SEHEMU YA
1.
Ilikuwa ni siku ya jumapili tarehe 27/10/1994 mida
ya usiku nikiwa mdogo bado. Baba alikuja nyumbani akiwa amelewa sana,
tulishangaa maana alikuja na mwanamke anaejiuza! Alimuita mama akamwambia
"mke wangu nimeleta mke wa pili, naomba umuheshimu ndani ya hii
nyumba" Mama akajibu,haa! Mme wangu tabia gani hizi? Unaleta mwanamke bila
kunihusisha unasema tu umeleta mke. Mama akasema,we binti naomba tu urudi kwenu
mme wangu amelewa ndo maana kafanya maamuzi mabaya. Yule mwanamke
akasema,"Haa! Naomba unikome hapa ndo nimefika sufuria moja mwiko mmoja"
Mama akamuuliza “nini? Yani nakuomba kistarabu unanijibu ovyo, Ngoja nikupe adabu yako.”
Ndipo mama akafunga kitenge kiunoni akitaka kumpiga. Binti nae alikuwa na nguvu wakaanza kuangushana na mama. Mimi nilikuwa mdogo nisingeweza kumsaidia mama.
Mama akamuuliza “nini? Yani nakuomba kistarabu unanijibu ovyo, Ngoja nikupe adabu yako.”
Ndipo mama akafunga kitenge kiunoni akitaka kumpiga. Binti nae alikuwa na nguvu wakaanza kuangushana na mama. Mimi nilikuwa mdogo nisingeweza kumsaidia mama.
Ila nilisikitika sana pale baba na yule mwanamke walipo anza kumchangia mama kumpiga. Hivyo basi mama hakuwa na jinsi ndipo akaamua kukubali. Lakini mama alihisi anaonewa maana mapenzi yalipungua sana kwake alipendwa sana mke mdogo. Mama alionekana mchafu lakini mke mdogo alipendeza sana, Mama alivumilia kwa kila jambo maana alikuwa anampenda baba.
Siku moja asubui baba alicharuka akamfukuza mama bila sababu. Baba Akasema na nikiwa nasikia kwa masikio yangu.
"We mwanamke ni kin'gan'ganizi kweli, nakuletea mwanamke ndani tena nawalaza wote kitanda kimoja! Bado huondoki tu!" Mama alianza kulia pale majirani walipo kuwa wanamcheka kinafiki. Mama akasema asante mme wangu kisha akanibeba nakusema mwanangu tuondoke
Baba akasema ondoka mwenyewe mwanangu muache. Mama simuachi mwanangu, huyo mkeo ana roho mbaya atanitesea mtoto.
Baba akanivuta mama nae akawa ananivuta kila mtu ananitaka maana nilikuwa mtoto mmoja tu! Nilivutwa mpaka nikaanza kulia kwa maumivu.
Mama yangu iliondoka akiwa analia sana, maana mama alikuwa yatima na hakuwa na ndugu yoyote wa kumsaidia, msaada wake mkubwa alikuwa ni baba tu. Nililia mama alivyo ondoka maana nilikuwa nampenda. Mama alikosa pa kulala.
Kipind mama yupo mtaaani bila msaada alibakwa na vijana 7 usiku! na ndipo mimba ya mdogo wangu wa kike ikapatikana pia, doh maisha ya mama yalizidi kuwa magumu.
Usikose Sehemu ya 2.
SEHEMU YA 2.
Maisha ya mama yalikuwa magumu lakini alijitahid
kujishugulisha na kazi za kwenye migahawa ili apate kula yeye na mwanae.
Sehemu ya kulala bado ilikuwa ni shida hivyo mama akawa kama mlinzi wa mgahawa alipokuwa akifanya kazi maana alilala humohumo bila ata shuka au godoro tena sakafuni kwenye baridi kali yeye na kachanga kake aliko kuwa nako.Mama yangu hakuwa mzee sana lakini alikuwa na maisha magumu tu na alioneka sio wa kisasa kutokana na vitenge vilivyo chanika alivyo kuwa akivaa na miangaiko ya juani alio kuwa akifanya kutafuta riziki.Mama alichukia wanaume wanao kunywa pombe maana alihisi wote ni sawa.
Sehemu ya kulala bado ilikuwa ni shida hivyo mama akawa kama mlinzi wa mgahawa alipokuwa akifanya kazi maana alilala humohumo bila ata shuka au godoro tena sakafuni kwenye baridi kali yeye na kachanga kake aliko kuwa nako.Mama yangu hakuwa mzee sana lakini alikuwa na maisha magumu tu na alioneka sio wa kisasa kutokana na vitenge vilivyo chanika alivyo kuwa akivaa na miangaiko ya juani alio kuwa akifanya kutafuta riziki.Mama alichukia wanaume wanao kunywa pombe maana alihisi wote ni sawa.
Baada ya miaka mitatu mama akajitahid akawa amepanga chumba ingawa alikuwa bado na maisha magumu.mama alipo pata chumba akatamani kunifata maana alijua nateseka kukaa na mama wa kambo.Mama alikuja mchana akaniita "mwanangu njoo" nilipo muona mama nilifurah na kumkimbilia alisema nimekufata tuondoke sikukataa maana mateso ya nyumbani nilikuwa nayajua.
Kipindi tunaondoka bahati mbaya tulikutana na baba njiani akasema; "we mwanamke unampeleka wapi mwanangu" mama akajibu, nimemfata mwanangu nikaishi nae mwenyewe ona alivyo konda chakula hamumpi nimekuta anafanya kazi ngumu sana mtoto.
Baba akasema "hakuna kuondoka na mtoto mama alianza kulia nililia pia maana baba alimpiga kofi mama, mama hakuwa na jinsi aliniacha na akarudi peke yake.
Baba akufurahi kumuona mama akianza kupendeza ndo akaenda kazini kwa mama akamuita bosi wake mama kisha akaanza kumpa maneno ya uongo kuwa.. "huyu ni mke wangu, nimemfukuza kwangu sababu alitaka kuniua na sumu na anatoka katika familia ya kichawi kwahiyo kuwa makini nae atakuulia wateja"
Baada ya baba kuondoka bosi wa mama aliogopa hivyo akamsimamisha kazi mama, mama alimbembeleza bosi wake amsamee lakini alikataa akasema "rudi kwa mmeo".
Baada ya miezi miwili kuisha mama alishindwa cha kufanya maana kodi ya nyumba ilikuwa imeisha na alikuwa hana ata senti.Ndipo aliamua kumkubalia kimahusiano japheti, ingawa japheti alikuwa anakunywa pombe pia yani kumshinda ata baba.Waliishi kama miezi mitano bila ugomvi mpaka mama upendo ukawa mkubwa kwa japheti.Ila Baba alipo mgundua japheti.
ITAENDELEA SEHEMU YA 3.
SEHEMU YA 3.
Baba alipo gundua kuwa mama anatembea na japheti,
hakufurahi ila alifurahia pale mama alipo kuwa akiteseka na
kunyanyasika.Alimfata japheti na kumwambia, "japheti nakuomba uachane na
mke wangu,tena nisikuone nae maana itakuwa ugonvi mkubwa na mmoja wetu
kuvuja damu kabisa, nitakuua kwa mikono yangu miwili."Japheti alikuwa
muoga sana ndipo akajibu "sawa nimekuelewa nimemuacha mkeo".Japheth
alipo fika nyumbani hakutaka ata kuongea na mama! Mama akamuuliza "japheti
mme wangu tatizo nini? Mbona umebadilika leo? Naomba unijibu japhe!"
Japheti alikaa kimya bila kuongea ila mama alikuwa ni mwanamke anae jali sana,
alimsogelea japheti akamuuliza huku akimpapasa mikononi akasema "mme
wangu nakutegemea sana wewe japheti kama unavyo jua sina mama sina baba na sina
msaada wowote kwahiyo ukikaa kimya nakosa raha".
Japheti akajibu kwa asila "kwahiyo mimi ndo msaada wakati unataka kuniua na mmeo, kumbe nyie bado mnamahusiano ebu niache"Japheti alimsukuma mama pembeni akasema "sikutaki tena we mwanamke" mama alilia kama mtoto mpaka mafua yakamtoka maana alikuwa tayali anampenda japheti.
Japheti alichukua begi na godoro akaondoka mama alilia zaidi akisema "niachie godoro japheti nitalalaje na mwanangu leo"Japheti hakusikia akaendelea kutoka nje maana godoro alilinunua kwa pesa yake, mama aliendelea kulia kwa nguvu akisema kwa machozi "jamani japheti rudisha godoro" kipindi mama analia kulikuwa na wananchi wenye asila kali walihisi japheti ni mwizi wa godoro ndipo wakaanza kumpiga bila kujua .
Japheti alilia nakusema sijaiba niacheni ila hawakusikia waliendelea kumshambulia
Mama pia alilia akisema huyo sio mwizi ila sauti ya mama ilikuwa ndogo hivyo alikuwa hasikiki.
Japheti alipigwa sana maana alirushiwa wame na kupigwa na miti kichwani. sababu watu walikuwa wanachukia wezi ule mtaa hivyo basi mwizi asinge pona kama akikamatwa.
Kutokana na japhe kupigwa sana masikini kaka wawatu alifariki! sura ikiwa haitamaniki.
Mama alilia sana , japhe alibebwa na alizikwa na police maana hakukua na wakumzika.
mama alikata tamaa kabisa na maisha!Aliugua sana ila hakuwa na msaada wa dawa na chakula baba alikataa kumsaidia mama. Baada ya siku mbili mtoto wake pia akaugua.
ITAENDELEA SEHEMU YA 4.
SEHEMU YA 4.
Mtoto wa mama aliugua sana tena alikonda mno maana
alikuwa apati chakula wala dawa mule ndani, sababu mama pia alikuwa anaumwa
zaidi hivyo wote walikuwa awana nguvu sababu ya ugonjwa, hali ya mtoto
iliendelea kuwa mbaya! ndipo mama akakojoa na kumnywesha mtoto mkojo
wake! kuona kama labda mwanae atapata nafuu au afadhali kidogo
sababu hakukuwa na msaada wowote wa chakula au dawa mule ndani mama alisema
"kweli masikini atabaki kuwa masikini na tajiri atabaki kuwa tajiri"
mama alikuwa anampenda sana mwanae hivyo akaamua kujikaza kimalikia na kutoka
nje kuangalia kama anaweza kupata chakula ili mwanae asife.
Mama Alienda chumba cha jirani yake maana mda mwingi
walikuwa wakicheka pamoja nae; mama akamwambia "mama jesca ninaumwa sana
mama, Mwanangu pia ana hali mbaya naomba unisaidie chakula tu leo ili ninusuru
uhai wa mwanangu na mimi maana ninanjaa sana mama jesca".
Mama jesca akajibu "hahahaha nitokeee uko! uliambiwa hapa ni kituo cha watoto yatima sikia sasa nikwambie we mchawi ulieshindwa kuishi na mumeo chakula ninacho lakini sikupi" mama aliumia. ndipo wakati anajivuta akinyata kwenda kwa baba ili amuelezee labda angeweza kumsaidia, alikutana na kijana mmoja anaitwa HANS; Hans alipita tu akiwa anaendesha baisikeli yake akamuuliza mama. "we mama mbona unatembea kinyonye hivyo barabarani tena mwenyewe tatizo nini?" Mama akamuelezea hali ya maisha na jinsi mtoto anavyo umwa ndipo HANS alipatwa huruma akanunua chakula na kumwambia twende tukamchukue mtoto ili tumpeleke hospitali.
Mama jesca akajibu "hahahaha nitokeee uko! uliambiwa hapa ni kituo cha watoto yatima sikia sasa nikwambie we mchawi ulieshindwa kuishi na mumeo chakula ninacho lakini sikupi" mama aliumia. ndipo wakati anajivuta akinyata kwenda kwa baba ili amuelezee labda angeweza kumsaidia, alikutana na kijana mmoja anaitwa HANS; Hans alipita tu akiwa anaendesha baisikeli yake akamuuliza mama. "we mama mbona unatembea kinyonye hivyo barabarani tena mwenyewe tatizo nini?" Mama akamuelezea hali ya maisha na jinsi mtoto anavyo umwa ndipo HANS alipatwa huruma akanunua chakula na kumwambia twende tukamchukue mtoto ili tumpeleke hospitali.
Mama alifurahi nakusema "kweli mtu anaekusaidia ni usie mjua". Hans aliwachukua wote na kuwapeleka hospital walitibiwa wote mtoto akapona na akapata nguvu kabisa lakini ugonjwa wa mama ulishindikana hivyo aliitajika kupelekwa nje ya nchi tena kabla ya siku mbili, mama alikata tamaa sababu zile galama za nje hakuna ambae angeweza kuzilipa, Akamwambia HANS kuwa "kaka nakushukuru msaada wako ingawa sitapona ila mwanangu amepona naomba umtunze mtoto maana nayeye ni yatima kama mimi akikua umwambie nilibakwa na watu nisio wajua ndipo nikapa mimba yake na ana kaka yake" kweli hazikupita ata siku mbili mama akafariki
Usikose sehemu ya 5.
SEHEMU YA 5.
Mama alipo tangulia mbele za haki, baba
alipigwa simu na watu ambao walikuwa wameisha pata taarifa kuusu kifo cha mama
wakimsihi baba aweze kuhudhulia kwenye mazishi ya mama yani wote baba pamoja na
mimi mwanae. Lakini tulimshanga sana baba alivyo sema! "Siwezi kuja kwenye
msiba wa huyo mwanamke tena mimi huyo mwanamke simtambui kabisa msiniusishe kwa
chochote kile tafadhali nawaomba"walimjibu baba na kusema kwamba,
"sikiliza kaka huyu mwanamke ni yatima hana mzazi yoyote yule na wewe na
yeye mliishi kwa mda mrefu sana tena vizuri bila ugomvi!
Tena yani ni mzazi mwenzako! maana mmezaa
mtoto! kwanini unamkataa sahiv jamani" Baba alikata simu palepale. Mimi
nililia nakusema; baba nataka kumzika mama, lakini baba alinigombeza na kusema
"hakuna kwenda mahala popote utabaki ndani tu leo "
Mama wa kambo alikuwa na roho mbaya lakini ata yeye hili swala lilimgusa akamwambia baba "Mme wangu ungempeleka mtoto na wewe pia mkamzike marehemu sio vizuri tukamtelekeza na tunamjua".Baba alijibu nakusema "mke wangu yani tangia nimekupata wewe na nimeishi na wewe humu ndani sijawai kufikilia mtu yoyote yule ata wazazi wangu sijawai kabisa, nakupenda sana mke wangu! kila mda nakuwaza wewe na kukusikiliza usemacho nakupenda wewe tu, kwahiyo nikitoka hapa nikaenda msibani ni dhahili kuwa sikupendi sasa sitaki tena kusikia hayo mambo ya kuzika, kwan mlitaka nani afe nisimzike acheni kunisumbua akha!"
Mama wa kambo alikuwa na roho mbaya lakini ata yeye hili swala lilimgusa akamwambia baba "Mme wangu ungempeleka mtoto na wewe pia mkamzike marehemu sio vizuri tukamtelekeza na tunamjua".Baba alijibu nakusema "mke wangu yani tangia nimekupata wewe na nimeishi na wewe humu ndani sijawai kufikilia mtu yoyote yule ata wazazi wangu sijawai kabisa, nakupenda sana mke wangu! kila mda nakuwaza wewe na kukusikiliza usemacho nakupenda wewe tu, kwahiyo nikitoka hapa nikaenda msibani ni dhahili kuwa sikupendi sasa sitaki tena kusikia hayo mambo ya kuzika, kwan mlitaka nani afe nisimzike acheni kunisumbua akha!"
Mama alizikwa kwenye makabuli ya wilaya bila ndugu yoyote kuwepo, na ghalama za mazishi ni kwa michango ya pesa iliyo patikana kwenye rambirambi baada ya daftali yenye picha ya mama kutembezwa barabarani.Watu walisikitika sana kitendo alicho fanya baba cha kumkana mama!Wengine walisema, "jaman mwanaume huyu ana roho mbaya sana sio mtu wa mungu kabisa.
Wengine walisema kwamba "mke wake wa pili anatabia za kishirikina ndo kamgeuza akili mpaka kamsahau mkewe! maana sasa hiv huyu mwanaume ata mama ake mzazi hamsaidii chochote kile yupo anaangaika tu lakini mkewe anapendeza sana wakati kipindi marehemu yupo aliwajali wazazi wake ndugu zake ata sisi rafiki zake alitukumbuka lakini tangu abadilishwe akili anatuzalau wote tusimlaumu maana damu yake imechezewa..
Itaendelea Sehemu ya 6.
SEHEMU YA 6.
Jamii yote iliyokuwa imetuzunguka ilimshangaa sana
baba kwa kitendo cha ajabu kisichofaa alichokuwa amefanya cha kumtelekeza mama!
Lakini baba akuwa na wasiwasi wowote ule alihisi yupo sahihi. Ilipo pita miezi
miwili maneno mataani kuhusu kifo cha mama yakawa yamekatika mama akaanza
kusaulika.
Kesho yake siku ya jumanne baba alipigiwa simu na rafiki yake! akamwambia kuwa kunakazi nzuri sana mkoani ya uchimbaji wa madini mgodini baba aende wakafanye maana ilikuwa ina lipa! Baba alikataa akasema siwezi kuja uko nikamuacha mke wangu peke yake ata kama pesa hipo.
Kesho yake siku ya jumanne baba alipigiwa simu na rafiki yake! akamwambia kuwa kunakazi nzuri sana mkoani ya uchimbaji wa madini mgodini baba aende wakafanye maana ilikuwa ina lipa! Baba alikataa akasema siwezi kuja uko nikamuacha mke wangu peke yake ata kama pesa hipo.
ila mama wa kambo alimwambia baba kuwa, "mme wangu tusichezee kazi maana ni kazi kupata kazi, naomba tu uende ukatafute pesa tuishi maisha mazuri zaid" Baba alikubali ndipo akaanza kujiandaa ili aweze kwenda mkoani kwenye migodi kusimamia uchimbaji wa madini ili kutafuta pesa za kutosha. Wakati baba anajiandaa alishangaa kuona naanza kulia akauliza, "mwanangu unalia nini"? Nikajibu nikitoa machozi, "baba unaondoka unaniacha," Huku machozi yanatoka nalia nikikohoa bila hata kuwa na kikohozi tena mbele ya mama wa kambo.
Nililia sababu nilikuwa najua nitateseka pale nyumbani maana mke wa baba alikuwa hanipendi kabisa! Baba alipo maliza kujiandaa mimi na mama wote tulimsindikiza stendi ya basi aweze kusafili, tulipo rudi nyumbani mimi na mama kabla ata sijakaa kwenye kochi sebleni nilipigwa kofi pah Mgongoni nilianguka chini maana sikutegemea kofi, nilishtuliwa nikahisi ni shoti ya umeme mama akasema "kilicho kuwa kinakuliza kisa baba ako anaondoka ni nini? inamaana hunipendi sio? Kesho hakuna kwenda shule amka mapema deki nyumba na choo osha vyombo vyote na unipikie chai" nililia sana nikasema sawa mama, niliamka mapema nikafanya kama nilivyo ambiwa maana nilimuogopa sana mama angenipiga sana nisipo msikiliza, siku moja aliniita akasema "nampigia baba ako simu akiuliza unaumwa sema ndiyo ili anitumie pesa mimi" baba alipo niuliza nilikubali kwa shinikizo tu maana ningepigwa!Siku moja nipo nje ninalia mgeni wa mama alikuja akanikuta nalia akaniuliza mbona unalia nikasema mama ameninyima chakula, mgeni akaguna alipo ingia ndani akakuta mama anakula vyakula peke yake na juisi. Akasema “kha!!”
Itaendelea sehemu
ya 7
SEHEMU YA 7.
Mgeni wa mama akasema khah yani we unakula na mtoto
ananjaa nje analia haumpi chakula? Tabia hii shoga yangu mbaya! Mama akajibu
"weh nikome amfate mama ake kule makabulini ampe chakula mimi nakula
mwenyewe!sijazaa mie"Yule mgeni hakufurahia kile kitendo wakati anaondoka
alinikuta nimejikunyata palepale akanipa ela nikaenda kununua (chips)! Nilipo
rudi nyumbani kula mama akaniona akasema "wewe mtoto mwizi wewe, nani
kakupa hela ya chips? unaniibia hela siku izi sio?" hapana mama akaanza
kunipiga bila kunipa ruksa ya kuongea alimwaga chips bila ata ya kuonja kwahiyo
nikashindia maji tu.
Baada ya siku mbili nikiwa sebuleni naangalia Tv
nilisikia geti linafunguliwa nikajua ni mama ndipo nikazima Tv ili asije
kunichapa maana alisha sema kuwa "sitaki kukuona unatazama Tv yangu"
nilikaa kama siangalii tv, mama alipo fika akasema, "naomba uende chumbani
kwako ulale" nikamwambia mama sahivi sina usingizi mama naomba nikae
sebleni kidogo. akasema, "siku hizi unakibuli ehh? naona umekuwa sana we
mtoto" akataka kunipiga ndipo nikakimbia kujifungia chumbani akasema
nikuone umetoka uko! kaa huko huko.
Baada ya kama dakika mbili mama akichungulia kama
nitatoka nje. Nilimuona mkaka(BODABODA) anaingia kwenye chumba cha baba na
mama.Damu ilisisimka sana nikaogopa maana tangu nazaliwa sikuwai kumuona
mwanaume yoyote anaingia kwenye chumba cha baba. Niliisi labda kunatatizo
chumbani yani labda kutengeneza switch chumbani au kuweka net juu, nikajikaza
kisabuni bila kwenda.Lakini nilishangaa kuona wanakawia ndani! nilitoka
polepole nikaenda kusikia kuna nini! Maana nilikuwa mdogo bado. kipindi naenda
nilikuwa naogopa labda mama anaweza kunichapa na kunipiga akiniona naenda
kwake! lakini nilijikaza nikaenda; Nilipo fika karibia na mlangoni, nilishangaa
sana kusikia mama kama analia akiwa anakema,Akisikia uchungu chumbani.sikujua
kama anafanya mapenzi maana nilikuwa mdogo! niliogopa sana nikajua yule
bodaboda anamuua mama, ndipo nikatoka haraka haraka kuita majirani na ndugu
zake baba waje kumsaidia mama asije
kufa.Ndugu zake baba na jirani walikuja nyumbani Walipo fika wakagonga mlango,
mama akatoka amevaa kanga moja tu! akiwa anatokwa jasho!
Usikose sehemu ya 8
SEHEMU YA 8.
Ndugu zake baba walishangaa sana jinsi mama jasho la
uchovu lilivyo kuwa lina mtililika! nilikuwa mdogo sikuelewa kabisa kinacho
endelea niliisi mama amekabwa akalia mpaka jasho kutoka! kumbe mama alikuwa
akifanya mapenzi na yule bodaboda.Baba mkubwa akasema kuwa shemeji vipi
nasikia umevamiwa? Hapana shemeji sajavamiwa, mama akajibu.Baba mkubwa akasema,
mwanao ametufata kwa fujofujo akisema mwanaume bodaboda yule anae sadikika
anapenda sana wake za watu! kaingia chumbani kwako amekuvamia na anakushambulia
ili ufe.Mama akacheka akasema "hapana sijavamiwa tena sina tatizo lolote
huyu mtoto muongo sana!na anakua mjinga sababu namlea kama yai namdekeza sana
kila anacho taka nampatia! Itabidi nipunguze ili akue"
Baba mkubwa akasema oky sawa kama hakuna tatizo
maana tumekuja kukuokoa wewe, kisha akaniambia "we mtoto ukirudia
kutudanganya nakuchapa"
Wakati wanataka kuondoka baba mdogo akasema "lakini tunaweza kuzalau maono ya huyu mtoto kumbe akawa yeye ndiyo yupo sahihi; na siku zote watoto wadogo wanasema kweli, mimi ninacho omba aturuhusu kwenda kukagua chumbani kwake ili tuwe na huakika kabisa na sio kutusimamia mlangoni kama vile anaficha maovu ndani"
Mama wa kambo akasema "wee! Nikome shemeji philipo, Nikulize swali, kaka ako amenioa na wewe unataka kutembea na mm? Yani unalizimisha uingie chumba ninacho lala na kaka ako! Mjinga kweli"
Baba mkubwa akasema, "ajamaanisha hivyo jamani ila anachotaka yeye ni kukuokoa wewe! ana wasiwasi labda adui kakuzuia usimtaje ili asikuue ndo maana unakataa! mdogo wangu anataka tukakague na ndani vizuri kunusuru uhai wako"
Mama aligoma kuruhusu mtu kuingia chumbani maana yule awala yake alikuwa kakaa kitandani kwa baba akiwa amevaa nguo ya ndani tu.Ila jirani akasema "lakini mbona tulipo fika ulitoka ndani unatokwa na jasho jingi vilevile ulikuwa mchovu na mnyonge kama ulikuwa unafanya kazi ngumu ndani"mama alisema alikuwa ana nyoosha nguo.Mama alipo kuwa mlangoni alikuwa ameshikilia simu yake, mala ghafla simu ya awala yake ndani ikaita! baba mkubwa akasema niende kuileta maana mama alikuwa kaisha anza kutetemeka, nilipo ingia ndani nikamkuta bodaboda yupo uchi wa mnyama! niliogopa na kusema kwanguvu....
Wakati wanataka kuondoka baba mdogo akasema "lakini tunaweza kuzalau maono ya huyu mtoto kumbe akawa yeye ndiyo yupo sahihi; na siku zote watoto wadogo wanasema kweli, mimi ninacho omba aturuhusu kwenda kukagua chumbani kwake ili tuwe na huakika kabisa na sio kutusimamia mlangoni kama vile anaficha maovu ndani"
Mama wa kambo akasema "wee! Nikome shemeji philipo, Nikulize swali, kaka ako amenioa na wewe unataka kutembea na mm? Yani unalizimisha uingie chumba ninacho lala na kaka ako! Mjinga kweli"
Baba mkubwa akasema, "ajamaanisha hivyo jamani ila anachotaka yeye ni kukuokoa wewe! ana wasiwasi labda adui kakuzuia usimtaje ili asikuue ndo maana unakataa! mdogo wangu anataka tukakague na ndani vizuri kunusuru uhai wako"
Mama aligoma kuruhusu mtu kuingia chumbani maana yule awala yake alikuwa kakaa kitandani kwa baba akiwa amevaa nguo ya ndani tu.Ila jirani akasema "lakini mbona tulipo fika ulitoka ndani unatokwa na jasho jingi vilevile ulikuwa mchovu na mnyonge kama ulikuwa unafanya kazi ngumu ndani"mama alisema alikuwa ana nyoosha nguo.Mama alipo kuwa mlangoni alikuwa ameshikilia simu yake, mala ghafla simu ya awala yake ndani ikaita! baba mkubwa akasema niende kuileta maana mama alikuwa kaisha anza kutetemeka, nilipo ingia ndani nikamkuta bodaboda yupo uchi wa mnyama! niliogopa na kusema kwanguvu....
Itaendelea sehemu ya 9.
SEHEMU YA 9.
Nilisema kwanguvu sana
"dudu" maana dudu ya awala yake mama ilikuwa imesimama kipindi yupo
kitandani na ilikuwa kubwa tofauti na yangu maana mimi nilikuwa mdogo hivyo
nilishtua sana kuiona! Na mama alimuacha boda boda akiwa hajavaa chochote
ndani, ingawa yeye mama alikuwa kajivika kanga pale mlangoni akiongea na baba
mkubwa, Ndugu na majirani wengine.
Baba mkubwa akasema "wewe mtoto mbona kelele dudu gani ilo tena ilo? leta simu tuone ya nani" nilikimbia kutoka chumbani bila ata simu ila bodaboda aliweka kidole mdomoni mwake akimaanisha nisiseme kama nimemuona ndani maana aliogopa kufumaniwa na mke wa mtu.
Baba mdogo akauliza "simu iko wapi mbona unakimbia tu ukisema dudu" nilisema "dudu kubwa sana ndani" hawakuelewa namaanisha nini, Baba mkubwa akauliza dudu gani? kabla sijajibu dudu mwenyewe.
Baba mkubwa akasema "wewe mtoto mbona kelele dudu gani ilo tena ilo? leta simu tuone ya nani" nilikimbia kutoka chumbani bila ata simu ila bodaboda aliweka kidole mdomoni mwake akimaanisha nisiseme kama nimemuona ndani maana aliogopa kufumaniwa na mke wa mtu.
Baba mdogo akauliza "simu iko wapi mbona unakimbia tu ukisema dudu" nilisema "dudu kubwa sana ndani" hawakuelewa namaanisha nini, Baba mkubwa akauliza dudu gani? kabla sijajibu dudu mwenyewe.
Mama akasema na kumjibu baba kwamba leo nimepulizia ndani dawa ya kuuwa wadudu nazani mtoto kaona baadhi ya mende hivyo kashtuka.Nilitaka kusema sio kweli bali kuna mtu ndani ila nikaogopa maana mama alisha nizuia kumbishia lolote atakalosema. Waliamua kuondoka wote maana waliona mama hajapatwa na tatizo nilivyo baki mwenyewe mama alinichapa sana na kunipiga adi kichwani nililia lakini hakuwa na huruma Yule bodaboda akatoka kajifunika taulo dogo la baba! akasema "mpenzi wangu msamee tu bado haelewi maisha huyu!" Mama akasema "Wewe mtoto umefikia hatua ya kunibania starehe zangu na bwana angu, hivi wewe unazani huyu ni baba ako asiejua mapenzi! olewako uniletee hao majirani na baba zako hapa nitakuuwa"
Mama Alisema "ebu nenda kaoge ujifute hizo damu puani usije kuniletea balaa hapa maana ulisha niboa kweli leo."
Kweli mama alinipiga sana damu zilinitoka puani, mpaka nikamkumbuka marehemu mama yangu kabla hajafa.Kipindi naingia chumbani kwangu kulala nikasikia mama akizungumza na baba "kuwa kesho baba anarudi kusalimia."Mama alivyo sikia baba anarudi ndipo mimi nikajua kuwa mchawi. Nilimsikia usiku saa 9 akisema "damu ya mme wangu fanya kazi" akawasha mshumaa. Akasema "mchanganye mme wangu anisikilize anipende & anipe kila kitu mimi"
Alichukua damu ya baba na kuipaka kwenye kitambaa cheupe akicheka kichawi. Nilipiga kelele! Alishtuka akaficha vifaa akasema.
Usikose sehemu ya 10.
SEHEMU
YA 10.
Mama alipo gundua kuwa namtazama
anavyo muwangia baba uchawi wake alisema, "Hivi we mtoto mbona unafatilia
maisha yangu?" nikamjibu "mama nilisikia kelele sebureni nikajua
labda ni wezi ila nashangaa niwewe". Kwanza niliona haibu kumtazama
mama maana alikuwa hajavaa nguo kabisa na mama pia alionyesha
kutetemeka na kujishika maziwa yake nisiweze kuyatazama maana alipatwa na
haibu. Alivuta pazia mlangoni kisha akasema "toka ukalale
uko."nilimuuliza swali pia kwamba,"mama hivi damu ya baba mbona kama
unaiambia ikusikilize utakacho na usemacho na upendwe na baba, kwani damu ya
baba umeitoa wapi" mama alisema "we mtoto kumbe umesikiliza kila kitu
sasa ole wako nisikie unamwambia mtu yoyote ata baba ako nakuua!
Ufe kama mama ako" niliogopa
sana maneno ya mama maana yalikuwa ya kuogopesha! Baba kesho yake mchana
aliwasili nyumbani na alituletea zawadi!, Mama alikuwa na wasiwasi kuwa
nitamwambia baba maneno niliyo yasikia kwake, ndipo akaanza kumwambia baba
maneno ya uongo kuwa "mme wangu nakupenda sana na wala sina mwanaume
mwingine zaidi yako lakini tatizo ni moja tu yani mtoto wako! "Kafanya
nini"baba akauliza, Huyu mwanao amenishinda kabisa tabia,
Ananisingizia sana! nikimtuma popote hataki kwenda na wewe ukiwa haupo ata
salamu hanipi, Na matusi ya hajabu ananitusi pia! Mama akasema Lakini mme
wangu, bora hayo navumilia tu! ila tabia yake ya kunichungulia uchi wangu
nikiwa naogoa sijaipenda kabisa, naomba umzuie mtoto wako tabia zake
maananampenda sana lakini hanipendi na nikimchapa nahisi
hautofurahi."
Baba palepale kwa asila alichukia alinifata chumbani akakuta sipo, akaanza kuniita kwa nguvu maana nilikuwa nje, nilipo ingia ndani tu baba Alinipiga teke mgongoni nikiwa bado mdogo mimi, Baba Akanipiga kofi usoni; ndipo damu zikaanza kunitoka! Baba alichomoa mkanda wake wa ngozi kiunoni akaanza kunichapa akisema " Kwanini humueshimu mama ako?" Nikauliza "kutokumueshimu vipi? naumia baba usinichape mama namsikiliza sana" aliendelea kunichapa bila ya huruma. Nikamuangalia mama akiwa ananicheka tena kinafiki ishala kuwa anafurahia pale ninavyo pigwa.
Nilikasilika nikasema "Baba, mama ni mchawi sana" baba akasema we mtoto hauna heshima kabisa yani.....
Sehemu ya 11.
SEHEMU YA 11.
Baba
alisema" kweli hauna adabu kabisa yani unamuita mama ako mchawi" baba
kwasababu damu yake ilikuwa tayali imeisha chezewa! hivyo aliniona mimi kama
takataka; alinipiga mpaka kichwani bila huruma na makofi mengi ya puani huku
nikisema, "baba acha nikwambie mama alivyo mchawi maana nilimuona
kwa macho yangu" nilisena hivyo damu zikinitililika maana nilikuwa tayali
nimepigwa sana na mwili wangu tayali ulikuwa mchungu, "Haya ebu sema
umemuona wapi akifanya uchawi" baba aliuliza. "mimi nilimsikia akisema
kuwa damu ya mme wangu mchanganye akili anipende, anisikilize huku akiwa uchi
amewasha mishumaa mida ya saa tisa usiku."
Ha! mme wangu umemsikia mwanao umemuona
nilikwambia huyo ambavyo anipendi ananisingizia tu! Mama akasema; baba akasema
pia "kweli aka katoto kamekuwa kapumbavu kama marehemu mama ake! Ngoja
nikafudishe tabia maana heshima hakana kabisa.Baba alinichukua akiwa amenifunga
mikono! Na fimbo yake mkononi, alinichapa sana bila huruma barabarani! watu
walishangaa sana walijaribu kumzuia lakini alikataa; Alinichapa njiani mpaka
akanifikisha kituo cha polisi.
Polisi aliekuwa zamu alishangaa sana kuona baba ananipeleka pale maana alikuwa anatujua wote.Akauliza "vipi mwanao amefanya nini mpaka unamfikisha uku umeshindwa kumuadhibu nyumbani?" baba alinisingizia mambo mengi ya uongo! kisha akatoa pesa ili nifungwe. Nililia sana ila baba akasema "tabia zako mbaya baki uko mjinga wewe" aliondoka nilibaki mule ndani palikuwa pachafu sana maana vinyesi vya wafungwa vilikuwa umo umo tunapo lala jamani, nilisisimka vibaya mwili sana nilipo waona funza ndani wakizunguka na nzi wale wakubwa!
Kwenye
chumba cha wafungwa hakukua na kitanda wala mkeka, bali nilipigwa baridi sana
chini chakula kililetwa kibaya sana ugali kama uji na maharagwe bila haragwe
ndani bali ni mchuuzi tu, na tukitumia sahani moja na wafungwa wengine, kibaya
sasa wao walikuwa wachafu zaid mule ndani, yani vidole vyao vinatia kinyaa ata
kula nao sahani moja, ila nilikula maana nyumbani ata chakula hawakuniletea.
Ilipo fika saa nane usiku, nilisikia kama navuliwa suruali na nguo ya ndani alikuwa mbaba mnene hivi akanivuta.Akasema kaa kimya.
Ilipo fika saa nane usiku, nilisikia kama navuliwa suruali na nguo ya ndani alikuwa mbaba mnene hivi akanivuta.Akasema kaa kimya.
Usikose sehemu ya 12.
SEHEMU YA 12.
Nilikaa
kimya yule baba alivyo nivuta maana nilikuwa naogopa watu wa mule ndani
nilihisi wanaweza kuniua, kipindi ananivua nguo nilianza kutetemeka nikahisi
anataka anichape viboko nikiwa uchi wa mnyama! maana mule ndani kulikuwa
na giza, kipindi wengine wamelala hawana habari yule baba akanishika kiuno akanisogeza
karibia na chake, Nilishtuka sana na nikashangaa alipo nitemea mate kwenye
makalio yangu, Nakuanza kupaka akisema "sitaki uumie!" Nilipo taka
kuongea, "alisema kaa kimya!" Hama kweli nilimuona mtu mbaya sana
maana kipindi nipo mdogo nilikuwa sipendi kabisa kutemewa mate!
Nilishangaa yule baba anatoa dudu yake analazimisha iingie kwenye makalio yangu! Ahaaaaa!! Nilipiga kelele watu wakashtuka mule ndani wakawasha taa haraka, walishangaa sana maana nilikuwa nimevuliwa nguo na yule baba! pia na yeye kabaki na dudu yake ikiwa wazi tu wenzake wakimtazama.
Wafungwa Walisema kwa afande kuwa "Bwana afande mtoe mtoto humu, bado mdogo jamani, hata kosa hana! katusimulia maisha yake, kibaya zaidi anabakwa na hii mibaba humu ndani ebu jamani mpeleke akafungwe mwenyewe sio humu kwetu."
police walipatwa na huruma kisha wakaniambia "baba ako kakuleta hapa katulazimisha tukufunge tena kasema tusikuachie" niliwaelezea; watu wote wakanionea huruma! Kipindi nipo naongea na wale asikali bahati nzuri usingizi ukawapitia wakalala fofofo ndipo nikatoroka polepole na kuingia mtaani!
Sikuwa na pakulala hivyo akili ikanituma nilale juu ya mti ambao ulikuwa nyuma ya gereji, nilipo lala bahati mbaya usiku niliota kama najigeuza kitandani, nilianguka chini vibaya mpaka bega langu na mkono vikauma , ndipo nikaingia kulala chini ya uvungu wa gari liliokuwa bovu pale.
Siku moja nipo barabarani natafuta vyuma niuze ili niweze kupata hela ya kula! nilimuona mtu kama mama anaingia kwenye nyumba ya wageni na mume wa mtu tena yule ninae muuzia vyuma chakavu maana yule kaka alikuwa na mke;lakini alisifika sana kubadilisha mabinti,
walipo ingia chumbani! kumbe mama wa pale gesti alikuwa anamjua mke wa yule kaka,ndipo akaenda kumwambia; mkewe alikuja na kisu cha nyanya gest kummaliza mama! mimi nilikuwa maeneo ya palepale na mimi ndie nilikuwa namjua mama peke yangu pale.
Usikose
sehemu ya 13.
SEHEMU YA 13.
Yule
mwanamke alikuja amekasilika sana anataka kumuua mama na kisu, maana alionyesha
kuwa na wivu kwa mmewe. Kipindi mama yupo na yule mwanaume walisahau
kufunga mlango walipo ingia chumbani wakadondoshana moja kwa moja mpaka
kitandani, mama alikuwa huru sana Maana ile miezi baba angu alikuwa amesafili
kikazi hivyo mama alikuwa anatumia pesa za baba kumpata kila mwanaume alie
mpenda! Na mama alipenda sana vijana wadogo wadogo maana babay angu umli wake
ulikuwa tayali umeenda.
Yule
kaka akasema kwa mama "mpenzi funga mlango kwanza" lakini mama akawa
kapagawa tayali na yule kaka mpaka akapatwa na uvivu wa kuufunga malango!
akasema, "achana na mlango mpenzi wangu naomba raha tu" kipindi
wameisha vua nguo wamebaki na nguo za ndani peke yake, walishangaa ghafla
mlango unagongwa na yule mwanamke akisema"fungua mlango" yule kaka
akaogopa sana maana alisikia sauti ya mkewe! Mama akauliza "tatizo
nini" yule kaka akasema "huyo ni mke wangu maana sauti kama
yake" wote walianza kuogopa!Mama akauliza "nani tena kamwambia sisi
tupo huku?" Aliendelea kugonga akisema "fungua" kipindi anagonga
mlango kwa hasila Mlango ukafunguka maana walikuwa hawajaufunga mlango
kabisa kipindi wanaingia. Yule mwanamke akasema "mme wangu tabia gani hizi
upo uchi na huyu malaya unaniacha ndani sijala naangaika na watoto?"
Mama
alipo ona kisu akakimbia nje akiwa amevaa nguo ya ndani tu! Yule dada akamfata
akisema we malaya lazima nikuue! mme wake alikuwa muoga sana alikimbia
akawaacha mama na mke wake, yule mwanamke alipo taka kumchoma kisu mama, mimi
nilikuwa maeneo yale yale nilimuonea huruma sana mama nilimfata karibu
kipindi anataka kumchoma tumboni, nikakinga mkono wangu wa kushoto, kisu
kikanichoma mimi,kipindi ninalia maumivu ya kisu mama alinishangaa sana maana
alijua bado nipo kituo cha police nimefungwa! Alikimbia kwa uoga maana aliona
haibu nimemtazama akiwa uchi! Alikimbia uchi kila mtu mtaani akimshangaa!
akaniacha nikiwa nalia sana pale; maana maumivu yalikuwa makali mkononi, ila
yule mwanamke akanionea huruma kisha akanibeba na kunipeleka kwake kumbe pale
kwake ndipo palikuwa kwa HANS alie msaidia mama na mdogo wangu wa kike! lakini
mimi sikujua kama pale kuna mdogo wangu!
Usikose
sehemu 14.
SEHEMU YA 14
Nilipo
fika kwa yule mama niliwaona watoto wake wote ila nilipo muona mdogo wangu tu
dahh! moyo wangu ulishtuka nikahisi nywere zinasisimka kabisa, Sikuelewa
pale pale kama ni mdogo wangu hivyo nikatulia tu.
Nilitibiwa na kupona vizuri, baada ya week moja yule mama akaniuliza kuhusu familia yangu na kwanini nafanya kazi za kuokota makopo na vyuma wakati natakiwa kuwa shule sababu umli wangu unaruhusu.
Nilimuelezea kuwa "mama angu alifukuzwa na baba angu nyumbani nikiwa mdogo sana; na baba akaoa mwanamke mwingine nyumbani, mama aliteseka mpaka alifariki dunia nikiwa mdogo sana, Hivyo nimeishi na mama wa kambo kwa mda mrefu na amekua akinitesa; na kumfanyia baba mzazi vitu vibaya sana kama kulala na vijana wadogo kwake, sio hivyo tu bali yeye pia alichezea "damu ya baba" nikiwa naona kwa macho yangu hivyo baba angu anamsikiliza tu mama na hanisaidii chochote mimi alinifunga polisi! Eti kisa nimemwambia kuwa mama ni mchawi! Ila police nikatoroka mpaka sasa sina pa kula wala pa kulala wewe ndo msaada wangu" yule mama akasema dah! wanawake wengine wanaroho mbaya sana sijui uyo mwanamke yukoje jamani? Nilimjibu na kumwambia kuwa "ni yule ulie taka kumchoma kisu nikatega mkono wangu kumnusulu maisha na uhai wake! Dah! Kwanza alishtuka akajibu "jamani we mtoto una roho nzuri sijapata kuona yani umemuokoa huyo mama wakati amekufanyia ubaya" nilimjibu "hiyo yote ni mipango ya mungu" Baada ya mda mme wake akawa amefika, Mr Hans alipiga magoti chini akamuomba mke wake msamaha; kweli mke wake alimsamee!
lakini mimi kila nilipo kua namuona mdogo wangu, nilikuwa najisikia tofauti mwilini mwangu, kumbe damu nzito kuliko maji.
Watu walishangaa sana kile kipindi maana mke wa baba alikuwa atoki ndani, kwa zile aibu za kukimbia uchi kutoka gesti baada ya kufumaniwa na mme wa mtu; ndugu na majirani ambao hawakuwepo gesiti walizani kuwa labda amechanganyikiwa mpaka kuonyesha mwili wake waziwazi, walienda kwa mama kumjulia hali lakini mama aligoma kabisa kufungua mlango ndipo wakampigia simu baba lakini baba ila akawatukana; dah usiku kila mtu akaondoka.
Usiku huohuo nikiwa nimelala nikaota kuwa..
Nilitibiwa na kupona vizuri, baada ya week moja yule mama akaniuliza kuhusu familia yangu na kwanini nafanya kazi za kuokota makopo na vyuma wakati natakiwa kuwa shule sababu umli wangu unaruhusu.
Nilimuelezea kuwa "mama angu alifukuzwa na baba angu nyumbani nikiwa mdogo sana; na baba akaoa mwanamke mwingine nyumbani, mama aliteseka mpaka alifariki dunia nikiwa mdogo sana, Hivyo nimeishi na mama wa kambo kwa mda mrefu na amekua akinitesa; na kumfanyia baba mzazi vitu vibaya sana kama kulala na vijana wadogo kwake, sio hivyo tu bali yeye pia alichezea "damu ya baba" nikiwa naona kwa macho yangu hivyo baba angu anamsikiliza tu mama na hanisaidii chochote mimi alinifunga polisi! Eti kisa nimemwambia kuwa mama ni mchawi! Ila police nikatoroka mpaka sasa sina pa kula wala pa kulala wewe ndo msaada wangu" yule mama akasema dah! wanawake wengine wanaroho mbaya sana sijui uyo mwanamke yukoje jamani? Nilimjibu na kumwambia kuwa "ni yule ulie taka kumchoma kisu nikatega mkono wangu kumnusulu maisha na uhai wake! Dah! Kwanza alishtuka akajibu "jamani we mtoto una roho nzuri sijapata kuona yani umemuokoa huyo mama wakati amekufanyia ubaya" nilimjibu "hiyo yote ni mipango ya mungu" Baada ya mda mme wake akawa amefika, Mr Hans alipiga magoti chini akamuomba mke wake msamaha; kweli mke wake alimsamee!
lakini mimi kila nilipo kua namuona mdogo wangu, nilikuwa najisikia tofauti mwilini mwangu, kumbe damu nzito kuliko maji.
Watu walishangaa sana kile kipindi maana mke wa baba alikuwa atoki ndani, kwa zile aibu za kukimbia uchi kutoka gesti baada ya kufumaniwa na mme wa mtu; ndugu na majirani ambao hawakuwepo gesiti walizani kuwa labda amechanganyikiwa mpaka kuonyesha mwili wake waziwazi, walienda kwa mama kumjulia hali lakini mama aligoma kabisa kufungua mlango ndipo wakampigia simu baba lakini baba ila akawatukana; dah usiku kila mtu akaondoka.
Usiku huohuo nikiwa nimelala nikaota kuwa..
Usikose
15
SEHEMU YA 15
Niliota
nimekutana na shimo kubwa tena refu sana njiani! kipindi nataka kulivuka niende
upande wa pili dah; kwa bahati mbaya udongo ukamomonyoka nikiwa karibu na
lile shimo, Ndipo nikaanguka mule shimoni mule chini tena mbali jamani,
hakukua na mtu yoyote wa kunisaidia. Ndipo nikaanza kulia kwa sauti kubwa sana "huui huui nakufa mama nisaidie! Nakufa mama nisaidie!
Maana udongo ulikuwa umeanza kunifukia na kunizika mzima mzima ndani, kipindi nakaribia kufunikwa palepale Mzimu wa mama ukanifata na kuniambia kuwa kuwa "usijali mwanangu hauwezi kufa nimekuja kukusaidia" pia mama akasema kuwa "mwanangu yule mtoto ni mdogo wako wa damu hivyo mpende na mjali na msikilize maana yeye ni wakike hivyo wapaswa kumuangaikia"
Nilishtuka palepale nikatupa shuka na kuanza kujifuta udongo kichwani na nguo zangu nikizani udongo umenichafua kumbe ilikuwa ni ndoto tu, sikuamini kama kweli ni mama kaja kuniambia kupitia ile ndoto, maana nilikuwa siamini ndoto kabisa.
Hans alipo samehewa na mke wake lile fumanizi, aliambiwa kuwa
"nimekusamee mme wangu lakini nataka ukapime virusi vya ukimwi na magonjwa ya zinaa yote kisha mimi ndo nitalala na wewe chumba kimoja". Hans akasema nisamee mke wangu! Ila mke wake alikataa, alikuja kulala chumba nacho lala mimi maana nilikuwa mdogo bado hivyo hakuwa na wasiwasi wowote kabisa kwangu.
Kumbe nyumbani kwa baba angu mzazi mama angu wa kambo alichukia kile kitendo cha kukimbia uchi mtaani! hivyo akataka kulipiza kisasi kwa mke wa hans, maana ndiye alie sababisha mpaka yeye akakimbia uchi barabarani na kupatwa na haibu kubwa.
kipindi nipo nimelala usiku na mke wa hans akiwa kalala (fofofo)
Mke wa hans alikuwa mpole kweli ingawa alikuwa na hasila! alikuwa anatupenda sana na hakuwa mchoyo.
Usiku nilianza kuhisi kama kuna paka wanalia sauti kama za watoto, na sauti za kichawi pia usiku! Siku shituka kwanza nikajigeuza ili nipate usingizi nisiwaze uchawi, nilishindwa kulala nikaamua kukaa; kipindi nimekaa nilishangaa kuona mke wa hans anafungua mkono mwenyewe akicheka huku amelala alivyo fungua mkono kisha akaufunika mkono mpaka asubui bila kuufunua; asubui akatuita na kutuuliza jamani hii shilingi mia nani kaniwekea usiku?
Usikose ya 16
hakukua na mtu yoyote wa kunisaidia. Ndipo nikaanza kulia kwa sauti kubwa sana "huui huui nakufa mama nisaidie! Nakufa mama nisaidie!
Maana udongo ulikuwa umeanza kunifukia na kunizika mzima mzima ndani, kipindi nakaribia kufunikwa palepale Mzimu wa mama ukanifata na kuniambia kuwa kuwa "usijali mwanangu hauwezi kufa nimekuja kukusaidia" pia mama akasema kuwa "mwanangu yule mtoto ni mdogo wako wa damu hivyo mpende na mjali na msikilize maana yeye ni wakike hivyo wapaswa kumuangaikia"
Nilishtuka palepale nikatupa shuka na kuanza kujifuta udongo kichwani na nguo zangu nikizani udongo umenichafua kumbe ilikuwa ni ndoto tu, sikuamini kama kweli ni mama kaja kuniambia kupitia ile ndoto, maana nilikuwa siamini ndoto kabisa.
Hans alipo samehewa na mke wake lile fumanizi, aliambiwa kuwa
"nimekusamee mme wangu lakini nataka ukapime virusi vya ukimwi na magonjwa ya zinaa yote kisha mimi ndo nitalala na wewe chumba kimoja". Hans akasema nisamee mke wangu! Ila mke wake alikataa, alikuja kulala chumba nacho lala mimi maana nilikuwa mdogo bado hivyo hakuwa na wasiwasi wowote kabisa kwangu.
Kumbe nyumbani kwa baba angu mzazi mama angu wa kambo alichukia kile kitendo cha kukimbia uchi mtaani! hivyo akataka kulipiza kisasi kwa mke wa hans, maana ndiye alie sababisha mpaka yeye akakimbia uchi barabarani na kupatwa na haibu kubwa.
kipindi nipo nimelala usiku na mke wa hans akiwa kalala (fofofo)
Mke wa hans alikuwa mpole kweli ingawa alikuwa na hasila! alikuwa anatupenda sana na hakuwa mchoyo.
Usiku nilianza kuhisi kama kuna paka wanalia sauti kama za watoto, na sauti za kichawi pia usiku! Siku shituka kwanza nikajigeuza ili nipate usingizi nisiwaze uchawi, nilishindwa kulala nikaamua kukaa; kipindi nimekaa nilishangaa kuona mke wa hans anafungua mkono mwenyewe akicheka huku amelala alivyo fungua mkono kisha akaufunika mkono mpaka asubui bila kuufunua; asubui akatuita na kutuuliza jamani hii shilingi mia nani kaniwekea usiku?
Usikose ya 16
SEHEMU YA 16
Mke
wa hans alishangaa sana tulipo mwambia kuwa, hatujamuekea ile pesa
mkononi mwake usiku ! alilia akajua kuwa kuna uchawi umefanyika kwake, ila
alisema siendi kwa waganga au sehemu yoyote ile namuachia mungu ndiye anaejua;
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya dini; hivyo mke wa hans ile pesa aliyokuwa amewekewa kichawi usiku! na yeye akaenda kuitoa sadaka kwa mumgu! yani akamuwekea mungu pia maana hakujua ilipo toka ile hela.
Alipo rudi nyumbani baada ya kutoka kwenye ibada! wakati anaenda jikoni kutupikia chakula alishangaa kuona kisu chake cha zamani sana, tena alicho kuwa anakipenda! lakini kilipotea zamani akakikuta jikoni! ila kimechomekwa chini maana jiko lake lilikuwa alija sakafiwa na simenti.
Mke wa hans alishtuka kwanza kisha akashangaa akamuita mme wake maana mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi! akamuelezea mume wake ila ; hans akasema "mke wangu acha uoga bhana labda mwizi karudisha kisu! chomoa kisu tumia mke wangu". Ndipo mke wake kwakujiamini akakichomoa; kipindi anachomoa tu sauti za mizimu zikaanza kumuingia mke wa hans!
Mke wa hans akaanza kuongea na kijivilingisha chini akisema kwa sauti ya ajabu kuwa "sisi ni majini tuna njaa sana tumefata pesa yetu uliyo peleka kwa adui yetu," wale majini walimkamata mke wa hans na aliteseka sana maana walitaka ile pesa walio mpa usiku akiwa amelala na mke wa hans aliipeleka kwa adui yao ambae ni mungu! hivyo waliitaka maana walikuwa wanateseka na wao pia.
Maisha ya mke wa hans yalianza kuwa magumu sana maana ile pesa ilikuwa imechanganyika na zingine hivyo kanisani wasingeweza kuitambua.
Ndipo Akaanza kuugua magongwa ya ajabu! maana alianza kupatwa na vidonda usoni! Vidonda vikubwa sana hivyo uso wake ukahalibika!
Magonjwa yalikuwa yanapishana kwa mke wa hans maana yale majini ndiyo yalikuwa yanamtesa yakiitaji pesa yao; baada ya miezi mitatu mke wa hans aliiaga dunia na wakati wa mazishi mvua kubwa sana ilinyesha hivyo watu hawakuweza kumuaga vizuri maana kwenye jeneza hakuwemo yeye! Ilikuwa gogo tu hivyo wale wenye nguvu wangeweza kutambua kuwa hajafa.
Na mizimu ilikuwa imemchukua mke wa hans kama mtumishi wao, kwahiyo alikufa kwa macho ya binadamu tu, ila kwa mungu alikuwa hajafa bado.....
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya dini; hivyo mke wa hans ile pesa aliyokuwa amewekewa kichawi usiku! na yeye akaenda kuitoa sadaka kwa mumgu! yani akamuwekea mungu pia maana hakujua ilipo toka ile hela.
Alipo rudi nyumbani baada ya kutoka kwenye ibada! wakati anaenda jikoni kutupikia chakula alishangaa kuona kisu chake cha zamani sana, tena alicho kuwa anakipenda! lakini kilipotea zamani akakikuta jikoni! ila kimechomekwa chini maana jiko lake lilikuwa alija sakafiwa na simenti.
Mke wa hans alishtuka kwanza kisha akashangaa akamuita mme wake maana mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi! akamuelezea mume wake ila ; hans akasema "mke wangu acha uoga bhana labda mwizi karudisha kisu! chomoa kisu tumia mke wangu". Ndipo mke wake kwakujiamini akakichomoa; kipindi anachomoa tu sauti za mizimu zikaanza kumuingia mke wa hans!
Mke wa hans akaanza kuongea na kijivilingisha chini akisema kwa sauti ya ajabu kuwa "sisi ni majini tuna njaa sana tumefata pesa yetu uliyo peleka kwa adui yetu," wale majini walimkamata mke wa hans na aliteseka sana maana walitaka ile pesa walio mpa usiku akiwa amelala na mke wa hans aliipeleka kwa adui yao ambae ni mungu! hivyo waliitaka maana walikuwa wanateseka na wao pia.
Maisha ya mke wa hans yalianza kuwa magumu sana maana ile pesa ilikuwa imechanganyika na zingine hivyo kanisani wasingeweza kuitambua.
Ndipo Akaanza kuugua magongwa ya ajabu! maana alianza kupatwa na vidonda usoni! Vidonda vikubwa sana hivyo uso wake ukahalibika!
Magonjwa yalikuwa yanapishana kwa mke wa hans maana yale majini ndiyo yalikuwa yanamtesa yakiitaji pesa yao; baada ya miezi mitatu mke wa hans aliiaga dunia na wakati wa mazishi mvua kubwa sana ilinyesha hivyo watu hawakuweza kumuaga vizuri maana kwenye jeneza hakuwemo yeye! Ilikuwa gogo tu hivyo wale wenye nguvu wangeweza kutambua kuwa hajafa.
Na mizimu ilikuwa imemchukua mke wa hans kama mtumishi wao, kwahiyo alikufa kwa macho ya binadamu tu, ila kwa mungu alikuwa hajafa bado.....
usikose
17
SEHEMU YA 17
Hans alisikitika sana masikini, pale mke wake alipo
fariki! alikata tamaa ya maisha na akajiona kapoteza kila kitu katika
maisha maana mkewe ndiye alie kuwa ana msimamia kwenye kazi zake nyingi na
alimshauri kwa kila jambo hans, mke wake alilea watoto wake vizuri na sisi pia
alitulea vizuri hans aliona awezi kutulea kama mke wake hivyo akawa ni mtu wa
majonzi sana.Kutokana na hans kukata tamaa ikampelekea yeye kushindwa kusimamia
kazi zake vizuri! hivyo mali zake zikaanza kuteketea ovyo ovyo,
Na hans akajikuta anauza nyumba yake na kuamua kurudi kijijini kwao kuanza maisha mapya.Hans Alituita mimi na mdogo wangu akatwambia "jamani nyie watoto nimewalea kwa mda mrefu sasa, na mimi sio baba yenu mzazi naombeni mkajitafutie wenyewe maisha sahivi, maana na mimi sina pesa kabisa jamani! Hans akasema tena, mimi naondoka kijijini na wanangu awa tu tena nawapeleka kwa bibi yao maana nyumba nimeuza sina ata pa kulala, Hans akatwambia mpendane na msaidiane hivyo hivyo tu kidogo kidogo, ombeni misaada kwa watu ipo siku mtafanikiwa; ndipo akatutambulisha vizuri kuwa; wewe binti mdogo sikia; mama ako alifariki dunia aliugua sana na hakupata matibabu maana alitelekezwa, na mume wake alishusha upendo baada ya kuoa mke mdogo ingawa siwajui mimi. Na mama ako kabla ajafa, alisema ukikuwa nikwambie kuwa una kaka yako ila yeye yupo kwa baba .Mdogo wangu alianza kulia sana maana alijua Hans ndo baba ake akasema nitapata wapi msaada tena jamani baba usituache sisi tusaidie! Mimi nilishtuka nikasema mbona kama hii inanihusu na mimi pia, nikauliza, kwani mama ake anaitwa nani?, hans alipo nijibu sikuamini maana alikuwa ni mama angu na mimi ndiye nilie kuwa kaka ake yule mdogo wangu.Hans akuamini nilivyo muelezea jinsi muonekano na jinsi mama angu alivyo! Hans akasema kweli mungu mkubwa ndoto yangu imetimia kabisa nilitamani sana nimpate kaka ake huyu binti leo hii mungu kanipatia kiulaini;
Mimi nilipo mtazama mdogo wangu vizuri sura ya mama ilikuja vilevile. Hans aliondoka akatuacha tunalia nje ya nyumba tukiwa tumeshikilia mifuko yenye nguo zetu hatujui wapi pa kwenda ndipo..uckose 18
Na hans akajikuta anauza nyumba yake na kuamua kurudi kijijini kwao kuanza maisha mapya.Hans Alituita mimi na mdogo wangu akatwambia "jamani nyie watoto nimewalea kwa mda mrefu sasa, na mimi sio baba yenu mzazi naombeni mkajitafutie wenyewe maisha sahivi, maana na mimi sina pesa kabisa jamani! Hans akasema tena, mimi naondoka kijijini na wanangu awa tu tena nawapeleka kwa bibi yao maana nyumba nimeuza sina ata pa kulala, Hans akatwambia mpendane na msaidiane hivyo hivyo tu kidogo kidogo, ombeni misaada kwa watu ipo siku mtafanikiwa; ndipo akatutambulisha vizuri kuwa; wewe binti mdogo sikia; mama ako alifariki dunia aliugua sana na hakupata matibabu maana alitelekezwa, na mume wake alishusha upendo baada ya kuoa mke mdogo ingawa siwajui mimi. Na mama ako kabla ajafa, alisema ukikuwa nikwambie kuwa una kaka yako ila yeye yupo kwa baba .Mdogo wangu alianza kulia sana maana alijua Hans ndo baba ake akasema nitapata wapi msaada tena jamani baba usituache sisi tusaidie! Mimi nilishtuka nikasema mbona kama hii inanihusu na mimi pia, nikauliza, kwani mama ake anaitwa nani?, hans alipo nijibu sikuamini maana alikuwa ni mama angu na mimi ndiye nilie kuwa kaka ake yule mdogo wangu.Hans akuamini nilivyo muelezea jinsi muonekano na jinsi mama angu alivyo! Hans akasema kweli mungu mkubwa ndoto yangu imetimia kabisa nilitamani sana nimpate kaka ake huyu binti leo hii mungu kanipatia kiulaini;
Mimi nilipo mtazama mdogo wangu vizuri sura ya mama ilikuja vilevile. Hans aliondoka akatuacha tunalia nje ya nyumba tukiwa tumeshikilia mifuko yenye nguo zetu hatujui wapi pa kwenda ndipo..uckose 18
SEHEMU YA 18.
Hans aliondoka akatuacha pale mimi na mdogo wangu
tukiwa tunalia huku tumebeba mifuko yenye nguo zetu! Aliondoka na wanae ambao
mdogo wangu alikuwa amewazoea sana kama ndugu zake. Nilijikaza kiume nikaacha
kulia maana hans aliondoka bila huruma kabisa, Na nilihisi tukilia labda hans
atapatwa na huruma aweze kutuelewa lakini wapi! Hivyo tukabaki tumesimama pale
nyumbani. Baada ya masaa kadhaa tukiwa bado hatujala chochote na mdogo wangu!
Wale walio nunua nyumba wakafika, Wakatwambia na kutuuliza kwamba "
nyie watoto wawapi?" Nikajibu kuwa "hapa ndiyo nyumbani kwetu"
wakasema "hii nyumba tumeisha inunua hivyo tusingependa kuwaona hapa"
nikajikaza na kusema kwamba "Tuoneeni huruma jamani mama etu kaisha kufa!
Na tunanjaa tunaomba chakula tu" Hakuna ata mmoja alie patwa na huruma ata
kidogo. Sikuwa na jinsi nikamchukua mdogo wangu ili tuanze maisha ya mtahani
maana nilikuwa nayajua kwahiyo nilitaka kumfundisha mdogo wangu pia
ingawa alikuwa wa kike ili na yeye ajifunze kazi za kuokota vyuma chakavu
na chupa za maji. Mdogo wangu alikuwa na nyota sana na alikuwa na bahati ya
kuokota, alikuwa akihisi sehemu; akienda anapata zaidi! hivyo watu wengi
mafukara kama sisi walikuwa wanapenda kumfatilia anapo enda! Na mda mwingine
walimnyan'ganya vyuma vyake pia.
Siku moja siku ya jumapili mdogo wangu aliingia kwenye nyumba ambayo ilikuwa inajengwa na alikuta vyuma vingi sana hivyo kipindi anapita kwenda chumba cha pili kuokota.Akashikwa na kuzibwa mdomo na vijana wavuta bangi wakitaka kumbaka na kumbikili mtoto mdogo bila mimi kufahamu.
Na Nyumbani mama aliendelea kufurahia jinsi alivyo kuwa ameichezea "damu ya baba" kuifanya akili ya baba kama zezeta!
Siku moja kipindi mke wa baba ameingiza mwanaume wake ndani! siku hiyo na baba nae alikuwa amekuja kutoka kazini kule machimboni.
Lakini iyo wiki mitandao ya simu ilikuwa inasumbua hivyo akuweza kumwambia mama kama anakuja! Kipindi mama anafanya mapenzi alisikia mlango unagongwa wakati huo na mama ndiyo anafurahia mechi na mtu wake! Baba aligonga akisema "mke wangu nimerudi kukusalimia fungua mlango basi!" Dooh ndipo yule mwanaume alishituka akaingia chini ya uvungu.
kule mdogo wangu pia akavuliwa nguo zake mimi sijui.#19
walimnyan'ganya vyuma vyake pia.
Siku moja siku ya jumapili mdogo wangu aliingia kwenye nyumba ambayo ilikuwa inajengwa na alikuta vyuma vingi sana hivyo kipindi anapita kwenda chumba cha pili kuokota.Akashikwa na kuzibwa mdomo na vijana wavuta bangi wakitaka kumbaka na kumbikili mtoto mdogo bila mimi kufahamu.
Na Nyumbani mama aliendelea kufurahia jinsi alivyo kuwa ameichezea "damu ya baba" kuifanya akili ya baba kama zezeta!
Siku moja kipindi mke wa baba ameingiza mwanaume wake ndani! siku hiyo na baba nae alikuwa amekuja kutoka kazini kule machimboni.
Lakini iyo wiki mitandao ya simu ilikuwa inasumbua hivyo akuweza kumwambia mama kama anakuja! Kipindi mama anafanya mapenzi alisikia mlango unagongwa wakati huo na mama ndiyo anafurahia mechi na mtu wake! Baba aligonga akisema "mke wangu nimerudi kukusalimia fungua mlango basi!" Dooh ndipo yule mwanaume alishituka akaingia chini ya uvungu.
kule mdogo wangu pia akavuliwa nguo zake mimi sijui.#19
SEHEMU YA 19.
Kipindi nipo mwenyewe naokota okota vyuma ghafla tu
nilishtuka maana nilikaa mda mda kidogo bila kumuona mdogo wangu! Pale pale
Moyo ukanituma niende kumuangalia sehemu niliyo hisi atakuwepo maana mdogo
wangu alipenda kukaa hiyo sehemu ila sikumkuta kabisa pale, niliogopa maana
alikuwa bado mdogo, wakati sijielewi! kuwa nitampata wapi mala ghafla nikasikia
kelele! Tena sauti kama yake ndani ya nyumba ambayo bado haijamalizika
kujengwa, na pale ndipo watoto wa matajili walipenda sana kuvutiapo sigara na
kunywa pombe mala kwa mala!
Nilipo enda pale na kuchungulia, Nilikuta mmoja anamziba mdomo mdogo wangu; mwingine kambana miguu na mmoja anambaka jamani na damu zikiwa zinamtoka! Tena akijivilingisha akisikia uchungu sana maana wale wakaka walikuwa wakubwa sana ila mdogo wangu alikuwa na miaka saba tu! Hivyo alisikia maumivu makali sana kubikiriwa! Nilipo muona Mdogo wangu niliumia sana pia maana machozi yalikuwa yanamtoka sana! Niliogopa kumsaidia maana wale wakaka wangenipiga pia! hivyo nikatoka haraka haraka kwenda kutafuta mawe! kipindi naanza kuokota mawe palepale mungu saidia nikamuona mbaba mmoja anapita, nikamfata nikamwambia mdogo wangu anabakwa nisaidie jamani baba! Alichukua fimbo kubwa ili aweze kumsaidia kipindi tunaenda! Tukawakuta wanabadilisha mmoja kaisha rizika mwingine anataka na yeye afanye mdogo wangu akapoteza fahamu kabisa! Nililia sana yule baba akasema "wewe Daniel yani mnabaka mtoto mdogo hivi? kwanini mnatafuta dhambi?" wakaanza kuogopa nakusema kwamba "tusamee mwenyekiti" kisha wakakimbia" kumbe yule baba alikuwa mwenyekiti hivyo alikuwa anapafahamu kwa mama ake Daniel, alimbeba mdogo tukaenda kwa kina Daniel ili amuonyeshe mama daniel jinsi mtoto wake alivyo na tabia mbaya; mwenyekiti akasema "mama daniel mtoto wako kwa alicho fanya itabidi ahukumiwe kifungo" yule mama akasema "tusamee baba nipo tayali kumtibu huyu mtoto na kuwatunza wote na kaka ake! Mwenyekiti akasema mwanao nimemkuta anambaka kabisa huyu mtoto sikuamini kabisa; Yani tena damu zimemtoka nyingi huyu binti atakuwa anaumwa sana! Yule mama daniel alikuwa anapesa sana hivyo akampeleka mdogo wangu hospitali ili aweze kutibiwa!
Nilipo enda pale na kuchungulia, Nilikuta mmoja anamziba mdomo mdogo wangu; mwingine kambana miguu na mmoja anambaka jamani na damu zikiwa zinamtoka! Tena akijivilingisha akisikia uchungu sana maana wale wakaka walikuwa wakubwa sana ila mdogo wangu alikuwa na miaka saba tu! Hivyo alisikia maumivu makali sana kubikiriwa! Nilipo muona Mdogo wangu niliumia sana pia maana machozi yalikuwa yanamtoka sana! Niliogopa kumsaidia maana wale wakaka wangenipiga pia! hivyo nikatoka haraka haraka kwenda kutafuta mawe! kipindi naanza kuokota mawe palepale mungu saidia nikamuona mbaba mmoja anapita, nikamfata nikamwambia mdogo wangu anabakwa nisaidie jamani baba! Alichukua fimbo kubwa ili aweze kumsaidia kipindi tunaenda! Tukawakuta wanabadilisha mmoja kaisha rizika mwingine anataka na yeye afanye mdogo wangu akapoteza fahamu kabisa! Nililia sana yule baba akasema "wewe Daniel yani mnabaka mtoto mdogo hivi? kwanini mnatafuta dhambi?" wakaanza kuogopa nakusema kwamba "tusamee mwenyekiti" kisha wakakimbia" kumbe yule baba alikuwa mwenyekiti hivyo alikuwa anapafahamu kwa mama ake Daniel, alimbeba mdogo tukaenda kwa kina Daniel ili amuonyeshe mama daniel jinsi mtoto wake alivyo na tabia mbaya; mwenyekiti akasema "mama daniel mtoto wako kwa alicho fanya itabidi ahukumiwe kifungo" yule mama akasema "tusamee baba nipo tayali kumtibu huyu mtoto na kuwatunza wote na kaka ake! Mwenyekiti akasema mwanao nimemkuta anambaka kabisa huyu mtoto sikuamini kabisa; Yani tena damu zimemtoka nyingi huyu binti atakuwa anaumwa sana! Yule mama daniel alikuwa anapesa sana hivyo akampeleka mdogo wangu hospitali ili aweze kutibiwa!
Usikose sehemu ya 20
SEHEMU YA
20.
Mdogo wangu alipo fikishwa
hospitali hali yake ilikuwa mbaya sana tena ya kuogopesha! kitendo kilicho
mfanya mama Daniel kuogopa na kujua kuwa lazima mtoto atafariki! Doctor
akamuuliza "mama Daniel huyu mtoto mbona kabakwa na bado mdogo sana! tena
inaonyesha alizibwa pumzi asipige kelele hivyo imempelekea kupoteza fahamu
kabisa, mama nani kafanya mchezo huu, maana anatakiwa kufungwa kifungo cha
maisha kabisa!" Mama daniel akajibu "mimi nimemkuta huyu mtoto njiani
ikabidi nimsaidie kumleta kwako dokta wangu"
Mimi nilikuwepo nikaguna! Nikataka kusema ukweli kuwa mwanae anae itwa daniel ndiyo kam'baka mdogo wangu! Ila mama daniel akanikonyeza! Nilijiongeza nikanyamaza pia. Doctor alimpima tena mgonjwa kisha akasema mama daniel mgonjwa wako ana mawili kupona au kufa maana yuko na hali mbaya sana! Kabanwa pumzi yake kwa mda mrefu!. Mama daniel alipo sikia kuwa mgonjwa anaweza kufa akaogopa! akajua kuwa mtoto akifa mwanae atakamatwa hivyo akampigia simu Daniel wake akamwambia "mtoto wangu kwanini unabaka kwanini umefanya kitendo hichi" kisha akamuelekeza Daniel achukue pesa chumbani kwake ili aweze kutoroka aende kijijini kwa bibi yake" Danieli alifanya hivyo lakini Dani alikuwa amepagawa maana alijua ameua na aliogopa haibu mtaani kwao na kwa ndugu zake! Hivyo dani alichukua zile pesa.
Kipindi anatoroka na basi limefika mkoa wa KIMBIGO basi lilipinduka! wakapata ajali mbaya mungu saidia deleva na watu wote hawakufariki ila Daniel tu ndiyo akawa amepoteza maisha yake !
Kipindi mama daniel anapigiwa simu kuwa mtoto wake amepata ajali maana na ndiye mtoto wake wa pekee na alikuwa amempata kwa tabu sana maana alikuwa hana uwezo tena wa kuzaa na umli wake ulikuwa umeenda! Mama daniel alilia pale hospital akijutia kwa mambo mwanae aliyo yafanya;
mda huo huo mdogo wangu akapata nafuu na kuzinduka palepale akishangaa amefikaje hospital huku akisema "kaka nasikia maumivu sehemu zangu za kujisaidia"nilimwambia utapona mdogo wangu! Mazishi ya daniel yaliisha salama! Mama dani sikumoja akatuita na kutwambia kuwa "wanangu mimi sijawazaa wala mimi sio ndugu yenu lakini naomba mnieshimu naomba mniite mama, nipo tayali kuwasaidia mtasoma na mtaishi maisha mazuri.... usikose #21
Mimi nilikuwepo nikaguna! Nikataka kusema ukweli kuwa mwanae anae itwa daniel ndiyo kam'baka mdogo wangu! Ila mama daniel akanikonyeza! Nilijiongeza nikanyamaza pia. Doctor alimpima tena mgonjwa kisha akasema mama daniel mgonjwa wako ana mawili kupona au kufa maana yuko na hali mbaya sana! Kabanwa pumzi yake kwa mda mrefu!. Mama daniel alipo sikia kuwa mgonjwa anaweza kufa akaogopa! akajua kuwa mtoto akifa mwanae atakamatwa hivyo akampigia simu Daniel wake akamwambia "mtoto wangu kwanini unabaka kwanini umefanya kitendo hichi" kisha akamuelekeza Daniel achukue pesa chumbani kwake ili aweze kutoroka aende kijijini kwa bibi yake" Danieli alifanya hivyo lakini Dani alikuwa amepagawa maana alijua ameua na aliogopa haibu mtaani kwao na kwa ndugu zake! Hivyo dani alichukua zile pesa.
Kipindi anatoroka na basi limefika mkoa wa KIMBIGO basi lilipinduka! wakapata ajali mbaya mungu saidia deleva na watu wote hawakufariki ila Daniel tu ndiyo akawa amepoteza maisha yake !
Kipindi mama daniel anapigiwa simu kuwa mtoto wake amepata ajali maana na ndiye mtoto wake wa pekee na alikuwa amempata kwa tabu sana maana alikuwa hana uwezo tena wa kuzaa na umli wake ulikuwa umeenda! Mama daniel alilia pale hospital akijutia kwa mambo mwanae aliyo yafanya;
mda huo huo mdogo wangu akapata nafuu na kuzinduka palepale akishangaa amefikaje hospital huku akisema "kaka nasikia maumivu sehemu zangu za kujisaidia"nilimwambia utapona mdogo wangu! Mazishi ya daniel yaliisha salama! Mama dani sikumoja akatuita na kutwambia kuwa "wanangu mimi sijawazaa wala mimi sio ndugu yenu lakini naomba mnieshimu naomba mniite mama, nipo tayali kuwasaidia mtasoma na mtaishi maisha mazuri.... usikose #21
SEHEMU YA
21
Tulimsikiliza na tukamueshimu sana mama Danieli; ila
bado hakuridhika kabisa akahisi labda tunaweza siku moja kumgeuka na kumkana
maana hakuwa na mtoto tena na umli wake ulikuwa umeenda! Alikuwa anaishi
mwenyewe bila mume! Mama Daniel ikabidi aseme kuwa kwanzia leo mimi
nitaitwa Daniel kama marehemu kijana wake na huyu binti ambae ni mdogo wako
sasa ataitwa Neema; hatukubisha maana yeye ndiye alie kuwa msaada wetu mkubwa
hivyo tukakubali kwa majina tuliyo pewa. Tuliendelea kujitahidi sana katika
masomo yetu maana tulipelekwa shule nzuri tu na tuliendelea kumuheshimu kila
mtu alie kuwa ametuzunguka!
Lakini jamani Baba angu kule nyumbani sababu damu yake ilikuwa imechezewa aliendelea kufanyiwa vitu vibaya sana bila yeye kutambua, maana mama wa kambo alivyo kuwa amemficha yule awala yake chini ya uvungu baba akujua, Baba akauliza hiyo mipila ya kufanyia mapenzi juu ya droo ya kitanda changu niya nani?
mama akajibu hapana mme wangu usijali huu ni uchafu tu mme wangu; baba akamuuliza acha kunifanya mimi kama mtoto hiyo mipila imetoka wapi? Mama akasema mme wangu kwahiyo uniamini siku hizi sio? Basi mimi naondoka! kwa sababu baba tayali damu yake ilisha chezewa alisema hapana mke wangu usiondoke nakupenda sana! Yule awala ya mama alikuwa uvunguni mwa kitanda alafu alikaa mda sana mule akawa amechokaa sana na nguo zake alikuwa hajavaa zilikuwa chini ya godoro pia. Baba alikuwa na wasiwasi ila alijikaza tu maana alikuwa anampenda mke wake. Mke wa baba akaanza kuogopa maana alijua mme wake atamuona yule mkaka alie kuwa chini ya uvungu wa kitanda! Mama akamfata baba chumbani akasema mme wangu nimekuandalia chakula twende ukale. Baba akasema ohh mke wangu nimetoka nimekula! nimeshiba maana ulisha sema nikiwa nakuja nije nimekula nisikusumbue wewe kupika.
Mama akasema mme wangu twende chumba cha wageni nimekisafisha vizuri nataka nikupe mahaba sana leo ufurahi mme wangu
baba akajibu hapana mke wangu chumba cha wageni ni wageni sio mahaba mke wangu yule mwanaume aliekuwa chini ya uvungu uvumilivu ulimshinda ikabidi atoke kisha akava nguo zake haraka haraka; Baba akasema mke wangu huyu mwanaume ndiye mnafanya nae upuuzi ndani kwangu baba akaenda kufunga mlango
Lakini jamani Baba angu kule nyumbani sababu damu yake ilikuwa imechezewa aliendelea kufanyiwa vitu vibaya sana bila yeye kutambua, maana mama wa kambo alivyo kuwa amemficha yule awala yake chini ya uvungu baba akujua, Baba akauliza hiyo mipila ya kufanyia mapenzi juu ya droo ya kitanda changu niya nani?
mama akajibu hapana mme wangu usijali huu ni uchafu tu mme wangu; baba akamuuliza acha kunifanya mimi kama mtoto hiyo mipila imetoka wapi? Mama akasema mme wangu kwahiyo uniamini siku hizi sio? Basi mimi naondoka! kwa sababu baba tayali damu yake ilisha chezewa alisema hapana mke wangu usiondoke nakupenda sana! Yule awala ya mama alikuwa uvunguni mwa kitanda alafu alikaa mda sana mule akawa amechokaa sana na nguo zake alikuwa hajavaa zilikuwa chini ya godoro pia. Baba alikuwa na wasiwasi ila alijikaza tu maana alikuwa anampenda mke wake. Mke wa baba akaanza kuogopa maana alijua mme wake atamuona yule mkaka alie kuwa chini ya uvungu wa kitanda! Mama akamfata baba chumbani akasema mme wangu nimekuandalia chakula twende ukale. Baba akasema ohh mke wangu nimetoka nimekula! nimeshiba maana ulisha sema nikiwa nakuja nije nimekula nisikusumbue wewe kupika.
Mama akasema mme wangu twende chumba cha wageni nimekisafisha vizuri nataka nikupe mahaba sana leo ufurahi mme wangu
baba akajibu hapana mke wangu chumba cha wageni ni wageni sio mahaba mke wangu yule mwanaume aliekuwa chini ya uvungu uvumilivu ulimshinda ikabidi atoke kisha akava nguo zake haraka haraka; Baba akasema mke wangu huyu mwanaume ndiye mnafanya nae upuuzi ndani kwangu baba akaenda kufunga mlango
Usikose ya 22
SEHEMU YA 22.
Mama akamwambia awala yake "kimbia kabla
hajaamka mme wangu ana nguvu!" Kipindi yule kaka anataka kufungua
mlango aweze kukimbia baba alijikaza akaamka kwa nguvu kisha akampiga teke yule
kaka! Ndipo yule kaka akaangukia kwenye kabati mpaka kabati likaangukia
chini!
Dooh! Kumbe nyuma ya kabati kulikuwa na tunguli ambalo damu ya baba ilikuwa imewekwa baba akauliza hicho nini mbona kama mizimu? mke wake akasema hapana mme wangu! Baba akauliza tena kumbe mwanangu alisema ukweli wewe ni mchawi sio? Mama akasema hapana nisamee mme wangu! Baba akakipasua kile kitunguli! palepale damu zikamwagika chini ndipo baba akili zake zikamuijia akawa sawa palepale! Akashangaa sana akauliza we dada malaya! mke wangu na mtoto wako wapi? Na umefata nini humu chumbani? Usikose sehemu ya 23
Baba alipo funga mlango, akamkamata mkono yule kaka kisha akampiga kofi shavuni! mama akasema mme wangu muache unamuumiza! Baba akamuuliza "kwahiyo mimi na yeye nani bora" mama akasema "msamee jamani" yule kaka alikuwa kashikiliwa mkono wake na baba yani kwamba ata kuchomoka asinge weza ilikuwa ngumu! Mama alikuwa anampenda yule kaka! maana alikuwa mda mwingi analidhika kwa mapenzi moto moto anayo mpa kipindi baba akiwa kazini, Hivyo alisikitika baba alivyo mpiga teke la kumkata miguu aanguke! Mama akasema mme wangu jamani muache! mama akaanza kulia kwa hisia, Yule kaka akachukia sana akasema "jamani nihurumieni sitarudia tena kuja kwako, mke wako ndiye alinilazimisha! mimi nilikataa akanilazimisha akisema kwamba hauwezi kutufumania" baba hakumuachia akasema "lazima ufe hivi unajua nikiasi gani cha pesa namuhudumia huyu mke wangu we unakula tu kiwepesi wepesi" mama alipo sikia kuwa baba anasema kwamba lazima afe alichomeka pasi kwenye umeme! kipindi bado baba ameangalia kwa mbele akiwa amemkaba shingo yule mkaka pasi ilivyo pata moto mama akaongeza moto mkali tena! Kisha akachukua ile pasi ikiwa na moto mkali sana jamani! pasi uliyochomekwa kwenye soketi ya umeme mama akamtundikia baba sikioni ile pasi! Dooh baba alipiga kelele akamuachia yule kaka alisikia maumivu makali sana akaanguka chini kabisa akisema "mke wangu kwanini unanichoma jamani" machozi yakiwa yanamtoka sana baba.
Dooh! Kumbe nyuma ya kabati kulikuwa na tunguli ambalo damu ya baba ilikuwa imewekwa baba akauliza hicho nini mbona kama mizimu? mke wake akasema hapana mme wangu! Baba akauliza tena kumbe mwanangu alisema ukweli wewe ni mchawi sio? Mama akasema hapana nisamee mme wangu! Baba akakipasua kile kitunguli! palepale damu zikamwagika chini ndipo baba akili zake zikamuijia akawa sawa palepale! Akashangaa sana akauliza we dada malaya! mke wangu na mtoto wako wapi? Na umefata nini humu chumbani? Usikose sehemu ya 23
Baba alipo funga mlango, akamkamata mkono yule kaka kisha akampiga kofi shavuni! mama akasema mme wangu muache unamuumiza! Baba akamuuliza "kwahiyo mimi na yeye nani bora" mama akasema "msamee jamani" yule kaka alikuwa kashikiliwa mkono wake na baba yani kwamba ata kuchomoka asinge weza ilikuwa ngumu! Mama alikuwa anampenda yule kaka! maana alikuwa mda mwingi analidhika kwa mapenzi moto moto anayo mpa kipindi baba akiwa kazini, Hivyo alisikitika baba alivyo mpiga teke la kumkata miguu aanguke! Mama akasema mme wangu jamani muache! mama akaanza kulia kwa hisia, Yule kaka akachukia sana akasema "jamani nihurumieni sitarudia tena kuja kwako, mke wako ndiye alinilazimisha! mimi nilikataa akanilazimisha akisema kwamba hauwezi kutufumania" baba hakumuachia akasema "lazima ufe hivi unajua nikiasi gani cha pesa namuhudumia huyu mke wangu we unakula tu kiwepesi wepesi" mama alipo sikia kuwa baba anasema kwamba lazima afe alichomeka pasi kwenye umeme! kipindi bado baba ameangalia kwa mbele akiwa amemkaba shingo yule mkaka pasi ilivyo pata moto mama akaongeza moto mkali tena! Kisha akachukua ile pasi ikiwa na moto mkali sana jamani! pasi uliyochomekwa kwenye soketi ya umeme mama akamtundikia baba sikioni ile pasi! Dooh baba alipiga kelele akamuachia yule kaka alisikia maumivu makali sana akaanguka chini kabisa akisema "mke wangu kwanini unanichoma jamani" machozi yakiwa yanamtoka sana baba.
Usikose ya 23
SEHEMU YA 23.
Baba alisikitika pale alipo kuta mke wake hayupo na
mimi mtoto wake sipo kwake maana alikuwa anatupenda sana; Baba akamuuliza
mama kwamba, we mwanamke kwanini upo ndani kwangu? Mama hakujibu! Baba akasema
Nakuuliza ebu nijibu? Baba akasema tena ujue nahisi kama naota vile maana
sielewi kabisa! Hivi jamani We mwanamke ulieshindikana mtaa mzima kila mtu
anakujua ulivyo na tabia za kubadilisha wanaume inakuwaje leo upo chumbani
kwangu! Baba akaanza kulia maana hakuelewa kinacho endelea! Akasema tena naomba
unipe mtoto wangu maana ndiye mmoja tu niliepewa na mungu sikuwa na uwezo tena
wa kuzaa zaidi ya kijana wangu mmoja tu Nirudishie kijana wang; mama akajibu
nisamee mme wangu!
Weee!! Baba akampiga kofi zito sana; kisha akamwambia naomba usirudie kuniita mmeo ushindwe; Naitaka familia yangu naamini nitaipata tu!
Mke wa baba akasema "kama hunitaki naondoka" baba akasema sawa ondoka sikutaki kisha akamtolea vitu vyake vyote nje.
Baba akajiuliza inawezekanaje nimeishi na huyu changudoa! hapana siamini lazima umeniloga lazima umenichezea akili wewe! Baba akapiga nduru akasema alafu sura yangu nitaificha wapi mimi! maana mtaa mzima unakujua tabia yako ilivyo.
inakuwaje mimi nimefukuza familia yangu nzima kwajili yako.
Mke wa baba alikuwa hana cha kusema hivyo akafukuzwa kutoka pale kisha akaanza kuzunguka mtaani maana hakuwa na pakukaa.
Ndipo baba akatoka haraka haraka ndani kisha akaenda kwa ndugu zake, ili kuangalia kama walimtunzia mke wake na mtoto wake ambae ndiye mimi.
Baba alipo fika alimkuta kaka yake akamuuliza "samahani kaka jamani mimi nahisi kama naota, nahisi sielewi, yani sikumbuki chochote kuhusu familia yangu, na nimekuja kumuulizia mke wangu labda unaweza ukawa unaishi nae hapa" baba amkubwa kabla ya kumjibu machozi yalimtoka akatoa kitambaa na kijifuta usoni kisha akamwambia kuwa "mdogo wangu ulinifukuza kwako ukasema nisikanyage tena! ukamfukuza mke wako na akabakwa na vijana usiku, akaishi maisha magumu sana mpaka akaugua akafaliki,
ulimfukuza mama yetu alie kuzaa! kisa mkeo
hata hivyo tulikusamee maana tulijua ni mapito lakini tulishangaa sana ulivyo mpeleka mtoto wako kwa mikono yako,kituo cha police ukitaka afungwe na achapwe kila mda.
Weee!! Baba akampiga kofi zito sana; kisha akamwambia naomba usirudie kuniita mmeo ushindwe; Naitaka familia yangu naamini nitaipata tu!
Mke wa baba akasema "kama hunitaki naondoka" baba akasema sawa ondoka sikutaki kisha akamtolea vitu vyake vyote nje.
Baba akajiuliza inawezekanaje nimeishi na huyu changudoa! hapana siamini lazima umeniloga lazima umenichezea akili wewe! Baba akapiga nduru akasema alafu sura yangu nitaificha wapi mimi! maana mtaa mzima unakujua tabia yako ilivyo.
inakuwaje mimi nimefukuza familia yangu nzima kwajili yako.
Mke wa baba alikuwa hana cha kusema hivyo akafukuzwa kutoka pale kisha akaanza kuzunguka mtaani maana hakuwa na pakukaa.
Ndipo baba akatoka haraka haraka ndani kisha akaenda kwa ndugu zake, ili kuangalia kama walimtunzia mke wake na mtoto wake ambae ndiye mimi.
Baba alipo fika alimkuta kaka yake akamuuliza "samahani kaka jamani mimi nahisi kama naota, nahisi sielewi, yani sikumbuki chochote kuhusu familia yangu, na nimekuja kumuulizia mke wangu labda unaweza ukawa unaishi nae hapa" baba amkubwa kabla ya kumjibu machozi yalimtoka akatoa kitambaa na kijifuta usoni kisha akamwambia kuwa "mdogo wangu ulinifukuza kwako ukasema nisikanyage tena! ukamfukuza mke wako na akabakwa na vijana usiku, akaishi maisha magumu sana mpaka akaugua akafaliki,
ulimfukuza mama yetu alie kuzaa! kisa mkeo
hata hivyo tulikusamee maana tulijua ni mapito lakini tulishangaa sana ulivyo mpeleka mtoto wako kwa mikono yako,kituo cha police ukitaka afungwe na achapwe kila mda.
Usikose ya #24
SEHEMU YA 24.
Baba alilia akasema "hapana kaka mimi sijafanya
hivyo kaka, akasema ohh! jamani nitakuwa mgeni wa nani mimi" baba mkubwa
akasema, "maneno niliyo kwambia yanatosha mdogo wangu maana nikizidisha
unaweza kulia mpaka ukatoa kamasi! Kwa sababu, yani wewe sio wa kukataa kumzika
mke wako wakati unajua alikuwa yatima! Hana baba, hana mama, wala hana ndugu
yoyote yule!
Wewe ndo ulikuwa tegemezi lake"
Baba akasema kaka unanisingizia mimi siwezi kumkana mke wangu kabisa siwez kukataa kumzika kaka! Baba mkubwa akamwambia "kama unabisha muulize mtu yoyote mtaani au muulize ata mtoto mdogo toyote anajua kuwa ulimkataa mke wako na mtoto!
" Baba alishika kichwa kisha akasema lazima nimuue yule malaya awezi kunialibia maisha yangu bila sababu
Baba mkubwa akasema "mdogo wangu nenda ukamuombe mapema msamaha mama, kabla ajafa maana ulipo mfukuza kwako alikulahani sana na anakuchukia sana hivyo kamuombe msamaha nyumbani maana nimgonjwa sana. akifaliki atakuachia lahana kubwa sana! Baba alikimbia kupanda gari mpaka kwa bibi ili aweze kusamehewa na mama yake! Ila alipo fika nyumbani masikini ya mungu alikuta watu wengi sana! Alipatwa na wasiwasi akauliza, doh alisikitika kusikia mama yake kafariki sababu ya pesa kukosekana kwajili ya matibabu na wakati baba alikuwa na pesa
ila alimpatia mke wake kila alipo pata pesa lakini mke wake alikuwa akizitumia vibaya kwa kuonga wanaume na kwenda starehe za kila aina.
Baada ya mazishi kuisha baba akaamua kwenda kumtafuta mama angu wa kambo ili amuulize vizuri ilikuwaje mpaka akamfanya vile,
Maana baba aliumia sana moyoni, lakini tayali mke wake alikuwa ameanza kujiusisha na biashala ya kujiuza ili aweze kukidhi maitaji yake! maana alikuwa hana sehemu yoyote ya kupata msaada.
Baba alipo fatilia kiundani aliambiwa kuwa "siku moja alikuwa amelewa sana kwenye Bar, kipindi hicho amekunywa sana Bia, yule mke wake alikuwa anajiuza na alikuwa anajiusisha na mambo ya kishilikina pia,
hivyo kipindi baba anaenda nyumbani! aliyumba na kujikwaa akaumia damu nyingi zilimtoka kwenye kiganja chake akiwa chini maana pande la chupa lilimkata
Akaambiwa ndipo Mkeo akachukua damu yako bila wewe kujua, kisha akakufanyia mazingala ukampenda na kumkana mkeo"
Wewe ndo ulikuwa tegemezi lake"
Baba akasema kaka unanisingizia mimi siwezi kumkana mke wangu kabisa siwez kukataa kumzika kaka! Baba mkubwa akamwambia "kama unabisha muulize mtu yoyote mtaani au muulize ata mtoto mdogo toyote anajua kuwa ulimkataa mke wako na mtoto!
" Baba alishika kichwa kisha akasema lazima nimuue yule malaya awezi kunialibia maisha yangu bila sababu
Baba mkubwa akasema "mdogo wangu nenda ukamuombe mapema msamaha mama, kabla ajafa maana ulipo mfukuza kwako alikulahani sana na anakuchukia sana hivyo kamuombe msamaha nyumbani maana nimgonjwa sana. akifaliki atakuachia lahana kubwa sana! Baba alikimbia kupanda gari mpaka kwa bibi ili aweze kusamehewa na mama yake! Ila alipo fika nyumbani masikini ya mungu alikuta watu wengi sana! Alipatwa na wasiwasi akauliza, doh alisikitika kusikia mama yake kafariki sababu ya pesa kukosekana kwajili ya matibabu na wakati baba alikuwa na pesa
ila alimpatia mke wake kila alipo pata pesa lakini mke wake alikuwa akizitumia vibaya kwa kuonga wanaume na kwenda starehe za kila aina.
Baada ya mazishi kuisha baba akaamua kwenda kumtafuta mama angu wa kambo ili amuulize vizuri ilikuwaje mpaka akamfanya vile,
Maana baba aliumia sana moyoni, lakini tayali mke wake alikuwa ameanza kujiusisha na biashala ya kujiuza ili aweze kukidhi maitaji yake! maana alikuwa hana sehemu yoyote ya kupata msaada.
Baba alipo fatilia kiundani aliambiwa kuwa "siku moja alikuwa amelewa sana kwenye Bar, kipindi hicho amekunywa sana Bia, yule mke wake alikuwa anajiuza na alikuwa anajiusisha na mambo ya kishilikina pia,
hivyo kipindi baba anaenda nyumbani! aliyumba na kujikwaa akaumia damu nyingi zilimtoka kwenye kiganja chake akiwa chini maana pande la chupa lilimkata
Akaambiwa ndipo Mkeo akachukua damu yako bila wewe kujua, kisha akakufanyia mazingala ukampenda na kumkana mkeo"
Usikose ya 25
SEHEMU
YA 25.
Baada ya baba kugundua na kuambiwa
yale maneno aliishiwa nguvu kabisa! Akasema kuwa "Hee marehemu mke wangu
nisamee popote ulipo jamani, ehhh mama yangu mzazi pia nisamee mwanao
nilikukosea, huku chozi likimtoka sana baba akasema sio mimi jamani ni pombe tu
na uchawi wawatu wasiopenda maendeleo ya watu ndo ulinifanya niwe mbaya kwenu,
ehh mama yangu nisamehe. Baba akasema mtoto wangu popote ulipo kama ujafa au
kama mzima nisamehe baba yako nakutafuta jamani.
Baba aliamua kuwa mpole ingawa jamii ilikuwa inamtenga na aliogopwa ata na watoto wadogo " maana walishangaa alivyo nifukuza mimi rafiki yao ambae ni mtoto wake"
Baba aliamua kuweka kikao cha kuomba msamaha kwa ndugu zake ili waweze kumjali na kumtembelea maana mkewe alikuwa tayali kawafukuza ndugu zake wote! Ndugu na jamaa walimsamee! Shangazi alikuwa na mtoto akamuomba baba akae nae maana baba alikuwa hana ndugu yoyote na alikuwa anakaa mwenyewe kwake baada ya mke wake kuondoka.
Baba aliendelea kupambana na kazi zake maana alikuwa mpambanaji sana, lakini masikini offisi ilimtumia barua ya kumsimamisha kazi!
Baba alilia kama mtoto maana alikuwa hana akiba ata ya shilingi mia moja ndani! maana mke wake pesa zote alizitumia kwa starehe.
Baba akaenda kuomba msamaha na kuuliza kwanini wanamuachisha kazi jamani! walimzuia asiingie ndani! Baba alirudi nyumbani akamwambia mtoto wa shangazi kuwa! mtu asiingie ndani awe mwangalifu kisha baba akapanda pikipiki haraka kwenda kumwambia kaka ake mambo yaliyo mkuta ya kuachishwa kazi kipindi yupo barabarani dereva alikimbiza sana na alikosea kunyoosha pikipiki bahati mbaya wakayumba na kudondoka mtaloni! Baba alikuwa amevaa elementi! dereva alikuwa hajavaa chochote kichwani dereva alifaliki palepale ulimi ukamtoka nje kabisa, Baba alivunjika mguu na kuzilai! Alipo pelekwa hospital madaktali hawakuwa na jinsi zaidi ya kumkata mguu wake.
kipindi baba anaanza kupata nafuu ya ulema! akapigiwa simu kuwa mtoto wa shangazi alikuwa anachezea moto ndani hivyo godoro likashika moto na kuunguza nyumba nzima na kila kitu chake ndani; Baba alilia maana alipoteza kazi na mguu wake pia na nyumba doh!
Baba akawa kilema masikini ndipo akaanza sasa kuombaomba msaada mtaani.
Baba aliamua kuwa mpole ingawa jamii ilikuwa inamtenga na aliogopwa ata na watoto wadogo " maana walishangaa alivyo nifukuza mimi rafiki yao ambae ni mtoto wake"
Baba aliamua kuweka kikao cha kuomba msamaha kwa ndugu zake ili waweze kumjali na kumtembelea maana mkewe alikuwa tayali kawafukuza ndugu zake wote! Ndugu na jamaa walimsamee! Shangazi alikuwa na mtoto akamuomba baba akae nae maana baba alikuwa hana ndugu yoyote na alikuwa anakaa mwenyewe kwake baada ya mke wake kuondoka.
Baba aliendelea kupambana na kazi zake maana alikuwa mpambanaji sana, lakini masikini offisi ilimtumia barua ya kumsimamisha kazi!
Baba alilia kama mtoto maana alikuwa hana akiba ata ya shilingi mia moja ndani! maana mke wake pesa zote alizitumia kwa starehe.
Baba akaenda kuomba msamaha na kuuliza kwanini wanamuachisha kazi jamani! walimzuia asiingie ndani! Baba alirudi nyumbani akamwambia mtoto wa shangazi kuwa! mtu asiingie ndani awe mwangalifu kisha baba akapanda pikipiki haraka kwenda kumwambia kaka ake mambo yaliyo mkuta ya kuachishwa kazi kipindi yupo barabarani dereva alikimbiza sana na alikosea kunyoosha pikipiki bahati mbaya wakayumba na kudondoka mtaloni! Baba alikuwa amevaa elementi! dereva alikuwa hajavaa chochote kichwani dereva alifaliki palepale ulimi ukamtoka nje kabisa, Baba alivunjika mguu na kuzilai! Alipo pelekwa hospital madaktali hawakuwa na jinsi zaidi ya kumkata mguu wake.
kipindi baba anaanza kupata nafuu ya ulema! akapigiwa simu kuwa mtoto wa shangazi alikuwa anachezea moto ndani hivyo godoro likashika moto na kuunguza nyumba nzima na kila kitu chake ndani; Baba alilia maana alipoteza kazi na mguu wake pia na nyumba doh!
Baba akawa kilema masikini ndipo akaanza sasa kuombaomba msaada mtaani.
usikose #26
SEHEMU YA 26.
Maisha ya baba yalikuwa magumu sana
na hakuwa na msaada wa kifedha ata kidogo maana ata ndugu zake hawakuwa na pesa
kivile za kuweza kumtunza na kumpa baba kila alicho itaji, hivyo baba hakuwa na
njia nyingine ya kujitafutia riziki maana kila alipo enda kuomba kazi hakupata
kazi, walimwambia "usilie kaka kazi tungekupa lakini tatizo ni ulemavu wako
tu" baba alijiona takataka, akajiona hana bahati kabisa duniani,
akaona bora aendelee kuombaomba ata miamia barabarani apate japo hela ya kula.
Siku moja tukiwa tunatoka "super market" mimi na mdogo wangu wa kike tunaelekea nyumbani, mdogo wangu akasema "kaka twende kuwapa wale walemavu hela kidogo tulizo baki nazo waweze kutumia na wao labda hawajala masikini" mimi sikuwa na hela yoyote mfukoni, nikamwambia "wewe nenda ukawape mimi nakusubilia hapa " mdogo wangu akasema kaka mimi sina hela nyingi naenda kumpa mmoja tu pale; nilimsubilia, kumbe mdogo wangu alienda moja kwa moja mpaka kwa baba yangu anapo ombea msaada sehemu ambayo baba yangu anakaa akamkuta baba analia mdogo wangu akamuonea huruma akampatia baba hela, Cha kushangaza mdogo wangu aliwaacha watu wote akampatia baba bila kujua kama yule ni baba yangu masikini; mimi sikujua kama baba yangu yuko pale nilijua bado yupo na mama wanakula maisha maana walinifukuza kwao.
Mama yangu wa kambo aliendelea na biashala zake za kujiuza lakini alichoka maana serikali ilikuwa hairuhusu hivyo, wadada wote wanao jiuza walikuwa wanakamatwa na polisi na kupelekwa kituoni kila siku wanatoa faini! hivyo akaona bora aache hiyo kazi, ata hivyo mama yangu wa kambo alikuwa amepata pesa kidogo akaona ni bora aanzishe genge lake ili aanze kujishugulisha na uuzaji wa nyanya na mbogamboga mtaani;
Biashala za mama ziligoma pia akakosa ata mia moja ndani, siku moja mama alikosa pesa kabisa hivyo akaenda sehemu za kuombea msaada akijifanya mgonjwa,
kipindi amekaa amejifunika kanga, usoni ameweka Tsh50 chini ya kibakuli chake watu walikuwa wanampita tu mama bila kumpa msaada, mama alivyo geuza kichwa upande mwingine alishangaa sana kumuona mme wake akiwa hana mguu anaomba msaada! Mama alishtuka sana ila baba alikuwa bado hajamuona.
Mama akaona bora atoroke haraka haraka;
Siku moja tukiwa tunatoka "super market" mimi na mdogo wangu wa kike tunaelekea nyumbani, mdogo wangu akasema "kaka twende kuwapa wale walemavu hela kidogo tulizo baki nazo waweze kutumia na wao labda hawajala masikini" mimi sikuwa na hela yoyote mfukoni, nikamwambia "wewe nenda ukawape mimi nakusubilia hapa " mdogo wangu akasema kaka mimi sina hela nyingi naenda kumpa mmoja tu pale; nilimsubilia, kumbe mdogo wangu alienda moja kwa moja mpaka kwa baba yangu anapo ombea msaada sehemu ambayo baba yangu anakaa akamkuta baba analia mdogo wangu akamuonea huruma akampatia baba hela, Cha kushangaza mdogo wangu aliwaacha watu wote akampatia baba bila kujua kama yule ni baba yangu masikini; mimi sikujua kama baba yangu yuko pale nilijua bado yupo na mama wanakula maisha maana walinifukuza kwao.
Mama yangu wa kambo aliendelea na biashala zake za kujiuza lakini alichoka maana serikali ilikuwa hairuhusu hivyo, wadada wote wanao jiuza walikuwa wanakamatwa na polisi na kupelekwa kituoni kila siku wanatoa faini! hivyo akaona bora aache hiyo kazi, ata hivyo mama yangu wa kambo alikuwa amepata pesa kidogo akaona ni bora aanzishe genge lake ili aanze kujishugulisha na uuzaji wa nyanya na mbogamboga mtaani;
Biashala za mama ziligoma pia akakosa ata mia moja ndani, siku moja mama alikosa pesa kabisa hivyo akaenda sehemu za kuombea msaada akijifanya mgonjwa,
kipindi amekaa amejifunika kanga, usoni ameweka Tsh50 chini ya kibakuli chake watu walikuwa wanampita tu mama bila kumpa msaada, mama alivyo geuza kichwa upande mwingine alishangaa sana kumuona mme wake akiwa hana mguu anaomba msaada! Mama alishtuka sana ila baba alikuwa bado hajamuona.
Mama akaona bora atoroke haraka haraka;
Usikose 27
SEHEMU YA 27.
Mama
hakuweza kuamini kabisa kama mme wake anaweza kuwa kilema, hakuweza kuamini
kama mme wake anaweza kuwa ombaomba, maana alimuacha akiwa kwenye nyumba safi
na kazi yake nzuri! Mama Aliona aibu hivyo alikimbia sana akasahau ata bakuli
lake na tsh 50 iliyo kuwemo.
Kweli "Malipo ni hapa hapa duniani" kipindi mama anaondoka alitembea barabarani bila kijielewa.
Ndipo akaenda kukaa sitendi ya mabasi yaendayo mikoani! Alimuomba kaka mmoja hela ya kula akisema "kaka yangu nisaidie pesa kidogo nikale" akajibiwa "we dada acha hizo bhana mjini pesa hazitoki kiulaini hivyo, twende kwangu ukale uoge tulale nikulipe hela" kwa sababu mama alikuwa mzoefu katika biashala za kujiuza hivyo hakuwa muoga akakubali,
kweli walipo fika nyumbani alinunuliwa chakula aina ya (chips yai) mama alikula akaoga akaomba apumzike yule kaka akasema "sikusema uje upumzike hapa nilisema tulale yani tufanye kabisa tendo!" Mama akamwambia "basi nenda ukanunue kinga tulinde afya zetu" kaka akasema sawa ndipo akatoka kwenda duka la madawa kuulizia
Alipo rudi akakuta mama hayupo tena kaiba hela kwenye droo ya kitanda na simu yake pia!
Yule kaka alichanganyikiwa akazitupa chini zile kinga akakaa kitandani akajutia kuleta watu asio wafahamu kwake
Kipindi yule kaka amekaa na vijana wenzake mtaani akamuona mama anapita akawambia "oya yule dada siku moja nimemleta kwangu akaiba hela akaiba simu yangu alafu akatoroka ndani" wakasema "lazima ajute leo" vijana walikuwa 9 kwa idadi.
Mama wakati anapita ameshikilia chakula wawili walienda na kumkamata. mdomo wake wakaujaza karata walizo kuwa wakicheza akawa awezi kupiga kelele walimbaka mama bila ata kutumia kinga vijana tisa! mama alijaribu kuvumilia maana alikuwa amezoea kujiuza lakini alishindwa maana kipindi anajiuza alitumia madawa ya kulevya ili asisikie uchovu ila hapa walimbaka hivyohivyo tena vijana walikuwa wachafu sana hivyo mama akapata magonjwa ya zinaa! mama alibaki pale mtaani mwenyewe nguo zake zikiwa zimechanwa.
kipindi watu asubui wanaenda kazini walimkuta mama akiwa analia akiwa uchi wakamuuliza tatizo nini
akajibu "nilibakwa usiku " wakamuuliza kwako wapi? Akasema jamani sina sehemu ya kuishi!
Dada mmoja akasema mimi
Usikose # 28
Kweli "Malipo ni hapa hapa duniani" kipindi mama anaondoka alitembea barabarani bila kijielewa.
Ndipo akaenda kukaa sitendi ya mabasi yaendayo mikoani! Alimuomba kaka mmoja hela ya kula akisema "kaka yangu nisaidie pesa kidogo nikale" akajibiwa "we dada acha hizo bhana mjini pesa hazitoki kiulaini hivyo, twende kwangu ukale uoge tulale nikulipe hela" kwa sababu mama alikuwa mzoefu katika biashala za kujiuza hivyo hakuwa muoga akakubali,
kweli walipo fika nyumbani alinunuliwa chakula aina ya (chips yai) mama alikula akaoga akaomba apumzike yule kaka akasema "sikusema uje upumzike hapa nilisema tulale yani tufanye kabisa tendo!" Mama akamwambia "basi nenda ukanunue kinga tulinde afya zetu" kaka akasema sawa ndipo akatoka kwenda duka la madawa kuulizia
Alipo rudi akakuta mama hayupo tena kaiba hela kwenye droo ya kitanda na simu yake pia!
Yule kaka alichanganyikiwa akazitupa chini zile kinga akakaa kitandani akajutia kuleta watu asio wafahamu kwake
Kipindi yule kaka amekaa na vijana wenzake mtaani akamuona mama anapita akawambia "oya yule dada siku moja nimemleta kwangu akaiba hela akaiba simu yangu alafu akatoroka ndani" wakasema "lazima ajute leo" vijana walikuwa 9 kwa idadi.
Mama wakati anapita ameshikilia chakula wawili walienda na kumkamata. mdomo wake wakaujaza karata walizo kuwa wakicheza akawa awezi kupiga kelele walimbaka mama bila ata kutumia kinga vijana tisa! mama alijaribu kuvumilia maana alikuwa amezoea kujiuza lakini alishindwa maana kipindi anajiuza alitumia madawa ya kulevya ili asisikie uchovu ila hapa walimbaka hivyohivyo tena vijana walikuwa wachafu sana hivyo mama akapata magonjwa ya zinaa! mama alibaki pale mtaani mwenyewe nguo zake zikiwa zimechanwa.
kipindi watu asubui wanaenda kazini walimkuta mama akiwa analia akiwa uchi wakamuuliza tatizo nini
akajibu "nilibakwa usiku " wakamuuliza kwako wapi? Akasema jamani sina sehemu ya kuishi!
Dada mmoja akasema mimi
Usikose # 28
SEHEMU YA 28.
Mama
alisaidiwa na yule dada kwa kila jambo! akaishi vizuri tu.
Siku moja mimi niliamua kwenda nyumbani kwetu maana nilitamani sana kumuona baba ingawa alinitupa lakini "damu nzito kuliko maji"
Nilisikitika sana nilivyo kuta nyumba yetu imeungua yote nilikuwa nimeenda na gari maana tayari nilikuwa nimekuwa kijana mkubwa hivyo gari za nyumbani nilikuwa naendesha mda wowote ule sikushuka nje ya gari maana nilijua tayari siwezi kumpata baba yangu.
Ila baba yangu alikuwa na nyota pia maana alikuwa akipata msaada kushinda wale omba omba wengine.
Siku moja baba amekusanya karibia kama elfu 50, mda huo omba omba wenzake hawajakusanya kitu chochote.
Walimpiga baba na kumnyang'anya pesa zote wakisema kuwa "we baba tangu uje hapa wenzako hatupati hela unatubania riziki bwana" baba alilia akiwa na mguu mmoja "jamani msininyan'ganye hela zangu" watu walijaa sana pale. wakawazunguka wagonvi mimi pia nilikuwa napita maeneo yale sikujua kama baba ndiye anapigana na watu masikini na ata sikutaka kuchungulia kuna nini kinaendelea nilipita tu!
kumbe ningejua ningemsaidia baba labda asingeumia na kupata alama kubwa usoni mwake.Nilivyo fika nyumbani nikamkuta mama Daniel katoka mkoani maana alikuwa na biashala zake akizifanya hivyo alikuwa anaweza kukaa ata mwaka mzima bila kurudi nyumbani
Nilimsalimia mama daniel na nikamuuliza hali ya atokako ila nilishangaa sana kuona hanijibu
Bali ananitazama macho yangu kihisia vile, sikutaka kujua anacho kiitaji ila nilihisi labda alikuwa amelewa siku hiyo mpaka macho yake yakalegea.
Mama yangu wa kambo aliendelea kukaa kwa yule dada mpaka akawa rafiki yake mkubwa wakaaminiana sana.
mama aliendelea kupendeza kwa nguo alizo kuwa akinunuliwa na yule dada mpaka vijana wakaanza kumtamani bila kujua kuwa mama ni mwasilika.
Mme wake yule dada alie msaidia mama akaanza kumtamani mama sababu alipendeza kuzidi ata mkewe.
Siku moja Mume wa rafiki wa mama akawai kutoka kazini akarudi nyumbani akijua kuwa mke wake awezi kurudi nyumbani mda huo, Alimuita mama chumbani kwake akamshikisha laki tatu mkononi akimwambia, "naomba tufanye mapenzi ila mke wangu asijue na mimi nitakuwa nakupa pesa na nitakutunza kama mke wangu humu ndani! Mama akasema....
Siku moja mimi niliamua kwenda nyumbani kwetu maana nilitamani sana kumuona baba ingawa alinitupa lakini "damu nzito kuliko maji"
Nilisikitika sana nilivyo kuta nyumba yetu imeungua yote nilikuwa nimeenda na gari maana tayari nilikuwa nimekuwa kijana mkubwa hivyo gari za nyumbani nilikuwa naendesha mda wowote ule sikushuka nje ya gari maana nilijua tayari siwezi kumpata baba yangu.
Ila baba yangu alikuwa na nyota pia maana alikuwa akipata msaada kushinda wale omba omba wengine.
Siku moja baba amekusanya karibia kama elfu 50, mda huo omba omba wenzake hawajakusanya kitu chochote.
Walimpiga baba na kumnyang'anya pesa zote wakisema kuwa "we baba tangu uje hapa wenzako hatupati hela unatubania riziki bwana" baba alilia akiwa na mguu mmoja "jamani msininyan'ganye hela zangu" watu walijaa sana pale. wakawazunguka wagonvi mimi pia nilikuwa napita maeneo yale sikujua kama baba ndiye anapigana na watu masikini na ata sikutaka kuchungulia kuna nini kinaendelea nilipita tu!
kumbe ningejua ningemsaidia baba labda asingeumia na kupata alama kubwa usoni mwake.Nilivyo fika nyumbani nikamkuta mama Daniel katoka mkoani maana alikuwa na biashala zake akizifanya hivyo alikuwa anaweza kukaa ata mwaka mzima bila kurudi nyumbani
Nilimsalimia mama daniel na nikamuuliza hali ya atokako ila nilishangaa sana kuona hanijibu
Bali ananitazama macho yangu kihisia vile, sikutaka kujua anacho kiitaji ila nilihisi labda alikuwa amelewa siku hiyo mpaka macho yake yakalegea.
Mama yangu wa kambo aliendelea kukaa kwa yule dada mpaka akawa rafiki yake mkubwa wakaaminiana sana.
mama aliendelea kupendeza kwa nguo alizo kuwa akinunuliwa na yule dada mpaka vijana wakaanza kumtamani bila kujua kuwa mama ni mwasilika.
Mme wake yule dada alie msaidia mama akaanza kumtamani mama sababu alipendeza kuzidi ata mkewe.
Siku moja Mume wa rafiki wa mama akawai kutoka kazini akarudi nyumbani akijua kuwa mke wake awezi kurudi nyumbani mda huo, Alimuita mama chumbani kwake akamshikisha laki tatu mkononi akimwambia, "naomba tufanye mapenzi ila mke wangu asijue na mimi nitakuwa nakupa pesa na nitakutunza kama mke wangu humu ndani! Mama akasema....
Usikose
ya.#29
SEHEMU YA 29.
Mama alipo shikishwa laki 3 mkononi,
huruma ya kukumbuka fadhila za mke wa huyo mwanaume zikapotea,
mama akawa mwepesi! Akamwambia "mimi naogopa shemeji" uku akionyesha macho ya kukubali!
Shemeji yake alipo mshika mwili wake na kuupapasa! Mama akasema tutumie kinga shemeji maana tayali umeisha nipandisha!
Shemeji akasema "mbona sina kinga hapa kwani kinga za nini" palepale wakaanza kuburudika bila kinga tena mbaya zaidi chumbani mwa rafiki yake, na wakati huo mama alikuwa ni mwasilika wa virusi vya ukimwi! Na mama alijigundua alipo pimwa baada ya kubakwa na wale vijana 9.
mke wa yule mwanaume kipindi yupo ofisini alijihisi kama kichwa kinamuuma, na alipo kula alishangaa sana maana alijin'gata ulimi wake!
Kumbe kweli mme wake alikuwa anasaliti ndoa.
yule mwanaume alifurahia sana ile dhambi walio kuwa wamefanya na akaona utofauti pia kwa kumsifia mama kuwa "unaweza zaidi ya mke wangu" kumbe mwanaume nae akawa amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi siku hiyohiyo masikini.
Mwanamke wake alipo kuja jioni hakugundua kitu chochote! Alicheka vizuri na mama, maana walikuwa marafiki sana! Ila mama alionyesha wasiwasi kidogo siku hiyo na kujutia alicho mfanyia mwenzake
Ilipo fika usiku kipindi yule dada amelala na mmewe alitamani sana kufanya tendo la ndoa siku hiyo, mme wake pia akashiriki nae, ndipo masikini wa mungu yule dada nae akaamishiwa maambukizi ya virusi vilivyo toka kwa rafiki yake ambae ni mama!
Maisha yaliendelea kwenda hakuna alie gundua kuwa kaathirika zaidi ya mama kuitunza siri yake.
Siku moja yule mwanaume aliwai tena kutoka kazini akiaga anafata pesa benki kwajili ya matumizi ya ofisi, kumbe alikuwa anarudi nyumbani ili wafanye tena mapenzi na mama yangu wa kambo
Alipo rudi mama akamwambia,
Mama..shemeji mbona umewai kurudi leo?
Shemeji..nimerudi kwajili yako mpenzi wangu, maana nafurahia sana kila napo kutana na wewe
Mama..mke wako akitukuta je?
Shemeji..hapana usiwe na wasiwasi nimeisha mpanga na awezi kuwai nyumbani bila kunitaarifu.
Mama..sawa shemeji nimekuelewa!
Shemeji..hapana usiniite shemeji, niite jina zuri la mapenzi!
Ndipo wakaingia ndani wakifurahia, wakaenda kuoga chumbani mwa rafiki yake mama
walipo maliza kuoga..#30
mama akawa mwepesi! Akamwambia "mimi naogopa shemeji" uku akionyesha macho ya kukubali!
Shemeji yake alipo mshika mwili wake na kuupapasa! Mama akasema tutumie kinga shemeji maana tayali umeisha nipandisha!
Shemeji akasema "mbona sina kinga hapa kwani kinga za nini" palepale wakaanza kuburudika bila kinga tena mbaya zaidi chumbani mwa rafiki yake, na wakati huo mama alikuwa ni mwasilika wa virusi vya ukimwi! Na mama alijigundua alipo pimwa baada ya kubakwa na wale vijana 9.
mke wa yule mwanaume kipindi yupo ofisini alijihisi kama kichwa kinamuuma, na alipo kula alishangaa sana maana alijin'gata ulimi wake!
Kumbe kweli mme wake alikuwa anasaliti ndoa.
yule mwanaume alifurahia sana ile dhambi walio kuwa wamefanya na akaona utofauti pia kwa kumsifia mama kuwa "unaweza zaidi ya mke wangu" kumbe mwanaume nae akawa amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi siku hiyohiyo masikini.
Mwanamke wake alipo kuja jioni hakugundua kitu chochote! Alicheka vizuri na mama, maana walikuwa marafiki sana! Ila mama alionyesha wasiwasi kidogo siku hiyo na kujutia alicho mfanyia mwenzake
Ilipo fika usiku kipindi yule dada amelala na mmewe alitamani sana kufanya tendo la ndoa siku hiyo, mme wake pia akashiriki nae, ndipo masikini wa mungu yule dada nae akaamishiwa maambukizi ya virusi vilivyo toka kwa rafiki yake ambae ni mama!
Maisha yaliendelea kwenda hakuna alie gundua kuwa kaathirika zaidi ya mama kuitunza siri yake.
Siku moja yule mwanaume aliwai tena kutoka kazini akiaga anafata pesa benki kwajili ya matumizi ya ofisi, kumbe alikuwa anarudi nyumbani ili wafanye tena mapenzi na mama yangu wa kambo
Alipo rudi mama akamwambia,
Mama..shemeji mbona umewai kurudi leo?
Shemeji..nimerudi kwajili yako mpenzi wangu, maana nafurahia sana kila napo kutana na wewe
Mama..mke wako akitukuta je?
Shemeji..hapana usiwe na wasiwasi nimeisha mpanga na awezi kuwai nyumbani bila kunitaarifu.
Mama..sawa shemeji nimekuelewa!
Shemeji..hapana usiniite shemeji, niite jina zuri la mapenzi!
Ndipo wakaingia ndani wakifurahia, wakaenda kuoga chumbani mwa rafiki yake mama
walipo maliza kuoga..#30
SEHEMU YA 30.
Waliingia bafuni wakiwa wamevaa taulo na wote wakiwa
wamevaa nguo za ndani nyeupe tu.
Walipo Maliza kuoga. Wakaongea
Shemeji..mpenzi unanipa raha sana kuzidi mke wangu natamani kumfukuza kabisa.
Mama..hapana usimfukuze na wala asijue, maana bila yeye usinge nijua.
Shemeji..sawa mpenzi wangu nakuhaidi siwezi kukuacha maisha yangu yote, wewe ndiye mwanamke niliye kuwa nikimtaka maisha yangu yote lakini sikumpata, ila namshukuru sana mungu kupitia mke wangu wa ndoa nimempata!
Mama..ata mimi pia nafurahi na ninamshukuru mungu kukufahamu maana unanijari na unanipa mapenzi mpaka naridhika.
Shemeji.. asante sana mpenzi wangu nitaendelea kukupa vitu vizuri uendelee kufurahia kuwa na mimi na husijutie ata kidogo kunifahamu.
Mama.. sawa mpenzi.
Siku hiyo mke wa yule mwanaume alikuwa amesahau vitu vya ofisini nyumbani hivyo akaamua kurudi haraka nyumbani kuvifata maana vilikuwa na umuhimu sana pale kazini.
Alipo mpigia mme wake simu ili amuelezee hiyo taarifa, mwanaume akawa hapokei simu maana aliisahau sebureni,
akawa anachepuka na mama yangu wa kambo chumbani.
Mke wa yule mwanaume alivyo ona mme wake hapokei simu ikabidi aende hivyo hivyo, kumbe nyumbani anapo enda mme wake anachepuka na rafiki yake.
Alivyo fika nyumbani akafungua mlango wa nje.
Alipo ingia ndani akakuta kimya sana, alivyo angalia mezani akakuta simu ya mmewe pale.
Ikabidi ampigie rafiki yake, simu ikaitia palepale sebreni.
Ndipo akaanza kukagua vyumba vya ndani.
Akaanza na chumba cha rafiki yake hakumkuta, alivyo enda chumbani kwake akasikia sauti za mapenzi mlangoni hakuamini kwanza kama ni rafiki yake maana hakuzania kama angeweza kumsaliti na hakufikilia kama mme wake anaweza kumsaliti.
Alichungulia vizuri kwenye tundu la kupitisha funguo maana lilikuwa linaonyesha kitanda kizima.
Alisikitika sana maana alimuona rafiki yake kwa macho yake akiwaa uchi wa mnyama akifanya mapenzi na mmewe. Yule dada Aligonga mlango kwa nguvu sana akisema "fungua haraka fungua mlango" mme wake akaanza kutetemeka
Mama akasema "nilikwambia shemeji kuhusu mke wako! unaona sasa! nitaificha wapi sura yangu jamani.
Shemeji..ehh mungu wangu namwambia nini mke wangu jamani namwambia nini mimi!
Itaendelea...#31
Walipo Maliza kuoga. Wakaongea
Shemeji..mpenzi unanipa raha sana kuzidi mke wangu natamani kumfukuza kabisa.
Mama..hapana usimfukuze na wala asijue, maana bila yeye usinge nijua.
Shemeji..sawa mpenzi wangu nakuhaidi siwezi kukuacha maisha yangu yote, wewe ndiye mwanamke niliye kuwa nikimtaka maisha yangu yote lakini sikumpata, ila namshukuru sana mungu kupitia mke wangu wa ndoa nimempata!
Mama..ata mimi pia nafurahi na ninamshukuru mungu kukufahamu maana unanijari na unanipa mapenzi mpaka naridhika.
Shemeji.. asante sana mpenzi wangu nitaendelea kukupa vitu vizuri uendelee kufurahia kuwa na mimi na husijutie ata kidogo kunifahamu.
Mama.. sawa mpenzi.
Siku hiyo mke wa yule mwanaume alikuwa amesahau vitu vya ofisini nyumbani hivyo akaamua kurudi haraka nyumbani kuvifata maana vilikuwa na umuhimu sana pale kazini.
Alipo mpigia mme wake simu ili amuelezee hiyo taarifa, mwanaume akawa hapokei simu maana aliisahau sebureni,
akawa anachepuka na mama yangu wa kambo chumbani.
Mke wa yule mwanaume alivyo ona mme wake hapokei simu ikabidi aende hivyo hivyo, kumbe nyumbani anapo enda mme wake anachepuka na rafiki yake.
Alivyo fika nyumbani akafungua mlango wa nje.
Alipo ingia ndani akakuta kimya sana, alivyo angalia mezani akakuta simu ya mmewe pale.
Ikabidi ampigie rafiki yake, simu ikaitia palepale sebreni.
Ndipo akaanza kukagua vyumba vya ndani.
Akaanza na chumba cha rafiki yake hakumkuta, alivyo enda chumbani kwake akasikia sauti za mapenzi mlangoni hakuamini kwanza kama ni rafiki yake maana hakuzania kama angeweza kumsaliti na hakufikilia kama mme wake anaweza kumsaliti.
Alichungulia vizuri kwenye tundu la kupitisha funguo maana lilikuwa linaonyesha kitanda kizima.
Alisikitika sana maana alimuona rafiki yake kwa macho yake akiwaa uchi wa mnyama akifanya mapenzi na mmewe. Yule dada Aligonga mlango kwa nguvu sana akisema "fungua haraka fungua mlango" mme wake akaanza kutetemeka
Mama akasema "nilikwambia shemeji kuhusu mke wako! unaona sasa! nitaificha wapi sura yangu jamani.
Shemeji..ehh mungu wangu namwambia nini mke wangu jamani namwambia nini mimi!
Itaendelea...#31
SEHEMU YA 31.
Shemeji yake alimwambia mama akafungue mlango maana
yeye tayali alikuwa kaisha ogopa,
yule dada aliingia ndani akiwa analia sana masikini, mpaka kamasi linamtoka puani kabisa kwa maumivu na uchungu "hama kweli mume wa mtu mchungu" yule dada akasema "rafiki yangu fadhila zote zile, leo unanilipa hivi".
Akamwambia na mme wake "mme wangu hii ndiyo ahadi yetu tulio peana kanisani sio?ya kulala na mwanamke tena mbaya zaidi kwenye kitanda changu"
Huku akiwa analia sana dada wawatu mpaka macho yakabadilika rangi na kuwa mekundu.
Mama yangu alianza kulia akisema "nisamee rafiki yangu sirudii tena kuja chumbani kwako rafiki yangu nisamee shetani na ibilisi kanipitia"
Mme wake akasema "mke wangu hatujafanya chochote kibaya nilikuwa namwambia aniandalie chakula maana leo nimewai kutoka kazini nilijihisi mchovu! nisamee sikukupa taarifa mke wangu.
Yule dada alimpiga kofi chungu sana mme wake! akamwambia ebu angalia hiyo nguo ya ndani uliyo vaa kama ni yako.
Mme wake alivyo jitazama alikuwa hajafunga taulo vizuri na alikuwa amevaa nguo ya ndani ya mama!
kilicho mchanganya ni langi maana zote zilikuwa nyeupe
Na walivaa nguo haraka haraka kwa huoga kuwa wamekamatwa,
mama na yeye alivyo jitazama akakuta amevaa nguo ya ndani ya shemeji yake.
Yule dada machozi yanamtoka akamwambia mme wake "utamuitaje huyu mwanamke ndani akiwa amevaa utupu hivi. Nyie hamjaanza leo mmeanza zamani leo nashukuru mola kanionyesha waziwazi".
Yule dada alikuwa na roho ya huruma sana alimwambia yule mwanamke "Sina cha kukufanya maana tayali umeisha tembea na mume wangu nacho omba chukua nguo zako na kila kitu chako uondoke"
Mama alipiga magoti akasema "nisamee rafiki yangu mme wako alinilazimisha sana mpaka nikajikuta nashawishika sirudii tena rafiki yangu!
Dada akasema..Mme wangu huyu mwanamke nilimkuta sehemu amebakwa! tena mbaya zaidi alibakwa na vijana tisa wa mtaani, nilipo muona hana sehemu ya kuishi nikaona ni bora tukae nae wote hapa! Sasa wewe umetembea nae! una uwakika gani kama ni mzima ki afya na nimekutazama ata kinga hujatumia wewe unasaliti ndoa tu, Mme wake akasema...nisamee mke wangu nakuhaidi siwezi kurudia hivi tena.
Mama akasema nisamee pia rafiki yangu..
Usikose sehemu ya #32
yule dada aliingia ndani akiwa analia sana masikini, mpaka kamasi linamtoka puani kabisa kwa maumivu na uchungu "hama kweli mume wa mtu mchungu" yule dada akasema "rafiki yangu fadhila zote zile, leo unanilipa hivi".
Akamwambia na mme wake "mme wangu hii ndiyo ahadi yetu tulio peana kanisani sio?ya kulala na mwanamke tena mbaya zaidi kwenye kitanda changu"
Huku akiwa analia sana dada wawatu mpaka macho yakabadilika rangi na kuwa mekundu.
Mama yangu alianza kulia akisema "nisamee rafiki yangu sirudii tena kuja chumbani kwako rafiki yangu nisamee shetani na ibilisi kanipitia"
Mme wake akasema "mke wangu hatujafanya chochote kibaya nilikuwa namwambia aniandalie chakula maana leo nimewai kutoka kazini nilijihisi mchovu! nisamee sikukupa taarifa mke wangu.
Yule dada alimpiga kofi chungu sana mme wake! akamwambia ebu angalia hiyo nguo ya ndani uliyo vaa kama ni yako.
Mme wake alivyo jitazama alikuwa hajafunga taulo vizuri na alikuwa amevaa nguo ya ndani ya mama!
kilicho mchanganya ni langi maana zote zilikuwa nyeupe
Na walivaa nguo haraka haraka kwa huoga kuwa wamekamatwa,
mama na yeye alivyo jitazama akakuta amevaa nguo ya ndani ya shemeji yake.
Yule dada machozi yanamtoka akamwambia mme wake "utamuitaje huyu mwanamke ndani akiwa amevaa utupu hivi. Nyie hamjaanza leo mmeanza zamani leo nashukuru mola kanionyesha waziwazi".
Yule dada alikuwa na roho ya huruma sana alimwambia yule mwanamke "Sina cha kukufanya maana tayali umeisha tembea na mume wangu nacho omba chukua nguo zako na kila kitu chako uondoke"
Mama alipiga magoti akasema "nisamee rafiki yangu mme wako alinilazimisha sana mpaka nikajikuta nashawishika sirudii tena rafiki yangu!
Dada akasema..Mme wangu huyu mwanamke nilimkuta sehemu amebakwa! tena mbaya zaidi alibakwa na vijana tisa wa mtaani, nilipo muona hana sehemu ya kuishi nikaona ni bora tukae nae wote hapa! Sasa wewe umetembea nae! una uwakika gani kama ni mzima ki afya na nimekutazama ata kinga hujatumia wewe unasaliti ndoa tu, Mme wake akasema...nisamee mke wangu nakuhaidi siwezi kurudia hivi tena.
Mama akasema nisamee pia rafiki yangu..
Usikose sehemu ya #32
SEHEMU YA 32.
Yule dada aliwasamee wote mama na
mmewe ila akamuonya mme wake sana asirudie kile kitendo! Ikafika hatua yule
mwanamke akawa anatoroka kazini kwake kuja kuangalia kama mme wake anaweza
kurudia kile kitendo, lakini mme wake alishangaa kwanza mke wake alivyo msamee!
na maneno ya mke wake kuwa yule mwanamke alibakwa na vijana tisa yalimfanya mme
wake amuogope mama kabisa.Baada ya week kadhaa mama yangu wa kambo alianza
kuonyesha dalili tofauti sana kwenye mwili wake, kumbe alikuwa kapata ujauzito
wa mme wa yule dada! Kutokana na yule dada kutoroka kazini mala kwa mala kuja
nyumbani akihisi mmewe bado anachepuka offisi iliamua kumuachisha kazi!
Dada alilia sana maana hakuwa na sehemu yoyote ya kupata kazi tena kwa mda ule.
Kipindi yupo nyumbani anawaza sana ni jinsi gani atapata kazi, alikuwa hajagundua kabisa kama mama anaujauzito wa mme wake!
na tumbo la mama likikuwa dogo sana hivyo ilikuwa ngumu kumgundua na ile mimba ilimtuma sana mama kufanya kazi hivyo asingeweza kugundulika mapema maana hakuwa mchovu mchovu ila siku moja mama amebeba ndoo, dada akashangaa kuona tumbo la mama kama kunakitoto kinajigeuza geuza tumboni akamuuliza.. Dada akasema.. best una mimba.
Mama...sina mimba best kweli tena.
Dada..usiogope niambie kama unayo nitakusaidia maana utaangaika
Mama.. nisamee mimi kweli mimba ninayo!
Dada..mimba ya nani?
Mama..best kipindi kile ulipo nifumania mme wako alinipa! Lakini sijamwambia mpaka sasa.
Yule dada alianguka chini akawa amepoteza fahamu! maana yeye kizazi chake kilikuwa mbali! na alikaa mda sana na mmewe bila kushika mimba ila rafiki yake mda mchache tu akapata ujauzito.
Mama akaanza kumpepea yule dada, alipo pata fahamu tu aliishiwa nguvu dada wawatu maana kazi alisha fukuzwa! nyumbani pia ndoa yake inavurugika
Mme wake alipo fika kutoka kazini tu
Akamkalisha chini akamwambia "kwanini umeharibu mipango yetu ya maisha?
Nimefukuzwa kazi sababu yako! Kibaya zaidi umempa mimba huyu rafiki yangu".
Mwanaume alishtuka kusikia kampa mimba mama
hicho kitendo kilimuuma sana akaikataa mimba akisema sio yake!Yule dada akaokoa ndoa yake, akamfukuza mama kwake! Kipindi yule dada anarudi ndani alishangaa sana kukuta mme wake amejiua na kisu#33
Dada alilia sana maana hakuwa na sehemu yoyote ya kupata kazi tena kwa mda ule.
Kipindi yupo nyumbani anawaza sana ni jinsi gani atapata kazi, alikuwa hajagundua kabisa kama mama anaujauzito wa mme wake!
na tumbo la mama likikuwa dogo sana hivyo ilikuwa ngumu kumgundua na ile mimba ilimtuma sana mama kufanya kazi hivyo asingeweza kugundulika mapema maana hakuwa mchovu mchovu ila siku moja mama amebeba ndoo, dada akashangaa kuona tumbo la mama kama kunakitoto kinajigeuza geuza tumboni akamuuliza.. Dada akasema.. best una mimba.
Mama...sina mimba best kweli tena.
Dada..usiogope niambie kama unayo nitakusaidia maana utaangaika
Mama.. nisamee mimi kweli mimba ninayo!
Dada..mimba ya nani?
Mama..best kipindi kile ulipo nifumania mme wako alinipa! Lakini sijamwambia mpaka sasa.
Yule dada alianguka chini akawa amepoteza fahamu! maana yeye kizazi chake kilikuwa mbali! na alikaa mda sana na mmewe bila kushika mimba ila rafiki yake mda mchache tu akapata ujauzito.
Mama akaanza kumpepea yule dada, alipo pata fahamu tu aliishiwa nguvu dada wawatu maana kazi alisha fukuzwa! nyumbani pia ndoa yake inavurugika
Mme wake alipo fika kutoka kazini tu
Akamkalisha chini akamwambia "kwanini umeharibu mipango yetu ya maisha?
Nimefukuzwa kazi sababu yako! Kibaya zaidi umempa mimba huyu rafiki yangu".
Mwanaume alishtuka kusikia kampa mimba mama
hicho kitendo kilimuuma sana akaikataa mimba akisema sio yake!Yule dada akaokoa ndoa yake, akamfukuza mama kwake! Kipindi yule dada anarudi ndani alishangaa sana kukuta mme wake amejiua na kisu#33
SEHEMU YA 33.
Yule dada alilia sana alipo kuta mume wake kajichoma
kisu tumboni na kujiua kabisa jamani! Alishtuka maana hakutegeme kitu kama
hicho, Alilia sana akisema kwanini nilimsaidia yule dada mimi! amenialibia
maisha jamani mda huo akiwa ameshika kichwa cha marehemu mme wake pale sebreni.
Kipindi anageuka kidogo akaona ujumbe mme wake kauandika kwenye karatasi kabla hajafa.
Kwamba
" Mke wangu naomba unisamee kwa kujiondoa uhai mwenyewe, nimeshindwa kuishi maana ningekosa amani na furaha niliyo kuwepo nayo hapo awali sababu ya haibu ya kuvunja ndoa yangu na kutembea na rafiki yako, Nimeona haibu pia kumpa mimba huyo dada wakati bado sijakupa wewe mke wangu wa ndoa.
Nisamee mke wangu Maana nasikitika sana nilipo enda kupima nikakuta tayali rafiki yako ameniambukiza maambukizi ya virusi vya ukimwi! Nisamee sana ni mimi mmeo Samweli maisha mema"
Yule dada alivyo juwa mmewe kaambukizwa na yeye moja kwa moja akajua kaathirika! Alichanachana ile barua kwa hasira akiwa analia kama mtoto majirani walikuja ndani walishangaa kumkuta yule dada kashika kile kisu tumboni kwa mme wake! Ndipo wakakimbia polisi kumshtaki kuwa ameua!
Kweli polisi walipo kuja walimkamata yule dada kwa nguvu na kumvika pingu mikononi.
Alilia akisema" jamani sijaua mimi sijaua jamani" hawakumuelewa kabisa ata kidogo.
dada alikosa ushahidi maana ile barua mmewe aliyo andika yeye aliichanachana kwa hasila alipo maliza kuisoma hivyo hakuwa na ushahidi wowote
Ndugu zake yule mwanaume walilalamika sana na kumshtaki yule mwanamke eti,
"wewe umemuua kaka yetu ili ubaki na mali, sasa mali hupati na unaozea jela"
Yule Dada akawajibu "sijaua jamani"
mahakama ikafatilia kazini kwa yule
dada.
bosi wa ofisi akawambia "tulimfukuza kazi huyu dada maana alikuwa anatoroka mala kwa mala kwenda nyumbani! nazani ndiyo alikuwa anafanya mipango na mikakati ya kumuua mmewe"
Ndipo yule dada akakamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha mkoa wa "Tantala"
Mama aliangaika sana na ile mimba mtahani! Na maisha yalikuwa magumu sana kwake hivyo akaamua ameze dawa ya kutoa mimba asiweze kuendelea kuteseka!
Mama alimeza dawa mimba ikafa lakini bahati mbaya katoto kakawa kagumu kutoka tumboni! Mpaka harufu ikaanza kumtoka mwilini.#34
Kipindi anageuka kidogo akaona ujumbe mme wake kauandika kwenye karatasi kabla hajafa.
Kwamba
" Mke wangu naomba unisamee kwa kujiondoa uhai mwenyewe, nimeshindwa kuishi maana ningekosa amani na furaha niliyo kuwepo nayo hapo awali sababu ya haibu ya kuvunja ndoa yangu na kutembea na rafiki yako, Nimeona haibu pia kumpa mimba huyo dada wakati bado sijakupa wewe mke wangu wa ndoa.
Nisamee mke wangu Maana nasikitika sana nilipo enda kupima nikakuta tayali rafiki yako ameniambukiza maambukizi ya virusi vya ukimwi! Nisamee sana ni mimi mmeo Samweli maisha mema"
Yule dada alivyo juwa mmewe kaambukizwa na yeye moja kwa moja akajua kaathirika! Alichanachana ile barua kwa hasira akiwa analia kama mtoto majirani walikuja ndani walishangaa kumkuta yule dada kashika kile kisu tumboni kwa mme wake! Ndipo wakakimbia polisi kumshtaki kuwa ameua!
Kweli polisi walipo kuja walimkamata yule dada kwa nguvu na kumvika pingu mikononi.
Alilia akisema" jamani sijaua mimi sijaua jamani" hawakumuelewa kabisa ata kidogo.
dada alikosa ushahidi maana ile barua mmewe aliyo andika yeye aliichanachana kwa hasila alipo maliza kuisoma hivyo hakuwa na ushahidi wowote
Ndugu zake yule mwanaume walilalamika sana na kumshtaki yule mwanamke eti,
"wewe umemuua kaka yetu ili ubaki na mali, sasa mali hupati na unaozea jela"
Yule Dada akawajibu "sijaua jamani"
mahakama ikafatilia kazini kwa yule
dada.
bosi wa ofisi akawambia "tulimfukuza kazi huyu dada maana alikuwa anatoroka mala kwa mala kwenda nyumbani! nazani ndiyo alikuwa anafanya mipango na mikakati ya kumuua mmewe"
Ndipo yule dada akakamatwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha mkoa wa "Tantala"
Mama aliangaika sana na ile mimba mtahani! Na maisha yalikuwa magumu sana kwake hivyo akaamua ameze dawa ya kutoa mimba asiweze kuendelea kuteseka!
Mama alimeza dawa mimba ikafa lakini bahati mbaya katoto kakawa kagumu kutoka tumboni! Mpaka harufu ikaanza kumtoka mwilini.#34
SEHEMU YA 34.
Mama yangu wa kambo alianza kutoa harufu kali sana!
baada ya kile kitoto kugoma kutoka tumboni aliona haibu kuwambia watu maana
alihisi watamcheka,
Yani mama kutokana na ugumu wa maisha alikosa msaada kabisa eti ata alipo kuwa akikaa n'zi nyingi zilikuwa zikimfata,
kibaya zaid mama alipo kuwa akiongea na watu harufu yake ya mdomoni ilikuwa chafu sana yenye harufu mbaya! Ata pale alipo kuwa akitoka jasho pia alitokwa na harufu mbaya mwilini mwake jamani harufu kama ya kitu kimeoza sana.
Siku moja mama yangu wa kambo alizidiwa sana nusra ya kufa maana mwili wake uli badilika ghafla yani mama alivimba mwili na kunuka kama mtu aliyekufa;
vijana walalahoi wa ule mtaa walimuonea sana huruma mama, maana mama alikuwa analia kama mtoto akiomba msaada akisema "nisaidieni nakufa jamani, naumwa sana tumbo ndugu zangu"
Kibaya zaidi mama alienda kuwatilia harufu yake kwenye mtaa wa wale vijana hivyo basi, Ikabidi wamfunike shuka na kumpakia kwenye usafili kama marehemu huku wamejivika vitambaa puani mwao kupunguza harufu! wakimpeleka hospitali ili akatibiwe tena kwenye hospitali za serikali.
Mama alivyo fikishwa hosipital dah! Masikini wale manesi walikuwa hawataki ata kumtibu maana alikuwa ananuka tena kibaya zaidi mama yangu wa kambo alikuwa ameachama mdomo wake kama vile amekufa yani! ata ukimtazama unamuogopa jinsi mwili wake ulivyo kuwa maana macho yake pia yalibadilika rangi yalikuwa makubwa na ya njano sana.
Dakitali mkubwa wa hospital aliwambia manesi wamtibu.
ndipo mama aliwekewa diripu ya maji ili aweze kupata nafuu.
Hali ya mama alikuwa mbaya sana mda ule! ikabidi daktali mkuu aje kumcheki ili amfanyie matibabu ya uangalifu zaidi.
Ndipo alipo gundulika kuwa katoto kalifia tumboni kwa mama na kukawa na ugumu wa katoto kutoka,
mama yangu wa kambo alifanyiwa oparesheni ndipo kikatolewa kile kitoto kikiwa kimeoza vibaya mno "kweli udaktali sio kusomea tu unaitaji moyo"
Yule daktali alimuhudumia mama vizuri akamsafisha vizuri kabisa mpaka mama akapona na kupata nafuu akawa salama.
Kipindi mama ametoka hospital na hana sehemu ya kuishi masikini! alirudi kuangalia kama rafiki yake yupo ili amwambie kuwa ametoa ile mimba ya mme wake ili waishi tena wote ila...#35
Yani mama kutokana na ugumu wa maisha alikosa msaada kabisa eti ata alipo kuwa akikaa n'zi nyingi zilikuwa zikimfata,
kibaya zaid mama alipo kuwa akiongea na watu harufu yake ya mdomoni ilikuwa chafu sana yenye harufu mbaya! Ata pale alipo kuwa akitoka jasho pia alitokwa na harufu mbaya mwilini mwake jamani harufu kama ya kitu kimeoza sana.
Siku moja mama yangu wa kambo alizidiwa sana nusra ya kufa maana mwili wake uli badilika ghafla yani mama alivimba mwili na kunuka kama mtu aliyekufa;
vijana walalahoi wa ule mtaa walimuonea sana huruma mama, maana mama alikuwa analia kama mtoto akiomba msaada akisema "nisaidieni nakufa jamani, naumwa sana tumbo ndugu zangu"
Kibaya zaidi mama alienda kuwatilia harufu yake kwenye mtaa wa wale vijana hivyo basi, Ikabidi wamfunike shuka na kumpakia kwenye usafili kama marehemu huku wamejivika vitambaa puani mwao kupunguza harufu! wakimpeleka hospitali ili akatibiwe tena kwenye hospitali za serikali.
Mama alivyo fikishwa hosipital dah! Masikini wale manesi walikuwa hawataki ata kumtibu maana alikuwa ananuka tena kibaya zaidi mama yangu wa kambo alikuwa ameachama mdomo wake kama vile amekufa yani! ata ukimtazama unamuogopa jinsi mwili wake ulivyo kuwa maana macho yake pia yalibadilika rangi yalikuwa makubwa na ya njano sana.
Dakitali mkubwa wa hospital aliwambia manesi wamtibu.
ndipo mama aliwekewa diripu ya maji ili aweze kupata nafuu.
Hali ya mama alikuwa mbaya sana mda ule! ikabidi daktali mkuu aje kumcheki ili amfanyie matibabu ya uangalifu zaidi.
Ndipo alipo gundulika kuwa katoto kalifia tumboni kwa mama na kukawa na ugumu wa katoto kutoka,
mama yangu wa kambo alifanyiwa oparesheni ndipo kikatolewa kile kitoto kikiwa kimeoza vibaya mno "kweli udaktali sio kusomea tu unaitaji moyo"
Yule daktali alimuhudumia mama vizuri akamsafisha vizuri kabisa mpaka mama akapona na kupata nafuu akawa salama.
Kipindi mama ametoka hospital na hana sehemu ya kuishi masikini! alirudi kuangalia kama rafiki yake yupo ili amwambie kuwa ametoa ile mimba ya mme wake ili waishi tena wote ila...#35
SEHEMU
YA 35.
Mama yangu wa kambo alishangaa sana na kushtuka
alipo fika kwa yule dada rafiki yake maana hakumkuta na ndiyo ilikuwa mida yake
ya kutoka kazini. Aliwaza sana ataishi wapi na atalala wapi siku hiyo maana
alitaka kumuakikishia rafiki yake kuwa hana mimba tena na hawezi kurudia kulala
tena na mme wake.
Mama aliwaza jamani isitoshe mama alikuwa amepewa dawa alizo toka nazo hosiptali na alitakiwa kuzimeza ili apone vizuri.
Kipindi anataka kuondoka wifi yake rafiki yake alikuwa anafika pia! maana ndiye aliekua amerithi nyumba ya marehemu kaka yake kwa sababu yule dada alifungwa.
Wifi akamuuliza mama kuwa.. Wifi..dada karibu naona unataka kuondoka!
Mama..ahsante namuulizia rafiki yangu niliishi nae hapa nimekuta hayupo na mme wake pia hayupo
Wifi."machozi yalimtoka kwanza" akasema mme wake alisha fariki! na huyu muuaji rafiki yako kafungwa na tena ni kifungo cha maisha.
Mama alishtuka sana akaogopa na akaondoka.
Alipo fika nje ya nyumba akamkuta jirani yake alikuwa amezoeana nae akamuuliza kama kweli mwanaume alikufa! na je mke wake kakamatwa?
Yule dada alimwambia kuwa! "mwanaume wake alijiua baada ya mke wake kugundua ukweli kuwa unatembea nae na pia umepata mimba ya mmewe na pia anamaambukizi, hivyo wewe ndo unatakiwa kuwa shahidi wake au mtetezi wake ili kifungo chake kisitishwe"
Mama aliwambia majirani na marafiki zake rafiki yake kuhusu ukweli wa kwamba mwanamke hajamuua na alipo fika mahakamani akasema kwamba. "Mimi nilisaidiwa na huyo dada kuishi kwake, ila mme wake alinilazimisha kimapenzi! Bahati mbaya nikapata mimba yake, baada ya mkewe kujua ndipo akajiondoa uhai wake"
Serikari ilifanya uchunguzi na kugundua kweli yule dada hakuua ndipo wakaamua kumuachia huru
Maisha ya yule dada yalikuwa niyakukosa raha sana alijaribu kutafuta kazi hakupata, alijaribu kurudi kwake ndugu wa mme hawakumuitaji ndipo akaanza kujishugulisha na biashala ndogondogo tu na mama yangu wa kambo.
Baba yangu aliendelea kuteseka pia na maisha yake maana tayali alikuwa kapoteza mguu ndipo familia ikamshauli aende kupiga magoti kwenye kabuli la mke wake na mama yake ili aweze kuomba msamaha maana alifanya kosa bila kujua.
Kipindi baba yupo makabulini dooh!
USIKOSE SEHEMU YA 36
Mama aliwaza jamani isitoshe mama alikuwa amepewa dawa alizo toka nazo hosiptali na alitakiwa kuzimeza ili apone vizuri.
Kipindi anataka kuondoka wifi yake rafiki yake alikuwa anafika pia! maana ndiye aliekua amerithi nyumba ya marehemu kaka yake kwa sababu yule dada alifungwa.
Wifi akamuuliza mama kuwa.. Wifi..dada karibu naona unataka kuondoka!
Mama..ahsante namuulizia rafiki yangu niliishi nae hapa nimekuta hayupo na mme wake pia hayupo
Wifi."machozi yalimtoka kwanza" akasema mme wake alisha fariki! na huyu muuaji rafiki yako kafungwa na tena ni kifungo cha maisha.
Mama alishtuka sana akaogopa na akaondoka.
Alipo fika nje ya nyumba akamkuta jirani yake alikuwa amezoeana nae akamuuliza kama kweli mwanaume alikufa! na je mke wake kakamatwa?
Yule dada alimwambia kuwa! "mwanaume wake alijiua baada ya mke wake kugundua ukweli kuwa unatembea nae na pia umepata mimba ya mmewe na pia anamaambukizi, hivyo wewe ndo unatakiwa kuwa shahidi wake au mtetezi wake ili kifungo chake kisitishwe"
Mama aliwambia majirani na marafiki zake rafiki yake kuhusu ukweli wa kwamba mwanamke hajamuua na alipo fika mahakamani akasema kwamba. "Mimi nilisaidiwa na huyo dada kuishi kwake, ila mme wake alinilazimisha kimapenzi! Bahati mbaya nikapata mimba yake, baada ya mkewe kujua ndipo akajiondoa uhai wake"
Serikari ilifanya uchunguzi na kugundua kweli yule dada hakuua ndipo wakaamua kumuachia huru
Maisha ya yule dada yalikuwa niyakukosa raha sana alijaribu kutafuta kazi hakupata, alijaribu kurudi kwake ndugu wa mme hawakumuitaji ndipo akaanza kujishugulisha na biashala ndogondogo tu na mama yangu wa kambo.
Baba yangu aliendelea kuteseka pia na maisha yake maana tayali alikuwa kapoteza mguu ndipo familia ikamshauli aende kupiga magoti kwenye kabuli la mke wake na mama yake ili aweze kuomba msamaha maana alifanya kosa bila kujua.
Kipindi baba yupo makabulini dooh!
USIKOSE SEHEMU YA 36
SEHEMU YA
36.
Baba alipo fika makabulini, alienda moja kwa moja
kwanza kwenye kabuli la marehemu mke wake. Baba alianza kulia akisema
"Nisamee mke wangu nakuomba msamaa maana najutia mabaya yote niliyo
kutendea, sio mimi jamani ni shetani tu, sikujua kama nilikataa kukuzika
na sikujua kama nilikufanya uteseke! leo nipo juu ya kabuli lako nakuomba
msamaa maana mimi ndiyo chanzo cha kifo chako natamani ufufuke tuishi tena kama
zamani mke wangu! Ona jinsi ninavyo teseka angalia jinsi nilivyo kilema kwa
sababu ya rahana nilizo zibeba kutoka kwenu Tazama machozi yanavyo nitililika
machoni mwangu, naomba unisamee niweze kuishi kwa amani maana ata mda mwingine
natamani kufa tu maana sioni raha ya kuishi duniani, mke wangu kila siku usiku
silali naota tu ndoto za ajabu sana mala nafukuzwa mala nachinjwa mda mwingine
naota mizimu imenizunguka mimi! ehh mke wangu nihurumie nisamee mzazi
mwenzangu"
Baba aliongea maneno hayo akiwa amesimama mbele ya kabuli la mama akitokwa na machozi sana kipindi baba anataka kuendelea kuongea alishangaa kuona upepo mkali sana unavuma, baba alihisi labda ni hari ya kawaida tu! Mala ila alishangaa upepo hauishi tu na uliendelea kuwa mkali kabulini yani mpaka ukamuangusha baba chini maana alikosa balansi sababu ya mguu wake mmoja
Kipindi baba anataka kukimbia upepo ukapotea mala kukawa kimya! baba alibaki haelewi tu.
Mala ghafla akaona mguu ulio katwa juu ya kabuli la mkewe, Na mguu ulikuwa una kipande cha suruali ambayo hiyo suruali ilikuwa ya baba kipindi alipo katika mguu wake kwenye ile ajali!
Baba akuamini kutazama mambo ya ajabu kama yale kipindi baba yupo tu bila kuelewa!
alishangaa kuona kile kibuyu kilicho kuwa nyuma ya kabati chenye damu yake pale pia.
Doh Baba aliogopa sasa!
Pale pale mzimu wa mama yangu ukatokea ukiwa umevaa nguo zenye damu iliyo ganda kama nyeusi,
ukaanza kuongea.
"Mme wangu sikusamei ata kidogo ulinitesa sana ulininyanyasa sana nimepoteza uhai wangu sababu yako! Kwanini ulinitesa? Kwanini uliniumiza vile ulisababisha nikabakwa, ulisababisha nikaugua magonjwa ya ajabu mimi! Kibaya zaidi mme wangu nipale ulipo kataa kunizika na kumzuia mtoto wangu kunizika mimi yani wakati ulijua mimi ni yatima sina ata ndugu jamani"...#37
Baba aliongea maneno hayo akiwa amesimama mbele ya kabuli la mama akitokwa na machozi sana kipindi baba anataka kuendelea kuongea alishangaa kuona upepo mkali sana unavuma, baba alihisi labda ni hari ya kawaida tu! Mala ila alishangaa upepo hauishi tu na uliendelea kuwa mkali kabulini yani mpaka ukamuangusha baba chini maana alikosa balansi sababu ya mguu wake mmoja
Kipindi baba anataka kukimbia upepo ukapotea mala kukawa kimya! baba alibaki haelewi tu.
Mala ghafla akaona mguu ulio katwa juu ya kabuli la mkewe, Na mguu ulikuwa una kipande cha suruali ambayo hiyo suruali ilikuwa ya baba kipindi alipo katika mguu wake kwenye ile ajali!
Baba akuamini kutazama mambo ya ajabu kama yale kipindi baba yupo tu bila kuelewa!
alishangaa kuona kile kibuyu kilicho kuwa nyuma ya kabati chenye damu yake pale pia.
Doh Baba aliogopa sasa!
Pale pale mzimu wa mama yangu ukatokea ukiwa umevaa nguo zenye damu iliyo ganda kama nyeusi,
ukaanza kuongea.
"Mme wangu sikusamei ata kidogo ulinitesa sana ulininyanyasa sana nimepoteza uhai wangu sababu yako! Kwanini ulinitesa? Kwanini uliniumiza vile ulisababisha nikabakwa, ulisababisha nikaugua magonjwa ya ajabu mimi! Kibaya zaidi mme wangu nipale ulipo kataa kunizika na kumzuia mtoto wangu kunizika mimi yani wakati ulijua mimi ni yatima sina ata ndugu jamani"...#37
SEHEMU YA
37.
Yale maneno ya marehemu mama yangu mzazi yalimuumiza
sana baba.
Baba akasema, "marehemu mke wangu sio mimi nilifanya vile na wala nilikuwa sijitambui hata kidogo mke wangu mpaka kukufukuza wewe! nafikiri nilichanganywa akili yangu mke wangu! ebu fikilia jinsi tulivyo kuwa tunapendana jamani"
Alijibiwa na mzimu wa mama kuwa, "mme wangu nilikuzuia sana kunywa pombe! Na pombe ndiyo chanzo cha wewe kukutana na matatizo yote haya, Ebu jitazame sasa hauna mguu angalia kazi yako tayali umeisha ipoteza tazama hauna nyumba tena! na wala haufahamu mwanao alipo mpaka sasa sababu tu ya huyo mkeo"
Mzimu wa mama ukamwambia baba; "mme wangu nakupenda sana na nashindwa kukusamee maana najua ata nikikusamee bado tu utaendelea kuteseka! maana mzimu wa mama yako mzazi na rahana alizo kuachia zinaendelea kukuzunguka, yani kila uendapo hauwezi kufanikiwa mpaka ukaombe msamaa kwanza, Maana mama yako mzazi amekufa akiwa na kinyongo sana na wewe"
Baada ya siku tatu, baba aliamua kwenda mpaka kabulini kwa mama yake mzazi kwenda kuomba msamaa ila
Kutokana na maisha ya baba kuwa magumu, Baba aliamua kwanza aende sehemu ya kuombaomba msaada ili apate pesa kidogo, ila siku hiyo hali ilikuwa ngumu hivyo baba akaona akaekae mpaka jioni ili aweze kupata japo pesa kiasi kwa wapita njia.
Jioni ilipo fika ndipo akaamua kwenda kuomba msamaa kwenye kabuli la mama yake muda ule wa jioni, kabuli lilikuwa makabulini baba alikuwa ajui chochote yeye alienda moja kwa moja kwenye kabuli akapiga magoti chini akitoa machozi huku akisema "mama yangu mzazi tazama jinsi mwanao ninavyo teseka, najua nilifanya kosa kubwa sana la kusahau kuwa wewe ni mama yangu, ila naomba unisamee mama nisamee mama yangu, naomba unijibu mama yangu"
Baba aliyasema maneno hayo akiwa mwenyewe kabulini!
Ila baba alishangaa sana kwanini mama yake hamjibu kama mkewe.
Baba akaamua asubilie mpaka mama yake amtokee kama marehemu mkewe, ila hakumtokea!
ilipofika saa nane kamili usiku kipindi baba akiwa amelala juu ya kabuli la mama yake, alianza kusikia sauti ya ndege ikipiga kelele juu yake! baba alishtuka alipo amka akakuta Bundi ameng'aa macho akiwa kasimaa juu ya msalaba wa kabuli la mama yake usiku.
Itaendelea sehemu ya38.
Baba akasema, "marehemu mke wangu sio mimi nilifanya vile na wala nilikuwa sijitambui hata kidogo mke wangu mpaka kukufukuza wewe! nafikiri nilichanganywa akili yangu mke wangu! ebu fikilia jinsi tulivyo kuwa tunapendana jamani"
Alijibiwa na mzimu wa mama kuwa, "mme wangu nilikuzuia sana kunywa pombe! Na pombe ndiyo chanzo cha wewe kukutana na matatizo yote haya, Ebu jitazame sasa hauna mguu angalia kazi yako tayali umeisha ipoteza tazama hauna nyumba tena! na wala haufahamu mwanao alipo mpaka sasa sababu tu ya huyo mkeo"
Mzimu wa mama ukamwambia baba; "mme wangu nakupenda sana na nashindwa kukusamee maana najua ata nikikusamee bado tu utaendelea kuteseka! maana mzimu wa mama yako mzazi na rahana alizo kuachia zinaendelea kukuzunguka, yani kila uendapo hauwezi kufanikiwa mpaka ukaombe msamaa kwanza, Maana mama yako mzazi amekufa akiwa na kinyongo sana na wewe"
Baada ya siku tatu, baba aliamua kwenda mpaka kabulini kwa mama yake mzazi kwenda kuomba msamaa ila
Kutokana na maisha ya baba kuwa magumu, Baba aliamua kwanza aende sehemu ya kuombaomba msaada ili apate pesa kidogo, ila siku hiyo hali ilikuwa ngumu hivyo baba akaona akaekae mpaka jioni ili aweze kupata japo pesa kiasi kwa wapita njia.
Jioni ilipo fika ndipo akaamua kwenda kuomba msamaa kwenye kabuli la mama yake muda ule wa jioni, kabuli lilikuwa makabulini baba alikuwa ajui chochote yeye alienda moja kwa moja kwenye kabuli akapiga magoti chini akitoa machozi huku akisema "mama yangu mzazi tazama jinsi mwanao ninavyo teseka, najua nilifanya kosa kubwa sana la kusahau kuwa wewe ni mama yangu, ila naomba unisamee mama nisamee mama yangu, naomba unijibu mama yangu"
Baba aliyasema maneno hayo akiwa mwenyewe kabulini!
Ila baba alishangaa sana kwanini mama yake hamjibu kama mkewe.
Baba akaamua asubilie mpaka mama yake amtokee kama marehemu mkewe, ila hakumtokea!
ilipofika saa nane kamili usiku kipindi baba akiwa amelala juu ya kabuli la mama yake, alianza kusikia sauti ya ndege ikipiga kelele juu yake! baba alishtuka alipo amka akakuta Bundi ameng'aa macho akiwa kasimaa juu ya msalaba wa kabuli la mama yake usiku.
Itaendelea sehemu ya38.
SEHEMU YA 38.
Kipindi baba anataka kumfukuza yule bundi, kumbe sio
bundi jamani ulikuwa ni mzimu wa marehemu mke wake unamuonyesha kuwa sehemu
aliyoko sio salama kuna wachawi pale.
Baba alivyo geuka pembeni tu! Palepale akainama chini haraka maana aliona watu wamevaa nguo nyeupe na wakiwa wamejifunika vitambaa vyekundu kichwani huku mikono yao imeshikilia mishumaa katikati ya makabulini. Baba hakuamini kutazama watu kama wale maeneo kama yale usiku!
Kipindi baba amelala chini kwa kujificha, alishangaa pia kusikia wachawi wakisema kimzimu kuwa "Ohh wewe Zabroni mwaka, tajili wa wilaya nzima, tumekuja kukuchukua sasa kukutoa humu kwenye kabuli! Maana tayali jamii ilikuzika ikitambua umekufa! Lakini Kumbe wewe bado ni mzima na sisi tumependa nyota yako! unanyota nzuri sana zabroni Mwaka,
Na kwanzia leo utaishi na sisi na hii nyota yako tutawauzia waganga kwa kienyeji ili na wenyewe wakaiuze kwa wale wanaotaka nyota za watu ili wapate utajili"
Baba alisikitika sana maana huyo zabron alikuwa rafiki yake sana na alifariki kila mtu akajua amekufa kumbe hapana yupo hai ila gogo tu ndiyo limezikwa.
Kipindi baba akiwa anawatazama
Mwanaume Mmoja kati ya wale wachawi alisimama akashika jogoo mweusi sana kisha akamnyongwa na kumrusha kabulini mwa zabroni, mda huohuo zabron alitoka kabulini akiwa amevaa sanda, ndipo akavuliwa na kuvalishwa kichawi kama wenzake, alinyweshwa damu ya binadamu na kuvalishwa bangili la kishirikina mkononi mulemule katikati ya makabuli.
Baba alimshangaa sana yule kaka alie mnyonga jogoo maana yule kaka alikuwa ni ndugu yake na mama yangu wa kambo na baba alikuwa akila nae na kucheka nae pale huyo kaka alipo watembelea nyumbani.
Mizimu alianza kuimba na kupanda kwenye usafili wao ambao ni ungo kisha wakapaa na kuondoka.
Baba hakuamini kwa alicho kiona usiku ule ilimbidi akae palepale mpaka asubui.
Nyumbani pia mama Danieli alitukumbusha kuwa tunatakiwa kwenda kwenye kabuli la mwanae siku hiyo maana ndiyo ilikuwa siku yake ya kufariki, hivyo tulijiandaa kwenda kulifanyia usafi kabuli lake.
Na baba yangu mzazi pia siku hiyo alikuwa bado palepale kabulini na mimi nilikuwa sijaonana na baba siku nyingi na baba pia alitamani sana kuniona mwanae
Usikose #39
Baba alivyo geuka pembeni tu! Palepale akainama chini haraka maana aliona watu wamevaa nguo nyeupe na wakiwa wamejifunika vitambaa vyekundu kichwani huku mikono yao imeshikilia mishumaa katikati ya makabulini. Baba hakuamini kutazama watu kama wale maeneo kama yale usiku!
Kipindi baba amelala chini kwa kujificha, alishangaa pia kusikia wachawi wakisema kimzimu kuwa "Ohh wewe Zabroni mwaka, tajili wa wilaya nzima, tumekuja kukuchukua sasa kukutoa humu kwenye kabuli! Maana tayali jamii ilikuzika ikitambua umekufa! Lakini Kumbe wewe bado ni mzima na sisi tumependa nyota yako! unanyota nzuri sana zabroni Mwaka,
Na kwanzia leo utaishi na sisi na hii nyota yako tutawauzia waganga kwa kienyeji ili na wenyewe wakaiuze kwa wale wanaotaka nyota za watu ili wapate utajili"
Baba alisikitika sana maana huyo zabron alikuwa rafiki yake sana na alifariki kila mtu akajua amekufa kumbe hapana yupo hai ila gogo tu ndiyo limezikwa.
Kipindi baba akiwa anawatazama
Mwanaume Mmoja kati ya wale wachawi alisimama akashika jogoo mweusi sana kisha akamnyongwa na kumrusha kabulini mwa zabroni, mda huohuo zabron alitoka kabulini akiwa amevaa sanda, ndipo akavuliwa na kuvalishwa kichawi kama wenzake, alinyweshwa damu ya binadamu na kuvalishwa bangili la kishirikina mkononi mulemule katikati ya makabuli.
Baba alimshangaa sana yule kaka alie mnyonga jogoo maana yule kaka alikuwa ni ndugu yake na mama yangu wa kambo na baba alikuwa akila nae na kucheka nae pale huyo kaka alipo watembelea nyumbani.
Mizimu alianza kuimba na kupanda kwenye usafili wao ambao ni ungo kisha wakapaa na kuondoka.
Baba hakuamini kwa alicho kiona usiku ule ilimbidi akae palepale mpaka asubui.
Nyumbani pia mama Danieli alitukumbusha kuwa tunatakiwa kwenda kwenye kabuli la mwanae siku hiyo maana ndiyo ilikuwa siku yake ya kufariki, hivyo tulijiandaa kwenda kulifanyia usafi kabuli lake.
Na baba yangu mzazi pia siku hiyo alikuwa bado palepale kabulini na mimi nilikuwa sijaonana na baba siku nyingi na baba pia alitamani sana kuniona mwanae
Usikose #39
SEHEMU YA 39.
Tulipo fika makabulini kumbe na baba
yangu mzazi alikuwepo pia lakini bahati mbaya sikuweza kuonana nae maana
sikuweza kufikilia kuonana nae sehemu kama zile na sikuwa na fikila ata za
kuchunguza watu pale.
Hivyo tulifanya kusafisha kabuli la Daniel! maana mama yake alikuwa anampenda sana mwanae, na alilia sana pale kabulini akisema, "mwanangu Danieli nimetumia pesa nyingi sana kukusomesha, Kukutunza nimekuzaa kwa shida mwanangu leo hii haupo nasi mtoto wangu ehh jamani mungu"
mama Danieli alilia sana ila tulipo maliza kupamba yale maua tuliondoka na kurudi nyumbani.
Baba mipango yake ya kuomba misamaa ikawa haijakamilika kabisa maana roho ya mama yake mzazi iligoma kuweka wepesi wa msamaa kwa mtoto wake,
Baba aliendelea kutahabika sana! Siku moja baba akiwa ametoka katika miangaiko yake ya kuombaomba misaada alikutana na vijana wawili wameshika Bibria walimsimamisha baba na kumwambia kuwa.
Vijana,, mzee mimi ni muumini wa kikristu na huyu pembeni yangu ni mchungaji wa kanisa letu.
Baba akajibu,, ahsante nafurahi kuwafahamu, mlikuwa na shida gani waumini.
Vijana,, "mungu ni mwema" tumemuona mungu ndani yako na tunataka kukuondolea misukosuko ya maisha yako yote.
Baba akajibu,, nitafurahi sana wachungaji maana mimi nina matatizo, marehemu mke wangu na mama yangu niliwafanyia vibaya sana leo nawaomba msamaa hawataki kunisamee! ili mimi niweze kuishi huru bila mawazo na matatizo.
Vijana,, baba tayali dhambi zako zimeisha samehewa mizimu imekusamee pia. Ila unacho takiwa kufanya ni kitu kimoja tu uweke pesa zako zote ulizo kusanya leo hapa juu ya biblia kisha geuka nyuma dakika kadhaa tukiwa tunaziombea taratibu ili uweze kuondoka gundu na mikosi.
Baba siku hiyo alikuwa kakusanya pesa nyingi alizibeba zote na kuziweka juu ya biblia kisha akageuka kama alivyo ambiwa!
Kipindi baba amegeuka nyumba akawauliza kinyumenyume bila kuwaona maana walikuwa nyuma yake kwamba "jamani vipi tayali mmeondoa mikosi" akaona kimya alivyo geuka hakukuta mchungaji wala mtumishi
baba alilia kama mtoto alijigalagaza chini mpaka baadhi ya watu wakahisi labda atakuwa hayupo sawa kiakili kumbe alikuwa kachanganyikiwa tu kidogo. Huku mama yangu wa kambo na yule dada wenyewe wa...... #40
Hivyo tulifanya kusafisha kabuli la Daniel! maana mama yake alikuwa anampenda sana mwanae, na alilia sana pale kabulini akisema, "mwanangu Danieli nimetumia pesa nyingi sana kukusomesha, Kukutunza nimekuzaa kwa shida mwanangu leo hii haupo nasi mtoto wangu ehh jamani mungu"
mama Danieli alilia sana ila tulipo maliza kupamba yale maua tuliondoka na kurudi nyumbani.
Baba mipango yake ya kuomba misamaa ikawa haijakamilika kabisa maana roho ya mama yake mzazi iligoma kuweka wepesi wa msamaa kwa mtoto wake,
Baba aliendelea kutahabika sana! Siku moja baba akiwa ametoka katika miangaiko yake ya kuombaomba misaada alikutana na vijana wawili wameshika Bibria walimsimamisha baba na kumwambia kuwa.
Vijana,, mzee mimi ni muumini wa kikristu na huyu pembeni yangu ni mchungaji wa kanisa letu.
Baba akajibu,, ahsante nafurahi kuwafahamu, mlikuwa na shida gani waumini.
Vijana,, "mungu ni mwema" tumemuona mungu ndani yako na tunataka kukuondolea misukosuko ya maisha yako yote.
Baba akajibu,, nitafurahi sana wachungaji maana mimi nina matatizo, marehemu mke wangu na mama yangu niliwafanyia vibaya sana leo nawaomba msamaa hawataki kunisamee! ili mimi niweze kuishi huru bila mawazo na matatizo.
Vijana,, baba tayali dhambi zako zimeisha samehewa mizimu imekusamee pia. Ila unacho takiwa kufanya ni kitu kimoja tu uweke pesa zako zote ulizo kusanya leo hapa juu ya biblia kisha geuka nyuma dakika kadhaa tukiwa tunaziombea taratibu ili uweze kuondoka gundu na mikosi.
Baba siku hiyo alikuwa kakusanya pesa nyingi alizibeba zote na kuziweka juu ya biblia kisha akageuka kama alivyo ambiwa!
Kipindi baba amegeuka nyumba akawauliza kinyumenyume bila kuwaona maana walikuwa nyuma yake kwamba "jamani vipi tayali mmeondoa mikosi" akaona kimya alivyo geuka hakukuta mchungaji wala mtumishi
baba alilia kama mtoto alijigalagaza chini mpaka baadhi ya watu wakahisi labda atakuwa hayupo sawa kiakili kumbe alikuwa kachanganyikiwa tu kidogo. Huku mama yangu wa kambo na yule dada wenyewe wa...... #40
SEHEMU YA 40.
Maisha ya mama yangu wa kambo na yule dada aliyetoka
jela yalikuwa magumu sana.
waliamua kuishi pamoja kuangalia kama wanaweza kufanikiwa kimaisha lakini hali ilikuwa ngumu zaidi! Maana kila kazi waliyo jaribu kuifanya ilikuwa ngumu kwa upande wao,
Lakini yule dada alikuwa amesoma zaidi ya mama yangu wa kambo ila kutokana na ile kesi ya mauwaji ilimfanya asiaminike katika ofisi yoyote hivyo ata alipo tumia vyeti vyake kutafuta kazi ilikuwa ni ngumu sana kupata maana alionekana ni muuwaji alie muua mmewe ili abaki na mali! Kumbe ni uongo tu masikini.Siku moja usiku wakiwa wamelala njaa bila kula!
Mama wa kambo akamuuliza yule dada.Mama wa kambo,,rafiki yangu tazama leo tumelala njaa bila kuweka chochote kinywani! Hivi tutaishi maisha haya mpaka lini?
DADA,,ata mimi sielewi kabisa maana ndugu zangu wote wamenikataa wakiamini kuwa nilimuua mme wangu, elimu yangu sasa sioni thamani yake kabisa, natamani kufa mimi niondoke kwenye hizi shida za dunia.
Mama,,akasema rafiki yangu mimi nina wazo moja, Ebu angalia dunia ya sasa ilivyo chafuka! Yani namaanisha kuwa sisi wote tayari ni waathirika wa virusi vya ukimwi, kwanini tusifanye biashara isiyo itaji mtaji mkubwa yani kujirembua, kuvaa na kupendeza usiku.
Dada,,nini? Yani unamaanisha tujiuze au?
Mama,,ndiyo!
maana tayali sisi tumeisha pata maambukizi inatupasa tule na tuishi kwa furaha ili tuishi maisha marefu.
Dada,,hapana rafiki! mimi nimesoma lazima nitumie elimu yangu kuchanganua mambo, kujiuza sio biashara nzuri ata kama ina pesa bora tu tufe njaa humu ndani.
Mama,, basi sawa kama umeamua hivyo
Dada,,poa rafiki.
Mama,,lakini best mimi haya maisha nayajua yameisha nipiga sana tutafute njia nyingine angalau nyepes
Dada,,njia gani rafiki yangu.
Mama,,rafik mungu katujalia wote makalio makubwa! je unaweza kucheza muziki?
Dada,, ndiyo naweza!
Mama akasema, sasa sikia rafiki yangu kuna bar moja kubwa sana ina matajili wa kila aina
sisi tutakuwa tunaenda bar wakiwa mezani wanakunywa tukifika tunawakalia wanaume juu kisha tunaanza kukatika makalio yetu juu ya mapaja yao!
wakisha pata hisia tunarembua macho kisha tunawaomba hela huku tukishikashika vifua vyao vizuri kimahaba.
Usikose sehemu ya 41
waliamua kuishi pamoja kuangalia kama wanaweza kufanikiwa kimaisha lakini hali ilikuwa ngumu zaidi! Maana kila kazi waliyo jaribu kuifanya ilikuwa ngumu kwa upande wao,
Lakini yule dada alikuwa amesoma zaidi ya mama yangu wa kambo ila kutokana na ile kesi ya mauwaji ilimfanya asiaminike katika ofisi yoyote hivyo ata alipo tumia vyeti vyake kutafuta kazi ilikuwa ni ngumu sana kupata maana alionekana ni muuwaji alie muua mmewe ili abaki na mali! Kumbe ni uongo tu masikini.Siku moja usiku wakiwa wamelala njaa bila kula!
Mama wa kambo akamuuliza yule dada.Mama wa kambo,,rafiki yangu tazama leo tumelala njaa bila kuweka chochote kinywani! Hivi tutaishi maisha haya mpaka lini?
DADA,,ata mimi sielewi kabisa maana ndugu zangu wote wamenikataa wakiamini kuwa nilimuua mme wangu, elimu yangu sasa sioni thamani yake kabisa, natamani kufa mimi niondoke kwenye hizi shida za dunia.
Mama,,akasema rafiki yangu mimi nina wazo moja, Ebu angalia dunia ya sasa ilivyo chafuka! Yani namaanisha kuwa sisi wote tayari ni waathirika wa virusi vya ukimwi, kwanini tusifanye biashara isiyo itaji mtaji mkubwa yani kujirembua, kuvaa na kupendeza usiku.
Dada,,nini? Yani unamaanisha tujiuze au?
Mama,,ndiyo!
maana tayali sisi tumeisha pata maambukizi inatupasa tule na tuishi kwa furaha ili tuishi maisha marefu.
Dada,,hapana rafiki! mimi nimesoma lazima nitumie elimu yangu kuchanganua mambo, kujiuza sio biashara nzuri ata kama ina pesa bora tu tufe njaa humu ndani.
Mama,, basi sawa kama umeamua hivyo
Dada,,poa rafiki.
Mama,,lakini best mimi haya maisha nayajua yameisha nipiga sana tutafute njia nyingine angalau nyepes
Dada,,njia gani rafiki yangu.
Mama,,rafik mungu katujalia wote makalio makubwa! je unaweza kucheza muziki?
Dada,, ndiyo naweza!
Mama akasema, sasa sikia rafiki yangu kuna bar moja kubwa sana ina matajili wa kila aina
sisi tutakuwa tunaenda bar wakiwa mezani wanakunywa tukifika tunawakalia wanaume juu kisha tunaanza kukatika makalio yetu juu ya mapaja yao!
wakisha pata hisia tunarembua macho kisha tunawaomba hela huku tukishikashika vifua vyao vizuri kimahaba.
Usikose sehemu ya 41
SEHEMU YA 41
Yule dada aliamua kukubaliana na mawazo ya mama wa
kambo akasema "sawa shoga yangu tutajaribu tu ila naona haibu sana kufanya
hiyo kazi, maana kukatikia wanaume wakiwa wanakunywa vinywaji baani mi naona ni
aibu sana"Mama akamwambia "acha tabia za aibu usiku nani anakujua wewe
tufanye hii kazi tukipata pesa tunaacha"Ndipo wakaanza kujipanga kwenye
mavazi na kununua nguo za utupu ili wakianza kazi waweze kuvutia wanaume wengi
wakiwa kazini.Mama alinunua nguo za kuachia mapaja yao wazi na zingine za
kuonyesha vitovu vyao na maziwa yao kubinuka pia.
Ilipo fika jioni kipindi yule dada kajisahau, mama
akamwambia, "shoga yangu mda umefika kaoge tuondoke zetu kazini"Wote
wakajiandaa lakini wakaona aibu kuvaa zile nguo palepale nyumbani, maana
zilikuwa za aibu sana na walikuwa hawajazoeleka kuvaa hivyo.Hivyo zile nguo
wakazibeba kwenye mifuko ya plasitiki. Walipofika kwenye ile baa wakaenda nyuma
na magari yalipo pakiwa kisha wakabadilisha nguo, mama alikuwa kavaa nguo za
utupu sana mpaka yule dada akaona aibu akasema "mimi sijafundishwa kuvaa
hivi nimehairisha kufanya hii kazi fanya peke yako"
mama kidogo amumeze mzima mzima akamwambia
"tutakosana sana usipo vaa, yani tufike hapa afu nifanye kazi mwenyewe na
tumenunua nguo kwa pesa" ndipo yule dada pia akavaa nguo!
Mama akamwambia "rafiki yangu umependeza sana
ebu angalia ilo guu lako la bia tazama makalio yako pia lazima tupige pesa umo
ndani" yule dada aliguna tu maana akuwa na jinsi ila mama alimwambia
"ukiwa mule uwe shapu shapu usizubae nakuomba"
Walipo ingia walionekana wapya pale maana wazamani
walikuwa wameisha zoeleka, mama alikuwa aogopi alienda kwa mwanaume wa kwanza
akamzungushia kiuno chake akilishika shingo la yule baba! alivyo anza kuzabaa
mama yangu wa kambo akamlembulia macho kisha akamwambia"jamani mpenzi
naomba hela ya bia" kisha akambusu yule baba alikuwa na kitambi akachukua
waleti yake kisha akamchomolea elfu hamsini akampatia mama alifurahi sana kisha
akaanza kumchezea akikatikia makalio juu yake yule baba kanogewa mama akaamka
na kuondoka na kwenda kwa mwanaume mwingine.
Dah Yule dada pia alishangaa kuona mama anapewa
hela, akatamani na yeye apate japo hela kiasi ndipo...
usikose 42
SEHEMU YA 42.
Yule dada alijikaza akamfata baba mmoja kisha
akamwambia "kaka mimi naweza kucheza" yule baba akacheka kwa tabasamu
akasema "naona una umbo zuri la kucheza, basi cheza nione" ndipo yule
dada akapanda juu yake kisha akashika meza akaanza kucheza juu yake maana mule
baa kulikuwa na redio kubwa sana hivyo muziki mda wote unaimba tu. Kipindi yule
kaka anafurahia kuchezewa juu ndipo yule dada akamwambia "naomba hela ya
bia mpenzi"yule baba akasema nimeacha pesa zote nje kwenye gari langu
hivyo naomba twende nikakupe, kipindi hicho mama yangu wa kambo yupo upande
mwingine anacheza na wababa,wazee,vijana waliopo mule bar,
hivyo yule dada hakuwa wa wasiwasi maana aliona
mwenzake anapata tu pesa akakubali kwenda kwenye gari nje.
Walipo fika kwenye gari waliingia ndani yule kaka
akabadilisha kauli kisha akafunga na kuloki milango na madilisha ya gari lake, wakawa
wawili tu mule ndani ndipo akamwambia "we dada nimependa sana mwili wako
hivyo ili nikupe pesa naomba kiustahalabu vua nguo zako tufanye mapenzi"
dada alianza kulia akasema mimi nimekuja kucheza muziki sio kujiuza yule kaka
akatoa bastola yake kisha akasema usipo vua nakuua mzima mzima! Yule dada alipo
ona bastola akaona bora afanye kuliko kufa ndipo akamwambia "kaka mimi
nimeathirika sitaki kukuathiri na wewe" yule kaka akasema hapana sitaki
kujua!
Masikini yule dada akavua nguo na kulala kwenye viti
vya nyuma yule kaka akafanya yake kisha akampa yule dada elfu 60 na akamwambia
amefurahia ushirikiano wake.
Yule dada alivyo pata pesa akafurahi sana maana
alihisi anaweza kuibiwa akavaa nguo na kurudi ndani akarudia tena kuwachezea
watu kama mwenzake walipo rudi nyumbani walishangaa sana maana mama yangu wa
kambo alikuwa na laki mbili na nusu na yule dada akawa na laki moja na sitini.
Yule dada alifurahi akasema "best mala ya
kwanza nilikuwa na idharau hii biashara ila nimeipenda sana inalipa naomba kesho
tena twende" mama akamwambia "mimi nilikwambia ukawa unachukulia
masiala"
Kesho yake pia wakarudi palepale wakiwa wamependeza
sana zaidi ya jana kila mtu akiwa mzoefu sasa hakuna wa kumtazama mwenzake
Mama aliendelea kama alivyo zoea, ila yule dada akaenda
upande wake pia...........
Usikose kuendelea na sehemu ya 43
SEHEMU YA 43.
Kipindi mama yangu wa kambo na yule dada wanafanya
kazi zao mule baa, mama alienda kwa baba mmoja hivi umli wake mkubwa tu,
mama akaanza
kufanya kazi yake kama alivyo zoea,
kiukweli yule baba alikuwa hajitambui kabisa jamani
maana alikuwa amekunywa pombe sana, hata hivyo kipindi mama yangu wa kambo yupo
juu yake akikata mauno ili baadae amrembulie macho kisha amuombe pesa ya bia
yule baba alifurahia sana kukatikiwa huku akisema, "asante mke wangu
unacheza vizuri leo zaidi ya siku zote tangu nikuoe"
Mama akamwambia "asante mme wangu naomba hela
ya bia mpenzi"
Wakati huo yule dada rafiki yake mama alikuwa
hajapata mtu maana karibia wanaume wote walikuwa wameisha palamiwa na wakinadada
mule baa
ila kwenye ile baa kulikuwa na baba mmoja hivi
kutoka nchi za kigeni "mzungu". sasa wale wa dada mule ndani
waliogopa kumfata mzungu ili kumuomba pesa maana waliogopa kuongea nae lugha ya
kiingereza!
Lakini yule dada rafiki wa mama alikuwa kasoma na
alikuwa na elimu tu ingawa alikuwa hapati kazi!
hivyo akatumia elimu yake kuongea na yule mzungu.
Dada Alifika akamwambia kwa kiingereza,"naomba
tucheze" huku akimsogelea sehemu aliyo kaa akapanda juu ya yule mzungu na
kuanza kucheza muziki, mzungu alikuwa anacheka kwa furaha huku akisema
"una mwili mzuri msichana wa kiafrika! unaitwa nani?"
yule dada alimjibu lugha vizuri na wakaelewana sana
na yule mzungu akatokea kumpenda dada! alimuelezea yule dada hisia zake kisha
akamwambia wataondoka kutoka tanzania wakaishi wote"Germany"yule dada
alikubali kwa moyo mmoja na wakatoka wote baa kwenda kulala.
Mda huo Mama yangu wa kambo anaendelea kukata mauno
yake juu ya yule baba huku akisema "naomba pesa ya bia"
yule baba akasema "nakupa pesa mke wangu
usijali"
Kipindi yule baba anatoa pesa kwenye waleti yake!
Kumbe mke wake alikuwa ametoka nje kidogo kuongea na simu! Hakuamini kukuta mme
wake amebeba mwanamke juu yake, Akamwambia"Mme wangu jamani yani nimetoka
nje kidogo tu umeanza kushikana na awa malaya wa hapa bar" mme wake
hakujibu maana alikuwa amelewa sana haelewi kabisa.Yule mama akachukua chupa ya
bia kisha akampiga kichwani mama yangu wa kambo kipindi mama anaamka yule mama
akamchana na chupa usoni.
Endelea na sehemu ya 44
SEHEMU YA 44.
Mama alichanika shavu lake maana alichanwa na
kipande cha chupa cha ile bia aliyo pigwa nayo kichwani,
mama alijikaza akiwa kajaa damu mwili mzima kisha
akakimbia mpaka alipo kuwa anaishi na rafiki yake.Mama yangu wa kambo Alipo
fika hakumkuta rafiki yake maana aliitaji msaada japo wa kuoshwa zile damu
maana zilikuwa zinamtoka sana jamani.Mama alilia akisema, "besti yangu uko
wapi nimepigwa sana natoka damu jamani nisaidie"
Na mda huo nyama za shavuni zilikuwa zimenin'ginia
maana zilichanwa na chupa
hivyo aliitajika kuwaishwa hospitali ziweze kushonwa
ili apone kidonda masikini.Lakini bahati mbaya rafiki yake mama yangu wa kambo
alikuwa hayupo, alikuwa kwa yule mzungu wake wakijivinjali usiku huo maana yule
mzungu alimpenda sana na alikuwa kaisha amua kumpeleka yule dada nchini
"Germany" kufunga nae ndoa kabisa.Mama yangu wa kambo alilia usiku
huo sana alisikia maumivu sana mpaka akapoteza fahamu kabisa,
kipindi mama anazinduka na kupata fahamu akakuta
vijana wawili wakubwa sana wamekuja ndani mwake.
Wakiwa wameshika panga, mama aliogopa sana kuwaona
wale watu usiku ule maana walikuwa wanaume na walikuwa na silaa na hakukua na
mtu wa kumsaidia mama usiku ule.Kumbe wale vijana walikuwa wametumwa na yule
mwanamke aliye mkuta mama anakatika juu ya mmewe baa.
Alibakwa na wale vijana kisha wakamvua nguo ya juu
na kumvua sidiria yake! mama akasema kwanini mnanifanya hivi.
Walimfunga mikono na miguu kisha wakamkata matiti
yake na kuyaweka kwenye ndoo alafu wakapanda pikipiki na kuondoka usiku huohuo
mida ya saa nane na nusu.Mama alipatwa na maumivu sana maana matiti yake yote
yalikatwa jamani,alilia mpaka sauti ikakauka.
Rafiki yake mama alipo kuja mida ya asubui akiwa
amebeba pesa aina ya Dola alizo pewa na mpenzi wake wa kizungu.
Alishangaa kukuta damu mlangoni kidogo akimbie
alivyo ingia ndani akakuta mama anapumua ya mwisho mwisho. Alimpeleka hosipital
mda huohuo ili asiweze kupoteza maisha yake.
Alipo fika hospital alipokelewa vizuri lakini
dakitari alisema "hali ya mama mbaya sana hivyo inaitajika pesa nyingi
sana ili aweze kupona, maana amekatwa matiti na pia amechanika shavu lake na
amepigwa na chupa imemchana nyama kichwani."
Usikose sehemu ya 45
SEHEMU YA 45.
Kipindi kile
dokta anamueleza yule dada hali ya mama yangu wa kambo, mama alikuwa na hali
mbaya sana iliyo muogopesha kila mtu aliye kuwa mahali pale ata wagonjwa
wengine walipata na nafuu kabisa baada ya kumuona mama katika hali ile, maana
walijiona hawaumwi kabisa sababu matiti ya mama yalikuwa yamekatwa yani ni damu
tu zilikuwa zinatoka, na damu zilipungua kumtililika mama baada ya kupata
huduma ya kwanza, Doctor akamuuliza yule dada kuwa "kama mnaweza kulipa
hizo gharama zote zilizopo kwenye hiyo risti basi tuanze matibabu ili ndugu
yenu asipoteze maisha".Mama alianza kulia akisema"eh mungu wangu
nimetesa watu wengi sana wasio na atia na wanyonge, nimekualibia ndoa yako
mpaka mmeo kupoteza maisha yake jamani. Rafiki yangu wewe ondoka tu niache nife
sina thamani tena maana urembo wangu umeisha potea,tazama shavu langu vilevile
maziwa yangu hamna tena nitakuwa mgeni wa nani mimi"
Yule dada alikumbuka jinsi mama alivyo mualibia ndoa
yake akasababisha akafungwa akasababisha mpaka mme wake kujiua"Dada
akasema"rafiki yangu umenifanyia mambo
mabaya sana lakini siwezi kukutupa"Yule dada akamwambia doctor
naomba atibiwe pesa nitalipa Mama akamuuliza wewe utalipaje hela umetoa wapi
hizo milioni za pesa mimi kutibiwaYule dada akasema doctor wewe mtibu tu apone
pesa ninayo.Mama alianza kutibiwa.
kipindi yupo anatibiwa yule dada akamfata mzungu
wake na kumuelezea hali ya rafiki yake.Yule mzungu akamuonea sana mama huruma kisha akasema atalipa pesa
zote hizo za matibabu maana yule dada alimtetea sana mama kuwa ni mtu mwema na
ni kama ndugu yake.Kipindi mama anapata matibabu alihudumiwa vizuri mpaka
akaanza kupata nafuu,Kumbe yule mzungu na mama yangu mlezi (mama Danieli)
walikuwa marafiki!Na yule mzungu alikuwa akija afrika ili kufanya biashala na
mama daniel maana wote walikuwa wafanya biashala.Yule mzungu akamtambulisha
yule dada kwa mama danieli kuwa ndiyo mke wake! yule dada na mama Daniel
wakaanza kuitana wifi.siku moja ikabidi mama yangu mlezi, yule dada, pamoja na
mzungu waende hospital kumjulia hali mama yangu wa kambo, na wakati huo mimi sina
taarifa kama mama danieli anaekwenda
kumuangalia hospitari ni mama yangu wa kambo jamani.
Usikose sehemu ya 46
SEHEMU YA 46.
Mama Danieli na wenzake walipo fika hospitari
walimuonea sana huruma mama yangu wa kambo maana alikuwa katika hali mbaya sana
kiafya.
Mama danieli alipo mtazama vizuri mama akakuta
kawekewa bandeji hivyo akauliza "hii bandeji kwenye maziwa niyanini"
Alijibiwa na yule dada kuwa "Wifi hata hivyo hakukatwa shavu peke yake
bali alikatwa na maziwa pia" mzungu akauliza kwamba
"jamani ongeeni kingeleza na mimi nielewe"
alielezewa pia
ila alimuonea huruma sana mama,
Kipindi dada anaanza kukauka vidonda vyake na kuanza
kuwa salama kiasi doctor alimuruhusu aende nyumbani akamalizie dawa ili awe
salama zaid,
Na siku hiyo hiyo yule mzungu alikuwa anarudi kwao
Germany na alikuwa anaondoka na yule dada.
Mama yangu wa kambo alipo sikia zile taarifa akaanza
kulia huku akisema "jamani best yangu wewe ukienda kuolewa uko na mme wako
huyo mzungu mimi nitaishi vipi jamani sina msaada wowote mimi"
Yule dada akamwambia "kwa sasa siwezi kubaki
maana kila mtu ameisha juwa, nimewaaga watu wangu wote kuwa naenda germany kwa
mme wangu sasa kubaki siwezi"Kipindi wanazozana pale mama akasema ile kazi
siifanyi tena manusra iniue, yule dada akasema hii kazi imenipatisha mume,tena
mume wa kizungu ila siifanyi tena,
Yule dada akamuuliza mama "sasa ukitoka hapa
utafanya kazi gani ndugu yangu maana ata kazi sahivi ngumu kupata"Mama
akamjibu kuwa "nitafanya kazi yoyote ile atakama ni kazi za ndani nipo
tayali kufanya"Mama aliposema kuwa ata kazi za ndani anaweza kufanya, mama
danieli alikuwepo pale akasema "we dada kama kazi za ndani unaweza kufanya
basi usijali mimi nilikuwa natafuta mfanyakazi wa ndani! kama upo tayari
tukitoka hapa hospitari twende moja kwa moja mpaka kwangu".
Yule dada alijiandaa jioni yake akaenda na mmewe
uwanja wa ndege akasafili kuolewa kabisa na mmewe na akaishi maisha mazuri sana
kule.Mama yangu wa kambo akachukuliwa na mama yangu mlezi (mama danieli) kisha
akamleta nyumbani ili awe mfanyakazi
wetu wa ndani.
Kipindi anafika nyumbani alipokelewa na mdogo wangu
wa kike,
Wakati mimi natoka chumbani kwangu nakuja sebreni
ili nimuone mgeni.Dooh! Nilishangaa kumuona mke wa baba pale kama mfanyakazi
niliogopa maana nilikuwa najua ni mchawi na......
FATILIA YA 47
SEHEMU YA 47.
Nilishangaa sana kumuona mke wa baba kwamba ndiyo
mfanyakazi wetu wa kazi za ndani, sikutegemea, niliogopa na kushituka kidogo
maana nilikuwa namjua mama vizuri yani kwamba baba alikuwa akimpa pesa na
alikuwa akipendeza sana na anachukua vijana wa aina yoyote atakayo kwa pesa
zake, Na nilimjua kuwa ni mchawi na niliumia sana maana ndiye alie sababisha
mama yangu afukuzwe nyumbani na akafa jamani.kibaya zaidi ndiye alie sababisha
mpaka nikapelekwa na baba polisi kufungwa! huyuhuyu mama ndiye alifanya mpaka
nisimzike mama kipindi amefariki, nilijikaza kwa yote ila nilipo jitazama
katika mkono wangu nikakumbuka alama ya marehemu mke wa hans alie taka kumchoma
mama kisu tumboni sababu alimfumania na mmewe ila mimi nikakinga mkono wangu
ili mama asife, Nilikumbuka jinsi nilivyo kuwa nikinkuta mama yangu wa kambo na
wanaume ndani baba akiwa hayupo! Yani sikutamani ata kumuona lakini nilishangaa
kumtazama alivyo alibika sura yake maana alikuwa ana makovu usoni.
Mama alionyesha sura ya huruma sana ali kadharika
alionyesha kunywea sana pale sebureni mpaka nikamuonea huruma ata sikutaka
kusema chochote kibaya kuhusu yeye kwa mama danieli.
Kipindi mama daniel ameenda chumbani kwake kulala
ikabidi nimfate mama wa kambo chumbani, nikamuuliza.
Mama baba yuko wapi? Alafu mbona upo hivyo umechoka
sana na umekuwa mbaya sana sahivi? Na kwanini ufanye hizi kazi? Alafu kwanini
nyumba yetu imeungua nilikuta imebomokabomoka? Na imekuwajekuwaje umefikia
hatua yakufanya hii kazi?
Mama wa kambo alinisimulia kila kitu maana
nilimuonya asipo niambia ukweli namsemea kwa mama danieli ili afukuzwe kazi
Alipo nielezea ndipo nikapata kujua historia yote
kuhusu (damu ya baba)
Sikuwa na kinyongo nae maana nilimuonea huruma hivyo
nikamuacha aishi pale pale nyumbani.
Siku za kwanza mama alikuwa akipika chakula kitamu!
Alikuwa akifanya kazi zote vizuri mpaka mama dani akampenda sana akaanza
kumtunza kama mdogo wake akimpa pesa ya nguo na matumizi yote,
mama alivyo anza kupendeza upya ndipo akapata roho
ya kutu tena, akataka kuniua mimi pamoja na mama dani! ili abaki yeye pale
nyumbani maana mama dani hakuwa na mme wala ndugu, hivyo mama alitaka kumiliki
zile mali mwenyewe jamani! Ndipo...
Itaendekea sehemu ya 48
SEHEMU YA
48 .
Mama yangu wa kambo akukumbuka fadhila na mazuri
yote aliyo tendewa na mama Danieli, Alitamani amuondoe mama dani duniani ili
yeye abaki kuwa mumiliki wa mali zote zile nyumbani, Maana mama dani alikuwa na
nyumba kubwa yenye ghorofa moja, mbele ya nyumba alikuwa na fulemu za maduka
tisa na pili alikuwa na magari ya kifahali sana jamani.
Siku moja usiku kipindi mama wa kambo anapika
chakula mdogo wangu wa kike alimuona akiwa anatoa dawa kwenye fundo la kanga
kisha akanyunyizia kwenye chakula.
Mdogo wangu hakuniambia kama kaona sumu inawekwa
bali alikimwaga kile chakula chote chini, Mama dani alimgombeza sana
"kwanini unatulaza njaa sisi? yani unamwaga chakula makusidi kabisa,
nahisi utakuwa na maleria kesho nakupeleka hospitari"
Mdogo wangu alikuwa mkimya kama marehemu mama hivyo
hakusema chochote.
Baada ya mama wa kambo kufeli mpango wake wa kwanza,
ndipo sasa akamfata yule ndugu yake ambaye baba alimuona usiku kule makabulini
na wachawi wenzake wakimfufua Zabroni ili awe mwenzao,
Yule ndugu yake alimlaumu sana mama kwanini kakaa
kimya siku zote zile.
Ila alimkubalia ombi lake la kumpa dawa za
kishirikina ili aweze kuteketeza familia yetu yani mimi, mdogo wangu wa kike na
mama danieli.
Mama yangu wa kambo alimfanya kitu kibaya sana mama
danieli
Ilikuwa ni jumamosi mama danieli akiwa amepata
wateja kutoka Germany hivyo akataka kumuachia pesa za matumizi mama ili aweze
kusimamia kila kitu pale nyumbani kipindi mama daniel anatoka chumbani kwake
kumpelekea pesa mama!
Kipindi anavuka mlango wake tu aliangua chini vibaya
sana mama danieli! mimi nilikuwa naoga
lakini nilikisikia kile kishindo.
Kumbe mama alikuwa ametega dawa pale mlangoni.
Nilimpeleka mama hospitali huku mama wa kambo
anajifanya analia kumbe yeye ndiye mchawi.
Mama dani mguu wake ulianza kuvimba ulitanuka sana ukajaa maji na kuweka mikato
mikato mingi, Docta akasema ile ni kansa! hivyo mama akaambiwa akatwe mguu, doh
alikataa akasema nikikatwa miguu biashala zangu zitakufa zote jamani,Ikabidi
arudi nyumbani maana alikataa kukatwa kabisa, mguu uliendelea kuharibika sana
alianza kuoza mguu wake! mimi nilisikitika sana pale nilipo waona wadudu aina
ya funza kwenye mguu wa mama dani nililia sana …
Usikose sehemu ya 49.
SEHEMU
YA 49.
Hali ya mama danieli iliendelea kutisha ata kila
aliye kuja kumtazama alijua lazima afe tu, mama yangu wa kambo alionyesha
tabasamu la kinafiki ili tujue na yeye kaumia kumbe ndiye chonzo kikuu. Mguu uliendelea kuonyesha kuwa hauwezi kupona
tena na mama danieli alikataa, akasema, "hii sio kansa maana kwetu hamna
huu ugonjwa, vilevile nikitu cha ghafla
sana kwahiyo siwezi katwa", Mimi umri wangu ulikiwa umeenda pia maana
nilikuwa na miaka 22 hivyo nikajiongeza palepale nikamfata mganga wa kienyeji
aje kumsaidia, ila wote tulishangaa sana! mganga alizidiwa nguvu kabisa akasema
awezi kutibu na akasema mama dani awezi kupona! Nilihisi anatania ndipo
nikawaita mashee, mapadri na wachungaji wa kilokole! Ila wote walikata nao
tamaa kabisa.
Mama danieli aliendelea kuwaza sana chakushangaza,
mama dani Akaanza kutoa harufu ya kuoza, mule ndani kukawa kunanuka sana hivyo
ata wageni wakaacha kuja.
Ilipo fika usiku mida ya saa tisa nikiwa nimelala tu
nawaza nikilia maana nilikuwa nampenda sana mama dani jamani! Mzimu wa marehemu
mama yangu ulinitokea ukiwa umevaa nguo nyeupe sana niliogopa maana sikuamini
na nilishangaa sana.
Ukaniambia, "mama danieli amelogwa na mama yako
wa kambo, na mama yako alimtegea dawa mlangoni kwake ili akivuka tu aweze
kuugua, hata na nyie mpo hatarini sana hivyo nakuomba mwanangu nenda juu ya
kaburi langu chukua mchanga wa kaburi langu juu
kisha njoo umwagie mama danieli kila alipo patwa na tatizo mwilini
mwake! ukifanya hivyo atapona mda huohuo! usichelewe unatakiwa kufanya hivyo
kabla ya saa moja asubui kesho hivyo amka sahivi kisha nenda!"
Nilimwambia kuwa
"Mama kaburi lako silijui", "nenda
nitakuelekeza mwanangu"
Niliamka haraka haraka kumbe mama wa kambo alisikia
kila kitu!
Ndipo akaanza kuniweka vipingamizi vingi ili
nisifike makabulini.
Kipindi nafungua mlango taratibu mida ya saa tisa
kukiwa na giza sana,dooh nilishangaa sana kuona paka mweusi sana mlangoni akiwa
analia kama mtoto mchanga! nilishika jiwe kisha nikamponda ili akimbie aache
kutulilia!
kumbe hakuwa paka ila ni mama wa kambo anafanya
mambo yake
Nilipo mponda tu paka sauti yangu ikapotea ghafla,
miguu yangu na mikono ikaishiwa nguvu nikashindwa ata kwenda makabulini...
usikose ya #50
SEHEMU YA
50.
Niliishiwa
nguvu sana na nilishindwa ata kupiga kelele ili mdogo wangu aje kunisaidia
maana kipinda namponda yule paka nilisema "TOKA HAPA" ndipo sauti
yangu pia iligoma kutoka hivyo nikalala pale pale nje nikiwa sina nguvu ata ya
kuingia ndani wala kuwaita watu wanitoe nje, mzimu wa mama ulishindwa
kunisaidia pia maana wale wachawi walikuwa na nguvu sana hivyo mama angeingilia
tu na yeye ange hadhibiwa.
mda ulikuwa inaenda sana kufika saa moja mda wa mama
dani kufariki!
Mama wa watu alilia sana akaomba mungu ampe nguvu
tena japo amalizie kutusomesha tu ila ndiyo alikuwa anaendelea kuharibika mwili
mzima, mama danieli alioza mpaka sura yake ikawa aitambuliki
mule ndani kwetu n'zi walijaa sana hakukua ata na
uafadhali.
Ilipo fika saa moja kamili mama danieli alipoteza
uhai wake jamani, macho yake yakawa ya bluu sana! mda huohuo na mimi nikapata
nguvu zangu zote ghafla na sauti yangu ikarudi kama zamani.
Dah nililia sana maana mama danieli alikuwa
kanisomesha mpaka chuo hivyo nilikuwa nimebakiza mwaka mmoja tu kumaliza
masikini.
Tatizo likaja kwenye kumzika sasa! maana ata kumtoa
ndani ilikuwa ni shida, Alikuwa ananuka
sana mama wawatu.
Mama wa kambo akawa asaidii chochote ndipo mimi
nikaenda kituo cha polisi kulipoti ili serikari iweze kutusaidia kumzika mama
dani sababu mama dani pia alikuwa hana ndugu yoyote tofauti na mama yake
kijijini, ila na mama yake alikuwa mzee sana, maana mama dani alikuwa mtoto wa
mwisho kwao kuzaliwa.
Serikari ilimzika mama danieli jaman ila tuliumia
sana ata majirani waliumia sana pia.Baada ya miezi 4 mama akaanza kuingia
kwenye chumba cha mama daniel kutazama mali zake.Kweli mama wa kambo alianza
kumiliki kila kitu sijui alitufanyaje na sisi tukaanza kumsikiliza yeye kwa
kila asemacho bila kumpinga.Siku moja mvua inanyesha mama akatoka na gari la
marehemu mama danieli kisha akaenda kutembea wakati yupo njiani akamuona Baba.
Mama alikimbiza sana gari kisha akakanyaga taili
makusudi kwenye bonde yale matope yakamrukia baba! Kipindi baba analalamika
mama akafungua dirisha kisha akamwambia "bado unatembelea gongo shauli
zako"Baba alilia sana akajutia kwanini alimfahamu huyo mwanamke.
siku moja usiku sana kipindi tumelala …usikose
sehemu Ya 51.
SEHEMU YA 51.
Mama wa kambo alikuwa akifanya mambo yake ya
kishirikina usiku pale nyumbani, wote tulikuwa tumelala ila mimi niliangaika
kupata usingizi siku hiyo, kipindi bado natafuta usingizi nilisikia sauti ya
mama yangu wa kambo akilia kama mtoto mida ya saa nane na robo! Niliamka nikaanza
kunyata polepole ili niende kusikia na kutazama nini kinaendelea mule chumbani
kwa mama yangu wa kambo.Sikuamini nilicho kisikia kwa masikio yangu jamani,
kumbe mzimu wa mama daniel ulikuwa unamsumbua na kumtesa mama kila saa nane kamili usiku!
Ulikuwa ukimtokea na kumwambia kuwa.
"nilikusaidia maisha yako lakini umeniua, nilijitahid kukupenda sana
lakini umetoa uhai wangu".
Mama alikuwa hapati usingizi kila siku anapo lala
maana mzimu ulikuwa unalia na ulikuwa unapiga kelele sana chumbani kwake.
na mala nyingi mama alikuwa akilala sana mchana
maana alikuwa akiteseka kila siku usiku anasumbuliwa na mzimu wa mama dani,
Nilimsikia mama akilia chumbani akisema, "mama
dani nisamee, niache niishi kwa amani jamani"
Niliondoka polepole kisha nikaenda kulala chumbani
kwangu.
Mama wa kambo aliamua kuomba msaada kwa ndugu yake
alie mpa uchawi ili wazuie kilio cha mama dani kinacho mtokea kila siku usiku
mama wa kambo ili mama aishi kwa furaha.
Mama alikubaliwa kusaidiwa ili asiweze kusumbuka
tena, lakini mama alipewa sharti moja tu,
Alitakiwa kuondoa na kuhakikisha ana muua mdogo
wangu wa kike ili miungu iweze kumsaidia asiweze sumbuliwa na mzimu wa mama
dani kila siku usiku.
Mama aliingia chumbani kwa mdogo wangu kisha akaweka
dawa zake za kichawi chini ya godoro ili mdogo wangu akilala tu afe, na sisi tumkute asubui kaisha
kufa tena bila mama kugundulika kama ni
yeye kafanya mauaji.
Baada mama wa kambo kutega dawa zake, mdogo wangu na
yeye alikuwa amerudi kutoka kwenye mizunguko yake hivyo kipindi mdogo wangu
anafika nyumbani, dawa zilikuwa tayali zimetegwa hivyo mdogo wangu akilala tu
anafariki hapohapo.
Mdogo wangu alipo fika nyumbani alienda kuoga ili
aweze kupumzika maana alikuwa amechoka sana siku hiyo, kipindi anataka kulala
kitandani akakumbuka hatujaonana, maana mimi na mdogo wangu tulikuwa
tunapendana sana hivyo akaja kwanza chumbani
Kwangu kuniaga ili akalale.Usikose sehemu ya
SEHEMU YA 52.
Kipindi mdogo wangu yuko chumbani ananiaga ili
akalale alionyesha sura ya upole na aliniaga kama vile anaenda kufa masikini.Alisema
"kaka yangu nimechoka sana leo, yani nahisi nikilala naweza kufa
kabisa"Nilicheka nikamwambia hapana mdogo wangu hauwezi kufa.Aliniambia usiku
mwema kaka tutaonana kesho,Wakati anatoka chumbani kwangu anaelekea kwake alipo
toka tu kwangu, akashangaa sana kumuona mama sebreni akiwa anatamani mdogo
wangu akalale ili afe.
Mdogo wangu akamuuliza mama "mama mbona macho
yako yamekuwa mekundu sana? alafu umenuna hivyo? na umefunga kwa kujikaza
kitambaa chekundu kichwani kama waganga wa kyenyeji.
Mama akasema
kwa sauti sana kwamba,
" WEWE KIMYA, NENDA UKALALE KITANDANI KWAKO
UKO, NATAKA KUISHI KWA AMANI MIMI"
mdogo wangu hakujua kuwa mama ni mchawi hivyo
hakuelewa chochote mda ule,
Akauliza tena "mama mbona leo unanilazimisha
nikalale, siku zingine mbona nalala mda ninao utaka mimi"
Mama aliamka kimya kimya bila kujibu chochote akiwa
anamtazamia jicho kubwa sana huyu mdogo wangu.Mdogo wangu alishangaa sana yale
matendo,Mdogo wangu akaanza kwenda chumbani kwake ili akalale, mama alifurahia
sana kipindi mdogo wangu anaenda ndani kwake maana alijua akilala tu kitandani,
mzimu wa mama dani utapumzika na utaacha kumsumbua.
Mdogo wangu aliingia ndani kwake kisha akasukuma
mlango ili aweze kujitupa kitandani kupumzika.
Mama alifurahia sana alivyo ona mdogo wangu kafunga
mlango wake ili alale akajua lazima mpango wake utakamilika.
Kipindi mdogo wangu yupo chumbani kwake kabla
hajalala alikuwa anapenda sana kuandaa nguo zake za kuvaa kesho shuleni ili
asiweze kuchelewa.
Mdogo wangu viatu vyake vya shule alikuwa akipenda
sana kuviweka uvunguni mwa kitanda.
Hivyo akataka kuvitoa ili aviandae mapema ili kesho
akiamka aweze kuwai kwenda shuleni bila kuchelewa vipindi vyake vya twisheni. Aliinama
chini kuvichukua viatu vyake, ila vilikuwa kwa mbali, asingeweza kuvichukua kwa
wepesi, Ndipo akapata wazo la kubinua godoro ili aweze kuvitoa viatu vyake.
Kipindi anabinua godoro alishangaa kuona vitu vya kichawi ndani kwake!Maana
ulikuwa ni mjusi umeoza na umefungwa wembe aina ya "gillete" pamoja
shanga ya plasitic.Doh Alipiga kelele sana..Usikose sehemu ya 53
SEHEMU YA 53
Mdogo wangu alipo piga kelele, sikusikia mala ya
kwanza maana tayari nilikuwa nimepitiwa na usingizi.Mdogo wangu Alilia tena
akisema "kaka njoo unisaidie, kaka yangu"Mimi nilihisi kama kuna vitu
naota ndotoni hivyo nikashtuka, ndipo nikamsikia mdogo wangu analia akiniita! Maana
aliogopa sana kutazama ule mjusi ulio fungwa shanga ya palastiki pamoja na
wembe ya gillete juu.Nilipo ingia chumbani kwake nikamuuliza "mdogo wangu
tatizo nini" akanijibu "kaka fungua ilo godoro uone"Nilipo
fungua nikalitupa hapohapo chini maana nilijua moja kwa moja kuna uchawi humu
ndani na iliogopa pia.Nikamwambia subilia ngoja nikamuite mama aje atusaidie.
Nilipo enda kwa mama kumuita nilishangaa sana
kusikia analia mwenyewe chumbani kwake akisema. "Mama dani nisamee, nihurumie
unanitesa sana mama dani"Dah nilishituka sana ingawa sikuelewa chochote
ndipo nikagonga mlango wake ili atoke twende chumbani kwa mdogo wangu.Alipo
fungua mlango, nikamwambia mama "mdogo wangu amepatwa na matatizo chumbani
kwake twende kumuona".Mama akajua tayari kafanikisha mpango wake wa kumuua
mdogo wangu! Akaanza kulia akisema"jamani mtoto wangu umefariki
nilikupenda sana mwanangu"
Sikumuelewa kabisa pale nikamuuliza mama mbona
unasema amefariki wakati bado ni mzima kabisa.Tulipo ingia ndani kwa mdogo wangu
mimi pamoja na mama wa kambo.Mdogo wangu akamwambia mama kuwa."Mama
nilikuwa nabinua godoro ili nichukue kiatu chini ya uvungu, ila nimeshangaa
sana kukutana na mjusi huyu chini ya godoro"Mama akamwambia "we mtoto
kwahiyo siku hizi usiku unabinua magodoro sio, ebu rudisha huyo mjusi labda
mama dani alimuweka mwenyewe kipindi yupo hai"
Mimi Nikamwambia kuwa"mama dani alikuwa hana
hayamambo ya kishirikina"
Mama akasema we mtoto umejuaje kama huu ni
ushirikina?
Nikamwambia "
mama sisi ni watu wazima sahivi tunaelewa sana,mjusi
auwezi kujifunga shanga na kujifunga wembe, ni binadamu pekee ndiye alie pewa
akili ya kufanya mambo kama haya sio wadudu wala wanyama"
Mama akasema ebu leteni nikamchome moto huyo mdudu
labda ni uchawi kweli.
Mama alichukua ule mjusi kisha akaubeba kwenye mfuko
mweusi kwa usitaharabu sana.
Kumbe mama akawa amepanga kesho amuue mdogo wangu
tena macho kwa macho
Usikose sehemu ya
54.
SEHEMU YA 54.
Ilipo fika asubui kipindi wote mimi na mdogo wangu
tumeisha jiandaa ili twende shule,
Mama aliamka mda huohuo akasema, "wanangu
naomba mnisikilize, jana usiku sikulala vizuri, yani najisikia naumwa sana
hivyo siwezi kubaki mwenyewe hapa nyumbani, sasa naomba huyu mdogo wako wa kike
abaki nyumbani na mimi, ili aweze kuniangalia na kunisaidia baadhi ya kazi
maana nina umwa sana jamani"Kumbe mama alikuwa anataka kumuua mdogo wangu
pale nyumbani wakibaki wawili ndani.Dah mimi nilipatwa na moyo wa huruma sana
kwa mama alipo sema anaumwa hivyo
nikasema "mama ngoja nibaki mimi nikuangalie, wacha mdogo wangu yeye aende
shule "
Mama akasema "hivi tangu lini mwanaume akauguza
mwanamke, mbona unaniletea ubishi wewe, Haya sasa twende ukaniogeshe maana sina
nguvu kabisa mikononi!"Nikamwambia "sikujua kama unaumwa kiasi
hicho"Mdogo wangu roho yake ilikuwa inamsuta sana kubaki akasema "leo
tuna mtihani hivyo nikiukosa itakuwa ni shida"
Mama akamwambia "kumbe unipendi ehh haya sawa
nenda niache ndani tu nife peke yangu"
Mdogo wangu akakubali kubaki akijua wazi kuwa mama
anaumwa, kumbe ulikuwa ni mpango tu wa kuondoa maisha yake jamani.
Niliamua kuondoka na kuwaacha wakiwa wawili ndani.
Mama akamwambia naomba ukanichemshie maji jikoni
alafu urudi sebreni hapa nikutume nje.
Mdogo wangu alivyo toka tu, yule kaka mchawi ndugu
yake mama akaja ili kumsaidia mama yale mauwaji. Kipindi mdogo wangu anatoka
jikoni anarudi kumsikiliza mama sebreni, akakuta mgeni anaetisha, maana yule
kaka alikuwa amevaa kanzu nyekundu akiwa amejipaka majivu usoni. mdogo wangu
alipo taka kukimbia milango yote ilikuwa imefungwa na funguo.
Yule kaka akamshika mdogo wangu kwa nguvu kisha
akamwagia dawa mdomoni mwake.
Na alipo mwagiwa dawa kichwani mdogo wangu alikaa chini kimya bila
kusumbua kisha mama akaambiwa "Sasa unaweza kumuua sasa ila usimpake maji
kabla ajafa"
ndipo yule kaka akaondoka.Mama akabaki yeye na mdogo
wangu tu ndani,
kipindi hicho mimi nipo darasani nasoma bila kujua
kinacho endelea kwa mdogo wangu masikini
Mama akamwambia "sikupenda kukuua mwanangu lakini
nitakuua maana nisipo kuua wewe, nitaendelea kuteseka maana mzimu wa mama dani
unanitesa sana silali kila siku mimi. #55
SEHEMU YA 55.
Baada ya mama
wa kambo kumwambia mdogo wangu kuwa anamuua ili asiteswe na mzimu wa mama dani.
Mdogo wangu alilia sana masikini akasema "mama naomba usiniue, Nisamee
kama nilikukosea, natamani kusoma mama, kuishi ili ukizeeka nikutunze
mimi."
Mama alisema siwezi kukuacha maana usiku silali
nateseka sana wala ata sifurahii maisha, Wakuu wamesema nikikuua tu sisumbuki
tena,
mdogo wangu akasema "mama kumbe we mchawi,
kumbe wewe ndo umemuua mama dani kwanini unafanya hivi mama"
Mama wa kambo alichukua kile kipembe cha mbuzi ili
amgusishe kichwani mdogo wangu afe,
Kipindi amekinyanyua kipembe cha mbuzi kilicho pakwa
damu ili amuue mdogo wangu.
Wakati anataka kumwekea kichwani mdogo wangu alilia
sana masikini akisema "hee mungu wangu nisaidie"Wakati mama wa kambo amekaribia
kumuua mdogo wangu! Palepale mzimu wa marehemu mama mzazi ukaja na kumshika
kimiujiza mama wa kambo.Mama wa kambo akauwambia mzimu, "hivi wewe mama
mbona unanifatilia ebu niache"mzimu ulimwambia "kama marehemu mama
dani anakusumbua katubu dhambi zako usimuue mwanangu"
Mama wa kambo akasema, "lazima afe tu leo"Mzimu
wa mama ukamwambia mdogo wangu "amka kimbia huyu mwanamke ameshika pembe
nashindwa kukisaidia vizuri"Mdogo wangu alikimbia mpaka jikoni, mama wa
kambo akamfata hukohuko, na mzimu wa mama ukaangaika kumfata mdogo wangu
kumsaidia jikoni.
Mdogo wangu akachukua sipea ya ufunguo ili akafungue
mlango akimbie.
Kipindi mdogo wangu anataka kukimbia! Pale jikoni
kulikuwa na maji chini ya sakafu, hivyo akateleza akaanguka chini, wakati ana
nyanyuka ili aweze kukimbia, Ndipo mama akachukua yale maji ya moto aliyo
mwambia achemshe kisha akamwagia usoni mdogo wangu! Doh alilia! sura yake
ikaaribika jamani
ila akajikaza mpaka akatoka nje ya nyumba.
Mdogo wangu alipo toka nje ya nyumba hakutaka tena
kurudi pale nyumbani na hakutoka na chochote,vilevile hakuniambia ata mimi
anakimbilia wapi?
Kipindi mimi nipo shule nilihisi kichwa kinaniuma
sana na sikuwa na raha kabisa hivyo nikaamua kurudi nyumbani.Nilipo fika
nikamkuta mama mwenyewe! Nikamuuliza mdogo wangu yuko wapi? Akasema amefatwa na
mwanaume wake wakaondoka wote, nilimsubilia sana lakini hakuja, kesho yake
nikamuuliza tena mama........
Usikose Sehemu ya 56
SEHEMU
YA 56.
Siku ya pili ilipo fika bila kumuona mdogo
wangu,akili haikukaa sawa kabisa nikamuuliza mama, mdogo wangu yuko wapi.
Mama alinijibu kuwa "labda ameisha olewa uko
alipo, maana jana binti amefatwa na bwana yake, kama asipo rudi ujue kampenda
bwana ake na ameisha olewa kabisa"
Nilimwambia mama kuwa "mdogo wangu hana tabia
kama hizo, unamsingizia, na tangia umekuja hapa familia inaangamia tu, najuta
sana kwanini sikumwambia mama dani kuwa
wewe unatabia za kishirikina"Mama akasema hapana mwanangu mimi sio machawi
nilisha acha zamani hayo mambo ya uchawi mimi.
Nilitoka nje kisha nikaanza kumtafuta mdogo wangu
alipo, kila nilie muonyesha picha yake alisema hamfahamu.
Ila walisema kuna dada alilala nje ya lile duka jana
usiku lakini yeye alikuwa ameungua sura
yake na urefu wanalingana lingana na hii picha.
Mimi niliwambia sura yake aijaungua ipo sawa na
ajawai kuungua,
kumbe kweli alikuwa ni mdogo wangu kaunguzwa na maji
ya moto masikini.
Mdogo wangu aliamua kupanda kabisa usafiri na kuamia
mkoa mwingine maana alichanganyikiwa kabisa kwa vitu alivyo viona na kuvisikia
ndani ya ile nyumba na alitokea kumchukia sana mama maana alitaka kumuua.
Wakati mdogo wangu anapanda lile (Bus) hakuwa na
nauli yoyote mfukoni hivyo akapanda tu hivyo hivyo.Kipindi basi limeenda mbali sana vijijini kabisa ndipo konda
akaanza kuomba tiketi ili ajue walio lipa na ambao hawajalipa.
Mdogo wangu alikuwa na kidonda chake usoni masikini,
alianza kuogopa atasema nini endapo konda akimuomba tiketi.Konda alipo mfikia
mdogo wangu akamuomba tiketi.
Mdogo wangu akamwambia "kaka nisamee sina pesa
ya nauli" konda akasema "kwanini ukusema mapema, hivi ujui na mimi
nimeajiliwa naulizwa na bosi, ebu naomba ushuke dada"
Dereva alisimamisha basi mdogo wangu akashushwa na
kutelekezwa palepale kijijini kama mwizi jamani, watu walishangaa sana wakasema
mbona huyu dada ameungua sura hivi labda alikuwa mwizi jamani, binti anatabia
ya wizi ndiyo maana anapanda basi bila ata kusema kama hana nauli.Mimi
nilimtafuta kila kona mdogo wangu sikumpata kabisa.Wakati mdogo wangu
ametelekezwa mwenyewe na hajui atakula nini, hana ndugu yoyote pale alilala
chini pembeni ya barabara akaanza kulia masikini!..
Usikose Sehemu ya 57
SEHEMU YA 57.
Mdogo wangu alikata tamaa ya maisha kabisa,
akatamani kufa maana alipatwa na njaa kali sana, sababu tangu atoke nyumbani
alikuwa ajaweka chochote tumboni mwake.Aliamua kuamka na kuangalia kama anaweza
kumuona mtu maeneo yale ili amsaidie ata maji ya kunywa tu.Kipindi anatembea
kule kijijini akakutana na shamba lenye miti ya maembe na kulikuwa na mahindi
pia mule shambani.
Mdogo wangu hakutaka kujua kama ni shamba la mtu
alienda moja kwa moja mpaka shambani kisha akapanda juu ya muembe, akaka vizuri
ili aweze kuchuma maembe kupunguza njaa yake mdogo wangu kipindi anataka
kuchuma embe kumbe kulikuwa na nyoka mwembamba wa kijani pembeni,Mdogo wangu
alikuwa muoga sana alipo muona yule nyoka alidondoka chini mpaka paja lake
likachomwa na miba akapiga kelele maana alidindoka mzima mzima, kale kanyoka
pia kakakimbia na kuamia mti mwingine.
Sasa kipindi anadondoka chini mwenye shamba alikuwa
katikati ya shamba anakagua, Alivyo sikia mtu kaanguka kwa kishindo huku
akipiga kelele shambani mwake, akajiuliza "huyo ni nani ngoja
nimfate"
Alipo fika akamuuliza wewe ni nani, mdogo wangu
akasema "nilikuja kula maembe kumbe kwenye muembe kuna nyoka hivyo kidogo
anin'gate ndipo nikadondoka chini"
Yule baba akasema "kwanini unaniibia maembe
yangu"
Mdogo wangu akasema mimi sikujua kama siruhusiwi
kula maana nina njaa sana baba yangu"
Yule baba akasema "nyie watoto mnaniibia sana
matunda shambani mwangu sasa leo nimekupata wewe, na ndiyo utakuwa fundisho kwa
wenzako"
Mdogo wangu alikamatwa mikono na yule baba kisha
akampeleka nyumbani kwake ili ampe adhabu.
Kipindi mdogo wangu amefungwa kwenye mti ali aanze
kuchapwa, maana yule baba alikuwa anapenda kufanya hivyo kwa mtu yoyote mwenye
kosa.Ila siku hiyo yule baba alikuwa amechoka sana hivyo akamuita mwanae
akamchape mwizi wake.
Kipindi mwanae ameshika fimbo anaenda kumchapa
akashangaa mdogo wangu anasema " baba husinichape ni mimi mwanao"
Yule mtoto wa yule baba akasema "mwanangu yupi
tena" Ni mimi ulie niacha mjini na kaka yangu baada ya mke wako kufariki,
ukaniacha mimi na kaka yangu mjini wewe ukaja na watoto wako kijijini.Kumbe
alikuwa ni HANS masikini alie waacha mjini wakiwa wadogo sana hans akamuuliza..
Usikose sehemu ya 58.
SEHEMU YA 58.
Hans akamuuliza, kaka yako yuko wapi? alafu mbona
sura yako imeungua mpaka nikashindwa kukutambua? Na umefikaje fikaje huku maana
sikuwambia nakuja kijiji gani.
Mdogo wangu akasema, tulipata bahati ya kukaa kwa
mama mmoja tajiri, tuliishi vizuri kwake,
lakini alikuja mwanamke mwingine ambae kaka
aliniambia ni mama yake wa kambo, Huyo mama alivyo kuja tu, yule mama mwenye
nyumba akafa,kumbe yule mama akataka kuniua na mimi, mzimu wa marehemu mama
yangu ukanisaidia mpaka nikatoroka nyumbani.
ila nikapanda gari bila pesa yoyote mfukoni! sasa
konda alipo kuwa anangalia tiketi
akanishusha tukiwa tumefika hichi kijiji,
sikuwa na sehemu ya kula ndiyo maana nikaja shambani
kula maembe yule mzee wako ila akanikamata.
Hans akamuuliza na sura yako je,?
kipindi nataka kukimbia yule mama akanimwagia maji
ya moto usoni, yani hapa nilipo nahisi maumivu sana na kidonda bado kibichi
bado kinatoa maji.
Hans alimuonea huruma sana akamwambia"
unabahati sana wewe na je konda asinge kushushia hapa au je usinge iba maembe ungefikaje
hapa, alafu una bahati maana baba yangu anachapa sana leo ungekoma" Hans
alimchukua mdogo wangu akampeleka kwa waganga ili wamtibu sura yake,
mungu saidia alipewa dawa za kyenyeji mpaka akapona
sura yake ikakaa vizuri kabisa.
Ndipo akaanza maisha ya kijijini, mdogo wangu akawa
analima na wale watoto wa hans, maana tayali walikuwa mabinti wakubwa tu pale
kijijini.
Mzimu wa mama dani uliendelea kumtesa sana mama
yangu wa kambo ikafika hatua mama akaanza kulala nje ya nyumba kupunguza
mateso, mama alikuwa ateseki mchana lakini usiku alikuwa akiangaika sana
jamani.
Siku moja kule kijijini mdogo wangu alitokewa na
mzimu wa mama , ukamwambia "Mwanangu usione umefika hapa kwa hans, sio kwa
ujanja wako, nimekusaidia mimi mwanangu kukufikisha kwa huyu kijana tena, maana
mimi nilifariki mikononi mwake na mimi ndiye nilie mkabidhi yeye akulee,
muheshimu kama baba yako na usirudi tena kwa mama dani, mpaka mama yenu wa
kambo afe"Mdogo wangu akamuuliza mama "hivi baba yangu mzazi ni
nani"
Mama akamwambia "nilipo fukuzwa na baba yake
kaka yako sikuwa na sehemu ya kulala usiku, ndipo nikabakwa na vijana kama saba mwanangu, ndipo mimba yako ikapatikana,....
Usikose sehemu ya 59.
SEHEMU YA 59.
Mdogo wangu alisikitika sana mzimu wa mama ulipowambia
kuwa baba yake ajulikani,
Ila Maisha yake yaliendelea vizuri sana pale
kijijini yani mdogo wangu akawa mzoefu sana kwa yale maisha, Na ikafika hatua
akayapenda sana
lakini mdogo wangu alikuwa ananikumbuka sana mimi
kaka yake na alitamani hata siku moja
tuonane, lakini aliogopa kuja mjini maana tayari mzimu wa mama ulimwambia
asiende kwa mama dani mpaka mama wa kambo akifa.
Mimi niliendelea kuishi maisha ya wasiwasi na mama
yangu wa kambo pale nyumbani lakini nilivumilia tu.Baada ya siku kwenda mbele,
siku moja Hans akamuita mdogo wangu kisha akamwambia kwamba "Mwanangu
nakumbuka ulisema kuwa kipindi upo mjini ulikuwa unasoma sekondari?" Mdogo
wangu akajibu "ndiyo baba"
Hans akasema "sasa sikiliza kuna mbunge mmoja
amekuja kutafuta kura hapa kijijini kwetu, ili achaguliwe kwa mala ya pili,
lakini amesema wasichana wote hapa kijijini wanaotaka kusoma yupo tayari
kuwasomesha ili wasiolewe kwa umli mdogo"
Mdogo wangu hakuamini akamuuliza Hans kwamba
"baba hivi ya kweli unayo yasema au unatania,"
Hans alimjibu,"kesho utaenda kuandika jina lako
mtapewa pesa za matumizi na mtapelekwa mpaka jijini "dar es salaam"
mpaka shuleni kusoma, ada ya shule na kila kitu anagharamia mbunge mwenyewe na
hamtarudi tena kijijini mpaka mumalize masomo yenu"
Mdogo wangu alifurahi sana akasema "ehh asante
mungu ndoto zangu za kuwa mwanasheria zinatakamilika". Kipindi mdogo wangu
anaenda shule watoto wa hans na hans mwenyewe wakamsindikiza kisha wakamwambia
kuwa "ukimaliza masomo yako usitusahau, utukumbuke na sisi kijijini"
Mdogo wangu akawajibu kwamba siwezi kuwasahau ndugu
zangu, na siwezi kukusahau baba yangu"
Walibaki na majonzi kipindi anaondoka maana walikuwa
wameisha mzoea sana mdogo wangu.
Alipo fika shuleni alikuwa anafauru vizuri sana na
alikuwa anashinda nafasi za juu kila mtihani,
Mimi sikujua kama mdogo wangu yupo mjini maana ile
shule walikuwa hawatoki nje ya geti mpaka wamalize masomo, hivyo ilikuwa ngumu
kutambua kama yuko pale.
Ila sasa siku moja kichwa kilikuwa kinaniuma sana
hivyo nililala kwa tabu sana. Kipindi natafuta usingizi polepole, nilishangaa
kusikia mama anapiga kelele kama anapigwa usiku...
Usikose sehemu ya 60.
SEHEMU YA 60.
Mama alikuwa ameanza kuteswa na mizimu mitatu mida
ya usiku,alipo enda chooni aliukuta mzimu wa mama danieli unalia.Na sebreni
aliukuta mzimu wa mke wa hans unalia ukimwambia "ulitembea na mme wangu hans, alafu ukaniua kwa kuniroga
nimekufata lazima ufe pia we mwanamke"
Mama wa kambo alianza kulia na kwenda kukaa chumbani
ndipo mzimu wa mama ukamtokea na
kumwambia "malipo ni hapa hapa duniani lazima ujutie yote uliyo yatenda
"Maisha ya mama wa kambo yalikiwa magumu sana,
tena sana sana nyakati za usiku,
Mama wa kambo aliamua kwenda kwa wale wachawi ili
wamsaidie, Asiweze kuangaika maana ile mizimu ilikuwa inataka kumtesa sana mama
wa kambo mpaka apoteze maisha yake.
Wale wachawi walimwambia mama "tulikwambia
umuue yule binti ukashindwa sasa tukusaidieje tena"
Mama akawambia "nipo tayari ata kumuua huyu
nilie baki nae wa kiume pale nyumbani, au ata mtu yoyote jirani yangu nipo
tayari kumuua ilimladi hii mizimu isinisumbue"
Wale wachawi walimwambia "hauruhusiwi kumuua
mtu mwingine zaidi ya yule binti"
Mama wa kambo aliwambia "Naomba nimuue huyu
kijana, maana mdogo wake alikimbia nimebaki na yeye mmoja tu"
Walimwambia kuwa "huyu kijana auwezi kumuua
maana alisha toa damu yake kwajili yako, kipindi kile umefumaniwa na mke wa
hans, maana alitega mkono wake kile kisu kikamchoma yeye!hivyo ile damu
inakufata bado nyuma ukimuua utateseka zaidi"
Wale wachawi wakasema "ili hii mizimu
ikapumzike na ikuache wewe unatakiwa kufanya mapenzi na huyo kijana"
Mama alishtuka sana alipo ambiwa kufanya mapenzi na
mimi.
Mama hakuwa na jinsi akakubali kufanya mapenzi nami,
ila aliwaza sana ni jinsi gani ataniambia mimi nifanye nae mapenzi. Alikuja
nyumbani akiwa na furaha sana, nilipo muona nikamwambia mama kuwa "mama
mwaka huu namaliza chuo,natakiwa kulipa ada ya shule"
aliniambia "nitakuletea leo usiku chumbani
kwako" Mama alikuja mida ya saa sita usiku akiwa amevaa nguo fupi
ikionyesha mapaja yake na kitovu chumbani kwangu, aliniambia "mwanangu,
tangia baba yako aniache sijawai kufanya mapenzi na mtu yoyote, Naomba tufanye
mapenzi nina hamu sana, nisaidie mwanangu!huku akiwa ananivua shati langu
polepole.
Itaendelea sehemu ya 61.
SEHEMU YA 61.
Nilisikitika sana pale Mama yangu wa kambo alipo
kuwa anataka kufanya mapenzi na mimi ili
mizimu iache kumsumbua, sikuamini kweli maana nilikuwa sitegemi kabisa tabia
ile kama anaweza kuileta kwangu. Mama alisema kwamba "najua nilikuwa mke
wa baba yako mzazi ndiyo, lakini ata tukifanya mapenzi hakialibiki kitu ebu
angalia tunaishi wawili tu ndani unaniacha mimi nateseka hivi naomba unisaidie
jamani, Mwanangu naomba kubali nitakupa
hiyo ada ya chuo na pesa zote za matumizi ilimladi unikubalie ombi langu ila
usimwambie mtu yoyote itakuwa siri yangu mimi na wewe tu." Nilikataa
nikasema "hapana mama kumbuka wewe ni mke wa baba yangu mzazi! inakuwaje
unanitesa hivi lakini ujue ata mungu hapendi mama yangu nitaanzaje kwanza
kufanya mapenzi na wewe mama yangu". Mimi naomba unisaidie nipate ada japo
nimalizie elimu yangu tu, Maana ata sielewi tangu mama danieli afe umekuwa
unatunyanyasa humu ndani. Angalia mdogo wangu tayari kaisha toroka sababu yako.
Mama aliendelea kusisitiza akisema kwamba "sikiliza mwanangu naomba
unisaidie mimi nateseka sana usiku nikiwa chumbani mwenyewe naomba tufanye japo
mala moja tu inatosha". Dah Sikujua kama anateseka na mizimu nilihisi
mambo mengine tu ya ngono.
Yani mama alijaribu kunishikashika mwili wangu
akiniambia "kwani ukinifanya mala moja utakufa, Ebu acha ushamba bhana,
jaribu ata wewe utafurahia tu", Aliamka akaenda kuzima taa ya chumba
changu usiku huohuo. Niliogopa nika tetemeka sana mimi maana ata hisia japo
kidogo sikuwa nayo kwake huyu mama jamani, na tabia zake mbaya nilikuwa
nazifahamu hivyo nikajua mama anataka kuniharibia maisha ili na mimi niishi kwa
matumaini. Mama akasema "nimezima taa nahisi ndiyo inakutia wewe
aibu" nilimwambia "hapana mama siwezi kabisa kufanya hii dhambi maana
najua ata kwa mungu haitasameewa". Mama akasema kwani mungu unamjua?
Alinilazimisha sana. Ndipo nikaanza kulia kama mtoto ili japo nimkubalie
tufanye mapenzi mizimu iache kumtesa yule mama.
nikasema "mama naomba
tusifanye leo kesho njoo tutafanya". Mama akasema hapana wewe utanitoroka
mimi nataka leo nisaidie tu nitakuwa na wewe kila sehemu kwenye shida na raha
zote za dunia. Nilimwambia mama kuwa "mama toka juu ya mwili wangu mimi
siwezi kufanya tabia zako mbaya" Mama akasema jamani ebu angalia tayari
nipo juu yako kwanini usivue nguo zako zote tu unisaidie japo kidogo tu, atukai
sana mwanangu! Yani wewe haujui tu ila nateseka sana usiku. Mama alikataa
kutoka juu ya mwili wangu huku akinibembeleza nivue nguo zangu zote ili nilale
nae.
Sikuuelewa ule mchezo kabisa, Niligoma ndipo mama
akasema. Tambua mimi ni binadamu na ninatamani hiki kitu pia naomba unisaidie.
Nilimwambia najua unahitaji ila sio kwangu maana mimi ni mwanano. Aliguna
akasema acha ushamba bwana unaniuzi sasa kwani mimi ndiyo nilikuzaa wewe, mama
yako alisha fariki. Mama akasema sasa
sikia "kama unaitaji msaada wowote kutoka kwangu naomba ukubali maana ata
mimi naitaji kuishi kwa starehe pia. Au kama haupo tayari kusoma chuo sema?
Maana ukikataa kufanya ata hiyo ada sitokupa kabisa nakwambia" Mama
alijaribu sana kunishawishi nifanye nae hilo tendo ili mizimu iache kumtesa
usiku. Ila nilikataa. Dooh ndipo nilishangaa mama ananivua mkanda wangu wa
suruali kisha anaivuta suruali yangu chini tukiwa wote kizani, akisema nisadie
mwanangu nisipo fanya na wewe basi nitakosa raha sana. Mama aliongea hivyo
maana sharti la kumuua mdogo wangu alishindwa hivyo akaambiwa alale na mimi
mizimu isimsumbue! ndiyo maana akalazimisha sana nilale nae alipo nivua nguo
kabisa akasema subili kidogo ndipo mama akaenda kufunga mlango na komeo akasema
"nitakuwa nakupa pesa na kukupa unachotaka naomba tufanye tu, ebu angalia
nipo uchi sasa nakutegemea wewe hakuna atakae jua tunafanya hichi kitu maana
tupo wawili tu humu ndani.. Nilipo anza kumuona mama ananifata tena kitandani
Nywere zangu zilisisimka sana nikaogopa ndipo nikamwambia mama kuwa. Mama
sikiliza mimi nipo tayari kufanya mapenzi na wewe lakini naomba tutumie kinga
maana ata shuleni tunafundishwa kwamba, usimuamini mwenzako kwa kumtazama. Mama
akasema sasa hiyo kinga unaipata wapi jamani. Maana mda umeenda
sahivi.nilimjibu hapo nje kuna duka la madawa la masaa ishirini na nne nikitoka
nje nachukua haraka narudi tufanye. Mama alikubaliana na mawazo yangu. Alipo
niruhisu kutoka tu nje ndipo akawa amefanya kosa. niliamua kumkimbia pale
kwake. Mama kipindi yupo chumbani ananisubilia kwa hamu maana alihisi amenishawishi sana kumbe
hapana. Alisubilia sana mpaka akaanza kijiuliza maswali kuwa... huyu mbona
haji? Au amekuta kinga hazipo kwenye hilo duka, ngoja nimsubilie aje anisaidie
nimeichoka mizimu ya kila siku inayo nitesa. Mimi niliamua kutoroka kwa mama
danieli nikamuacha mama yangu wa kambo
mwenyewe ndani ya ile nyumba. Mdogo wangu wa kike kumbe alikuwa
akiendelea na masomo yake na hakuna aliyekuwa hamfahamu shuleni kwao.
Maana alikuwa anafanya vizuri katika masomo, Nilipo toloka nyumbani usiku ule. sikuwa na
sehemu yoyote ya kulala na kulikuwa na baridi sana siku hiyo maana nililala
chini ya mti, mpaka nilitamani sana ningekuwa nyumbani lakini nilikuwa
namuogopa sana mama wa kambo maana kwa jinsi alivyo lazimisha nilale nae
kimapenzi iliniuma sana. Niliamua kulala nje siku hiyo ila nilitetemeka sana
jamani. Mama alisubilia kama naweza kuja, ila sikurudi tena nyumbani na nilimchukia mama sana maana
niimuona ni mtu mbaya katika maisha yangu, sababu alikuwa mwasilika na alitaka
kufanya mapenzi na mimi, wakati mimi nateseka sina pakulala jamani. Kumbe mama
anateswa pia na mizimu. Mama aliendelea kuteswa zaidi maana Kipindi cha nyuma
alikuwa akipigiwa kelele tu. hivyo walipo ona amezoea kupigiwa kelele. Mizimu
pia ikabadilisha hadhabu, ilikuwa inakuja chumbani kwake imevaa sanda nyeupe
kisha inaanza kumchapa sana mama na alichapwa na mizimu yote chumbani kwake ila
mzimu wa mama daniel ulikuwa unamchapa uku unalia. Dah Mama akaanza kujiuliza
afanyeje sasa. Mama yangu wa kambo aliamua kuwafata wale wachawi wenzake na
kuwambia ukweli kuwa haja bahatika kufanya mapenzi na mimi na akawambia tayari
mimi nimeisha mtoroka pale nyumbani. Mkuu wa wale wachawi akasema huyu mwanamke
tangia tumempa uchawi hajawai kuleta damu ata zaidi ya mala tano alileta ya mme
wake na ya mama danieli tu lakini anatusumbua,
na tangia awe mchawi hajawai kufanya agizo lolote likakubalika. hivyo
kwanzia hivi sasa, kama unataka ile mizimu isikusumbue tena "unatakiwa
kurudi nyumbani na kuchukua nguo zako zote alafu unatakiwa kuiacha nyumba ya
mama dani kama ilivyo pia usitoe pesa
wala gari lolote ndani yani toka kama ulivyo ukatafute maisha mengine, ukifanya
hivyo ndipo ile mizimu itaacha
kukusumbua. Kipindi mama anateseka na Mimi nilijaribu kutafuta pesa ili nisome
ila ikawa ngumu ndipo nikaanza kujiushisha na kuosha magari ya watu ili nipate
pesa ya kula. Mama wa kambo alipo ambiwa haache mali zote za mama dani ili
mizimu isimsumbue alianza kulia akisema. "jamani naenda wapi mimi sahivi
nikiacha hizo mali maana sina ata kazi."Kweli mama yangu wa kambo aliacha
ile nyumba kama alivyo ikuta ma magari yote akayacha kama yalivyo. Ndipo mama
akaanza kuingia mtaani kutafuta tena maisha mapya. Mimi pia niliendelea na
kuosha magari ya watu lakini sehemu ya kulala ilikuwa ni ngumu sana kwangu siku
moja nilibahatika nikampata kaka mmoja yeye alikuwa amepanga akanisaidia akasema njoo ukae kwangu kwa mda
ila ukipata pesa zako utaama na upange kwako pia, nilimsimulia stori ya maisha
yangu akawa amenionea sana huruma. akasema pole sana ila bila "damu ya
baba yako" wewe usinge teseka hivi na mama yako mazazi asingekufa jamani
ila mshukuru mungu. kisha nikaanza kukaa kwake nikifanya kazi yangu ya kuosha
magari. USIKOSE SEHEMU YA 62
SEHEMU YA 62.
Nyumba na Mali za mama danieli ziliachwa pekee bila
mtu yoyote kuishi ndani maana ata mimi sikupenda kurudi kule nyumbani, mama wa
kambo aliendelea kuangaika sana kwa kupata sehemu ya kula na kuishi lakini
mizimu iliacha kumtesa sababu aliama pale kwa mama danieli kama alivyo ambiwa
na wachawi wenzake,
mama danieli alimtesa sana mama maana mzimu
haukupenda kabisa mama yangu wa kambo aendelee kuishi kwake, maana mama danieli
aliangaika sana kutafuta mali zake, mama yangu wa kambo aliangaika ila siku
moja alibahatika akapata kazi kwa mtu ili awe msaidizi wa kazi za ndani.
Mimi kipindi hicho naendelea na kazi za kuosha
magari ya watu ili kukidhi maitaji yangu ya kila siku. Siku moja niliosha gari
la mama mmoja hivi alie kuwa na uwezo sana, nilijitahidi kulifanyia gari lake
usafi likapendeza sana, alipo toka ofisini kwake alishangaa sana kuona gari
lake limependeza zaidi ya alivyo kuwa anafikiri.
Akasema, we kijana mbona umenifurahisha sana
hivi,Tangia nianze kuwapa vijana wengine kuosha ili gari wamekuwa wakiosha ovyo
ovyo tu,
Nikasema , ahsante bosi wangu, mimi napenda kufanya
kazi au kitu chochote kwa roho moja ata kama si changu
Alivutiwa na maneno yangu akaniambia kuwa.
Tafadhali kijana kwa siku unapata shingapi kwenye
hizi kazi zako?
Nikamjibu kuwa, Napata 6000 ila mda mwingine
inakosekana kabisa sipati chochote.
Yule mama Akasema, je upo tayari nikuajili uwe
mfanyakazi wangu ukaishi kwangu niwe nakulipa kwa mwezi laki tatu na utaishi
kwangu pia utakula hapohapo kwangu. Maana nimependa jinsi unavyo fanya kazi kwa
roho yako safi.
Sikuamini maneno yake kabisa nikahisi labda ananitania
nikamuuliza kwa furaha tele usoni mwangu kwamba hivi nikweli utanipa kazi au
unanidanganya tu?
akasema
kwamba,
chukua namba
yangu ya simu hii hapa kisha ndani ya hii wiki ukiwa tayari kufanya kazi
niambie ili niweze kukuchukua na kukupeleka kwangu,
sikuamini ujue maana aliniacha elfu hamsini kisha
akasema kajiandae utaishi kwangu na usiniangushe naomba ukaishi kwangu
unisaidie kazi zangu mwanangu.
Kweli nilitoka yale maeneo ya kazi kisha nikaenda
sehemu ninayo ishi ili niweze kumuelezea rafiki yangu ninae kaa nae bahati
niliyo ipata.
Nilipo fika nyumbani nikiwa na furaha kuwa lazima
nitapata pesa niendeleze masomo yangu,
kipindi nipo
ndani namsubilia rafiki yangu aje,
alikuja mtu
akagonga mlango, ndipo nikaamka kwenda kumfungulia ila bahati mbaya nikaamka
haraka maana nilikuwa na furaha sana dooh pale pale kichwa changu kiligonga
kioo cha ukutani kikaanguka chini, nilipo kuwa nainama kuokota vipande vya
kioo, wakati nasimama mguu ukagonga stendi ya Tv ikaanguka nayo chini tena
vibaya na ikapasuka palepale pia kioo chake dah Kipindi nawaza mkosi gani huu
najaribu kuinua ile stendi ya tv vizuri, nikaangusha ndoo ya unga wa ugali
ambao tulikuwa tukipika pale nyumbani, wakati huohuo Yule mtu alikuwa
anaendelea kugonga mlango nje ili nimfungulie, nilipo fungua nikizani ni rafiki
yangu kaja ili nimwambie bahati iliyo nikuta, nikashangaa kumkuta mtu mwingine akisema kuwa,
“kaka mimi ni muuza laini za simu nimekuja kuuliza
kama unaweza kununua hatalaini moja”.
Nilishindwa ata kumjibu nikakaa kimya kwanza, akauliza
kaka vipi mbona kimya ghafla,
Nikamwambia
kwamba “ hivi unajua asala niliyo ipata hapa kwajili yako? Nimealibu vitu vya
watu ndani ata sijui navilipaje mimi dah”
Yuke muuza laini za simu alipo ondoka,
ndipo rafiki
yangu mwenye kile chumba akawa amekuja, alipo ona vitu vyake vimealibika
akasema,”kaka mbona unanialibia vitu vyangu hivi tatizo nini kwani jamani
nimekukosea nini” akaanza kulia!
Nikambwambia nimeangusha bahati mbaya kaka sijafanya
makusudi kabisa. Akaniambia ulipo kuja kuomba msaada kwangu ulisema mama yako
wa kambo kakufanyia mambo sana ukatoroka kwake na ndo maana nikakuruhusu
ukae hapa kwangu, ila sahvi sikuamini tena nahisi wewe ndiyo sio mwaminifu na wewe
ndo mwalibifu ndiyo maana umefukuzwa ata kwenu,
nilimwambia kaka naomba unipe nafasi japo niongee,
akasema nikupe nafasi ya nini wakati umeniharibia vitu vyangu ebu toka hapa,
tena sikutaki kabisa kwangu,
nikasema kaka
nivumilie nitakulipa vitu vyako hivi karibun kaka.
Alisema unilipe nini wakati mtu mwenyewe kazi zako
za kubahatisha, nikajaribu kumwambia nimepata kazi nzuri lakini inayo lipa kwa
Yule mama ila hakunielewa kabisa,
akasema kwa hii tabia uliyo fanya ya kunialibia vitu vyangu makusudi sikutaki
tena kwangu ni bora uondoke kabisa.
Niliamua kutoka kwake, kisha mda huohuo nikampigia simu Yule mama
alienipa namba ili niende kwake,
kweli
alinifata nikaenda nae mpaka kwake, ama kweli alikuwa na maisha mazuri yeye na
mtoto wake wa kike.
Kipindi nipo sebreni natazama TV
Yule mama akamwambia binti yake anionyeshe chumba changu cha kulala na
kunizungusha maeneo ya pale nyumbani ili niwe msaidizi wa kazi na mazingila ya
pale nyumbani.
Tulipo maliza kuzunguka, na mda wa lanchi ukawa
umefika pia, ndipo tukarudi sebreni ili twende sehemu ya kupatia chakula.
Wakati tumekaa tunasubilia chakula kiletwe na dada
wa kazi nilishangaa sana kumuona mama yangu wa kambo analeta chakula jamani.
Dooh Nilishtuka sana
kidogo nikimbie kutoka pale nyumbani, ,mtoto wa boss wangu akasema, “
mbona unaogopa tatizo nini kaka huyu ndiye mfanyakazi wetu wa ndani. ni mpole
sana hana shida kabisa anaongea na kila mtu” mama wa kambo alijua lazima
nitamuumbua palepale kuwa na mfahamu akaweka sura ya upole sana jamani ila mimi
nilinyamaza kimya sikuongea chochote kwanza.
Nilikula chakula nikiwa na wasiwasi nikatamani ata
kutoroka na kutoka kwenye ile nyumba,
mtoto wa bosi akasema, “ jamani mimi ngoja nikalie chakula sebreni kuna
kipindi kwenye tv nakifatilia”
hivyo Nikabaki na mama yangu wa kambo tu.
Nikamuuliza maswali mengi sana pale.
Hivi mama umekuja kuteketeza na hii familia kwa
kujifanya mwema kama ulivyo fanya kwetu sio? Mama akaanza kulia, nikamuuliza
tena, Na nyumba ya mama dani uliifanya yako je umemuacha nani kule?
Ndipo mama akasema kwamba naomba usimwambie mtu
yoyote kama tunafahamiana mimi nimeacha kuishi maisha ya ubaya kama ya zamani
sahivi mimi naishi vizuri tu sina shida na mtu yoyote. Na ile nyumba nimeiacha
kama ilivyo maana usiku nilikuwa siwezi kulala sababu mizumu ilikuwa inanitesa
sana hivyo nikaona bora niache tu kuishi kule,
Mama alipo sema kuwa mizimu inasumbua kule nikakata
kabisa tama ya kwenda kule kwa mama dani maana ata mimi nilikuwa naogopa sana
mizimu.
Tuliendelea kuishi tu vizuri kwa Yule mama pale
nyumbani na nilifanya kazi zangu vizuri sana bila kuwa na kinyongo.
Kumbe baba yangu mzazi baada ya kuona hari inakuwa
ngumu, hivyo akaamua kuanza kuomba misaada kwenye nyumba za watu ili aweze
kupata japo pesa ya kula.
Hata hivyo Wengine waliokuwa na huruma walimsaidia
pesa na wegine walio kuwa wachoyo walimtukana na kumzuia asije kuwasumbua tena
kwao.
Siku moja baba alienda mpaka kwa mama dani kwenda
kuomba msaada bila kujua kama ni kwa mama dani au bila kujua kama sisi watoto
wake tuliisha wai kuishi pale kwa mama danieli.
Alipo fika aligonga geti la nje ila hakuna alikuja kufungua!
aligonga sana mpaka akaamua kuingia ndani mwenyewe.
Baba yangu alikuta magari mazuri, alishangaa sana
pale nje alikuta uwanja mchafu sana kama haujafagiliwa siku nyingi,
baba alienda
mpaka mlango wa kuingia sebreni akagonga hakuna alie fungua baba akusita
akaingia mpaka ndani pia ili aombe msaada maana alikuwa na njaa sana,
alipo ingia akakuta hamna mtu yoyote pia.
kumbe ulikuwa ni mzimu wa marehemu mama yangu
unampeleka sehemu nzuri baba maana baba aliteseka vya kutosha na aliomba msamaa
kaburini mwa mke wake na mama yake hivyo ule ndiyo ulikuwa msamaa kwake.
Baba alipo ona hakuna mtu ndani alitaka kuondoka na
kuacha nyumba ya mama danieli ikae bila mtu, ila wazo zuri likamuijia kwamba
abaki mpaka wenyewe waje.
akabaki palepale na alishangaa kuona inafika usiku
mtu haji, wiki ikaisha mtu hajaja, mwezi ukakata akuna aliekuja.
Ndipo baba
akaanza kukagua nyumba
Mungu saidia akakuta funguo za gari na pesa nyingi
sana chumbani mwa mama danieli, zilikuwa kama miliioni 200 pesa za kitanzania
na pesa zingine za kigeni kama dola elfu mbili, ndipo maisha ya baba yakonyooka
sana akaanza biashara zake na kuishi vizuri pia.
Usikose sehemu ya 63.
SEHEMU YA 63.
Maisha ya baba yangu mzazi yalikuwa mazuri,
Alipendeza na kurudi katika hari yake ya zamani. Kipindi nipo kule kazini mimi
na mama yangu wa kambo, Hatukujua kabisa kama kule kwa mama daniel ndipo baba
mzazi yupo. Na hakuna ata mtu mmoja alikuwa anawaza kwenda kupaona kule kwa
mama dani. Siku moja usiku tukiwa wote tumelala yani mimi, bosi wangu na mwanae
mida ya saa nane na nusu usiku, Tulishangaa sana kusikia mtu analia akipiga mayohe kama anapigwa sana.
Dooh ndipo tukaamka tukaenda nje kuangalia kunanini. Tulishangaa kumuona mama
yangu wa kambo anajiviringisha chini kama anachapwa. Bosi wangu akauliza. Huyu
katokaje ndani kuja nje? na mbona kama anachapwa jamani? na anae mchapa
hatumuoni sisi! Mimi niliogopa sana kile kitu. bosi wangu akamuuliza mama yangu
wa kambo swali kwamba "dada mbona unalia unapiga kelele tatizo nini"
mama yangu wa kambo akajibu kuwa
"jamani nisaidieni napigwa na mizimu natweswa jamani" bosi
akamuuliza "kwani umefikaje hapa nje wakati milango yote imefungwa kwa
ndani" mama wa kambo akamwambia kuwa "nimebebwa kimzimu nisaidieni
nachapwa mimi". Hama kweli alikuwa anatia sana huruma, kitendo kilicho
nifanya mpaka nitoe machozi palepale. Tulikuwa hatuna jinsi ya kumsaidia
ikabidi tukae tukimtazama jinsi anavyo teswa. Tulijaribu kumshikiria ili
asijivute sana chini maana alikuwa anapiga sana kichwa chake chini na alikuwa
anajisugua sugua chini mpaka akachubuka mwili mzima. Bosi akasema "kijana
wangu mbona hili balaa kubwa sana nyumbani kwangu maana hivi vitu havijawai
kujitokeza kwangu kabisa ndo mala ya kwanza " nilimwambia kuwa "Bosi usijali labda ni mizimu ya
nyumbani kwao, maana hii sio hari ya kawaida" Ilipo fika saa kumi alfajiri
mzimu wa mama danieli ukawa umemuachia! ndipo mama akashtuka akishangaa
akasema, "hee jamani bosi nimefikaje hapa, na mbona nimeumia hivi tatizo
nini" Kipindi mama anaamka kusimama
nguo yake ikadondoka chini, aliona haibu sana pale maana tulikuwa tukimtazama
na tulikuwa tumeanza kumuogopa kabisa.
Bosi wangu kile kitendo kilimkwaza sana, Hivyo akahisi ile mizimu inayo mtesa
mama wa kambo inaweza tena kumtesa na yeye, hivyo basi, Bosi akamfata rafiki
yake anaeitwa wastara. Bosi akamwambia "besti yangu uwezi amini, yani jana
yalio nikuta nyumbani kwangu, nashindwa ata nianze vipi kukueleza" wastara
akamwambia, usijali besti mimi tena we niambie tu anzia popote pale unapo
pataka. Ndipo bosi akamwambia "yani jana pale kwangu yule dada msaidizi
wangu wa kazi, alitolewa ndani na mizimu
bila milango kufunguliwa kisha akaanza kupiga makelele sana kwa nje. Sasa nilivyo toka nje mimi na
mwanangu pamoja na yule kijana wangu wa kazi unae msifiaga sana, tulishangaa
kumuona anajiviringisha kama nyoka, Yani wastara shoga yangu nashindwa ata nifanyeje maana ata nyumba
yangu nimeisha iogopa nakosa amani" wastara akamwambia, "besti yangu
mshukuru mungu kakuonyesha ili janga mapema, huyo dada hakufai nakwambia, yani
mtoe hapo kwako mapema anaweza kukuletea matatizo makubwa, na mungu wako mkubwa
sana". Bosi akamwambia kuwa "lakini wastara besti yangu yule dada anapika
chakula kitamu sana na anafanya kazi kama mashine alafu sio mwizi hajawai
kuniibia hata shilingi mia yangu nikisahau hela nakuta kanitunzia" ndipo
wastara akamwambia kuwa "tayari
nimeisha kwambia mtoe kwako au kama unaweza mwambie akupeleke hadi nyumbani
kwao upajue na wazazi wake au ndugu zake uwajue wakuelezee kuhusu yeye na wala
sio kukaa nae kiholelaholela tu" bosi wangu akamwambia sawa rafiki yangu.
Kumbe kule nyumbani mama yangu wa kambo alipo ona anateseka sana akaamua kurudi
kwa wale wachawi akawambia "jamani wakuu mimi mmeniambia niache mali zote
za mama dani. Sasa mbona bado mzimu wake unanifata na unanitesa sana" mkuu
wa wachawi walimwambia kwamba " mzimu wa mama danieli umekufata tena
sababu ya huyo mtoto wa mme wako alie lelewa na mama danieli, lakini huyo
kijana akitoka hapo mzimu haukufati
tena" mama akawajibu "sawa nitajua cha kufanya" mama alipo rudi nyumbani alianza kununa kila
mda akisema "wewe ndiyo chanzo cha mimi kuteseka hivyo naomba uondoke
uniache niishi kwa amani hapa". Sikuelewa kabisa yale maneno ya mama
nikamuuliza kwamba, "sasa nikiondoka hapa nitaenda kuishi wapi mimi"
mama wa kambo akasema "sitaki kujua mimi naomba uondoke tu au kama upo
tayari tufanye mapenzi ili nisiteswe na mizimu mimi". Haaaa nilishituka
sana jamani nikamuuliza kuwa mama kuwa "kumbe unataka kulala na mimi ili
usiteswe, na hutaki kukaa hapa na mimi ili usiteswe sio, sasa kukaa hapa
nitakaa na kufanya mapenzi ma wewe sifanyi". Mama wa kambo akasema
"jamani mwanangu hivi unafurahia ninavyo teseka. Ebu angalia jinsi nilivyo
umia." Nilikataa kabisa kumsikiliza
mama yangu wa kambo mambo yake anayo niambia. Dooh Sitasahau mama wa kambo
jamani, maana alienda akamwambia bosi wangu kuwa "mimi natembea kimapenzi
na binti yake". Bosi wangu alichukia
sana akasema "yani binti yangu natumia pesa nyingi sana kumsomesha
alafu huyu kijana anataka kumualibia maisha" ila akasema siwezi kuamini
mpaka nifanye uchunguzi. Siku moja usiku mtoto wa bosi akaja chumbani kwangu
nimfundishe hesabu maana mimi nilikuwa najua sana hesabu, kuliko masomo yote,
na hata kipindi sijaacha chuo nilikuwa nafauru sana hesabu, alikuja akasema
"kaka nimekuja unifundishe hesabu kuna maswali magumu siyawezi alafu kesho
nina mtihani". Kumbe wakati anaingia chumbani kwangu mama yake ambae ni
bosi wangu akawa amemuona anaingia!
Ndipo Mama yangu wa kambo akamwambia kuwa, "bosi unaona binti yako
anajifanya anaingia na madaftali kusoma kwa huyo kijana kumbe wanafanya mapenzi
tu ndani, mimi nataka mwanao asome mfukuze uyo kijana mnusuru mwanao
bosi". Bosi wangu alilia sana nje akasema yani huyu kijana nimemsaidia
maisha yake kumbe mpuuzi kiasi hichi, yani ananialibia mwanangu tena ndani
kwangu, siwezi kukubali. Wakati mama na bosi wapo mlangoni, mimi na mtoto wa
bosi tulikuwa chumbani kwangu, nikamwambia yule binti kuwa "mdogo wangu
unataka nikufundishe maswali gani", alinionyesha maswali kisha akasogea
karibu yangu, wakati naanza kumuelekeza maswali bahati mbaya taa yangu ikapata
shoti! Dooh ikawa imeungua! ndipo tukakaa gizani. Mama yangu wa kambo akasema bosi
unaona wamezima taa sasa. Bosi Kusoma gani huko gizani jamani, yani hawa
Wanafanya mapenzi tu, na wenyewe wanajua wote tumeisha lala hivyo wanajua
hatujui. Wakati huo mimi chumbani nikamwambia yule binti "nazani taa
imepigwa shoti itatubili twende sebuleni nikuelekeze maswali" mtoto wa
bosi akasema "sawa kaka". Wakati bado sijaamka kwenda sebreni bosi
akaja na mwiko wa ugali akanitwanga nao kichwani akasema yani nakusaidia kuishi
kwangu kumbe ndiyo mnakaa karibu karibu na mwanangu mnafanya ushenzi ndani
kwangu, bosi akasema "wewe mwanangu tabia hizi umeanza lini", bosi
alichanganyikiwa maana alijazwa maneno ya uongo akasema "wewe kijana panga
vitu vyako uondoke sikutaki hapa", nikamwambia bosi niruhusu niongee
kidogo. Bosi wangu, akasema "wee
kaa kimya, mpumbavu sana wewe, Uongee kwani we mme wangu, ebu toka hapa
sikutaki, dooh mtoto wa bosi akasema "mama usimfukuze hana kosa",
mama yake akasema " mwanangu unabishana na mimi unanivua nguo sio? ndipo nikaamua kuchukua nguo zangu kisha
nikatoka usiku huohuo bila kujua nitalala wapi huku kichwa kikiwa kinaniuma
sana maana alinipiga vibaya na mwiko, mama yangu wa kambo alifurahi sana ndipo
nikaamua kutafuta japo sehemu ya kujiegesha mwili wangu ili asubui nitafute
sehemu ya kuishi. wakati nimelala chini ya mti wakaja vijana wanne wakiwa
wameshikilia silaa waliniambia niwape begi langu la nguo na simu, nikakataa
ndipo mmoja akanipiga na panga mgongoni likanikata kiubapa ingawa sikufa ila
niliumia sana, niliwaachia mali zote wakakimbia, Ilipo fika asubui. Bosi wangu
akaenda kumuelezea rafiki yake wastara mambo yaliyo mkuta kwake, ila wastara
alisikitika sana kusikia nimefukuzwa. akasema "usinge mfukuza maana hukuwa
na uwakika, na yule kijana ni mchapa kazi sana, mtoto wako ungemchunguza
kwanza. Sasa taa imezima wewe ukaamini. Sio vizuri ulicho fanya. Kwani wewe
binti yako umuamini, wastara akamwambia tena huyo mfanyakazi wako wa ndani
ndiyo mbaya sana mimi simuamini hata kidogo. Mama yangu wa kambo akahisi kuwa
awezi kusumbuliwa tena na mizimu, dooh kumbe mzimu wa mama yangu mzazi
ulichachamaa na ukakasilika sana ukamfata mama yangu wa kambo usiku huohuo
kumtesa zaidi.
USIKOSE SEHEMU YA 64
SEHEMU YA 64.
Mama yangu wa kambo alihisi nikiondoka pale nyumbani
basi ataendelea kuishi bila wasiwasi, kumbe mzimu wa mama yangu ulichukia kile
kitendo alichonisingizia mpaka nikafukuzwa na bosi wangu nikaenda kuteseka mitaani, tena chakushangaza
nikafukuzwa nyakati za usiku nyumbani kitendo kilicho niliza maana nilikuwa
sijafanya kosa mimi, mama yangu wa kambo aliendelea kusumbuka sana nyakati za
usiku pia kwa kutokelewa na mzimu wa mama yangu mzazi tena mzimu ukiwa umevaa
sanda yake nyeupe, hichi kitendo kilicho mkwazisha sana bosi pale nyumbani,
maana mama wa kambo alikuwa ni mtu wa kupiga kelele usiku akiteswa na mama tu
tena alikuwa akijiviringisha kama nyoka
uku akiongea maneno yasiyo eleweka kabisa yani, Mimi niliendelea kupata shida
sana mtaani ila nashukuru mungu nilijitahidi kupambana mchana kutafuta pesa ya
kula tu, na mungu saidia nikapata sehemu ya kulala usiku, ambapo ni kwenye
magari ya daradara yalipokuwa yanapaki nyakati za usiku mimibaada ya shughuri
zangu za mchana nilikuwa nikilala ndani ya gari na nilikuwa nikiamka saa 10
alfajiri kuendelea na kazi zangu ndogondogo tu. Baada ya mama wa kambo kuona
nimetoka pale na matatizo yake ndiyo yakawa yanazidi kuongezeka, akaona ni bora
akawambie wale washirikina wenzake ili wamsaidie maana alikuwa kaisha choka
yale maisha sana, ikafika hatua akatamani kufa kabisa, na kweli maana alikuwa anakonda
tu yani, yeye baada ya kunenepa anapungua. Washirikina Wenzake walimwambia kuwa
"tunajua tulikwambia kuwa yule kijana aondoke na aliondoka sawa, lakini
bahati mbaya alipigwa na panga mgongoni alivto toka pale kwa bosi wake, hivyo
damu zikamtoka, ndiyo maana mzimu wa mama yake umechachamaaa na umekasilika
sana maana uchungu wa mwana aujuae mzazi, na siku zote hii mizimu uwa inanguvu
sana kutushinda sisi, sasa unatakiwa kufanya kafara moja kubwa sana itakayo
nusuru maisha yako yote na hautakuja kuteseka tena kamwe" mama akawauliza
"kafara gani tena?" wakamjibu kuwa "unapaswa uondoe uhai wa bosi
wako maana damu yake ikidondoka tu basi mizimu yetu itakulinda kama
mfalme" mama yangu wa kambo hakuamini ujue akasema "yani hawa
wachache tu nilio waua wananitesa hivi je akiongeza mwingine nikaua si
nitateseka sana na mizimu yao " dooh walimwambia kuwa "kama uwezi kumuua acha lakini ukifanya
hivyo utakuwa safi na utakuwa na amani kama sisi" dah mama yangu wa kambo
akauliza "sasa naanzaje kumuua huyu bosi wangu jamani wakati ananisaidia
na ananipenda sana isitoshe nimeishi nae vizuri na ananisikiliza sana
mimi" walimwambia "usipo muua huyo utateseka maisha yako yote ya
usiku na unatakiwa kufanya hivyo mapema kabla nyota yake haija mfungulia nuru
ya kuhisi kuna baya lolote mbele yake" ndipo mama yangu wa kambo akaambiwa
"unatakiwa kwenda chumbani kwa bosi wako mida ya saa tisa usiku, akiwa
amelala sana, bila kuona wala kusikia chochote, kisha chukua nguo yake ya ndani
yenye langi nyeusi alafu tuletee sisi tutajua cha kufanya" mama akashtuka
akasema "jamani nguo ya ndani naona itakuwa ngumu maana mtamuua vibaya
jamani nampenda yule bosi amenisaidia sana mimi" walimwambia kuwa
"kafara nzuri nikwa mtu unae mpenda ndiyo yapaswa kumtoa kafara" mama
yangu wa kambo hakuwa na jinsi aliamua kukubali tu maana hakuwa na cha
kujitetea, ilipo fika saa tisa usiku akaenda kwa kunyatia polepole ili aingie chumbani kwa bosi wake,
alipo chungulia mlangoni bosi wake akamkuta bosi anaongea bado na simu usiku!
dah mama wa kambo akachukia kweli siku hiyo, kesho yake akafanya hivyo hivyo
akaenda chumbani kwa bosi wake, tena
ileile mida ya saa tisa usiku. Alipo chungulia akakuta bosi wake amelala
sana jamani akasukuma mlango wake polepole kisha akaingia akinyata taratibu ili
akachukue ile nguo ya ndani nyeusi ya bosi wake kama alivyo ambiwa apeleke waweze kumtoa bosi kafara. Kipindi
ameingia ndani anafungua kabati alisikia mtu anakuja kumbe alikuwa ni mtoto wa
yule mama anakuja kwa mama yake kuazima computer aina ya laptop ili aka andike
kazi zake za shuleni. Kipindi mama wa kambo kaisha ishika ile nguo ya ndani ya
yule bosi wake mlango ukafunguliwa! dooh yule dada alipo fungua kabla hajaingia
ndani vizuri kumfuma mama akasikia simu yake inaitia chumbani kwake akaacha
kuingia ndani akarudi chumbani kwake kuipokea simu yake, ndipo mda huohuo mama
yangu akatoka ameishika nguo ya bosi wake akiwa anataka kuipeleka kwa wale
washirikina wenzake. Kulipo kucha yule bosi alikuwa amepanga kuvaa ileile nguo
ya ndani lakini alishangaa hakuiona sehemu aliyo iweka ila akaachana nayo
akihisi labda nguo zimechanganyikana humo ndani, ndipo mama yangu wa kambo
akapeleka ile nguo mpaka sehemu usika ya wachawi. Kweli walianza kumfanyia vitu
vya ajabu bosi kwa kutumia ile nguo yake jamani, bosi wangu alianza kupata
hedhi isiyo kuwa na kikomo, mda mwingine tumbo lilimuuma sana ndani akawa
analia kama mtoto mchanga kabisa, bosi akaamua kuacha kazi zake kwanza ili
atazame afya yake itakuwaje, binti yake alikuwa analia sana pia maana mama yake
aliacha kazi sababu ya ugonjwa, maana
tumbo lilikuwa linamuua kiasi ambacho alikuwa anashindwa kulielezea masikini.
Ilifika hatua ikabidi amwambie yule rafiki yake wastara kuhusu tatizo lake dooh
wastara aliumia sana maana walikuwa wanapendana sana, ikabidi bosi apelekwe hospital
ili waangalie tatizo lake nini, wataharamu walishindwa kuutambua ugonjwa
kabisa, dooh bosi aliogopa sana na alikuwa analia sana hali yake ilizidi kuwa
mbaya zaidi alikaa siku saba bila kula
alafu akawa mzito sana kama jiwe yani kumnyanyua ni ngumu sana na ngozi yake
ikawa laini kama vile nyoka. Wastara alilia sana tena alilia kama mtoto maana
mtu wake wa karibu alikuwa ni yule bosi na ndiye alikuwa shoga yake wa karibu,
hivyo alikosa sana raha masikini.baada siku tisa tangu alazwe hospitali wastara
akaona kwamba akizubaa anampoteza rafiki yake maana tayari alikuwa kaisha anza
kulishwa kwa milija, na bosi alikiwa aongei zaidi ya kufumbua macho kwanguvu
sana akikodoa mpaka anatisha jamani. Kumbe hivyo vyote vilikuwa ni viini macho
tu yani kumbe bosi ameisha chukuliwa na mizimu na wachawi wasubilia tu kumla
nyama yake siku ya ijumaa. Ilipo fika alhamisi kabla ya ijumaa ili bosi aliwe
nyama yake. Wastara aliota usiku kuwa bosi atakuwa amelogwa na wachawi maana
ule ugongwa haukuwa wa kawaida, wastara alijiuliza maswali mengi kichwani
kwamba, Hivi rafiki yangu atakuwa kachezewa na wafanyakazi wenzake ili
afilisike au? Au majirani zake watakuwa wanamuonea wivu? Au ni huyu mfanyakazi
wake? maana namuhisi vibaya sana huyo mtu! Wastara akasema lazima ninusuru maisha
ya rafiki yangu "siwezi kumuacha afariki nikimtazama" wastara
aliyasema maneno haya akiwa anatokwa na machozi masikini. Ndipo wastara akaamua
kutafuta viongozi wa kidini ili wamfanyie maombi rafiki yake. Siku hiyo wakati
anafanyiwa maombi ilikuwa ni alihamisi na ijumaa yake wastara angechelewa ndiyo
alikuwa analiwa nyama yake. Bosi Alifanyiwa maombi sana, wastara alifunga,
hakula chakula siku hiyo kwajili ya kumuomba mungu asaidie shoga yake apone.
Maombi yalifanyika sana siku hiyo kipindi inafika jioni wakati wamefanya maombi
sana bila kuona mafanikio walishangaa kuona, ghafla bosi anaamka akilitaja jina
la rafiki yake akisema, 'wastara"
na alilisema lile jina kwa unyonge sana maana alikuwa ananjaa.wale viongozi wa
dini walisema kwamba chanzo kilikuwa ni nguo yake ya ndani na ilikuwa imebaki
siku moja aliwe nyama yake. Hivyo wewe dada wastara usinge muhusisha mungu
kwenye hili swala basi ungempoteza mwenzako. Wastara akawauliza sasa nguo yake
ya ndani alifanyajefanyaje. Walimjibu kuwa mfanyakazi wake wa ndani ndiye alie
chukua ile nguo akawapelekea wale wachawi ili huyu bosi wake afe kusudi mizimu
ya watu alio waondoa maisha isimtese. Wastara alimwambia bosi unaona sasa
nilikwambia hakufai huyu binti ukamgombania sana,tazama alichofanya yani kidogo
ufe
tusinge kuona tena jamani" mama yangu wa kambo
baada ya kugundulika dooh ndipo....
USIKOSE SEHEMU YA 65
SEHEMU YA 65.
Mama wa kambo alipo gundulika kuwa alifanya mambo ya
kishirikina kutaka kuondoa uhai wa bosi wake, kwa kuiba nguo ya ndani ya bosi
wake yenye rangi nyeusi ili kumpandikizia kichawi magonjwa bosi wake, badae afe
na mwili wake ubebwe kimizimu! Ndipo
Mama wa kambo aliamua kutoroka nyumbani maana alijua bosi wake kaisha
mjua hivyo anaweza kumfanyia kitu kibaya sana. Bosi biashara zake ziliyumba
sana maana alilazwa kwa mda mrefu na mambo yake ya kikazi pia yaka kwama, ila
alijipanga upya na akafanya kazi zake zikapendeza zaidi, Bosi alimshukuru sana
wastara akamwambia kuwa "kweli wewe ndiye rafiki wa kweli maana umeokoa
maisha yangu sana" Na akamnunulia zawadi ya gari ishara ya furaha kuwa
kamkomboa maisha yake. Mama wa kambo kipindi yupo mtaani hana mbele wala nyuma,
hajui atakula nini na atakaa wapi jamani alianza kulia sana akisema
"nilipata nafasi nzuri kwa bosi wangu nimeichezea kwa roho yangu mbaya
hii, sijui nakaa wapi tena mimi" alishinda pale chini ya gogo akiwaza
maana hakujua atalala wapi, ataoga wapi, na sehemu ya kula hakuwa nayo maana
ata nguo aliziacha kwa bosi wake na ata mshahara hakuuchukua maana alikuwa
akitunziwa na bosi wake miezi yote tangu aanze kazi, hivyo mama alikaa na njaa
sana hajui afanye vipi, Mdogo wangu wa kike alikuwa akifanya vizuri katika
masomo yake ya shuleni sanasana katika masomo ya sayansi hivyo baada ya kufauru
akawa amechaguliwa kwenda kusomea udakitari maana alikuwa ana ufauru mzuri
kabisa. Mimi kipindi nimetoka kwa bosi, nilipigwa kwa makosa ambayo si yangu,
nilifukuzwa usiku kama mwizi na niliumizwa na panga mgongoni pia na vibaka. Ila
niliamua kujiusisha na kazi za vibarua, nilikuwa nafanya kazi sana za
kuchanganya zege na kubeba mawe, na kila ilipo fika jioni tulikuwa tunalipwa
pesa na matajiri wetu. Nilimpata rafiki mmoja tukachanga pesa zetu za miangaiko
yetu ya kila siku ndipo tukawa tumepanga chumba chetu tukanunua vitu kidogo vya
ndani, maana nilikuwa nalala palepale kwenye mijengo tuliyo kuwa tukiijenga
yani nakuwa kama mlinzi wa saiti. Kipindi tumepanga tuliishi kwa amani na
upendo mimi na rafiki yangu, siku moja rafiki yangu akapata kazi kutoka kwa
dada mmoja rafiki yake, alie kuwa anaitaji kujengewa nyumba kwajili ya
kupangisha. Baada ya kupata ile kazi kutoka kwa yule dada ndipo tukaanza
kishugulika pamoja na mafundi maana sisi ndiyo tulikiwa vibarua vyao kuakikisha
tunasaidia kuchanganya zege na kusogeza mawe. Lakini tulishangaa sana kila
tulipo kuwa tukifanya kazi yule dada mwenye nyumba akawa anatuzungusha tu
akisema "nyie wasaidieni mafundi wangu kujenga kesho nitawapatia
pesa" tuliendelea kumfanyia kazi zake mpaka deni likafika laki moja na
nusu. Nikamuuliza mwenzangu "hivi mbona hii kazi tunafanya vizuri lakini
hatulipwi maana tangu nianze kufanya hii kazi siingizi chochote bali natumia tu
pesa zangu" mwenzangu akasema "nitafatilia hili swala maana huyu dada
anatuzungusha sana" tuliishi pamoja mimi na rafiki yangu na tulipendana
sana maana tulikuwa tunaelewana na
alikuwa akieshimu watu wa kila lika vilevile alikuwa akienda kumuomba mungu
siku za dini ndiyo maana alikuwa akiaminika sana na alipata kazi nyingi
kutokana na uchapakazi wake. Siku moja usiku mida ya saa sita nikiwa nimelala
rafiki yangu aliamka polepole akavaa nguo zake bila kuniaga kisha akaenda mpaka
kwa yule dada tunae mdai pesa tulie usika kujenga nyumba yake. Alipo fika
akaingia mpaka chumbani kwake kwasababu yule dada alikuwa anamuamini
akamkalibisha tu ila akamuuliza "kwanini umekuja sahivi?" Alimjibu
kuwa amefata pesa zake, yule dada akasema "sahivi sina pesa subili mambo
yangu yakikaa sawa nitakulipa rafiki yangu" rafiki yangu ninae kaa nae
alikasilika sana akasema "umetuzungusha sana we dada wakati pesa
unazo", Ndipo akamkaba yule dada shingo tena sana masikini, dada
akajitahid kupambana ila akaishiwa nguvu kabisa ndipo rafiki akamniga usiku
uleule wakiwepo wawili tu ndani! mpaka dada wawatu akaanguka chini na akapoteza
maisha yake. Rafiki yangu baada ya kumuua akapakia vitu vya thamani vya yule
dada kwenye mabegi kisha akampigia boda boda anae mfahamu simu kwa kutumia simu
ya yule dada aliefariki maana rafiki yangu yake ilikuwa haina salio kabisa.
Boda boda alipo fika! rafiki yangu akamfungia yule marehemu chumbani tena na
kufuri kubwa sana kwa ndani kisha yeye akatoroka bila hata kuniambia anapo
enda. Baada ya siku kadhaa kupita nikiwa namuulizia rafiki yangu yuko wapi
mpaka nikakata tamaa nikajua labda kanitoroka au kauwawa. Ndugu zake yule dada
walipo kuja kumtembelea ndugu yao hawakumkuta! walipo piga simu yake
hakupatikana lakini cha kushangaza pale mlangoni kwake kulikuwa na kufuli kubwa
tu ila kulikuwa na harufu kali sana kutoka chumbani kwa yule dada. Ndipo
wakabomoa mlango wake kuangalia nini kinanuka walisikitika kukuta ndugu yao
amekufa, walilia sana maana ndiye aliekuwa tegemezi kibaya zaidi nzi zilikuwa zimemkusanyikia marehemu na akawa anatoa
harufu kali sana ya kuoza. Walijaribu kufanya utafiti kuangalia nani amemuuwa
alikosekana ndipo wakachukua laini ya simu yake kuangalia simu ya mwisho
kupigwa na kupigiwa kwenye namba ya marehemu. ndipo wakamtafuta yule bodaboda
ili awaelezee ilikuwaje marehemu akampigia usiku wa saa tisa na wanampango gani
na marehemu. Yule boda boda alisema ukweli kuwa yule rafiki yangu ndiye alie
mpigia kwa ile namba ya marehemu hiyo mida
na boda boda akasema alikuja wakabeba vitu vya thamani kisha wakapeleka
mtaa mwingine. Akasema rafiki yangu alimdanganya anapeleka mzigo ya yule dada
eti kuwa anasafiri. Ndugu wa marehemu na polisi wakaja kunikamata mimi ili
niwambie rafiki yangu yuko wapi niliwambia "jamani ndugu zangu msinipige
mimi mwenyewe sijui maana katoroka hapa,
sijui yuko wapi" walinipiga sana mateke, ngumi na viwiko vya kutosha
niseme ukweli, nilishindwa niseme nini maana
sikuwa nafahamu ukweli wowote ule. Walisema nyie wauwaji sana na mtakuwa
mmeisha uwa watu wengi sana huku maana kuna kesi nyingi za mauwaji kituoni. Ndugu wa marehemu walionga pesa kwa
mapolisi ndipo Walinikamata wakisema nimeua pia, ndipo nikafungwa kifungo cha
miaka 45 jela. Kipindi nasafilishwa kuamishwa mkoa wa (kalamoja) ili nikakitumikie
kifungo changu. Tulipo kuwa safarini wafungwa wote tunaelekea mkoani kutumikia
vifungo mfungwa mmoja aliomba kwenda kujisaidia haja ndogo, na mimi pia
nikaomba nishuke chini ya gari ili nikajisaidie haja ndogo pia. Wakati
nimeshuka nikampiga polisi kichwani na zile pingu! Akaanguka kisha nikakimbia
mwendo wenye kasi sana. Baadhi ya polisi wakajaribu kunitafuta ila kipindi
hicho nilikuwa nimeisha kimbia mbali
sana kuwashinda wao. Nilipo fika mtaa mmoja nikaenda kwenye nyumba ya bibi
mmoja hivi alikuwa anamenya ndizi nikamuomba nijifiche kwake, akasema
"kwanini ujifiche mjuu wangu"
nikamwambia "natafutwa na watu wabaya" alikubali pia ndipo
nikajificha palepale. Yule bibi alikuwa na kijana wake mmoja, kumbe yule kijana
alikuwa jambazi sugu sana , nilipo msimulia story zangu zote nikamuelezea
nilivyo watoroka wale maasikari akasema "wewe ni mwanaume sana
nimekupenda, sasa kuna kazi nzuri yenye pesa nataka nikutafutie". Kweli
alitafutia kazi lakini ile kazi yenyewe ilikuwa ni ujambazi ya kuuwa na kupola
mali zote bila kuogopa. Niliamua kukubali maana maisha yalikuwa yameisha nipiga
sana, Nilipo fika kwa jambazi mkuu alinipa pisto akasema usiogope kazi fanya
kazi. Nilitetemeka kuishikilia ile pisto lakini sikuwa na jinsi nikaamua
kukubaliana nae. Siku moja yule jambazi mkuu akatwambia "kuna baba mmoja
ni rafiki yangu sana, nilisha fanya nae kazi zamani kidogo mgodini, lakini hivi
sasa amebahatika sana kupata pesa nyingi, jumatano ataenda kununua kiwanja sasa
basi, atakuwa na pesa nyingi hivyo naomba mjipange mwende kumpola zile pesa na
muondoe maisha yake pia" baada ya bosi kutupa maagizo akasema kwamba mimi
ndiyo nitaongoza kikosi na mimi ndiye natakiwa kumuangamiza huyo baba.
Tulijiandaa tukavaa masiki kuficha nyuso zetu ili tukafanye mauwaji. Tulipo
fika tukalizunguka gari la yule baba ndipo yule baba akatoka nje ya gari akiwa
amenyanyua mikono juu akisema "msiniue chukueni pesa jamani" kipindi
mwenzangu amechukua zile pesa ndipo mimi nikataka kumuuwa lakini mikono ilikuwa
inasita sana, wenzangu wakasema muue tuondoke tutakamatwa! palepale kipindi
yule baba anageuza sura yake machoni mwangu akiomba msamaa tusimuuwe wakati
nataka kufyatua risasi nilishangaa sana kumtazama maana alikuwa ni baba yangu
mzazi dooh.
Usikose sehemu ya 66
SEHEMU YA 66.
Nilipo gundua kuwa nataka kumuua baba yangu mzazi
tena kwa mikono yangu mwenyewe, nafsi ilinisuta sana na pia nikaishiwa nguvu
kabisa mikononi mwangu, na nikashangaa sana jamani! eti baba kazitoa wapi hizo
mali zote? mpaka anavamiwa na majambazi sugu kama sisi! Nilitamani kumuita
"Baba" ni mimi mwanao, nimekuwa nakutafuta siku nyingi! lakini
nikajikaza sana kutoka moyoni. Na nilifurahi sana kumuona baba maana ilikuwa
imepita mda mrefu na miaka mingi sana bila kumuona baba yangu mzazi jamani. Mtu
mmoja akasema, "bosi amesema tuondoe uhai wake muuwe uyo mtu maana
umeambiwa wewe kuuwa! alafu hakuna haja ya kumuacha sababu hadhabu itatuangukia
tena sisi" nikamwambia kuwa, "jamani muacheni huyo baba namjua"
walisema "tunapokuwa kazini tukiagizwa kuuwa tunaua hakuna cha kusema
namjua" kweli yule jambazi mwenzangu alichomoa pisto yake akaikoki kisha
akamtageti baba yangu mzazi nikiwa natazama kwa macho yangu akitaka kumfyatulia
risasi! Dooh Mimi uvumilivu ulinishinda wakati anataka tu kumuua! nikasema siwezi
kukubali mimi mtu akafa mbele ya macho yangu, nilijirusha kujikinga mbele ya
baba ili nife mimi. Kweli alipo mfyatua risasi ilinipata mwilini mwangu.
Wenzangu wakaogopa wakajua wameisha niua. Lakini risasi ilinipata begani tu.
Baba alikuwa bado hajanigundua mimi ni nani! baada ya wenzangu kuondoka ndipo
akaja kunivua masiki usoni ili anitazame machoni mwangu. Dooh kweli baba
hakuamini kama ni mimi kabisa, maana alinitafuta kwa mda mrefu sana bila
mafanikio. Ndipo baba akanipeleka
hospitali haraka haraka ili niweze kutibiwa.
Ila kipindi nipo hospitali damu yangu ilkuwa imemwagika sana hivyo
nikapungukiwa damu kabisa mwilini! na pale hospitali kulikuwa hakuna damu hata
kidogo siku hiyo, hivyo ikabidi baba ajitolee damu yake ndipo nikaongezewa
"damu ya baba" ila hali yangu ilikuwa bado si nzuri kabisa maana sumu
ya ile ya risasi ilikuwa inatembea mwilini mwangu kwa kasi sana na kile kidonda
kikawa na muonekano wa ajabu sana kilicho niogopesha kwa mda mrefu, baada ya manesi kuona hali yangu inaendelea
kuwa ngumu, wakabidi wamuite daktali mkuu aje kunitazama maana baba yangu mzazi
alikuwa tayari analia sana akijua lazima nipoteze maisha kwa sababu mkono
ulianza kuharibika kidogokidogo, na mimi nilikuwa sina nguvu kabisa mwilini na
sikuwa ata na hamu ya kula wala kulala wala kusimama ata kukaa pia. Daktali
mkuu alivyo kuja mimi nilikuwa nimelala nimegeukia upande wa kulia nikiwa
nakuema sana sina nguvu , aliingia ndani akasema mgonjwa ebu geuka nione hicho
kidonda. Wakati nageuka kumtazama huyo daktali, sikuamini macho yangu jamani
yani daktari mkuu wa ile hospitali alikuwa ni mdogo wangu wa kike. Nilishangaa
nikapata nguvu ghafla nikamuuliza.
"ndugu yangu wewe si ulikuwa unapenda kusomea mambo ya uasibu,
siamini macho yangu kuona umekuwa daktali na kwanini ulinitoroka miaka yote
hiyo". Mdogo wangu alilia sana akasema "nimefurahi sana kukuona leo
kaka yangu mama wa kambo alinifanya nitoke nyumbanj maana alitaka kuniua na
alinichoma na maji usoni ndiyo maana nilimtoroka" ndipo nikamwambia mdogo
wangu kwamba "huyo baba pembeni yako ni baba yangu mzazi na yeye
tumekutana katika mazingira ya kushangaza". Nilipata nguvu sana nikaamka
kitandani. Ndipo dada akasema. "usijali mimi dada yako daktali
nitakuuguzia nyumbani maana kukaa sana hospitali sio vizuri kaka" wakati
tunaondoka kutoka hospitali baba mzazi akasema jamani naomba niwapeleke
nyumbanj kwangu na huyu mgonjwa pia umtibie kwangu kabisa. Ndipo tukaenda kwa
baba. lakini tulishangaa sana mimi na mdogo wangu maana njia tulizo kuwa
tunapita tulikuwa tunazijua sana, Cha kushangaza zaidi tulishangaa kumuona baba
anaingiza gari kwenye nyumba ya mama
danieli akisema ni hapa ndiyo kwake. Dah tulipo ingia ndani mimi nilishtuka
sana. Mdogo wangu akaanza kulia sana. Baba akauliza "jamani mbona hamna
furaha, nilihisi mkipajua kwangu utafurahi kijana wangu pamoja na wewe mtoto wa
mke wangu. Nikamwambia baba "hii nyumba unayo ishi ndiyo nimeishi hapa
tangu niko mdogo sana, na mama mwenye nyumba alikuwa anaitwa mama danieli. Sisi
tulikimbia hii nyumba baada ya mke wako kuja hapa maana ndiye alie muua mama
danieli mwenye hii nyumba. Mdogo wangu wa kike akasema ata mimi kidogo nife ila
mungu saidia nikapona. Baba akasema mimi nilikuwa na maisha magumu sana
mwanangu nilikuwa ombaomba na nilikuwa naingia kila nyumba nikikuta watu nawaomba
msaada ili nile pia. lakini nakumbuka nilipo fika kwenye hii nyumba sikukuta
mtu ata mmoja! Yani nilijikuta napata moyo wa kuingia ndani na kuanza kumsubili
mwenye hii nyumba aje. Sasa nashangaa sana kusikia kwamba tayari alishakufa na
nyie mmekulia hapa! kwani yeye alikuwa hana ndugu ata mmoja jamani wa kumrithi,
nilimjibu baba nikasema "alikuwa hana ndugu na mama yake alikuwa mzee sana
kijijini hivyo asingeweza kufatilia hizi pesa ata hivyo alikufa kichawi hivyo
mali zikapotelea hovyo. Baba aliniomba msamaa kwa mabaya yote aliyo nitendea
akasema sio mimi mwanangu yote hayo mama yako wa kambo alisababisha kwa
kuniloga mimi ili niwakatae wewe na marehemu mama yako. Sikuwa na jinsi
nilimsamee baba, na mdogo wangu wa kike akasema bila wewe kuachana na mama labda
mimi nisinge zaliwa! Lakini naumia sana baba yangu mzazi sijamuona maana mama
alisema kuwa alibakwa na vijana kama saba tena hasio wafahamu ndipo mimi
nikazaliwa. Yani Natamani kama hao vijana mama angekuwa anawafahamu ninge waita
mmoja baada ya mmoja tupime (DNA) ili niweze kumfahamu baba au ningeangalia ata
ninae fanana nae ili nimjue baba yangu mzazi ni nani mimi. Tuliamua kusameana
wote na tukawa familia moja ingawa mdogo wangu alikuwa na kwake lakini
alijitahid kila ndani ya week anakuja kukaa na sisi pia. Siku moja nikiwa
tayari nimeisha pona niko vizuri sana nikakutana na mkuu wa wale majambazi
akiwa na wenzake. Walinikamata wakitaka kuniua. Ila nilimuelezea jambazi mkuu
kuwa yule ni baba mzazi na nilipotezana nae miaka mingi sana hivyo nisingeweza
kumuua, alinisamee nakusema kwamba "usitoboe siri yetu". Baada ya
mama wa kambo kuona anateseka sana,akafikilia sana kisha akasema "ni bora
nirudi kwa mama danieli maana najua hakuna mtu anaishi pale". Hakujua kuwa
tayari kuwa mme wake yupo pale pamoja na mimi na vilevile mdogo wangu wa kike.
Mama alipo kuja kwanza alishangaa kukuta mfungua geti! Mama akamuuliza wewe
nani kakuleta nyumbani kwangu. Yule mlinzi akasema "baba mwenye nyumba
yupo ndani, tena yupo na wanae wote leo! kumbe wewe ndiye mama watoto karibu
ndani yani tena mama afadhali nimekujua, maana nilikuwa najiuliza sana hili
swali, kwamba baba watoto yupo watoto
pia wapo! mama je yuko wapi? Karibu sana mama". Mama wa kambo alishituka
sana pale nje akasema "hii nyumba ni yangu huyo baba na watoto siwajui
mimi ebu ngoja niingine ndani". Kweli mama
wa kambo alikuja mpaka ndani masikini, maana milango yote alikuwa
anaifahamu vizuri tu. Kipindi yeye anaingia na sisi tulikuwa hapohapo sebreni.
Tulishangaa mlango unafunguliwa bila hodi! Mama wa kambo akaingia tu, kipindi
anaingia akashangaa kumuona mme wake sebreni, akashangaa kumuona mdogo wangu wa
kike alietaka kumuua! akashangaa kuniona na mimi pale alinifukuzisha kwa bosi
dooh, ndipo mama wa kambo akaanza kulia akisema "mme wangu nisamee mimi,
najua nilifanya kosa kubwa jamani kukuhalibia ndoto zako mme wangu, kukupa
mateso makali na pia kutoka nje ya mahusiano! nihurumie mme wangu jamani
angalia machozi yangu hii yote nikukuonyesha dhahili kuwa siwezi kurudia,
tuanze ukurasa mpya wa mapenzi yetu siwezi kurudia maovu yangu tena, nisamee
pia kwa kukufanya umkane mkeo mjane asie na ndugu, na kumsingizia mtoto wako
ili uweze kumtelekeza nisamee".
Mama wa kambo hakuchoka aliendelea kuomba msamaa
akisema "nisamee sana mme wangu nilifanya makosa makubwa ata yasio semeka
mbele za watoto wako". Baada ya baba kuambiwa hivyo machozi yalimtoka sana
pale sebreni. Mama wa kambo akaniambia
pia na mimi, kuwa "nisamee kijana wangu najua nimekukosea vitu vingi sana jamani!
nimekuwa nikikutaka kimapenzi sababu ya tamaa ya mali za marehemu mama dani,
nimekusababishia matatizo kwa bosi wetu mpaka ukafukuzwa kazi na kuteseka
kipindi chote kile najua nimekufanya uteseke tangu ukiwa mdogo kwenye malezi yako sanasana kukunyima chakula
kipindi upo mdogo nisamee maana nimekufanyia mabaya mengi sana mpaka naona
aibu. Nilianza kulia pia kama baba maana mama wa kambo alinikumbusha machungu
yote ya nyuma. Mama wa kambo alimuomba pia mdogo wangu wa kike msamaa, akisema
nilikuwa nataka kukuondoa uhai wako maana nilitega dawa chini ya godoro
chumbani mwako nikakumwagia maji ya moto usoni kupunguza shida ya mizimu
isinitese ila nisamee jamani. Mdogo wangu alilia kama mtoto mdogo akasema
"wewe ni mbaya sana tukikusamee utatualibia maisha yetu tena, ondoka
hapa". Baba mzazi akasema we mwanamke nakuchukia sana, nakuona kama
kichefuchefu yani kama takataka, nakuona kama shetani aliekosa roho ya
ubinadamu ata kidogo naomba utoke hapa hatukutaki. Mama wa kambo alilia sana
akiniambia nimuombee msamaa kwa baba na
mdogo wangu maana alisema anateseka maana analala nje, hali chakula, analala
kwenye baridi, anabakwa na walevi na wahuni usiku, dooh wakati nataka kuanza kumtetea tu mizimu
miwili ikafika wa mama dani pamoja na mama mzazi! Ilikuja na upepo mkali sana
ndani na mwanga wa ghafla mizimu ikasema
"msimruhusu huyo shetani akae hapa, atawaharibia maisha yenu, tena
mtateseka sana, maana alisaidiwa mala nyingi hakusaidika". Mama wa kambo
akalia sana akisema nisameeni najua nimewakosea wote. Nimekuchulia mme wako
jamani nikakufanya kama jalala, na mama dani najua nilikuua kumiliki mali zako
jamani nisamee nishetani sio mimi! Mama
dani akasema siwezi kumuacha kwangu maana amenitoa uhai bila kosa. Pale pale
tukiwa tunatazama ndipo mama wa kambo alibebwa na mizimu. akapelekwa kuzimu ili
apate mateso. Mama wa kambo alipelekwa akaanza kulishwa vyakula vya ajabu
aliteseka maana alikuwa akitembea peku juani na kwenye miba pia maisha yake
yalikuwa ya shida sana masikini aliisha sana yani akapungua sana mwili wake.
Baada ya miaka mitatu watu tukiwa tumemsahau ndipo mizimu ikawa imemrudisha
mama duniani lakini mama alitupwa kwenye msitu mkubwa sana wenye miti mikubwa
sana na wanyama wenye asila kali. kipindi mama wa kambo yupo msituni alishindwa
aende wapi na alishindwa apite njia gani ili atoke mule msituni. Bahati mbaya
pia alikuwa hana nguo katika mwili wake. Ndipo mama wa kambo akaamua kutembea
polepole kutafuta sehemu ya kutoka mule msituni. Wakati mama anakatiza
akakutana na mnyama mkali sana anataka kummeza mama aliogopa akapiga kelele
sana akiwa analia, ndipo akaanza
kukimbia ili asife. Mama aliteseka sana maana alikuwa hana chochote miguuni na
alikuwa anakimbia sana miti na miba hivyo damu zilikuwa zinamtoka sana. Mama
alijutia sana dhambi zake. Ndipo mama akapata sehemu ya kijificha lakini aliwashwa
na majani ya washa washa maana ndimo alijificha ndani yake. Wakati amewashwa
sana mama akaamua kutoka nje ya kichaka maana alishindwa kuvumilia kuwashwa,
ndipo akaendelea kukimbizwa na yule mnyama mule msituni. Wakati mama anaendelea
kukimbia akakutana na watu, kumbe wale watu walikuwa wamekuja kukata miti
kwahajili ya mbao. Ndipo mama Akawaomba
msaada akisema mimi ni mtu mwema naomba mnisaidie jamani nimejikuta
msituni. Wale vijana wakamlazimisha mama kufanya nae mapenzi ndiyo wamsaidie,
mama alikataa akaanza kulia akisema jamani nimechoka sana alafu sina nguvu
msinifanyie kitendo kibaya, dooh kibaya zaidi wote watatu walitaka kumtumia
mama kwa mda uleule. Mama alikataa wakasema "sawa kama hutaki"
wakawasha gari lao wakitaka kumuacha mule msituni, mama aliamua kukubali ndipo
akafanyiwa huo unyanyasaji kwenye gari la mbao, mama wa kambo alilia sana
akasema "najutia ubaya wangu wote nilio tendea watu. Baada ya kufanya lile tendo Ndipo wakamsaidia na kumuhifadhi
ili warudi nae mjini. Mama alirudi mjini akiwa amechakaa sana hana mbele wala
nyuma amekonda sana maana alikuwa analishwa maji na unga tu kule kuzimu. Mama
wa kambo aliogopa kurudi kule nyumbani kwa mama dani. Sisi tulikuwa tayari
tumeisha msahau kabisa mama wa kambo tulijua kaisha kufa. Mdogo wangu alipata
mchumba wa kumuoa. Na mdogo wangu
alikuwa anampenda sana mpenzi wake hivyo kwa bahati mbaya kabla hajamtambulisha
mchumba wake kwetu. Mdogo wangu akawa ameisha pata ujauzito wake. Baada ya sisi
kuona mabadiliko kwenye mwili wake tukaamua kumuita ili tumjue mwenye ule
ujauzito. tulishangaa sana mimi na baba maana alie mpa mimba mdogo wangu
alikuwa ni kaka ake na mama yangu wa kambo
aliekuwa mchawi na ndiye alikuwa anampeleka mama wa kambo kwenye uchawi.
Nikamuuliza mdogo wangu mbona huyo bwana yako ni mkubwa sana kwako jamani? na
kwanini hujatuonyesha hapo awali? maana huyu ni ndugu yake mama ya kambo! Sasa
ebu fikilia huo ukoo alafu unakubali kuzaa nae. kumbe yule kaka yake na mama wa
kambo alikamata akili za mdogo wangu kichawi ili watualibie maisha yetu mimi,
baba pamoja na mdogo wangu ili walipize kisasi cha mdogo wao kuteseka. Mzimu wa
mama uluangaika sana kumsaidia mdogo wangu ukashindwa. Na mdogo wangu akili
yake yote ilikuwa kwa mchumba wake ata ukimshauli amuache hakuelewi kabisa.
Hatukua na jinsi ikatubidi tumuache na mimba yake ya yule mchumba wake. Siku
moja mida ya usiku tukiwa tumelala mdogo wangu alipiga kelele sana alilia kama
anachomwa na moto yani. Tulipo enda kumuangalia chumbani kwake tukakuta anatkwa
na damu nyingi sana sehemu zake za siri. Ndipo tukamchukua na kumpeleka
hospitali anapo fanyia kazi ila tulishangaa sana siku ile alipo pima haikuwa
mimba tena dakitali alisema anaona kitu kama jiwe ndani tumbo lake, mdogo wangu
alianza kulia sana akasema tumpigie simu mchumba wake aje, kumbe mda huo
mchumba wake alikuwa na wachawi wenzake wakipanga kumuua mdogo wangu mda
huohuo....Usikose sehemu ya 67
SEHEMU YA 67.
Kipindi wale wachawi wanapanga kuondoa uhai wa mdogo
wangu, mdogo wangu alilia sana pale hospitali, maana alikuwa anasikia uchungu
usio elezeka masikini, kitendo kilicho wakwaza wengi, sanasana wale waliokuwa
wakimfahamu, wataalamu wote waliosoma
udakitari na mdogo wangu walijaribu sana kufanya utafiti wote kwa uwezo na
juhudi zao zote ili waweze kunusuru maisha ya rafiki yao lakini hawakufanikiwa,
kipindi zimebaki kama dakika 30 ili mdogo wangu apoteze maisha yake ! Nilianza
kulia sana mimi pamoja na baba, maana povu lilikuwa limeanza kumtoka mdomoni
mdogo wangu, chakula alikuwa hali tena zaidi ya kulishwa na mlija kupitia puani
mwake. Dakitari mmoja akasema "jamani ndugu zangu tumejaribu kufanya kila
mbinu ila tumeshindwa maana tumboni kwake tunaona jiwe sio mtoto tena na
tunaogopa kumfanyia upasuaji maana damu inamtoka sana sehemu zake za siri hivyo
anaweza kufa mda sio mlefu hapa, bora tuwaachie wataaramu wa kimila hii
kazi" dooh nikamuuliza "sasa dokta jamani tunamsaidiaje mdogo wangu,
ebu tazama macho yake hayaoni sasa, wala hawezi tena kutoa sauti katika kinywa
chake" daktari akasema
"nilikuwa namaanisha tumkimbize haraka kwa mganga wa Jadi mmoja hivi labda anaweza kumsaidia"
baba yangu mzazi akakataa akasema "hapana tumuamini mungu tu kwa hili
jambo! kwa mganga tusiende, mungu atatusaidia mpaka atapona" na mda huo
zimebaki dakika 20 tu kaka yake na mama wa kambo waweze kufurahia kunywa damu
na nyama ya mdogo wangu. Walitaka kumuua ili mambo yote ya mama wa kambo
yafanikiwe! asiweze kuteswa kamwe na mizimu na asiteseka kamwe maisha yake
yote, Wakati wale madaktari na baba wanabishana kuhusu mganga, ilibidi mdogo
wangu abebwe kwanguvu ili akafanyiwe tambiko kwa mganga wa jadi, mdogo wangu
akapandishwa kwenye gari akiwa hajitambui na akiwa kakodoa macho sana, alipo wekwa kwenye gari ili apelekwe kwa
mganga. Wale wachawi wakagundua ule mpango ndipo wakaja kichawi kuzuia safari
hiyo hiyo mida ya usiku, ili waweze kuzuia
msaada wa kwa mganga. Kipindi
anapelekwa kwa mganga haraka haraka usiku sana. Walishangaa kukuta mawe
makubwa na mazito sana barabarani yameziba barabara ili wasipite dooh na hakukua
na njia ya pembeni ile sehemu maana juu ilikuwa ni mlima hivyo gari la yule
daktali lisingeweza kupita kabisa. walipoenda kuyatoa yale mawe ili wapite
maana njia nzima ilizibwa kabisa jamani. Wakati huo pia mda nao ulikuwa unaenda
sana kipindi wanaangaika kuyatoa yale mawe yaliyo kuwa yamewekwa na wale
wachawi. Dakika zilikuwa zimebaki 2 tu mdogo wangu apoteze maisha yake! Mimi
nilikuwa ndani ya gari na mdogo wangu niliumia sana jamani mdogo wangu
aliponishika kichwani akinipungia mkono wake akiniaga kuwa anakufa, dooh kule
nje Madaktari walikata tamaa palepale maana kiukweli yale mawe yalikuwa mazito
sana, yaliwashinda nguvu zao na akili kabisa. Ilipo baki dakika moja mdogo
wangu afe mimi tayari nilikuwa nimeisha anza kulia tayari maana damu zilianza kumtoka
sikioni pamoja na jicho lake la kushoto.. Dooh ilikuwa ni simanzi na majonzi
sana kwa kila mtu maana jicho lilimtoka sana mdogo wangu jamani yani jicho
likawa jekundu sana, mdogo wangu masikini alianza kuachama mdogo wake
akiufumbua sana tena akiwa
anajiviringisha kwa kujigalagaza maana kifo kilikuwa kinamuita sasa. Tumbo lake
likikuwa kubwa sana ngozi ikawa nyepesi kiasi kwamba tulishangaa sana. watu
waliumia wakasema mengi "jamani huyu dada kasoma sana. alikuwa na akili
sana darasani leo hii amelogwa anakufa na elimu yake jamani dooh inauma sana
hii" wakati amebakiza sekunde chache ili apoteze maisha. Radi kali sana
ilipiga ghafla, tena yenye mwanga wa ajabu ambao nilikimuwa sijawai kuona
maisha yangu yote. Kumbe ni mzimu wa mama ulikuwa umekuja kwa kasi sana
kumsaidia mdogo wangu. Mzimu wa mama ukasema "siwezi kukubali mwanangu
afe" Wale wachawi pia hawakukubali ndipo wakaanza kuzuia mzimu wa mama
usiweze kumsaidia mdogo wangu. Dooh mama aliteseka sana maana wale wachawi
walikuwa wengi na walikuwa na nguvu pia. Kipindi mama anajaribu kupambana
kunusuru uhai wa mdogo wangu. Mchawi mkuu alikuja na mchanga uliyoko juu ya
kabuli la marehemu mama yangu alafu akaurusha kwenye kivuri cha mzimu wa mama.
Dooh mzimu mama uliishiwa nguvu kabisa. wale wachawi walicheka sana wakisema
"tumekuweza sana leo umetusumbua sana we mwanamke" mama alishindwa
cha kufanya kabisa, mzimu wa mama ukaondoka eneo lile. Wakati mdogo wangu
anaanza kukata roho. Wale wachawi wakaanza kufurahi wakisema "tumewashinda
nguvu hawa watu wa mungu tukale nyama yake sasa huyo binti" niliumia sana
kumuona kaka yake mama anashirikiana na wachawi wenzake kumua mdogo wangu.
Mdogo wangu alipo anza kufumba macho sasa anaelekea kupotea nililia sana
niliumia sana jamani nilisikitika maana ndiye alie kuwa tegemezi na ndiye
aliekuwa msomi kwetu, kabla hajafa mala ghafla tena! Mzimu Mama danieli
ulikuja kipindi wale wachawi hawajajipanga kabisa. Ndipo mzimu wa mama dani ukaniambia kwamba " mwanangu nusuru maisha ya mdogo
wako amebakiza sekunde chache afe" nikauliza nifanye "nini sasa
jamani mimi, " mzimu wa mama
danieli ukaniambia "Nyofoa nyusi moja ya mdogo wako kisha weka mdomoni
mwake haraka sana" nilifanya hivyo hapohapo. Nilishangaa mdogo wangu
anaamka anashangaa kafikaje pale! akashangaa pia kuona anatokwa damu bila
maumivu, na mda ule mzimu wa mama ulipo shindwa nguvu na wale wachawi, Kumbe
mzimu wa mama ukaenda mpaka kwenye makao makuu ya wale wachawi kisha akachoma
moto vyombo vyao na mitunguri yao yote ya kishirikina na baada ya mdogo wangu kumuwekea
nyusi alipona hapohapo wale wachawi walivyo ona amepona na wao wameishiwa
nguvu. Walirudi haraka makao makuu yao ya uchawi kuchukua nguvu upya ila
wakakuta uchawi wao tayari umeunguzwa wote na moto. Waliumia sana walilia sana
maana ata pembe lao la kichawi lilichomwa. Ndipo wakaachana na uchawi maana
hawakuwa na uwezo wala nguvu tena,
waliteswa sana jamani maana wale watu wote walio watoa kafara waliwatokea sana
jamani wakiwa wanalia wakiwambia wale wachawi "kwanini mlituua sisi "
na lile jiwe tumboni mwa mdogo wangu
likapotea kabisa ikarudi mimba ya ukweli ya Yule kaka yake mama wa kambo. Baada
ya yule kaka kuona kapoteza uchawi na hana maisha tena akarudi kuomba msamaa
kwa mdogo wangu maana uchawi wao wote uliharibika! Alirudi mdogo wangu akasema
siwezi kukusamee kabisa yule kaka akasema
"naomba unisamee sio mimi nilitaka kukuua, ilikuwa ni amri nilipewa
na wakuu wangu kuuwa maana bila wewe
kufa ndogo wangu angeteseka sana na ulioneka kuwa na ulinzi mkubwa maana
ulipona ile dawa tulikutegea chini ya
godoro lako pia ulitoroka kwa mama dani baada ya kunusulika kifo, naomba nisamee nimeacha uchawi sahivi tuzae
mtoto tumlee pamoja". Yule kaka alikataliwa msamaa wake akaambiwa "je
ningekufa mimi mtoto ungetutoa wapi".
Baada ya mama yangu wa kambo kuangaika sana bila kupata kazi ndipo
akaamua kutafuta japo kazi za usafi.
akawa amepata kazi ya kufanya usafi ndani ya hospitali kubwa mjini na
kufua mashuka na kusafisha vizuri hospitali. Maisha ya kaka yake mama wa kambo
na mama wa kambo yalikuwa magumu sana waliangaika sana na maisha. Baada ya kama
miezi min'ne uchungu wa kujifungua ulimshika mdogo wangu. Dooh alikuwa muoga
sana maana ndiyo ilikuwa mimba yake ya kwanza, alilia sana siku hiyo akihema
kwa spidi sana. Ndipo sisi haraka haraka tukampeleka hospitali. Mdogo wangu
aliangaika sana kwenye kujifungua maana njia ilikuwa ndogo ikabidi aongezewe
njia ili mtoto apate kupita na kuzaliwa salama. Mungu saidia mdogo wangu
akajifungua salama mtoto wa kiume mzuri mwenye kilo za kutosha tu. Kumbe ile
hospitali ndipo palepale masikini wa mungu! mama yangu wa kambo alipo kuwa
anafanyia kazi za kusafisha vyumba na mazingila yote. alipo muona mdogo wangu
kajifungua mtoto alafu mdogo wangu alimkataa kaka yake wivu ukamshika mama wa
kambo! ndipo akapanga kumuua mtoto wa mdogo wangu. Mdogo wangu alipata maumivu
sana wakati wa kujifungua hivyo akasema "mwanangu nimekuzaa kwa shida sana
nitakulea vizuri mpaka usome uwe mkubwa" mda huo mama yangu wa kambo
anaumia sana kumuona mdogo wangu
kajifungua salama kachanga kake. Kipindi mama anaenda bafuni kuoga akiwa
ameacha kachanga kake kitandani! Mama wa kambo alijifanya anaingia mule ndani
kufanya usafi kisha akachukua kale kachanga akakajaza pamba nyingi mdomoni
kasipige kelele akakaweka kwenye ndoo ya uchafu kisha akaenda kukatupa kwenye shimo la uchafu nje
ya hospitali. Mdogo wangu alipo toka
bafuni na kurudi kitandani doooh! akakuta mtoto hayupo! alipo uliza manesi wote
kuwa "mtoto wangu yuko wapi" wakasema hawajui mtoto alipo, mama wa
kambo mda wake wa usafi na wenyewe ukawa umeisha akawa ameondoka kwake. Dooh
mdogo wangu alilia sana alilia akasema
mikosi gani hii jamani. Kipindi kachanga
kapo kwenye shimo la uchafu kakiteseka kujiviringisha maana kulikuwa na siafu
na sisimizi wengi shimoni na siafu kweli kabisa zilimn'gata sana mtoto jamani,
lakini mungu saidia ule mtaa kuna mbwa mmoja aliyekuwa hana makazi maalumu,
hivyo alikuwa mbwa wa mtahani tu. Yule mbwa alikuwa anapenda sana kwenda kwenye
lile shimo la uchafu kisha anakula zile nyama za watu walio tailiwa. Maana
zilikuwa zinatupwa mulemule shimoni. Sasa siku hiyo yule mbwa wakati yupo
shimoni akakuta mtoto akiwa mzima bado! Mbwa alishangaa maana mtoto alikuwa
anachezesha mikoni na miguu, ndipo mbwa
akaanza kumlambalamba kwa ulimi mtoto mdomoni mpaka zile pamba zote zikatoka
alizo jazwa mdomoni ili asipige kelele. mala ghafla mtoto akaanza kulia sana
sauti ikisikika mpaka nje. Watu walishangaa ndipo wakaenda kumtoa mtoto walipo
muangalia kumbe ni mtoto wa mdogo wangu. " hama kweli Kama siku yako ya
kufa haijafika, huwezi kufa". Mdogo wangu alishangaa sana imekuwaje mtoto
wake atupwe shimoni yule mbwa alikuwa muogoa sana alipo ona watu alikimbia
mbali. Waandishi wa habari walivyo kuja wakaanza kutangaza kwenye vyombo vya
habari kuwa "DAKITALI HAJIFUNGUA MTOTO NA KUMTUPA SHIMONI, MTOTO MANUSRA KULIWA NA MBWA WA
MTAANI"
Usikose sehemu ya 68.
SEHEMU YA 68.
Mdogo wangu alilia sana, alisikitika huku machozi na
simanzi ikimtoka akisema kwamba, "mimi sijamtupa mwanangu shimoni jamani!
mnanisingizia tu, nimemzaa mtoto wangu kwa uchungu sana, kwa tabu sana, yani
mpaka kuongezewa njia yangu masikini! iweje nimtupe shimoni sasa?" hakuna
alietaka kumuelewa kabisa, na taifa zima lilimjua mdogo wangu kuwa ni muuwaji!
magazetu yote na vyombo vya habari vilimuongelea yeye tu jamani, maana
waandishi wa habari na mapaparazi walieneza habari za uongo kila kona. Baada ya
kila mtu kuamini kuwa mdogo wangu kamtupa mtoto wake shimoni kwenye takataka,
hivyo basi serikali ikawa imemuachisha mdogo wangu kazi yake ya udaktari maana
walimwambia kuwa "kama ulitaka kumuua mwanao kwa kumtupa shimoni, basi
unaweza kuua ata watu wengine bila hatia akiwa mgonjwa". mtoto wa mdogo
wangu yule aliye tupwa shimoni alijaribu kufanyiwa matibabu ili aweze kunusuliwa
maisha yake, kumbe alivyo tupwa shimoni aliteguka shingo lake tena sana,
vilevile zile sindano zilizo tumika kuchoma wagonjwa zilimchomachoma sana mtoto
mwilini mwake, sio hivyo tu mtoto alin'gatwa pia na wadudu mule shimoni tena
wengi kama sisimizi, hivyo hari ya mtoto haikuwa nzuri sana kwa ujumla.
Serikali ikafata mkondo wake, ilipanga kumkamata mdogo wangu na kumfunga maana
kwa kile kitendo cha kutupa mtoto serikali iliamini kabisa kuwa ni kosa la
jinai. Kipindi polisi wamekuja kumkamata nilijaribu kuwazuia nikisema
"jamani msimkamate mdogo wangu mbona matatizo yanamuandama sana yeye?
Wakati huo nikiwa nalia kama mtoto mdogo wangu akasema "kaka ngoja tu
nikaishi jela maana nimeisha choka na mikosi ya hii dunia" aliyasema hayo
akiwa analia sana mdogo wangu! wakati
amevishwa pingu ili apalekwe kituoni dakitali mkuu akasema "msimkamate
huyu dada maana sheria hairuhusu kukamata mtu akiwa ananyonyesha, muacheni
kwanza mtoto anyonye akuwe, akiisha muachisha tu ndiyo muendelee kumkamata!
maana mkimkamata tu, msisahau kuwa mtoto
wake sahivi anaumwa inabidi atibiwe ale ashibe vizuri, alafu kumbukeni maziwa
ya mama ndiyo yana nguvu sana tena sanasana yale ya mwanzoni mpaka mwezi wa
sita yanaleta kinga kwa mtoto na pia mtoto kukuwa salama hivyo mkimkamata huyu
mama mtakuwa mnamuua mtoto" serikali ikamsamee kwa mda ila wakasema
tutaendelea kufanya uchunguzi kwa kina ili tujue nani kafanya kosa.
Nilimuulumia sana mdogo wangu nikamwambia "tafadhali usikate tamaa"
mdogo wangu alisema kuwa " "kaka Nilikuwa najiuliza juu ya siku za
kuzaliwa na kufa mwenyewe. Kwa nini nilipozaliwa nililia peke yangu wakati watu
wote walifurahi? Kwa nini nitakapokufa nitanyamaza peke yangu, Huku wote
wakilia? Nikagundua nilipozaliwa nililia kwa sababu nilkuwa nimeingia katika
Dunia ya Mateso, Dhiki, Adha, Uchungu na Ufalme wake shetani. Na nitanyamaza
peke yangu kwa kuwa nitaondokana na dunia ya mateso na shida. Hivyo sikati
tamaa ngoja nipambane tu kaka mungu atanisaidia. Mdogo wangu Aliyasema hayo
maneno maana jamii ilikuwa imemkataa kabisa, yani tena katakata ikimjua kuwa
ana roho mbaya sana. Baada ya mtoto wa mdogo wangu kufanyiwa matibabu alipona
akawa safi kabisa bila magonjwa wala tatizo mwilini mwake. Ilipo pita miaka
miwili na nusu.
Serikali ikaanza msako wa kutaka kumkamata tena
mdogo wangu, wakisema mda wa kunyonyesha umeisha unatakiwa kuukumiwa kifungo.
Mdogo wangu akasema "mimi mnanionea jamani ata sijui alie mtupa mwanangu
ninani kwenye shimo la takataka za hosipitali", sababu mdogo wangu alikuwa
ameenda kwenye hosipitali kubwa kujifungua
hivyo mwenye hospitali akasema kuwa "hosipitali zangu zina kamera
hivyo ngoja tukaangalie matukio yote ya nyuma tutajua alie mchukua mtoto, na
kama ni wewe bora ujisalimishe mapema maana serikali yaweza kukuongezea
adhabu" mdogo wangu alijiamini sana akasema "sio mimi niliemtupa
mwanangu shimoni". Kweli kipindi mdogo wangu yupo mahakamani anasubilia
hukumu yake dakitali alikuja na CD Ikionyesha kuwa mama yangu wa kambo ndiye
aliye fanya lile tukio! watu hawakuamini, sisi tukasema huyo ni ndugu yetu
hatujui ata anaishi wapi , vyombo vya habari vyote vilikanusha kuwa sio mdogo
wangu alifanya lile tukio bali ni mama yake wa kambo. Ndipo mama yangu wa kambo
alianza kutafutwa sana na polisi ili aweze kukamatwa. Mzimu wa mama ulimfata
mdogo wangu ukiwa kwenye majonzi sana ukamwambia kwamba "mwanangu matatizo
haya yote umeyapata umeyasababisha wewe mwenyewe umesahau fadhila zote ulizo
tendewa, naomba urudi kijijini kwa hans ukakomboe maisha yao wanaishi kwa shida
sana kumbuka bila hans yule mbunge asinge kusomesha kumbuka ulikamatwa kwenye
muembe manusra upigwe ufe hivyo kamsaidia hans kasaidie watoto wa hans maana
hans ndiye alikulea ndiye alie niokota nikiwa nakaribia kufa akakulea wewe
tangu ukiwa mdogo. Mdogo wangu alisema sawa nimeelewa mama nitafanya hivyo na shetani
alinipitia tu. Wakati huo Mama yangu wa kambo akaaanza kutafuta njia mbali
mbali za kutaka kujificha ili asiweze kukamatwa. Na baada ya Mama yangu wa
kambo kugundua kuwa picha ya sura yake imebandikwa kila kona ili akamatwe.
Isitoshe serikali kuhaidi kutoa posho kwa mtu yeyote atakae mkamata! ndipo mama
akaanza kuvaa nguo za kumsitili mwili mzima mpaka kininja ili asigundulike lakini akaona hawezi kuendelea kuvaa vile,
ndipo akaamua kujimwagia tindikali usoni
mwake masikini! Dooh nyama yake
ya usoni ikaharibika sana yani ata ukimtazama uwezi kugundua kama ni yeue na
aliteseka sana kutunza kile kidonda mpaka kupona maana kilimtesa sana kidonda
alikuwa analia usiku mzima na mchana pia mwenyewe ndani. Alipo anza kupona
alikuwa hatambuliki kabisa ata ukimuona huwezi kumtambua kabisa maana alinyoa
nywele akawa na kipala pia ukiangalia sura imeungua mpaka shingoni. Hivyo mama
akawa na sura mbaya sana vilevile matiti yake yalikatwa zamani hivyo alikuwa
mwanamke wa ajabu sana asie tamanika kabisa. mdogo wangu alimsikiliza sana mama
tukaanza kutoa misada kwa hans na watoto wake pia tukawa kama familia moja
kabisa. Kumbuka baada ya serikali kugundua mama hana kosa la kimtupa mtoto wake
shimoni! ikamrudisha kazini nakumlipa pesa za kumsingizia yani za usumbufu hivyo
mikosi na matatizo yote yakawa yameisha kwa mdogo wangu. Siku moja mama wa
kambo alienda kwenye nyumba za wageni kuomba kazi ya kuwa mama gesti.
alikubaliwa lakini aliambiwa kazi yake kubwa itakuwa ni kufua mashuka ya vyumba
vya kulalia wageni. Sasa siku moja alishawishika kuingia kwenye chumba cha
mteja kisha akaiba simu ili akauze apate hela. wakati anatoka chumbani mwenye
simu nae alikuwa anafika kutoka dukani! bahati nzuri akamkamata mama dooh mama
alipigwa sana mule ndani na yule kaka watu wote wakatoka kwenye vyumba vyao
kumuangalia mama wakati wanataka kumfukuza ndani ili atoke nje ya gesti apigwe
na raia wengine kwenye vile vyumba vya wageni kumbe yule rafiki yake mama wa
kambo alikuwa amekuja na mme wake wa kizungu kutoka Germany hivyo wakawa wamefikia
kwenye ile nyumba ya wageni. Sasa mama wa kambo alivyo muona akaanza kumwambia
nisaidie nauliwa jamani yule dada alishangaa sana maana mama alimuita na jina
kabisa. Mme wake akamuuliza unamjua huyu mtu. Yule dada hakumkumbuka kwa kweli
maana mama wa kambo alikuwa kajiaribu sana uso yake na ile tindikari hivyo
hakutambulika kabisa alipigwa sana mpaka akatolewa nje ya gesti akakimbia akiwa
miguu peku na kanga yake moja tu. Kama yake na mama wa kambo alipo ona mtoto
wake analelewa vizuri na mdogo wangu akapanda juu sasa akasema "namtaka
mwanangu maana nimemzaa mimi na bila mimi hasingepatika huyo mtoto nipeni damu
yangu niondoke nayo" mdogo wangu akamuuliza swali, "ningekufa je? Au
dada yako alivyo mtupa shimoni angekufa je? Yule mwanaume akashikwa na
kigugumizi, akasema lazima tumkose wote mtoto....
USIKOSE SEHEMU YA 69
SEHEMU YA 69.
Kaka yake na mama wa kambo alitaka kumuiba yule
mtoto ili akaishi nae yeye! maana hakufurahia kabisa, kuona mtoto anabaki kwa
mama yake akiwa anatazama tu. Ndipo akaanza kufanya mikakati na mipango ya
kumuiba yule mtoto. Sasa siku moja kipindi mdogo wangu ameenda kazini mimi pia
nipo kwenye miangaiko yangu pamoja na baba kwenye kazi zake, kule nyumbani
alikuwepo dada wa kazi tu aliekuwa akimuangalia mtoto mda wote. Kaka yake mama
alikuja akijifanya amekuja kusalimia pale nyumbani. Alisema kuwa "jamani
dada nimewakuta ndugu zangu" akajibiwa kwamba "wote hawapo! wameenda
kwenye miangaiko yao" kaka yake mama alicheka akasema "wale ni ndugu
zangu sana hivyo nilikuja kuwasalimia nimuone na mtoto pia je yupo?" dada
wa kazi akamjibu kuwa "mtoto yupo ndani nimemaliza kumuogesha sasa hivi na
ameisha kula tayari hivyo unaweza kuingia ndani kumuona aina shida kabisa"
kweli kaka yake mama aliingia ndani kisha akambeba mapajani mtoto vizuri,
akamtazama mtoto wake alivyo mzuri! akaanza kufikilia ni jinsi gani anaweza
kumuiba mtoto bila yule binti kufahamu. Akamuita binti wa kazi "dada
samahani njoo" akamwambia "hivi awa ndugu zangu wanaweza kurudi mda
gani nyumbani?" Akajibiwa na binti kwamba "hawana mda maalumu ata
sahivi wanaweza kuja" kaka yake mama akashituka akajua anaweza kugundulika
au akafumwa na kukamatwa hivyo akasema tena "dada naweza kukutuma vocha
nje mala moja" alimwambia vile ili atoroke haraka, ila yule dada wa kazi
akasema "bosi alinikataza nisitoke nje ya geti maana kila kitu kimo ndani
tayari, hivyo nikitoka anaweza kuniachisha kazi" kumbe yule kaka yake mama alitaka kumfanya yule dada atoke nje ili
atoroke na mtoto haraka, Sasa yule binti alivyo kataa kufata vocha yule kaka
akachukia akawaza kichwani mwake akisema "leo nisipo toroka na huyu mtoto
basi siwezi pata nafasi nzuri kama hii"
ndipo palepale akamlaza mtoto kwenye sofa kisha akamuita yule binti,
binti alivyo fika akamkamata kwanguvu sana dada wawatu, kisha akafunga kwanguvu
kwa kumkaza miguuni na mikononi kwa kutumia mapazia ya pale nyumbani. Binti wa
kazi alianza kulia akisema nisamee jamani sina kosa, ila hakusikilizwa kabisa,
wakati yule binti anajiviringisha sakafuni kutaka kufunguliwa miguu na mikono,
kanga yake ikawa imejifungua! ikadondoka kibaya zaidi yule binti alikuwa na
tabia ya kuvaa nguo ya ndani na kanga
moja tu asubuhi! sasa kanga ilivyo dondoka maumbile yake ya ndani yakawa
yanaonekana! kaka yake mama alivyo yaona yale maumbile ya yule binti palepale
pepo pia likawa limempitia akavutiwa na mwili wa binti, ndipo akamvua nguo yake
ya ndani na kumfanya kitendo kwa lazima. Alivyo maliza kumbaka akafunga zipu
yake kisha akamuacha yule dada akiwa uchi tena anatokwa damu sehemu zake za
siri maana alikuwa bado ni bikira maana alikuwa bado mdogo katolewa kijijini
kwa kina Hans kusaidia kazi za ndani. Ndipo kaka yake mama akambeba mtoto kisha
akachukua elfu kumi mezani ya matatizo madogomdogo ya pale nyumbani kisha
akaondoka nayo. Sisi tulivyo rudi nyumbani, mimi na baba tuliona haibu sana
maana yule binti alikuwa uchi hivyo tukatoka nje kwanza, mdogo wangu wa kike
akaingia na kumvalisha nguo. Tulipo muuliza "mtoto yuko wapi" akasema
"kuna mgeni amekuja akasema kwamba ni ndugu yenu, hivyo nikamkalibisha kwa
furaha zote ndani lakini kumbe ni mwizi tu, kanifunga na pazia, kanibaka alafu
kamuiba mtoto" mdogo wangu akauliza "anafananaje?" Alijibiwa na
binti wa kazi kuwa "yule baba ana
m'vi alafu anafanana sana na mtoto wako alafu rangi yake ni maji ya kunde"
mdogo wangu akagundua kuwa ni yule kaka yake mama wa kambo. Alilia sana mdogo
wangu akasema "jamani kumbe alivyo sema tutamkosa wote alimanisha, na
kwanini ambake binti wangu wa kazi pia kamkosea nini" hatukuwa na jinsi
ikabidi tuka ripoti kituo cha polisi.
Kipindi kaka yake mama wa kambo yupo na mtoto, aliamua kupanda gari ampeleke
mtoto kijijini kwao akamkuzie ukouko. Mimi na mdogo wangu tulijaribu kuzunguka
maeneo ambayo tulihisi tunaweza kumpata kaka yake mama lakini hatukufanikiwa.
Sasa kipindi kaka yake mama anamsafilisha mtoto kimya kimya, wakati safari
inaendelea mtoto alianza kulia sana kwenye gari alilia sana alipiga kelele kaka
yake mama alijitahidi kumbembeleza lakini mtoto wapi, hakusikia! kaka yake mama
nalimshikisha mtoto vyakula,juisi lakini mtoto alilia sana, mpaka akaanza kuuzi
watu ndani ya gari. Baba mmoja akasema "we baba mbona mtoto analia sana
umemuiba au" akamjibu "hapana namtoa kwa bibi yake nampelekeka kwa
mama yake maana alikuwa anamlilia sana mama yake" watu hawakumuamini
kabisa maana mtoto alilia tangu safari inaanza mpaka mda ule. Ila kaka yake
mama alijikaza sana na mtoto. Akiwa anaongea mwenyewe kwamba "siwezi
kumuacha mwanangu kabisa".huku kwetu pia Mdogo wangu aliumia sana akasema
"mtoto wangu nilimzaa kwa tabu alafu anaibiwa nikiwa natazama tu".
Nilimpa moyo kuwa "kila jambo linalo tokea linasababu yake". kipindi
kaka yake mama yupo ndani ya gari akiwa anafurahi kuwa amefanikiwa kuiba mtoto,
kumbe "Unapo tenda mambo mabaya kwa wenzako kumbuka malipo ni hapahapa
duniani" hatukujua kuwa yule mtoto alikuwa ni mtu sawa, lakini alikuwa
kapatikana kwa nguvu za kishirikina maana ata mdogo wangu alipata mimba sio
kutoka kwa baraka za mungu, bali ni nguvu za kichawi ndizo zilizo mchanganya
akili kumfanya yeye amkubalie yule kaka kuwa nae katika mahusiano ya kimapenzi, na ata kipindi cha mimba kuna
kipindi alionekana kama vile ni jiwe lipo tumboni, hivyo ata yule mtoto
angekuwa mkubwa angerudisha zile nguvu za kishirikina zilizo chomwa na mzimu wa
mama. Sasa kipindi kaka yake mama
amembeba mtoto wakiwa kwenye gari mtoto alipata usingizi akalala. Ila bahati
mbaya dereva gari lake likavunjika breki likiwa kwenye mkali sana masikini,
hivyo dereva akaruka nje ya gari
kukomboa uhai wake na akawaacha abilia wote ndani. Kaka yake mama alivyo ona
hajari kubwa itatokea ndipo kwa ushenzi wake akaamua kumrusha mtoto nje kupitia
dirishani ili asife, bahati mbaya mtoto akaangukia kwenye tairi la gari hivyo
mtoto akakanyagwa na taili kichwani akapasuka kichwa akafa palepale. Lile basi
pia likapinduka vibaya masikini walikufa abilia wote ila dereva alitoroka
nakujificha ili asikamatwe. Hivyo kaka yake mama yangu wa kambo na mtoto wake wakapotea kwa njia za
kutatanisha sana. Baada ya miaka mi tatu
tukiwa tumeisha sahau matukio ya nyuma yote, Siku moja nimeenda kuweka mafuta
kwenye gari nikakutana wa Wastara kwenye sheli ya mafuta. Alifurahi sana
tulivyo onana akaniuliza kuwa "ulipotelea wapi" nikamueleza akanipa
pole kwa matatizo yangu yote kisha tukabadilisha namba za simu. Sasa siku moja
wakati tunawasiliana nae, nikamuelezea
kuwa nataka kuoa sasa nipo natafuta mke, alifurahi sana akasema ni wazo zuri na
akaniambia kuwa "nina mdogo wangu wa kike nitaongea nae akikubali
nitakwambia, ila kwa jinsi ulivyo anakufaa sana mtaishi bila wasiwas kwenye
ndoa" Kweli mdogo wake hakuwa na kipingamizi akanikubalia ombi langu,
sababu na mimi nilikuwa nimempenda sana nikaamua kuvumilia yote, yani nifunge
nae kwanza ndipo tendo la ndoa litafata, Wakati tunafanya mipango ya harusi
kumbe yule binti alikuwa anaujauzito wa wiki mbili, na mimba hiyo alipewa na
mpenzi wake lakini yule bwana yake akaikataa mimba! hivyo akataka kunishikisha hiyo mimba yake
mimi.
Usikose namba 70
SEHEMU YA 70.
Mdogo wake
wastra alikuwa ni binti mwenye heshima sana! alikuwa mpole mwenye hekima pia,
ila aliogopa kuniambia kama ni mjamzito akijua kuwa akiniambia tu naweza
kumkimbia na kumkataa kabisa. Na mimi sikumuhisi chochote kibaya kutoka kwake
nilimuamini 100%! Tena kwa kila kitu mpaka nikaamua kupanga mikakati ya harusi
baina yangu mimi na yeye. Na hiyo harusi nilitaka iwe mapema kabisa yani ndani
ya wiki hiyohiyo ili nimuoe awe wangu wa maisha kabisa nisije kuibiwa, Nilianza
kuandaa michakato ya harusi ili nimuweke ndani, maana tangu niingie nae uchumba
sikuwai kumgusa wala kumwambia chochote kuhusu tendo la mapenzi, ingawa yeye
alitamani nifanye nae tendo lile, ila mimi nilijaribu kumuonyesha nampenda
hivyo sikuitaji kufanya kabla ya ndoa. Marafiki zangu wote walinisifia na
kunipa baraka zao wakisema "rafiki yetu kweli hapa umepata mke"
sikuwaza kwenda kupima afya kabla ya
harusi maana nilikuwa namuamini sana mchumba wangu jamani, sababu alikuwa
mpole, msataarabu, msafi, mzuri sauti ya upole na mcha mungu pia. Kweli mipango
ya harusi ikaandaliwa na walikuwepo wageni wengi maana ilikuwa ni harusi ya
kifahari, dooh "kweli malipo ni
hapa hapa duniani" nakumbuka ilikuwa tarehe 27/10/ mwezi na tarehe ambayo
baba alimleta mama kambo nyumbani nakumfukuza mama, na mimi ndiyo tarehe hiyo
hiyo matatizo yalinikuta ndani ya harusi yangu pia. Ebu kumbuka yule kijana
nilie kuwa nafanya nae kazi za ujenzi ambae alimuuwa yule dada tulie kuwa
tunamdai pesa za kumjengea nyumba yake, na alivyo muua akatoroka bila kuniaga
ata mimi mpaka nikahukumiwa kifungo ila nikawatoroka pia maafande. Kumbe huyo
kaka ndie aliekuwa amempa mimba mchumba wangu alafu akaikataa sababu ya ugumu
wa maisha. Yani inauma sana hii, kipindi tupo kanisani tunapeana ahadi, mimi
nipo natoa kiapo nikiulizwa na padri, kwamba "bwana harusi je upo tayari
kuishi na mke wako kwenye shida na raha mpaka kifo kitakapo kuja
kuwatenganisha" kabla sijatoa kiapo cha kukubali, ndipo palepale yule
rafiki yangu, yani huyo kaka aliempa mdogo wake wastara mimba akaingia kwa kishindo
na kupiga kelele akisema kanisani kuwa "nina vipingamizi na hii ndoa
naomba isifungwe" dooh kila mtu kwanzia padri, wageni waalikwa wakamgeukia
yeye mlangoni, Usisahau kuwa ndoa yangu na mke wangu ilikuwa ya kifahari sana
mpaka tukairusha hewani kupitia vipindi vya kwenye Tv, ili itazamwe na watu
wengi. Sasa siku hiyo kumbe ndugu zake yule dada marehemu alie uliwa na rafiki
yangu walikuwa wanatazama hiyo ndoa kwenye Tv, ndipo walimuona pia huyo kaka
anavyo katisha ndoa yangu kanisani. Wakasema "jamani huyo kaka si ndiye
alie muua ndugu yetu" walipo nitazama na mimi bwana harusi wakasema na
"yule bwana harusi si ndiye rafiki yake? Hatuwezi kukubali! tukachukue
mapolisi tukawakamate". Mda huo pia na mimi pale kanisani namshangaa sana
yule rafiki yangu alie ua akatoroka. Nikajiuliza sana maswali huku matetemeka
kama mwizi! kwamba "kafata nini tena kuniaribia harusi yangu jamani"
wakati nipo nimezubaa nikiwa nimevaa suti nimependeza sana huku haibu tele
usoni mwangu! Huku pia wageni waalikwa wakiwa wameshangazwa kwelikweli kwa kile
kitendo, Nilishangaa kuona mke wangu analia akisema "mme wangu nakupenda
sana achana nae huyo kaka" padri akamuuliza "wewe kaka shetani
unaharibu ndoa za watu tatizo lako nini?" Wakati rafiki yangu anataka kusema
ndoa isifungwe huyu bibi harusi anaujauzito wangu kabla hajasema Palepale
difenda ya polisi na wale ndugu zake marehemu walio tuona kwenye tv wakawa
imefika. Ndipo mimi bwana harusi pamoja na yule rafiki yangu alie kuja
kuniaribia ndoa tukakamatwa kisha tukapelekwa kituo cha polisi kusubilia
hukumu. Watu walishangaa sana nakusema kwamba, "inauma sana bwana harusi
anakamatwa kwenye harusi yake, tena akiwa amevaa suti ya bei vile, kibaya zaidi
tv ya taifa inarusha hewani harusi yake" dah ilikuwa ni aibu tupu wengine
wakasema, "bwana harusi aliua mtu kipindi cha nyuma leo kagundulika"
bibi harusi alilia sana akasema "mme wangu wanamsingizia hawezi
kuua", Ndipo nikakamatwa bila kuwa
na hatia yoyote ile, afande mmoja akasema ulitutoroka kipindi kile, sasa leo
kesi yako ni ni mala mbili yake sasa. Baba na mdogo wangu pamoja na Wastara na
yule bosi wangu walikaa chini kisha wakakumbuka kuwa mimi ni mtu wa kuonewa tu,
maana ata bosi pale kwake alinifukuza bila kosa kabisa, ndipo wakaamua kukaa
chini na kupanga mikakati ya kunisaidia nisifungwe Kifungo cha kunyongwa. Kesi
yetu ilichukua miezi minane tangu nikamatwe. Yule rafiki yangu alikili kosa
lake akasema kwamba "jamani niliua mimi, mama yule malehemu alikuwa
ananizulumu pesa huyu mwenzangu hana kosa hajui chochote" hivyo mimi nikaonekana
sina kosa, nilirudi nyumbani nikiwa nimekonda nimechoka sana sina raha kabisa,
nilipofika nyumbani nikijua nitamkuta
mke wangu katika hari nzuri, kweli nilikuta mali kaziendeleza ila nilishangaa
sana kumkuta na mimba kubwa wakati mimi nilikuwa sijawai kutembea nae, ndipo
akaniambia, ilikuwa ya yule rafiki yangu alie ua, sikuwa na jinsi maana rafiki
yangu aliukumiwa kifungo cha maisha, yani alinyongwa akafa kabisa, tuliishi kwa
furaha sana katika maisha yetu. Ila mama wa kambo maisha yake yalikuwa magumu
sana aliumia sana maana mizimu iliendelea kumtesa na kumpa shida kila wakati,
mama alichoka sana na maisha mpaka
alianza kuwa kama chizi anavaa nguo bila kubadilisha mpaka ananuka mwili wake,
mama wa kambo alikuwa hana mtu yoyote wa kumsaidia maana ata kaka yake alikufa
kwa ajali ya gari, aliumia sana jamani, mama yangu wa kambo alitamani kumrudia
mungu lakini akaogopa akihisi dhambi zake ni nyingi, siku moja usiku mida ya
saa nane akafunga kamba juu ya mti kisha akapanda kwenye jiwe ili ajinyonge!
wakati amelisukuma jiwe ili ajinin'ginize afe kamba ikakatika palepale, maana
kamba ilikuwa imeoza sababu ilikuwa ya kutekea maji kisimani, na ilikuwa ya mda
mrefu. Ila kamba ikawa amemchubua sana shingoni mwake. Baada ya miaka mitatu
mama yangu wa kambo kutokana na miangaiko yake yote ya maisha mpaka kujimwagia
mitindikali usoni, akajikuta anapata KANSA ya shingoni. Alizubaa kuitibu, kumbe
kansa ikaenea mwilini mwake ikakomaa, hivyo basi kutibiwa kwake ikawa ngumu!
maana alitakiwa kukatwa shingo kansa isienee mwilini zaidi, na kibaya zaidi,
"mtu akikatwa shingo anakufa"
hivyo sasa, akaamua kukaa hivyo hivyo tu, shingo lilioza sana akavimba vibaya
shingo lake. Yani shingo likikuwa na michilizi inayo tia kinyaa ukimtazama kwa
macho unajisikia vibaya yani mwili unasisimka sana, Aliendelea kukaa ndani
akiwa anaoza polepole,funza na nzi vilevile na wadudu wa kila aina walimjaaa
mama wa kambo tena hao wadudu wakimtembelea akiwa bado ni mzima wa afya, kibaya
zaidi alikuwa ananuka pia maana alikuwa mwasilika wa ukimwi ukichanganya na
magonjwa yake pia akaisha mwili kabisa, watu walishindwa kumuhudimia maana
alikuwa akijisaidia sehemu aliyo lala hapohapo, hivyo alikuwa anatoa harufu
Kwelikweli. mama wa kambo alikata tamaa maana aliugua na hakuna ata mmoja alie
mpelekea chakula. hakuwa na mtu wa kumpa msaada wowote, ata mimi na mdogo wangu
tuliogopa kumsaidia maana tulijua ni kigeugeu sana unamsaidia leo kesho
anakuua. Ilipo fika tarehe 12/6/ siku na
mda ambayo alifariki mama danieli ndipo
mama wa kambo alikata roho akafa mda huo huo pia, "kweli malipo ni
hapahapa duniani". Mimi, mdogo wangu na baba tulipo pata taarifa za msiba
wote tulienda kwenye msiba wake! Ili tumzike kwa amani. tulim'wagia mchanga
kabulini mwake na tukaondoka makabulini pale. Tangu ile siku mama wa kambo
amekufa, tunaishi kwa amani na upendo tele, mizimu ilipumzika kwa amani na
haijatutokea mpaka leo,
MWISHO WA SIMULIZI YA DAMU YA BABA.
MTUNZI FRANK DAVID
NAMBA
za simu ni
+255769510060
+255673510161
Ahsante.
Post a Comment