maana alijua hiyo ndiyo itakuwa njia ya kumfanya farida na yeye apate
maambukizi, yani elivia aliwaza vitu vya ajabu sana siku hiyo, kweli bhana
ilipo fika usiku, paul akamuaga mke wake mdogo kuwa anaenda kulala na Elivia
siku hiyo, na elivia alikuwa mjanja sana maana alisafisha chumba chake vizuri
ili kumvutia paul kwa uraisi zaidi, walipo lala kweli walicheza mechi, alafu
elivia alijitahid kucheza kwa mda mrefu zaidi ili angalau mchubuko utokee na
virusi vienee ndani kwa ndani, kwa bahati mbaya Mr paul na yeye pia akawa
amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi siku hiyo, paul akamuuliza elivia kwamba,
"leo mchezo umependeza sana zaidi ya siku zingine kwanini" Elivia
akasema, "hatujacheza mda mrefu ndiyo maana" dahh sasa elivia na paul
tayari wote wakawa waathirika, akawa amebaki farida tu kupata ilo janga la
dunia.
Siku moja usiku paul alikuwa ndani na farida, hivyo aliitaji
sana kufanya ilo tendo na farida, ila siku hiyo farida alikuwa anajisikia
vibaya sana akamwambia, "paul mme wangu leo najihisi vibaya sana yahani
najisikiwa kuumwa kabisa siwezi kufanya unacho taka, ila naomba unisamee mme
wangu maana najua ni jukumu langu kufanya hilo jambo" paul akasema
"ohh hamna shida mke wangu kama unaumwa basi tulale tu alafu kesho
nikupeleke ukapime ili ujue nini kina kusumbua, labda tayari umeisha pata
ujauzito unilitee katoto na mimi nifurahi" farida akacheka kisha akasema
"mme wangu una hamu sana na mtoto mpaka najisikia raha, lakini tatizo
nikizaa mke wako ananiulia tu" paul akasema, "sahivi hawezi maana
tumeisha mfundisha tabia" kweli walilala bila kufanya chochote siku hiyo.
Kesho yake paul akapigiwa simu kuwa mdogo wake amefariki
hivyo alitakiwa aende kijiji kwao kwenye msiba, dahh farida alilia sana
akasema, "pole mme wangu kwa msiba wa shemeji, naomba twende wote
msibani" paul akamwambia, "usijali mke wangu wewe baki ngoja niende
tu tuzike nitarudi" elivia akamwambia, "mme wangu safari njema, sisi
utatukuta tupo salama tunakusubilia tu mme wetu" paul akasema "sawa
mbaki salama, na msigombane muishi vizuri" paul aliondoka akamuacha elivia
na farida ndani wawili tu, dahh elivia alikuwa mkorofi sana masikini, maana
alikuwa akiamka anakaa tu sebreni, kisha anamwambia farida afanye usafi,
ampikie, afue, eti kisa yeye ni mke mkubwa ndani, elivia alikuwa hapendi dhalau
kabisaa, na yeye akawa hapiki afanyi usafi maana aliona kama anateswa kila siku
yeye tu, dahh sasa walikaa bila kufanya kazi bila kuongea mpaka nyumba ikaanza
kutoa harufu, panya wanapishana ovyo, mende ndiyo usiseme mpaka wageni walipo
kuwa wakienda pale wanabaki wanashangaa tu, baada ya msiba paul akaanza safari
ya kurudi kwake ili awaone wake zake, wakati yupo njiani anakimbiza gari bahati mbaya alipata ajali
mbaya sana maana alikutana na basi la abilia wakagongana uso kwa uso, yahani
lile gari walilo nizulumu lili pinduka vibaya sana gari likajikunja kabisa, ata
kutengenezeka lisinge weza, labda kuuzwa tu kama vyuma chakavu, mungu saidia
paul alipasuka kidogo kichwani na kuvunjika vidole vya mkono wa kushoto na
akawa ameumia kidogo kifuani pia, hivyo akawaishwa hospitali ili asije
kufariki. Wake zake walikuwa hawana taarifa kabisa, ila sasa humo ndani
wamenuniana sana midomo wameikunja asubui mpaka jioni kila siku, mala huyu
ameimba taarabu ya kumuumiza mwenzake, mwingine ana sonya tu kila mda. Sasa
wakati elivia na farida wapo nyumbani, alikuja mgeni mmoja hivi akawambia,
"jamani mme wenu amepata ajali ya gari, yupo hospitali hajitambui mpaka
sahivi, na gari yake ime alibika sana, polisi wameibeba wako nayo kituo cha
polisi" dooh elivia hakuumia ata kidogo, maana alijua kabisa hizo ni laana
za dhuruma, farida akaanza kujiandaa ili aende na yule mgeni mpaka hospitali
amuone mme wake, sasa elivia akaona ule ndiyo uhuru wa kufanya analo taka,
kweli masikini, elivia alikuwa anaingiza wanaume ndani, analala na kila anae
mtaka maana alihisi hana thamani tena duniani, kipindi hicho farida analia na
mme wake ili apone na arudi nyumbani, huku nyumbani kumbe elivia analala ata na
vijana anabadilisha kila anapo jisikia,
baada ya mda, paul akaruhusiwa kuja nyumbani ili kuuguza vidonda vyake,
alimlaumu sana elivia akasema, "yahani we mwanamke nakuchukia kama nini
sijui, mimi nimepata ajali ata kuja kuniangalia hutaki" elivia akasema,
"sasa nije kukuangalia na nyumba ingebaki na nani wakati farida tayari
amekuja huko." Paul aliteseka sana kupona vidonda vyake na vilichelewa kupona
sababu alikuwa na ukimwi, siku moja paul alimuita elivia kisha akamwambia,
"mke wangu kama unavyo jua gari lime pinduka sana na lime alibika mno,
hivyo chukua hii kadi ya benki kisha katoe pesa millioni 12 ili tununue gari la
kawaida niwe natumia kwenda hospitali kupima na kuchukua dawa na kazi
zingine" elivia akasema "sawa mme wangu" sasa elivia alipo fika
benki akaangalia pesa iliyo baki ni milliono 120, sasa alicho fanya ni kwamba
alikomba pesa zote kisha akaja nazo mpaka kwangu akasema, "yenda mme wangu
najua nilikufanyia ubaya sana ila mimi siwezi kuishi maisha mengi sahivi, bado
nakupenda yenda mme wangu, ila siwezi kuwa mke wako tena sababu mimi ni muathirika, ila
nimekuletea pesa zako tulizo ziiba ingawa zimepungua ila nimeamua kukuletea
zilizo baki, najua paul ataniua sababu nimechukua pesa bila kumwambia
nikakuletea wewe ila ni bora nife sababu yako nakupenda sana yenda mme wangu
baba wa mtoto wangu" Elivia alipo nipa zile pesa, sikuzikataa nilikubali
tu, sasa alipo rudi kwa paul, akamwambia kuwa "paul mme wangu nimeenda
bank nikakuta hamna ata shillingi mia kwenye akaunti, pesa zote umeweka
wapi?" Paul akasema, "wehhh, usiniletee wizi wako hapa, pesa zipo
bank , mimi nimeacha millioni 120 kwenye akaunti unasema hamna pesa, nakuua
wewe mwanamke, usilete upuuzi" elivia akasema basi kesho uende wewe kwanza
uangalie vizuri labda mimi nimekosea, paul alipo enda akaanzia kwanza hospital,
paul akamuuliza daktari kwamba, "jamani mbona vidonda vyangu vinachelewa
kupona" dokta akasema "na sisi tunashangaa, labda tukupime virusi vya
ukimwi, maana navyo vinachagia, maana ukimwi ni ukosefu wa kinga mwilini sasa
hizi kinga za mwili kama hazipo inakuwa ngumu sana kupona ugonjwa wowote ule
kwa wepesi" ndipo paul akasema sawa daktari we pima tu kama ni ukimwi nijue
moja". USIKOSE YA 17
SEHEMU
YA 17.
MTUNZI FRANK DAVID,
daktari wa hadithi TZ. whtsapp 0769510060. Kweli daktari
alimuandikia vipimo mr paul ili aende mahabara kwa ajili ya kupimwa virusi vya
ukimwi, sasa siku hiyo kulikuwa na wateja wengi sana hospitalini, hivyo paul
akachelewa sana kupata majibu ikabidi aulizie, "jamani mbona nimekaa mda
mrefu hapa wala sipati majibu yangu" yule alie kuwa mahabara akampa
karatasi ya majibu ili apeleke kwa daktari, maana ile hospitali ilikuwa ya
ghalama sana, hivyo kila kitu kilikuwa kinaenda kwa mpangilio thabiti, kweli
masikini daktari alipo soma ile karatasi akamwambia, "Mr paul naomba
usikate tamaa na haya majibu maana nikawaida sana kwa majibu yako yalivyo kuja"
paul roho yake ikadunda ghafla pahh!, paul akasema "daktari kwani kuna
nini kibaya" daktari akamjibu, "mr paul wewe ni HIV + yahani una
maambukizi ya virusi vya ukimwi, hivyo mchukue mke wako pia aje ili apime
muweze kushauliwa jinsi ya kuishi pamoja maana angaza ni bure siku hizi"
paul alihisi mwili wote unatetemeka, akasema, "daktari naomba mnipime tena
labda huyo jamaa alie nipima nahisi sio mtaalamu, daktari wangu nakuomba, mimi
paul siwezi kuathirika nipime tena" daktari akamwambia, "usiseme
uwezi kathirika, wewe ni binadamu kama wenzio, na wewe sio roboti maana una
damu hivyo ni kawaida kupata ili janga, cha msingi fanya mazoezi, kula safi na
ujifurahishe mwenyewe, ukifata ushauri wangu utaishi maisha mengi sana"
paul kumbe alikuwa anaogopa sana ukimwi masikini wa mungu, hivyo akaona maisha
kama yame mshida akajiona hana thamani tena kwenye hii dunia, sasa basi, paul
alipo toka pale akapanda pikipiki mpaka benki, ili akifika atoe pesa amlipe
mwenye pikipiki, dahh yahani sasa hapo ndiyo alichoka sana maana alipo angalia
akaunti ya benki akakuta nyeupeeee hamna kitu, duuh paul alianguka mulemule
benki, wakamuuliza "wewe kama mbona hujiulumii yani una vidonda mwilini
alafu unajiangusha chini uoni kama unajitonesha vidonda, haya angalia ulivyo
jitonesha sasa mpaka damu zinavuja" paul akasema "uuuuwiii, uuwiiii,
nimefirisika, mke wangu kanifirisii jamani" mhh wale walinzi wa pale benki
wakamfukuza atoke nje maana alikuwa ana vuruga huduma za pale benki" paul
alivyo toka nje bodaboda wa ile pikipiki iliyo mleta akamwambia "kaka
yangu tangu asubui sijaingiza ata shillingi mia ya bosi, nimekupeleka
hospitali, nikakusubilia hujanilipa, nimekuleta hapa benki pia, nimekusubilia
hujanilipa,alafu nashangaa unalia tu na damu zina miminika kwenye vidonda, mimi
sina mengi ya kuongea kaka, naomba elfu hamsini yangu uliyo sema ukifika benki
utaitoa na kunilipa" ehh kumbe paul
alikuwa hana ata shillingi mfukoni, wazo lake lilikuwa kwamba, akifika benki
atoe pesa amlipe bodaboda kisha pesa zingine apeleke nyumbani kwa ajili ya
matumizi ya chakula na wake zake, paul akasema kwamba, "kaka najua
umenileta mpaka hapa kwa pikipiki yako, ila benki humo hamna ata shilingi mia
nimetapeliwa na mke wangu pesa zote maana yeye ndiyo anajua namba ya siri hamna
mwingine, hivyo naomba unisindikize mpaka nyumbani kisha nimwambie elivia mke
wangu, anipe pesa ili nikulipe" jamaa wa bodaboda akashikwa na wasiwasi
maana alikuwa amechoma sana mafuta yake hivyo hakuwa na chochote cha kumpa
boss, ikabidi bodaboda akubali tu kumpeleka, kweli wakaanza safari ya kwenda kwa paul kuangalia
kama elivia atatoa chochote kitu aisee. Kipindi wapo safarini bodaboda kwakuwa
alikuwa hajapata kichwa kingine, yahani abilia mwingine, hivyo akawaza
kukiimbiza pikipiki sana ili afike mapema kwa paul, achukue hela aanze kazi
apate viichwa vingine ili apate pesa zaidi, kipindi sasa wako njiani huku
dereva anakimbiza sana pikipiki, paul kwa kuwa alikuwa amevaa bukta fupi ili vidonda visichubuke, dahh
masikini kwa bahati mbaya paul alikuwa ameweka mguu wake vibaya ukawa umegusa
pale kwenye ekisozi alafu kumbe ile ekisozi ya kutolea moshi kwenye pikipiki
ilikuwa ya motooo ndipo ikawa imemchoma mguu paul, sasa kutokana na yale
maumivu paul aliyo kuwa anayasikini akaamua kumshika bodaboda, wakati
ananyanyua mguu akawa amemshika bodaboda na mkono ulio katika vidore hivyo
akawa ameutonesha tena, yahani huwezi kuamini, paul alianguka katikati ya
barabara na wakati huo pikipiki ikiwa kwenye spidi kari, mungu saidia magari
yalikuwa hayapiti mda huo maana yange mpasua paul, kweli masikini paul kaka
wawatu aliumia zaidi akajitonesha mwili zaidi na zaidi, alisikia uchungu zaidi
yangu nilio kuwa nikiupata kipindi nimo shimoni, bodaboda akasimamisha pikipiki
na kumrudisha paul hospitalini, sasa paul alipo rudishwa kwenye ile hospital
alipo pima ukimwi, kumbe pesa yote alilipa mwanzo wakati anapima ukimwi, hivyo
hakuwa na chochote mfukoni kwa ajili ya matibabu hivyo ile hospitali ikamkataa
akaenda hospitali nyingine ya bei nafuu wakasema hawakopeshi, wanataka hela
keshi wamfanyie matibabu, na wakati huo paul anasikia maumivi karibia kufa,
wakati bodaboda anampeleka hospitali za kawaida za serikari ili apate matibabu
ya bure, pikipiki ikaishiwa mafuta njiani na wakati huo paul hana chochote kitu
mfukoni na bodaboda nae hana hela yoyote anategemea paul amlipe ili angalau
apate hela ya bosi, alafu sasa paul anapata matatizo akiwa na bodaboda, alafu
huyu huyu bodaboda wazo lake ni kwamba paul apate nafuu aweze kumlipa nauli
aliyo tumia, pikipiki lilipo zima bodaboda alichoka, na ata kama wangekuwa na
pesa kituo cha mafuta kilikuwa mbali
kutoka pale walipo kuwepo, paul alianza kulia akisema mali za dhuruma
mbaya, mungu nisameee, Yenda nisameee, najua hizi ni laana zako, naumia mwili
wangu mungu niulumie" duhh kutokana na mafuta kukata ikabidi yule bodaboda
aanze kusimamisha magari na pikipiki ili asaidiwe, lakini watu hawakujali
walikuwa wanapita speed na magari yao yahani hawana habari kabisaa, katika
harakati za kusimamisha magari na mimi siku hiyo nilikuwa natoka kwenye
shughuri zangu hivyo bodaboda akawa amenipungia
mkono ikabidi nisimamishe gari, nikashusha dirisha kisha nikamuuliza
bodaboda, " kaka nini tatizo mbona mikono hivyo balabalani, ndipo yule
bodaboda akanisimulia kuhusu paul" ikabidi nishuke nikamuangalie mgonjwa
maana nilikuwa sijamjua, dooh sikuamini kama paul ninae mjua, paul tajiri alie
nifirisi na kunitupa shimoni, nikauliza "we kaka huyu jamaa unamjua"
akasema "kama nilivyo kusimulia kaka yangu mimi nimempa huduma ya usafiri
ila matatizo yamekuwa mengi mpaka nachanganyikiwa, naomba tu unipunguzie mafuta
kidogo nimfikishe hospitalini, maana yeye mwenyewe hana ata mia analia kwamba
mke wake anaitwa elivia amekomba pesa zake zote" ndipo nikakumbuka kuwa
elivia aliniletea pesa, ndipo nikapata huruma kidogo ya kutoa msaada, msaada
wenyewe nilio utoa, nilimuuliza bodaboda "umetumia shingapi mpaka sahivi
ya usafiri wa huyo mgonjwa" akasema " elfu hamsini tu kaka"
nikachukua elfu hamsini nikampa, kisha nikamuuliza, "unataka mafuta"
akasema ndiyo,nilikuwa nayo ya tahadhari nikampa pia, kisha nikamwambia,
"kaka washa pikipiki uondoke niachie huyu mgonjwa wako, kaka wawatu
akawasha pikipiki kisha akaondoka" paul alikuwa na aibu usoni akaficha
sura akisema, "nisamee Yenda nihurumie yenda, nisamee baba, nilikukosea
kaka" niliwasha gari langu na kumuacha paul akiwa peke yake bila msaada
wowote wa matibabu wala chakula, paul alilia, alilia sana masikini nikaondoka
zangu na kumuacha pale peke yake, mvua ilianza kunyesha kari sana, yenda
alikuwa analia maana vidonda vilikuwa vina nyeshewa anawashwa mno na mkononi
alipo vunjika vidore maji yalipo gusa pia aliumia sana masikini, kumbe nyumbani
farida alikuwa anawaza sana na kuomba Dua ili mme wake arudi nyumbani
salama. USIKOSE SEHEMU YA 18. mtunzi
whtsapp 0769510161.
SEHEMU YA 18.
MTUNZI FRANK DAVID,daktari wa hadithi-Tz, whtsapp
0769510060.
Baada ya mvua kuisha
mr paul alijikakamua polepole akirudi nyumbani kwake kwa miguu alafu kibaya
zaidi nyumbani kwake palikuwa mbali sana, kipindi yupo njiani masikini wa mungu
kaka wawatu alianguka anguka sana na kila alipo kuwa akianguka basi ilikuwa ni
lazima yeye kujitonesha, mungu saidia alitembea polepole mpaka akafanikiwa
kufika kwake akiwa hoi bini tabani. Farida alifurahi sana kumuona mme wake
lakini Elivia alikuwa hajali ata kidogo, paul akasema, mke "wangu Elivia,
kwanini umenifirisi mama, yahani umekomba kila kitu kwenye akaunti, kwanini
umenifanyia hivyo" elivia akajibu kwamba, "hapana paul mme wangu,
sijaiba, sasa mimi hizo pesa zote nizipeleke wapi, na nitazitumiaje wakati
tunaishi wote humu ndani" paul akasema, "Elivia basi nigawie ata
kidogo japo millioni mbili tu kwa ajili ya matibabu maana nina umwa sana elivia
alafu sina hela" farida aliogopa akasema, "mme wangu umefikia hatua
ya kuomba milioni mbili wewe, sasa tutaishije humu ndani jamani" paul
akasema, "farida mke wangu elivia nilipo mpa ile kadi ya benki pamoja na
neno la siri amekomba kila kitu kwenye akaunti, hatuna hela yoyote ndani"
kipindi wanaongea vile luku ikaisha, umeme uka kata kukawa giza ndani, sasa
paul alikuwa amezoea kwamba umeme ukikatika tu, anachukua simu yake kisha
ananunua umeme kupitia simu, Elivia akasema "mme wangu nunua umeme kwenye
simu, maana kuna giza ndani" paul akasema "pesa iliyo kuwa imebaki
kwenye simu ndiyo niliitoa kwa ajili ya hospitali, hivyo sina ata mia, na simu
yangu hii hapa, nimepata ajali huko balabalani nika achwa na bodaboda nilie
kuwa nae, alafu mvua yote imeninyeshea, na kibaya zaidi simu yangu ilikuwa
mfukoni imeingiliwa na maji hivyo sina tena simu na sina uwezo wa kumiliki simu
nyingine maana sina pesa ya kununua simu tena" elivia akasema, "mme
wangu haya yote umeyasabisha wewe mwenyewe, kipindi tupo wawili tuliishi vizuri
tu bila shida wala tabu yoyote ile, sasa wewe umeoa mke mwingine, ametoka kwao
uko na ushirilikina, ona sasa tumefirisika, aibu hii tunaiweka wapi, na ubaya
zaidi hatukujiongeza zamani maana kama tunge fungua ata ka mladi kokote kale
kama duka au ata shamba tungekuwa na hela nyingi, haya sasa luku imeisha nyumba
yetu imekuwa na giza huko nje taa zimezima, hivi unategemea nini zaidi ya
kuchekwa na majirani" paul alianza kulia tena kisha akasema, "farida
mama, hivi ni kweli anayo yasema Elivia, hivi kweli wewe unaweza kusababisha
sisi tufirisike, kama umefanya hivi naomba basi ununue japo mshumaa ili tutoke
gizani" farida alikasilika akamfata Eliva kukiwa na giza vilevile wakaanza
kupigana tena, sasa kwakuwa farida alikuwa mdogo hivyo elivia alikuwa anampiga
kisawasawa, kipindi wanapigana gizani, paul akasema, "msipigane wake zangu
pendaneni tu" wakati paul anaongea
alikuwa hana nguvu kabisa za kuwa achanisha, maana kama unavyo jua, paul
alikuwa na vidonda, alipata ajali, mikono ya kuwaachanisha ilikuwa mibovu maana
mkono wake wa kushoto ulikuwa hauna vidole tena sababu vilivunjika, duuh ni
hatari pekee, hivyo akashindwa kabisa kuwa achanisha, sasa na wale kibaya zaidi
walikuwa wanapigana kwa hasila yahani kila mtu anamchukia mwenzake, bahati
mbaya elivia akamsukuma farida, wakati farida anadondoka, alimuangukia mme wake
vibaya, maana alimtonesha kwenye mkono! Paul alilia, "haaaa, haaaa farida
umeniua" kweli farida alipo geuka akashika mkono chini kusimama duuh
alishika damu zilizo kuwa zina miminika kutoka kwenye mkono wa mme wake"
ikabidi elivia awashe simu yake kuandaa maji kwa ajili ya kumkanda paul, ndipo
wakaacha kupigana, sasa kipindi wanaandaa maji ya kumkanda paul, wakawa
wamechanganya chumvi ili damu ikate isiendelee kuvuja, dah paul alipo kandwa na
yale maji, alisikia uchungu sana masikini, alilia akisema "naumiaaaaaa
jamani achaaaa! Nawashwa vibaya" Dahh wake zake wakaacha damu zilimtoka
nyingi mpaka lile beseni la maji ya kumkanda likawa na langi ya damu nyekunduu
tu walipo mlika kuangalia na simu. Ilipo fika asubui wakapika chai wakanywa
hivyo hivyo bila kitafunwa maana hakukua na hela kabisa ndani, paul na elivia
walianza kujutia, maana labda wangeomba msaada kwa majirani wangewasaidia, ila
majirani walikuwa hawawapendi kina paul sababu walikuwa ni watu wa kujigamba na
kujitenga, mchana walishinda njaa bila kula chochote kabisaa, usiku ulipo fika kukawa giza kama kawaida
ndani wakachemsha chai tu wakanywa kisha
wakalala, dahh kibaya zaidi hali ya paul ilikuwa inaendelea kuwa mbaya kila
siku mkono hauponi vidonda havikauki vinatoa majimaji tu kila wiki, dahh
ikabidi elivia na farida wampeleke mme wao mpaka hospitalini kwenye hizi
hospitali za serikari ili mme wao atibiwe, sasa walipo fika pale kila mtu
anawashangaa, "hee jamani huyu sini yule tajiri mr paul, na yeye analetwa
hospitali kama hizi" hawakupata majibu maana kila mtu alikuwa anapiga
umbea wake, "haaa hapana hao wana amua tu pesa wanayo bhana" mara
dada mwingine akasema, "mhhh kwani hamkusikia kwamba paul anataka kugombea
udiwani, hivyo hizo ndizo siasa za kisayansi, anakuja kujifanya eti na yeye
anatembelea hospitali za jamii na yeye atibiwe huku huku ili tujue sio mbaguzi
tumpe kura" yahani sema kweli kila mtu alikuwa na lake siku hiyo, maana
kuna mmoja alisema, "dada koku, huyo kaishiwa pesa hana ndiyo maana
umalidadi wote kwisha zake" duhh jamani kufirisika kubaya, sasa paul
pamoja na wake zake walipo enda kwa nesi ili awape huduma, nesi akawambia,
"jamani ndugu zangu hapa huduma ni bure ndiyo lakini mnatakiwa kununua
daftari hapo nje shilingi mia tatu tu, ili mje niwaandike" wakasema sawa,
wote wakatoka nje, walipo kuwa nje, wakaanza kuulizana, "nani ana mia
tatu, tununue daftari, ehh kumbe wote walikuwa hawana lool masikini, umasikini
uliwaingia vibaya hao watu, ikabidi paul amwambie elivia akaombe mtu yoyote
awasaidie japo hiyo hela waweze kumaliza haraka matibabu ili paul arudi
nyumbani akapumzike, huwezi kuamini kila mtu pale alie ombwa hela alisema hana
na ndiyo maana amekuja hospitali za serikari kusaidiwa, farida akaona aibu sana
ikabidi awapigie wazazi wake simu ili awaombe hela, wamtumie kwa ajili ya
kununua daftari, alipo piga simu baba yake farida akamwambia, "mwanangu
hemu acha utani bhana leo sio siku ya wajinga duniani, yahani wewe umeolewa na
tajiri wa mtaa, alafu unasema huna hela tena shilingi mia tatu, punguza masihara
binti yangu" dahh yule baba akakata simu, na akaendelea na shughuri zake,
ilikuwa ni aibu sema kweli siku hiyo. Baada ya mda yule nesi akatoka ofisini
akawakuta nje pale wana angaika, nesi akasema "nyie mbona mmekaa hapo mda
mrefu, mgonjwa analia tu, kwanini hamleti daftari sasa" elivia na farida
wakasema, "hatuna hela nesi" nesi akashangaa maana ata yeye kumbe
alikuwa anamjua Mr paul mzee wa sifa, nesi akasema, acheni uongo bhana mungu
hapendi, "huyo sini paul," wakasema "ndiyo" nesi akasema,
"iweje mkose hela sasa" farida alilia akadanganya, "tulivamiwa,
hatuna hela nesi" nesi alitingisha kichwa, akasema "lohh, maisha
haya, sawa basi chukua hii elfu mbili, nunua daftari, atibiwe, mumpeleke
nyumbani mapema maana juwa kari sana leo" na hiyo ndiyo ilikuwa pona pona
yao, paul alitibiwa akapewa na dawa za kukausha vidonda, ile pesa waliyo pewa
chenji iliyo baki wakanunua viazi vitamu vingi, maana huko mtwara vilikuwa na
bei ndogo,
Waliendela kupambana sana japo waweze kuishi kibishi hivyo
hivyo, ila mlo wao ulikuwa wa shida sana kila siku, lakini farida alikuwa
mvumilivu dada wawatu alivumilia hivyo hivyo, sasa kutokana na tabu kuwa nyingi
paul akawaita wake zake akasema, "jamani mimi ni mwanaume alafu mungu
amesaidia sahivi naendelea vizuri, nilikuwa na wazo" elivia na farida
wadakia, "wazo gani hilo?" Paul akasema, "nimepata wazo tuuze
hii nyumba tukapange ili ile pesa ya nyumba tufungue biashara kusudi tuweze
kula vizuri na maisha yaendelee" farida akakataa ila elivia akasema
"wazo zuri mme wangu uza" paul akasema "hapana farida usikatae,
wewe ngoja niuze utaona, maana nita jenga badae nyumba kubwa zaidi, hatuwezi
kutumia taa za chemli tena" elivia alifurahi ila farida alichukia kabisaa,
sasa kipindi wanatangaza kuuza ile nyumba wakati huo bado paul hajapona vizuri
vizuri, eliva akaingia chumbani akafungua mabegi ya paul kisha akachukua hati
ya nyumba, alafu akaniletea mimi kisha akasema, "Yenda mme wangu nafanya
haya yote sababu wewe ndiyo baba mtoto wangu ata nikifa mwanangu hatateseka hii
hati ya nyumba itunze maana paul anataka kuuza nyumba, na hile nyumba sio
halali yake, zote hizo ni pesa zako wewe" nikasema "sawa" kama
kawaida nikachukua hati ya nyumba kisha nikaificha, sasa siku wateja wa kununua
ile nyumba walipo patikana, paul akapewa pesa yote mkononi, Tsh milioni 99,
wale wanunuzi wakaomba hati ya nyumba pamoja na mwenyekiti wa mtaa ku sahini
ili wachukue nyumba yao, paul akasema sawa naleta hati, "alipo enda kufata
ile hati ya nyumba akakuta haipo, duhh alichanganyikiwa" ikabidi wale
wanunuzi wachukue pesa yao waondoke maana walihisi paul ni mwizi, sasa kibaya
zaidi ile hati ilikuwa na wamiliki wawili yahani paul pamoja na elivia na
majina yao yalikuwepo katika ile mikataba, hivyo elivia alikuwa na uwezo wa
kuuza ile nyumba pia, paul alichukia akasema "wake zangu wote njooni
hapa" kisha akaendelea kusema, "jamani hivi kuna mizimu humu ndani au
kuna michezo inachezwa, hivi hati ya nyumba iko wapi, mikataba yote ya nyumba
iko wapi?" Elivia akasema "mimi sijui mme wangu" farida nae akasema,
"jamani hiyo mikataba sijui hati tangu nije hapa ata sijui hiko wapi"
paul akasema, "hoooosh! nimekwishaaa, nimekufa mimi, jamani naombeni tu
hati kama hamnipendi nipo ladhi kuwaacha wote" elivia akasema, "mme
wangu mi nahisi huyu Farida atakuwa ameificha, maana ata ulipo kuwa unataka
kuuza hii nyumba alikuwa anakataa kwelikweli" paul akaamini maana akili
ilikuwa imeruka, akasema "kweli nimeamini wewe mwanamke ndiye unaeleta
umasikini humu ndani, nasema wewe ni mkosi sasa naomba toka kwangu
tokaaaaaaa!" Farida akasema "mme wangu mimi sijui, mimi siajaiba,
ananisingizia," paul na elivia walisaidia kutoa mizigo ya farida nje
wakamfukuza kama mbwa masikini wa mungu, dada wawatu alienda kwao analia,
akamkuta mama yake nyumbani, kumbe mama yake naye pia alikuwa na machozi ya
karibu wakasaidiana kulia wote, kisha mama farida akamwambia mwanae kwamba
"mwanangu achana nae huyo mwanaume ni mjinga sana, yahani mwanangu unaitwa
mwizi leo, wakati wazazi wako tumekufunza vizuri tu hapa nyumbani, achana nae
utapata bwana mwingine wa kuku oa mta ishi vizuri tu" mungu saidia, farida alitoka kwa paul bila kupata
maambukizi ya virusi vya ukimwi, sasa kule kwa paul, Elivia akaanza kusema
tuone sasa atauzaje hii nyumba kaisha ondoka tayari huyo mwizi, paul akasema,
"najuta kumuoa huyo mwanamke kabisa, mjinga sana huyo dada, nisamee Elivia
mke wangu sitarudia kuoa tena nakuhaidi mama" Elivia akasema, "unaona
sasa ulikuwa unalia mtoto mtoto, achana nao hao wadada mme wangu" kweli
wakaendelea kuishi pamoja kama zamani, USIKOSE SEHEMU INAYO FATA,, ya 19.
Mtunzi wako ni FRANK DAVID, daktari wa hadithi Tz. Nichek whtsapp
0769510060.
SEHEMU
YA 19
MTUNZI FRANK DAVID
daktari wa hadithi TZ Whtsapp 0769510060
Maisha ya paul pamoja na elivia yalikuwa bado niya tabu sana
maana kula yao ilikuwa niya shida mno, siku moja paul akamwambia eliva, “mke
wangu kwa sasa ni bora nitafute kazi ya baani, yani niwe muhudumu wa baa tupate
pesa” elivia hakubisha akasema “sawa mme wangu, hiyo kazi naamini unaiweza
sana, maana nakumbuka zamani ulisha wai kuifanya”. Kweli paul akaenda kutafuta
kazi ili angalau waweze kupata pesa ya kubadilishia mboga, mungu saidia ile baa
ya kwanza paul iliyo enda kuomba kazi akakuta nafasi zipo bila wasiwasi, yule
bosi mwenye ile baa alishangaa sana kuona mtu tajiri kama paul anaomba ile kazi
akamuuliza, “bosi hivi ni kweli unataka hii kazi au unanitania maana wewe ni
mtu mkubwa” paul akasema “kaka haya maisha ni kupanda na kushuka, nilipo oa mke
wa pili niliishiwa pesa kabisa, nikapata matatizo mengi sana hivyo kwa sasa sina
kitu kabisa, naomba msaada wako kaka, maana hii kazi naiweza, na kipindi naanza
maisha ya utafutaji nilifanya sana hii kazi” bosi mwenye hile baa akasema,
“kazi hipo na kuna nafasi mbili, mtu wa kiume na wa kike hivyo kama umeiwai
wewe na upo seriasi basi kesho mapema njoo uanze kazi”
paul alishukuru sana
akasema “asante kaka umenisaidia sana ila nimesikia unasema kuna nafasi ya watu
wawili, naomba nafasi moja umpe mke wangu maana na yeye yupo tu nyumbani hana
kazi yoyote ya kufanya” mwenye ile baa akasema, “kaka hizi kazi sio nzuri
kufanya mtu na mke wake maana lazima upate wivu ni bora yeye aangalie sehemu
nyingine” paul akalazimisha akisema “mke wangu hana shida, mke wangu yupo
makini we mruhusu tu utaona” paul akaambiwa “basi sawa kama umeona hiyo ni
sahihi mje wote kufanya kazi, ila malipo yangu ni ya siku, kila mkimaliza kazi
nawalipa”
kweli paul alipo fika nyumbani wakapanga mipango na elivia
kwa ajili ya kufanya kazi, sasa kipindi wanaanza kazi pale baa wateja walikuwa
wanakuja wengi sana mpaka bosi akashangaa, yahani haikuwa kawaida ya pale, bosi
akawaita elivia pamoja na paul kisha akawambia, “ndugu zangu nawapenda sana
maana nyie niwachapa kazi sana mmefanya baa yangu kuwa maarufu hivyo nitakuwa
nawalipa elfu 30 kwa siku kila mtu, nimewapandishia kutoka elfu kumi maana mko
vizuri katika upigaji kazi” paul na elivia hawakugundua kabisa kwanini wateja
wengi walikuwa wanakuja pale, kumbe masikini ya mungu wale wateja wote kilicho
kuwa kinawaleta pale ulikuwa ni umbea tu, maana walikuwa hawa amini kama kweli
paul amekuwa muuza baa, kwasababu vijana wengi waliamini paul ni mtu mwenye
pesa sana na mke wake. Sasa kadri siku zilivyo kuwa zinaenda paul na elivia
walikuwa wame pazoea sana pale baa, sasa siku moja kunawateja wakorofi sana
walikuja pale sasa walipo gundua paul hana kitu tena, wakaanza kumchezea mke
wake, maana paul alikuwa anashangaa watu wakiitaji pombe wanamuita mke wake ili
awa hudumie na ubaya Zaidi mke wake akiwa ana hudumia walevi walikuwa
wanamshika makalio yake, mara wampapase mikono, sasa elivia alikuwa anaogopa
kukataa maana angekataa kushikwa shikwa wateja wake wasinge kuwa wanarudi hivyo
hela ingepungua kwa boss, na paul alikuwa anatamani kupigana nao, ila bosi
alikuwa anamwambia, “itabidi uvumilie tu mke wako ashikwe shikwe maana nilikwambia
toka mwanzo kwamba hii kazi sio ya kufanya na mkeo” dah paul alikuwa anaumia
masikini ila hana jinsi, siku moja alishangaa kuona baba mmoja hivi amekunywa
amelewa kisha akambeba elivia na kumkalisha mapajani huku akishika shika maziwa
ya elivia, huku elivia anajichekesha kama hataki ili yule baba asichukie, paul
alichukia akamfata elivia kisha akamvuta, elivia akasema “paul, mme wangu
unanifukuzia wateja” paul akamjibu kwamba, “hivi elivia hujui kuwa wewe ni mke
wangu, hivi unashikwa shikwa tu mbele yangu unahisi mimi najisikiaje” yule
mlevi akasema “we boya acha ushamba, tuache wenye pesa zetu tufurahie maisha,
mke wako kama huwezi kumuhudumia tuachie sisi” paul alichukia sana akaanza
kupigana, yule mlevi akachukua chupa ya bia akampiga nayo paul kichwani
phaaaa!, dooh paul alipasuka vibaya masikini, damu zikaanza kumtoka, elivia
akamuombea msamaa mme wake, ndipo bosi wa ile baa akaja kuwaachanisha, ikabidi
paul apelekwe hospitali kushonwa pale kichwani alipo pigwa, kipindi Paul yupo
nyumbani anauguza kidonda elivia aliendelea kufanya kazi mule baa ili apate
pesa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani maana wote wangelala bila kufanya kazi
nyumba ingebaki tupu na wangeshinda njaa maana wale watu walikuwa hawana kabisa
akili ya kutunza pesa, wenyewe wakipata wanatumia.
Sasa kipindi paul yupo pale nyumbani alikuwa ana msihi sana
mke wake kwamba, “elivia kuwa makini na wale watu wasiku laghai na pesa zao”
elivia kwa upole akajibu “ndiyo mme wangu siwezi kurubunika” yule jamaa alie
mpiga chupa elivia alipo rudi siku ya pili pale baa alimnunulia pombe elivia,
na elivia alivyo kuwa mpuuzi akakubali kunywa, akizani ni upendo, kipindi
elivia amelewa hajitambui yule kaka akamwambia elivia, “dear kuna elfu 60 hapa
kwa ajili yako, naomba twende kwenye gari langu tukafanye mapenzi” elivia
akasema, “mi naogopa mme wangu atajua” yule bwana akamwambia, “hapana dia,
hawezi kugundua, wewe mkifunga kazi, nitakuwa pale nje, gari langu nazani
unalijua, ukiisha funga utaingia tutamalizana kisha nitakulipa,” kweli masikini
kutokana na tamaa za dunia, yule jamaa akaongea na bosi mwenye ile baa, kweli
mwenye bar akawaruhusu waondoke, ila akasema hatomlipa pesa yake ya siku hiyo,
elivia alikubali maana aliangalia faida, walipo ingia kwenye gari kutokana na
ulevi elivia alifika na kujiachia mwili mzima akiwa tupu, miguu akaitupilia
kule, yule bwana akafanya dhambi zake siku hiyo, kumbe masikini wa mungu yule
kaka alikuwa na familia yake nyumbani mke pamoja na watoto na mke wake alikuwa
mjamzito, sasa alipo fanya lile tendo na elivia bahati mbaya akapata ukimwi,
hivyo alipo fika nyumbani akamuambukiza na mke wake wa ndoa pia.
Elivia alipo fika nyumbani kwake alioga akamdanganya mme
wake kuwa anaumwa alafu akalala maana hakutaka agundulike kama amelewa, maisha
yaliendelea mpaka ikafika hatua, eliva akaanza kujiuza kwa wateja wake wote wa
pale baa, mwenye baa pia kumbe alikuwa anamtamani alafu anashindwa kusema, siku
moja akamnunulia, nyama choma ya ngombe, kachumbali na ka bia pembeni
wakaangaliana kwa macho ya kutabasamu, mwenye baa pia akajibebea mzigo akalala
na eliva pia siku hiyo, mme wake alivyo pona uzalendo ulimshinda maana sasa
elivia alikuwa kama changudoa sasa, kila mtu anae jisikia kumshika anashika tu,
anae taka kumbusu shavu anabusu tu, alafu ile baa ilipendwa sana kwa ule upuuzi
wa elivia, dahh paul akaona ni bora waache tu ile kazi, maana kila alipo
mwambia elivia asikubali kushikwa, elivia ndiyo wapi hataki kusikia yeye anacho
sema anataka wateja wake wasimkimbie kama bosi alivyo sema.
Siku moja mimi pamoja na Prisca tuliamua kwenda kwenye ile
baa, japo tujiburudishe kidogo maana mda mwingi unakuta tupo bize sana, sasa
kipindi tupo pale kabla elivia hajatuona hatukuamini macho yetu, yahani elivia
alivyo kuwa ana hudumia mara acheze mziki akatike mauno, mara ashikwe na wanaume
anajichekesha, huku paul yupo amenuna tu, nikamwambia Prisca “unaona mke ulie
taka kunipa, mambo anayo yafanya sahivi,”
Kipindi tumekaa pale elivia akaja kutuhudumia, akauliza
mnatumia vinywaji gani, alipo tuangalia vizuri akakuta anatujua dohh, alifunga
kishikizo cha juu maana alikuwa na mtindo wa kuachia maziwa yake wazi, akasema
“yenda nisamee, ni ugumu wa maisha tu unanifanya nifanye hivi” nikamwambia
“sisi hatuna shida maana upo na mme wako hapa, we piga kazi tu kwasababu mme
wako na yeye pia anaipenda”
Elivia aliona aibu sana siku hiyo akamfata mme wake akasema,
mimi sitaki tena hii kazi naondoka.
USIKOSE
YA 20
MTUNZI FRANK DAVID, DAKTARI WA HADITHI tz. Whtsapp
0769510060.
Paul na elivia
walivyo tuona pale baa tuna waangalia wanavyo hudumia bia, wote waliona aibu
wakamfata bosi wao kisha kwanzia siku hiyo wakaacha ile kazi, ila sababu kubwa
iliyo mfanya paul aache ile kazi, ni zile aibu alizo kuwa anazipata, pale mke
wake alipo kuwa anashikwashikwa na walevi. Kipindi wapo nyumbani kwa mala ya
kwanza hawakuangaika, maana elivia alikuwa na hela kama laki mbili ndani,
kwasababu kila alipo kuwa anajiuza kipindi mme wake anauguza kidonda cha
kichwani, yeye zile pesa alizo kuwa anapewa na wanaume kumbe alikuwa
anazitunza, hivyo zilezile pesa ndizo zilizo wasaidia pale nyumbani kwa siku
mbili tatu. Baada ya zile pesa kuisha maisha yakabadilika sana, siku moja paul
aliugua sana, maana ukimwi ulikuwa umeanza kutawala ndani, sasa baada ya siku
kadhaa kipindi bado paul hajapona, elivia na yeye pia akaugua maana virusi na
yeye pia vilikuwa vina msumbua, dooh paul alianza kukonda sana mwili unapotea,
ubora wa ngozi yake una potea pia akaanza kujua hapo lazima afe tu, elivia nae
hivyo hivyo alipungua mno masikini, sasa kibaya zaidi walikuwa hawali chakula
maana hakuna ata mmoja alie kuwa na nguvu ya kutoka nje au kupika, sasa baada
ya siku nne wakiwa hawajaweka chochote tumboni wote waliamza kualisha na
kutapika miili yao imechoka sana jamani, sasa paul akagundua kuwa ni virusi vya
ukimwi lakini akaogopa kusema kwa elivia, kumbe elivia nae anajua ni virusi vya
ukimwi na yeye ndiye alie muambukiza mme wake ili amuambukize na farida pia.
Dooh siku ya sita ilipo fika wapo ndani wanalia tu hawajala, kuna jamaa mmoja
alikuwa amekuja kuwasalimia, na jamaa mwenyewe ni yule mlinzi paul alie mfukuza
kipindi cha nyuma wakati mimi nilipo ruka ukuta na kuingia ndani, alifika
akasema boss, "mbona mme lala chini hivyo tatizo nini" huwezi kuamini
yule kaka aliwasaidia kupika uji, akawafatia dawa za maumivu kisha akawapeleka
hospitali kwa pesa zake mpaka wakapata nafuu, na wote wakapewa vidonge vya ARV
vya kupunguza makali ya virusi vya ukimwi pamoja na kunenepesha mwili, mlinzi
alipo wasaidia akakaa nao kwa mda kama wa miezi miwili yeye huyo huyo anatafuta
pesa na kuwapikia mpaka wakapona kabisa, paul akasema, "nisamee kaka,
nilifanya vibaya kukufukuza" yule mlinzi akasema "nimeisha wasamee
zamani sana, na ndiyo maana nilikuja kuwasalimia, nikashangaa kukuta mpo kwenye
hii hali" paul akasema "dahh, kaka nimefirisika, nilioa mwanamke wa
pili kanitia mikosi sana ndani, yahani nimefirisika sana, sina kitu kabisa
ndani" yule mlinzi akasema, itabidi uanze miangaiko ya hapa na pale ili
uweze kuishi vizuri maana mnapaswa kula na kukidhi maitaji yenu yote, baada
kama ya wiki moja yule mlinzi alirudi mkoani kwao akawaacha kina paul na elivia
wamo ndani wanalia. Paul alikuwa mvivu sana wa kufanya kazi ngumu za
kiume, na kibaya zaidi paul alikuwa
kaisha poteza nguvu kazi, maana alikuwa na virusi hivyo yeye alikuwa amekaa
kizembezembe tu kufanya kazi ngumu hawezi, elivia akamwambia, "mme wangu
nimechoka kulala njaa na giza humu ndani, hivi unapo kuwa unalala unategemea
mimi nitaishi vipi sasa, au umesahau tulivyo ambiwa kwamba hivi vidonge tulivyo
pewa tunatakiwa kula vizuri mara kwa mara" paul akasema "mpuuzi nini,
nani akufanyie kazi, wewe amka kajitafutie pesa zako kama una njaa" elivia
alichukia akasema "haya sawa umeshinda" kweli elivia alianza tena
tabia zake za wanaume, anabadilisha vijana ili apate pesa, elivia alinawili
sana, paul kila siku anapungua tu, familia ilikuwa ya kipuuzi, mwanaume
amemruhusu mke wake kuwa huru kufanya anacho taka, elivia nae akaanza kuufanya
mwili wake kama duka yani jamii iliwashangaa sana, siku moja usiku elivia
alipata bwana, walienda baa wakanywa sana pombe elivia alilewa sana siku hiyo,
walipo malizana elivia akarudi kwake, huku pombe zimemjaa kichwani, akaanza
kutoboa siri zote kwa paul, "mme gani wewe mzembe, mwizi, unalala tu ndani
kama mbwa, sasa kwa taarifa yako, pesa zote benki ni mimi ndiyo nilizo toa
nikampelekea Yenda , hati ya nyumba pia nimeiba mimi nimempelekea yenda, na
ukimwi unao kusumbua nimekuambukiza mimi mwenyewe, sasa utakoma uliniaribia
maisha yangu kwa yenda, sasa wewe ndiyo utakufa kama kibudu, sasa hivi siogopi
kufa, wacha nife sababu ya mapenzi, niue tu niue, lakini pesa zote
nimemrudishia mme wangu, tafuta zako mzembe wewe" duuuhh yale maneno paul
hakuamini kuyasikia akamshika elivia ili ampige, elivia akamng'ata sikio kwa
nguvu sana yani alikaza meno kweli kweli, duuh damu zikatoka akapata maumivu
sana mwilini ikabidi amuache tu, akasema, "elivia yahani nimemfukuza
farida kumbe wewe ndiyo mkosaji, sasa kwanini umempa yenda pesa, kwanini
lakini," aliongea vile machozi yakimtoka, kesho yake paul akatoa kila kitu
nje cha elivia kisha akamfukuza kama mbwa, elivia akasema, "mme wangu
kwanini unanifukuza" paul akasema "kwani umesahau maneno uliyo sema,
sasa nenda kaishi na huyo yenda wako" elivia alikuwa amesahau kabisa kama
aliongea yale maneno, maana kumbe ni pombe zilisababisha aongee vile na alikuwa
ataki paul ajue hiyo siri, dahh maisha ya elivia yakaanza kuwa magumu sasa
akaamua kwenda kuomba kazi za ndani japo apate sehemu ya kujihifadhi, alipo
fika kwenye familia moja hivi yenye uwezo, akapata kazi, yahani uwezi kuamini
aikupita ata wiki moja elivia akafumaniwa na mme wa yule mama alie muajili kazi
wapo chumbani wanafanya mapenzi, akaulizwa "elivia kwanini unatembea na
mme wangu wewe siulisema unataka kazi za ndani" akasema, "mme wako
alisema nikitaa kufanya nae nitafukuzwa hapa" alifukuzwa siku hiyo hiyo, ila akawa ameeneza
ukimwi kwenye ile familia, elivia akaanza kulala kwenye kituo cha mabasi, kisha
anayafanyia usafi yakisimama alafu usiku analala humohumo kwenye basi, madereva
wakijisikia wanampa ata elfu 3 wanalala nae mpaka akazoea, siku moja aliiba
simu ya dereva wa lile basi alilo kuwa analala, sasa alipo iba simu akasahau
kuizima, mwenye simu akaulizia sana simu yake elivia akakataa kabisa kuwa
hajashika simu ikabidi dereva ajaribu kuipiga, huwezi kuamini simu ili itia
kwenye nguo ya ndani ya elivia, dooh alipigwa mule stendi kila mtu akamkataa
alitandikwa sana elivia mpaka nguo zikachanika, aliondoka pale akiwa anavuja
damu, hajui wapi pa kwenda, ndipo akawaza kuja kwangu ili aombe msamaa. Sasa
siku moja mimi nikiwa njiani wakati narudi nyumbani kwangu nikakuta vibaka
wanamvamia mzee flani hivi, dahh ilibidi nisimamishe gari ili niwazuie, nilipo
angalia vizuri nikakuta yule mzee wamempiga sana masikini ikabidi nimpeleke
haraka haraka hospitali, wakati anatibiwa, mke wake pamoja na mtoto wake wakaja
kumbe yule baba ndiyo alikuwa baba mzazi wa farida na hapo ndipo mimi
nikajikuta naanza kufahamiana na farida, huwezi kuamini nilijikuta nampenda
sana farida, ingawa siku mwambia mapema, baba farida alipona akarudi nyumbani
ndipo mimi nikachukua namba zao zote za simu, nikaanza kuwatembelea kwao na
kuwajulia hali
Niliwapenda sana kina farida maana familia yao ilikuwa
inajiheshimu na walikuwa watu wema tu, farida alikuwa bado hajagundua kama
nimempenda ila nilimuelezea kuwa namuitaji awe mke wangu na tutambulishane pia,
akakubali ndipo nikaongea na wazazi wake nikalipa maali, kisha nikamchukua
farida kama mke wa maisha yangu nikaanza kuishi nae pale kwangu, farida alikuwa
mke mzuri, asie na tamaa, tulipima nikakuta ana afya njema, prisca akasema
sahivi umepata mke sasa, alimpenda sana mtoto wangu, ila sasa mimi sikujua kama
alisha wai kuwa mke wa mr paul, siku moja Elivia amezidiwa mtaani hivyo akaja
kwangu japo kuomba ata elfu moja aweze kula, alipo fika kwangu akamkuta farida
mke wangu, elivia alipo muona farida hakuamini kabisa, akasema, "heee
farida mbona umependeza hivyo" farida akasema "asante," elivia
akasema, "naona umepata kazi za ndani kwa mme wangu" farida akasema,
"nini nani mme wako" elivia akasema "yenda ni mme wangu na
nimezaa nae mtoto wa kike nazani unamlea" farida alichukia kusikia vile,
akasema, "naomba umkome mme wangu, baki na paul huko, usinifatilie"
elivia akasema, "siwezi kukubali bora tufe wote sababu ya mapenzi, lakini
mme wangu siwezi kukuachia" wakati wanaongea vile na mimi pia nilikuwa
nawasili nikawakuta, elivia akasema, "yenda mme wangu mtoto wangu
hajambo" nikamjibu, "nisikilize elivia, wewe sio mke wangu, mke wangu
ni farida, na ndiyo mama wa hii familia, sasa wewe baki na paul wako huko kwenu
mkaishi salama toka kwangu, tokaaaaaaaa! Usiniaribie ndoa" elivia alitoka pale amenuna sana akasema,
"siwezi kukubali lazima farida afe"
Usikose ya 21.
SEHEMU YA
21.
MTUNZI FRANK DAVID, daktari wa hadithi_Tz. Whtsapp
0769510060.
Elivia aliumia sana
masikini, akasema kwamba, "hee!
Kweli huu ni mkosi, yani farida ana bahatika kumpata mwanaume bora kama Yenda,
dahh sijui nifanyeje waachane, ni bora ningeacha aendelee tu kukaa na paul
wake, dooh sasa kama Yenda ameoa, basi sina nafasi kabisa kwake tena"
Elivia hakuachia hapo tu bali aliwaza zaidi kwamba, "farida nilikuwa
namtesa sana, sasa leo hii yeye ndiyo mama atakae mlea mwanangu, sijui atamtesa
kwa kulipiza kisasi dahh ehh mungu nisadie" Sasa baada ya elivia
kujifikilia mambo mengiii, bila kuyapatia majibu ndipo akaamua kwenda kwa paul
ili ampe umbea kuhusu farida wake, elivia alipo fika kwa paul akamkuta amelala
unabalazani anawaza sana, elivia akafungua geti kisha akasema, "habari
yako paul" paul akasema, "akakakakakaa, we malaya umefata nini kwangu
toka hapa, tokaaaaa, mjinga sana, yahani nakuchukia, sitaki ata kukuona mbele
yangu ondokaaa nitakuua nakwambia, ondoka nakuomba wewe umenifanya nimfukuze
farida wangu alafu unarudi, hivi unazani nitamrudisha vipi mke wangu wa
dhati" elivia akasema, "paul mimi sijaja kukaa kwako, na sipataki ata
kidogo, ila nimeleta umbea tu, yule mke wako farida ameolewa na Yenda na
wanaishi pamoja sahivi, ni ilo tu la leo kwaheli" paul akasema,
"heee! Subili kwanza elivia, eti nini" elivia akarudia alivyo sema
kwamba "mke wako farida ameolewa na Yenda na wanaishi pamoja sahivi,"
dooh paul akasema, "Noo! Hapana siwezi kukubali, bora nife tu, pesa sawa
amechukua ni zake, nyumba hii amechukua hati zake ni halali yake, ila kwa
farida anakufa mtu sababu ya mapenzi, siwezi kukubali itakuwa vita nasema"
elivia hakutaka tena kuongea akarudi mtaani kuendelea kuangaika na njaa zake.
Siku moja elivia alirudi kwa wale vijana walio mbaka na kumuambukiza ukimwi
kuongea nao, mmoja wawale vijana akasema, "dahh! We dada yahani hujakoma
tu unataka tena turudie tulivyo kufanya" Elivia akasema, "hapana
ndugu zangu mimi mmeisha nisababishia matatizo sana, maana nimeathirika kwa
sababu yenu, hivyo na nyie mkapime" waliogopa wale vijana maana walikuwa
hawajui afya zao, wakamuuliza "sasa umefata nini kwetu" elivia
akawajibu vizuri tu kuwa, "kuna ndugu yangu anaitwa farida simpendi ata
kidogo, naomba niwaelekeze kwake mkambake, na wanapesa sana hivyo mtapata pesa
mkifanya hicho kitu, maana wale wanapesa mkimtishia kidogo tu anatoa pesa zote
alizo nazo, maana ni muoga na hana nguvu kabisaa" wale vijana walicheka
sana maana walikuwa ni wahuni, wakasema, "yahani hapo umetufikisha tunapenda
sana watu kama nyie, haya eheee vipi kuhusu mme wake anakuwepo saa ngapi
kwake" elivia aliwajibu kuwa "mme wake uwa anafanya kazi sana hivyo
mkienda saa saba mchana mpaka saa kumi, mnamkuta ndani mwenyewe" wale
vijana walielekezwa na Elivia vizuri mpaka nyumba yangu wakaijua ili kuja
kumfanyia mke wangu vibaya bila mimi kugundua, sasa siku hiyo wanajipanga kuja
mimi nilikuwa nipo pale nyumbani maana nilikuwa najisikia vibaya hivyo nilikuwa
chumbani nimelala tu napumzika kidogo, walivyo kuja wakagonga mlango, "khokhokho"
nikamwambia mke wangu, "nenda kaangalie ni nani anagonga mlango"
farida alipo kuja kufungua mlango akaona watu tisa yahani vijana walio shiba
vizuri pale mlangoni, akawambia, "karibuni ndani," wakaingia, farida
akawauliza "ehh niwasaidie nini wageni wangu" jamaa mmoja akasimama
kisha akamvuta farida, alafu akamziba
farida mdomo kwanguvu sana ili asipige kelele, mwingine akaenda kufunga mlango
vizuri ili mtu asiwafumanie, jamaa mmoja akaanza kuchana nguo za mke wangu ili
abaki uchi waanze kuzitumia vibaya nyeti zake, farida alibanwa sana mwili
masikini, akawa anachezesha tu miguu ili asibakwe, kipindi hicho mimi nipo
chumbani sisikii chochote, na kibaya zaidi nilikuwa nasikiliza miziki kwenye
radio yangu ya aina ya bufa hivyo ata zile purukushani sikuweza kuzisikia, sasa
wakati farida anatokwa tu machozi vijana wameisha mvua na kumshika kwa nguvu,
kaka mmoja akavua nguo kwa ajili ya kuanza kazi na kibaya huyo kaka pia na
wenzake wote walikuwa waathirika wa virusi vya ukimwi, hivyo na farida nae alikuwa
anaelekea huko huko, yule jamaa alivyo maliza kuvua akamshika farida kiunoni
maana alikuwa ameshikwa mikono na miguu huku mdomo wake umebanwa, sasa kazi ili
kuwa imebaki kwake huyo kibaka kucheza mechi kwa lazima, kipindi sasa anataka
sasa kucheza mpira, simu ya farida ndani iliita, nikaichukua kumpelekea sebreni
ili apokee maana alikuwa ni baba yake mzazi, dooh wakati natoka nilishangaa
kukuta farida yupo anajikaza ili asibakwe, anaangaika masikini wa mungu dahh
nilirudi nyuma polepole maana nilijua awawezi kumbaka kirahisi maana farida
alikuwa anajivuta mwili sana, nikapigia simu polisi haraka kwa maasikari ili
waje kwangu kuwa kamata, mungu saidia kituo cha polisi kilikuwa karibu na
nyumbani kwangu, sasa kipindi yule kaka anasema, "tulia mpila uingie, kama
hutaki nakuchoma kisu" hapo hapo maasikari wakafika, na mimi nikatoka
haraka na kwenda kuufungua ule mlango, walikamatwa wote na mpaka leo hii wapo
jela, dahh mke wangu alikuwa amechoka sana maana walimbana sana puani hivyo
akapumua hewa kwa shida, ikabidi nimpeleke hospitali, wale vijana wakasema,
"tusameeni jamani tulitumwa na mdada mmoja anaitwa elivia," serikari
haikutaka kuelewa ikawajibu, "yahani wanaume wote nyie mnambaka mwanamke
mmoja, si bora mngetafuta machangudoa
wanao jiuza, yahani mnambaka mke wa mtu alafu ndani kwake, , wajinga sana nyie
mtaozea hapa hapa jela" Elivia alipo sikia hizo taarifa alijificha sana
masikini hakutaka ata kuonekana,
Alafu Kumbe masikini wa mungu mke wangu farida alikuwa
ameumizwa sana mwili maana alikaa hospitalini kama wiki mbili nzima bila
kupona, ila mungu saidia wale watu hawakufanikiwa kabisa kufanya lile tendo
walilo kuwa wakili hitaji. Kipindi farida yupo hospitalini, aligundulika kuwa
ni mjamzito, nilifurahi sana kusikia farida ana mimba maana nilitamani sana mke
wangu anizalie mtoto, sasa siku moja nipo nyumbani na mke wangu, mala ghafla
nikashangaa geti limefunguliwa, kumbe ni paul amekuja anamuitaji mke wake,
alipo fika akasema, "sijafata chochote hapa, nimemfata mke wangu"
paul akasema tena kwamba, "farida mke wangu amka tuondoke" farida
akasema, "wee nikome kwani ulinitolea maali, we si ulinifukuza kama mbwa
pale nyumbani kwako, sikutaki toka kwetu" nikamuuliza paul maana nilikuwa
kama sielewi, "we paul hivi kwanini wewe kila ninapo oa unataka kuharibu,
ulimchukua elivia nika kaa kimya sasa unamtaka na huyu sio, ebu ondoka paul
sitaki kukuona kwangu" paul akasema "naondoka sawa lakini hapa,
lazima mke wangu arudi siwezi kukubali farida wangu umchukue, utakufa wewe au
mimi sababu ya penzi na upendo niliyo nao kwa farida" baada ya kuongea
vile paul aliondoka, farida akaanza kulia akasema, "huyo mwanaume alisha
wai kunioa, lakini alinifukuza kwake, simpendi ata kidogo" nikamjibu,
"huyo mwanaume aliniibia mke wangu wakanifirisi na kunifanya mambo mabaya,
simpendi pia" dahh nilikaa na mawazo sana, mpaka nikaamua kuweka mlinzi
nyumbani kwangu ili amlinde mke wangu asifanyiwe ubaya wowote kama nikiwa
kazini, na nikaenda kuchukua, RB polisi ili paul akifanya kitu chochote kibaya
akamatwe, sasa elivia alipo ona maisha yamemshida akaona ni bora amrudie mungu
kwa mara ya pili aokoke awe mtu mwema, kipindi ameenda kwa mchungaji kwa ajili
ya kuombewa na kutubu dhambi, mchungaji alianza kumuombea kinafiki, akawa
anampa pesa za matumizi, na akapewa sehemu ya kukaa palepale kanisani, kumbe
yule mchungaji alikuwa muongo muongo tu maana alimlaghai elivia wakaanza
kufanya mapenzi, na alipo mchoka elivia, yule mchungaji akampa elivia elfu
ishirini tu ya kuanzia maisha kisha akamfukuza maeneo ya kanisa maana walikuwa
wameisha anza kugundulika hivyo kuna baadhi ya waumini wakaanza kukimbia lile
kanisa, dahh elivia alichoka ikabidi tu aanze kuuza nyanya sokoni, maana
alikuwa na elfu ishirini aliyo pewa na mchungaji, akauza nyanya akipata pesa
anakula sehemu yake ya kulala palikuwa ni palepale sokoni kwenye vibanda
vidogo, hama kweli alikuwa anapigwa baridi sana usiku elivia akaona hana faida
tena ya kuishi duniani, hivyo akaona ni bora kukikucha salama, akanunue sumu
ameze afe tu aachane na mateso ya dunia.
usikose sehemu ya 22. Mtunzi frank david whtsapp 0769510060
SEHEMU
YA 22
MTUNZI FRANK DAVID daktari wa hadithi_Tz, whtsapp
0769510060.
Kulipo kucha elivia akanunua sumu kweli ili ajiue, maana
alikuwa amechoka sana na maisha, kwasababu ata mwili wake ulikuwa umefubaa
sana, ngozi imenyauka, muonekano wake wa urembo wote ukapotea. Dahh sasa wakati
ameshikilia ile sumu anataka ameze ili afe, roho ya kujiurumia ikamuingia
akaogopa kujiua masikini, ila kutokana na mawazo akashindwa kuendelea na kazi
yake, hivyo zile nyanya zikaoza, mtaji wake wote ukakata akaishiwa pesa yote,
elivia akasema, "dahh hii mikosi vipi hii, kila ninacho fanya sifanikiwi
jamani nifanyeje mimi, ndipo elivia akaanza tabia mbaya ya kukopa pesa za wakina
mama wanao jishughulisha pale sokoni akipewa anatumia, alafu hawarudishii pesa
zao, akimkopa leo huyu kesho anakopa kule, duuh wale wakina mama wakamchoka,
kisha wakamwambia, "wewe elivia wewe, umezoea sasa we mwanamke, kila siku kukopa kukopa pesa
zenyewe tunakupa ila huturudishii, sasa sikia, hatutaki kukuona hapa sokoni,
alafu na kwenye hivi vibanda hatutaki kukuona unalala usiku, maana tumesikia
tabia yako mbaya kweli kweli, yaani we elivia unalala na walinzi juu ya hivyo
vibanda mnafanya ngono usiku, hivi una akili kweli wewe, thamani yako iko wapi,
sasa tumekuchoka maana hatutaki mikosi kwenye biashara zetu, yaani kwanzia leo
hatutaki kukuona hapa, ondoka kabla hatuja kupiga" elivia huku machozi
yakimtoka, akasema, "wakina mama wenzangu, mimi ni mwanamke kama nyie,
sina mume, sina ndugu nikitoka hapa nitalala wapi" wakamjibu kwa
kumfyonza, "mjinga kweli wewe, kila siku unauza nyanya faida yote unatia
tumboni, umeshindwa ata kujiongeza ukapanga chumba, ondoka" dahh, elivia
alijiona chizi akajiona kama katengwa na jamii nzima, alitoka pale sokoni na
aibu kila mtu anamshangaa, wateja waliokuwepo wakamshangaa pia, ndipo akaanza
tena maisha ya kuangaika mtaani, siku moja elivia alikuwa anaumwa sana, maana
ule ugonjwa wa kisasa (ukimwi) ulikuwa ukiamka anateseka sana masikini, sasa
kutokana na zile baridi za kulala chini ya miti na kulala pia nje ya maduka ya
watu wakifunga usiku, siku moja elivia aliumwa sana tumbo, na kibaya zaidi
elivia alikuwa ana alisha, yaani kila baada ya dakika kumi elivia ana alisha mpaka
damu, aisee tumbo lilikuwa lina msokota sana mpaka akawa analia kama mtoto,
wale watu wa maduka wakamfukuza elivia asilale madukani kwao, maana alikuwa
aendi sehemu sahii ya kujisaidia yeye popote pale anashusha kinyesi, sasa wale
wenye maduka asubui wakija, wanakuta harufu sana pale madukani kwao. Sasa kuna
siku moja hivi, njaa ilimshika elivia mpaka akahisi kama anakufa, akamfata kaka
mmoja hivi anaitwa Stide, akamwambia, "kaka nina njaa naomba
unisaidie" stide akasema, "ehh we dada yaani mi niokote makopo, wewe
uje kilaini tu nikupe hela ya kula, kama upo tayari kwanzia kesho tuwe
tunaokota makopo kisha tunauza ili tupate hela yako ya kutumia" elivia
hakupinga maana ugumu wa maisha tayari alikuwa anaujua, kweli bhana, elivia
akaanza kazi za kuzunguka mtaani asubui mpaka jioni, mda mwingine ata usiku
pia, anaokota kisha anakusanya mpaka ule mfuko mkubwa ukijaa ndipo anaenda
kuuza kwa bosi kisha anapewa hela,
elivia alikuwa anafanya hiyo kazi kisha inapo fika jioni anateseka sana sehemu
ya kulala, maana ule mtaa walimfanya kama jamvi la wageni, wale vijana usiku
walikuwa wanamsumbua sana, elivia analia lakini wapi hawa muhurumii, wao
wanambaka tu masikini, dahh ikabidi elivia
awe rafiki yake sana stide wawe wanalala wote pale pale nje kusudi
asiweze kusumbuliwa na vibaka akabakwa tena. Siku moja tupo barabarani mimi na
mke wangu farida tukamuona elivia kwa mbali anaokota makopo, mengine kaya
ninginiza begani yuko bize kweli kweli, jasho linamtoka na amevaa mabuti
makubwa sana, alafu mchafuuu, maana alikuwa aogi hivyo ile harufu ya mwili wake
ilikuwa sio nzuri kabisa, Nikamwambia farida kwamba, "baby ebu muone mama
wa mtoto wangu alivyo kuwa sahivi jamani," farida akasema "heeee,
nini hiki, elivia kafikia huko sahivi, mbona mchafu sana, au kichaa sahivi atakuwa, yaani amebadilika amekuwa kama bibi kabisa
wakati bado ni mdogo yule, tumsaidie mme wangu" nikamuuliza farida,
"tumsaidieje sasa maana ata mimi huruma imenishika" farida akasema
twende nae nyumbani tu, nikamwambia, "weee! Nikome maana roho ya yule mwanamke
naijua mimi, maana ata kipindi sijamuoa nilikutana nae mtaani hivihivi
nikamsaidia, ila alini alibia maisha sana huyo binti, siwezi kumpeleka
nyumbani" nikachukua elfu 20 kisha nikamwambia mke wangu ampeleke hiyo
hela ili japo anunue chakula, farida akashuka kwenye gari kisha akamuita elivia
kwa nguvu akasema "njooo ufate hii hela ukanunue chakula ule," elivia
alipo sikia hela akageuka haraka bila kuangalia magari upande wa pili kumbe
gari lilikuwa linakuja spidi sana, wakati anavuka masikini, gari lilimgonga
vibaya mno, elivia alianguka hapo hapo na kupoteza fahamu! Duuh watu walijaa
pale ikabidi walio mgonga wamkimbize hospitali, alipo fikishwa kule
hospitalini, kumbe mkono wake wake wa
kushoto pamoja na miguu yake yote, ilikuwa imevunjika, hivyo alitakiwa kukatwa
miguu maana ilivunjwa na ile gari, maana lile gari lilikuwa spidi sana, elivia
alichanganyikiwa akasema, " dokta mimi ni muokota makopo njiani,
nitatembeaje sasa bila miguu kutafuta makopo, dokta kama kuna sindano ya
kuchoma mtu afe, naomba unichome tu nife, siwezi tena kuishi naomba uni ue
dokta" daktari akamwambia, "dada hii sio sehemu ya kuua, hapa tuna
tibu tu, hivyo kuwa mpole utibiwe na mambo mengine yatafata mbele kwa
mbele" kweli masikini elivia alikatwa miguu yake yote kwanzia magotini
kisha akakatwa mkono wake wa kushoto, duh!
Lilikuwa pigo kubwa sana kwenye maisha ya elivia lakini alivumilia hivyo
hivyo mpaka akapona, yule jamaa alie mgonga akasema, "dada kwakuwa mimi
ndiye nimekugonga, naomba ukakae kwangu mpaka siku utakayo jisikia kuondoka
mwenyewe, alafu huko kwangu utakula, utakunywa, hauta teseka kabisa, ila naomba
unisamee kwa ajali iliyo tokea, maana bila mimi usinge vunjika" elivia
hakuwa na jinsi akakubali kuishi kwenye familia ya yule kaka alie mgonga na
gari.
Siku moja paul alikuja kwangu amelewa sana, mlinzi akampiga
sana maana alileta vurugu, nilipo toka nje nikamkuta anapigana na mlinzi
nikamzuia mlinzi aache kumpiga, paul akasema, "yenda namuomba mke wangu,
nataka kumchua mke wangu nampenda, namtaka farida, sitaki chochote paul"
nikamuuliza "wewe kila nilie nae unampenda, hivi utapenda wa ngapi, elivia
nimekuachia, huyu wa nini sasa, haya utamtunza wapi maana ata nyumba unayo ishi
niya kwangu mimi na vibali ninavyo ndani tena mda wowote naichukua hiyo nyumba
sasa mtaishi vipi na farida" paul akaanza kulia, yule mlinzi akasema,
"bosi huyu amelewa usimsikilize" sasa kwa huruma niliyo kuwa nayo,
nilimrudushia paul vibali vya ile nyumba kisha nikasema, "haya sasa vibali
vya nyumba tayari nimekupa ila naomba kaa mbali na mke wangu, nimeisha chukua
RB polisi ulifanya chochote kibaya utaozea jela nakwambia" paul aliondoka
akiwa amenuna sana, kumbe alivyo mpuuzi akatafuta wateja kisha akauza ile
nyumba haraka kwa milioni 80, ili atumie hizo pesa kumpata farida upya, baada
ya kuuza nyumba paul alipanga chumba kimoja ili aanza mipango ya biashara, paul
alikuwa tayari amenunua simu nzuri tu na akajitahidi kubadilisha muonekano wake
akapendeza vizuri mtoto wawatu, sasa kipindi yupo pale alipo panga, siku moja
paul mida ya saa sita usiku alikuwa anawasiliana na jamaa mmoja hivi mfanya
biashara mkubwa anaitwa petron ili wafanye mipango ya biashara. Paul akamwambia
petron, "kaka mimi humu ndani nina milioni 70 tu, kesho mapema nakuja hapo
kwako tuangalie tunafanya biashara gani" petron akasema, "sawa mr
paul tajiri mgumu kufirisika kesho njoo tuangalie hiyo mikakati ili tupige
kazi" kumbe wakati paul anaongea hayo maswala ya pesa kubwa kubwa usiku,
kuna vijana walimsikia dirishani, hivyo wakaenda kujipanga ili waje kumvamia na
kuchukua pesa zote alizo nazo ndani, majambazi walipo fika wakagonga mlango
wakisema, "jirani mwema fungua ni mimi jirani yako hapa nina shida
kidogo" paul akafungua bila wasiwasi, kipindi yupo mlangoni anafungua
wakati anachungulia kumuona jirani alipigwa bonge la kofi la uso, paul akazubaa
maana hakutegemea kupigwa yeye alihisi ni jirani, wakati anauliza "kuna
nini jirani" paul akaongezewa kofi jingine, kisha akapigwa teke la
tumboni, paul alianza kutoka damu mdomoni wakamshika vizuri akapigwa tena ngumi
ya sehemu zake nyeti, ndipo wale majambazi wakasema, "tunaomba hizo pesa
zote kabla hatuja ondoa roho yako" paul akasema, "jamani nisameeni
mimi masikini sina pesa" wakampiga ngumi nzito sana sikioni kisha
wakamwambia, "ohhh oky! kumbe unataka kufa ehh, tumekusikia kwa masikio
yetu dirishani unaongelea pesa kubwa kubwa mamilioni 70 na kuendelea
tunazitaka" paul akasema "zipo benki" kaka mmoja akachomoa kisu
akamchoma paul kwenye paja lake, kisu chote kikazama, wakamwambia "toa
pesa tuta kuua", paul akaanza kulia akisema sina kitu mimi, ndipo jamaa
mmoja akaanza kumchoma machoni na vidole vyake anasukuma macho kwa ndani, huku
wenzake wamemshika kwa nguvu sana paul, duuuh paul akasema pesa zipo chini ya
kitanda, walipo ziona wakamfunga mikono na miguu kisha wakakimbia, wakati wezi
wameondoka ndiyo wapangaji wakatoka kwenye vyumba vyao wakasema, "kaka
paul pole sana kwa kuvamiwa, huku mtaani kwetu kuna wezi wengi sana usiwe
unaongelea pesa kubwa kubwa hivyo usiku" paul akalia akasema, "ndugu
zangu hizo pesa niliuza nyumba yangu ili nifanye biashara, sina nyumba tena
wala sina pesa, nimekwisha" dahh wapangaji wa pale wote walikuwa waoga
wakiona visu na mapanga, ndiyo maana walishindwa kumsaidia, na wengi pale
walikuwa wanawake hivyo isinge kuwa lahisi kumsaidia paul. Ndipo paul akaishiwa
nguvu, asubui ilipo fika tajiri petron akampigia simu paul eti, "kaka
mbona huji tufanye biashara," paul alishindwa kujibu, akakata simu, kisha akasema, "pesa zangu zote zilibebwa,
nyumba pia nimeuza pesa zimebebwa, lool, kweli vitu vya dhuluma sio vizuri
kabisa" ndipo mr paul akafunga
kamba juu ya paa la nyumba ili ajinyonge afe aachane na mateso yote ya dunia.
USIKOSE 23.
SEHEMU
YA 23.
MTUNZI FRANK DAVID daktari wa hadithi_tz. Whtsapp
0769510060.
Mr paul alipo funga kamba juu, akaweka stuli chini ili
akijifunga kamba shingoni apige teke ile stuli kusudi yeye anin'ginie kwa juu
afe, Kweli akafunga vizuri kisha akapanda juu ya stuli ndipo akapiga teke ile
stuli kisha akanin'ginia juu masikini, sasa kumbe ile kamba ilikuwa imeoza mara
ghafla ikakatika! Paul hakufa akaanguka chini, weeh kwa ule uchungu alio usikia
kipindi ame nin'ginia hakutaka tena kurudia, akasema, "mhh kama kufa ndiyo
hivi, sirudii tena huu mchezo aki ya mungu". Sasa kipindi Elivia bado yupo
anatunzwa na yule kaka alie mgonga na gari, Elivia alikuwa ni mtu wa mawazo
sana, kila anapokaa analia na kujutia mabaya yote aliyo nifanyia, kuna siku alizidiwa
sana masikini maana magonjwa kila wiki yalikuwa yana muandama yeye tu sababu ya
mawazo na virusi, yaani Elivia usiku na mchana wote analia, ata wakimpa hela,
wakimnunulia nguo hapati furaha kabisa. Siku moja akaja kwangu, nilikuwepo mimi
farida pamoja na mtoto wangu, elivia alipo fika tukamkalibisha kwa furaha tu
bila kinyongo kabisa, na siku hiyo aliletwa na jamaa mmoja hivi kwasababu
elivia alikuwa hajiwezi tena hivyo asinge weza kuja mwenyewe. Kipindi tupo
ndani alianza sana kulia, akaliaaaaa yaani alilia sana siku hiyo, nikamwambia,
"Elivia nyamaza basi usilie maana ukilia aisaidii kitu", Elivia
akajaribu kuacha kulia ili aweze kuongea ila alishindwa kuongea, maana kilio
kilimbana sana, yule jamaa alie mleta akasema, "ndugu zangu naombeni msitushangae
kabisa, maana Elivia ametwambia nyumbani kuwa, tumlete hapa aje kuomba msamaa,
sababu mda wote nyumbani yeye analia tu anakosa raha kabisa ya maisha, na kila
tunapo muuliza nini tatizo anasema tatizo ni Yenda mme wake, sasa alivyo sama
tumlete hapa ndipo nikaambiwa nije nae mpaka hapa kwako muongee aombe
msamaa" nikamwambia, "hamna shida kabisa, kama amekuja kuomba msamaa
ni vizuri pia maana alinikosea sana huyu mwanamke, nilimsadia yeye, nika
wasaidia wazazi wake kwa moyo mmoja, mpaka nyumba nikawajengea, na huyu elivia
alikuwa na matatizo yake binafsi sehemu zake nyeti, nikamtibu kwa ghalama sana
mpaka akapona, nilimuamini sana huyu mwanamke lakini alicho nifanyia mimi
sitokuja kukisahau, uwezi kuamini huyu mwanamke aliniibia millioni mia nne ndani
akampa hawara yake, akanitumia majambazi waka komba duka langu lote, yote hayo
nilivumilia tu maana nilijua ni mapito, ila kilicho niuma ni pale alipo muacha
mtoto wake ndani kisha akatoroka na kukimbilia huku mtwara, niliteseka sana na
mtoto, maana nilikuwa muosha magari, mpaka mda mwingine nilikuwa naenda kazini
na mtoto, yote hayo nikaya vumilia nikajua ni mapito pia, kilicho niumiza mimi
ni pale yeye na mme wake walipo nitupa shimoni kule msituni, tena shimo lefu
sana, ndani ya shimo kuna sisimizi, kuna mizoga, na chakula changu kilikuwa ni
mapela yaliyo kuwa yana dondoka kutoka juu upepo unapo piga na kuchezesha mti,
maji ya kunywa nilikuwa nakunywa machafu sana mpaka mvua inyeshe, na mvua
ikinyesha nalowa sana shimoni, nilipoteza mawasiliano ya nyumbani maana
nilikuwa shimoni mpaka mama yangu mzazi akafariki kwasababu ya kukosa matibabu,
sasa leo hii wameisha firisika, wana maambukizi ya virusi vya ukimwi, amepoteza
viungo vya mwili, ndiyo anakuja kuomba msamaa ili nimuhurumie" sasa wakati
nawa simulia machozi yalikuwa yananitoka, farida alilia sana, yule mgeni
akaanza kujifuta na kitambaa machozi, elivia ndiyo usiseme, mpaka mtoto wangu
pia akaanza kulia alipo tuona wazazi wake tunalia. Elivia akasema, "yenda
nisamee, naomba nisamee sana, najutia tamaa zangu za kimwili, niliangalia
kulizishwa kimahaba, nikasahau maisha sio ngono tu, yenda nimekuja kutubu leo
nisamee dhambi zangu, maana wewe ndiyo ulikuwa mume wa pekee ila sikujua
kabisa, nisamee maana nilikuendea kwa mganga akanipa dawa inaitwa shuntama ili
ikufanye wewe uwe unanipa hela na kunisikiza chochote ninacho kitaka, lakini
sikufanikisha kabisa, maana nilikosea masharti ile dawa ikakufanya wewe uanguke
bafuni na kuwashwa sana ngozi yako na ikakubadilisha ngozi ikawa mbaya sana,
nisamee maana nilimsingizia mfanyakazi kuwa ndiyo mwizi wa millioni 400 kumbe
niliiba mimi na kumpa paul ili tukimbilie huku mtwara tule raha, nisamee yenda
kwa kukusabibishia aibu maana ulikuwa umeandaa mipango ya harusi ila nika
kuaibisha sana kwa kukuzuia mipango yako ya harusi, hii yote ilikuwa sababu ya
paul, nimekuja kutubu mme wangu nisamee, naumia sana yenda maana nilimkimbia
mtoto nilie mzaa mwenyewe, sio hivyo tu, nilifanya kosa sana kufanya mapenzi na
paul nikiwa na mimba ya mtoto wako, mme wangu natubu kwanza kwako ukinisamee
wewe, najua ata mungu ata nisamee, sio wewe tu yenda ata farida pia naomba
unisamee mama ata ningekuwa na miguu ningepiga magoti chini, farida unisamee
maana nilimuua mtoto wako chumbani kwa kumniga shingo lake kipindi umetoka nje,
uchungu wa kuzaa naujua ila naomba unisamee farida, hizi dhambi zangu ni nyingi
zimenipa sana mikosi, nimebakwa sana, nimejiuza sana, nime lawitiwa sana mimi,
nimetembea na viongozi wa dini, ata wame za watu pia, nimefanya dhambi nyingi
sana farida nisamee mama. Mme wangu yenda, sina pa kukimbilia maana wazazi
wangu wote wameisha kufa, mimi ni muathirika, nitaishi vipi, yule paul ni
shetani sana, ni mtu mbaya sana na amenialibia maisha yangu yote, sina jipya
tena urembo wangu wote umepotea, yenda mme wangu, najua umeoa, na mungu alivyo
wa ajabu umeoa mwanamke alie kuwa ameolewa na paul, nilijitahidi kumfukuza kwa
paul kumbe nilikuwa namtengenezea mazingira mazuri ya maisha bila kujua, mimi
siwezi kukubali kuona mnaishi wote kiukweli napatwa wivu sana yenda, endeleeni
kuishi salama mimi ni bora tu nife ili
nisiendelee kuwaona, nakufa sababu ya penzi yenda wacha nife tu niondoke maana
mimi ni mwanamke nina wivu, ila farida naomba umleee binti yangu vizuri,
usimuue kama nilivyo muua wako, maana kila jambo baya unalo mfanyia mtu, kumbe
mungu anaona, na malipo sio popote ila ni hapahapa duniani". Baada ya
elivia kuongea yale maneno, nilimwambia, "mimi sina kinyongo na wewe
nakutakia maisha mema popote uendapo, tukumbukane kwa maombi na Dua" farida pia akamsamee elivia, baada ya hapo
akaondoka, aikupita ata wiki moja tukaletewa daftari ya rambi rambi kuwa elivia
amefariki na ameacha ujumbe kuwa amekufa sababu ya kukosa upendo wa mme wake
yenda, dahh tulienda kwenye msiba tukaona jinsi elivia alivyo kuwa mwili wake,
tuliumia sana maana mwili wake ulikuwa mweusiiiii, alafu umevimba na macho yake
yakawa makubwaa, kumbe alimeza sumu mbaya sana masikini.
Nililia kumuona elivia mke wangu nilie mpenda sana zamani
amekuwa vile, ila kilicho niumiza zaidi sikumuona paul kwenye msiba wa elivia,
wakati ni watu walio kuwa wanaishi pamoja na kwa mda mrefu, sasa kumbe paul
kipindi yupo kwake, siku moja mdudu alimuingia jichoni, dahh paul aliteseka
sana kumtoa yule mdudu anakajaribu kuchokonoa jicho na kidole ila wapi, mdudu
hatoki tu, dahh paul akashindwa kabisa kumtoa yule mdudu, akakosa wa kumtoa
yule mdudu maana wapangaji wengine walikuwa ndani na wame zao kuwaita
akashindwa kabisa, ndipo akaingiza kichwa chake kwenye ndoo ya maji akatikisa
kichwa akiwa amefumbua lile jicho ndipo yule mdudu akatoka, paul aliwaza sana
akasema, "dahh farida angekuwepo mke anae nipenda na kunijari angenipuliza
jicho wenda mdudu asinge nisumbua hivi, lazima nimpate mke wangu, lazima
nimrudie tu, ni bora nife sababu ya penzi, au bora yenda akose na mimi nikose nijue
moja" siku zikawa zinaenda tu mi nipo bize na maisha napambana tu ili
familia yangu iishi vizuri, sasa kuna siku paul aliingiza mke wa mtu ndani
jirani yake wa mlango wa pili, ili afanye nae mapenzi sasa kipindi wapo ndani,
yule dada akasahau maana alivulia viatu vyake nje hivyo kila alie pita pale
mlangoni alijua moja kwa moja kuwa huyu mtu yupo ndani kwa paul, sasa kumbe
yule dada mme wake alikuwa ni dereva wa magari makubwa, yeye akiondoka kikazi,
anakaa ata wiki nzima kazini au ata wiki moja nusu, sasa siku hiyo akaja bila
taarifa alafu kumbe mke wake yupo kwa paul wanacheza mpira, jamaa alipo fika
akakuta mlango wake upo wazi mke wake hayupo, alipo angalia mlango wa paul,
akaona viatu vya wazi vya mke wake nje ya mlango wa paul, dahhh akajua hapa lazima mke wake
anafanya tendo baya na paul, jamaa akagonga mlango wa paul, "kho kho
kho" paul akamwambia yule dada, "nani tena huyo anatu alibia starehe
zetu" yule dada akamwambia,
"kamfungulie mlango umsaidie shida yake hapo hapo mlangoni ila asiingie ndani,
maana sijavaa" ndipo paul akavaa taulo kwenda kumsikiliza anae gonga, paul
alipo fungua mlango dahhh! Akakuta ni mme wa yule dada, yule jamaa alikuwa
msataharabu sana akamuuliza paul kwamba, "jirani mwema, mke wangu umemuona
kweli, maana nimetoka kazini nimechoka sana, nashangaa hayupo ndani, alafu
mlango kaacha wazi na kaacha mboga jikoni imeungua" dooh paul alichoka
sana akaanza kutetemeka kisha akasema, "hapana sijamuona braza labda
ukamuangalie haa kule nje nafikiri yupo
pale dukani" yule kaka akasema, "paul mi nahisi mke wangu yupo
ndani kwako ana nisaliti mumewe" kisha yule kaka akaanza kulia, "paul
akasema hayupo ndani kaka" yule kaka akasema paul angalia hapa chini, hivi
ni viatu vyake kavulia hapa nje mlangoni kwako sasa kama hayupo fungua niangalie"
kumbe wakati huo wanaongea yule dada kumbe asikii chochote wanacho ongea paul
na mme wake, ndipo yule dada akasema kwa sauti, "mme wangu mbona huji
nimekumiss mwenzio haaa" yule jamaa akasema "huyo ni nani kaka"
akausukuma ule mlango kisha akakuta mke wake yupo uchi, nyeti zake zipo
waziwazi, akamuuliza "mke wangu, mimi naangaika silali, natafuta pesa
nakupa, unanunua nguo za ndani alafu kumbe una wavulia wanaume wengine
sio" dada alizilahi aki ya mungu, maana haku amini lile tukio, majirani
wote wakatoka nje paul alikuwa amevaa taulo tu aliona aibu, yule kaka akachukua
mizigo yote ya mke wake kisha akaiweka kwenye chumba cha paul, kipindi yule
dada amepata fahamu akawambia, "sasa kama mlikuwa mnafanya kwa siri,
nimewapa uhuru kwanzia leo muishi pamoja alafu wewe mwanamke sitaki kukuona
tena ndani kwangu tena, na uki thubutu kuja nakuua" majirani na watu wa
pale walicheka sana paul pamoja na yule dada,
ilikuwa ni aibu sana masikini, yule mwanamke akaona awezi kuvumilia ile
aibu, alibeba vitu vyake kisha paul akampa nauli, yule dada akaondoka tangu
siku hiyo hakujulikana ameenda wapi na hakuonekana tena. Sasa kutokana na paul
kufanya vile ikabidi mjumbe amuite ili amshauri, akamwambia, "paul hii
tabia yako ya kuchukua wake za watu sio nzuri kabisa, hivyo kama unataka kukaa
kwa amani na sisi tunaomba utafute mke ndani ya hii wiki alafu oa wewe ni mtu
mzima oa" dahh ndipo paul akapata wazo la kuja kumchukua farida, amtoe
kwangu kwa nguvu zote ili akaishi nae yeye. USIKOSE SEHEMU ya 24
SEHEMU YA 24. MTUNZI FRANK DAVID, daktari wa hadithi_tz.
Whatsapp 0769510060. Paul alikaa
akawaza sana kwamba, "mjumbe ameniambia nioe, na sasa hivi sina pesa
kabisa ndani, na nisipo oa ina maana nitafukuzwa huu mtaa, je ni mwanamke gani
atakubali kuishi na mimi katika hii hari, sina pesa sina chochote kinacho
eleweka ndani, ata jiko lenyewe sina nafanyaje sasa,dahh hapana yenda
atanisamee tu lazima nimpate farida wangu, maana huyo ndiye mwanamke nilie ona
mvumilivu wa raha na dhiki" sasa siku moja mimi na mke wangu tupo nyumbani
usiku tunaongea, nilikuwa nalalamika sana kuhusu paul, nikamwambia mke wangu
kwamba, "yaani yenda akili zake hazipo sawa kabisa yule mtu, alimtoa
elivia mtoto wawatu kwao, akamleta huku Mtwara, sasa bahati mbaya elivia
amefariki, huyu paul ameshindwa
kumpeleka elivia akazikwa kwao, duhh elivia masikini amezikwa na watu ambao ata
sio ndugu zake imeniuma kwakweli, angalau basi paul angefika ata kwenye msiba
ingekuwa afadhari kidogo" farida akasema, "mme wangu paul tabia zake
mbaya sana, mimi alinifukuza kwake kama mbwa, maana marehemu Elivia, alikuwa
anampa maneno ya uongo na yeye anaamini tu, hajielewi yule mwanaume, ata mama
yangu ataki kumuona wala kumsikia kabisaaa" kumbe wakati sisi
tunamuongelea paul, na yeye kule alipo anawaza jinsi ya kuja kunivamia kwangu,
ili amchukue mke wangu aondoke nae. Siku moja mchana kipindi nipo kazini sina
habari yoyote ya nyumbani, kumbe mr paul alivamia kwangu masikini, alikuwa
amekuja na panga pamoja na wembe kwa ajili ya kumchukua farida kwa nguvu ili
akaishi nae. Kipindi paul amefika kwangu, alijua mimi mda huo sipo nyumbani
nitakuwa kazini, hivyo akaja kwa mashambulizi ya kupambana na mlinzi wangu,
nilie muweka kwa ajili ya kumlinda farida asichukuliwe na mr paul, sasa mlinzi
wangu siku hiyo alijisahau masikini, kumbe mlinzi alikuwa katika mahusiano ya
mapenzi na dada wangu wa kazi, hivyo kwasababu mimi nilikuwa mida ya mchana
sipo, kumbe yeye anautumia huo mda kufanya mahaba na binti wa kazi, maana
farida alikuwa mjamzito na mda mwingi yeye alikuwa analala sana, sasa wakati
mlinzi yupo kwenye chumba chake karibia na getini anafanya lile tendo, paul
akapata upenyo wa kuweza kuingia mpaka sebreni, paul alivyo kuwa pale sebreni
akakuta farida hayupo yupo chumbani kalala, alafu ubaya zaidi mtoto wangu nilie
zaa na elivia alikuwa pale sebreni anachezea vidori vyake, hivyo paul kwa
sababu hakumuona farida akamchukua mtoto wangu na kuondoka nae mpaka kwake. Mke
wangu alipo amka akakuta mtoto hayupo sebreni, vimebaki vidori tu, akashangaa!
"Ehhh, mtoto yuko wapi" akamuita binti wa kazi, kisha akamuuliza,
"mwanangu yuko wapi" binti akasema "dada mimi nilikuwa hapo nje
mtoto yupo ndani sijui alipo" dooh farida akachanganyikiwa kabisaa
masikini akasema, "jamani mtoto ameenda wapi sasa, sasa mimi namwambiaje
mme wangu mtoto wake alipo, tutaonekana wazembe humu ndani, mimi wewe pamoja
mlinzi, mtoto mdogo anapotea tupo ndani" ndipo wote wakaanza kumtafuta,
wakatafuta, wakatafutaaa, ila hawakumpata, wakapita kwa majirani wote, mtoto
hayupo, lool, farida alichoka akaanza kulia, binti wakazi nae akaanza kulia,
mlinzi akasema, "nitamwambia nini bosi wangu mimi, nitafukuzwa kazi mimi,
nitakula wapi tena jamani" dahh baada ya masaa kama mawili, farida akapiga
simu analia, "mme wangu nisamee" nikamjibu "nikusameee?,
nikusamee nini" farida akasema, "njoo nyumbani maana mtoto amepotea
kwenye mazingira ya kutatanisha" dooh sikuchelewa, hapohapo nikarudi nyumbani
haraka sana, nilipo fika nikawauliza, "jamani mtoto amepoteaje, wakati
watu wazima mpo ndani, mtoto wangu nimemzoesha kukaa sehemu moja mimi, sasa
mnataka kusema ameisha anza kuruka ukuta wakati mtoto bado mdogo ata ajielewi,
mke wangu mbona sikuelewi, we binti ebu niambie mtoto alipo, na wewe mlinzi
nimekupa kazi nzuri, nakulipa vizuri, unaishi hapa kama ndugu yangu, inakuwaje
mtoto anapotea na wewe upo hapa" kila mtu alikuwa kimya familia imekaa
kwenye huzuni, nilichoka nikaishiwa nguvu kwenye miguu hapo hapo nikalala
chini, nililia kama mtoto nikisema, "jamani mwanangu nimeangaika nae sana,
mama yake alimtelekeza akiwa mdogo mno, niliishi nae kwa tabu sana, sasa iweje
apotee mpo ndani, kama mwenyewe niliweza kukaa nae hakupotea, sembuse nyie watu
wazima wote humu ndani, watu watatu mtoto anawapotea vipi" nikasema kama
"mna nitania naomba punguzeni matani, maana hapo mtakuwa mmezidi"
kila mtu akaanza kulia pale, dooh nikajua hapa kweli sio utani mtoto kweli
kapotea" nikamwambia mke wangu kwamba, "najua elivia alikuulia mtoto
wako, ila naomba kama ume muua ili ulipize kisasi niambie ili nisiangaile
kumfukuza" mke wangu alichukia sana akasema, "yenda mme wangu
umefikia huko, sasa mimi nimuue mtoto amefanya kosa gani, kumbe tunavyo kaa
humu ndani huniamini sio, yenda kama huniamini ni bora niondoke tu nirudi kwetu
maana siwezi kuishi kwa raha bila amani, sababu hayo maneno yako nimachungu
sana mme wangu" farida akaanza kulia upya. Nikamwambia "hapana sija maanisha hivyo, mimi niliuliza tu mke
wangu, maana tatizo kama hili limetokea, nilazima nijiulize mambo mengi
kichwani" niliwambia wote kuwa, "kama mtoto amekufa basi tumuachie
mungu tu, ila kama hajafa naamini mungu atatusimamia na tutampata mtoto"
ndipo nikaenda kutoa taarifa kwenye kituo cha polisi, nikapeleka matangazo
makanisani na misikitini, ili wanitangazie mtoto wangu kuwa amepotea na atakae
mpata tutampa zawadi ya millioni 2, sikufanikiwa kabisa, nikaamua kupeleka
taarifa kwenye radio, nikatangaza pia na zawadi juu, ila hatukumpata, ndipo
nikapeleka taarifa kwenye taarifa za habari mbali mbali za (TV) ili tuonyeshe
picha za mtoto nikaweka na zawadi juu ili atakae mpata mtoto amlete,
sikufanikiwa kabisa yani, dahhh nilichoka, pesa nilitumia nyingi, kazi zangu
zikakwamakwama, familia yangu ikakosa furaha kabisa, ilikuwa ni tabu sana.
Nikasema, "si bora tu nijue kama mtoto wangu amekufa nimzike, kuliko sijui
yuko wapi anafanywa nini" watu walikuja kunishauri kwangu mambo mengi sana
maana nilipungua ata mwili, sina amani sina raha, wengine wakasema, "kaka
huku kwetu kuna wachawi wengi, mtoto wako kachukuliwa kishirikina, nenda kwa
waganga kaka" dooh sikulitendea haki ilo wazo, wengine wakasema
"ndugu yangu mwanao ameisha fariki cha msingi wewe msahau fanya kazi, mke
wako ni mjamzito atakuzalia mtoto mwingine" dahhh liliniuma sana hilo wazo,
sikulitendea haki pia, kumbe kuna watu wengine walikuwa wanasema kwamba,
"huyo yenda ni mshirikina, kamtoa mtoto wake kafara ili apate pesa nyingi
alafu anajifanya tu" ila wazazi wa farida pamoja na prisca, walinipa moyo
kwamba nisikate tamaa, niombe sana mungu na nimtafute mtoto nitampata tu popote
alipo, kweli na mimi nikawasikiliza wao.
Sasa kumbe kipindi chote hicho mimi naangaika, kumbe paul
alikuwa amemficha mtoto wangu ndani hamtoi nje wapangaji wakimuuliza mtoto wa
nani anasema wake, kibaya zaidi paul alikuwa hampi mtoto chakula vizuri, mtoto
akabadirika kutoka rangi yake nyeupe mpaka akaanza kuwa mweusi, maana alikuwa
hamuogeshi, mwezi ukapita mtoto habadilishiwi nguo, chakula anampa mala moja tu
kwa siku, mtoto wangu alikonda masikini, mtoto akaanza kutoa harufu mbaya sana
maana ata nguo ambadilishi, kama akijikolea ata kama haja kubwa hamtawazi
mtoto, paul anakaacha hivyo hivyo pale chini kwenye sakafu ya baridi kanalala
tu, katoto kanaliaaaa, kakilia sana, paul alikuwa na radio ndani, akawa anaiwasha
sauti kubwa ili wapangaji wasisikie, paul hakuwa na huruma na hakujua kama yule
ni malaika hapaswi kuteswa, ila yeye mda mwingine usiku mtoto wangu akilia
anampiga makofi kichwani, usoni kila kona kwa hasila eti kwamba ana muaribia
usingizi, paul alifanya ujinga sana masikini hakujua kama ni dhambi, siku moja
paul alishika kisu usiku kama wa saa tisa ili amtoboe mtoto shingo amuue, maana
paul aliwaza kwamba, "siwezi kumuona yenda anafanikiwa na huyu mtoto,
wakati ameniibia mke wangu na kibaya zaidi huyu mtoto ni wa elivia, alafu huyu
huyu elivia alimuua mtoto wangu akiwa mdogo sana, hivyo na mimi namuua leo huyu tukose wote kwa
sababu mtoto analia kila mda, naangaika kumlisha chakula kama vile ni
wangu," kipindi paul anataka kumchoma mtoto na kisu, mlango wake
ukagongwa, akaficha kile kisu, kisha akaenda kumfungilia alie gonga, kumbe
alikuwa ni jirani yake alie mfumania paul na mke wake, paul akamwambia
"karibu" jamaa akasema "paul naomba unisaidie kisu maana kuna
matunda humo ndani nataka kula alafu kisu changu sikioni kabisa aisee,"
paul akasema, "dahh kaka unakula matunda usiku wote huu, haya sawa, chukua
kisu hichi hapa" kisu kilivyo toka nje, akaacha kumuua mtoto wangu, cha
kushangaza na kuumiza paul akamchukua yule mtoto kisha akampandisha juu ya
mwili wake eti anamgandamiza hili alizishe hisia zake za mapenzi, huku akisema,
"elivia amenizalia mke" bora ata hivyo kibaya zaidi ni pale paul
alipo kuwa akipanua uke wa mtoto wang mdogo jamani, huku anamtukana kwamba
"kwanini unajikojolea mpuuzi kweli we mtoto" hama kweli kuna watu
wana laana duniani. Mimi sikuchoka nikaanza kuzunguka nyumba na nyumba kuulizia
mtoto wangu, maasikari pia walinipa msaada wao, nilianza kuzeeka nikiwa kijana,
sababu ya mawazo, nikasema kuwa, "mtu yoyote atakae leta mtoto wangu nampa
mali zangu zote," farida alipungua sana masikini na kipindi hicho ana
mimba, sikuwa na raha kabisa mimi, chakula kilikuwa hakipiti, nikila kidogo
nashindwa, nikilala usiku sipati usingizi kabisa, niki jaribu kulala nashindwa,
nikipata usingizi kidogo mawazo yana niijia kwamba "je mimi nalala mtoto
wangu yeye amelala?, au je mimi na cheka mtoto yeye pia anacheka"
wachungaji na mashee walinifanyia dua na maombi ila sikupata jibu, niliwambia
watu kwamba "msiombe mpotelewe na mtoto isikie kwa mwenzako tu" dahh
maisha yangu nilianza kuyaona ni magumu sana, hivyo nikaugua vibaya sana,
nilipo pelekwa hospitali nikaambiwa kuwa nina vidonda vya tumbo pamoja na
kisukari, dahh sema kweli nilichoka maana ata vyakula vyangu vilibadilishwa
nikawa sili vyakula kama wenzangu vyenye mafuta na sukari, ila hii yote ilikuwa
ni sababu ya kumkosa mwanangu kipenzi. Sasa siku moja mchana nilikuwa nyumbani,
Paul akanipigia simu kisha akasema, "Yenda, yenda, yenda, adui wa maisha
yangu, pole sana kwa kumpoteza mtoto, pole sana kwa mawazo, pole na ghalama
zote hizo ulizo tumia, napenda kukwambia kwamba, mtoto wako nipo nae mimi, na
nipo mbali sana, huwezi kupajua, sasa kama unamtaka mtoto wako, naomba
unirudishie mke wangu farida kwanza, na ukichelewa tu, mtoto wako atanifia
ndani mimi, maana anaumwa sana, maana
sina pesa ya matibabu mimi, sasa
ukichelewa akafa, mimi namtupa shimoni
alafu napotea, maana kwanza nimeisha choka na maisha" nikamwambia
"nitaamini vipi kama kweli upo na mwanangu kaka" paul akamfinya mtoto
kwanguvu kwenye kitovu, mtoto alilia sana masikini, nilipo sikia sauti yake
analia dooh nikaamini. Dooh nilipumua kidogo, pale nilipo sikia sauti ya mtoto
wangu, paul akasema, "umemsikia ehh"
nikatamani kwenda polisi, ila niliogopa kwamba, nikisema popote paul anaweza
kumuua mtoto, ndipo nikamwambia, "paul sasa mke wangu ana mimba nitakupaje
hivyo hivyo, naomba unipe mtoto mimi nitakupa chochote unacho kitaka, naweza
kukupa ata fedha, lakini usimuue mwanangu, paul alipo sikia hela na alikuwa
kwenye wakati mgumu akakubali, ndipo akasema tukutane sehemu ili anipe mtoto
nimpe hela, ila akasema nikienda na polisi atamuua mtoto na yupo tayari kwa
lolote lile, dahh kweli nikachukua millioni 6 kisha nikaenda nazo, nilipo fika
nika mkabidhi pesa, ndipo paul akanipa mwanangu. Ila nilihisi kuchanganyikiwa
nilipo muona mtoto alivyo konda, alivyo badilika rangi, alivyo kuwa ananuka,
nguo alizo potea nazo, ndiyo hizo hizo, karudi nazo. nikamwambia paul
"wewe sio mtu paul, wewe ni gaidi,
na ukirudia kufanya hivi kwenye familia yangu nitakufanya kitu
kibaya," paul akacheka kama
mafia,"hahahahaha" kisha
akaondoka, ndipo nikamchukua mtoto haraka haraka, nikamkimbiza mpaka hospitali,
maana alikuwa mnyonge sana, na amekuwa na jotooo, nilipo fika hospitalini binti
wa kazi akaja, hivyo nikamuacha binti wa kazi pale amuangalie mtoto akiwa
anatibiwa, huwezi kuamini mtoto hakukaa ata siku mbili masikini wa mungu, na
yeye alifariki dunia, na kumfata marehemu mama yake mzazi. USIKOSE YA 25.
SEHEMU YA
25.
MTUNZI FRANK DAVID daktari wa hadithi_tz, whtsapp
0769510060.
Baada ya mwanangu kufariki nilihisi kuchanganyikiwa kabisaa,
kwasababu, pesa nilimlipa paul ili mtoto asife, alafu kumbe paul ali mlea mtoto
wangu vibaya mpaka akapata maladhi yaka muua, kwahiyo nilipoteza vyote, pesa
pamoja na mtoto, ohhshh nilichoka, nikajutia sana usitaharabu wangu, maana ni
bora kama ningeenda na ma polisi wangenisaidia kumkamata mr paul afungwe kwa
kosa la kumuua mtoto wangu na kumteka pia. Msiba wa mtoto uliisha salama lakini
tulimzika pembeni na kaburi la mama yake kule makaburini, maana vifo vyao
vilifwatana, hivyo sikuwa na jinsi kabisa ya kufanya, nilikaa na mawazo kwa mda
mrefu sana, nawaza jinsi ya kulipiza kisasi kwa mr paul, maana hivi vifo vyote
alivisababisha yeye kitendo kilicho nikela sana, ila watu walinishauri kwamba,
"muache tu huyo paul hajielewi kabisa, muachie mungu Yenda, maana yeye
ndiyo anae jua kila kitu, na siku zote lolote litokealo ni mipango yange
mwenyewe" sikuweza kuwaelewa maana uchungu wa mwanangu nilikuwa naujua
mimi, hakuna mwingine. Farida alikuwa karibu sana na mimi, anajaribu kuni poza
ili nikae sawa, ubaya zaidi, kisukari
kilikuwa kinapanda kila siku, na tumbo lilikuwa lina nisokota sana
kwasababu ata hamu ya kula sikuwa nayo na nilikuwa na vidonda vya tumbo. Sasa
kumbe mtoto alivyo fariki paul akawa kama akili imeruka, ukimuangalia unamuona
kama ni mtu mwenye akili zake lakini kumbe hayupo sawa kabisa, maana siku moja
aliamka asubuhi akajiandaa kisha akaenda kwenye ile nyumba yake aliyo uza, eti
akawambia kwamba wampatie nyumba ni yake na yeye hajawauzia, wale watu
walimtukana sana, wakamletea hati na barua za makubaliano ya kuuza nyumba, paul
alipo shika yale makaratasi akaya chanachana akisema kwamba, "nyumba sijauza,
na hii mikaratasi yenu ya mia mia hamuwezi kuifananisha na ghalama ya nyumba
yangu" wale watu wakamuona kama paul ni chizi, maana walimkalibisha vizuri
wakijua ni kama ndugu sababu walisha fanya biashara ya kuuziana nyumba alafu
anataka kuwageuka, wakamfukuza kwa hasila sana paul akakataa kutoka eti
anawambia wao ndiyo waondoke nyumba ni yake, wakaanza kumpiga paul, dahh paul
akasema "kumbe hamnijui sasa subili" kweli masikini, paul akafata
panga aje kuwakata, alipo rudi wale vijana walipo muona ana panga, wakakimbia
kwenda ndani, kisha wakafunga mlango, sasa ule mlango pia ulikuwa na komeo la
kubana kwa nje, paul akawafungia ndani humo humo, sasa kwa sababu nilikuwa
nimempa pesa kwa ajili ya kunipa mtoto wangu, sasa yeye alipo wafungia wale
ndani, akatumia ileile pesa kwenda kununua petrol ili aje kuchoma ile nyumba,
ili wale watu wafie humo humo ndani, kipindi anaenda kununua petrol, wale
wakaanza kuwapigia watu wao simu, ila wale vijana kila walie mpigia aje
kuwasaidia alikuwa hapokei, paul alivyo rudi akamwaga petrol maeneo ya ule
mjengo kisha akaweka lile dumu la petrol mlangoni, wakati anafata kiberiti
dukani, kama bahati wageni wakawa wamewasili pale siku hiyo kusalimia, na
kuwapa hongera ya kupata nyumba, daaah na hiyo ndiyo ikawa pona pona ya vifo vya
wale vijana. Pamoja na ile nyumba kuteketea. Sasa mimi baada ya mtoto kufariki
ikabidi niende kutoa taarifa kituo cha polisi ili Paul aweze kukamatwa, ndipo
wale maasikari wakamtumia barua paul
kuwa anaitajika kutuo cha polisi kwa kesi ya mauaji pamoja na kumteka mtoto,
paul ikabidi atoroke, alipo kuwa anakaa kisha akaamia sehemu ya mbali kidogo
ili asipatikane na sijulikane kabisa, siku moja paul aliugua sana maana na
virusi vilikuwa vina msumbua sana, alikuwa ana jisaidia aja kubwa ya majimaji
kila sasa, chakula hali, nguo habadilishi maana hawezi na hana msaada kabisa
ndani anaishi mwenyewe tu, dahh baada ya kupata nafuu kidogo akaamua kwenda
hospitali ndipo akawapewa dawa zikamfanya apate nafuu,
Watu wa ule mtaa paul alio ama walifurahi sana, sababu walikuwa
hawampendi, maana yeye alikuwa mkorofi na mwenye majivuno, anapigana anavyo
taka, mpaka anapiga wame za watu wana aibika mbele za wake zao jamani. Sasa
mtaa alio amia walikuwa hawamjui tabia zake kabisa, ila mungu saidia siku moja
usiku paul amelala, alibanwa na haja ndogo hivyo akaenda chooni na choo ilikuwa
nje ya chumba hivyo ilikuwa ni lazima atoke nje tu kwenda msalani,, sasa alivyo
toka tu kuna kijana ule mtaa alikuwa ni mwizi sana, akaingia haraka kwenye
chumba cha mr paul akachukua begi lake lote akatoroka nalo ili aibe nguo
akauze, alipo fika akafungua lile begi, huwezi kuamini, akakuta millini 4 na
nusu ndani ya begi ambayo paul alikuwa amebaki nayo, kwenye ile pesa niliyo
mpa, paul alipo rudi ndani hakugundua kama ameibiwa yeye alilala tu, kesho yake
asubui ameamka anaangalia begi ili achomoe pesa kidogo ya matumizi, akakuta
halipo, dooh akahisi labda ni usingizi akalala tena kidogo, lakini alikuwa
ameisha ogopa maana alikuwa hana ata mia mfukoni, wazo lake pesa zipo kwenye
begi, paul alipo amka akafumbua macho tena hakuliona begi, hakutaka kuamini
kama begi halipo maana ndiyo lilikuwa uhai wake, yaani bila zile pesa paul
asingeweza kufanya chochote kile, ikabidi paul afumbe macho ili asione kama
lile begi alipo, kisha akaanza kupapasa kwa mguu sehemu ambapo lile begi
lilikuwepo ili aliguse, dooh akakuta kweli hamna, paul alipiga yowe,
"uuuuuwii, uuuuwii, uuuwii" kama mala tatu hivi maana hakuamini,
akatoka nje haraka, jamani alie iba begi langu anirudishie, watu wote kimya,
majirani wakamuuliza kaka mbona kelele asubui yote hii, alafu umetoka nje
hujavaa ata nguo, umavaa nguo ya ndani tu, wake za watu wapo hapa watoto wapo
hapa, ebu kavae nguo paul, ndipo akarudi ndani kuvaa nguo, maana alijisahau
kabisa kuvaa, kibaya zaidi nguo zake zote ziliibiwa ndani ya sanduku, hivyo
alikuwa amebaki na nguo moja tu aliyo kuja ameivaa, paul aka anza kulia,
"nimeibiwa begi langu, wameiba nguo zote pamoja na millioni nne na nusu
zangu" wale wapangaji wakamshangaa sana kwamba, "yaaani wewe kaka
unaweka hiyo pesa yote kwenye begi, haukuwa na uchungu wa hiyo pesa ehhh, huu
mtaa wetu una vibaka wengi sana, hiyo pesa huwezi kuipata tena" paul
alijihisi kufa masikini akaingia ndani
anawaza sana, ila wale watu wakamuonea huruma wakawa wanampa chakula wakihisi
ni mtu mwema, baada ya wiki wakamchoka kila mtu akamnyima, wakamwambia oa mwanamke wako aje kukupikia chakula sisi
hatuwezi tena", sasa paul kila alipo ambiwa jambo kuhusu mke wa kuoa, yeye
alikuwa anamkumbuka farida, hivyo paul akaanza kujipanga kwa ajili ya kumchukua
mke wangu kwa nguvu zote na kumleta pale kwake ili aishi nae.
Sasa mimi baada ya matatizo yote yale kutokea, niliamua tu
kuwa mpole ili nitafute pesa kwa ajili ya familia yangu, nashukuru mungu kweli
biashara zangu zilikuwa zinaenda sawa na pesa ilikuwa inapatikana. Sasa kumbe
paul alikuwa amejiandaa na siraa mbali mbali kwa ajili ya kuvamia pale kwangu
ili amchukue mke wangu kwa nguvu ampeleke huko kwake pasipo julikana ili amu
oe, na wala paul hakuwa na akili ya kujiongeza kuwa farida wangu ni mjamzito
yeye alisema atakaa nae hivyo hivyo tu, sasa kipindi paul ameisha fika maeneo
ya nyumbani kwangu, yupo anawaza ataingiaje ndani kupambana na mlinzi,
akashangaa kumuona farida anatoka nje amebeba mfuko mweusi kuja kutupa nje
takataka maana nje ya geti ndiyo kulikuwa kuna shimo la takataka, nilitamani
sana kama labda binti wa kazi ndiyo angekuja kutupa taka, lakini mke wangu
alikuwa ni mtu wa kusaidiana kazi hakuwa mzembe ata kidogo, sasa paul alipo
muona alikimbia kisha akamziba mdomo alafu akamuwekea kisu shingoni na
kumwambia kwamba ukiongea tu ata kidogo nakuua, paul akaanza kumvuruta
anapeleka haraka haraka farida nyumbani kwake, farida akalazimishwa kwa nguvu
masikini akiambiwa "twende kama hutaki nakuua, mm ndiye mme wako sahihi
twende" mlinzi ndani akashangaa mbona farida harudi ndani, alipo toka
kuangalia akakuta hayupo kuna mtoto mdogo akamwambia, "polisi polisi"
maana mlinzi wangu alipenda kujiita polisi, kale katoto kakasema, "dada
yenu amewekewa kisu shingoni na ametekwa wamepita hapo" dahh mlinzi
ikabidi aanze kumtafuta farida, binti yangu wa kazi akashangaa wenzake hawapo
na hawaja muaga na yeye akatoka nje pia, kale katoto kakamwambia hivyo hivyo,
binti nae akaenda kumtafuta, mimi nilipo rudi nyumbani, nikagonga sana honi ila
sikufunguliwa geti ikabidi niingie ndani nikashangaa, watu wote hawapo na simu
zimeachwa ndani, moyo ulidunda nikaogopa sana maana sikutegemea kabisa, kumbe
paul alikuwa anamvuluta mke wangu kwa nguvu anampeleka kwake wakati mke wangu
ni mjamzito, farida alichoka kupandishwa kilima ikafila hatua akaanguka chini,
na mda huo huo mlinzi wa nyumba yangu akawa amefika, paul akamwambia,
"umefata nini hapa" mlinzi akasema, "kaka kumbuka nipo kazini
nimepewa jukumu la kumlinda huyo mwanamke naomba niondoke nae" paul
akachomoa kisu, mlinzi akashtuka maana hakuwa na siraa yoyote ile, paul
akamwambia kama unaweza mchukue, mlinzi akakaa kimya tu, mda huo huo binti
wangu wa kazi akawasili akasema, "dada farida umekuwaje" paul akasema
"shiiiiiii kama kimya" mda huo farida amechoka sana alafu tumbo
likaanza kumuuma masikini, sasa mimi nyumbani nikaona hamna mtu nikahisi wote
wameisha tekwa na mr paul, hivyo nikaenda polisi kisha nikachukua mapolisi
watano tukaanza msako mtaani, binti wangu wa kazi akaanza kupiga kelele
"mwiziii mwiziiiii mwiziiiiii tusaidie" watu wakatoka haraka kisha
paul akawaonyeshea mlinzi kwamba ndiyo mwizi, mlinzi alipigwa sana maana
kulikuwa na kelele hivyo yule binti wa kazi akashindwa kabisa kutetea, kwenye
wale vijana walio kuwa wana mpiga mlinzi, baadhi yao walikumemo wale ambao paul
aliwauzia nyumba na alikuwa anataka kuwachomea ndani, wakasema jamani mtu mbaya
sio huyu ni huyooo, mlinzi alikuwa anatokwa damu kila kona, ila hakufa lakini
maumivu aliya pata, watu wakasema mbona huyo yupo na mama mjamzito, paul
akasema mimi sio mwizi mimi ni baba wa familia, na huyu ni mke wangu, wakati
anaongea vile mapolisi walikuwa wamepata taarifa kuwa kuna vurugu pale hivyo
tukaenda pale kuangalia labda ninge mpata mke wangu, kweli tulipo fika
nikashangaa kumkuta farida amelala chini hana nguvu mlinzi anatokwa damu, binti
wa kazi analia, nilipo ambiwa ameitiwa mwizi sikuamini kabisaa, nikaamua kusema
ukweli kwamba, "huyu kijana ni mlinzi wa nyumba yangu, alafu huyu dada
hapa chini ni mke wangu, na huyu paul mnae mjua kama tajiri sahivi kafirisika
sana amekuwa jambazi, ameniulia mtoto maana alimteka hivi hivi mpaka mtoto
akafariki, sasa amemchukua mke wangu pia akamuue " paul akasema "ni
muongo huyu ni mke wangu nampenda sana mimi,
nipo tayari kufa ata sahivi kwa sababu ya upendo kwake" watu wakamuuliza farida, "nani mme wako
hapo" farida akaniangalia mimi kisha akaninyooshea kidole, dooh kaka mmoja
alikuwa na panga alienda akakata mguu wa paul ukapinda, mwingine akabeba jiwe
zito akalidondoshea kichwani mwa paul, kipindi watu wanampiga mr paul, kuna
mama alikuwa anapitisha kuni kubwa kubwa pale za kuuza, watu walimnyan'ganya
kisha wakaanza kumpiga kichwani mr paul na zile kuni, paul alisimama akashindwa
mguu tayari umelegea, akasema, "naumiaaaa, nisameee" kila mtu akawa
anapiga anapo pataka, ma askari wakaanza kuzuia wanachi wakagoma, paul akasema
"Farida mke wangu nakufa sababu ya penzi lako farida, nakupendaaaaaa, nakufa sababu ya penzi farida😥😥" walimpiga sana siku hiyo, maana
walimchona na miti machoni hivyo akaanza kupoteza taswila, kipigo alicho pata
kilikuwa kikubwa, alianguka chini akalala kimya, tukazani amekufa, wale
maasikari walishindwa kusaidia wakaondoka zao pale maana walikuwa wamemchoka
sana paul kwa tabia zake, ila wakasema "msimuue adhabu imemtosha"
baada ya dakika chache paul akatikisika, daah watu wakasema huyu kakaa mbona
ana roho ngumu hivyo, paul alibebwa akiwa mzima mzima mpaka makabulini,
wakachimba shimo vijana, kisha wakamzika paul akiwa mzima na anapumua, kipindi
wanamfukia mchanga alilia sana, ila alizikwa hivyo hivyo, serikari ilivyo
gundua mtu kazikwa mzima mzima, mapolisi wakaja wengi na mabomu ya machozi raia
wakakimbia, paul akafufuliwa ila masikini wa mungu akakutwa amefariki tayari,
ndipo akazikwa upya.
Mimi na familia yangu tukaanza maisha mapya yenye mafanikio,
mke wangu alijifungua mtoto wa kike, anafanana sana na malehemu mwanangu,
tulipendana sana mpaka sasa tupo vizuri na kwenye familia ya upendo na amani
teletele.........
MWISHO
MTUNZI FRANK DAVID.
STORY IMEZAMINIWA NA HADITHIZETU. TUNAPATIKANA KWA +255769510060
Post a Comment